Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Wabumbe wa CCM Ambao Hawakai Majimboni Mwao Wtaisoma Namba 2020

$
0
0

Wabumbe wa CCM aMBAO Hawakai Majimboni Mwao Wtaisoma Namba 2020
Wabunge wa CCM ambao si wakazi katika majimbo yao wataisoma namba katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 baada ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole kueleza kwamba hawataruhusiwa kugombea kama hawaishi kwenye majimbo husika.

Imekuwa kawaida kwa makada wanaoishi mbali kurejea kwao kuwania nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho hasa nyakati za uchaguzi.

Polepole amesema hatua hiyo inatokana na chama hicho kujitathmini na kujisahihisha baada ya kugundua watu wanataka viongozi wanaotoka miongoni mwao wanaozijua na watakaoshughulikia kero zao.

Hivi sasa bado chama hicho kinaendelea na mchakato wa kuwapata viongozi wake na tayari wameshakamilisha ngazi ya wilaya kwa maeneo mengi huku, kukiwa na marufuku ya kupiga kampeni kwa namna yoyote ikiwamo matumizi ya mitandao na mabango yaliyokuwa yamezoeleka.

Akihojiwa katika kipindi cha Maisha Mseto cha Times Fm leo Alhamisi, Polepole amesema ili mwanaCCM awe na sifa za kugombea ni lazima awe mkazi wa eneo husika.

Soma: Njia inayofaa kwa CCM mpya kupita

Polepole amesema suala la kuishi kwenye eneo la kugombea nafasi yoyote ya uongozi ilikuwa ni maoni ya wananchi wenyewe kwenye mchakato wa Katiba mpya.

“Shika maneno yangu 2020 wagombea wa ubunge ni wale ambao wanaotoka kwenye maeneo husika wanaojua na kushughulika na shida za wananchi,” amesisitiza.

Amesema msisitizo mkubwa ulipo ni cheo kimoja kwa mtu mmoja jambo linalofundisha kuwa watu wenye kiasi.

“Haya mambo nilikuwepo kwenye kukusanya maoni ya wananchi ndiyo watu wanayoyataka. Rais Magufuli alienda mbele zaidi kwamba utagombea nafasi ya uongozi kwenye eneo ambalo wewe ni mkazi vinginevyo, marufuku kugombea,” amesema Polepole.

Amefafanua kuwa yapo mambo ya msingi ambayo Rais Magufuli anayafanya kwenye Serikali na ndani ya chama hicho ikiwamo suala la nidhamu na namna ya kuwatumikia watu.

“Rais Magufuli anasema ukiwa kiongozi cheo ni kimoja kwa sababu mrundikano wa vyeo ni ubinafsi, CCM wameambiwa hivyo na kuna watu hawakuzoea, walizoea kuwa unaweza kuwa mbunge, mwenyekiti wa wilaya na mkuu wa wilaya mtu mmoja,” amesema na kuongeza;

 “2020 inakuja sio mtu upo zako Times Fm unapiga kazi halafu ikifika mwishoni unaenda Ileje eti unaenda kuchukua jimbo,”

Jdee Afunguka Baada ya Kupatana na FA

$
0
0
Msanii Lady Jaydee ambaye hivi karibuni amepatana na aliyekuwa mhasimu wake msanii Mwana FA, amesema alishukuru sana kwa kitendo cha Mwana FA kumpa ushirikiano kwenye kazi zake na kupost Instagram kumpa promo.

Akiongea na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Lady Jaydee amesema ni jambo jema na la kumshukuru Mungu kwa wasanii wanapopeana ushirikiano.
“Ni jambo jema msanii mwenzako anapokusuport, na ndio kitu ambacho wasanii wengi tunapenda, sisi binadamu kwa hivyo mkae mkifahamu kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha, nilishukuru kwamba msanii mwenzangu amenisuport”, amesema LadyJaydee.
LadyJaydee ameendelea kwa kusema kwamba.... “ni wasanii ambao tulikuwa tunaelewana, na ndio maana tuliweza kufanya nyimbo nyingi ambazo ziliweza kufanya vizuri, watu walikuwa wanasikitika kwa yale yaliyotokea”.
Wawili hao walikuwa kwenye bifu kali ambalo ilikuwa hata salamu hakuna, lakini hivi karibuni wameamua kuyamaliza na kuondoa tofauti zao.

Hizi Hapa Sababu za Yanga Yashindwa Kusafiri Leo Kuelekea Bukoba

$
0
0
Hizi Hapa Sababu za Yanga Yashindwa Kusafiri Leo Kuelekea Bukoba
Klabu ya Yanga imeshindwa kusafiri leo kuelekea Bukoba kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wake wa Jumamosi dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, mkoani Kagera.

