Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANDAO WA UNGA WA JACK PATRICK UNATISHA

Na Mwandishi WetuBADO habari ya mjini ni skendo ya kunaswa na madawa ya kulevya ‘unga’ inayomtafuna Video Queen wa Bongo, Jacqueline Clifford Fitzpatrick ‘Jack Patrick’ ambaye inadaiwa kuwa mtandao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARIOBA"KATIBA YA TANGANYIKA INAWEZA KUANDALIWA NDANI YA MIEZI MITATU"

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema Katiba ya Tanganyika inaweza kuandikwa ndani ya miezi mitatu tu kwa kuwa maoni mengi yaliyomo katika Rasimu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA ZITTO KABWE BAADA YA MAHAKAMA KUMPA USHINDI DHIDI YA CHADEMA

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe jana alitinga  mahakama kuu  kupinga kujadiliwa kwenye kikao cha kamati kuu ya Chadema,Kikao ambacho kilikuwa kikutane leo.Hii  ni  kauli  yake  baada  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUSIMLAUMU JACKIE CLIFF...TUMLAUMU ALIYE MFUNDISHA KUVUA SAMAKI

Jackie Cliff… mrembo wa haja niliyeanza kumfahamu kwenye video ya She Got A Gwan ya Ngwair. Ni msichana aliyeenda hewani na Mungu kampelea haswaa. Ukikutana naye huwezi kumwangalia mara moja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MMH HAPA YALIKUWEPO MAPENZI KWELI?

Heri ya mwaka mpya wanajamvi!!!!! Mwenzenu nilikuwa kwenye mahusiano na mwanaume mmoja hivi, nilichoexperience ndio utata mtupu!!!!!!! From the second date hata sijasema ndio, anawaza tu when are we...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE:LOWASA KAPOTEZA SIFA YA KUGOMBEA URAIS

Sakata la Nape na lowasa limeendelea baada ya Nape jana kumwambia kwa kutangaza nia kabla ya wakati wake amepoteza sifa ya kuteuliwa kupitia chama cha mapibduzi.maoni yangu: Nabe acha kushindana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHOGA WA KIUME ANATAKA KUNIHARIBIA NDOA..MSAADA JAMANI

Mwanzoni sikujua kama huyu jamaa anatabia ya ushoga nilipojaribu kumchunguza vizuri nikagundua jamaa si riziki.Alianza kunitumia sms za mapenzi huku akinitakia magudinight kila sikuNimejaribu kumkanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND AISIFIA NGOZI YA WEMA SEPETU ASEMA INA MVUTO NA MNG'ARO ZAIDI YA KITU...

“Umemwona Wema, kwa sasa ana ngozi nzuri yenye afya na iliyo na mng’aro kama alivyokuwa awali,ni nzuri sana yani,  ameacha kabisa kutumia dawa za kung’arisha ngozi hilo ndilo lililonivutia zaidi kwani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHUBIRI AFA MAJI BAADA YA KUJARIBU KUTEMBEA JUU YA MAJI KAMA YESU

NIGERIA. Ilikuwa sikitisho kubwa kwa waumini baada ya mchungaji wao kusombwa na maji baada ya kujaribu kutembea juu ya maji kama vile masihi Yesu alivyofanya wakati wake alipokuwa duniani.Pastor Frank...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMESIKITISHWA NA CHADEMA KUKODI VIJANA WA KUMZOMEA ZITTO LEO MAHAKAMANI

Nimehuzunishwa sana na nimesikitika chadema kukodi vijana ambao wamekiri wazi kulipwa ili kwenda kumzomea mh zito, hili bila kukemewa ni hatari kwani inajenga chuki kubwa baina ya wapenzi wa chadema....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HILI NDILO VURUMAI KAMA SIO VIMBWANGA VILIVYO TOKEA MAHAKAMANI WAKATI WA...

Dar es Salaam,TanzaniaMAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa jana na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Zuberi Kabwe (Chadema), kuhusu ombi la kuitaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFANYABIASHARA WA KIKE APIGWA RISASI USONI NA KUPORWA MABEGI MAWILI YA HELA...

Damu ya Mfanyabiashara huyo ikiwa imetapakaa katika gari lake baada ya kupigwa risasi na majambazi waliompora kiasi kikubwa cha fedha na kutoweka.Mfanyabiashara mmoja (Jina Halikufahamika) Mwenye asili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGOGO WA WEMA ATANGAZA VITA NA DIAMOND

Stori: Shakoor JongoYule kigogo au taita aliyekuwa akimpa jeuri ya fedha Wema Isaac Sepetu ajulikanaye kwa jina moja la Clement anadaiwa kutangaza vita na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DALILI KUU MBILI ZA MWANAMKE ANAPOKARIBIA KUFIKA KILELENI

- Siku zote katika mapenzi hakuna kitu kizuri kama kuridhishana hususan katika tendo la ndoa, ukweli uliopo ni rahisi sana kwa mwanaume kuwahi kufika kileleni kuliko mwanamke hii inatokana na sababu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM WAAMUA KUMTELEA UVIVU LOWASSA MBIO ZA URAIS 2015

Unaweza kusema sasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kumfungia kazi Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa baada ya jana Makamu Mwenyekiti wake (Bara), Phillip Mangula kusema kuwa wanachama wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHINA ASHITAKIWA KWA KUCHANA NOTI YA SHILINGI ELFU 10

Raia wa China ambaye ni meneja uzalishaji katika kampuni ya ujenzi  Shen Hai,46, amepandishwa kizimbani kwa kosa la kuchana noti ya shilingi 10,000 ambayo ni mali ya Serikali ya Tanzania.Akisomewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAN GIVES BIRTH TO BABY GIRL, HIS WIFE IS THE FATHER

The first baby to be born to transgender parents in Argentina was delivered via C-section in the province of Entre Ríos.The proud parents are 26-year-old Alexis Taborda and 28-year-old Karen...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONGO MOVIES WAPATA VIONGOZI WAPYA-STEVE NYERERE ALA SHAVU KUBWA

Kundi la Bongo movie unity limepata  uongozi mpya wa club hapa nchini hapo jana baada ya kufanyika kwa uchaguzi wake kwenye viwanja vya leaders kinondoni jijini Dar es Salaam.Katika uchaguzi huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GIZA NENE LATANDA NDANI YA CHAMA CHA CHADEMA

Giza nene limeendelea kutanda ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya juzi kulazimika kuongeza muda wa kikao cha Kamati Kuu kusubiri uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu aliyekuwa Naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UAMUZI WA YANGU KUJITOA KOMBE LA MAPINDUZI HAUKUWA WA BUSARA

Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam imechukua hatua ya kushangaza ya kujitoa kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea Zanzibar katika dakika za mwisho.Uongozi wa Yanga ulichukua hatua hiyo siku...

View Article
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>