Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109437 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ripoti: Tanzania Yaongoza Kulalamikiwa kwa Matumizi Mabaya ya Instagram Duniani

Mtandao wa Instagram unaohusisha uwekaji picha umeendelea kupata mashabiki wengi nchini Tanzania lakini wengi kati ya watumiaji hao wameisababisha kuwa kati ya nchi zinazoongoza kwa matumizi mabaya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Apiga Mbili kwa Mpigo, Ashinda Tuzo Australia na Atajwa Kuwania Tuzo...

Neema inazidi kumuangia Diamond Platinumz na leo amepata habari njema baada ya kutajwa kuwania tuzo ya MTV EMAs huku akipokea tuzo kutoka nchini Australia.Diamond amewapa mashabiki wake habari njema za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sikiliza na Download Another New Hit Single From Jux

Miongoni mwa mastar wa Tanzania wanaofanya Bongo Fleva ambao wana mashabiki wengi wa kike ni pamoja na Jux inawezekana labda aina ya muziki anaoufanya kuwagusa wasichana wengiZimesikika zingle zake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kajala Azuzuliwa na Pesa, Afanya Vituko ,Amwaga Malaki Uwanjani

FEDHA mwanaharamu! Katika hali ya kushangaza, staa wa filamu ambaye fedha imemtembelea kwa sasa, Kajala Masanja ‘K’ amenaswa akimwaga fedha kama amechanganyikiwa mbele ya kadamnasi, Risasi Mchanganyiko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mauji ya Wanawake Arusha, Mama Fezza Kessy Nae Anusurika Kuuwawa

WAKATI hofu ya mauaji ya wanawake ikiwa bado imetanda mkoani Arusha, mama mzazi wa mshiriki wa shindano la Big Brother Africa, Feza Kessy ameponea chupuchupu baada ya kuvamiwa na majambazi wawili kisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu Wengi Sana Hasa Wanawake Wamefanya Whats App Sehemu ya Kujifariji

I hate WhatsApp na Mitandao mingine kama fb from the bottom of my heart (nipo huko kwa sababu kuna some meaningful contacts), lakini acha tu niwepo, maana wakati mwingine hii mitandao inanisaidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya Kushindwa Mapenzi ya Diva na Chagga Barbie Prezzo Aamua Kutulia...

Baada ya drama kutoka kwa Diva, Huddah Monroe na Chagga Barbie, Prezzo ameamua kutulia na msichana asiye na umaarufu wowote.Rapper huyo kutoka Kenya ameshare picha ya mrembo wake mpya kwenye Instagram...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diva Afunguka Tena…Adai Zitto Kabwe ni Mume Wake na Anatambulika Kisheria

Mtangazajiwa Kipindi cha Ala za Roho kinachorushwa kupitia Radio Clouds FM ya jijini Dar, Loveness Malinzi ‘Diva’ kwa mara ya kwanza, amejilipua kuzungumzia uhusiano wake na Zitto Kabwe kwamba walikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Esha Buheti Apigwa Vijembe kwa Kuwa na Makalio Madogo

Kitendo cha kutojaaliwa makalio makubwa kwa staa wa filamu za Kibongo, Esha Buheti kimemsababishia anangwe na wasanii wenzake.Akiongea  na  mwandishi wetu, Esha alisema anafahamu na anawashangaa watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI: Mwanamke Aanguka Kwenye Bodaboda, Akanyagwa na Lori na Kufariki Dunia...

Mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 amekufa papo hapo baada ya kudondoka kwenye pikipiki aliyokuwa amepanda na kisha kukanyagwa na gari.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwigizaji Lulu Michael Amnasa Meneja wa Wema Sepetu

Na Shakoor JongoTaarifa ikufikie kwamba sexy lady wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amemnasa aliyekuwa meneja wa Wema Isaac Sepetu, Martin Kadinda ambaye ndiye atakuwa meneja wake kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPTL Yamdai Zitto Kabwe Fidia ya sh. Bilioni 500

Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wakimtaka Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe awalipe fidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwigizaji Johari Bado Anateswa na Penzi la Ray..Asema Ipo Siku Lazima Ray...

Na Rhoda JosiahMKONGWE katika tasnia ya filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ameonekana kuendelea kuteseka na penzi la mwigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ baada ya kunaswa akimzungumzia.Tukio hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Good news! Mtanzania Mwingine Kwenye Headlines… Kapewa Vyeo BET

Kabla ya kuanza kukupa info kuhusu huyu Mtanzania nataka nikukumbushe headlines chache za Watanzania walioingia kwenye headlines za kimataifa hivi karibuni.Ni CloudsTV International kufungua ofisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unawapa Somo Gani Wadada Waliobakiwa na Vitu Vya Kuhongwa na Kuyakosa Mapenzi?

Unawapa somo gani wadada waliobakiwa na magari ya kuhongwa, Simu za gharama za kuhongwa, majumba ya kuhongwa huku wakiyakosa Mapenzi na kusema Watapaki kuwa Single Ladies forever?Hakuna kitu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nimeacha Poda na Sijarogwa na Diamond na Ninamkubali Kinoma- Q Chillah

Msanii wa Bongo fleva aliyetamba na hits Song kibao Q chillah amefunguka na kusema kuwa ameacha kweli kutumia madawa ya kulevya na kamwe hawezi kurudia tena maana madawa hayo yalimfanya kuwa na maisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanaridha Kilema Oscar Pistorius Aponea Kwenda Jela , Jaji Asema Hana Kesi...

Hatimaye Jaji Thokozile Masipa ametoa maamuzi juu ya kesi iliyokuwa inamkabili mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius na kutupilia mbali madai kuwa aliua kwa kukusudia.Baada ya muda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuvaa Shanga Miguu au Vikuku Kwa Mwanamke Kuna Maana Yoyote Mbaya?

Kumekuwa na tetesi nyingi kuhusu urembo huu wa kuvaa cheni za miguuni. Wengi wamekuwa wakisema kuwa cheni hizo zinamaanisha kwamba mvaaji anaonyesha kwamba yeye anaweza mapenzi ya kinyume na maumbile,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Mkazi wa Ilemela jijini Mwanza Ajitundika mtini na Kujinyonga

Mwanaume  mmoja  mkazi  wa  Kiseke, Ilemela  jijini  Mwanza  amekutwa  amekufa  baada ya  kujinyonga  kwa  kamba  juu  ya  mti  huku  mwili  wake  ukiwa  umeharibika  vibaya  na  kuvuja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke Wa Mtu Atia Aibu baada ya Kusaula nguo Zote mbele ya Watoto Wakati...

Wakati serikali ikipiga marufuku disko la mitaani maarufu kwa jina la ‘Vigodoro’ bado kuna baadhi ya mikoa inapuuza agizo hilo ambapo mwanamke mmoja ambaye mumewe anafanya kazi kwenye mgahawa uliopo...

View Article
Browsing all 109437 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>