Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Video: Wendy Williams Awajibu Wanaoponda Mwili wake

$
0
0

Mtangazji maarufu wa TV, Wendy Williams hatimaye ameamua kuwajibuwano unang’a  mwili wake ikiwa ni baada ya picha zake za ufukweni kuchafua hali ya hewa mitandaoni.



Wendy aliyegeuka topic kwa takribani wiki sasa  baada ya picha zake  akiwa katika vazi la ufukweni na mumewe Kevn maeneo ya Barbados, kuzagaa ameamua kutoa majibu ya kupitia E!New na kusema najivunia kuwa na mwili kama huo na wala hashitushi na maneno.

Nampenda Mtoto wa Mjomba wa Kiume..Nashindwa Kuvumilia

$
0
0


Jamani mie nimeshindwa ngoja niseme tu leo ...Mie ni msichana wa miaka 22 niko chuo UDSM mwaka wa pili , Wazazi wangu wanaishi Mwanza...

Hapa dar huwa nafikia kwa mjomba wangu hasa week end huwa natoka hostel nakuja kwa mjomba..Mjomba wangu ana mtoto wa kiume wa miaka 28 nimetokea kumpenda jinsi alivyo mpole na Mstaarabu sana , huwa kila mara anakuja kunitembelea Hostel na akija nakuwa happy sana, Huwa nawadanganya Marafiki zangu kuwa ni Boyfriend wangu..

Nampenda sana mpaka siku hizi nimeanza kumtega ili nilale nae ila naona kama bado hajashtukia, Juzi aliingia chumbani kwangu nikajifanya taulo limedondoka ila akatoka haraka na kufunga mlango...Mie nilidhani nae atapagawa na umbo langu ila laaa ...Nifanyaje ? Je kutembea na mtoto wa Mjomba ni Vibaya?

Madhara ya Kutoshiriki Tendo la Ndoa kwa Muda Mrefu

$
0
0
Aise, kwa kawaida kama wewe si mgonjwa wa aina yoyote ile, kwa maana ya ugonjwa ku-offset system ya mwili, madhara ya kutofanya tendo la ndoa kwa muda mrefu ni makubwa kuliko unavyofikiria as long as upo ktk active range of age! madhara yapo ya Negative na positive.

Mfumo wa fahamu (central novous system) hutumia zaidi tendo la ndoa ku-radiate energy inayowezesha ubongo pamoja na mifumo mingine ya mwili kufanya kazi zake vizuri bila msongo. Suala hapa si lazima uke na uume kukutana na kuingiliana (penetration) ila tu stimulation(msisimko) inayofikisha mtu kileleni (orgasms). kwahiyo, nature(asili) inataka mke na mme kufanikisha zoezi hili maana ni jambo muhimu kama ilivyo kutoka jasho mwilini maana sio tu mwili unaondoa uchafu ndani lakini pia inacontrol joto la mwili (cooling effect).

Anayesema amekaa zaidi ya mwaka na hana madhara.., well sikatai wala sikubali maana hatuna ushahidi nalo lakini zipo njia nyingi mbadala kama kutumia sex toys, dildo(vibrant artificial penis zitumiazo umeme), usagaji n.k. sasa sijui yeye anatumia ipi sababu vichocheo anavyo mwilini and, it's brain iniciated.

Ukidumu bila tendo la ndoa muda mrefu, baadhi ya madhara madogomadogo nikama haya:


  • Hasira za mara kwa mara ktk mambo madogo,
  • kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
  • Kusahausahau,
  • Kupendelea story za mapenzi,
  • Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
  • Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu),
  • Kuumwa na kichwa,
  • Kukakamaa mgongo (wanaume),
  • Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
  • Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),
  • Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
  • Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k.

Nkamia Awasilisha Muswada Rais Kukaa Madarakani Miaka 7 Badala ya Mitano

$
0
0
Nkamia Awasilisha Muswada Rais Kukaa Madarakani Miaka 7 Badala ya Mitano
Soma Hapa Chini:


Zitto Kabwe Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Nyumba yake Kuungua Moto Leo

$
0
0

Zitto Kabwe
Tumepata ajali kidogo. Nyumba yangu ninayoishi katika eneo la Kibingo, mji mdogo wa Mwandiga, Kigoma imeteketea kwa moto jioni hii. Alhamdulillah, kuwa hakuna binaadam aliyeumia.
Nawashukuru Jeshi la Zimamoto, majirani zangu pamoja na wananchi wenzangu kwa ushirikiano walioutoa mpaka kuuzima moto husika. Kwa sasa Jeshi la Polisi wanafanyia kazi kujua chanzo cha ajali.
Naomba wananchi wawe watulivu wakati Polisi wanaendelea na uchunguzi husika.
Nairobi - Kenya
Septemba 16, 2017

Matokeo ya Michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom iliyochezwa Leo

$
0
0
Michezo kadhaa imechezwa hii leo ya duru ya tatu ya Ligi Kuu Tanzania Bara katika viwanja mbalimbali hapa nchini.

Huko Majimaji mjini Songea mwenyeji Majimaji FC imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Yanga SC, Mtibwa Sugar ikiwa nyumbani imechomoza na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbao FC, Tanzania Prisons ikitoka sare ya bila kufungana wakiwa nyumbani dhidi ya Ndanda FC, wakati Lipuli ikitoka sare ya bila kufungana na Ruvu Shooting na klabu ya Stand United ikikubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Singida.

Hapo kesho mzunguko huo wa tatu utakamilishwa kwa wapenzi wa soka kushuhudia michezo miwili ambapo Simba SC kiwa nyumbani katika dimba la Uwanja wa Uhuru itawakabili  Mwadui FC  ilhali Mbeya City ikiwakaribisha timu ya Njombe Mji katika dimba la Sokoine.

Hii ndiyo Tiba kwa Kutumia Masaji Ambayo Wengi Hawaifahamu

$
0
0
Wakati tunakabiliwa na mfadhaiko mkubwa kiakili na kimwili wa muda mrefu wengi wetu huwa tunatafuta msaada.

