Huwa najiuliza na Kucheka nikiona Mijadala ya Watanzania waishio nje ya nchi jinsi wanavyojigamba na kujiona wa maana kuliko Watanzania waishio Bongo , Mijadala ya kujionesha kuwa wanazo mingi huwa kwenye blogs na kwenye mitandao ya kijamiii, William Malecela alishwahi kuwasema hawa jamaa na kuweka hali halisi ya maisha ya kuishi ulaya wakaja juu sana kumtukana vibaya kwa kuweka wazi jinsi maisha ya nje yalivyo magumu
Sasa Embu Niambieni nani ambae anaishi nje ambae amafanikiwa kiuchumi au kijamii kiivyo kiasi cha kuwa mfano mzuri kwa wanaotamani kwenda kuishi nje ya nchi ?
Tutabanana hapa hapa Bongo
Sasa Embu Niambieni nani ambae anaishi nje ambae amafanikiwa kiuchumi au kijamii kiivyo kiasi cha kuwa mfano mzuri kwa wanaotamani kwenda kuishi nje ya nchi ?
Tutabanana hapa hapa Bongo