Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109450

Nani Alimuelewa Mh.sitta Aliposema Wanataka Kujadiliana na Walio Piga Kura ya Hapana Bunge la Katiba

$
0
0
Wakati wa kipindi cha bunge Jana, kama ambayo wengi wenu humu mlimsikia, mwenyekiti wa Bunge la Katiba Mh. Samwel Sitta alisema ameunda kamati ya maridhiano kwa lengo la kukutana na kujadiliana na wajumbe waliopiga kura ya hapana kwa ibara zote za katiba siku ya jana na aliongezea kuwa sio kitu cha kawaida kwa mtu kukaa muda huo waote bungeni alafu apige kura ya hapana. Ambacho sijakielewa ni,lengo la kujadiliana na waliopiga kura ya hapana ni nini?Baadaya ya mjadala,ina maana wanaweza kupewa fursa ya kupiga kura tena kama watabadili misimamo yao?Ana maana kuwa pia UKAWA walikuwa sahihi kutohudhuria vikao kwani wangeshiriki alafu siku ya mwisho wakapiga kura ya hapana wangeonekana wa ajabu na wangeundiwa kamati ya maridhiano?nilijiuliza maswali mengi bila majibu,walau nianze na haya kwa mwenye ufahamu wa kile kinachoendelea ukizingatia kuwa kuna waliopiga kura ya hapana kwa siri,nao wanatakiwa wahudhurie kikao cha maridhiano au ni vipi?

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109450

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>