Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109446

WABUNGE WAZIDI KUMKALIA KOONI WAZIRI MKUU PINDA...FOMU ZA KUMG'OA UWAZIRI ZAINGIZWA BUNGENI

$
0
0
Hali  bado  ni  tete  bungeni.....Wabunge  wanawataka Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha kujiuzulu kutokana na maovu yaliyofanywa wakati wa Operesheni Tokomeza wakati wakijadili ripoti iliyotolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli.

Wakati wa bunge la jioni  likianza, Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR-Mageuzi), Moses Machali ameonekana  akiingia na fomu bungeni   kwa ajili ya kukusanya saini za wabunge za kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda..

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109446

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>