Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109486

Mkurugenzi TBS Jela Mwaka Kwa Matumizi Mabaya ya Madaraka

$
0
0
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Kwa Matumizi Mabaya ya Cheo chake na Kusababishia Serekali Hasara ya Mamilioni.
My Take: Naona kama Kifungo Kidogo Sana Hicho , Nahuhakika Huko Jela Kuna watu wamefungwa Miaka Kadhaa kwa Kesi za Kuku Tu ila Huyo Mamilioni ya Hela Anafungwa Mwaka....Je wewe Unalionaje Hilo?

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109486

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>