Hata hivyo moja ya tiba ya matatizo haya ambayo wengi hawaijuwi ni tiba kwa kutumia masaji, tiba ambayo ina uhakika wa uponyaji kwa karibu ya asilimia 100 bila kutumia dawa yoyote na bila madhara yoyote.

Masaji ni njia nzuri sana ya kuondoa stress na kupigana na maradhi mengi mwilini ukitumia nguvu ya mwili wenyewe kujitibu bila dawa yoyote zaidi ya mazoezi maalumu kwa kutumia mikono.

Shuhudia faida na uponyaji kupitia masaji kutoka katika kuongeza kinga ya mwili, kuondoa tatizo la kukosa usingizi, kupona baridi yabisi (stroke), kifafa na magonjwa mengine mengi yahusianayo na mishipa.

Masaji ni tiba inayofanywa kwa kutumia mikono tu huku mtoa masaji akikugusagusa na kukusugua juu ya mwili wako kwa namna maalumu ambayo ndiyo huamsha na kufungua mishipa na kuondoa sumu na stress mbalimbali na hivyo kuongeza kinga ya mwili kupambana na maradhi mbalimbali bila kutumia dawa yoyote.

Ni tiba maarufu kidogo maeneo ya mijini kuliko vijijini.

Pia ni huduma inayopatikana kwenye mahoteli makubwa ya kifahari Dar Es Salaam na Zanzibar wenyewe huita SPA’s ingawa hizo za kwenye mahoteli lengo kubwa huwa ni kwa ajili ya kukufanya u-relax na kupata utulivu baada ya uchovu wa shughuli za kila siku.

Hii masaji ya tiba (physiotherapy message) ni masaji maalumu kwa ajili ya wagonjwa.

Unaweza kujitibu hali hizi 6 zifuatazo kwa kutumia masaji tu:

1. Kuongeza kinga ya mwili

Kufanya masaji hakukufanyi ujisikie ni mtulivu peke yake, bali pia kunaweza kukuongezea kinga yako ya mwili.

Masaji ya dakika 45 kwa siku imethibitika kuongeza uwingi wa seli nyeupe za damu (lymphocytes) ambazo ndizo hupigana dhidi ya vijidudu nyemelezi vya magonjwa mbalimbali mwilini.

Faida nyingine za kiafya ni pamoja na kushuka kwa homoni inayohusika na kupunguza maambukizi mbalimbali homoni ijulikanayo kama ‘cytokines’ vile vile masaji inashusha homoni inayohusika na matendo ya mashari homoni ijulikanayo kama ‘cortisol’.

Kipindi kimoja cha masaji kinatosha kuzalisha matokeo yanayoonekana ya kuongezeka kwa kinga ya mwili.

2. Kuondoa tatizo la kukosa usingizi

Mamia ya watu wanapatwa na tatizo hili la kukosa usingizi jambo linaloharibu ufanisi wa kazi zao kila siku.

Tatizo la kukosa usingizi linaweza kutibika kwa kufanya masaji tu kwakuwa masaji husaidia kupunguza uchovu na kuongeza uwezo wa kupata usingizi mtulivu kwa watu wa rika zote yaani watoto wadogo mpaka wazee ikihusisha wale wenye matatizo ya akili, kansa na magonjwa ya moyo, machache kati ya magonjwa mengi yawezayo kutibika kwa masaji tu.

Tafiti nyingi zinasema masaji inao uwezo wa kuamsha mawimbi ndani ya ubongo yanayohusiana na kutengenezwa kwa usingizi mzito (delta waves) na hii ndiyo sababu kwanini wengine hupitiwa na usingizi mzito mara tu baada ya mazoezi ya masaji.

3. Kuondoa mfadhaiko wa akili (Stress)

Zaidi ya asilimia 32 ya watu waliojaribu tiba hii wanathibitisha kupungukiwa na kiasi kikubwa cha mfadhaiko wa akili katika miili yao huku tafiti zaidi zikiendelea kutoa ushuhuda wa aina moja.

Utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha Afya cha chuo kikuu cha Harvard umethibitisha kuwa masaji huondoa hamaki na maumivu huku yakiongeza uwezo wa kupata usingizi mzuri na wa uhakika.

Chuo kikuu cha afya cha Boston Uingereza kiliona matokeo yaliyo sawa kati ya wagonjwa 60 wenye kansa ambao walifanya tiba ya masaji dakika 20 kabla ya mionzi kuliwapunguzia kiwango cha hamaki na mfadhaiko wa akili.

Watafiti kutoka Australia wameripoti kwenye jarida la afya liitwalo ‘The Journal of Thoracic and Cardiovascular Surgery’ kuwa masaji hupunguza maumivu, hamaki na mshtuko wa mishipa baada ya upasuwaji wa moyo.

Utafiti mwingine kutoka chuo kikuu cha Toho cha Japan umethibitisha masaji inayohusisha mafuta maalumu ambayo huwa na harufu ya kunukia (ya kuvutia) na ambayo ni dawa husaidia kupunguza mfadhaiko wa kisaikolojia katika wazee wagonjwa wanaotibiwa majumbani.

4. Kuondoa huzuni

Tafiti kutoka chuo cha afya cha Nashville’s Meharry Medical College wagonjwa 43 wa ukimwi walionyesha kuondokewa na hali zao za huzuni baada ya kufanya masaji ya mwili mzima kwa majuma matatu tu.

Profesa maarufu na mtafiti Russell Poland, Ph.D. ambaye ni Profesa wa magonjwa ya akili na sayansi ya akili amesema: “Wakati tunaanza huu utafiti hatukutegemea kuona matokeo mazuri kiasi hiki kwa tiba hii ya masaji. Sote tulibaki na mshangao tu’’.

