Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO:WANAFUNZI WAPAGAWA NA MZIKI WAJISAHAU NA KUANZA KUZUNGUSHA VIUNO STEJINI

Wanafunzi wa Shule Moja Huko Kenya ...Walipopanda Stejeni na kujisahau kuwa wao na wanafunzi na wana nguo za Shule na Kuanza Kutwerk Mbele ya Mashabiki...Angalia Video Hapa chini ushangae mwenyewe

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE AONYESHA JEURI YA JESHI LA TANZANIA LEO, MAADUI WAJIONEA

Mwenye Macho haambiwi Tazama hakuna siri Leo kila rangi maadui wa nchi Na Rais wetu hawajaacha kuoona.Vijana wamekamilika kila idara in a modern and newly Technology.Watu msiojua,mjue Tanzania sio nchi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE WENGI SIKU HIZI WAMEKUWA MALIMBUKENI WA SOCIAL NETWORKS

Kuna mdada mmoja nilisoma naye chuo miaka fulani hapo nyuma, sasa jana katika pilikapilika zangu mjini, tukakutana ghafla maeneo fulani, kwa hiyo tukaanza kusalimiana na tukaona ni vizuri tusogee...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RYAN GIGGS " SASA MAN U NI KUFUNGA MAGOLI TU KUFUNGWA NOO TENA"

Kocha wa muda wa Manchester United, Ryan Giggs amesema amejisikia furaha kubwa kupata nafasi ya kuingoza timu hiyo kwa muda uliobaki huku akiahidi mambo mazuri kwa mechi nne zilizosalia.Akizungumza leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWISHO MWAMPAMBA AULA APATA KAZI KITUO KIPYA CHA TV

Aliyekuwa mwakilishi wa mara mbili kutoka Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa, Mwisho Mwampamba ataonekana hivi karibuni kwenye kituo cha runinga cha TV1 kama mtangazaji.Kupitia Instagram,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FUMANIZI LA AINA YAKE NDANI YA GARI !! DUH NOMA SANA!!

Yelewiii!  Dereva ‘suka’ wa kampuni moja binafsi yenye makao yake makuu Kurasini jijini Dar (jina halikupatikana) Jumapili iliyopita alinaswa akifanya mapenzi na changudoa  ndani ya gari la kampuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATARI SANA..AGNESS MASOGANGE AWAPA MAKAVU LIVE KINA MASOGANGE FEKI

Mrembo Agness amefunguka kwa mara nyingine tena na kulalamikia wadau wanaofungua account fake kwenye social networks na kutapeli watu kwa kutumia jina lake. Mrembo huyo amepost picha na ujumbe huo hapa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABY MADAHA ASIMULIA JINSI WASANII WENZAKE WA KIKE WANAVYOMTONGOZA

Baby Madaha  akipigana  denda    na  msichana  mwenzake Bar.Wakati  sakata  la  kusagana  ndani  ya  mastaa  wa  bongo  movie  likiwa  bado  bichi, Msanii  wa  muziki  na  maigizo  Baby  madaha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOCHA RYAN GIGGS AANZA VIZURI..MAN UNITED YAPIGA BAO MTU 4 BILA

Kete ya kwanza ya Ryan Giggs kama meneja wa muda wa Manchester United imeanza vyema usiku wa Jumamosi kwa mashetani wekunda kuichapa kichapo cha mwezi Norwich.Wayne Rooney na Juan Mata wamefunga magoli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE"MUUNGANO WETU NI MFANO WA KUINGWA AFRIKA"

Rais Jakaya Kikwete amesema Bara la Afrika lina jambo la kujifunza kutokana na mafanikio yaliyopatikana kwenye Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliodumu kwa miaka 50.Amesema kuwa kitendo cha Muungano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROSE NDAUKA "NDOA YANGU SOON!"

MSANII maarufu wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka amesema kuwa watu wasiwe na wasiwasi kwani kwa mipango ya Mungu atafunga ndoa na mzazi mwenzake Maliki Bandawe hivi karibuni.“Si muda mrefu mambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAMISA MABETO AWATISHIA AMANI WASANII WA KIKE BONGO MOVIES

MWANAMITINDO maarufu nchini, Hamisa Mabeto ametishia maslahi ya wasanii wa kike wa Bongo Movie baada ya kujitosa rasmi kwenye tasnia hiyo na kung’ara katika Filamu ya VIP akiwa na mastaa, Vincent...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARIOBA ATOA YA MOYONI "MATUSI NA UONGO BUNGE LA KATIBA VINANIUMIZA"

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba amesema baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wametumia vibaya Bunge hilo kwa kumshambulia na kumsingizia mambo ya uongo kwa makusudi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA WACHUKUA MAAMUZI MAGUMU,WATEMA KIKOSI KIZIMA

UKITAKA mafanikio lazima uchukue uamuzi mgumu ambao hakuna anayeweza kufikiria kabla.Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amesema analazimika kutema wachezaji wasiopungua 11 ambao ni sawa na kikosi kizima...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA SEPETU ALA SHAVU LA MTANDAO WA SIMU

Wema Sepetu Amepata shavu la Kutangaza promotion mpya ya Mtandao wa Airtell Ambayo unapata Facebook, Twitter na Whatsapp Bure, Wema Sepetu anawajoin JB na Joti Ambao nao pia kwa sasa wanatangaza Promo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI MWENYE HIPS ZA KUDATISHA KENYA APIGWA MKWARA NA BOSI WAKE BAADA YA...

 Yule Polisi Mwanamke Nchini Kenya kwa Jina Linda Amechimbwa mkwara na Bosi wake wa kituo cha Polisi kiambu Kenya Baada ya Picha yake Kusambaa Mitandaoni Akiwa amevaa Kijisketi cha Polisi kinacho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUNA WASICHANA WANAO TOA RUSHWA YA NGONO KUPATA TAJI LA MISS TANZANIA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency, ambao ni waandaji wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga amedai kuwa wasichana wengi wanaoingia kwenye mashindano ya Miss Tanzania hufanya mbinu za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WACHEZAJI MBEYA CITY MARUFUKU KUHAMA TIMU

WAKATI klabu kongwe za Simba, Yanga na Azam FC zikipiga hesabu za kuibomoa Mbeya City, Serikali imewaonya wachezaji hao kukihama kikosi hicho kinachofundishwa na Juma Mwambusi.Zipo tetesi tofauti za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGASSA AIPA YANGA BALAA LA KUKOSA UBINGWA

MSIMU uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga walikuwa mabingwa watetezi na walitumia zaidi ya Sh250 kuwasajili wachezaji watatu ambao ni kipa Juma Kaseja aliyevuna Sh40 milioni, Mrisho Ngassa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRAFIKI AFA GHAFLA AKIWA NDANI YA DALADALA ALILOLIKAMATA

Moshi. Ofisa wa polisi mwenye cheo cha Koplo, Wilson Mwakipesile wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Kilimanjaro amefariki dunia ghafla akiwa ndani ya daladala alilokuwa amelikamata.Hata hivyo,...

View Article
Browsing all 109439 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>