Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Kwa Matumizi Mabaya ya Cheo chake na Kusababishia Serekali Hasara ya Mamilioni.
My Take: Naona kama Kifungo Kidogo Sana Hicho , Nahuhakika Huko Jela Kuna watu wamefungwa Miaka Kadhaa kwa Kesi za Kuku Tu ila Huyo Mamilioni ya Hela Anafungwa Mwaka....Je wewe Unalionaje Hilo?
My Take: Naona kama Kifungo Kidogo Sana Hicho , Nahuhakika Huko Jela Kuna watu wamefungwa Miaka Kadhaa kwa Kesi za Kuku Tu ila Huyo Mamilioni ya Hela Anafungwa Mwaka....Je wewe Unalionaje Hilo?