Waziri wa tanzania Samwel Sitta amewasihi vijana kutokuwa waoga, kwani "UWOGA NI ADUI MBAYA SANA WA MAENDELEO NA HAKI" hivyo kila mwananchi ana haki ya kufurahia rasilimali za nchi, ambazo kuna baadhi ya viongozi wanataka kuhodhi madaraka kwa namna yeyote ili waendelee kuchumia matumbo yao.
Akamalizia kwa kusema, yuko tayari "KUBEBA TOCHI ALIYOIACHA MWALIMU NYERERE". Vijana walilipuka kwa shwange na makelele, kongamano hilo alikuwepo waziri mwingine wa tanzania Dr Harrison Mwakyembe na viongozi wengine waandamizi wa serikali na viongozi wa dini pia.
Haya banah, tutashuhudia mengi sana mwaka huu 2014, hoja hii ya Sitta inafanana na ile ya Kamanda makini Lema "HAKUNA DHAMBI MBAYA NA KUBWA DUNIANI KAMA WOGA".
Yangu macho tu
Akamalizia kwa kusema, yuko tayari "KUBEBA TOCHI ALIYOIACHA MWALIMU NYERERE". Vijana walilipuka kwa shwange na makelele, kongamano hilo alikuwepo waziri mwingine wa tanzania Dr Harrison Mwakyembe na viongozi wengine waandamizi wa serikali na viongozi wa dini pia.
Haya banah, tutashuhudia mengi sana mwaka huu 2014, hoja hii ya Sitta inafanana na ile ya Kamanda makini Lema "HAKUNA DHAMBI MBAYA NA KUBWA DUNIANI KAMA WOGA".
Yangu macho tu