Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104809 articles
Browse latest View live

Zitto Afunguka kwa Mara ya Kwanza Msimamo Wake Kuhusu Teuzi za Wana ACT Kwenye Serikali ya CCM..Arushia Dongo Chadema..!!!

$
0
0

Chama chetu cha Act Wazalendo ni kichanga Kwa umri lakini ni kibobevu kwenye Uongozi. Unajua uimara wa Vyama kwenye mitihani Kama Hii inayotukuta sisi. Tunavuka na Mola anatusaidia kuishinda mitihani. 

Kuna ambao toka tuanzishe Chama wameshindwa kukubali hali halisi na ku move on. Kila siku wanatushambulia Kwa kejeli na maneno. Sisi hatuwajibu. Tunafanya yetu. Hatuwashangai maana tunawaongoza kwenye hoja. Tutaendelea kuwaongoza kwenye hoja. Hatubabaishwi na kelele zao. 

Hakuna Chama Cha Siasa nchi Hii kinaweza kuthubutu kubeza uwezo wetu wa hoja na kuchambua hoja. Kelele hatuna. Matusi hatuna. Kebehi hatuna. Hoja hapa ni mtakuja. 

Wanachama 400,032 wa ACT Wazalendo mliotapakaa nchini nzima msiingie kwenye malumbano na nyumbu. Nyumbu hawawazi. Wanafuata tu. Wajibu wetu ni kuwaongoza nyumbu wavuke salama mto mara. Asili ya kuanzishwa kwetu ni kuukataa unyumbu. Tuendelee kuukataa unyumbu Kwa kumrejea Nkrumah " Forward Ever, Backward Never ". 

Sisi ni Gogo la Udi. Unavyolichoma ndio linavyonukia. 

Utu. Uzalendo. Uwajibikaji.

Kifo cha Ndesamburo Chamuibua Dk Slaa..Afunguka Mapya Mazito ..Habari Magazeti ya Leo 8/6/2017..!!!

Mwanafunzi wa Chuo Ajinyonga Kwa Kukosa Ada

$
0
0
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu huko Shauri Moyo, Jijini Nairobi amejiua baada ya kupita wiki mbili tangu arudishwe nyumbani kwa kukosa ada.

Mwanafunzi huyo Fredrick Kinyanjui, 22, ambaye alikuwa mwaka wa pili katika Chuo cha Multimedia, alikutwa akiwa amejinyonga kwenye paa la nyumba yao jana jioni.

Mkuu wa Polisi wa Kituo cha Buruburu DCI, Jeremiah Ikiao alisema kuwa, wachunguzi wamebaini mwanafunzi huyo alirudishwa nyumbani siku 14 zilizopita kwa kukosa ada.

DCI Ikiao amesema mama wa Kinyanjui alikuwa ameenda kazini wakati mwanafunzi huyo alipochukua uamuzi wa kujinyonga.

Mazungumzo ya Mbowe na Wema Sepetu, Steve Nyerere Afunguka Kwa Mara ya Kwanza

$
0
0
Siku mbili zilizopita kipande cha rekodi ya mazungumzo yanayodhaniwa kuwa ni kati ya Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Freeman Aikael Mbowe akiwa anamtongoza mwanadada Wema Sepetu kilisambazwa kwa kasi sana katika mitandandao ya kijamii nchini.


Baada ya kusambaa kwa rekodi hiyo kumekuwa na tetesi nyingi zikijaribu kusema wahusika halisi wa sauti hizo ni nani ambapo jina la Steve Nyerere limekuwa likitajwa kuhusika kwa kiasi kikubwa. Steve ametajwa sana labda kwakuwa anatambulika kuwa na kipaji na uwezo mkubwa wa kuigiza kwa usahihi wa hali ya juu sauti za watu mbalimbali wenye majina au hadhi ya juu nchini.

Baada ya shutuma hizi, Steve ameona ni bora atoe tamko akielezea upande wake wa habari hizo akikanusa uhusika wake kwa kusema kuwa hana sababu, ugomvi wala hana uwezo wa kuongea Kingereza kilichoongewa na Bwana “Mbowe” aliyesikika katika kipande hicho.

