Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104803 articles
Browse latest View live

Barrick Yamuahidi JPM Kujenga Mtambo wa Kuchenjua Dhahabu

$
0
0
Bosi wa Barrick
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Barrick Gold ya Canada, Profesa John Thornton amesema atashirikiana na Tanzania kujenga mtambo wa kuchenjulia dhahabu hapa nchini (smelter).

Profesa Thornton ameyasema hayo leo (Jumatano) Ikulu  alipokutana na Rais John Magufuli kwa ajili ya kujadiliana kuhusu sakata la mchanga wa madini.

Pia, Profesa Thornton amesema kampuni yake ipo tayari kufanya mazungumzo na Tanzania yatakayozingatia maslahi ya pande zote mbili na pia ipo tayari kulipa fedha zote ambazo inapaswa kulipa kwa Tanzania.

Za Chini ya Kapeti..Freeman Aikaeli Mbowe na Usiri wa Ugonjwa Wake..!!!!

$
0
0

Kuna sintofahamu kubwa kuhusu usiri uliopo katika ugonjwa anaoumwa Mh. Mbowe. Baadhi ya wananchi walipopata taarifa juu ya kulazwa kwa Mh. Mbowe siku ya Ijumaa tarehe 9/06/2017 katika hospitali ya mkoa wa Dodoma (General Hospital) walishindwa kumuona na kumpa pole kwani hakutaka watu wamsalimie au wajue ugonjwa alionao.

Mwenyekiti huyo wa Taifa wa CHADEMA alilazwa katika hospitali hiyo ya mkoa na kufanyiwa Operation ya “ANUS” kutokana na matatizo ya tumbo aliyoyapata baada ya kunywa dawa za kupunguza mafuta mwilini zilizoleta shida na kusababisha kuharisha hadi utumbo ukaathirika na kupelekea kufanyiwa operation ya utumbo mpana (Large intestine)

Navyofahamu mimi kuugua si jambo la kificho na ni utamaduni wetu watanzania kujuliana hali katika matatizo na furaha kama vifo, maradhi na sherehe.

Swali la kujiuliza hapa kwanini Mbowe hakutaka watu wamsalimie? Kweli watu wametoka nyumbani kwa nia njema ya kukuona na kukuombea juu ya afya yako na unakataa kuchukua baraka zao??????

Mbona Mbowe akisikia watu wengine wanaumwa au kufiwa huwa ni wa kawanza kwenda kuwajulia hali na kuwapa pole. Kuna siri gani anaificha hapa………. Anakataa hata viongozi na wanachama wa Chama chake (CHADEMA)kumsalimia!!

Japo hataki kusalimiwa natoa rai kwa watanzania tuendelea kumuombea kwa Mungu amponye haraka.

Chanzo JF

Profesa Kabudi: Kikwete na Mkapa Haifai Kuwataja Kwenye Kashfa Sababu Tunatunza Heshima Yao..!!!

$
0
0

Waziri wa Sheria Prof. Plamagamba Kabudi amesema haifai kuwataja marais Mkapa na Kikwete kwa kuwa heshima yao inatunzwa kwa kuwa wamekuwa wakuu wa nchi, wakuu wa serikali na maamiri wajeshi wakuu na heshima hiyo inafaa kutunzwa kikatiba, kisheria, kimaadili, kiutamaduni na kiutu na ndio maana hata ripoti haijawataja sehemu hata moja

Hivyo haifai kuacha kujadili mambo yaliyo mbele yetu na kuwajadili wakuu hawa wastaafu

Breaking News: Rais Magufuli Afanya Uteuzi Huu Mpya

$
0
0
Magufuli
Rais Magufuli amefanya uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Kituo cha UwekezajiTanzania (TIC) leo.

Baada ya Ujio wa Bosi wa Barrick Nchini,,Acacia Waibuka na Hoja Hii Nyingine..!!!

$
0
0

Kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia, imesema imetambua mazungumzo yaliyofanyika kati ya Rais John Magufuli na Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold, John Thornton.

Acacia wamesema wanatambua uwepo wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Ofisi ya Rais wa Tanzania mapema leo kufuatia mkutano kati ya Rais wa Tanzania, Mh. Dk John P. Magufuli na John Thornton, Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation.

Acacia wametoa taarifa hiyo leo, saa chache baada ya Rais kufanya mazungumzo na Mkurugenzi huyo wa Barrick.

“Tutatoa taarifa zaidi kadri itakavyofaa na kikao chetu kilichopangwa kufanyika kwa njia ya simu, Alhamisi tarehe 15 Juni saa tatu asubuhi muda wa Uingereza kitafanyika kama ilivyopangwa,” imesema taarifa ya Acacia.

Faini za Barabarani Zaingiza Sh12.8 Bilioni kwa Miezi Mitano..!!!

$
0
0

Makusanyo ya tozo mbalimbali za makosa ya usalama barabarani kwa mkoa wa Dar es Salaam yameongezeka kutoka Sh7.3 bilioni hadi Sh12.8 bilioni kwa kipindi cha miezi mitano.

Makusanyo hayo ni ya kati ya Januari na Mei mwaka jana kulinganisha na kipindi kama hicho mwaka huu.

Kaimu Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lucas Mkondya amesema hayo leo (Jumatano) katika hafla ya kukabidhi magari 26 ya doria kwa ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa ajili ya matengenezo.

Amesema kiwango hicho cha faini kinatokana na ongezeko la makosa ya usalama barabarani ambayo kwa kipindi hicho mwaka huu yalikuwa 404,571 kulinganisha na 246,695 mwaka jana.

Mkondya amesema kesi 1,723 za makosa ya usalama barabarani zilifikishwa mahakamani mwaka huu kulinganisha na 1,135 mwaka jana, ikiwa ni ongezeko la kesi 588 sawa na asilimia 34.

“Ongezeko la makosa ya usalama barabarani ni kutokana na mji kukua kwa kasi na idadi ya watu kuongezeka.

Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani litaendelea kusimamia sheria na kutaka madereva watii sheria bila shuruti,” amesema.

Magufuli - Barrick ni Wanaume Haswa..Wamekubali,Wametubu na Watalipa Fidia Yetu..!!!

$
0
0

Rais John Pombe Magufuli (JPM) amekutana na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni mama ya uchimbaji wa madini ya Barrick Canada, Profesa John Thornton na kufanya naye mazungumzo Ikulu leo.

Amesema Barrick imepitia mapendekezo yote ya kamati ya pili ya mchanga wa madini na kuwa imekubali kulipa chochote ambacho kitaonekana wanatakiwa kulipa.

“Baada ya kuwaona nilifurahi na nikasema hawa ni wanaume, wakasema yaliyotokea ni bahati mbaya na wanatubu kwa hayo.” Amesema

Rais amesema baadaye Barrick watakuja na timu yao ya wanasheria wakati kwa upande wa Tanzania nao itakuwepo timu ya wanasheria wakiongozwa na Profesa  Palamagamba Kabudi.

