RAY ashindwa kumzika “Baba’ke” na JOHARI. Chuchu Hans 'Atajwa'.
MKURUGENZI wa RJ Company, Vincent Kigosi ‘Ray’ ameshindwa kumzika baba mdogo wa mkurugenzi mwenza wa kampuni hiyo, Blandina Chagula, Clement Kiyenze Chagula.Mzee huyo alifariki katika Hospitali ya...
View ArticleEnyi Wanaume Ishini na Wake Zenu Kwa AKILI" La Sivyo Mwanamke Atakukoroga...
BIBLIA ILIPOSEMA "Enyi Wanaume Ishini na wake zenu kwa AKILI" Mungu alikuwa anajua anachosema.Kama huna akili Mwanamke atakukoroga maisha yako yote na utaishia kusema "Women are so Complicated"Wanawake...
View ArticleDIAMOND's Close Friend OMMY DIMPOZ Says The Hard truth. Take it or Leave It.
Tanzania’s music star, Omary Nyembo, popularly known as Ommy Dimpoz, has urged producers to invest in modern video production equipment as a way of promoting local music production. Besides the...
View ArticleAlly Kiba Awa Ngumzo, Ommy Dimpoz Hamnazo Agoma Kumsupport Wakati Ndio Aliye...
Kweli mfadhii mbuzi binaadam atakuuzi wewe ommy Dimpoz leo ndo wa kumsupport dully na kumuacha Alikiba aliekutoa na Nai Nai??Ulipokuwa unataka utoke vipi ulitafuta mtu wa kukutoa ukajua ni Ally Kiba...
View ArticleAbiria Wote na Wahudumu wa Ndege ya Air Algerie AH5017 Waliangamia Jangwani.
Abiria wote na wahudumu wa ndege ya Air Algerie AH5017 waliangamia jangwani.Rais wa Ufaransa Francois Hollande ametangaza kuwa majeshi ya ufaransa yamefaulu kupata mabaki ya ndege lakini hawakuweza...
View ArticleLulu Michael Naye Afunguka Kuhusu Ujio Mpya wa Ali Kiba Baada ya Kuachia...
Baada ya Jana Ali Kiba Kuachia Nyimbo Mbili kwa Pamoja na Kuonyesha Amerudi tena katika Game , Mwigizaji Lulu toka Bongo Movies Alikuwa na Haya ya Kusema:
View ArticleHivi Ndivyo Wanawake wa Mjini Wanavyoendesha Wanaume Hapa Mjini...Pesa Pesa Pesa
Hivi Ndivyo Wanawake wa Mjini Wanavyoendesha Wanaume Hapa Mjini...Pesa Pesa Pesa...Soma Hizo Baadhi ya Message Hapo chini : Bila Pesa Mjini hapa wewe Mwanaume si Kitu
View ArticleAibu: MJOMBA Anaswa Akila URODA na Mke wa MPWA Wake Gesti Huko MBEZI
Timbwili la aina yake lilifumuka ndani ya gesti moja iliyopo Mbezi Afrikana jijini Dar es Salaam (jina kapuni), kufuatia kijana aliyefahamika kwa jina moja la Kelvin kumkuta chumbani mtu aliyedai ni...
View ArticleTaarifa Rasmi Kutoka Club ya Chelsea Huhusu Didier Drogba.
Utakua uliziona tu zile headlines za mitandao na magazeti mbalimbali duniani kuhusu uwezekano wa staa huyu wa soka Didier Drogba kurejea kuichezea Chelsea baada ya Jose Mourinho kuonyesha nia ya...
View ArticleDavina wa Bongo Movies Apewa Kichapo cha Nguvu na Mmewe Baada ya Kukutwa...
Na Musa MatejaKIBANO! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ anadaiwa kupewa kipigo kikali na mumewe, muda mfupi baada ya kukutwa akiongea kimahaba na simu iliyodaiwa kupigwa na mwanaume...
View ArticleJeshi la Wananchi Tanzania Laonya Juu ya Uvaaji wa Nguo Zinazofanana na Sare Zao
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeonya juu ya matumizi ya sare na vifaa vingine vya majeshi kwa watu wasiohusika. Limetangaza kuwa hatua kali za kisheria, zitachukuliwa dhidi ya watu...
View ArticleChuo cha tiba IMTU Chafungiwa kwa Muda Usiojulikana Baada ya Kutoka Ovyo...
Taarifa zilizopatikana ni kuwa sakata la ukiukwaji wa Maadili uliosababishwa na chuo cha Tiba ( IMTU) kutupa sehemu za miili ovyo imesababisha chuo hicho kufungwa kwa muda usiojulikana.Imegundulika...
View ArticleShirika la Nyumba NHC ni Bomu Litalolipuka Ndani ya Miaka Miwili Hadi Mitano
Wakati wananchi wengi wakifikiri kuwa NHC inakua, inaendelea inatanuka, inashamiri na kupendeza lakini mambo sivyo yalivyo.NHC ni bomu litalolipuka ndani ya miaka miwili hadi mitano, kama hayatafanyika...
View ArticleMo Music: Basi Nenda Ulikuwa Wimbo wa Majaribio
Wimbo wa Basi Nenda wa msanii kutoka Mwanza, Mo Music kwa haraka haraka ni moja kati ya nyimbo tatu bora zaidi za wasanii wapya kwenye mkondo mkubwa wa muziki uliofanya vizuri zaidi mwaka huu.Hata...
View ArticleAjabu: Madaktari wagundua mwanaume yuko kwenye 'hedhi'
Maajabu yanaendelea duaniani, wiki hii tuliandika habari kutoka China iliyohusu kijana aliyeng’olewa meno 132, lakini pia kuna habari nyingine kutoka nchini humo ambayo imewaacha wengi midogo wazi.Kwa...
View ArticleBob junior aingilia bifu la diamond na alikiba, haya ndo mazito aliyofunguka....
Msanii na Producer anaetamba na Bolingo kwa sasa Bob Junior "Sharobaro" leo ameongelea ama kutoa ushauri kuhusu kutokuelewana kati ya wasanii wawili wa Bongo Fleva Ally Kiba na Diamond Platnumz,...
View ArticleHussein Machozi Adaiwa Kufumaniwa huko Mombasa Kenya
Waswahili wanasema ngoma ikilia sana haikawii kupasuka. Ni hivi karibuni mwanamziki wa Kitanzania wa muziki wa kizazi kipya Hussein Rashid kwa jina maarufu Hussein Machozi ametokea kuvuma sana huko...
View ArticlePicha: Muonekano "MPYA" wa diamond platnums
Muonekano mpya (pichani) Wa mwanamuziki Wa kizazi kipya, Diamond platnums aka baba ubaya...Hii Inafanya Kuwa Wote Mrs and Mrs Diamond Wameamua Kuwa Vipara....
View ArticleShilole Apanga Kugombea Ubunge Igunga 2015!
Shilole si mgeni katika kuota vitu vikubwa. Kutoka kwenye ndoto yake ya kufanya kolabo na Jennifer Lopez, awamu hii ameenda mbali zaidi. Muimbaji huyo amechoka ‘Kuchuna Mabuzi’ na sasa anataka kuingia...
View ArticleTaarifa kuhusu ajali aliyoipata Bahati Bukuku.
Muimbaji maarufu nchini wa nyimbo za injili nchini,Bahati Bukuku (40) amepata ajali akiwa katika gari alilokuwa akisafiria kuacha njia na kugonga gema, baada ya kugongwa na gari lingine linalosemekana...
View Article