Kwanza mimi toka nimeanza kuigiza sauti sijawahi kuigiza sauti za viongozi wa chama fulani. Pili, kutongoza napo sio dhambi, ni sunna (akimaanisha ni jambo jema tu kwa mwanaume yoyote kulifanya). Tatu, sio kila kitu ambacho kimefanywa na familia fulani basi Steve anahusika. Limenikera na kuniumiza sana. Pia sio kwa Kingereza kile cha kubembeleza vile, nina uwezo huo? Na pia sio mimi peke yangu ninayeweza kuigiza sauti za watu, waigizaji wapo wengi.”

ACT Wazalendo Hawataki Mchezo..Wasitisha Rasmi Uenyekiti wa Anna Mghwira

$
0
0
Chama cha ACT Wazalendo  kimesitisha rasmi uenyekiti wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho tangu kuanzishwa kwake, Anna Mghwira, baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kuazia tare ya leo Juni 7.

Uamuzi huo umefanywa na kikao cha Kamati ya Uongozi ya chama hicho ambacho pia kimemteua Mwenyekiti wa Kamati ya Mafunzo, Oganaizesheni na Uanachama kuwa Kaimu Mwenyekiti wa chama hicho hadi uchaguzi mkuu utakapofanyika mwezi Machi mwakani.

Akitangaza uamuzi huo kwa wanahabari leo, Kaimu Kiongozi wa chama hicho, Samson Mwigamba amesema sababu kuu ya kusitisha uenyekiti wa Anna Mghwira, ni ili kumpa nafasi ya kutekeleza majukumu yake mapya aliyopewa na Rais wa Tanzania, pamoja na kumfanya asiwe na mgongano wa kimaslahi ya kichama wakati akitekeleza majumu yake kama kiongozi.

Sisi kama ACT hatupingi uamuzi wa mamlaka ya Rais, isipokuwa kamati ya uongozi imeona ni busara kumpa nafasi Anna Mghwira kutumikia nafasi moja kama kiongozi, lakini ataendelea kuwa mwanachama wa ACT Wazalendo. Kabla ya kutangaza uamuzi huo tayari tumewasiliana naye na tumekubaliana hivyo. Tunamtakia kila la heri katika majukumu yake mapya,” amesema Ado Shaibu ambaye ni Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano kwa umma.

Pamoja na hayo Mwigamba amempongeza  Rais kwa kuvunja miiko ya siasa za Tanzania kwa kumpatia mpinzani nafasi hiyo ndani ya serikali yake.  na kuongeza kuwa kama chama hawana tatizo kwa kiongozi huyo kukabidhiwa ilani ya CCM kwa sababu anakwenda kutumikia serikali kuu na Taifa.

Soma Nafasi za Kazi Zilizotangazwa leo Katika Magazeti

Penzi la House Girl Halijawahi Kumwacha Mtu salama

$
0
0
Wakuu
Hapa akili imejaa maji kabisa isijue nini cha kufanya!

Baada ya wife kubadilisha hose girl siku za hivi karibuni, alifanikiwa kuleta binti toka huko iringa
Huyu binti ni mrembo kwa kweli na alivyokuja jijini hapa hali yake ya maisha imebadilika kapendeza saaana yaani mwanaume lijali lazima anaswe naye tu

Basi hakukaa hata mwezi akajikuta kanizoea, mi na wife tukienda kazini nawahi kurudi kabla yake hivyo muda nakuwa homu na huyo house girl, na nikafanikiwa kumpata rahisi tu mimi kama bosi wake hata sijamtongoza nikalaza mtu horizontal

Kweli nimeamini penzi la house girl halimwachi mtu salama, sasa house mad huyu ananiambia anaujauzito wa mwezi mmoja
siko salama wakuu, hapa hofu yangu wife akijua hili timbuli atakufa mtu!
Sina namna, nakuombeni shortcut nimalizane na huyu beki tatu nibaki salama yaani iwe kimya kmya bla ya wife kujua!

