Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

Kibonde wa Clouds FM Aachiwa Kwa Dhamana Oysterbay

$
0
0
Mwandishi wa habari, Ephraim Kibonde jana aliachiwa kutoka Kituo
 cha Polisi Oysterbay, Dar es Salaam alikokuwa akishikiliwa tangu 
mwishoni mwa wiki kwa tuhuma za kusababisha ajali ya gari na kutoa lugha
 ya matusi kwa askari wa usalama barabarani

Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camillius 
Wambura alithibitisha jana kukamatwa kwa Kibonde na kwamba walikuwa 
wakiendelea kufanya uchunguzi wa tukio hilo.

Hata hivyo taarifa zilizopatikana jana jioni zilidai kuwa Kidonde aliachiwa kwa dhamana wakati uchunguzi ukiendelea.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109519

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>