Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Kutana na Tabibu wa Tiba za Asili Maalim Issa Najimu Mwenye Uwezo wa Kutibu Magonjwa....

$
0
0

KUTANA NA TABIBU MWENYE KUBRI KUTOKA KWA ALAH MAALIM ISSA NAJIMU.
NI SHARIFU MWENYE UWEZO WA KUBAINI TATIZO LAKO PUNDE TU UNAPO MFANYIA MAWASILIANO KUPITIA WASAA NA SIKU KWA MAWASILIANO:-
MAALIM ISSA NAJIMU KUTOKA MKOA WA TANGA MWAMBONI MAGOFU KATA YA NGUVU MALI NCHINI TANZANIA,

NI TABIBU MWENYE KUBRI TOKA KWA ALAH ANATIBU KWA NJIA YA VITABU VYA
QUR-AN, DAWA ZA ASILI PAMOJA NA DAWA ZA KIARABU.

ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE / MKOA WOWOTE KWA MATATIZO YAFUATAYO:-

 ULIJALI (NGUVU ZA KIUME)
 MIGUU KUWAKA MOTO
 KUTAFSIRI NDOTO
 MFARAKANO WA WANANDOA
 MFARAKANO KAZINI
 KUPANDSHWA CHEO
 KUTOA PETE YA BAHATI
 ANAO UWEZO WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUBASHIRI
 KUFUNGUA UZAZI KWA WALIYO FUNGWA KWA NJIA YA USHIRIKINA
 KUTOA VIFUNGO VYOTE VILIVYO FUNGWA IKIWA NI KWENYE MWILI WA BINADAMU
/MAJUMBANI NA KWENYE BIASHARA.
 ANA UWEZO MKUBWA WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUMPATA YEYOTE UMPENDAYE KWA
KUMUOA AU KUWA NAYE.
 ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIYE MBALI PIA ALIYE CHUKULIWA KWA NJIA YA MSUKULE
 ANAO UWEZO WA KUUA KESI SUGU NA PYA NDANI SIKU 7 TU.
 MENGINEYO MENGI ZAIDI YALIYO KUWA SUGU

PIGA SIMU-
 Mobile; 0717 70 32 41.
 WhatsApp 06226 535419.

NIKIONA Chupi tu Jogoo Anawika Nifanyaje Kupata Dawa?

$
0
0
Mimi ni mwanaume rijari nimekamilika kila idara,ila nikiwaona mademu wakikaa Vibaya na kuonyesha makufuli au akiwa amevaa suruali alafu ainame bahati mbaya kufuli ionekane basi jogoo langu linawika na linahitaji na siku hiyo lazima nitafute demu hata kama ni malaya  je wapi ntapata dawa ya kutuliza huu mzukaa?

Hamad Rashid Awaponda Tena Chadema na CUF, Adai Wanaweweseka tu Hakuna ‘Ukawa Wala Upawa’

$
0
0
Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wa Zanzibar Hamad Rashid ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) ameirudia kauli yake aliyoitoa kipindi cha Bunge la Katiba mwaka 2014 kuwa Hakuna “UKAWA wala UPAWA”


Akizungumza Jumapili hii Jijini Dar Salaam Katika kuelekea kuadhimisha miaka mitano ya chama hicho AgostI 22 mwaka huu, Waziri Hamad Rashidi ameeleza kuwa kipindi cha Bunge la Katiba aliposema kuwa Hakuna UKAWA wala UPAWA baadhi ya watu walimcheka lakini kwasasa matokeo yake yanaonekana kwa kile kinachoendelea ndani ya vyama vya siasa ikiwemo mgogoro wa CUF ambao imefikia hatua unaingiliwa na chama kingine cha upinzani ikiwemo CHADEMA.

Waziri Hamad Rashidi amefafanua kuwa “Jambo lolote ambalo halipo katika misingi ya kikatiba na kisheria haliwezi kupiga hatua” jambo ambalo limetokea kwa UKAWA kwasababu haikuwa kikatiba wala kisheria jambo lililopelekea migogoro katika uchaguzi wa mwaka 2015 ambapo baadhi ya maeneo walishundwa kuelewana na kusimamisha wagombea wao kwa kila chama kinyume na matakwa ya kuungana kwao.

Katika hatua nyingine ADC ameviomba vyama vya siasa vyenye migogoro kuiga mfano wa chama hicho kwa kutatua migogoro yao kwa amani na kuwataka wafuate misingi ya Mwenyezi Mungu ambaye ameamrisha kusamehana pindi inapotokea tofauti miongoni mwa watu.

“Namshangaa binadamu ambaye anakataa suluhu maana hata siku ya mwisho mlango wa TOBA ndiyo utakao kuwa wa mwisho kufungwa hivyo kiushi bila kusamehana ni kumkosea Mwenyezi Mungu” Alisema Waziri Hamad Rashid

Katika hatua nyingine Waziri Hamad Rashid ameeleza kuwa ADC imeendelea kufanya kazi kwa ukaribu na jamii kwa kuanzisha vikundi mbalimbali vya VICOBA bila riba na kutoa mafunzo mbalimbali ambayo yamewasaidia watanzania wengi ambao walikuwa wamepoteza matumaini.

MAONI ya Dr. Slaa Kukamatwa kwa Dkt. Mashinji na Viongozi wengine wa CHADEMA

$
0
0
Ndugu zangu Watanzania,

Nimesoma kwa umakini "Taarifa" ya kukamatwa na kupelekwa Kituoni Katibu Mkuu wa Chadema na Viongozi wengine wa ngazi ya Mkoa na Kanda, kule Mbamba Bay, wakiwemo Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tz. Mara kadhaa viongozi wa vyama mbali mbali pia wamekamatwa. Nimeshindwa kuelewa hasa tatizo la Msingi ni nini kwa kuwa Taarifa zinatolewa kwenye mitandao ya Jamii ki ushabiki zaidi. Hivyo mtu yeyote makini mwenye nia ya kulisaidia Taifa au kwa kushauri au kukemea anashindwa kwa kuwa " facts za msingi" haziwekwi wala kujadiliwa; wala na mtoa " thread/post au hata na wachangiaji. Namshukuru Mkurugenzi Kibatala, Wakili Msomi Mallya na wasaidizi wake mara kadhaa wamejaribu kutoa ufafanuzi katika hatua ya kesi lakini bila facts za matukio. Ni wazi katika hatua hiyo siyo jukumu lao kutoa facts kwa kuwa itaharibu kesi yao.