“Itakuwa ni timu ya maprofesa kwa maprofesa,” amesema.

Amesema timu hiyo ya Barrick ilipitia mapendekezo yote na wakakubali kuwa wapo tayari kulipa baada ya majadiliano na makubaliano yatakayoafikiwa.

Kesi ya Wema Sepetu Imetajwa Tena Leo Mahakamani na Haya Ndiyo Maamuzi Yaliyotolewa..!!!

$
0
0

Kesi ya kukutwa na dawa za kulevya inayomkabili Wema Sepetu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirishwa hadi Julai 10.

Wema ambaye ni mshindi wa taji la urembo, maarufu Miss Tanzania kwa mwaka 2006 na msanii wa filamu, anakabiliwa na kesi hiyo akidaiwa kutumia na kupatikana na bangi.

Wakili wa Serikali, Elizabeth Mkunde mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Godfrey Mwambapa alisema kesi ilipangwa leo (Jumatano) kuanza kusikiliza ushahidi wa upande wa mashtaka lakini Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba anayeisikiliza kesi hiyo yupo likizo.  

Kutokana na hilo, aliomba iahirishwe hadi Julai 10 ombi lililokubaliwa na mahakama.

Wema na wenzake Angelina Msigwa na Matrida Abbas wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kukutwa na dawa za kulevya na kutumia dawa hizo.

Inadaiwa Februari 4, katika makazi ya Wema, Kunduchi Ununio, walikamatwa wakiwa na msokoto mmoja na vipisi vya bangi vyenye uzito wa gramu 1.08.

Wema pia anadaiwa Februari Mosi katika eneo lisilojulikana jijini Dar es Salaam alitumia bangi.


Jinsi ya Kujua Kama Umemfikisha Kweli au Anakuibia na Kukushika Masikio Kwa Kelele za Kimahaba.

$
0
0
Kufika Kileleni Kwa Mwanamke
Unahisi unaweza kutofautisha kama umemfikisha kweli au anapiga kelele za kimahaba za kukuzingua?, mwanamke ambaye zamani alikua anamzingua mpenzi wake kwa kelele za kimahaba anatuelezea kwanini ni vigumu kuliko unavyofikili kutambua na utatambuaje!.

Mimi sio mwigizaji, zaidi ya hapo nilikuwa mtu wa mwisho kwenye maigizo kipindi cha shule ya msingi, ila nina uwezo mkubwa wa kusema "Oooh, hapo hapo.. unanifikishaaa!", mpaka mwanaume akahisi kweli amenifikisha, hata hivyo siko peke yangu wanawake wengi tu wanaigiza wakati wapo wanafanya mapenzi.

Utafiti wa kitaifa wa ngono uliofanywa na chuo cha indiana, ulionyesha asilimia 85% ya wanaume wakisema mara ya mwisho kufanya ngono waliwafikisha kileleni wenza wao, hata hivyo asilimia 64% tu ya wanawake walisema walifika kileleni mara ya mwisho walipofanya ngono, hii inamaanisha ni hesabu ya ajabu hata mtoto wa darasa la pili anajua imekosewa, na inamaanisha asilimia 21% ya wanaume walidanganywa na milio ya kimahaba ya wenza wao na wakaamini kuwa waliwafikisha.
Iwapo tukichukulia na wewe utaki kuwa mmoja wa hao waliodanganywa na mbaya zaidi hawakua na ufahamu wowote kuwa wamedanganywa, waulize wanaume wamekuandalia dalili zinazoonyesha na zitakazokuwa zinakuonyesha iwapo unadanganywa.

#1; Unamwelewa

Tuweke hivi, "Ooooh, hapo hapo usiitoe... ooh, naisikia mpaka kichwani!", mwanamke huwa anasema hivi akiwa anakandwa miguu yake na maji ya moto baada ya safari ya miguu ya mwendo mrefu, "OH... USI...., JAMA... UNA.... NDIO...., HAPO HA...", hivi ndomwanamke anavyosema ukiwa unashughurika vizuri kitandani, akiweza kuunganisha sentensi nzima na ikaeleweka ujue anakuzuga, maana akifikia mshindo akili yote inakua kama haifanyi kazi vizuri na ikitokea akiwa analia kama kwenye video za ngono wanavyolia, ujue anakusubiri umalize mambo yako aanze kukuelezea shida zake alizonazo, wale wa kwenye video za ngono huwa wana igiza, mwanamke wa kihalisia wa kawaida huwa hawafiki kileleni iwapo mwanaume anatumia nguvu ovyo ovyo bila ya mpangilio na msuguano wowote unaohusisha kinembe.

#2; Anakubusu bila kuacha

Kwa mwanamke ili afike mshindo, inabidi awe na umakini mkubwa na kuweka hisia zake zote kwenye msuguano na msisimko anaoupata mwilini mwake ili afike mshindo, kubusu na kutekenya hawezi kuvifanya kwa wakati huo ambao anaweka mawazo yote mahala hapo, ukiona unataka kumpiga denda akageukia pembeni ujue mambo ndo yamemkolea vizuri na sio vinginevyo.

#3; Uso wake unakuwa mzuri

Ulishawahi kujiangalia kwenye kioo wakati uume wako unagombana na mikono yako, najua ulishawahi kujisugua, nani ambae hajawai..., hakuna!, na unaelekea yale mambo kumwagika, unajua usowako unakuwaje?, uso wako unakuwa kama vile unataka kutolewa maisha au kama unataka kulia vile, binadamu wote wako sawa upande wa kihisia, hata wanawake pia!, akiwa na sura nzuri wakati ndo anafika mshindo ujue hapo hakuna!, anatakiwa kuwa na sura ambayo haina mvuto kama anataka kulia na sio awe bado anapendeza kama ndo anaingia harusini.

#4; Unafanya mapenzi na mpenzi wako kwa staili ya kimbwa mbwa

Mwanamke kufika kileleni kwa stairi ya kutoka kwa nyuma ni sawa na wewe kufika mshindo huku mwanamke akiwa anakuchzea kwa mikono.
Sijasema haiwezekani, ila inahitaji ufundi mkubwa na dereva inabidi awe anaijua kwa umakini mkubwa njia yake anayopita, ili manbo hayo yaweze kutokea, kwa hio nitakua na wasiwasi kama mwanamke akisema kafika kileleni kwa kutumia hio stairi, mwanamke anauwezo mkubwa wa kufika kileleni iwapo anafanya mapenzi ila yeye ndo yuko juu ya mwanaume kashika msukani, au kwa stairi ya missionary inayoitwa Coital Alignment Technique kwa kifupi The Cat, najua huijui... i gugo(google) na utaiona.