By Ryan Babel/JF

Wakamatwa na Dawa za Kulevya

$
0
0
Jeshi la Polisi Mwanza linawashikilia watu wanne baada ya kuwakuta na dawa za kulevya aina ya Mirungi mafungu 57 yenye ukubwa wa kilogramu 56.75 ambayo yalikuwa yamewekwa kwenye mabegi na magunia.

Watuhumiwa wanne waliokutwa dawa za kulevya aina ya mirungi Mwanza.
Kamanda wa Polisi Mwanza, Ahmed Msangi amesema kuwa polisi waliwakamata watuhumiwa hao leo majira ya saa kumi na moja alfajiri katika mtaa wa Mbugani 'A' Kata ya Mbugani wilayani Nyamagana.

"Askari wakiwa kwenye doria na misako walifanikiwa kuwakamata watu wa nne waliofahamika kwa majina ya Thomas Zacharia (25), mkazi wa mtaa wa Unguja Mwanza, Ally Athumani (35) mkazi wa Kahama Shinyanga, Nyamurya Elia (35) mkazi wa mtaa wa Unguja Mwanza, na Stanslaus Mapinduzi Elias (41) mkazi wa Tarime, wakiwa na dawa za kulevya aina ya mirungi mafungu 57, yenye kiasi cha kilogramu 56.75, yakiwa yamemewekwa kwenye mabegi na magunia, kitendo ambacho ni kosa la jinai" ilisema taarifa ya Msangi

Kufuatia sakata hilo Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Naibu Kamishina wa polisi Ahmed Msangi anatoa wito kwa wakazi wa jiji na mkoa wa Mwanza hususani vijana akiwataka kuacha kujihusisha na biashara za madawa kwani ni kosa kisheria.

Ester Bulaya Atuma Salama Kwa CCM na Spika Job Ndugai "Hatujazibwa Midomo"

$
0
0
Mbunge wa Bunda Mjini Mh. Ester Bulaya ametoa salamu kwa Wabunge wa CCM pamoja na Spika Job Ndugai kutambua kwamba hata baada ya kumuadhibu kutohudhuria vikao bya bunge siyo silaha ya kuwafunga midomo.


Bulaya amefunguka hayo akiwa Mkoani Kilimanjaro na kusema kwamba uamuzi uliofanya na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, Wabunge CCM pamoja na Spika wa bunge haujawatendea haki wananchi wao kwa sababu ni kwa muda mrefu watakosa wawakilishi bungeni ingawa siyo mwisho kwa wao kupigania haki na kuwatumikia wananchi kwa njia zingine.

"Wamekosea sana kwa sababu wananyima wananchi wetu haki ya kupata wawakilishi wa matatizo yao bungeni. Ingawa tayari tumekwishaweza kujipanga namna ya kwenda kuwatumikia na kupeleka maendeleo kwa katika kipindi hichi ambacho tutakuwa nje ya bunge. Lakini niweke wazi adhabu hii kutolewa siyo silaha ya kutuifanya kuacha kupigania demokrasia na haki." Bulaya alifunguka.

Aidha Bulaya ametupa lawama kwa Mh. Ndugai na kudai kuwa ni kiongozi asiyeweza kuzuia hasira ndio maana amekuwa na maamuzi ya kuhukumu haraka wakati yeye ni baba anayepaswa kuwa na subira na uvumilivu wa kuongoza.

Mbunge  Bunda Mjini, Mh. Esther Bulaya pamoja na Halima Mdeewa Kawe wamesimamishwa kuhudhuria vikao vyote vya Bunge vinavyoendelea mpaka mkutano ujao wa Bunge la Bajeti la mwaka  2018/19 kwa kile kinachodaiwa kuonyesha utomvu wa nidhamu ndani ya bunge.

Yanga Kuibeba Tanzania Leo?