Hata hivyo, baada ya kusoma mara kadhaa Taarifa ya matukio haya nimepaswa kurejea Political Parties Act, ( RE 2002) na Kanuni zake zote.

1) Kimsingi, Watu wengi wanaamini kuwa Vyama vya siasa viko huru kufanya Mikutano ya ndani bila kutoa " Taarifa" ( Notice) Taarifa kwa Mamlaka husika ya Police katika eneo. Kifungu cha 11 (1-7) chahusika. Hii ni imani iliyojengwa visivyo, na utaratibu huu usipofuatwa wahusika hulalamika kuwa wanakandamizwa na kunyimwa haki za kidemokrasia na yote yanayoendana na hayo.

Ili sisi tusioegemea upande wa Chama chochote, bali ni Wapenzi wa Taifa na kwa Taifa lolote katika ulimwengu wa leo vyama imara ni muhimu kwa maendeleo ya Kiuchumi na kisiasa. Ninaomba mwenye facts za matukio haya atuwekee ili tuweze kujadili with " objective and unbiased observations". Ebu tuachane na kauli zisizojengwa katika misingi ya kisheria kuwa " mikutano ya ndani haihitaji utoaji wa Taarifa". Ni kweli Mikutano ya Vyama vya siasa iwe ya nje au ya ndani haihitaji " Kibali cha yeyote wakiwemo Polisi ( Hukumu ya Mahakama Kuu).

2. Pamoja na maelezo hayo kwa Mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa niliyotaja hapo Juu, mamlaka ya Polisi katika kudhibiti vyama vya siasa yapo pale pale iwapo utaratibu wa kisheria ikiwa ni pamoja na utaratibu uliowekwa na Sheria na Kanuni haukufuatwa. Utaratibu huo ni pamoja na kutoa " Notice" ( Taarifa) kwa Mamlaka husika ya Polisi katika eneo husika.

a) Iwapo utaratibu wa kutoa Taarifa umefuatwa, Mamlaka ya Polisi hayawezi kukataza mkutano ulioombwa ( wa ndani au wa nje) isipokuwa kwa sababu zilizotajwa ndani ya Sheria.

b) Taarifa za Ki-inteligensia au kugongana mikutano ya vyama ni sababu mojawapo ya mamlaka husika kuzuia mkutano uliotolewa Taarifa. Lakini Mamlaka hiyo inatakiwa kutoa siku/ muda mwingine au hata eneo lingine/ uwanja mwingine Mkutano huo unapotakiwa kufanyika. Hili ni hitaji la kisheria na siyo hisani ya mtu au kiongozi yeyote,

3) Kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa, vyama vya Siasa vina haki ya kufanya mikutano ya kisasa, ya ndani na ya hadhara kwa lengo la kutafuta wanachama. Haina mantiki kuwa na "ndoa" ambayo wana ndoa hao wanawekewa masharti wasipate watoto kwa utaratibu ulioko ndani ya masharti ya Taratibu zilizoko katika Imani iliyowaunganisha katika ndoa hiyo. Kufanya hivyo ni kumaliza kizazi cha wana ndoa hao. Mimi siamini na sijaona mahali popote "Decree" ( Amri ya Rais) inayozuia Mikutano ya vyama ya nje wala ya ndani. Aliyeiona aniwekee humu jukwaani, Hivyo siamini kabisa kama kuna Katazo la Rais, ukiacha matamko ya kisiasa. Kauli ya Rais si sheria na haiwezi kuvunja Sheria iliyotungwa na Bunge ( Sheria na 5 ( RE 2002 ni sheria halali iliyotungwa na Bunge). Ninaamini kabisa kama kuna amri yeyote ya Rais, chama makini kingeli " challenge" amri hiyo chini ya vipengele vya sheria vya " Prerogative Orders za Certiorari, Prohibimus na Mandamus". Wanasheria wanajua vizuri matumizi ya sheria hizo katika kudhibiti matumizi mabovu ya mamlaka ya kuiongozi yeyote. Hivyo, tusitafute majibu mepesi katika " udikteta". Ni muda mwafaka sasa kutafuta majibu sahihi penginepo.

4) Ni wazi kabisa, na nimemsikia Waziri wa Mambo ya ndani akitamka mara kadhaa kuwa mikutano ya Vyama ( ya hadhara na ya ndani ) haijapigwa marufuku alimradi utaratibu unafuatwa. Ni kwa msingi huu, ningependa sasa wapenzi wa vyama kuanza kubana viongozi wao kujua kama kweli " Taratibu" zote zilizowekwa na sheria zimefuatwa katika maandalizi ya mikutano ya vyama vya siasa. Tukumbuke Sheria yetu ya Vyama vya Siasa ni ya 1992 ( RE -as amended 2002) na Kanuni zake na tukumbuke Sheria inayoongoza Jeshi la Polisi ni za 1959 ( kama sikosei- sijacheki- na marekebisho madogo madogo kadhaa yakiwemo ya 2002). Hivyo Rais aliyeko madarakani kwa kutambua uwepo wa sheria hizo na kuzisimamia kama alivyoapa kusimamia Katiba na sheria hawezi kulaumiwa. Tangu ameingia madarakani siku takriban 600 zilizopita Rais aliyepo chini yake hapajatungwa sheria yeyote ya kudhibiti vyama na wala hakuna marekebisho yaliyofanyika, labda kama yamenipita pembeni, basi nielimishwe.. Katika hali hiyo tusipende kutafuta majibu mepesi kishabiki bila kufanya utafiti wa kina wa Tatizo linalosibu Taifa na Demokrasia yetu.