#5; Ngozi yake inakuwa nyororo na kavu

Mwanamke akiwa amefika kileleni, moyo, presha ya damu na mdundo vyote vinakuja juu ambavyo inamaanisha lazima jasho limtoke kwa aina yeyote ile na mwili unakua na majimaji kwenye ngozi, hii ni moja ya dalili amekwea mlima na kufika kileleni kwa furaha

VIDEO: Rais wa TFF baada ya kuombwa kutowatumia Diamond na Alikiba tena

$
0
0
diamond na ali kiba
Rais wa Shirikisho la soka Tanzania TFF leo June 2 2017 mbele ya waandishi wa habari ametangaza kuwashukuru wote waliyokuwa wanaisapoti Serengeti Boys na kuichangia licha ya kutolewa katika mashindano ya AFCON U-17 kwa kanuni ya head to head na Niger.

Baada ya kushukuru watanzanzania na kueleza mipango yao kwa vijana wa Serengeti Boys, kuna mmoja kati ya waandishi aliuliza swali na kumuomba Rais wa TFF Jamal Malinzi asiwatumie tena Diamond na Alikiba kutokana na kutokuwa wazalendo.

Kama utakuwa unakumbuka vizuri Mbunge wa Mtama Nape Nnauye wakati akiwa waziri wa michezo aliunda kamati ya uhamasishaji kuhusiana na Serengeti Boys kushiriki AFCON miongoni mwa waliyokuwemo katika kamati hiyo ni Diamond na Alikiba.

Baadae Alikiba na Diamond tulisikia kuwa walikataa kuimba wimbo wa pamoja wa kuhamasisha watanzania kuisapoti Serengeti Boys kwa tofauti zao binafsi
“Naomba nisiongee chochote kuhusu Diamond na Alikiba naomba sana mimi nashukuru tu ni wenzetu walichaguliwa kuingia katika kamati ya uhamasishaji ya Serengeti Boys basi mimi niishie kuwashukuru tu” 

Huu Ndio Ukweli Sahihi Kuhusu Elimu Uliyonayo

$
0
0
eLIMU
Ni utaratibu wangu ambao niliuona unafaa sana katika Maisha yangu, kwani umeweza kuyabadili sana maisha Yangu kwa kiwango cha hali ya juu sana,  sitaki kujisifia wala kujipaka mafuta kwa mgongo wa chupa maana nitakuwa najidanganya mwenyewe, ila huo ndo ukweli wenyewe, najua bado una zungusha akili yako huku na huko bila kujua ni nini ambacho nitakuwa nazungumzia je ni utaratibu upi? wala Usipate tabu ni utaratibu wa kujifunza vitu vipya Kila wakati.

Inawezekana ukawa unashangaa nawezaje kufanya hivyo? Wala usipate tabu leo nitakueleza ukweli kwani mara baada ya kugundua ya kwamba hatma ya Mafanikio yangu, ipo kwenye mandishi  hivyo nikashuru kimoyomoyo yule ambaye alinifundisha kusoma, kuhesabu na kuandika kwa kunijengea msingi imara ambao ndio nguzo kubwa ya Maisha ya kila mmoja wetu  katika dunia yenye kila aina ya kila kitu, hivyo kazi ni kwako ni aina gani ya vitu ambavyo unavihiitaji katika dunia hii.

Na Kuna wakati huwa inafika pahala naona ni vyema ni bora usinipe chakula kwanza, ila unipe vitu vya kusoma kwanza ambayo vitasaidia kwa namna moja ama nyingine. Sitaki pia kukwambia na wewe usome peke yake vitu ambavyo vitakusaidia katika maisha yako, la hasha kusoma peke yake haitoshi ila jambo la msingi ni kuweza kusoma yale ambayo uliyasoma kuyaweka katika matendo.

Suala hili na kugeuza kile ambacho umekisoma na kukiweka katika matendo ni suala gumu sana, kuwepo kwa hali hii ndiko ambako kunasababisha  kuwe na wimbi kubwa la watu ambao ni wazuri sana katika kulalamika tu kuliko kufikiri ni namna gani ya kubadili ambacho unakijua kuweka kwenye matendo.

Labda inawezekana ya kwamba bado unalalamika ya kwamba hakuweza kupata elimu kwa kiwango ambacho ulihitaji, lakini nikutie moyo kwa kukwambia ya kwamba elimu ambayo unayo inatosha kabisa, kuweza kubadili historia mpya ya maisha yako leo endapo , utaamua kuutafuta undani wako ni upi? Nimesema hivyo kwa sababu elimu yeyote ambayo uliyonayo huwa ina faida zaidi ya kumi lakini leo naomba kueleze faida kubwa tatu tu hii ni kutokana na muda ambao ninao siku ya leo.

Faida ya elimu yeyote uliyona Ni vyema itakusaidia kufanya yafuatayo;

1. Kujua
Elimu yeyote ile ambayo unataka kuipata, au umekwisha kuipata ni lazima ikusaidie kufahamu mambo mbalimbali, baada ya kujua ukweli wa mambo hayo ni Lazima ufikirie ni jinsi gani unaweza kuugeuza ujuzi huo kuwa bidhaa. Yamkini ukawa bado unalalamika kwamba suala la ajira ni suala gumu kwako lakini jiulize ya kwamba  ujuzi ulio nao unawezaje kuwa bidhaa? baada ya kupata majibu ndipo utapojua ni kitu gani ambacho namaanisha.

2.kutenda
Hili ni suala la msingi sana, ambalo ni vyema kulifahamu siku ya leo. Watu wengi wanafahamu mambo mengi sana, lakini ukakasi huwa unakuja katika kutenda. Lakini kabla sijaweka nukta siku ya leo nikwambie ya kwamba maisha ni leo, wala sio jana wala kesho. Nimesema Maisha ni leo kwa sababu Maisha yako yatabadilika kama unataamua kutenda leo, na mara kadhaa nikwambie ya kwamba tuyakumbuke yale maneno mazuri ambayo yanasema ngoja ngoja yaumiza matumbo, na chelewa chelewa utakuta mtoto sio wako hivyo nikusihi amua sana kuanza kutenda jambo lako ili uweze kutimiza ndoto zako.

3. Kushirikiana pamoja.
Hii ni faida nyingine ambayo itakufanya wewe kuweza kuwa bora zaidi kila mara. kuweza kuwashirikisha mawazo yako watu wengine ili kuweza kupata majibu ya maswali yako na hatimaye kutimiza Ndoto kubwa uliyonayo. Usipende kufanya vitu peke yako. Ubinafsi ndio umaskini wako, hivyo kila wakati ni vyema ukajua namna katika kuwaongezea thamani  watu wengine. Maana kama hautajua kuwaongezea watu wengine thamani na wao hawataweza kukuongezea thamani pia.

Kufanya kazi kwa ushirikiano ni njia bora sana katika kufanikisha malengo yako. Maana ushirikiano na Mafanikio na utengano ni udhaifu. Lakini kabla sijamaliza labda nikumbushe ya kwamba ni lazima uweze kushirikiana na watu sahihi kwa kila jambo lako.

