Wakaazi wa eneo la Rosters jijini Nairobi walishuhudia kioja si haba wakati mchungaji wa kanisa moja liliko mtaani pumwani alipofumaniwa na mke wa wenyewe kwenye tendo la ndoa.
Hata hivyo, mchungaji huyo alijitetea kuwa alikuwa kwenye pilkapilka za kutoa huduma. Mwanahabari Lofty Matambo anamshike mshike huo.
VIDEO HAPO CHINI
Hata hivyo, mchungaji huyo alijitetea kuwa alikuwa kwenye pilkapilka za kutoa huduma. Mwanahabari Lofty Matambo anamshike mshike huo.
VIDEO HAPO CHINI