Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FIFA yaipiga marufuku Nigeria kushiriki mashindano yeyote ya Kimataifa

Shirikisho la soka duniani (FIFA ) limeipiga marufuku Nigeria kushiriki mashindano yeyote ya kandanda yanayoandaliwa na shirikisho la soka duniani FIFA.Hatua hii imeafikiwa baada ya maafisa wa serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond atoa sababu za kuwatumia wazungu kwenye video ya ‘Mdogo mdogo’

Kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video ya ‘Mdogo mdogo’ ya Diamond Platnumz iliyotoka Jumatatu ya wiki hii. Wapo ambao wamefurahishwa na story iliyoko kwenye video hiyo na wengine ambao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Afunika Instagram Aweka Picha Akiwa na Mama Mkwe Wake na Kuandika Maneno...

 Siku ya Birthday ya Mama Diamond Wema Alikuwa na Kazi ya Kupost Picha tu Insta Akiwa na Mama Mkwe Wake ambapo alipost Picha zaidi ya 20...Hongera Wema kwa Kumpenda Mama Mke ila Isije ikawa ya Muda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchekeshaji Mpoki Atoa Wimbo Mpya Akimshirikisha Ben Pol ..Sikiliza Hapa

Mchekeshaji Maaarufu Mpoki ameachia ngoma Mpya akimshirikisha Ben Pol ngoma inaitwa “Umiza Kichwa” Poroducer ni LamarQuote of The Day: I hope everyone that is reading this is having a really good day....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baba Kanumba Afunguka 'Mama Kanumba Tafadhali Acha Njaa'

BABA wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba ameibuka na kumtaka mama Kanumba, Flora Mtegoa kuacha tabia ya kuombaomba michango mbalimbali.Akipiga stori na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amanda Mwigizaji wa Bongo Movies Afunguka Sababu za yeye Kutokuzaa Mpaka Sasa

Na Gladness MallyaSTAA wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa mpaka sasa hajazaa kwa sababu bado alikuwa hajamuona mwanaume wa kuwa baba watoto wake.Akichonga na gazeti hili,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Flora Lymo'Wafanyakazi wa Ubalozi UK ni Wanafiki Wanafanya Kazi Viongozi...

Ndugu zangu Watazania wenzangu ''kwanza Huu ni Mwezi mtukufu wa Ramadan kwa wale wenzetu Waislam '' napenda kuwatakieni Ramadan Njema''Mimi hapa ninayo machache ''juu ya huu mualiko wa kukutana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mabinti Msio Ndani ya Ndoa, Ndoa Nyingi za Matajiri ni Utata Mtupu Msihadaike!

Mabinti walio wengi hutamani sana kupata wenzi wao wa maishay aani waume wenye uwezo mkubwa kifedha,yaani mume ambaye ana nyumba nzuri tayari,gari la kutembelea na mazagazaga mengine kibao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maamuzi Gani Nichukue Dhidi ya Ndoa Yangu?

Mimi ni mama wa watoto wawili, nimefunga ndoa miaka saba iliyopita, mwanzo kabisa maisha yangu ya mahusiano hayakuwa mazuri hata kidogo, first of all niliwahi kubakwa nikiwa na umri wa miaka 15, baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FLora Lyimo Aendelea Kumuanika Le mutuz "Mwanaume Mzima Unashindana na...

SASA WACHA NIKUFUE NA NIKUANIKE NNJE NA 360 NA OLE WAKO USIPOKAUKA,MAANA NITAENDELEA KUKUANIKA MPAKA UTAKAPO KAUKA MBWA WA SOKONI USOJIJUA'' WEWE APO KULIA PICHANI 'LEMUTZ aka LEMUTUMBAZ'NI HIVI''' Kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke Aliyemng’ata Hausigeli na kumchoma Pasi Aachiwa

Mtuhumiwa wa kesi ya kujeruhi kwa kumng’ata sehemu mbalimbali za mwili  mfanyakazi wa ndani, inayomkabili Amina Maige (42) amepatiwa dhamana jana baada  ya mahakama kuthibitisha kuwa hasira kutoka kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Penny Aliyekuwa Mchumba wa Diamond Avalishwa Pete ya Uchumba

Mtangazaji maarufu nchini VJ Penny ambaye alikuwa mpenzi wa Diamond Platnumz amechumbiwa.  Kupitia Instagram Penny ameweka picha akiwa amevaa pete ya uchumba  na  kuandika  ujumbe  huu: “Road trip...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rose Ndauka Amkimbia Mumewe

Staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka hivi karibuni aliamua kumkimbia mumewe Malick Bandawe, kisa mfungo wa Ramadhani ambapo sasa anaishi Kigogo na mama yake mzazi.Akipiga stori na mwanahabari wetu,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VANESSA MDEE azungumzia nia yake ya kushiriki BIG BROTHER

LEO July 11  ndo siku ambayo usaili wa kuwatafuta washiriki watakaoiwakilisha Tanzania katika reality show ya Big Brother nchini Afrika Kusini utaanza kufanyika.Mara nyingi zinapokaribia siku za usaili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chid Benz Amshushia Kipigo Ray C, Amfuata Nyumbani usiku wa Manane

Na Musa MatejaUonevu! Rapa mwenye ‘swagger’ za Ja-Rule Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, anadaiwa kukwaa kisanga kingine kibaya baada ya kukurupuka kutoka nyumbani kwake na kwenda kumvamia staa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kajala 'Wema ni Mnafiki Kabisa. Upatanisho Wetu ni wa Uongo'

Musa Mateja na Shakoor JongoSTAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIYAMA: 'Ukinitokea' Sina Hiyana. Nakukalisha Chini Tuzungumze

STAA wa filamu Bongo, Riyama Ally amesema katika maisha yake hajawahi kumtukana mwanaume pindi anaponitokea hata kama hamuhitaji, anamjibu kwa busara.Akipiga stori na paparazi wetu, Riyama alisema yeye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daktari Mwingine Feki Akamatwa Hospitalini

Askari Polisi wakimtoa nje daktari feki, Karume Habibu (22) kutoka kwenye ofisi ya Mganga Mkuu wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro ambako alihojiwa kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maskini:Aliyedhani Kupona Ukimwi Augua Tena

Mtoto mmoja nchini Marekani ambaye alidhaniwa kuwa mtu wa kwanza nchini humo kutibiwa virusi vya HIV akiwa mtoto, amepatikana tena kuwa na virusi hivyo.Mtoto huyo mwenye umri wa miaka minne kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukweli Kuhusu Kuzikwa Kwa Balali 'Kabari Lake Laonekana'

Mkazi wa Kijiji la Luganga, Wilaya ya Mufindi, Iringa, alikozaliwa Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Ballali analazimika kutumia saa 32 kufika katika kaburi la kiongozi huyo...

View Article
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>