Faida hizi zilirudiwa pia na chuo kikuu cha Los Angeles Calfornia Marekani ambapo watu 95 waliojitolea kwa utafiti wa tiba hii ya masaji walionyesha kuongezeka homoni ijulikanayo kama ‘oxytocin’ na kupungua kwa homoni nyingine iitwayo ‘adrenocorticotropin’.

Oxytocin inahusika na matendo ya huruma, maono, upendo na ushirikiano wa kijamii. Wakati adrenocorticotropin yenyewe huhusika na kupungua kwa mfadhaiko (stress) moja kwa moja.

5. Kuondoa maumivu mbalimbali mwilini

Watafiti kutoka kitengo cha jinakolojia (uuguzi) cha chuo kikuu cha Sao Paulo Brazil walitafiti wanawake 46 wajawazito waliofanyiwa masaji ya mgongo walipunguza kiasi cha maumivu wakiwa leba kwa zaidi ya asilimiaa 27.

Katika utafiti mwingine uliofanyika hospitali kuu ya Beijing nchini China masaji nzito ilisaidia kuondoa maumivu ya mgongo kwa wagonjwa. Kupungua kwa maumivu haya kuliripotiwa na robo tatu kati ya wagonjwa 110 waliofanyiwa utafiti huo.

Maumivu mengine yaliyoripotiwa kuondoka kwa kutumia tiba ya masaji ni pamoja na maumivu ya kichwa na maumivu ya kwenye mishipa.

6. Kuongeza uwezo wa kujiamini

Watu wengi zaidi kila kukicha wanaendelea kuitafuta huduma hii ya tiba kwa njia ya masaji wakiwa na maradhi mabalimbali katika miili yao. Madaktari wengi nao wameendelea kuwashauri wagonjwa wao kujaribu tiba hii.

Utafiti unaendelea kuwaeleimisha watoa tiba hii jinsi ya kuifanya ili kupata matokeo mazuri katika kutibu matatizo kama maumivu sugu ya misuli, matatizo yanayotokea wakati wa matibabu ya kansa, wakati wa mabadiliko yaletwayo na ujauzito, na maradhi mengine mengi.

Matatizo mengine yanayoweza kutibika kwa kutumia masaji ni pamoja na saratani ya matiti, tatizo la kufunga choo, ukichaa, maumivu, maumivu ya kichwa, maumivu ya mifupa, baridi yabisi (stroke) nk.

Bila shaka mpaka hapo umepata kuzijuwa faida za masaji na magonjwa inayoweza kuyatibu.

Bahati nzuri kwa wenyeji wa Dar huduma hii ya masaji inapatikana kwenye kituo chetu cha tiba asili cha Victoria Home Remedy kilichopo Buza Sigara Temeke tena kwa gharama nafuu kabisa.

Pia kwa wale wenye matatizo ya uzazi tunazo dawa nzuri za asili zinazotibu matatizo mengi ya uzazi kwa pamoja ikiwemo uvimbe, homoni, uchafu, mirija kuziba, mayai kutopevuka nk nk

Faida Utakazozipata Endapo Utaacha Kulala na Simu yako Karibu

$
0
0

Wengi wetu naamini tumekuwa na kajitabia kakulala na karibu na simu usiku kwenye vitanda vyetu pasipo kufahamua madhara ya kijitabia hicho.

Sasa leo ninayo mambo kadhaa yakukwambia msomaji wangu wa www.dkmandai.com kuhusu hii tabia ya kulala na simu usiku.

Zifuatazo ni faida utakazozipata endapo utaacha kulala na simu usiku kitandani kwako.

1. Utalala usinginzi mzuri na wa kutosha.
Inaaminika kuwa mtu ambaye hulala karibu na simu  usiku hulala usingizi wa mang'amng'amu kwa kuwa muda mwingi huwa akihisi huenda kunasimu itaingia. Hivyo endapo kuanzia leo ukiacha kulala na simu usiku itakusaidia kulala usingizi mzuri na wa kutosha usiku.

2. Hautakuwa mtumwa wa msongo wa mawazo tena.
Kwa kawaida unapolala na simu unakuwa unamawazo mengi pengine bila wewe mwenyewe kujijua huenda unawaza kwanini fulani haja kupigia usiku huo au atakupigia saa ngapi kukwambia usiku mwema hivyo unajikuta unajipatia msongo wa mawao usio na sababu na hivyo kuathiri afya yako bure. Ili kuondokana na hilo ni vyema kuweka mbali simu yako wakati wa kulala au kuweka silent kabisa.

3. Utafanya kazi / biashara zako vizuri.
Kwasababu sasa unapoacha kulala na simu inamaana utapata mda mzuri na wakutosha wa kulala vizuri hivyo hata kazi zako au biashara utazifanya kwa ufanisi zaidi.

4. Utajisikia mwenye afya zaidi .
Kwa sababu utakuwa unalala vya kutosha na watu wenye kulala vizuri huwa ni wenye afya.

Kutana na Mtatibu Wanyota za Binadamu Duniani Kote Maalim Fadhili Rashid Kutoka Comoro

$
0
0
KUTANA NA MTABIBU WANYOYA ZA BINADAMU DUNIANI KOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO

KWA SASA YUPO TANZANIA MAALIM FADHILI RASHIDI ANA IWEZO WAKUJUWA JAMBOLAKO NAKULI TATUWA KWAMUDA MFUPI

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE

MAALIM FADHILI RASHIDI NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA MIGUU KUWAKA MOTO

KISUKARI VIDONDA VYATUMBO PUMU TEZI NA UVIMBE TUMBONI PUMU ANA UWEZO WAKURUDISHA MTU ALIE POTEA KIMAZINGIRA

(MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA

KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABU MAALUM ANATOWA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA PESA BILA YA MASHARITI YEYOTE

NAKUMILIKI MALIZA MAJINI KWAYULE ANAE HITAJI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZA KIUME ANAYO

DAWA YA KUONGEZA HIPSI SHEPU KUWA NA UMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHURUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASA (24)

ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YAMVUTO WABISHARA KUUZA MALIYAKO KWA HARAKA KUZUIYA CHUMA ULETE

KUSAFISHA NYOTA NAKUONDOA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI ACHAKUTESEKA NJOO UWONE MIUJIZA YA MAALIM FADHILI RASHIDI

CALLING+255719362806/ +255763276239

KWA WHATSAPP IMO +255785786436

Mbunge wa CCM Aliyekwenda Kumtembelea Tundu Lissu Aeleza Hali ya Lissu Aliyomkuta Nayo

$
0
0
Mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu amemtembelea Hospitali alikolazwa Mbunge na Mwanasheria wa CHADEMA Tundu Lissu baada ya kupigwa risasi Dodoma ambapo baada ya kufika, ametueleza hali ya Tundu Lissu pamoja na anachohitaji Watanzania wafanye.