5) Ni kweli Pia kuwa Polisi kwa kutumia Sheria za zamani zisizoendana na wakati, na bila waendesha Kesi wa Serikali ( kama ilivyo desturi katika kesi nyingi) kufanya maandalizi mazuri kesi nyingi zinazofunguliwa chini ya kinachoitwa kesi za " uchochezi" ( ambazo mimi mwenyewe kama Mbunge wa Karatu na Katibu Mkuu wa Chama nilifunguliwa) au hasiendelei, au hatimaye hushindwa mahakamani kwa kukosa maandalizi hafifu ya Prosecutors au kwa kesi zenyewe au ukamataji kukosa misingi ya kijinai katika mazingira halisi ya leo. Ni wazi kesi hizi huchafua siyo tu jina la Serikali iliyoko madarakani bali pia sifa nzuri ya Taifa letu. Ni muhimu Maofisa Polisi kutimiza majukumu yao kwa umakini mkubwa na uangalifu mkubwa, na hasa kufuata misingi ya kisheria na kulinda Sheria za nchi bila kufanya mambo kwa kumpendeza mtu yeyote awaye. Taifa ni letu sote, mambo yakiharibika, sote tutaumia pamoja na mamlaka zenyewe za polisi, kwani leo uko kwenye madaraka kesho atakuwepo mwingine.

6) Maelezo kuwa Chama Tawala kinafanya "Mikutano" ( ya ndani au ya nje) haiwezi kuwa hoja yenye nguvu. Kwani kama " wametimiza hitaji la " Notice" inayohitajika kisheria kama utaratibu wa kisheria unavyotaka lazima wapige "mbiu" au wawatangazie. Nani kafanya utafiti kwenye ma faili ya mamlaka husika kuwa "hawakufuata" utaratibu wa kisheria. Hii ni hoja dhaifu sana kuhalalisha "kutotafakari na kufanya utafiti" katika wa kina.

Nimalizie tu kwa kusema kuwa, inauma kila siku kuona viongozi wa vyama wakikamatwa, na baada ya muda kuachiwa mahakamani. Ni dhahiri kuna dosari mahali. Au waliokamata hawakuwa makini, au walikuwa wakitaka kumpendeza au wanajipendekeza kwa malengo wanayojua wenyewe. Au kama nilivyoeleza Waendesha Mashtaka wa Serikali, DPP na wasaidizi wake wakiwemo na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali hawajiandai vizuri.

Kwa kumalizia nirudie tena kuwa wakati ufike sasa Wapenzi wa Vyama na wapenda demokrasia kwa ujumla tusipende sana kujadili mambo kwa ushabiki bali tuanze kuwa na "Critical analysis" ya hali inayokabili demokrasia yetu na kuanza kuhoji viongozi wetu wa vyama. Viongozi wawe wazi kama wamefuata Taratibu za kisheria au wamezoea kufanya mambo kwa " mazoea tu". Hakuna mahali popote sheria inapotamka kuwa "Mikutano ya ndani ya Vyama" haihitaji " Notice". Wala Mamlaka ya Polisi hasa vifungu vya 43, 44 etc vya Police Ordinance, ( kama sijakosea) havijarekebishwa wala kuondolewa, hivyo vikitumika tusilalamike, bali tuwalalamikie viongozi wetu kwa kutokuwa " Proactive" vifungu hivyo vilivyotungwa wakati wa ukoloni vifanyiwe marekebisho ya msingi ili demokrasia ya kweli iweze kujenga msingi katika Taifa letu. Wanasheria wa vyama ningelipenda wawasaidie wapenzi wa vyama katika kutoa elimu ya msingi, lakini pia kuwashauri vizuri pia viongozi badala ya kusubiri " kesi mahakamani".

Nawasilisha.

MFANYABIASHARA Maarufu Kenya Kuzikwa Katika Jeneza la Dhahabu na Lisilopitisha Risasi.....

$
0
0
Aliyekuwa mfanyabiashara na mwanasiasa Kenya, Marehemu Nicholas Biwott kuzikwa katika jeneza la dhahabu na lisilopitisha risasi...


Imefanyika hivyo kutokana na maagizo yake aliyotoa kabla ya kifo chake ambapo alidai ana maadui wengi ambao wanaweza kumwinda hata akiwa kaburini....

Former Powerful Minister, Nicholas Biwott, will be buried in a gold bullet proof coffin to protect him from enemies.

In a will, Biwott said even in death enemies would be all over him. He therefore demanded that he be buried inside a bullet proof coffin so as to scare away people aimed at him. He also told his beloved ones to bury him in a golden coffin, to symbolize his social status.

The tycoon’s coffin has been ordered from USA after it was established that a casket of this nature could not be found in Kenya. Anytime this week the coffin will arrive in the country under maximum security.

Biwott was a man who constantly feared everyone and anyone. He was afraid of death. A secretive man, the former Minister never allowed any person near his compound unless iit was a close family member. Even in death, it was his wish to be protected.

ADC yapingana na TRA Kuvifungia Vituo vya Mafuta

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama Cha Alliance for Democratic Change (ADC) Doyo Hassan Doyo ameitaka Mamlaka ya Mapato nchini TRA kusitisha zoezi la kuvifungia vituo vya mafuta nchini kwani limewakosesha huduma watanzania wengi ambao kimsingi hawana hatia na hadha wanayoipata.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Alliance for Democratic Change (ADC) Doyo Hassan Doyo

Akizungumza Jumapili Jijini Dar es Salaam katika ofisi za chama hicho zilizopo Buguruni Rozana Katibu Mkuu huyo ameeleza kuwa ni vyema serikali ikawachukulia hatua za kisheria wamiliki wa vituo hivyo mafuta na kuruhusu huduma ziendelee kwani huduma ya mafuta imeendelea kuwa mtihani kwa wananchi wa maeneo mbalimbali hapa nchini.

Mamlaka ya Mapato nchini ipo katika oparesheni ya kuvifungia vituo vya mafuta nchini ambazo havijafunga mashine za EFD katika ‘Pump ‘ za mafuta jambo ambalo halichochei ukusanywaji wa mapato wenye ukweli wa takwimu.

