Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109450 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je hiki Kipigo cha Katiba ni Uthibitisho UKAWA Sii Lolote Sii Chochote, 2015...

Kufutia hiki kipigo cha Katiba Mpya kwa kundi la Wana UKAWA, Tume ya Warioba na Watanzania wote wapenda demokrasia ya kweli!, jee kinaweza kuwa ndio kiashiria cha awali kuwa hawa Wa UKAWA sii lolo, sii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Steve Nyerere: “Bongo movie watanikumbuka

MSANII wa filamu Bongo aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kuwa ana mengi ya kujivunia katika klabu hiyo ambayo anaamini yatawafanya wasanii wakumbuke...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Yashuka Kiwango cha Uongozi Bora Katika Nchi za Afrika

Tanzania tumbles in governance indexDar es Salaam. Tanzania performance in the 2014 Mo Ibrahim Index of African Governance has tumbled—with the country dropping five places—from 10th position in 2012...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ni rahisi sana Sana Kwa Mwanandoa Aliyeajiriwa Hapa Mjini Kuchepuka, Hivi...

Nina uzoefu kidogo na mambo ya kazi za ajira maofisini, nimefanya hivi kwa muda mrefu. Wakati flani nilifanya kazi katika ofisi zilizo katikati ya jiji, kule mitaa ya Posta jijini Dar es Salaam.Ofisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Balozi wa Tanzania China Kuwatishia Wafungu wa Madawa ya Kulevya...

Gazeti la South China Morning Post linadai kuwa Balozi wa Tanzania nchini China Luteni Generali mstaafu Abdulrahman Shimbo amewatishia wafungwa wa Kitanzania walioko magerezani Hong Kong kwa kupatikana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kuvunjika Kwa Uchumba wa Rose Ndauka Wanawake Wawili Watajwa

STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka ameanika ukweli kuhusu uhusiano wake na aliyekuwa mchumba wake Malick Bandawe baada ya kuwagundua wanawake wawili aliozaa nao mbali na yeye.Kwa mujibu wa chanzo chetu,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ukawa Sasa Waja na Tuhuma Nzito Kuhusu kura za Bunge la Katiba

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeibua shutuma dhidi ya uongozi wa Bunge Maalumu la Katiba kwamba unawarubuni kwa fedha baadhi ya wajumbe wa umoja huo ili kuipigia kura Katiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dada wa Diamond Esma Atoa Mipasho Kupitia Instagram Week Mbili tu Baada ya...

Dada wa Mwanamuziki Diamond Anayejiita Esma Plainum Ambae Ameolewa Hivi Karibuni na Petit Man Amepost Video Kwenye Instagram Page yake Huku Akitoa Mipasho ya Taarabu yenye Kuwananga Wanao Ona Wivu Juu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lemutuz Aanzisha Mission ya Kuwashughulikia Wanao Tukana Wengine Kupitia...

Kwa Kile Kinachoonekana ni Kukerwa na Watu wanao tumia Mitandao ya Kijamii Kama facebook na Instagram Kutukana Wengine Mzee Mzima Lemutuz Ameanzisha Misheni ya Kuwakomesha Wale wote Wenye Tabia Hizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Laana! Kijana Adata na Penzi la Nguruwe Huko Sumbawanga….Aamua Kuacha Shule...

UNAWEZA kudhani ni Hekaya za Kusadikika! Lakini ni kisa cha kweli kwamba mama mzazi amemshitaki polisi mwanawe wa kiume, ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16, kwa kile...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kweli Mwisho wa Dunia Umekaribia..Embu Ona Huyu Mchungaji Anavyomwombea Huyu...

Wanawake MUNGU awasaidie sana Mjue kujenga Mahusiano binafsi ya karibu na MUNGU mwenyewe kuliko kutegemea sana kuombewa hovyo hovyo,Kisa tu Umeambiwa na Rafiki yako kwamba yuko Apostle flani ana Upako...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii Ndio Zawadi Aliyopewa Diamond Jana Kwenye Birthday Yake, Kwa Taarifa yako...

Jana Ilikuwa Ni Siku ya Kuzaliwa ya Mwanamuziki Anaye Make Headlines Bongo na Nje ya Nchi Diamond Platnumz, Hakika wengi Walisubiri Kuona Mpenzi wake Wema Sepetu Atamzawadia Zawadi gani Kwa Vile Yeye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiingereza cha Diamond,The Sporah Show na Kile Cha Shigongo, Straight Talk...

Well,inatia moyo kuona waswahili sasa tunaanza kuwa majasiri wa kufanya interview za kiingereza(JAPO BROKEN) na hasa ujasiri huo unapofikia hatua ya kufanya interview katika vipindi vya TV...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kura mbili zapitisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, Wabunge Waserebuka...

 Licha ya upinzani kutoka makundi kadhaa ya wananchi, Bunge la Katiba jana lilihitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa baada ya kupata theluthi mbili za wajumbe wa kila upande wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tazama picha zote za birthday ya Diamond ilivyokuwa jana. Apewa zawadi ya...

 Tazama picha zote za birthday ya Diamond ilivyokuwa jana. Apewa zawadi ya gari aina ya BMW X6 na Team ya Uongozi Wake

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kweli Mapozi Kikohozi, Wazidiwa Nakuanza Kufanya Yao Ndani ya Dala Dala

Kale Ka Usemi kuwa Mapenzi ni Kikohozi Kamedhiirika Juzi Huko Kenya Baada ya Wapenzi Wawili Kuanza Kunyonyana Ndimi Ndani ya Matatu ama Dala Dala Bila Kuona Aibu Kuwa kuna Watu wanawaangalia , Abiria...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke Akosea na Kumtumia Mume Wake Picha ya Uchi Aliyokuwa Anamtumia Mchepuko Wake

Dada mmoja Mitaa ya Migomeni Dar es Salaam Amezua Kioja Baada ya Kumtumia Mume wake Picha ya uchi Kupitia Whats app, Inasemekana Mume alikuwa Kazini Akashangaa Message imeingia kwenye simu yake kucheki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kivazi cha Min Sketi Chazua Balaa Huko Arusha, Demu Atamani Ardhi Ipasuke

Kivazi cha Min Sketi Kidogo Kimtokee Puani Dada mmoja Huko Arusha Mitaa ya Soko kuu Katika ya Mji Baada ya Vijana Kuanza Kumzomea na Kumfuata nyuma Wakitaka Kumshika Makalio , lilikuwa ni tukio la aina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Belle 9: Sioni Chemistry kati yangu na Diamond Platnumz

Mwimbaji wa Bongo Flava kutoka Morogoro, Belle 9 hafikirii kufanya collabo na Diamond Platinumz hivi karibuni kwa kuwa bado haoni chemistry (muendano sawa) kati yao.Akiongea katika Exclusive Friday ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya P Diddy kusema J Lo Anamfunika Kim Kardashian kwa 'Makalio', J Lo...

Rapper mkongwe mwenye mafanikio makubwa, P Diddy juzi alimwagia sifa aliyekuwa mpenzi wake enzi hizo Jennifer Lopez akieleza kuwa alikuwa mwenye bahati sana kuwa nae. Aliongeza kuwa hata hivi sasa ni...

View Article
Browsing all 109450 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>