Japo hakuwa na uhakika kama Madaktari wangeruhusu kwenda kumsalimu Tundu Lissu, ruhusa ilitoka baadae ambapo baada ya kumuona na kuagana nae, Nyalandu amesema yafuatayo

ukweli ni kwamba ameumizwa vibaya, Imeelezwa Madaktari wanaendelea na hatua kadhaa za matibabu, wakiwa wameanza kwa kumuimarisha ili kuufanya mwili uweze kumudu hatua zaidi za utibabu anazopaswa kufanyiwa

Mengine yote aliyoyasema Nyalandu unaweza kuyafahamu kwa kubonyeza play hapa chini….

MSIKILIZE HAPA:

Fahamu Mambo ya Kufanya Mwanaume Unapokuwa na Mpenzi Mwenye Hamu ya Kujamiiana Kukuzidi

$
0
0
Baadhi ya wanawake huwa na hamu ya kufanya mapenzi zaidi kuliko wapenzi wao wa kiume. Na wakati mwingine wanaume huwa katika wakati mgumu sana pale wanapokuwa katika mahusiano ama wanapooa wanawake wenye hamu kubwa ya kufanya mapenzi kuliko wao.

Wakati mwingine jambo hili linaweza kuwa la furaha kwani wewe na mwenza wako mnakuwa na wakati mzuri wa kujuana vyema, kutambua anachokipendelea mwenzako katika mapenzi bila kuwa na kikwazo. Lakini kuna wakati jambo hili huweza kuleta matatizo katika mahusiano yenu.

Wanachotakiwa kufanya wanaume ili kuhakikisha wanawaridhisha wapenzi wao wenye hamu ya kufanya mapenzi kuliko wao ili kuhakikisha wanadumisha upenzo na kuepuka masuala ya michepuko.

Msaidie kupiga punyeto

Baadhi ya watu hulichukulia jambo hili kama jambo baya na la aibu. Lakini kiukweli siyo kama wengi wanavyodhani. Unapomsaidia mpenzi wako kupiga punyeto utamsaidia yeye kupata raha na kufikia mshindo na hatimaye ataridhika kuliko kumuacha na ashi, jambo ambalo linaweza kumpelekea yeye awaze kuwatafuta wanaume wengine ili wamridhishe.

Mpe maandalizi mazuri ‘Foreplay’

Kiukweli kabla ya kufanya mapenzi na mwenza wako, inabidi uhakikishe kuwa unamuaandaa vizuri kisaikolojia na kihisia ili muweze kufurahia tendon a mpate kuridhika kwa pamoja. Kuna baadhi ya wanawake huweza kufikia mshindo hata kabla hawajaingiliwa bado. Jaribu kutumia vitu mbalimbali, kumshika maeneo mbalimbali ya mwili wake pamoja na kumuambia maneno matamu ili aweze kuwa tayari kwa kujamiiana. Kufanya hivi kutapelekea wote kufikia mshindo na kuridhika.

Hakikisha hufikii mshindo kabla yake

Kwa mwanaume aliye na mpenzi mwenye hamu kubwa ya kufanya mapenzi, unatakiwa kuhakikisha kuwa mnapokuwa mnajamiiana hufiki kileleni kabla ya mwenza wako. Hii ni kwa lengo la kuhakikisha mwenzako anafurahia mpaka kufikia kileleni.

Kwa kawaida mwanaume anapofika kileleni uume husinyaa na hautokuwa na nguvu ya kutosha kuendelea kudumu ndani ya uke. Hivyo ili uume ubaki kuwa imara, hakikisha unajizuia kufika kileleni mapema mpaka pale mpenzi wako atakapokuwa anakaribia kabisa.

Boresha muda wako wa kurudia tendo ‘Recovery time’

Kuna wanaume ambao baada ya kujamiiana kwa mara ya kwanza, huchukua muda was aa moja mpaka mbili ndipo waweze kuwa tayari kurudia kwa mara nyingine. Kama mwenza wako ana hamu kubwa ya ujamiiana, muda huu kwake utakuwa ni mwingi mno na mwisho wa siku atakereka na hatimaye anaweza kuanza kuwaza kutafuta wanaume wengine ambao watakuwa na uwezo wa kuwaridhisha. Hivyo ili kuepukana na hali hii inabidi ujitahidi kula vyakula ambavyo vitakuongezea nguvu na hamu ya kufanya mapenzi.

Vyakula na matunda kama tikiti maji, tangawizi, samaki wa maji baridi, zabibu, mbogamboga pamoja na chokleti vimetajwa kuwa miongoni mwa vitu vinavyoweza kumuongezea mwanaume hamu ya kufanya mapenzi.

Jukwaa la Katiba Tanzania Lataka Tume Huru ya Uchaguzi na Matokeo ya Rais Kuhojiwa Mahakamani

$
0
0
 Jukwaa la Katiba Tanzania Lataka Tume Huru ya Uchaguzi na Matokeo ya Rais Kuhojiwa Mahakamani
Jukwaa la Katiba Tanzania ‘JUKATA’ limewataka viongozi wa Serikali ya Tanzania, wajipime ni namna gani wanatekeleza ahadi walizozitoa kwa Watanzania ikiwemo suala la Katiba mpya.

