Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109660 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Liberia Kumshitaki Mgonjwa wa Ebola Aliyepatikana na Ugonjwa Huo Marekani

Maafisa wa utwaala nchini Liberia, wanasema kuwa watamshitaki mwanamume aliyepatikana na ugonjwa wa Ebola nchini Marekani wakimtuhumu kuwa alitoa taarifa za uongo kuhusu kukutana na jamaa wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtitu Afunguka Kuhusu Beef Lake na Steve Nyerere

Stori: Gladness MallyaBAADA ya tetesi kuzagaa kwamba aliyekuwa Katibu wa Bongo Movie Unity, William Mtitu kwamba ana bifu kali na aliyekuwa mwenyekiti wa kundi hilo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Batuli Afunguka Kuhusu Tetesi ya Yeye Kuvunja Uchumba wa Rose Ndauka

Stori: RHODA JOSIAHMSANII wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ameshangazwa na madai kuwa, anahusika kuvunjika kwa uchumba wa msanii mwenzake Rose Ndauka na kueleza kuwa hayo ni maneno ya watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bongo Movie Yazidi Pukutika Esha Buheti Ajitoa Rasmi na Kusema Haya Hapa Chini

Mrembo Mcheza Filamu za Bongo Esha Buheti Amefunguka Haya Hapa chini Kuhusu Uozo wa Kundi la Bongo Movies.....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Didas Fashion Amshukia Clouds 112 wa Bongo Movies , Asema Amelamba Ndimu na...

Kupitia ukurasa wa Didasfacion wa Instagram Jana , Mwanadada huyu aishie UK ..Amefunguka Makubwa Kuhusu Bongo Movies hususan Muingizaji Clouds 112...Jisomee Mwenyewe Hapo chini:"Hahahaha @eshasbuheti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanaume Wakizungu Wanajua Mapenzi Zaidi Kuliko Weusi ...Kuna Ukweli Juu ya...

Dada Zetu wa Kibongo Wana Kamsemo kao Kuwa Wanaume Wa kizungu Wanajua zaidi Mapenzi kuliko Wabongo,  Je Kuna Ukweli Wowote Juu ya Hilo ? Au Wanafuata Pesa tu ?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtifuano Wa Katiba Mpya Wahamia Uraiani, CCM Kupata Kibarua Kigumu

Baada ya Bunge la Katiba juzi kufanikiwa kupata theluthi mbili ya wajumbe wa pande zote mbili za Muungano na kupitisha Katiba inayopendekezwa, sasa msuguano kuhusu Katiba unaonekana kuhamia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bendera ya Kenya Yapepea Pemba

Haya wadau jipya hilo wakazi wa Pemba sasa ameanza kupeperusha bendera ya Kenya hii ikiashiria kuwa wapo tayari kuwa sehemu ya Kenya ,bendera hizo zimeonekana zikipepea juu ya Miti mkubwa ikiwemo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ushauri Wa Sintah Kwenda Kwa Mke wa Sugu Faiza Baada ya Kupost Instagram Kuwa...

"Wakati pepo linaendelea kusimamia kucha na kutawanya ndoa/mahusiano ya mastar abroad na Bongo city, mie naendelea kuswali sana kumuomba Mungu anusuru mahusiano na ndoa ambazo tayari zina watoto ndani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mateka Mwengine wa Uingereza Akatwa Kichwa na Wanamgambo wa Kiislam (ISIS)

Kundi la wanamgambo wa kiislamu la Islamic state limetoa ukanda wa video unaoonyesha mateka Alan Henning raia wa Uingereza akikatwa kichwa.Henning mwenye umri wa miaka 47 ambaye ni dereva wa texi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mume na Mke Watwangana Hadharani kisa Pombe

Njemba mmoja aliyefahamika kwa jina la Zeno na mkewe Mwajuma Mtata, wakazi wa mtaa Mrefu,  Kigogo-Luhanga jijini Dar wamenaswa wakiangusha bonge la timbwili barabarani na kusababisha umati wa watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ugomvi wa Mipaka ya Viwanja Ni Shidaa, Embu Ona Hawa Walivyofanyiziana

Ugomvi wa Mipaka ya Viwanja vya Kujenga Nyumba unapofikia hali hii kuna hatari hata ya kukatana mapanga , Kinachoonekana Hapo kwenye hiyo Nyumba ni kukosa maridhiano kati ya majirani hao wawili , Huyu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha Mbali Mbali Jinsi Halima Mdee na Wanawake wa Bawacha Walivyochukua...

Jana mchana taarifa za kukamatwa kwa M/kiti mpya wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) Mh Halima Mdee ambae pia ni Mbunge wa jimbo la Kawe zimesambaa kila kona ya mitandao na vyombo vingine vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake Safarini Hawajui Kukataa Wakitongozwa , Kabla Hata Hamjafika Kitu...

Yaani ni mchele mchele ukikaa naye siti moja katika basi moja kwa safari ndefu ya kutoka dar kwenda kwa mfano Mbeya, Bukoba, Mwanza nk, Ikitokea Umemtongoza tu kabla hata hamjafika morogoro tayari kitu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Mwigulu Afunguka Kuhusu Urais 2015, Wanafunzi, Wafugaji Wachangisha...

Akizungumza na gazeti la Mwananchi. Mtoto wa Mfugaji ambaye ni Naibu Waziri wa fedha amesema tayari watu mbalimbali na makundi mbalimbali wameshaanza kuchangisha fedha kwaajili ya Kumchukulia fomu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katiba Iliyopendekezwa Bunge la Katiba Sitta ni Shujaa au Msaliti?

HATUA ya Bunge Maalumu la Katiba kuhitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa, imemjengea taswira mbili tofauti Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.Wakati wengine wakitafsiri matokeo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mara ya Tatu Sasa Namwota Secretary wa Kazini Kwetu Nikifanya Nae Mapenzi

Kaushauri ndugu zangu; usiku wa kuamkia leo ni siku ya tatu siyo mfululuzo naota nafanya mapenzi na secretary mmoja ambae yupo kazini kwetu ila sipo nae ofisi moja.Sijawahi kumtongoza, sina feelings...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu Michael Afunguka Kuhusu Ukaribu Wake na Martin Kadinda

Binti  Mrembo  ndani  ya Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefafanua ukaribu wake na Martin Kadinda kwa kudai ni rafiki yake wa karibu na hakuna cha ziada.Akizungumza na mwandishi wetu, Lulu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uzuri Wamponza Dada Huyu, Wenzake Wamuonea Wivu na Kumrarua Sura

WASICHANA ndugu wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 na 18 wamemshambulia kwa visu binti mwenye miaka 15, kwa lengo la kumkomesha kwa sababu anasifiwa kuwa mzuri. Katika tukio hilo la aina yake,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ben Pol adai uhusiano wa miezi 9 na Latifa ni mrefu zaidi aliowahi kuwa nao...

Uhusiano na mshindi wa pili wa Miss Tanzania 2013, Latifa Mohamed wenye miezi tisa sasa, ndio uhusiano mrefu zaidi aliowahi kuwa nao Ben Pol tangu awe staa.Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa mahusiano yake...

View Article
Browsing all 109660 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>