Taarifa iliyotolewa na msemaji wa Klabu ya Yanga, Dismas Ten imesema kuwa klabu ilipaswa kusafiri leo lakini imeshindikana kutokana na mabadiliko ya ratiba ya ndege hivyo timu yao itaondoka kesho asubuhi kuelekea Bukoba.
"Mabadiliko ya ratiba ya ndege si jambo geni sisi tulijiandaa kwenda leo lakini tumepewa taarifa kuwa ratiba yetu imebadilika mpaka siku ya kesho asubuhui ndiyo tutasafiri, mwalimu anaelewa utaratibu ambao upo maana si mara moja safari za ndege kuhairishwa jambo jema kwamba yeye mwenyewe kapata taarifa na ameridhia na yeye amejindaa na kuwaanda wachezaji wake kwa ajili ya safari kesho asubuhi" alisema Dismas
Aidha Dismas amedai kuwa wao kama klabu jukumu lao ni kuweka mazingira mazuri kwa timu na wachezaji ili waweze kupata pointi tatu muhimu Kagera dhidi ya Kagera Sugar
"Mchezo wa Bukoba tunacheza ugenini kwa hiyo watu wanahitaji kuwa sawa ili kimwili na kiakili kupambana kuweza kupata matokeo mazuri, siku zote mpira wa miguu haijalishi unacheza nyumbani au ugenini maandalizi unayokuwa umeyafanya ndiyo yanaleta matokeo, kwa kuwa mpira wa miguu unachezwa uwanjani" alisema Dismas Ten

Pakistan Paokoa Familia Iliyotekwa na Taliban Miaka 5 Iliyopita

$
0
0
Pakistan Paokoa Familia Iliyotekwa na Taliban Miaka 5 Iliyopita
Jeshi la Pakistan limeiokoa familia moja ya watu watano raia wa Marekani ambao walikuwa wakishikwa mateka na wanamgambo wa Taliban wa Afghanistan.
Waliokolewa wakati wa oparesheni katika wilaya moja yenye makabila ya Kurram karibu na mpaka na Afghanistan.

Jeshi la Afghanistan halikuitaja familia hiyo, lakini raia wa Canada Joshua Boyle na mkewe raia wa Marekani Caitlan Coleman, walitekwa walipokuwa wakitembea nchini Afghanistan mwaka 2012.
Pakistani soldiers (file photo)Haki miliki ya pichaEPA

Video ya mwisho ya wawili hao ilitolewa Disemba mwaka uliopita wakati walionekana wakiomba nchi zao kuwaokoa.
Walionekana wakiwashika watoto wao wadogo wa kiume waliozaliwa wakiwa wameshikwa mateka.
Abu Bakr al-Baghdadi yuko wapi?
Haikujulikana ni lini video hiyo ilirekodiwa, lakini ilitolewa baada ya uvumi kusambaa mjini Kabul kuwa serikali ilikuwa ikipanga kumnyonga Anas Haqqani, mtoto wa mwanzilishi wa mtandoa wa Haqqani ambaye amekuwa akizuiliwa tangu mwaka 2014.

Jafo Awabana Wadaiwa Sugu wa Bodi ya Mikopo Awataka Kulipa Kabla ya Desemba 30

$
0
0
Jafo Awabana Wadaiwa Sugu wa Bodi ya Mikopo Awataka Kulipa Kabla ya Desemba 30
Halmashauri 12 ambazo ni wadaiwa sugu wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa zimetakiwa kabla ya Desemba 30 ziwe zimerejesha deni la Sh2 bilioni.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo ametoa agizo hilo leo Alhamisi.

Halmashauri hizo ni Mwanza, Mbeya, Moshi, Singida, Kigoma, Karatu, Mbinga, Pangani, Mbinga, Morogoro, Igunga na Kongwa.

Jafo amesema hadi Septemba 30 bodi imetoa mikopo yenye thamani ya Sh9.7 bilioni kwa halmashauri 54 nchini.

Amesema hadi Septemba 30 fedha zilizorejeshwa ni Sh6.6 bilioni.

"Halmashauri nyingi zimejitahidi kurejesha mikopo kwa wakati lakini kuna zilizoonyesha usugu katika kurejesha mikopo," amesema.

Amesema kutorejeshwa kwa mikopo kunasababisha halmashauri nyingine kukosa fursa ya kukopa.

Jafo ameiagiza bodi kuangalia utaratibu wa kupitisha mikopo inayolenga ujenzi wa viwanda na uwekezaji katika halmashauri ili kukuza ajira na uchumi wa viwanda.

"Bodi iache kubweteka, ijipange kimkakati  kujenga uwezo mkubwa wa kutoa mikopo kwa halmashauri zilizo makini katika mapinduzi ya viwanda," amesema.