$
0
0
Mabingwa wa ligi kuu Tanzania Yanga SC wanatarajia kushuka dimbani leo kutupa kete yao ya pili kwenye michuano ya Sportpesa Super Cup dhidi ya AFC Leopards ya Kenya huku macho ya watanzania yakiwa kwa timu hiyo kuona kama itaweza kuleta ubingwa.


Timu ya Yanga ndiyo timu pekee inayoiwakilisha nchi ya Tanzania katika mashindano hayo baada ya Mabingwa wa Kombe la Shirikisho  Simba SC, Singida United na Jang'ombe ya Zanzibar kutolewa mapema katika hatua ya robo fainali ya michuano yenye mvuto wa aina yake.

Aidha siku ya kesho kutakuwa na mechi nyingine tofauti na Yanga ambayo itawakutanisha Gor Mahia dhidi ya Nakuru All Stars zote kutokea nchi ya Kenya katika hatua ya nusu fainali.

Katika mechi ya kesho timu itakayofanikiwa kumfunga mwenzake basi itakuwa imejikatia tiketi ya moja kwa moja kuingia katika fainali ya michuano ya Sportpesa Super Cup 2017 kuwania kitita cha Dola za kimarekani 30,000 sawa na Milioni 62 pesa ya kitanzania

Acha Kulialia Umasikini..Hizi Hapa Aina ya Biashara Ambazo Unaweza Kuzifanya kwa Mtaji wa Kuanzia Elfu 10 Hadi 50..!!!

$
0
0

1,DAGAA WA BUKOBA
Dagaa hawa wanapatikana masoko mengi, hawa wanakua hawana mchanga kabisa, wanauzwa kg moja elfu nane huwa inashuka had elfu tano, hawa unanunua vifuko unapack unauza mtaani kifuko buku 

Kwenye kilo moja unaweza toa vifuko 15 sawa na elfu kumi na tano so elfu mbili vifuko elfu tano faida. Pia unaweza uza dagaa wa kigoma, zanzibar au mwanza waliokangwa

BIASHARA YA MATUNDA
Siku hzi watu wengi hasa maofisini wanapenda kula matunda andaa kwa usfi matund yako hapa unaweza tumia elfu kumi na tano, 

Unanunua matunda mchanganyiko tikiti, ndizi, tango, karoti, papai, parachichi matunda ya elfu kumi na tano buguruni au stereo ni mzigo nunua vifungashio vile vya kuwekea matunda pack matunda yako ambapo yakiuzika vyema unaondoka na faida nusu kwa nusu

JUICE ZA MATUNDA,
Matunda ya elfu kumi waweza toa had lita kumi za juice ambapo lita moja ni sawa na glass tano au nne za juice so kwenye lita kumi upata grass 40 sawa na elfu ishirin ukitoa matunda,sukar na vigras unafaida elfu tano,

BIASHARA YA MKAA
Gunia la elfu 30 unaweza kutoa mafungu 45 ya mkaa sawa na elfu arobain na tano faida elfu kumi na tano

MOBILE GENGE,(GENGE LINALOTEMBEA)
Watu wengi sasa hiv mna smartphone tangaza unauza nyanya, vitunguu karoti, na mazagazaga mengine ya jikoni, ukipata order unaenda ilala soko la wakulima unajumua vya kutosha unapeleka faida hapa ni nusu kwa nusu, pia unaweza tembezea majirani zako kutegemeanana sehemu unayoishi,

BIASHARA YA BITES
Hapa nazungumzia crips sambusa chapati maandazi mihogo ya kukaanga, vitumbua karanga za mayai, ubuyu, korosho, visheti etc unaweza sambaza vitafunwa maofisini as package kwamba pack moja ina andaz sambusa chapati na kachori au ukauzia nyumbani moja ya vitafunwa hivyo, Bites as wel peleka kwenye maduka na supermaket faida yake huwa nusu kwa nusu

BIASHARA YA VINYWAJI BARIDI STEND ZA DALADALA
Unaweza uza hata kwenye ndoo kama huna deli, nunua mabarafu nunua vinywaji tafuta kijana au wewe mwenyewe uza stend za daladala inalipa saaana

