RIHANNA NA DRAKE SI SIRI TENA WWENYEWE WAJIACHIA BILA WOGA
Drake alikuwa Paris kwa ajili ya show lakini mapaparazi wamejua kwamba Rihanna na Drake walikuwa wana-hang out pamoja weekend iliyopita sehemu mbalimbali na kupata dinner kwenye mgahawa maarufu wa...
View ArticleHII KALI DAKTARI FEKI MWINGINE AKAMATWA MUHIMBILI
Jana February 25 Uongozi wa hospitali ya taifa muhimbili kwa kushirikiana na maafisa wake wa usalama wamemnasa daktari feki aliyekuwa akiwatapeli fedha wagonjwa na watu mbalimbali wanaofika kwa ajili...
View ArticleVAI WA UKWELI: TAMAA YA FEDHA ILINIPONZA, NAJUTA
SIKU chache baada ya msanii anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ kuingia kwenye kumi na nane za mtego wa kujiuza wa kikosi kazi cha Oparesheni Fichua...
View ArticleKIJANA AJIUA KWA KUJIWEKA RELINI NA KUGONGWA NA TRENI
Hivi punde kumetokea tukio la kutisha huko Sobral,Caera-Brazil baada ya kijana mmoja aliyechukua maamuzi magumu juu ya maisha yake.kijana huyo ambaye jina na chanzo cha yeye kujiuwa hakijafahamika...
View ArticleDALILI ZA MUME ANAYETEMBEA KIMAPENZI NA MSICHANA WA KAZI ZA NDANI ‘HAUSIGELI’
DALILI YA KWANZAIshara ya kwanza ya mwanaume ambaye tayari yupo ndani ya uhusiano wa kimapenzi na msichana wa kazi ni kupenda sababu za kumwamsha mfanyakazi huyo hata pale anaporudi na kumkuta...
View ArticleTETESI:WAMILIKI WA FACEBOOK NA INSTAGRAM WAIFUNGIA UGANDA..KUMKOMESHA MUSEVENI
Kufuatia Rais wa Uganda kusaini sheria mpya ya kupinga Ushoga na aina zote za namna hiyo, wamiliki wa Facebook, Instagram, na Twitter wamefunga huduma zote katika nchi ya Uganda ikiwa ni ishara ya...
View ArticleWANAUME..JAMANI ACHENI UBINAFSI KWENYE MASWALA YA MAPENZI HASA 6 KWA 6
Naamini Most women wanapoteza hamu ya kufanya mapenzi sababu ya"dumb a.ss men" they have on bed but when you meet sm1 that monster o skilled on bed u will see the world with different perceptionSisi...
View ArticleDIAMOND ABWATUKA"NASIKITISHWA NA WASANII WANAO PENDA KUTENGENEZA UGOMVI WA...
Muda si mrefu Diamond Amefunguka haya hapa chini kuhusu wasanii wanasanii wanao tafuta beef za lazima kutoka kwake ...Jisomee
View ArticleOSTAZ JUMA AMZALILISHA MWANAMUZIKI PNC..SIJAPENDA HATA KIDOGO...NAKUCHUKIA...
Nimekutana na hii picha ambayo inasemekana Mwanamuziki PNC alikwenda kuomba msamaha kwa Boss wa Watanashati Bwana Ostaz Juma , Lakini Boss huyo akampiga picha PNC akiwa anaomba msamaha kwa magoti na...
View ArticleSIRI ZAANZA KUVUJA, WOLPER AKIRI MANAIKI SANGA ALIMPA HELA ILI APIGE NAE PICHA
Na Sakina ShabaniMsanii nyota kwenye tasnia ya filamu za kibongo Jacqkline Wolper na Manaiki Sanga, anayejulikana kama The Don, wako katika bifu kubwa kisa kikiwa ni picha walizopiga pamoja.Tukio hilo...
