Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109490 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUDDAH MONROE AMCHANA LIVE VERA SIDIKA KWA KUSEMA ANAMILIKI NYUMBA...

Well, yo'all know them for flaunting their cash, or shaking their booties while showing off what they've got...the Bootylicious Vera Sidika and Socialite Queen Huddah Monroe, the two ladies who rule...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS:WATU 200 WALIOKUWA WAKISAFIRI KWA NDEGE YA ETHIOPIAN AIRLINE...

Watu 200 waliokuwa wakisafiri kwa ndege ya Ethiopian Airline wanusurika kufa baada ya ndege kupitiliza hadi nje ya uwanja mdogo wa ndege wa Arusha baada ya kutua kwa dharura. Watu 200 waliokuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UFISADI MPYAAA WA MWENYEKITI WA TAIFA CHADEMA NA MBUNGE WA HAI, FREEMAN MBOWE...

Imeandikwa na  Habibu Mchange0762178678:-------  Juzi niliandika kuhusu unafiki wa MBOWE kuwahadaa Watanzania ya kwamba yeye hanunuliki, nilitoa ushuhuda wa MBOWE kupokea million 100 kutoka kwa ROSTAM...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAZAMA PICHA JINSI ILIVYOKUWA NDANI YA PANTONI BAADA YA KIVUKO KUPOTEZA...

Ilikuwa ni mida ya saa nane mchana ambapo Pantoni kubwa ya Mv. Magogoni ikiwa imesheheni abiria ikiwavusha kutokea Posta kuelekea Kigamboni , ilipatwa na wakati mgumu baada ya kushindwa kutia nanga ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KENYA YAFIKIA PABAYA MACHANGU DOA WAANDAMANA KUDAI HAKI ZAO

Makahaba mjini Nairobi Kenya waliungana na wenzao duniani kuadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga unyanyasaji dhidi yao.Waliandamana Jumanne kulalamikia kile wanachosema ni unyanyasaji wanaofanyiwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO JINSI NDEGE YA ETHIOPIA AIRLINE ILIVYOCHIMBA UWANJA WA NDEGE...

Watu 200 waliokuwa wakisafiri kwa ndege ya Ethiopian Airline wanusurika kufa baada ya ndege kupitiliza hadi nje ya uwanja mdogo wa ndege wa Arusha baada ya kutua kwa dharura.Ndege aina ya Boeing 767...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NILIKOSA ULAJI WA KUFANYA FILAMU YA ULAYA KWASABABU YA CHARGER YA SIMU-BIGGIE

Mwigizaji mwenye muonekano wa kipekee katika tasnia ya filamu Bongo Lumole Matovolwa ‘Biggie’ anasema kuwa alikosa kwenda kuigiza filamu Ulaya kwa sababu ya kwenda kurekodi filamu mbali na ukosefu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FASTJET RESISTS PRECISION'S $32M BAILOUT

Dar es Salaam.The battle to control Tanzania’s skies has taken a new twist after Fastjet, a low-cost airline which entered the market with a bang, strongly opposed Precision Air’s(PW) decision to seek...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WAUMBUANA HADHARANI BUNGENI

Dodoma. Wabunge jana waliumbuana kuhusu matumizi mabaya ya fedha za umma huku Kiongozi wa Kambi ya Upinzani, Freeman Mbowe akituhumiwa kuagiza kubadilishwa kwa tiketi ya ndege ya Mbunge wa Viti Maalumu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAGE AJIVUA LAWAMA SIMBA KUHUSU SUALA LA MCHEZAJI OKWI KWENDA YANGA

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ameibuka na kusema kuwa lawama za kutokumsajili mshambuliaji wao wa zamani kutoka Uganda, Emmanuel Okwi zielekezwe kwa Kamati ya Usajili na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NANI KASEMA BONGO FLAVA HAILIPI-BARNABA AVUTA MKOKO MPYAAA

Bado huamini kwamba muziki wa bongo sasa unalipa? Kama umejibu ndiyo nakushauri u-update fikra zako sababu wasanii wa miaka ya sasa wamekuwa wakionesha mafanikio ya aina mbalimbali yanayotokana na kazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LULU: KAMA SI KANUMBA YANGENIKUTA MAZITO

SURA ya mauzo katika sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ ametoa ya moyoni kuwa kama siyo kuwekwa nyuma ya nondo za Mahabusu ya Segerea, Dar basi yangemkuta mazito.Lulu alikaa Gereza la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY C AANIKA VIGEZO VYA MUMEWE MTARAJIWA

Na Gladness MallyaSTAA wa muziki wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameibuka na kusema kuwa anahitaji mume anayemzidi umri kwa miaka kumi.Akizungumza hivi karibuni kwenye kituo kimoja maarufu cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JACK WOLPER NA ZAMARADI NDANI YA BIFU ZITO

Na Shakoor JongoSTAA wa sinema za Bongo, Jacqueline Wolper amemrushia maneno ya lawama Mtangazaji wa Kipindi cha Take One, Zamaradi Mketema kuwa ni mnafki na adui yake mkubwa katika maisha.Akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABY MADAHA: DIAMOND HANIWEZI, AWATISHIE WATOTO TANDALE

MWIGIZAJI na mwanamuziki Bongo, Baby Joseph Madaha amemchana Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa kumwambia awatishie watoto wa Tandale kwani hana ubavu wa kuchuana naye.Akizungumza na paparazi wetu, Baby...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR SLAA TUKISHIKA DOLA TUTARUHUSU UTENGENEZAJI WA POMBE YA GONGO KISHERIA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa mpya baada ya kueleza kuwa kitakapofanikiwa kushika dola kitaruhu Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (SIDO) kutengeneza mitambo ya kutengenezea pombe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA WANAUME TU-UNAPENDA MWANAMKE GANI KATI YA HAWA HAPA CHINI?

Embu niambieni bandugu mnapendelea mwanamke wa aina gani kati ya hawa unapotongoza?1) Yule ambaye anakukatalia na kujibu kashfa na matusi huku akifoka unapomtongoza?2) Msumbufu na umempata baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMWELI ETOO AAMBULIA MATUSI YA NGUONI KUTOKA KWA MASHABIKI WA CHELSEA BAADA...

Mashabiki wa Chelsea wanamrushia matusi pamoja na maneno ya kebehi striker Samuel Eto’0 baada ya kupost picha ambayo sio kawaida kwa mchezaji ku-tweet pale timu yake inapokua imepata matokeo mabaya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIZI NDIO HABARI NJEMA KUHUSU TOZO YA KODI KWA LINE ZA SIMU KUTOKA KWA...

Habari za kodi kwa laini za simu ilichukua vichwa vya habari kwa wakati wake hadi pale mheshimiwa Rais alivyotoa agizo kwa wahusika kulishughulikia hili suala.Naibu Waziri mwenye dhamana ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGAMBA:BAADA YA ZITTO KUONDOLEWA ANAEFUATA NI DR SLAA

Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu...

View Article
Browsing all 109490 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>