Kwa kipindi kirefu sana Mdakuzi Wako nimefanya uchunguzi wa kina juu ya mahusiano ya kimapenzi baina ya Watanzania (wanawake) na Wakongo (wanaume).
Kiufupi hapa Africa hakuna wanaume na waongo zaidi ya wakongo, wakongo ni waongo waongo waongo mpaka kero. Hata wanaume wa kitanzania hawawafiki wakongo.
Tabia kuu ya wakongo ni kuchuna wanawake wa kitanzania na wanawake hao wakifulia wakongo wanawakimbia. Mwanaume wa kikongo hawezi kuwa na mwanamke asiye na pesa kwa hapa Tanzania kwani wengi wao wamejazana kinondoni na hawana shughuli maalumu.
Huwa wanawapumbaza wanawake kwanjia kuu mbili:
1. Kumpatia mwanamke kitu kidogo ili wapate kikubwa. Kwa mfano; Mwanamke ana mtoto anasoma shule na ada ni milioni moja, basi mkongo atalipa hiyo ada ya milioni moja then baada ya wiki mbili tu utasikia anajieleza kwa mwanamke anashida ya milioni tatu na dada zetu huwa wanatoa kama wanayo na kama hawana wataenda kukopa. Mwanamke huwa anasema "ngoja nimpe tu jamani, mtu mwenyewe anaupendo sana kwangu na mwanangu yaani alinilipia na ada ya shule" bila ya kufikiri anachotoa ni kikubwa kuliko alichopewa.
2. Kulia; Wakongo wanapenda sana kuigiza wanalia, na si kidogo. Analia kabisa na machozi yanatoka huku akikwambia "sheriiii usiniache, jua nakupenda sana". Dada zetu hawajawahi kuliliwa na mwanaume basi wanachanganyikiwa wanatoa kila walichonacho.
KUMBUKA: Siku ukifulia Mkongo anakuacha na atakutukana matusi yote unayoyajua na hautaamini kama niyeye aliyekuwa analia.