Katika hatua nyingine Katibu Mkuu Doyo amesema ADC inakitaka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Kutoingilia Mgogoro ulikuwepo Ndani ya Chama cha Wananchi CUF.

Ambapo amesema kuwa Chadema kuingilia Mgororo wa CUF kunaweza kuhatarisha amani ya nchi.

“Tumeshuhudia Migogoro mingi ya vyama vya siasa lakini hatujaona kingene kikiingilia Mgogoro wa Chama kingine”.

Hata hivyo Doyo ameitaka serikali iviache vyama vya siasa nchini vifanye shughuli zao.

ADC ipo katika maandalizi ya Maadhimisho ya kuzaliwa kwa Chama hicho ambayo yatafanyika Tarehe 22 Agosti Mwaka Huu ambapo chama hicho kitakuwa na ziara kwenye asasi za Kiraia, kuwatembea Wagonjwa, Wafungwa, Vyuo vikuu na Kutembea Nyerere Foundation ,N.K na Mwisho kuhitimisha kwenye Ofisi za chama hicho Buguruni Jijini Dar es Salaam, huku vyama mbalimbali vikialikwa.

MGAWO wa PESA za Escrow wa Kina Chenge ni Bajeti ya Wizara hii

$
0
0
MGAWO waliopata wabunge, maofisa wa serikali na viongozi wa dini kutoka kwa watuhumiwa wakuu wa kashfa ya uchotwaji wa mabilioni ya akaunti ya Tegeta Escrow unatosha bajeti ya mwaka mzima ya miradi ya maendeleo ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Nipashe imegundua.

Katika miaka mitatu iliyopita ya bajeti (2014/15, 2015/16 na 2016/17), wizara hiyo ambayo kwa sasa iko chini ya Waziri Dk. Harrison Mwakyembe, ilitengewa bajeti ya Sh. bilioni tatu kila mwaka, ikiongoza wizara zote 18 kwa kuwa na bajeti ndogo zaidi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Wakati wizara hiyo ikiambulia Sh. bilioni moja (theluthi ya bajeti yake ya maendeleo) hadi inapofika robo tatu ya mwaka wa bajeti katika miaka hiyo mitatu, imebainika Sh. bilioni 4.77 zinazodaiwa zao la kashfa ya uchotwaji wa fedha kwenye akaunti ya Tegeta Escrow walizopatiwa wabunge, maofisa wa serikali viongozi hao wa dini zingelitosha kugharamia kikamilifu miradi ya maendeleo ya wizara hiyo kwa mwaka mzima na 'chenji' ya Sh. bilioni 1.7 ikabaki.

Katika mwaka uliopita wa fedha, kwa mfano, kati ya Sh. bilioni tatu zilizotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya wizara hiyo, ni Sh. bilioni 1.19 tu (asilimia 40) ndizo zilizokuwa zimetolewa hadi Aprili 30, mwaka huu kwa mujibu wa Dk. Mwakyembe.

Kiasi hicho cha fedha hakifikii hata mgawo waliopata Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa zamani, Andrew Chenge na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wa zamani, Prof. Anna Tibaijuka kwenye mgawo huo unatokana na uchotwaji wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow mwaka 2014. Wawili hao waliripotiwa kupata mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kila mmoja.

Miradi ya maendeleo ambayo Wizara ya Habari ilipanga kutekeleza mwaka uliopita wa fedha ni Programu ya Urithi na Ukombozi wa Bara la Afrika ambayo hadi Aprili 30, mwaka huu, ulikuwa umepokea Sh. milioni 30.324 badala ya Sh. milioni 700 na mradi wa Ujenzi wa Ukumbi wa Wazi wa Maonyesho ya Sanaa ambao ulikuwa haujapokea hata senti licha ya kuidhinishiwa na Bunge Sh. milioni 800.

Miradi mingine ni Ukarabati wa Chuo cha Sanaa Bagamoyo uliokuwa umeidhinishiwa Sh. milioni 300, lakini hadi Aprili 30, mwaka huu, ulikuwa umepokea Sh. milioni 100 na Ujenzi wa eneo la Changamani la Michezo uliopokea Sh. milioni 60 kati ya milioni 100 zilizoidhinishwa na Bunge.

Miradi mingine ya maendeleo ya wizara hiyo iliyopaswa kutekelezwa mwaka jana ni Habari kwa Umma ulioidhinishiwa Sh. milioni 100, lakini haukupatiwa hata senti na mradi wa Upanuzi wa Usikivu TBC ambao ulipatiwa fedha zote, Sh. bilioni moja zilizoidhinishwa.

ILIANIKA MAJINA
Mgawo wa fedha za akaunti hiyo pia ni karibu nusu ya fedha ambazo serikali imetumia kufanya ukarabati wa Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Uwanja huo umekarabatiwa na Kampuni ya Beijing Construction ya China kwa gharama ya Sh. bilioni 10.

Katika ripoti yake iliyowasilishwa kwenye kikao cha 18 cha Bunge la 10, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ilianika majina ya maofisa wa serikali, wabunge na viongozi wa dini waliopata mgawo wa fedha zinazohusishwa na kashfa hiyo.

Watu hao walipewa fedha hizo na Mkurugenzi wa VIP Engineering na mmiliki mwenza kwa kampuni ya IPTL, James Rugemalira.

Mkurugenzi huyo na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Power African Power (T) Limited (PAP), Seth Sigh wako mahabusu kwenye Gereza la Keko jijini baada ya kukosa dhamana walipofikishwa mahakamani na Takukuru mwanzoni mwa mwezi wakikabiliwa na mashtaka 12 ikiwamo ya kugushi, utakatishaji fedha na kusababisha hasara ya dola za Marekani milioni 22.1 na Sh bilioni 309.4 kwa serikali.

Mbali na Chenge na Prof. Tibaijuka, wengine waliopata mgawo huo ni ofisa katika Ofisi ya Rais wakati huo, Shabani Ngurumo aliyepewa Sh. milioni 80, Jaji wa Mahakama Kuu aliyejiuzulu, Eudes Ruhangisa Sh. milioni 404.25, aliyekuwa mjumbe wa Bodi ya Shirika la Ugavi wa Umeme (Tanesco), Dk. Enos Bukuku Sh. milioni 161.7 na Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), ambaye Jumatatu iliyopita alirejesha serikalini Sh. milioni 40.4 alizopewa.