Video: SportPesa wametupa ujanja wa nje ya uwanja – John Bocco

$
0
0
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania na kikosi cha wekundu wa msimbazi,Simba SC, John Bocco ameeleza namna alivyofurahishwa kwa kufika katika ofisi za wadhamini wao ambao ni kampuni ya kubashiri matokeo ya SportPesa na kutumia nafasi hiyo kujifunza vitu ambavyo alikuwa havifahamu kama mchezaji.




Bocco ameyasema hayo baada ya kuzungumza na Bongo5 katika ofisi za SportPesa.

“Kwanza ni furaha kubwa hatujawahi kufika pia imekuwa fursa kwetu kujifunza vitu vingi ambavyo tulikuwa hatuvijui kuhusu SportPesa na kubadilishana mawazo na wadhamini wetu.”Amesema  Bocco



Jonh Bocco ameongeza “Naamini vitu vingi tulikuwa hatuvijui ambapo leo tumeweza kujifunza kama unania na umeelewa nini kilichosemwa unaweza kujua ni kwa namna gani unaweza kujiendeleza nje ya uwanja.”

“Wazamini wetu wa SportPesa tunawashukuru kwa kuweza kutupa kitu kizuri ambacho ni darasa zuri kwetu kwa maisha yetu ya baadae.”


Bocco amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na Simba SC msimu huu baada ya kumalizana na timu aliyoichezea kwa misimu 10 mfululizo Azam FC.

Shuhudia Maajabu ya Chief Sultan Mzee...Mtaalamu wa Nyota za binadamu

$
0
0
 Ona Maajabu ya Chief Sultan Mzee

 Mtaalamu wa Nyota za binadamu Africa Mashariki na dunia nzima,
Amewasaidia watu wengi kujua nyota zao na jinsi ya kuzing'arisha,
Anarudisha Mpenzi,Mume,Mke mliyeachana NDANI ya masaa manne(4) tu,
Anaweza kuongeza ROMANCE na MAHABA kwa Mwenzi wako
Anatoa pete ya BAHATI pamoja na kukupa uwezi wa Kupata faida kubwa katika biashara yako,
Kwa wale mnaosumbuliwa na Chuma ulete tatizo hilo analiondoa kabisa,
Anakuwezesha kushinda kesi iliyodumu siku nyingi nk.


KWA USTAA,UMARUFU UTAPATA UTAJIRI WA MAISHA NA BILA MASHARTI YOYOTE, UTAPEWA NGUVU ZA KUJILINDA NA UTAJIRI, MALI NA AFYA YAKO,Karibu kwa CHIEF SULTAN MZEE akupatie Pete za Bahati na utajiri.Wachungaji wengi duniani, Wanasiasa na Wasanii Maaarufu duniani Tayari wamejiunga pia wamefaidika na wamebadirisha  Maisha yao toka umasikini mpaka utajiri,kujua mengi zaidi na kutatuliwa Matatizo yako yoote kwa usiri na Uaminifu piga simu namba 0762-846979 au 0672-202509 

Dhahabu ya Mamilion Iliyokuwa Inatoroshwa Yakamatwa Bandarini

$
0
0

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inawashikilia watu wawili kwa kukutwa wakisafirisha dhahabu yenye uzito wa kilogramu 6.2 iliyokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi 500.3 milioni isivyo halali.

Mkurugenzi wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko aliwataja watu hao kuwa ni Akifa Mohamed na Jaffer Hussein na kueleza kwamba walikamatwa katika eneo ambalo hutumiwa na wasafiri wanaokwenda Zanzibar.

Mhandisi Kakoko alieleza kwamba tukio hilo lilitokea Oktoba 10, mwaka huu saa 5:20 usiku eneo la Azam Sea Link/DMI, wakati askari wa TPA na wa vyombo vya ulinzi na usalama, walipokuwa katika ukaguzi wa abiria, mizigo na magari yaliyokuwa yakiingia katika meli ya MV Azam Sea Link – I.

Alisema watu hao wawili walikuwa wa mwisho kufika eneo hilo wakiwa na gari aina ya Toyota Noah na begi lililokuwa na dhahabu hizo lilifichwa katika siti za nyuma.

Aliongeza kuwa mwanzoni watuhumiwa hao walikataa kupekuliwa ila baada ya kubanwa ndipo walikubali na mzigo huo kupatikana.

Kakoko alisema watuhumiwa hao walipohojiwa mmoja alieleza kwamba nyaraka zote za madini hayo ziko Zanzibar lakini uchunguzi umebaini kuwa hakuna nyaraka zozote, huku mwingine akieleza alipewa dhahabu hizo azisafirishe.