Njia Nne (4) Za Kuboresha Maisha Yako Sasa

$
0
0
Makala ya leo
 
Kwa jinsi unavyobadili mtazamo wako, ndivyo unavyozidi kujikuta ukibadilisha na maisha yako pia. Maisha yako ni lazima yabadilike kama una badili mtazamo wako kila wakati, hilo halina ubishi.
Kuna wakati katika maisha tunajirudisha nyuma sana kwa sababu ya kuwa na mitazamo finyu, mitazamo hasi ambayo haitusaidii. Ili kufanya maisha yako kuwa bora na ya mafanikio unalazimika kubadili mtazamo wako.

Katika makala haya, tutakupa njia muhimu ambazo ukizitumia, kwanza zitakusaidia kubadili mtazamo wako , na pia si hivyo tu zitakusaidia kubadili na kuboresha maisha yako;-

1. Fanya mambo yako kwa utofauti.
Mbinu bora ya kuboresha maisha yako sasa ni kufanya mambo yako kwa utofauti. Kama ni kazi fulani ifanye kwa utofauti. Kama ni kutembelea eneo fulani ulilolizoea hebu libadilishe na kwenda sehemu nyingine.

Hali zote zile za mazoea ambazo umekuwa ukiziishi naomba uzibadilishe na kuzifanya kwa utofauti. Ukifanya hivyo utashangaa kuona maisha yako yakibadilika na kuwa ya  tofauti na mafanikio.

2. Jitoe kwa ajili ya wengine.
Unaweza pia kuboresha maisha yako kwa kuamua kujitoa kwa ajili ya wengine. Unapojitoa kwa wengine hapa unamaansha usitegemee kupata kitu chochote kutoka kwao. Wewe jitoe kwa ajili yao.
Ni njia au mbinu ambayo itakuimarisha na kukufanya hata kazi zako mwenyewe utakuwa unazifanya kwa ukamilifu mkubwa sana. Ukikubali kujitoa basi utakuwa umeweza kuboresha maisha yako kwa sehemu kubwa sana.

3. Fanya mazoezi.
Upe mwili wako mazoezi. Unyumbue mwili wako huko na huko. Ni njia nzuri ya kuweza kuipa akili yako afya ya mwili, hali ambayo itakupelekea wewe uweze kufika mahali ukaboresha maisha yako kiafya pia.

Si rahisi sana kwa mtu ambaye anafanya mazoezi karibu kila siku kuweza kushambuliwa na vitu kama magonjwa ya hapa na pale. Unaweza ukaendelea kuboresha maisha yako kwa njia hii kwa utofati.

4. Furahi na marafiki zako.
Maisha mazuri na maisha yalioyoboreshwa ni pamoja na kuwa na rafiki zako, mkafurahi pamoja. Kama kuna rafiki wa zamani ambaye hujawasiliana nae muda mrefu mtafute na uongee nae.

Unapokuw na marafiki watakusaidia kuweza kubadilisha maisha yako kwa sehemu kubwa kutokana na mwazo yao ambayo wanakuwa wanakupa. Hivyo, marafiki pia wanawez kuboresha maisha yako.
Ukumbuke kuwa kufanya kazi kwa utofauti, kujitoa kwa wengine, kufanya mazoezi na kufurahia maisha na marafiki ni moja ya mambo machache ambayo yanaweza kukufanya ukaboresha maisha yako.

JISAJILI USHINDE GARI LA BUREEEEE KABISA

$
0
0
Umeshawahi Kufikiria Kupata Gari la Bure bila Kulipa Chochote... Basi hii Kampuni ya Cars From Japan Wanakupa Nafasi Hiyo ...

CHAKUFANYA NI Fuata Maelekezo hapa chini Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo..

Bonyeza Hapa >>> SHINDA GARI YA BURE <<< Kujisajili ni Bure tu...

Kisha Jisajili kwa Kuweka Jina na Email Yako

Mtazamo... Ukitaka Kuaminiwa, Jenga Mazingira ya Kuaminika..!!!!

$
0
0

“Nina mke asiyeniamini kabisa,” aliniambia bwana mmoja hivi majuzi. “Hana imani kabisa na mimi. Juzi kati hapa nimemkuta anachunguza simu yangu. Tuligombana sana.” Nilimwuliza kwa nini anafikiri mke wake hamwamini. “Basi tu ndivyo alivyo. Hata ufanyaje hana imani.”

Sote, kama alivyo bwana huyu, tuna hitaji la kuaminiwa. Tunatamani watu wasiwe na mashaka na sisi. Tunatamani watu waamini yale tunayowaambia.

Pengine nawe, kama huyu bwana umewahi ‘kuwadai’ watu wakuamini. Umekwenda kwa rafiki, mathalani, kumkopa fedha. Rafiki yako anasita. Hakuamini. Kutokuaminiwa kunaumiza hisia kwa sababu, kama tulivyosema, kuaminiwa ni hitaji la kila mtu. Hata mwongo naye anapenda watu wamwamini.

Ufanye nini sasa??? Twende pamoja....

A. Kuaminiwa ni matokeo

Mambo mengi hayaendi bila kuaminiwa. Kazini, wakubwa wa kazi wanapenda mtu anayeaminika. Bila kuaminika, huwezi kupata mafanikio. Mfanyabiashara naye, anapoaminiwa na watu anakuwa kwenye nafasi kubwa ya kupata mafanikio.

Urafiki kati ya watu wawili, hali kadhalika, unategemea kwa kiasi kikubwa namna watu hao wanavyoaminiana. Huwezi kuwa na urafiki mzuri na mtu kama hamuaminiani. Kuaminiwa ni msingi wa mahusiano yoyote ya karibu na hata shughuli zinazohusisha watu zaidi ya mmoja.

Kuaminiwa, hata hivyo, si tukio la siku moja wala haki inayoweza kuidaiwa kwa watu. Mke hawezi kudai ‘aaminiwe’ na mume wake. Mume hali kadhalika. Kuaminika ni zao la tabia zetu. Kuaminiwa ni sawa miamala ya Benki. Unaweza kuchukua kile ulichokiweka. Huwezi kudai zaidi. Fanya mambo matatu uaminiwe.


B. Sema ukweli daima

Fikiria uko mahali na rafiki yako ukamsikia akimdanganya mwenzake kwenye simu. Hata kama aliyedanganywa ni mwingine, kwa vyovyote vile imani yako kwa aliyedanganya inapungua. Uongo unapunguza kuaminika.

Ukitaka kuaminika, jenga tabia ya kusema ukweli. Epuka kusema kitu usichomaanisha kwa lengo tu la kuwafurahisha watu. Usimdanganye mtu hata kama unajua hatagundua. Ukitambulika kama mtu mwenye tabia ya kusema ukweli unawafanya watu wasiwe na wasiwasi na maneno yako. Utaaminika.


C. Timiza ahadi zako

Ni rahisi sana kutoa ahadi hasa kama hujiamini na unatamani kuwaridhisha watu. Hata hivyo, ni vizuri kuelewa kuwa ahadi ni kipimo cha ukomavu wako. Usipotekeleza ahadi zako watu wanakuchukulia kama mtu asiye na ukomavu. Huwezi kuaminika katika mazingira unayoonekana huna ukomavu.