Katika ripoti hiyo Waziri wa Nishati na Madini wa serikali ya awamu ya tatu, Daniel Yona, Mbunge wa zamani wa Sumbawanga
Mjini, Paul Kimiti, aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Emmanuel Ole Naiko na aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu, Aloisius Mujulizi walitajwa kupatiwa Sh. milioni 40.4 kila mmoja.

Wengine ni ofisa wa TRA, Lucy Apollo Sh. milioni 80.8, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mkuu wa Mamlaka ya Usajili wa Vizazi na Vifo (Rita), Philip Saliboko Sh. milioni 40.2, maaskofu Methodius Kilaini Sh. milioni 80.9 na Eusebius Nzingirwa Sh. milioni 40.4, Padri Alphonce Twimannye Sh. milioni 40.4, maofisa wa Rita Placidus Luoga Sh. milioni 121.2 na Theophil Rugozobwa Sh. milioni 323.4.

KIMENUKA....Aliyetobolewa Macho na Scorpion Aanza Kugawana Mali na Mkewe

$
0
0
WAKATI lile sakata Linalomuhusu kijana Said Mrisho aliyetobolewa macho na mtu aitwaye, Salum Njwete ‘Scorpion’ kumtelekeza mkewe, Stara Sudi ‘Mama D’ na watoto wanne, likiwa bado bichi, jipya jingine limeibuka ambapo wawili hao wameanza kugawana mali.

Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita maeneo ya Maji-Chumvi, Tabata-Kimanga jijini Dar, zikiwa zimekatika siku chache tangu Stara apangishiwe nyumba na Said kisha jamaa huyo kwenda kuishi na mwanamke mwingine mwenye asili ya Kiarabu.
Akizungumza na Wikienda, Stara alisema kuwa amefi kia uamuzi huo wa kuchukua kilicho chake baada ya kutelekezwa kwenye nyumba hiyo.

“Amenitelekeza, nitakaa vipi hapa… nimeamua kuchukua vitu na kupeleka nyumbani kwetu. Nimekaa hapa kwa siku nne tu, nimekuja kuchukua malipo yangu ya miezi mitatu.

Ujue mwanzoni tulikubaliana na Said na akamuomba mwenye nyumba kuwa atakuwa akilipia kodi miezi mitatu-mitatu, lakini mama yangu akakataa, akasema muongo huyo, atakukimbia na kwamba kwa nini kwangu alipie miezi mitatu na kule (kwa mke mwingine) alipie miezi tisa? Said akadhani nitajua amesafi ri ili awe anakuja kwa siri kuchukua vitu kidogokidogo,” alisema Stara.

Kwa upande wake, Said alisema kuwa, alikubaliana na hatua aliyoichukua Stara ya kuchukua vitu vyote ikiwemo friji, makochi na vingine vingi, jambo lililofanywa mbele ya mashahidi akiwemo mwenye nyumba.



“Nilikuwa ninatoa pesa vizuri, ilifi ka kipindi nikamwambia akatafute nyumba ya laki moja, akaenda kutafuta ya shilingi laki moja na nusu, nikalipia kwani niliomba kulipia miezi mitatumitatu.

Nashangaa kuambiwa kuwa nimetelekeza familia, hivyo ni visingizio ambavyo mwenzangu amewahi kwenda kwenye media na kuongea bila kusikiliza upande wangu,” alisema Said na kuongeza:

“Nilipigiwa simu na mwenye nyumba kuwa amepaki kila kitu kwenye gari, anahama na ameshapeleka barua Ustawi wa Jamii (Ilala) kuwa ninahitajika siku ya Jumatatu (leo) na kwamba kiasi cha kodi kilichokuwa kimelipwa (laki nne na nusu) arudishiwe kwani ndiyo kwanza amekaa miezi minne.Nilifi ka na kufanya makabidhiano mbele ya mwenye nyumba.”

STORI: MWANDISHI WETU | IJUMAA WIKIENDA| DAR

NUHU Mziwanda Kuula Kwenye Lebo ya Ali Kiba.......

$
0
0
MKALI wa Bongo Fleva, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ yupo kwenye hatua za mwisho za mchakato wa kuingia mkataba na ‘record label’ ya Rockstar4000 ambayo pia ina msanii, Ali Kiba.
Akichonga na Over Ze Weekend, Nuh alisema kuwa, haitakuwa busara kila kitu kikawekwa wazi kabla ya makubaliano ya kusaini lakini mashabiki wakae wakijua yupo njiani kujiunga na lebo hiyo.

“Ni kweli nipo kwenye mazungumzo na lebo ya Rockstar4000 ambayo yupo Kiba na soon nitasaini mkataba. Nimekubali kufanya hivyo kwa sababu Kiba ni mtu wangu wa karibu na ninamheshimu kama kaka yangu, naamini tutafanya kazi vizuri tukiwa pamoja huko na hakuna nitakacho-pungukiwa kwa kuminywa kivyovyote vile,” alisema Nuh.

Lebo hiyo pia ina wasanii wengine akiwemo Lady Jaydee, Ommy Dimpoz pamoja na Barakah The Prince.

Mayasa Mariwata

NAFASI za Ajira Zilizotangazwa Leo

$
0
0

Nadhani ni Muda Muafaka Kwa Diamond Kurejea Kwa Hawa Tena....

$
0
0
NAJARIBU KUITAFAKARI TU KUIVUTIA PICHA YA WIMBO WA NITAREJEA PART2 ITAKAVYOKUWA KALI NA YENYE MSISIMKO.