Mkurugenzi Mtendaji wa JUKATA, Hebron Mwakagenda amesema baada ya kuifuatilia na kuichambua Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa miaka miwili mfululizo, wamebaini Serikali haijatenga fedha kwa ajili ya kukamilisha mchakato huo.

 ”Kutokana na kutotengwa kwa fedha yoyote kwenye Bajeti ya Serikali kwa ajili ya mchakato huu adhimu, lakini chini ya utawala huu wa Awamu ya Tano yameanza kufifia.”

Kuhusu matukio yanayoendelea nchini, ikiwemo kuzuiwa kuonyeshwa Bunge LIVE na kuzuiwa mikutano ya siasa, Mwakagenda amesema ni matukio yanayotokana na udhaifu wa Katiba huku akisema JUKATA wanaungana na Watanzania wote kulaani jaribio la kumtoa uhai, Tundu Lissu.

Aidha, amesema kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika Kenya na kufutwa na Mahakama inaonyesha uimara wa Katiba ya Kenya, ambapo kuna umuhimu na mafunzo kwa Tanzania ili matokeo ya Rais kuhojiwa Mahakamani.

Kama ikitokea hakuna uwezekano wa kukamilisha mchakato wa Katiba kabla ya mwaka 2020, kutahitajika marekebisho ya msingi katika Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977, Katiba ya Zanzibar 1984 ili kushughulikiwa kwenye uchaguzi.” VIDEO:

Ukitaka kuoa Sinza, Magomeni na Kinondoni Sio Sehemu Nzuri za Kuchagua Mchumba

$
0
0
Kuna wakati wakina dada wengi wanapata shida kuolewa kutokana na maeneo wanayotoka, utafiti nilioufanya maeneo niliyoyataja ni nadra sana kupata mke bora ambaye hajashawishika, kuna kipindi ndogo wangu alitaka mchumba, alihangaika sana kupata mwenza kwani wanawake wengi wenye mvuto hukaa maeneo hatarishi ambayo ni Sinza, Magomeni, na Kinondoni, kuna siku tulipata mchumba maeneo ya kinondoni shamba.

Tunaanza kuchumbia tu tulipewa orodha ya wanawake hatari sana naye akiwemo.

Kwa ufupi wakazi wa Kinondoni shamba wengi wanajuana kwa majina na tabia, kwa kuwa wasichana wengi wamesoma Oysterbay, Mbuyuni, Sekondari kisutu, Kambangwa , Kinondoni musilim.

Hivyo kitabia karibu wanafanana, ukienda magomeni vile vile, tumeamia Bunju tu tukapata mchumba aliyetulia.

Sehemu za wake waliotulia ni Mwenge, Kijitonyama, Kimara, Mbezi juu, mbezi chini , unajua ni kwa nini? wengi wanaishi kwao..

Unakubaliana na Mimi Au Unakataa?

By Lubaz

Wadada Jamani Pombe si Chai Ona Mwenzenu Alivyoaibika na Kuishia Kubakwa na kutupwa Mtaroni

$
0
0
Picha inajieleza yenyewe, hapo Dada huyo akisaidiwa na Msamaria mwema aliyemuokota kwenye mtaro baada ya mwanadada huyo kupiga Chupa za Kutosha na Kisha kuzidiwa na Pombe , Jamaa hawakucheza mbali wakajilia vyao na kutimuka wakimwacha dada mtaroni bila msaada wowote.
Ladies Jamani Pombe si.......

Tukio la Kupigwa Risasi Lissu Lilivyofunika Mkutano wa Bunge

$
0
0
Mkutano wa Nane wa Bunge la Kumi na Moja umemalizika huku tukio la kupigwa risasi Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu likifunika mambo mengine manne muhimu yaliyojitokeza.

Lissu alijeruhiwa Septemba 7 akiwa kwenye gari nyumbani kwake Area D na kupelekwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma alikopatiwa huduma ya dharura kabla ya kuhamishiwa Nairobi, Kenya kwa matibabu zaidi kwa kile ambacho familia na wabunge wenzake wa upinzani walikieleza kuwa ni kuhofia usalama wake.

Tukio hilo na mengine yaliyoambatana nalo yameonekana kujadiliwa zaidi kiasi kufunika shughuli nyingine za vikao vya Bunge.

Shambulio hilo liliwashtua na kuwaogofya wabunge kiasi cha Mbunge wa Nzega Mjini (CCM), Hussein Bashe kuomba mwongozo wa Spika Septemba 8 akisema tukio kama hilo halijawahi kutokea katika historia ya nchi.

Bashe alisema linaogofya kwa sababu matukio mengine yaliyolitangulia ya kupotea kwa Ben Saanane ma kutishiwa bastola kwa Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye, hawajasikia taarifa zozote ya vyombo vya ulinzi na usalama kuhusu waliohusika hayo.

Alishauri kwamba kwa kuwa matukio hayo yameharibu heshima ya Taifa, Kamati ya Bunge ya Mambo Nje, Ulinzi na Usalama ikutane na vyombo vya ulinzi na usalama ili wapate taarifa iliyojitosheleza.

“Hali inavyoendelea hakuna mwenye uhakika na maisha yake ya kesho. Dhamana tuliyopewa na chama chetu na wananchi ni kulinda usalama, mali na raia wa nchi hii,” alisema Bashe.

Spika wa Bunge, Job Ndugai alikubaliana na hoja hiyo na kuipa kamati hiyo inayoongozwa Mbunge wa Muheza, Adadi Rajab jukumu la kufuatilia suala hilo na mengine ambayo ni tishio la usalama, lakini hadi mkutano huo unamalizika juzi Ijumaa, haikuwa imekamilisha kazi hiyo.

Mbali ya kazi ambayo kamati hiyo imekabidhiwa, wakati akiahirisha Bunge, Spika Ndugai aliwataka wabunge kuwa makini na usalama wao kwa kuacha kwenda katika maeneo ambayo ni hatari na pia kuwashauri wapigakura wao kuwa makini.