View ArticleNI MARUFUKU KUVAA VIMINI BUNGE LA KATIBA
Dodoma. Wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba na wageni wa jinsi hiyo watakaovaa nguo fupi ‘vimini’ au nguo za kubana, hawataruhusiwa kuingia ndani ya Ukumbi wa Bunge.Hayo yamo katika mapendekezo...
View ArticleKAULI YA USTAZ JUMA BAADA YA KUMDHALILISHA PNC JANA KWENYE MITANDAO
Tangu jana usiku kuna picha ilikua inasambaa ikimwonyesha Msanii PNC akiwa amempigia magoti boss wake wa zamani Ostaz Juma na musoma, akiwa anamwuomba msamaha, huku Ostaz anaonekana akiwa amekalia...
View ArticleBABY MADAHA AFUNGUKA "SHILOLE NI MCHEZA VIGODORO"
MSANII wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Madaha’ amemchana staa mwenzake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kwa kumwambia ni mcheza muziki wa uswahilini (vigodoro).Kauli hiyo ya msanii huyo anayetamba na...
View ArticleMWEE ETI MIMBA YA LINAH YACHOROPOKA
SIKU chache baada ya kuripotiwa kuwa, msanii wa Bongo Fleva, Astelinah Sanga ‘Linah’ amenasa ujauzito wa mdosi aitwaye Nagar, Amani limenyetishiwa kuwa ujauzito huo umechoropoka.Kwa mujibu wa chanzo,...
View ArticleMIKE TEE"WASANII TUKIKAA KIMYA KWA HILO LA USTAZ JUMA TUTAKUJA VULIWA NGUO...
Msanii mwenzangu PNC kadhalilishwa sana na OSTADH JUMA kwenye MEDIA zote, me toka jana natafakari sana kwa mtu mzima kufanya kitendo kama kile, upande wangu nimeumia na nimeona kama mimi nimefanyiwa...
View ArticleETO'O AHUSISHWA NA KUDANGANYA UMRI WAKE. EX-GIRL WAKE AFUNGUKA.
“Tatizo la Chelsea ni kukosa wafungaji, nina Eto’o ambaye ana miaka 32 au labda 35 nani anayejua?”.Hiyo ilikua ni kauli ya kocha Jose Mourinho akimzungumzia Samuel Etoo na baadae mpenzi wa zamani wa...
View ArticleALI KIBA AELEZEA SABABU ZA UKIMYA WAKE KWENYE GAME YA MUSIC
Kwa kipindi kirefu mkali wa ‘Single Boy’ Ali Kiba amekuwa kimya bila kutoa kazi yake binafsi huku ukimya wake ukizua maswali mengi kwa mashabiki na wadau wa muziki Tanzania.Lakini leo (February 25) Ali...
View ArticleANGALIA VIDEO IKIELEZEA TUKIO ZIMA LA ULAWITI MBEZI BEACH
EEH Mungu! Unaweza kukataa lakini ni ukweli kwamba dunia imekwisha! Mambo yanayotendeka kila kukicha juu ya ardhi yanathibitisha hilo.Mfanyabiashara maarufu wa magari jijini Dar es Salaam aliyefahamika...
View ArticleJAMAA ATEMBEZWA UCHI MJINI BAADA YA KUFUMANIWA ANAKULA URODA MKE WA MTU
Vioja vya mjini jamaa kamfumania mshikaji kwa wife wake ,kwa hasira alizokuwa nazo kaamua kuchojoa nguo zoto na kupandisha kwanye gari ile ya kubebea majani akiwa kasimama nyuma huku akiwa na bango...
View ArticleHUU NDIO WIMBO MPYA WA SHETTA ALIYOMSHIRIKISHA DIAMOND-KEREWA
Hii ngoma imetoka leo 27/2 na imefanywa na producer Sheddy Clever.Nafasi yako ya kuisikiliza na ku-download ndiyo hii
View Article