Wakati @diamondplatnumz yuko kwenye mapenzi moto moto na na mpenzi wake HAWA maisha yalikuwa magumu na ikabidi diamond amuage mpenzi wake kuwa anaenda kutafuta maisha ila akamuahidi kuwa NITAREJEA.Diamond akiamini kuwa mjini atapambana na maisha afanikiwe arudi kwa mpenzi wake hawa alizidisha sana juhudi katika kazi yake na ubunifu mkubwa hasa ukizingatia kazi yake ni ya muziki.Ukweli mungu alimjalia @diamondplatnumz alipambana sana na kipaji chake na akafanikiwa kufikia malengo aliyotataka.Ila katika harakati za kupambana diamond alijikuta kwenye mahusiano na mabinti mbali mbali ambao walimpelekea diamond kumsahau mpenzi wake wa zamani Hawa.Baada ya muda Hawa naye alisubiri kama mpenzi wake diamond atarejea bila mafanikio na ndio hapo na yeye akaamua kuanzisha mahusiano na mwanaume mwingine ambaye walifikia kabisa kufunga ndoa.

Kutokana na kila mtu kuwa na mahusiano yake iliwafanya kabisa kusahauliana na kila mtu kuendelea na maisha yake.Ila ukweli kwa Hawa hali haikuwa nzuri kwa sababu alijikuta katika makundi mbali mbali ambayo yalimfanya kupotea kabisa ki maisha na hata ndoa yake kuvunjika.Wakati diamond akiwa mahusiano yake yako imara ila alipata kukumbuka yale mema aliyofanya na mpenzi wake wa zamani Hawa na kuonesha kutamani japo kujua yuko wapi japo sio wapenzi tena. Ila wakati diamond akiendelea kutamani kujua Hawa yuko wapi ghafla zinazuka habari kuwa sasa hivi Hawa kawa mlevi wa gongo na maisha yake yote yameharibika kitu ambacho kiliwashtua watu wengi pia.

Kuzuka kwa habari hizo tunaaamini zitasaidia kumfikia mpenzi wake wa zamani diamond ambaye alikuwa anatamani siku kujua Hawa yuko wapi kwa mana hiyo diamond atarejea kwa Hawa safari hii japo anarejea kama rafiki ambaye anatamani kumuona mpenzi wake wa zamani Hawa akirudi kama zamani kwenye kipaji chake.

JE UKIPEWA NAFASI YA KUTOA JINA LA WIMBO HUO UTAUPA JINA GANI? .
.
By @abby1_thebest

TABORA..Muuguzi Amchoma Binti Sindano ya Usingizi na Kumbaka.....

$
0
0
MUUGUZI anayefanya kazi Kituo cha Afya Kata ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Damian Mgaya (26) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma ya kumbaka binti wa miaka 18 mkazi wa Kitongoji cha Mwagala B, Kijiji cha Mwagala.

Mtendaji wa Kata ya Igurubi, Ntemi James alisema uhalifu huo umefanyika Julai 14, mwaka huu saa 8 hadi alfajiri wakati binti huyo akimuuguza mama yake, Tatu Simbi ambaye amelazwa katika kituo hicho cha afya baada ya kushambuliwa kwa kipigo na mume wake. James alidai mtuhumiwa alimpokea mama wa binti huyo akiwa hoi na ndipo alimpatia matibabu kisha kumlaza katika kituo hicho cha afya huku akimchoma sindano ya usingizi ambayo ilisababisha mama huyo kupitiwa na usingizi.

Mtendaji huyo alidai kuwa muuguzi Damian alipoona mama wa binti huyo amelala, alimwambia waende wote chumba kingine ili akachukue dawa ya mama yake; lakini hata hivyo hakumpa dawa na badala yake alimwambia amchome sindano ili asipate maradhi kwa kuwa mazingira ya hospitali sio mazuri. Baada ya kuambiwa hivyo, binti huyo alikubali kuchomwa sindano mbili na alipochomwa sindano ya kwanza aliishiwa nguvu na alipochomwa sindano ya pili alianguka na kupitiwa na usingizi hadi asubuhi.

Alisema baada ya kuona amelala pasipokuwa na fahamu, muuguzi huyo alianza kumbaka hadi alfajiri alipoamshwa na mama yake huku yeye akiwa hajitambui kutokana na maumivu aliyokuwa akiyasikia sehemu zake za siri na mwili wote. Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Bonaventura Kalumbete alithibitisha kubakwa kwa binti huyo na muuguzi huyo na kueleza kuwa baada ya kupata taarifa hiyo, alituma timu ya wataalamu ambayo ilibaini binti huyo kubakwa na amelazwa kwenye kituo hicho na hali yake ni mbaya kwani hawezi kutembea.

Aidha, Dk Kalumbete alisema uchunguzi wa awali unaonesha binti huyo alichomwa sindano wakati alikuwa hata haumwi na hizo dawa nazo zimechangia kumsababishia kushindwa kutembea huku akiahidi kuwa baada ya uchunguzi, muuguzi huyo atachukuliwa hatua kali za kisheria.

Mkuu wa Wilaya ya Igunga ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, John Mwaipopo alikiri kukamatwa kwa muuguzi baada ya kupokea taarifa ya kubakwa kwa binti huyo, alimwagiza Mkuu wa Polisi Igunga kumkamata muuguzi huyo Damian Mgaya ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria.

Chanzo: HabariLEO

FAMILIA Yaelezea Chanzo cha Kifo cha Mke wa Waziri Mwakyembe

$
0
0
Linah Mwakyembe, aliyekuwa mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison George Mwakyembe imeelezwa kuwa alifariki dunia kutokana na saratani ya titi ambayo imekuwa ikimsumbua kwa zaidi ya miaka miwili.

Linah aliyekuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Agha Khan jijini Dar es Salaam alifariki dunia usiku wa Julai 15 na anatarajiwa kuzikwa keshokutwa, wilayani Kyela, mkoani Mbeya.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Msemaji ya Familia ya Waziri Mwakyembe, Solomon Kivuyo nyumbani kwa marehemu Kunduchi Beach, Manispaa ya Konondoni, Dar es Salaam aliyesema hayo na kueleza zaidi kwamba marehemu ameacha mume na watoto watatu.

“Alikuwa akisumbuliwa na saratani ya titi kwa zaidi ya miaka miwili, na alishawahi kutibiwa hospitali za hapa nchini, India na hata Uturuki,” alisema Kivuyo ambaye ni shemeji wa Marehemu.