Kuliko kutoa ahadi kwa lengo la kumridhisha mtu, ni bora usiahidi kabisa. Punguza matarajio ya watu kwako, kisha fanya jitihada za kuzidi matarajio hayo. Unapoahidi kufanya kitu, tekeleza. Ukishindwa kutekeleza, kuwa mwuungwana. Omba msamaha. Kwa namna hii watu watakuamini.


D. Heshimu uheshimike

Mtu asiyeheshimika ni vigumu kuaminiwa. Wapo watu wanaaminiwa kirahisi kwa sababu tu wamejijengea taswira ya heshima kwa jamii. Heshima ni zaidi ya vitu ulivyonavyo na namna unavyoonekana. Heshima kubwa unayoweza kupewa na watu inategemea vile unavyowaheshimu. Ukitaka kuheshimiwa, heshimu watu.


Unapokuwa na tabia ya kuwadharau watu; kujiona bora kuliko wengine; watu wanakudharau. Hata wale unaowazidi wanastahili heshima. Hata wanaokukosea na kukutendea mabaya wanastahili heshima. Ukijenga tabia ya kulipa ubaya kwa wema utashangazwa na matokeo.

Jambo la kukumbuka ni kwamba watu wanaweza kupoteza imani na wewe kimya kimya. Si kila mtu anaweza kukutangazia kuwa hana imani na wewe. Linda sana tunda la uaminifu. Imani ikipotea, ni vigumu kuirejesha. 

E. Jifunze kwenda na muda 

Watu wengine wanashindwa kuaminiwa kwa sababu ya kutotunza au kwenda muda ipasavyo. Unaaambiwa uje muda fulani kwa mfano saa 7 kamili mchana wewe unakuja saa 8 kasoro huku ukiwa na sababu lukuki (nyingine zisizo na maana). Hii ni tofauti kabisa na wenzetu wazungu ambao wao huenda na muda kisawasawa (Sijamaanisha waafrika/watanzania wote hatuendi na muda). Kwa taarifa yako ni kuwa watu hupimwa uaminifu kwa uwezo wao wa kutumia muda vizuri.

Habari njema, hata hivyo, ni kwamba kadri unavyojiwekea mazingira ya kuaminika, ndivyo utakavyoendelea kuaminika.

"When you're honest from the beginning you don't have to lie to cover up the lie you already told. Honesty is always the best policy"

Tajirika na Kilimo cha Nyoka: Tuwapende na Kuwatumia Nyoka Badala ya Kuwaua..!!!

$
0
0

Kilimo cha nyoka ni moja ya kilimo yenye faida sana ,mmoja anaweza akaanzisha kilimo hichi ukizingatia thamani ya "snake venom" ipo juu sana.Sumu ya nyoka inatumika kwa wingi kwenye viwanda vya famasia na viwanda vya vipodozi hivyo thamani ya "snake venom " ipo juu sana kutokana na uhitaji wake.

Gram moja ya "snake venom " kwa soko la kimataifa inauzwa $1880 ,na kwenye soko la Afrika kusini inauzwa kwa makadirio ya Rand 25,000

*Kama unafikiria kuanzisha shamba lako la nyoka ,yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili uweze kupata faida ya kutosha kutokana na venom wanayozalisha Nyoka

1.zingatia hali ya joto na hewa .

Nyoka wanahitaji joto ya kiwango cha 24-29 degrees Celsius nyakati ya siku na 21-24 nyakati za usiku,

2.mabanda na nyumba za nyoka zinahitaji kusafishwa mara kwa Mara

Hali hiyo itasaidia kukuza uzalishaji wa nyoka kwa wingi.Nyoka wanahitaji kuwekwa mahali salama kuzuia matatizo yeyote ile ya kiafya kuwapata.

3.Nyoka kwa kawaida hula panya 3-4 na hulishwa kwa wiki 3-4 .Nyoka hula panya walio hai lakini wanaweza kula waliokufa pia ,Nyoka hupenda kucheza na panya mwanzo kabla ya kuwala hivyo ni vema kuwapatia walio hai.


Faida 3 za ufugaji wa nyoka

1.uzalishaji wa venom ambayo ukiuza unapata kiasi kikubwa cha pesa.

2.hupunguza na kutokomeza wadudu waharibifu kama panya nk.Nyoka chakula chao kikuu ni panya hivyo husaidia kutusafishia shamba au nyumba kwa kuwamaliza wadudu hawa.

Dawa ya kuua sumu ya nyoka itengenezwayo kutoka kwa sumu ya nyoka, yaani anti-venom, ndiyo tiba bora pekee ya kuumwa na nyoka.

Mwisho sio kila tukiwaona nyoka tunawaua ,nyoka ni rafiki zetu na sio maadui.Tuwatumie ipasavyo watatusaidia sana.

Fanya Haya Kuzuia Watu Wasiingile Mapenzi Yenu..!!!

$
0
0

Sio mbaya kwa marafiki wa karibu au ndugu na jamaa kufahamu kushirikiana nanyi katika mapenzi yenu kama vile wakati wa sherehe au msiba. Pia sio mbaya kujuliana hali na kutambulisha mambo ya msingi yanayoendelea katika mahusiano yako wewe na mpenzi wako. 

Hata hivyo kuna wakati watu wengine wa pembeni, wawe majirani, ndugu, wazazi au marafiki wanaweza kuwa ‘sumu’ ya mahusiano yako, hasa pale unapowategemea sana kutoa msaada, maoni au maelekezo katika maisha yako ya mapenzi. Makala hii inaeleza mambo ya msingi unayoweza kufanya ili kupunguza uwezekano wa rafiki, ndugu, jamaa, au wazazi kuwa ‘sumu’ ya mapenzi yako.


1. Udhibiti wa taarifa kwa wengine: 

Kadri unavyoelezea mahusiano yako kwa watu wengine ndivyo unavyowapa nafasi watu kutoa maoni, na hata kudhani kuwa wana dhamana ya kukuelekeza unavyotakiwa kuishi na mwenza wako. Hivyo basi, chukua muda wa kutosha kutafakari na kufanya uchunguzi kuhusu maswala yako ya mahusiano kabla haujaanza kutafuta maoni, ushauri kwa watu wengine. Ni bora ukasoma vitabu, na makala mbalimbali, hususani zihusuzo tabia na maisha ya mahusiano, zitafakari vema ili kuona zinahusiana vipi na unayokumbana nayo katika mahusianao yako.


2. Upekee wa mambo: 

Tambua kuwa tabia ya mpenzi wako inaweza kuwa ni ya kipekee, mazingira pia ya tukio linalokufanya utake ushauri au maoni kwa wengine yanaweza kuwa ni ya kipekee, hivyo ushauri au maoni utakayopokea yanaweza yasikusaidie moja kwa moja katika suluhisho lako. Ukitambua hili, utafanya bidii ya kujenga uwezo binafsi wa kuchambua tatizo unalokumbana nalo katika mahusiano na kutafuta suluhisho kabla ya kutegemea watu wengine.


