Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

Ukweli wa idadi ya Tuzo Alizoshinda Diamond AFRIMMA Jana Usiku

$
0
0
Habari zenu ndugu ,wakubwa na wadogo
nataka niweke sawa kuhusu utata uliozuka kuwa diamond kashindatuzo ngapi,
kwenye AFRIMMA,ameshindatuzo mbili, mwanamziki bora East Afrika na Number 1 Remix ikishinda collabo bora ya Africa category iliyokuwa na ugumu kidogo kulingana na aliokuwa akishindanishwa nao:

2face ft Tpain- Rainbow ( Nigeria/ United
States)

Mafikizolo ft Uhuru-- Khona ( South Africa)

Dr Sid ft Don Jazzy /Phyno/Wizkid- Surulere
remix(Nigeria)

Amani ft Radio and Weasel – ‘Kiboko
Changu’ (Kenya/Uganda)

Jmartins ft DJ Arafat--- Touching body
( Nigeria/ Ivory Coast)

R2bees and Wizkid- Slow down ( Ghana/
Nigeria)

Kilichotokea ni makosa ya uandishi kwenye website ya Afrimma ambako ndiyo watu wamecopy ..
but wameahidi kulekebisha,kwa ufupi Diamond anarudi na tuzo mbili mkononi.
lakini nitumie nafas hii kuweka sawa kuwa,diamond kwa sasa,wasanii wakubwa wa nje wengi ndiyo wanoomba collabo yeye, sitosema mengi ila kwa uchache tu nimfano wa 
Mafikizolo waliomwomba Diamond nakumlipia na nauri ili abaki South ili tu collabo ikamilike,piakuna iyanya ailiomba colabo (siyo bumbum) but haijatoka bado, kuna Waghana, kuna mwanadada Waje wa Nigeria, hilo liliandikwa sana tu kwa wanokumbuka, all in all time will tell, kazi zitajieleza zikitoka.
Ahsanteni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>