Kivuyo ambaye ni Mtumishi katika Ofisi ya Rais Ikulu, alisema kuwa baadhi ya ndugu wataanza safari leo kwenda Mbeya wakati wengine wakitarajiwa kwenda kesho tayari kwa maziko ya ndugu yao huyo.

LOWASSA: Hakuna Ubishi Nitashinda Urais mwaka 2020

$
0
0
Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amesema licha ya changamoto nyingi anazopata akiwa ndani ya upinzani, atagombea tena urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2020 na anaamini atashinda.

Lowassa aliyejitokeza kugombea urais kupitia CCM mwaka 2015 na jina lake kukatwa kisha kuhamia Chadema alikogombea nafasi hiyo akiwakilisha vyama vilivyoungana chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na kushindwa na Rais John Magufuli, bado anatajwa kuwa mgombea mwenye nguvu katika kambi ya upinzani.

Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Rais Magufuli alishinda kwa kupata kura 8,882,935 sawa na asilimia 58.46, huku Lowassa wa Chadema akijipatia kura 6,072,848 sawa na asilimia 39.97 ya kura zote.

Akizungumza jana katika mahojiano maalumu na waandishi wa Nation Media Group (NMG) jijini Nairobi, Lowassa alisema, “Kwa mapenzi ya Mungu nitajaribu tena mwaka 2020 na nitapita kwa mikono safi.”

Kama ambavyo amekuwa akisema tangu aliposhindwa katika uchaguzi huo wa 2015, pia jana Lowassa alisema licha ya kuendeshwa katika mfumo usioaminika, hakutaka kuwashawishi wafuasi wake wamwage damu kwa kudai ushindi.

“Wafuasi wangu walitaka tuingie mitaani kudai ushindi, lakini kulikuwa na bunduki nyingi mikononi mwa wanajeshi. Niliogopeshwa na umwagikaji wa damu. Sikutaka kuingia Ikulu kupitia damu za watu kwa sababu sistahili hivyo,” alisema.

Hata hivyo, alisema licha ya uchaguzi huo kutoaminika, bado anamheshimu Dk Magufuli kama Rais, japo mbunge huyo wa zamani wa Monduli alikataa kukubaliana na utendaji wa mkuu huyo wa nchi kwa kipindi alichokaa madarakani.

“Hata kama Dk Magufuli alichaguliwa katika mfumo usioaminika wa uchaguzi, bado tunamheshimu kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,” alisema Lowassa. Alisema, “Utendaji wa Rais Magufuli utaamuliwa na watu utakapofika mwisho wa muhula huu mwaka 2020. Bora niwe makini katika hili nisije nikanukuliwa vibaya nikaingia kwenye matatizo nitakaporudi nyumbani.”

Lowassa ambaye hivi karibuni amekuwa akiripoti Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam kutokana na kauli yake kuhusu viongozi wa Jumuiya ya Uamsho waliokamatwa mwaka 2012 huko Zanzibar, alilaani ukiukwaji wa demokrasia akisema Chadema itakwenda mahakamani kudai haki ya kufanya siasa.

“Kukataza huko siasa ni kinyume cha demokrasia na haki, hata hivyo tunajitahidi kujiimarisha. Tumeshalalamika serikalini kuondoa katazo hilo lakini bado inajivuta miguu. Tunaweza kulazimika kwenda kutafuta msaada wa Mahakama,” alisema.

Kuhusu kamatakamata ya viongozi wa upinzani, Lowassa alisema licha ya kupata zaidi ya kura milioni sita, ameshindwa hata kuwashukuru wananchi waliompigia kura.

“Nilipata kura milioni sita na siwezi kufanya mikutano hata ya kuwashukuru watu kwa kunipigia kura. Hiyo si tu kinyume cha demokrasia, bali si haki,” alisema Lowassa.

Wakati Jeshi la Polisi likikataza vyama vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara mwaka 2016, Rais Magufuli alisema wanasiasa waliochaguliwa wanaweza kufanya mikutano kwenye majimbo yao.

Hata hivyo, bado baadhi ya mikutano ya ndani ya vyama hivyo imeendelea kuzuiwa na viongozi wa upinzani wakikamatwa.

Licha ya kukiri kuwa ndani ya upinzani kuna changamoto nyingi, Lowassa alisema kuna wakati anapata faraja kuwa upande huo wa siasa.

“Ni uzoefu mzuri unaoendana na nyakati nzuri na ninafurahia uzoefu huo kwa sababu mimi bado ni maarufu na nina wafuasi wengi. Kukataza shughuli za siasa ni hatua ya kuninyamazisha,” alisema.

Lowassa alisisitiza msimamo wa Chadema wa kumuunga mkono Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Agosti 8 akisema kiongozi huyo ni chaguo sahihi kwa demokrasia za Kenya.

“Tumekuwa na vikao halali kama chama na vya wazi na kukubaliana kumuunga mkono Uhuru Kenyatta achaguliwe tena. Ni mtu mzuri anayeunga mkono Jumuiya ya Afrika Mashariki na anaheshimu viongozi wa upinzani,” alisema.

Hata hivyo, Lowassa aliyekwenda Kenya kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Usalama, Jenerali Joseph Nkaisery alifafanua kuwa uamuzi wa kiongozi sahihi wa kuiongoza Kenya utafanywa na Wakenya wenyewe kwenye uchaguzi wa Agosti.

Alipoulizwa ni kwa nini Chadema imebadilisha mgombea wanayemuunga mkono katika uchaguzi wa Kenya, kutoka kwa Raila Odinga wa Nasa, Lowassa alisema amekuwa akimuunga mkono Kenyatta kwa muda mrefu.

Kabla Lowassa hajajiunga na Chadema, Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe alishatangaza kumuunga mkono Odinga wakati huo akiwa Waziri Mkuu wa Kenya.

Akizungumzia kauli ya Lowassa kumuunga mkono Kenyatta, mmoja wa viongozi wa muungano wa Nasa, Musalia Mudavadi alimtaka  kiongozi huyo aache kuwaingilia katika uchaguzi huo na badala yake apambane na Dk Magufuli Tanzania.