3. Mwenye maamuzi ni wewe:

Ni kweli kuwa kuna nyakati ni muhimu kupata ushauri kutoka kwa watu wengine, na zaidi sana watu wenye uelewa sahihi na unaowaamini, hakikisha kuwa unatambua kuwa wewe mwenyewe ndio mwenye kubeba lawama ya maamuzi utakayochukua. 


4. Kuwa na subira:

Usichukue maamuziya haraka katika mahusiano hususani uamuzi wa kuamua kuwashirikisha watu wengine habari ya mambo yahusuyo uhusiano wako. Unapofanya uamuzi wa kuwashirikisha wengine kwa haraka unajinyima nafasi ya kulichunguza jambo kwa ufasaha hususani madhara yanayoweza kutokea kwa kuwaeleza wengine, au kama ni tatizo, basi kufikiria njia sahihi ambazo ungeweza kuzitumia kupata suluhu ya tatizo. 


5. Fungua njia za mawasiliano kati yenu:

Pengine chanzo cha wewe kutaka kuzungumza mambo ya ndani yanayohusu mahusiano yenu kwa watu wengine ni kwakuwa umekosa nafasi ya kuzungumza kwa ufasaha na mwenzi wako. Tafuteni nafasi za kutosha, jengeni mazingira ya kuzungumzia mambo yenu kabla ya kutaka kuwashirikisha watu wengine. 


6. Kuweni peke yenu: 

Hata kama hautaki kueleza watu kuhusu mambo yanayoendana na maisha yenu, mazingira unamoishi yanaweza kuchangia watu kutaka kuingilia mahusiano yenu –kwa kutoa maelekezo, ushauri au maoni kuhusu muishivyo wewe na mpenzi wako. Inapobidi hakikisha hamuishi karibu na wazazi wenu, ndugu au rafiki wa karibu. Au haufanyi kazi na mwenzi wako sehemu moja, kwani hiyo itakuwa njia rahisi sana ya watu kuona mnavyoishi. Inapobidi kuwa karibu na watu wengine , hakikisha mnakubaliana wewe na mwenza wako namna bora ya kuendesha mawasiliano kati yenu mbele za watu, ili msiwape nafasi ya wao kuwa‘soma’ na kisha kuanza waje waanze kutoa ‘maelekezo’ ya vile wanavyoona mnapaswa kuishi.


7. Nenda ‘darasani’ : 

Kumbuka mahusiano yanahitaji sana uelewa mkubwa wa jinsi ya kufanya mawasiliano fasaha, kuelewa hisia za mwenzi wako, kutambua mbinu za kusuluhisha migogoro, na zaidi sana kufanya mipango ya muda mrefu ya uhusiano wenu. Jizoeshe kusoma makala na vitabu mbalimbali vyenye kuboresha ufahamu wa mambo ya msingi kama hayo tuliyoeleza hapo juu.

Mfanyabiashara 'pedeshee ndama' arudi uraiani

$
0
0

Baada ya kufanikiwa kulipa faini ya milioni 200 hatimae leo mfanyabiashara , Ndama Shabani Hussein, maarufu kama Pedeshee Ndama mtoto ya Ng'ombe amepata dhamana.

Ndama amepata dhamana baada ya kuwa na wadhamink wawili na kuwasilisha hati ya mali isiyohamishika yenye thamani zaidi ya shilingi milioni 600.

Wiki iliyopita Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilimtia hatiani Ndama na kumuhukumu kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya milioni 200 baada ya kukiri shtaka la kutakatisha USD 540,000.

Aidha mahakama hiyo iliyoketi chini ya Hakimu Mkazi Victoria Nongwa ilimsomea masharti ya dhamana mshtakiwa huyo iwapo angefanikiwa kulipa kiasi hicho cha milioni 200 ili awe huru katika mashtaka matano yanayoendelea kumkabili mahakamani hapo ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.

Katika masharti hayo, Ndama alitakiwa kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika na atoe fedha taslimu kiasi cha USD 270,200 ambacho ni sawa na zaidi ya milioni 600 mahakamani hapo ama mali isiyohamishika yenye thamani ya kiasi hicho cha fedha

Licha ya kupata dhamana, Ndama amerudishwa gerezani kukamilisha taratibu kabla ya kuachiwa huru.

Hukumu hiyo ya shtaka la sita la kutakatisha fedha ilitolewa baada ya Wakili wa Serikali, Christopher Msigwa kumsomea maelezo ya awali (PH) Ndama na kuyakubali maelezo ya awali na maelezo yote yanayounda shtaka hilo la kutakatisha fedha, akapatikana na hatiani na kupewa adhabu hiyo.

Kabla ya kutolewa kwa hukumu hiyo, Wakili Msigwa aliiambia mahakama kuwa mshtakiwa amekubali shtaka la sita la kutakatisha fedha na maelezo yanayounda shtaka hilo, hawana kumbukumbu za nyuma za makosa dhidi ya Ndama ila ni rai ya upande wa mashtaka kuwa wakati mahakama ikitoa adhabu izingatie matakwa ya kifungu cha 13(a) cha sheria ya kuzuia utakatishaji fedha.

Mwanza: Mwanamke amtupa mtoto ziwani

$
0
0

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza DCP Ahmed Msangi amemtaja mtuhumiwa huyo kuwa ni Nyamisi Bahati (27) anayedaiwa kumuua mtoto wake aitwaye Sakimu Hassani baada ya kumtupa ziwa Victoria na kupelekea mtoto huyo kupoteza maisha, tukio analodaiwa kulifanya majira ya saa 1:00 usiku ya tarehe 13/06/ 2017.

Inadaiwa mtuhumiwa ambaye ni mama wa mtoto huyo alitoka nyumbani kwa mumewe na kwenda kuwasalimia wazazi wake akiwa na mtoto wake, lakini baadaye alitoka nje akiwa na mtoto kama anakwenda kumbembeleza ndipo baada ya muda kupita alirudi akiwa hana mtoto na kupelekea Mama yake mzazi wa binti huyo kumuuliza mtoto amemuweka wapi ndipo mtuhumiwa alionekana na mashaka huku akishindwa kuonyesha mahali mtoto alipo na baadaye akasema amemtupa kwenye Ziwa Victoria.

Kamanda Msangi amesema baada ya mtuhumiwa kusema hivyo, Bibi wa mtoto alipiga yowe akiomba msaada kwa watu ili waweze kuja kumuokoa mtoto na wananchi walipofika waliweza kutoa taarifa kituo cha Polisi na kuweza kufika eneo la tukio ambapo walishirikiana na wananchi na kufanya kazi ya kumtafuta majini na baadaye walifanikiwa kumpata ila alikuwa tayari ameshapoteza maisha.