Hata Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akitoa hoja ya kuliahirisha Bunge, alizungumzia kwa kirefu suala hilo akisisitiza kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vitahakikisha vinawakamata waliohusika na shambulio hilo.

Mbali na suala la Lissu kujitokeza kama hoja mahsusi, suala la kushambuliwa kwake liliendelea kulitikisa Bunge kwani mawaziri na wabunge kwa nyakati tofauti, walikuwa wakiliunganisha wakati wakichangia hoja mbalimbali.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi alisema Serikali imeunda kikosi kazi kinachoshirikisha vyombo vyote vya ulinzi kwa ajili ya kushughulikia matukio hayo na kukusanya silaha za kivita.

Kauli hiyo ilikuja baada ya Mbunge wa Chambani (CUF), Yusuf Salim Hussein kusema kuna matatizo ya matumizi silaha za kivita ambazo kisheria zinatakiwa kumilikiwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na kutolea mfano tukio hilo la Lissu.

Licha ya Lissu kuzungumzwa mara kwa mara ndani ya Bunge, pia katika mitandao ya kijamii na hasa baada ya taarifa rasmi kutolewa bungeni Septemba 8, mijadala kuhusu tukio la kushambuliwa kwale ilitawala mingine ikitoka kwa wabunge ambao hawakuwapo Dodoma.

Kutokana na uzito wa mashambulizi hayo, Spika Ndugai alilazimika kuwajibu baadhi yao na kuibua mvutano mpya ambao pia ulikuwa gumzo kuliko hata shughuli nyingine za Bunge.

Miongoni mwa wabunge walioingia katika mvutano na Spika hadi kupelekwa kwenye Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ni Saed Kubenea (Ubungo-Chadema) ambaye akiwa katika Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima alikaririwa akisema kuwa Spika alisema uongo kwa idadi ya risasi alizopigwa Lissu.

Spika pia akijibu hoja ya mtandaoni, alitangaza kumsamehe Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema akitumia hoja iliyoibua mjadala zaidi kuhusu gharama za kukodi ndege iliyomsafirisha Lissu kwenda Nairobi.

Lema aliandika kwenye mtandao wa kijamii, akisema Bunge limekataa kugharamia matibabu ya Lissu nje ya nchi lakini Spika akasema anamsamehe kwa kuwa wakati wa tukio hilo hakuwapo Dodoma.

Pia Spika alisema Dola 9,200 za Marekani za kukodi ndege iliyompeleka Lissu Nairobi, zililipwa na Mbunge wa Mpendae (CCM), Salim Hassan Turky.

Madai hayo yalimwibua Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa ambaye kupitia mtandao wa kijamii alitoa stakabadhi kuthibitisha kwamba Chadema ndiyo iliyolipa fedha hizo huku akumshutumu Ndugai.

Hoja hiyo ilimwibua Turky ambaye alisema hakulipa fedha hizo bali aliidhamini Chadema kwa kuwa anafahamiana na mmiliki wa ndege hiyo.

Waziri, Naibu Waziri ajiuzulu

Kama si suala la Lissu, pengine tukio kubwa zaidi katika mkutano huo lingekuwa kujiuzulu kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi), George Simbachawene na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Edwin Ngonyani baada ya kutajwa kwenye ripoti za kamati za Bunge zilizoundwa kuchunguza biashara za madini ya almasi na Tanzanite.

Mawaziri hao walijiuzulu wakiwa bungeni Dodoma na taarifa zao kutolewa bungeni baada ya Rais John Magufuli kukabidhiwa ripoti hizo na kuwataka viongozi waliotajwa kukaa pembeni wakati wanachunguzwa.

Rais alipokea ripoti hizo, siku moja baada ya wenyeviti wa kamati hizo kukabidhi uchunguzi wao kwa Spika katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge.

Wabunge na kamati ya maadili

Mbali na Kubenea, pia Ndugai alimpeleka mara mbili katika Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT - Wazalendo), Zitto Kabwe kutokana na kauli zake kwenye mitandao ya kijamii.

Kiongozi huyo wa ACT – Wazalendo alipelekwa mbele ya kamati hiyo baada ya kusema kwamba Bunge limewekwa mfukoni na mhimili fulani wakati alipotoa maoni kuhusu ripoti hizo za almasi na Tanzanite.

Mbali na shutuma hizo, mbunge huyo alindika katika akaunti yake ya Twitter kwamba, “Hatujawahi kuwa na Spika anayedhalilishwa na Rais kwamba aliuliza wajumbe gani awaweke kamati za uchunguzi za Bunge.”

Pia anadaiwa kusema; “Wabunge wazoefu tulikuwa na matumaini makubwa na Spika Ndugai, tulimpigania dhidi ya njama za kumhujumu kutoka Ikulu. Anatuangusha... Spika Ndugai amekuwa Spika wa kwanza katika historia ya nchi yetu kushuhudia mbunge anapigwa risasi Mkutano wa Bunge ukiendelea,” baada ya kauli hizo, ndipo Spika alipolitangazia Bunge kwamba Zitto apelekwe kwa mara ya pili katika kamati hiyo kuhojiwa kwa kulidharau Bunge.

Wabunge CUF waapishwa

Mkutano huo ulianza kwa kuwaapisha wabunge viti maalumu wa CUF upande wa Mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na Msajili wa Vyama, Profesa Ibrahim Lipumba, walioteuliwa kuziba nafasi za wenzao waliofutwa kutoka kambi ya Katibu mkuu, Maalim Seif Sharif Hamad. Wabunge wa Ukawa walisusia tukio hilo.