BIASHARA YA UJI WA ULEZI, UJI WA MCHELE NA MAKANDE
Kodi toroli jaza chupa zako uji aina hzo tembeza kwenye magereji na sehem za bodaboda unaweza tembeza mwenyewe au ukampa kijana faida ni mara mbili ya mtaji ukitumia elfu kumi jua itapata elfu 30

BIASHARA YA MBOGAMBOGA,
Unaweza funga kwenye pack mchicha tembele chinese ukatambeza kwa majirani na marafiki kama umetingwa unampa kijana ukauza mtandaoni unaoeleka kwa order ukatembea kwenye mahotel na migahawa kuomba uwauzie mboga mboga wewe unazifuata mabondeni unaenda kuuza town

BIASHARA YA KUKU VITUO VYA DALADALA
kuku wa kisasa mmoja elfu tano na kuku huyo kipande ni buu jero ina maana kwenye kuku mmoja unatoa elfu saba faida elfu mbili na kwa siku minimum unaweza uza kuku watano hadi kumi hukosi kurud na faida elfu kumi au elfu tano ukitoa mafuta na kuni

MNAOKAA USHUANI BIASHARA YA FIRIGISI,
njoo manzese nunua firigisi kawauzie wakishua pia unaweza tangaza kwa mitandao ukawa ubapokea order ya kusambaza firigisi(idea yangu hii) hahhahahah

Hizo ni baadhi ya biashara ndogondogo ambazo mtaji sio mkubwa ila ukizitilia maanani zinafaida saaana

Kinachotuangusha wanawake ni uthubutu wengi hatuna uthubutu tunafikiri biashara fulani ni ya watu fulani hapana hebu fanya kwa nia na umakini, kuwa na nidham ya pesa lazima utafanikiwa ,mimi nilikua nauza ice cream ubuyu,karanga na juice za kufunga na Mungu aliniona pakubwa (ipo siku ntatoa ushuhuda humu) 

Nilikua sister duu familia bora but sikuangalia hayo coz yote ni ya babangu mwisho wa siku lazima niwe na changu nikathubutu, SIJAWAHI KUFANYA BIASHARA YA MTAJI WA MAMILIONI NAFANYA HIZIHIZI NDOGO COZ NDIZO ZINAWAGUSA WATU WENYE HALI ZOTE , maandazi ya mama Ngina wananunua matajiri na wasio na kipato kikubwa , kisamvu cha mama ngina wananunua watu wa hali zote karanga za mama ngina wananunua watu wa hali zote unga ubuyu nk

NIDHAMU ya pesa. wengi wanaanguka kibiashara kutokana na kutokua na nidham ya pesa unatumia pesa nyingi kuliko unayoingiza, kuwa na Limiti ya matumizi faida unayoipata hata kama ni sh mia hamsin weka hamsini jilipe mshahara hap ndipo utapata hamsa ya biashara na biashara itakua usiwe muoga kuuliza kupita maofisini mtaani kutangaza biashara yako, 

watu wote wenye mafanikio waliweka aibu kando, kuna huyu dada zanana juice aliniinspire kwa kweli alianza biashara ya juice na mtaji wa elfu tano anatembeza mtaani na nimrembo haswa antembea na dumu la juice barabarani na degree yake kichwan hakuna aibu angalia now yuko wapi anamiliki bonge la juice bar ya kisasa mno so tujifunze kutoka kw waliofanikiwa sio lazima wote tuende china sio lazima wote tuwe na boutique do little things in a great way lazima utafanikiwa na ndio maana

Wengi hukata tamaa kufanya biashara watapata wapi wateja jaman saiv dunia ni kama kijiji mimi nipo dar but watu wa songea wanakula karanga zangu natuma maandazi arusha smart phone yko ndio duka lko no moja, phone book yako ndio watej wako, achna na magroup ya umbeya WhatsApp hkikisha unazungukwa na watu ambao mtafnya biashra utatangaza ubuyu watanunua, majirani kuzurul kila mtaa beba vipakti vya ubuyu uza karanga etc

Seminar za ujasiliamali huko ni muhimu zaid penda kuhudhulia semina utanue mawazo nanuoatemawazo mapya na nhuvu ya kuifnza kutoka kwa waliofanikiwa

mali bila daftar huisha bila habar hakikisha unaandika kila pesa unayotumia ili mwisho wa siku uweze kujua unapigaje hatua.