Kamanda Msangi ameendelea kusema kuwa uchunguzi wa awali unaonyesha mtuhumiwa wa mauaji hayo anasumbuliwa na matatizo ya akili, japokuwa Polisi wapo katika upelelezi na mahojiano na mtuhumiwa pindi uchunguzi ukikamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani.

Hatua 10 Muhimi za Kumchagua Mchumba Mtakae Funga Ndoa

$
0
0
Mapenzi
Wengi wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni.

Watalaam hao wanataja safari ya kupata chaguo halisi la mwanaume/mwanamke wa maisha ndiyo inayowaponza wengi kiasi cha kujikuta wameingia katika kashfa ya kuwa na uhusiano na dazeni ya wapenzi.

Wanasema msichana/mvulana anayeingia katika uwanja wa mapenzi kwa kuwa na hisia za kufanya ngono, hukosa umakini wa nani anafaa kuwa mpenzi wake kutokana na kukosa elimu ya uhusiano kutoka kwa wazazi wake.

Kwa mantiki hiyo, bila upembuzi wa kina, mtu asiye na elimu ya jinsi ya kumpata mpenzi wa kweli hujikuta ameangukia kwa mwanaume/mwanamke asiyemfaa, ambapo baadaye huamua kuachana na huyo na kwenda kwa mwingine kujaribu bahati tena ya kupata penzi la kweli.

Zinatajwa zawadi, hitaji la kusaidiwa kimaisha, mvuto wa kimahaba na mazoea kuwa ni vichocheo vinavyowaangusha wengi kwenye mapenzi na wasiowafaa.

Ukweli ni kwamba mtu aliyenaswa kwa ‘ujinga’, huwa hakatwi kiu ya penzi na mwanaume/mwanamke asiye chaguo sahihi la maisha yake. Hivyo hufikia maamuzi ya kujiingiza katika uhusiano mpya mara 2,3,4,5 na kujikuta wakiambulia wanaume/wanawake wale wale wasio sahihi kwake.

Mwanamnke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Suzzy aliwahi kuniomba ushauri, akasema amechoka kuchezewa, maana kila mwanaume anayempata anakuwa si chaguo lake. Lakini kibaya zaidi kuachia ngazi au kutemwa huku akiwa tayari ameshafanya mapenzi na wanaume hao.

Nia ya swali lake ilikuwa ni kuniomba njia za kumtambua mwanaume mkweli bila kufanya naye mapenzi? Aliuliza hivyo huku akiwa na hoja kuwa wanaume wengi hawako tayari kuwa na uhusiano na msichana bila kufanya naye mapenzi na wakati huo huo huficha tabia zao chafu wakilenga kumnasa wamtakaye.

Binafsi nafahamu kuwa kuna wanawake/wanawake wengi ambao hujiingiza katika mapenzi kwa kutekwa na hadaa za mwili na kujikuta wanacheza mchezo wa kitoto wa pata potea.

Ni madhumuni ya somo hili kufundisha vigezo vya kumpata mwanaume/mwanamke halisi wa maisha, bila kufanya naye mapenzi. Njia hii ina faida kwa pande zote mbili yaani kwa mwanamke na mwanaume kwani kuacha au kuachwa bila kufanya mapenzi ni bora kuliko kuwa muonjaji, tabia ambayo huathiri kisaikolojia na ni hatari kwa afya.

Ifuatavyo ni njia ya kisaikolojia ambayo mwanamke anaweza kutumia kumpata mwanaume mwenye kumfaa bila kufanya naye mapenzi tena ni jibu sahihi la kuondokana na mchezo wa kubahatisha kwa wanaume wanaosaka wapenzi wa kweli na si taksi bubu ambazo mchana huweka namba za njano usiku nyeusi.

KWANZA- Ni ya mwanamke/mwanaume mwenyewe kujifahamu na kufahamu vigezo vya mpenzi anayemhitaji katika maisha yake. Ifahamike kuwa kila mwanaume ana wake na kila mwanamke anaye wake wa maisha pia. Hivyo asiyekufaa wewe anawafaa wengine, kinachotakiwa ni wewe kujitambua kwanza ili umtambue umtakaye.

Wanawake/wanaume wengi hawafahamu wanahitaji wapenzi wa aina gani, hivyo wanajikuta kama watu wanaoingia sokoni bila kujua wanataka kununua nini? Ndiyo maana wengi wameangukia kwa matapeli wa mapenzi, wakachezewe na kuumizwa moyo bure.

PILI- Ni kuketi chini na kuorodhesha vigezo stahili vya mwanaume/mwanamke unayemtaka. Baada ya hapo orodhesha tena kasoro za mwanaume/mwanamke unazoweza kuzivumilia na zile ambazo huwezi kuzivumilia kabisa. Hii inatokana na ukweli kwamba mwanadamu hajakamilika, ana upungufu wake.

TATU- Anza kumsaka kwa kutumia milango ya fahamu. Cha kufanya hapa ni kuruhusu macho yawaone wanaume/wanawake na kuwatathmini kwa maumbile yao ya nje na kisha kupata majibu kutoka moyoni juu ya kuvutia kwao ambako hutambulika kwa moyo kurithika na mwili kusisimka.

NNE - Kuanzisha safari ya kuchunguza tabia za nje na za ndani kivitendo. Hapa suala la ukaribu baina ya mwanaume na mwanamke linahitajika. Msingi unaotajwa hapa ni kujenga mazoea ya kawaida yasiyokuwa na masuala ya kimapenzi na ngono. Kutambuana, dini, viwango vya elimu, kabila na makundi ya marafiki ni mambo ya kuzingatia.

Katika uchunguzi huu mwanamke/mwanaume anayetafuta mpenzi hana budi kupitia na kumlinganisha huyo aliyempata na vigezo alivyojiwekea. Zoezi hili liendane na kuweka alama ya pata kila anapobaini kuwa mwanaume/mwanamke anayemchunguza amepata moja ya vigezo vyake. Lakini pia aweke alama ya kosa kwa kila kasoro anayoivumilia na ile asiyoivumilia.

TANO - Ajipe muda wa kutosha kati ya miezi sita na mwaka kumchunguza huyo mwanaume, kisha aketi chini na aanze kujumlisha alama za vigezo alivyovijiwekea na jinsi mwanaume huyo alivyopata au kukosa.

Ikibainika mwanaume aliyechaguliwa amepata zaidi ya nusu ya alama ya vigezo vilivyowekwa, basi ujue kuwa anafaa. Kuhusu alama chache alizikosa anaweza kusaidia kuzikamilisha polepole wakati wa maisha ya ndoa.

Lakini angalizo kubwa kabisa ni kwamba mwanaume/mwanamke akionekana kuanguka katika kasoro zisizoweza kuvumilia kwa zaidi ya alama tatu. Yaani kwa mfano ni mlevi, mwizi, muongo, mbishi na katika hizo kashindwa 3, huyu hafai, ni vema akawekwa kando kwani huwezi kubeba kero 3 kwa pamoja katika maisha.

