Serekali imetoa tahadhari kwa wale wanao cheza michezo ya Upatu haramu ambayo sio uwekezaji halali ...Mfano ni kama wale Deci na sasa hawa Telexfree....Niliongea kuhusu hilo kwenye makali zilizopita na sasa Serekali nao hao ...Shauri zenu Sasa Akili Kimkichwa....