SHAFFIH DAUDA"LEODEGAR TENGA ALI-FAIL BIG TIME KWENYE UTAWALA WAKE TFF-HASA...
"Nilitegemea Juzi niliposema mikataba mingi iliyosainiwa wakati wa utawala wa Tenga ilikuwa BOMU, cha kusikitisha baadhi ya rafiki zangu humu ndani walikuja na maneno ya kashfa, badala ya kufanya...
View ArticleWASTARA AWAPASUKIA WAANDISHI WA HABARI , NA HICHI NDICHO ALICHOKISEMA
Muigizaji wa kike wa filamu za kiswahili, Wastara Juma amesema tangu mme wake Juma Kilowoko aka Sajuki afariki anakutana na changamoto nyingi kwenye mazingira yaliyomzunguka kwa sasa.Akizungumza na...
View ArticleMWANAMKE ALIYE PANGA NJAMA ZA KUMUUA MUMEWE ILI AFAIDI MALI ZAKE AENDELEA...
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha jana imekataa ombi la hati ya dharura ya dhamana ya mke wa mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani Arusha, Janeth Jackson (32), anayedaiwa kupanga njama za kumuua mumewe wa...
View ArticleMWANAUME KUMGHARAMIKIA (KUHONGA) MWANAMKE NI AMRI MWENYEZI MUNGU-NI HAKI YAO...
Kutokana na ugumu wa maisha wanaume tumegeuka kuwa walalamikaji linapofika suala la mpenzi wake kuwa very dependant sana kwako na badala yake tumewageuza na kuanza kuwaita majina(inferiority complex)...
View ArticleSIKILIZA NA DOWNLAOD WIMBO MPYA WA HAFSA KAZINJA – MLALA NJE
Bonge la Wimbo...Kazi kwako Download hapa
View ArticleNIMEPATA E-MAIL NYINGI ZA KUOMBA HUU WIMBO WA CHELEWA (BOKODO) WA NAVY...
Kwenye E-mail napata message watu mbali mbali wakiomba link ya kudownload wimbo wa Navy kenzo unaitwa Chelewa...Haya hiyo hapo chini ndio link ....unaweza sikiliza ama kudownload
View ArticleSERIKALI YAJIBU GAZETI LA SERIKALI YA RWANDA BAADA YA KUMSINGIZIA UONGO KIKWETE
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIUbalozi wa Tanzania katika Rwanda usiku wa jana, Jumatano, Januari 29, 2014 ulitoa taarifa kwa vyombo vya habari ikikanusha habari za uongo na uzushi ambazo ziliandikwa...
View ArticleNAHISI NIMEAMBUKIZWA HIV..NAHITAJI USHAURI TAFADHALI
Naomba radhi kwa simulizi hii ndefu..Mimi ni kijana, umri wangu ni kati ya 25-30. Ni mhitimu wa chuo kikuu. Ni msaarabu, najiheshimu na napenda maendeleo. Nipo kwnye mahusiano imara, japo tupo mikoa...
View ArticleWAZIRI WA FEDHA AMJIBU PROFESA LIPUMBA KUHUSU ELIMU YAKE
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amelishushia tuhuma nzito Baraza la Mawaziri, baada ya kudai baadhi ya mawaziri walioteuliwa hawana elimu ya kutoshaAkizungumza na...
View ArticleKUMBE VIDEO YA SNURA NIMEVURUGWA IMEFUNGUWA KURUSHWA KWENYE TV KISA VIUNO VINGI
Inawezekana ukawa unashangaa baada ya kuona ukimya mara baada ya kutambulishwa kwa video ya Msanii Snura kisha kutoiona ikionekana mara kwa mara kwenye televisheni yako,kiu ya swali hili naikata kwa...
View ArticleCHADEMA KUSUSIA BUNGE LA KATIBA IKIWA......
Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akisema wabunge wa chama chake watasusia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ikiwa hoja ya kuundwa kwa Serikali tatu itapingwa na wabunge wa CCM, Mwakilishi wa...
View ArticlePREZZO AJARIBU KUMUIGA DIAMOND...ILA AMECHEMKA MBAYA JINA LAKE LAZIDI...
Kweli kabisa kuna mambo Kama ni wasanii wanaigana katika njia yakujipatia umaarufu especially Kama kila unapojaribu kufanya haya-turn out mazuri ni bora kuachana nayo kabisa,hapa tunaongelea hili la...
View ArticleMUHONGO:HATUDANGANYIKI TENA NA WAWEKEZAJI MADINI
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospiter Muhongo, amejigamba kuwa Tanzania haitadanganyika tena kwa wawekezaji wa sekta ya madini kutolipa kodi na kuifanya nchi kutofaidika na rasilimali...
View ArticleOMBI LA MAMA MAREHEMU SHARO MILIONEA KWA WAANDAJI WA MOVIE BONGO
Ikiwa ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangu kufariki kwa Sharo Milionea,Mama mzazi wa Marehemu Sharo Milionea amekuja na ombi kwa ajili ya waandaaji wa Movie za kitanzania hapa nchini.Ombi hili ni juu ya...
View ArticleDR LWAITAMA ALIKUWA SAHIHI KUOMBA PRECISION AIR WATUMIE LUGHA YA KISWAHILI...
Kwa ufupi maofisa wawili waandamizi wa safari za anga wamesema msafiri halazimishwi kujua lugha inayotumika kwenye ndege bali maafisa wa ndege ndio wenye wajibu wa kuhakikisha mteja wao anapata...
View ArticleZITTO AWAUMBUA WABUNGE KWA KUFICHA UKWELI....AANIKA KILA KITU ANACHOPATA...
Mbunge wa Kigoma Kasikazini almarufu kama Mwanademokrasia wa kweli leo kaanika ukweli na kuonesha uwazi wa maslahi wanayopata viongozi wetu. Ikiwa wananchi kipato chao ni kidogo sana huku watumishi...
View ArticleAIBU HAIJAWAHI TOKEA GAZETI LA GPL LAMANASA BABU NA DENTI GESTI LAIVU WAKI DO
YELEUUUWI! Ile tabia ya wazee ya kupenda dogodogo imemtokea puani mzee aliyetajwa kwa jina moja la mzee Omari, ni Ijumaa pekee lenye ubavu wa kuripoti sinema hiyo ya bure.AIBU YA MWAKA: Babu akifunika...
View ArticleCHUO KIMOJA MAREKANI CHAANZISHA SOMO LA KUMSOMA BEYONCE
Queen Bee has joined other celebrities including Oprah and husband Jay Z, (who has a Georgetown University sociology course named after him), who are studied in the University. The course is called...
View ArticleREVEALED:10 LEADING LIES THAT WOMEN TELL MEN
Both men and women lie. We are all far from perfect. But it seems ladies disguise their lies much better. Here are the top 10 lies woman tell men.1) I don’t care how much you earn. In my opinion,...
View ArticleJACK WOLPER"TOKA NIWE NA HUYU MCHUMBA MPYA NIMEKUWA NA FURAHA MUDA WOTE"
Na Mayasa MariwataTHE Ijumaa Sexiest Girl 2012, Jacqueline Wolper amesema kuwa, ana imani kubwa na mpenzi wake wa sasa aliyemtambulisha kwa jina la G Modo akiamini atampoza machungu aliyoyapata kutoka...
View Article