Chanzo JF

Ukweli Mchungu..Rufaa ya Kambi Rasmi ya Upinzani Dhidi ya Adhabu ya Mdee na Bulaya ni Hopeless na ni Kupoteza Muda Tu..!!!

$
0
0

Kuna taarifa kuwa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wamekata rufaa kupinga adhabu waliyopewa Wabunge Halima Mdee na Ester Bulaya (CHADEMA). Wabunge hao wamefungiwa kuhudhuria vikao vya Bunge kwa kipindi cha miezi kumi. Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Toleo la 2013, Wabunge hao watapokea nusu mshahara na nusu posho kwa kipindi chote cha adhabu yao.

Rufaa hiyo, kama ipo kweli, ni hopeless, kupoteza muda na haitafanikiwa. Kuna sababu mbili za kisheria na kiuhalisia. Kwanza, Kanuni za Bunge hazina neno 'rufaa' au 'rufani'. Yaani, hakuna suala la rufaa kwa jambo lolote linaloamuliwa na Bunge (niko tayari kurekebishwa). Katika adhabu zinazotolewa na Bunge, kwa mujibu wa Kanuni ya 74 ya Kanuni za Bunge, hakuna rufaa inayozungumziwa.

Kukosekana kwa kifungu maalum katika Kanuni za Bunge kinachohusu rufaa dhidi ya adhabu kwa Wabunge ni pengo kubwa kisheria katika kuwasilishwa, kusikilizwa na kuamuliwa kwa rufaa hiyo inayosemwa kuwasilishwa. Bunge, au Mamlaka iliyopelekewa rufaa, haliwezi kuwa 'moved' kuifanyia kazi rufaa hiyo kwakuwa hakuna kifungu kinachoruhusu hilo.

Kiuhalisia, Mamlaka zote za Kibunge yaani Spika, Naibu Spika na Wenyeviti wa Bunge walishiriki katika mchakato mzima wa kufikia uamuzi huo dhidi ya akina Mdee. Ndiyo kusema, mamlaka zote za Kibunge haziko 'huru' kupokea na kusikiliza rufaa hiyo na kuitolea uamuzi wa haki. La nyongeza ni kuwa wote wanatoka chama kimoja-chama tawala.

Katika hali kama hiyo, it is advisable to resort to judicial review as opined by Hon. Tundu Lissu if deemed necessary. Kwa Bungeni, mambo hayo yalishaisha.

Credit - Petro E. Mselewa ,JF

Mauaji ya Pwani si Udini, Siasa, Uhalifu,Ujambazi Wala Ugaidi. Nina Mashaka ni Ujumbe kwa Serikali..!!!

$
0
0

Kwa jinsi mauaji yanavyofanyika mkoa wa Pwani nadhani ni ujumbe mzito kwa Serikali toka awamu ya nne.

Wauaji wanaua Polisi,Mgambo,viongozi w Serikali za mitaa na viongozi wa CCM tu na hawagusi kabisa wake zao wala watoto wao wala ndugu wa familia zao.

Kwa mtazamo wangu hapa Kuna kazi kubwa ya kufanya kujua root cause lakini sidhani kabisa kama ni uhalifu kama nilivyoeleza ktk kichwa cha mada.

Wauaji wameamua kuchagua eneo la mkoa wa Pwani kutokana na jiografia yake ilivyo ikiangalia Mkuranga,Kibiti na Ikwiriri ni rahisi sana watu wenyewe nia mbaya kutua kimkakati kufanikisha nia yao.

Serikali Inahitaji intelejensia ya ziada kapata root cause.