Mwananchi

Bongo Movie Wajiingiza Kwenye Siasa Tena....Wazindua Kampeni Hii Yenye Mlengo wa Kisiasa

$
0
0
Wasanii mbalimbali wa tasnia ya Filamu Tanzania wakiongozwa na mwigizaji Steve Nyerere leo September 16, 2017 wamekutana na Waandishi wa habari kuzindua Kampeni ya Uzalendo Kwanza ambao una lengo la kuitangaza na kuilinda Tanzania katika kuwaunga mkono viongozi wakuu wa Tanzania akiwemo President Magufuli, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu

Je kwa unavyoona ni sawa?

Harmorapa Afunguka Kusema Kuwa Mzungu wa Harmonize na Wema Sepetu Wote Mabibi

$
0
0
Harmorapa afunguka asema mzungu wa harmonize bibi, pia na wema sepetu naye bibi. Ila hapo nyuma Harmorapa alionyesha kudata kwa Wema sepetu na alikuwa kwenye vituo vya habari akisema live kuwa anapete ya kumvalisha wema sepetu.

TAZAMA VIDEO:

Kuzuiwa Maombi ya Tundu Lissu leo Kwazua Mjadala

$
0
0

Zuio la Jeshi la Polisi kuhusu mkusanyiko uliotarajiwa kufanyika kwa lengo la kumuombea Mbunge wa Singida Mashariki aliyejeruhiwa kwa risasi, Tundu Lissu limeibua mitazamo tofauti huku baadhi ya wachambuzi wakisema jeshi hilo limeingia katika mtego wa kisiasa.

Wamesema tatizo linatokana na shambulio hilo kuingiliwa na harufu za kisiasa tangu mwanasheria huyo mkuu wa Chadema apigwe risasi, wakitolea mfano wa zuio la uchangiaji damu, mivutano ndani ya Bunge na zuio la wafuasi wa Chadema kufanya maombi Sumbawanga.

Polisi ilipiga marufuku ya mkusanyiko wa maombezi hayo uliokuwa umeandaliwa na Chadema mjini Sumbawanga kwa madai kwamba utasababisha uvunjifu wa amani.

Baada ya zuio hilo, Baraza la Vijana Chadema (Bavicha) lilitangaza kufanya maombi kama hayo ya Sumbawanga leo jijini Dar es Salaam huku likiwaalika viongozi mbalimbali wa dini lakini kabla siku ya tukio, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa aliyazuia na kutangaza kutoruhusu mkusanyiko wowote wenye nia ya kumuombea mtu fulani.

Maombi ya Bavicha yamepangwa kufanyika katika viwanja vya TIP, Sinza na tayari viongozi mbalimbali wa Kiislamu na Kikristo wamealikwa kwa ajili ya kuongoza maombi hayo.

Akizungumzia hatua hiyo ya polisi Mwanaharakati wa Mtandao wa TGNP, Gemma Akilimali alisema: “Polisi wanasema siyo tukio la kwanza kutokea, ina maana ya kwamba wananchi waendelee kukaa kimya? Mbona mikusanyiko ya maombi mengine hufanyika uwanja wa Taifa na kwenye matamasha? Alihoji,

Gemma alisema tukio la Lissu limeitikisa nchi, lakini kwa bahati mbaya limehusishwa na siasa tangu mapema. Alisema licha ya Polisi kuzuia mkusanyiko huo, bado wananchi wanayo nafasi ya kutumia nyumba za ibada kufikisha maombi yao.

Hata hivyo, aliwaomba wananchi wasiendelee kushindana na vyombo vya dola na badala yake watumie njia nyingine kupaza sauti zao kuhusu matukio hayo ya uhalifu nchini.

Kwa upande wake Profesa wa Chuo Kikuu cha Ruaha, Gaudence Mpangalla alisema tatizo ni hofu za kisiasa kwamba, endapo mkusanyiko huo utafanyika, Chadema na vyama vya upinzani vitajiongezea umaarufu wa kisiasa kupitia huruma ya wananchi.

Profesa Mpangalla alisema kilichosikitisha zaidi ni pamoja na zuio la wananchi kuchangia damu. “Lissu ni Mtanzania na kiongozi, alishtua Watanzania kwa hiyo kuombewa ni bora, lakini tatizo ni siasa tu, kwamba mikusanyiko itaipa nguvu upinzani,”alisema.

Awali, Bavicha ilisisitiza kwamba haitarajii kuona maombi hayo yakizuiliwa kwa sababu hawaendi kufanya siasa, bali maombi kwa ajili ya Lissu na viongozi wengine wa Taifa kama ambavyo wamekuwa wakitoa wito wa kuombewa.

Profesa Mohammed Bakari kutoka Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala Bora, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) alisema dalili za kuhatarisha usalama zingeonekana kuanzia siku ya tukio baada ya Lissu kupigwa risasi, lakini wananchi walikuwa na utulivu.

Profesa Bakari alisema zuio hilo ni mwendelezo wa utekelezaji wa agizo la rais la kuzuia mikutano ya hadhara.

“Lakini, polisi wanahofu kunaweza kujitokeza hali ya taharuki watu wakaingiza masuala ya kisiasa ndani yake badala ya lengo lililokusudiwa katika maombi, lakini kwa ujumla hakuna hoja ya msingi kuzuia mkusanyiko huo,”alisema.

Profesa huyo alipendekeza maombi hayo yaendelee katika nyumba za ibaada kwa kuwa hakutakuwa na kizuizi chochote kutoka vyombo vya dola.

Mwananchi

Zari na Diamond Wakorogana Mtandaoni

$
0
0
WANASEMA WBC ndio sehemu ambayo burudani nzuri huwa inatoka kwa sana, lakini pia ndio sehemu ambayo inaongoza kwa drama nyingi sana kuanzia skendo za hapa na pale na mambo mengine mengi.

Ni Wcb, ambapo wakati ishu ya Harmonize na Wolper ikiwa bado haijapoa huku nako Rais wao Diamond Platnumz ishu bado inazidi kuwa tat asana.

