MLINZI AFUKUZWA KAZI BAADA YA KUMPIGA PICHA BOSS WAKE ALIYEKUWA AKILA URODA...
Jamaa mmoja alijikuta kibarua kikiota nyasi baada ya kula chabo bosi wake na kumpiga picha bosi wake huyo aliyekuwa akila uroda ndani ya gari kwenye parking. Jamaa akielezea The ClickTz, kuwa boss wake...
View ArticleBINTI AGONGWA NA TRENI: HII NI AJALI MBAYA YA TRENI ILIYOWAHI KUTOKEA:...
Ilitokea huko nigeria, binti aliyekuwa amelala kwenye reli, nakukanyagwa na treni...Inadaiwa Kisa cha binti kulala kwenye reli ni mapenzi baada ya kuachwa na boy wake aliona hakuna haja ya kuishi
View ArticleNEWZ ALERT!! HAWA NDIYO MAWAZIRI WAPYA!!
Saada Mkuya ni waziri wa fedha mpya, Asha Migiro ni waziri Katiba na SheriaWaziri wa Ulinzi Hussein MwinyiMalima Waziri Mdogo FedhaKebwe ni Waziri Mdogo AfyaChikawe ni Waziri Mpya Ndani Mhagama Waziri...
View ArticleLADY JAY DEE ANUNUA RANGE ROVER MPYAAA...SEE PHOTOS
Respect kubwa kwa mwadada Lady Jay Dee......Hiyo ni Range Rover Sport ...Nomaaaa
View ArticleGARI JIPYA LA DIAMOND LAZUA UTATA..WENGI WASEMA SIO JIPYA MBONA KAZIBA PLATE...
Inakwenda week sasa toka mkali wa bongo fleva Diamond Platinumz kuonekana kwenye account yake ya Instagram akiwa na ndinga hili kali V8. Mashabiki wakasema mbona lile gari la kwanza alivyolinunua...
View ArticleUTEUZI WA JUMA NKAMIA NI KUUA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI-MEENA
Akiongea na kituo cha CHANNEL TEN leo jumapili tarehe 19/01/2014,mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi ndugu Meena amelaani uteuzi wa Jumaa Nkamia kuongoza wizara inayosimamia vyombo vya...
View ArticleOBAMA AITETEA BANGI ASEMA HAINA MADHARA SANA KAMA POMBE
With a majority of Americans now in favor marijuana legalization, President Barack Obama is now saying weed is no more dangerous to individuals' health than alcohol.In an interview with the New...
View ArticleANGALIA PICHA YA KWANZA YA SISTER ALIYEJIFUNGUA MTOTO WA KIUME HUKO ITALY
Inaelezwa kwamba sister aliyezungushiwa duara anae kwenda kwa jina la Roxana Rodriguez ndo yule aliyejifungua mtoto wa kiume hivi karibuni na kumuita Francis. Sister huyu ameuushangaza ulimwengu...
View ArticleWALIOFELI KIDATO CHA PILI KUENDELEA NA MASOMO KIDATO CHA TATU
Wakati Watanzania wakisubiri matokeo ya kidato cha pili mwaka 2013, imebaini kuwa Serikali imetoa agizo kwamba wanafunzi wote waliofeli mtihani huo kuendelea na masomo ya kidato cha tatu, huku wakisoma...
View ArticleMAREKANI YAMUONYE TENA RAIS KAGAME WA RWANDA
WAKATI utata ukiwa umegubika juu ya kifo cha aliyekuwa Mkuu wa Usalama wa Rwanda, Kanali Patrick Karegeya, taarifa kutoka Ikulu ya Marekani zinaitaja nchi hiyo kuhusika moja kwa moja na kifo hicho....
View ArticleMWALIMU GANI MKALI AMBAE ULISHAWAHI KUKUTANA NAE KATIKA MAISHA YA SHULE?
Katika almost shule zote hua hawakosekani wale walimu wa kali balaa ambaye ukiingia kwenye 18 zake ni lazima ueleze. kwa mfano mimi shule ya msingi lugalo niliposoma kulikua na...
View ArticleDAVID MOYES AVUMILIKI ACHEZEA KICHAPO CHA MBWA MWIZI TENA
Huyu kocha wa Man u naona amekuja na Gundu kubwa kweli .....Sasa hivi Washabiki wa Man hatuongei kabisa mbele za watu hata tukicheza na team kibonde tunawasiwasi wa kufungwa ....Yaani sijui anataka...
View ArticleSHILOLE AWACHANA MASTAA WABEBA UNGA
Stori: Shani RamadhaniSTAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amewachana wasanii wanaojihusisha na madawa ya kulevya kuwa ni wavivu.Akizungumza na paparazi wetu pasipo kuwataja majina,...
View ArticleNAMPENDA LECTURER WANGU WA CHUO ILA KUMWAMBIA NAOGOPA
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24 sasa. Ninasoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mwaka wa pili.Tatizo langu ni kwamba, kadri siku zinavyozidi kwenda nahisi kumpenda mmoja kati ya maprofesa wangu....
View ArticleCHUKI ZAANZA NDANI YA CCM
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Mkoa wa Shinyanga, Hamisi Mgeja ameonya baadhi ya viongozi wa chama hicho kuwajengea chuki wanachama kadhaa na viongozi kwa madai wako karibu na...
View Article"I'M TIRED OF MEN...I'M EVEN TEMPTED TO BECOME A LESBIAN" MARYA SAYS
If Marya were a bird she’s be a phoenix. She is certainly as beautiful as the mythical birdand of late has been just as elusive. No interviews not a peep. but she finally came out to receive an...
View ArticleBREAKING NEW:AJALI MBAYA YA GARI YATOKEA SINGIDA..WATU 13 WAFARIKI
Habari zilizotufikia sasa hivi kutoka Singida zinasema watu 13 wamefariki dunia baada ya kutokea ajali ya magari mawili kugongana uso kwa uso eneo la Isuna mkoani humo.Habari zinasema ajali hiyo...
View Article"HAKUNA MWANAMKE YEYOTE MWENYE UBAVU WA KUMCHUKUA BWANA'ANGU KWANI ME NI...
MSANII nyota wa filamu Irene Paul, amesema kwamba haoni mwanamke mwenye uwezo wa kumuibia bwanaake, ingawa hataki kumtaja hadharani kwakuwa alishaapa kutoyaanika maisha yake binafsi hata kabla hajawa...
View ArticleDIVA, B 12, MCHOMVU WARUDISHWA KAZINI CLOUDS
WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamerudishwa kazini baada ya kuomba msamaha.Watangazaji hao...
View ArticleUMBEA:PENZI LA PREZZO NA MTOTO WA KICHAGA STARLISHA KUTOKA TANZANIA CHALI..
Wakati mapenzi yanaanza kuchanua kati ya Rapcellency Prezzo na mrembo wa kichaga kutoka Tanzania Starlisha Tillya a.k.a Chagga Barbie mwaka jana, wengi tulidhani huenda zilendramadrama zilizojitokeza...
View Article