IGP kutangaza 10 mil hakuna atakayeichukua kwasababu hakuna atakayekubali kuuwawa kwa 10mil kutokana na wapewa siri kutotunza siri.

IGP tuko Pamoja ila Kuna kazi ya ziada fikiria Nje Pwani Kuna uwezekano ndiyo root cause.

Majeshi mengi yaliyopo Pwani hayatasaidia Kitu kwasababu wanapigana na invisible killers.

Anna Mgwira: Mtu Asijenifuata Ofisini Kuniambia Masuala ya ACT..!!!

$
0
0

Mkuu mpya wa mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghirwa amesema kwa sasa yeye anaitumikia serikali na anapokuwa ofisini anakuwa ana deal na mambo ya serikali tu na mtu asij ofisinikwake kuzungumzia masuala ya ACT kwani kama anataka kuzungumzia maswala hayo itakuwa ni kwenye ofisi za chama hicho

Kuna Kuzaa Mtoto na Kuna Kuzaa Mtoto wa Kizungu – Harmonize

$
0
0
Harmonize na Mpenzi wake wa Kizungu
Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize amedai anaomba Mungu kila kukicha mpenzi mpya mzungu ajifungue mtoto mwenye rangi nyeupe kama mama yake.


Muimbaji huyo hivi karibuni aliweka wazi ishu za ujauzito wa mpenzi wake huyo ambaye ni raia wa Marekani.

Akiongea na 255 ya XXL ya Clouds FM Jumatano hii, Harmo amedai kuna asilimia kubwa mpenzi wake huyo kujifungua mtoto wa kizungu na sio mwenye rangi kama yake.

Ngoja nikwambie kitu kuna kuzaa mtoto na kuna kuzaa mtoto wa kizungu ni vitu viwili tofauti,” alisema Harmonize. “Naenda Marekani mara moja si unajua mke wangu anatakiwa kusarifi kaniambia kuna ishu tunaenda kufanya sasa mimba ikiwa kubwa atazuiliwa kupanda ndege,”

Muimbaji huyo ambaye aliachana na malkia wa filamu, Wolper, amekuwa mwenye furaha toa mpenzi wake huyo awe na mimba licha ya baadhi ya mashabiki katika mitandao ya kijamii kumtania kuwa amekuwa mshamba.

ACT Wampongeza JPM, Wasema Amevunja Mwiko Siasa Tanzania..!!!

$
0
0

Chama cha ACT-Wazalendo kimempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kikieleza kuwa amevunja mwiko wa siasa za Tanzania baada ya kufanya teuzi kutoka katika vyama pinzani ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Pongezi hizo zimetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Samsoni Mwigamba wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, amesema kuwa kwa hatua hiyo aliyoonyesha Rais Magufuli, sasa ni wakati wa watanzania kuanza kuona kuwa taifa hili ni letu sote.

Aidha, Mwigamba amesema kuwa chama chao hakioni tatizo lolote kwa uteuzi wa aliyekuwa mwenyekiti wao, Anna Mghwira ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, huku akisisitiza kuwa ni jambo jema kwani ameteuliwa ili akawaatumikie wananchi.  Tazama hapa

Kundi la Kigaidi la Islamic State Lavamia Bunge na Kuwamiminia Mvua ya Risasi Wabunge Nchini Iran..!!!

$
0
0

Kundi la kigaidi linalojiita Islamic State (IS) limevamia na kushambulia bunge la Iran pamoja na jengo la kaburi la kiongozi wa kidini wa nchi hiyo, Ayatollah Khomeini linalojulikana kama Mausoleum katika mji mkuu wa Tehran ambapo watu 12 wameuawa na wengine kujeruhiwa.

Mashambulizi hayo yamefanyika leo kwa wakati mmoja. Vyombo vya dola vya ilani vimeeleza kuwa washambuliaji watano wenye silaha waliingia ndani ya jengo la bunge, na mmoja alijitoa mhanga kwa kujilipua kwa bomu. Aidha, ripoti zimeeleza kuwa magaidi waliingia ndani ya bunge hilo kupitia mlango wa raia wakiwa wamevalia mavazi ya kike.