Hakuna asiejua suala la uwepo wa tetesi juu ya mgogoro kati ya Diamond na mwenza wake Zari ambapo jana katika picha aliyoweka Instagaram Diamond, mwenza wake huyo Zari aliweka maoni yake kwa kuweka emoji ya kuonesha kidole cha kati.

Pengine unaweza hisi labda alikosea lakini alifanya hivyo mara mbili hiyo kuonesha msisitizo zaidi kwa kitu alicho komenti.

Uwepo wa mgogoro baina yao ulianza kipindi ambacho inasemekana Diamond alitembea na mwanadada Hamisa Mobetto ambaye alipata ujauzito unaodaiwa kuwa ni wa Diamond.

Ishu ikazidi kuwa tamu zaidi baada ya Mobetto kujifungua na kuamua kumpa mtoto jina lake Nassib ambalo ndio jina halisi la Diamond.

Pia mwanzoni ilibainika kuwa mahusiano ya Mama Diamond na Zari si mazuri na hivyo kuzidi kuhatarisha zaidi penzi la hao watu wawili ambalo limeweza kudumu kwa kipindi kirefu zaidi.

Hiki Ndiyo Kitu Kinachosababisha Kuona Maisha Yako Ni Magumu Na Hayana Maana

$
0
0
Rafiki, napenda kutumia nafasi hii kukualika tena siku hii ya leo katika makala yetu ya leo ili tuweze kujifunza wote kwa pamoja yale mazuri niliyoweza kukuandalia siku hii ya leo. Kwa namna ya pekee rafiki yangu, nakusihi sana tusafiri pamoja hadi mwisho wa somo letu la leo ambapo leo tutakwenda kujifunza kitu kinachosababisha kuona maisha yako ni magumu na hayana maana hapa duniani. Je unajua ni kitu gani hicho? Karibu tujifunze.

Ndugu msomaji, muda mwingine tunajiona hatuna maana katika maisha yetu, hatuna furaha na tunaona mambo ni magumu sana. Jamii imekaririshwa kulalamika na kuishi maisha ya hofu ambayo yanapelekea watu kukata tamaa ya maisha. Watu wanajiona hawana wanachofanya katika maisha yao kwa sababu ya kushindwa kuishi wakati wa sasa na kujifananisha na maisha ya watu wengine.

Rafiki, kama tukianza kujiuliza swali hili lifuatalo ndipo tunapoanza kuona kweli maisha ni magumu kwako na wala hayana maana. Swali ambalo ni sumu na baya kujiuliza katika maisha yako ni NIMEKOSA NINI MIMI? Hakika ukianza kujiuliza umekosa nini itakuwa ni litania ndefu ya majibu ambayo yatakufanya kujiona wewe huna unachofanya katika maisha yako.

Jamii ya leo imekosa shukrani watu wanaanza kujiuliza kuwa wamekosa kitu gani katika maisha yao badala ya kushukuru walivyonavyo. Maisha ni magumu sana kama ukianza kujiuliza umekosa nini katika maisha yako kwa sababu swali hili haliwezi kukuacha salama. Utaanza kujilinganisha na wengine huna kitu fulani na mwenzako anacho hapo sasa ndipo watu wanaona maisha yao hayana maana. Wengine wanalalamika wanafanya kazi lakini mshahara mdogo lakini kumbuka wakati wewe unalalamika mshahara mdogo kuna mwingine anatamani hana kazi anatamani apate hata hiyo ya mshahara mdogo.

Ukipoteza shukurani katika maisha yako umepoteza fadhila zote. Watu wanapenda kujiangalia wamekosa nini badala ya kushukuru kwa kile ambacho wanacho katika maisha yao. Kuwa hai tu ni jambo la kushukuru Mungu kwa sababu kuna wengine wameshakufa na walitamani waendelee kuishi hapa duniani ila unakuta mtu analalamika kwa kukosa shukrani. Usihesabu vile ambavyo huna bali hesabu vile ambacho unavyo.

Rafiki, kukosa kushukuru kwa vile ambavyo tunavyo ndiyo sababu ya watu wengi kuona maisha yao hayana maana yaani hakuna kitu wanachofanya hapa duniani. Kama uko mzima shukuru kwa sababu uko mzima kwa sababu kuna mwenzako ni mgonjwa anatamani kuwa mzima kama wewe, kama unaumwa usilalamike kwa sababu kuna mwingine yuko hospitalini anakata roho. Usilalamike umekosa kitu fulani bali shukuru kwanza kwa chochote kile ambacho Mungu amekujalia kuwa nacho katika maisha yako.

Utawezaje kuwa na furaha katika maisha yako kama wewe ni mtu ambaye huna shukurani? Unajiuliza umekosa nini katika maisha badala ya kujivunia kwanza kwa kile ambacho unacho sasa? Ukianza kujiuliza umekosa nini utapata vitu vingi ambavyo hukutegemea hatimaye vinakupelekea wewe kudharau maisha yako na kuona maisha ya wengine ndiyo yana thamani kubwa. Utaanza kuona maisha yana thamani pale utakapoanza kujikubali na kushukuru kwa kile ambacho unacho. Ukianza kushukuru utafungua mlango wa baraka wa kupata vile ambavyo huna na utajiona maisha ni mazuri kuliko kudharau kile ambacho unacho sasa na kukiona hakina maana kwako.

Hatua ya kuchukua leo, usijiulize umekosa nini katika maisha yako. Shukuru kwa kile ambacho unacho sasa ndiyo utaweza kuyaona maisha yako yana baraka na mazuri lakini ukishayadharau maisha yako kwa sababu ya kuona huna kitu fulani utajikuta uko katika hali ngumu sana.

Kwa hiyo, maisha ni furaha. Kuwa na shukrani katika maisha yako badala ya kuanza kujidharau maisha yako kwa kujiuliza umeanza kukosa nini. Ushindi wowote mdogo unaopata katika maisha ni jambo la kushukuru sana kwa sababu kile unachopata wewe na unakidharau kuna mwingine hana. Shukuru kwa kila jambo katika maisha yako.
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images