Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all articles
Browse latest Browse all 109439

Mkapa, Karume Wakacha Uzinduzi wa Katiba

$
0
0
Japokuwa jana niliangalia kwa muda mfupi Mchakato wa makabidhiano ya katiba ya CCM iliyooandaliwa na Sitta, Chenge,wabunge wengi wa CCM (ukiwaacha Lugola na Filikunjombe walioiasi) na mawakala wao, nilishtushwa kutowaona Mabalozi wa nchi wafadhili wa serikali ya CCM, wajumbe wote wa Tume ya Katiba na Maraisi Wastaafu Mh Benjamin Mkapa na Aman Abeid Karume. Je, tatizo ni mimi sikuwaona au ni kweli hawakuwepo? Na kama ni kweli hawakuwepo;

Je, ndo tuamini kuwa watu wote hawa muhimu wamesusia katiba ya CCM?

Je, huu siyo uthibithisho wa taarifa kuwa mabalozi hawa walimwambia JK haiafiki katiba hiyo? 

Je, hii haimaanishi kuwa katiba ya fisadi Chenge na mbabaishaji Samwel Sitta inapingwa vikali hata ndani ya ccm yenyewe? 
Ninatafakari tu kwa sauti wala sina ugomvi na mtu ye yote. 

Nawasilisha, 
By Aweda 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 109439

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>