SITA - Kusajili mapenzi yenye malengo yanayotekelezeka. Lazima baada ya kuchunguzana kwa kina wapenzi watengeneze muongozo wa mapenzi yao. Wasiwe kama wanyama, lazima mipango ya wapi wametoka walipo na wanapokwenda.

Hata hivyo watalaam wanasema lazima wapenzi wapime umakini wao kwa vitendo. Kama wamekubaliana kuoana, suala la mume kwenda kujitambulisha kwa wakwe na hatua ya kuiendea ndoa ionekane. Usiri usiwepo tena. Kila mmoja amuone mwenzake kama sehemu ya maisha yake na mara zote wasaidiane kwa ukaribu.

SABA - Ni vema ndugu wakashirikishwa ili kuwapa nafasi na wao ya kuamua kama mapenzi hayo ni budi yakaendelea au yakasitishwa. Ni ukweli ulio wazi kwamba licha ya wengi kupuuza maamuzi ya ndugu kwa madai ya kuwa hawana nafasi kwa wapenda nao, lakini uchunguzi unaonesha kuwa wapenzi wengi huacha kutokana na sumu za ndugu hasa pale wanapokuwa wameonesha kutounga mkono uhusiano wa wanaotaka kuoana

NANE - Hatua hii ni ya kuweza kuzungumzia ufanyaji mapenzi, hapa nina maana kama wapenzi wamejizuia kwa muda mrefu na wanahisi kuchoka wanaweza kujadiliana kuhusu hilo na kuamua ufanyaji huo wa mapenzi una lengo gani, kama ni kuburudisha miili basi suala la afya na uzazi salama litazamwe.

TISA - Kutimizwa kwa ahadi ya kuoana ni hatua ya tisa ambayo nayo si busara ikachukua muda mwingi kutekelezeka, kwani ucheleweshaji mwingi wa ndoa nao huvunja moyo na mara nyingine umewafanya wengi kutoaminiana.

KUMI - Kuamua kuwa mwili mmoja kwa kuvumilia na kuwa tayari kukabiliana na changamoto zote za maisha ukiwemo mkwamo na dhiki ambazo huchangia sana ndoa nyingi kuvunjika. Hapa pia ni wajibu wa wanandoa kuchukuliana udhaifu na kusaidia, kuwa tayari kujifunza na kujali zaidi upendo kuliko hisia za mwili ambazo wakati mwingine hudanganya na hivyo kumfanya mwanandoa asivutiwe na mwenzake.

Mwisho ni kwamba kanuni hizi huwafaa watu wazima mapenzi ya kitoto hayawezi kujenga misingi hii imara mara nyingi ni kudanganyana, kuharibiana maisha, kupeana mimba na maradhi.

Hii Ndiyo Tafsiri sahihi Ya Zawadi Katika Mahusiano Ya Kimapenzi

$
0
0
Mapenzi
Moja ya kitu ambacho huwa hakina kipaumbele sana katika mahusiano ya kimapenzi,  kitu ambacho kinachoitwa zawadi. Lakini ukweli ni kwamba zawadi ina maana kubwa sana katika mahusiano ya kimapenzi zaidi hata udhaniavyo.

Na Katika tafiti ambazo zimewahi fanywa ni kwamba, suala zima la utoaji zawadi katika mahusiano ya kimapenzi lilimekuwa likileta hisia zaidi katika upande mmoja. Yaani hapa nikiwa na maana ya kwamba jinsia ya kike ndiyo ambayo ipo katika kusubiri zawadi kutoka kwa jinsia ya kiume. Kutoka na suala hilo ndo maana watu wengi wamekuwa hawatilii maanani suala zima la zawadi. Lakini ukweli ni kwamba kila mtu anahusika kutoa zawadi.

Huenda ukawa bado nakuacha njia panda huelewi ni zawadi gani ambayo itampendeza mpenzi wako. Wala usipate tabu afisa Mipango nipo kwa ajili yako. Ipo hivi ili kujua zawadi ambayo mwezi wako anapendezwa nayo,  Unachotakiwa kukifanya ni kwamba kwa kuwa ni mpenzi wako ni mtu wa karibu jaribu kuchunguza ni kitu gani ambacho huwa anakipendelea sana,

Baada ya kupata majibu anza kufanya uchunguzi mwingine ni kitu ambacho huwa anapenda kulizungumzia sana,  baada ya kupata majibu, majibu hayo yaweke katika halmashauri yako ya kumbukumbu. Na mwisho wa siku mnunue kitu hicho kwani ndiyo zawadi itakayompendeza.

"Pia wakati mwingine maneno yangu sio sheria unaweza inanunua zawadi ambayo kiukweli unahisi fika itampendeza mwezi wako"

Hayo ni baadhi ya mambo machache ya kuzingatia katika kufanya uchaguzi wa zawadi ya kumpa mpenzi wako. Kwani zawadi ni ishara upendo imara. Pia imeshauriwa ya kwamba zawadi ni heri iwe ile ya kudumu kwani hii hukumbukwa daima.

Pasipo kupoteza muda tuendelee kidogo kwa kuangalia japo kwa uchache umuhimu wa zawadi katika mahusiano ya ndoa.

1.Huimarisha uhusiano na kuongezeka mapenzi ya kweli
Pindi utoapo zawadi kwa mwenzi wako,  mwenzi huyo hujihisi yeye ni wa thamani sana mbele yako.  kwani zawadi kutafsiriwa na mpokeaji kama ni mtu wa thamani sana,   mtu ambaye anapendwa kweli .   hivyo pindi ufanyapo kitendo cha utoaji wa zawadi yeyote ile kwa mwenzi wako, hufanya mahusiano yenu yaimarike na si kuteteleka.

2. Humfanya mtu ajihisi yupo mahali salama.
Usishangae huo ndio ukweli, kama ulikuwa hauna kawaida ya kumpa zawadi mpenzi wako basi anza kufanya hivyo mara moja.  Kwani zawadi hutafsiwa na mpokeaji ya kwamba yupo mahali sahihi. Hivyo ili kuweza kuudumisha upendo wako na mwenzi wako jenga utaratibu wa kumpa zawadi mpenzi wako.

3. Zawadi huacha kumbukumbu.
Hakuna kitu ambacho huacha alama kubwa katika mahusiano kama zawadi. Hivi hajawahi kukutana na mtu anamwambia ya kwamba kitu hiki alinipa fulani?  Bila shaka umewahi kukutana na mtu wa aina hiyo.  Kama ndivyo hivyo amini ya kwamba zawadi huacha alama katika mahusiano.

Na ili kuacha alama hiyo, kama nilivyosema hapo awali ua kwamba zawadi ni lazima iwe ni ya kudumu. Pia kabla sijaweka nukta nikumbushe pande zote mbili mvulana na msichana ana haki ya kutoa zawadi kwa mwezi wake. Hivyo nikusihi ya kwamba ujijengee utaratibu wa kutoa zawadi kwa mwezi wako
Viewing all 104803 articles
Browse latest View live




Latest Images