Hata hivyo, wanausalama walifanikiwa kuzima mashambulizi hayo baada ya saa kadhaa za kusikika milio ya risasi. Kituo cha runinga cha Iran kimeripoti kuwa washambuliaji wote waliuawa na wanausalama.

Magaidi wa IS wametoa tamko kukiri kutekeleza shambulizi hilo likiwa ni shambulizi la kwanza ndani ya Iran na kutishia kuwa wataendelea kutekeleza mashambulizi mengine wakilenga  waumini wa Shia ambao ni wengi.

Rais wa Iran, Hassan Rouhani amesema kuwa ugaidi ni tatizo la dunia nzima na kutoa wito kwa mataifa yote kushirikiana kuendesha vita dhidi ya ugaidi.

Iran imekanusha kuwepo kwa utekaji au kushikiliwa kwa watu ndani ya jengo la bunge wakati wa mashambulizi hayo.

Miujiza ya Shekh Sharifu Rashid, Je? Unapata Pesa Haikai? Umeachwa na Mpenzi, Mke au Mme Anakusumbua?

$
0
0

MIUJIZA YA SHEKH SHARIFU RASHID KUTOKA BAGAMOYO PWANI. (RUDISHA MAHUSIANO YAKO NDANI YA MASAA 72 TU) ASANTE KWA KUENDELEA KUMPIGIA SIMU SHEKH SHARIFU RASHID KWA WALE WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA SHUKRANI: 

SHEKH SHARIFU RASHID ni mtaalamu wa tiba mbalimbali za asili, anatumia kitabu cha quran dawa za asili dawa za kiarabu, na njiwa, Anakuvutia mpenzi alie kuacha au alie mbali, anazo dawa za mapenzi, nguvu za kiume, chango kwa kina mama, ngiri maji na n.k, anakuvutia mali zilizo potea au kudhulumiwa, pia anatoa Pete za bahati zilizoambatanishwa na jini mali, Wenye matatizo ya uzazi, jini mahaba, mapepo ya kichawi, vifungo vya kimaisha, ndoto mbaya za usiku, uelewa mdogo wa ufahamu shuleni kwa watoto wote, pia anauwezo mkubwa wa kumaliza kazi zilizoachwa na wataalamu wengine ndani ya masaa 48 tu, Pia anatibu kwa njia ya simu popote ulipo. WASILIANA NAE KWA WhatsApp na SIMU NO: +255 718-668347 na +255 767-204308 , +255 685-224047 Email shekhsharifurashidi@gmail.com. 

USHAURI: ni vyema kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate huduma kwa haraka.

Nawashangaa Mnaonifananisha na Used Mimi Niko Sealed– Ebitoke

$
0
0
Mchekeshaji Ebitoke

Mchekeshaji kutoka Timamu African Media, Ebitoke baada ya kutangaza anamuhitaji msanii wa Bongo Fleva, Ben Pol katika mahusiano ya kimapenzi, leo ameibuka na kioja kingine.
 

Ebitoke ambaye amekuwa akitoa vichekesho mbali mbali kupitia mitandao ya kijamii, ametoa kauli ambayo imetafsiriwa kuwa hajawahi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote.

Nawashangaa mnaonifananisha na USED, mimi niko SEALED jamani,
#Hatufanani thamani yangu ni kubwa kuliko make up za kichina,” aliandika Ebitoke Instagram.

Baadhi ya mashabiki wake wamechukulia jambo hilo kama utani, wengine wakimpongeza, huku wengine wakibeza kwa kudai amejishusha kusema hivyo.

JPM Ameipa Tenda Kampuni ya Kifisadi- Zitto Kabwe Afunguka

$
0
0
Zitto Kabwe Akiongea na Waandishi wa Habari

"Wakati Rais anajinadi kupambana na ufisadi lakini bado anaipa biashara kampuni ya kifisadi ya IPTL." Amendika Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Facebook
Ewura

Viewing all 104809 articles
Browse latest View live




Latest Images