FLORA Mbasha: Mwanaume Kama Hakuridhishi Kinyumba Haina Haja ya Kuendelea nae

$
0
0
Akihojiwa na kituo cha redio Swahili FM leo asubuhi, Flora Mwenda (zamani Flora Mbasha) amefunguka mambo mazito sana. Huku akiwa live redioni, amemuambia mtangazaji wa kipindi kuwa moja ya sababu zilizopelekea kutengana na mume wake wa zamani, Emmanuel Mbasha, ni ugoigoi wake kitandani.

“Unajua mimi nimeokoka siwezi kutoka nje ya ndoa, mwanaume anapokuwa hakuridhishi kiunyumba hakuna haja ya kuendelea kubaki naye", alisema Madam Flora. Mtangazaji alipombana afunguke zaidi, alikataa na kumueleza kwamba kila kitu amekisimulia kwenye kitabu chake kinachoitwa Siri Za Flora ambacho ameanza kukizambaza katika mikoa mbalimbali.

Mtakumbuka kwamba siku za nyuma kuna baadhi ya watu walimsingizia kutembea na Askofu Gwajima, tuhuma ambazo amezikanusha vikali kwenye kitabu chake. Sasa wale wote mliomtungia uongo Madam Flora mmeumbuka mchana kweupe.

Huyo ndiye Madam Flora Mwenda, The Born Again.

RAIS wa TFF Jamal Malinzi na Wenzake Baada ya Kufikishwa Mahakamani leo

$
0
0
Leo July 17, 2017 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeombwa kuahirisha kesi ya utakatishaji fedha inayowakabili Rais wa TFF, Jamal Malinzi na wenzake kutokana na upelelezi kutokamilika.

Mwendesha Mashitaka wa TAKUKURU, Leonard Swai ameomba Mahakama hiyo kupanga tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa kutokana na upelelezi kutokamilika ambapo Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri aliahirisha kesi hiyo hadi July 31, 2017.

Rais wa TFF Jamal Malinzi, Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine na Mhasibu wa Shirikisho hilo, Nsiande Mwanga walifikishwa Mahakamani leo wakikabiliwa na mashitaka 28, ikiwemo ya utakatishaji fedha Dola za Marekani, 375,418.

Aidha, Jamal Malinzi na wenzake, wamepata Mawakili wapya watatu kwa ajili ya kuwawakilisha katika kesi hiyo ambao walitambulishwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri.

Mawakili hao ni Richard Rweyongeza, Nehemia Nkoko na Abraham Senguji ambao wanakuja siku chache baada ya aliyekuwa Wakili Jerome Msemwa kujitoa kwenye kesi hiyo kwa alichodai kutopata maelekezo yoyote kutoka kwa wateja wake.

TAZAMA Idris Sultan Akifanya Vimbwanga Jukwaani Alafu Uniambie Kama Anachekesha Au Anapuyanga

$
0
0

TAZAMA Idris Sultan Akifanya Vimbwanga Jukwaani Alafu Uniambie Kama Anachekesha Au Anapuyanga Bonyeza Play Vizuri:

Je Una Tatizo la Nguvu za Kiume, Kukosa Hamu ya Tendo, Kushindwa Kurudia Tendo Au Maumbile Madogo ya Uume?

$
0
0

JE, UNA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME, KUKOSA HAMU YA TENDO, KUSHINDWA KURUDIA TENDO AU MAUMBILE MADOGO YA UUME? SOMA HAPA 👇👇👇👇
Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana, sio Tanzania tu bali duniani kote. Kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo sio ugonjwa ila ni dalili ya ugonjwa. Hii ina maana kuna dosari au udhaifu wa kiutendaji ndani ya mwili.

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME HUSABABISHA MAMBO KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.
@Markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye kisukari kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL ni kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @220,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6.5 @130,000/=
3.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @130,000/=
4.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kurudia tendo hata mara 3 bila kuchoka @130,000/=
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr.


Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no (+255)
0767447444 na 0714335378


NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
Bidhaa zetu zimetengenezwa kwa mimea na matunda na hazina kemikali wala madhara kwa mtumiaji. Zimethibitishwa kiafya.

LISSU Amtolea Uvivu Prof Lipumba...Adai ni Msaliti Kama Yuda Eskarioti

$
0
0

Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS), Tundu Lissu amesema Ukawa wanaLtangaza vita na CUF ya Profesa Ibrahim Lipumba kama walivyo vitani na CCM ya Rais John Magufuli kwakuwa Lipumba hana utofauti na Yuda Iskarioti aliyemsaliti Yesu.


Lissu amesema Profesa Lipumba amewasaliti kwa kuwa yeye ndiye aliyempitisha Lowassa (Edward) kuwa mgombea wa uraisi kwa tiketi ya Ukawa


"CUF ya Lipumba ilitusaliti kama Yuda Iskariot alivyomsaliti Yesu,"amesema Lissu.

HIVI Ndivyo Watu Wawili Walivyokufa Wakati Wakibatizwa

$
0
0

Watu wawili wanaripotiwa kufariki wakati wakibatizwa siku ya Jumapili, kwenye mto ulio eneo la Rombo mkoa wa Kilimanjaro Kaskazini mwa Tanzania.

Kwa mujibu wa naibu kamanda wa polisi Hamisi Selemani Issa, watu hao walikuwa wakibatizwa kwa kuzamishwa ndani ya maji, katika zoezi lililokuwa likiendeshwa na mhubiri wa Kanisa la Shalom huko Rombo.

Walizama maji katika mto Ungwasi wakati walikuwa wakizamishwa baada ya kile kinachotajwa kwa kulemewa na mawimbi makali ya mto huo.

Haijulikani ni kwa njia gani mhubiri na waumini wengine waliokuwa wakiendesha zoezi hilo walinusurika.

Polisi baadaye waliitwa kuondoa maiti baada ya ajali hiyo.

Naibu kamanda wa polisi aliiambia BBC kuwa waumini wa kanisa akiwemo pia mhubiri wamezuiliwa ili kuhojiwa.
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images