Alileza kuwa watu hao wanashikiliwa katika kituo cha Polisi cha Bandari ya Dar es Salaam na watafunguliwa shtaka la kupatikana na madini isivyo halali.

Dereva wa gari hilo alikimbia baada ya kushtukiwa, na gari linashikiliwa huku dereva huyo akisakwa.

Wabunge CCM Kuisoma Namba....Ni Baada ya Chama Hicho Kutaka Kila Mgombea Awe Mkazi wa Eneo Analotaka Kugombea

$
0
0
Wanachama wanaotaka kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM, sasa watalazimika kuwa wakazi wa eneo wanalotaka kuliwakilisha, sharti ambalo linaweza kuwaondoa takriban nusu ya wabunge wa sasa.

Kutokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano kuruhusu mtu kwenda sehemu yoyote apendayo, imekuwa rahisi kwa mtu kuishi mji kama Dar es Salaam na kugombea ubunge wa jimbo lililoko katika mkoa mwingine.

Na uhuru huo umewawezesha watu kama Augustine Mrema, ambaye ni mwenyekiti wa chama cha TLP, kuwa mbunge wa Moshi Vijijini kwa tiketi ya CCM, Temeke (NCCR-Mageuzi) na Vunjo (TLP).

Na ni kutokana na uhuru huo, wabunge wengi wa vyama tofauti, wanaishi Dar es Salaam na kuwakilisha majimbo ya maeneo ya asili yao.

Hata wafanyakazi kutoka serikalini, hasa wakuu wa mikoa na wilaya na sehemu nyingine, huchukua likizo wakati wa uteuzi wa wagombea na kwenda maeneo yao asilia au waliyokulia kuomba wapitishwe na wasipopitishwa hurejea makazini.

Lakini masharti mapya ya CCM yanazuia mwanachama kugombea ubunge, udiwani au nafasi nyingine yoyote bila ya kuwa mkazi wa eneo hilo.

“Shika maneno yangu, mwaka 2020 wagombea ubunge watakuwa ni wale ambao wanatoka kwenye maeneo husika, wanaojua na kushughulika na shida za wananchi,” alisema katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Humphrey Polepole katika mahojiano na kituo cha redio cha Times FM jana.

Alisema hatua hiyo imetokana na chama hicho kujitathmini na kujisahihisha baada ya kugundua watu wanataka viongozi wanaotoka miongoni mwao ambao wanajua kero zao na hivyo wataweza kuzishughulikia.

Polepole, ambaye alipata umaarufu wakati wa Bunge la Katiba akitaka litumie rasimu iliyotokana na maoni ya wananchi, alisema wanachama watakaokuwa wakazi wa maeneo tofauti na wanayotaka kuyaongoza, hawataruhusiwa.

Akihojiwa katika kipindi cha Maisha Mseto, Polepole alisema ili mwanaCCM awe na sifa za kugombea, ni lazima awe mkazi wa eneo husika.

Polepole, ambaye alikuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba, alisema suala hilo lilikuwa sehemu ya maoni ya wananchi wakati wa mchakato wa Katiba Mpya.

Alisema msisitizo mkubwa uliopo ni cheo kimoja kwa mtu mmoja jambo linalofundisha kuwa watu wenye kiasi.

“Haya mambo ndiyo watu wanayoyataka. Rais (John) Magufuli alienda mbele zaidi kwamba utagombea nafasi ya uongozi kwenye eneo ambalo wewe ni mkazi vinginevyo, marufuku kugombea,” alisema Polepole.

“Mwaka 2020 unakuja, si mtu upo zako Times FM unapiga kazi, halafu ikifika mwishoni unaenda Ileje eti unaenda kuchukua jimbo.”

Akizungumzia uamuzi huo, katibu wa wabunge wa CCM, Jason Rweikiza alisema sharti hilo litakomesha tabia iliyojengeka kwa baadhi ya wanachama wa chama hicho kwenda kugombea ubunge maeneo ambayo hawajui yana matatizo gani.

“Unakuta wananchi wana shida ya maji, umeme na barabara anakuja mgombea kipindi cha uchaguzi na ahadi kemkem, kumbe yote ni kuwavutia wampigie kura na akishajihakikishia ushindi humumuoni tena,” alisema Rweikiza.

Rweikiza alisema hatua hiyo itasababisha watu wathamini kwao na kuelewa matatizo ya maeneo waliyotoka na uchaguzi utakuwa huru bila ya rushwa.

Credit: Mwananchi

VIDEO: Mwili wangu ndio biashara yangu – Calisah

$
0
0

Mwanamitindo anayekuja kwa kasi nchini Tanzania, Calisah amesema kwa sasa anajifua na mazoezi ili kuutengeneza mwili wake uwe wa kibiashara zaidi kwa ili uvutie watu wanaotaka kufanya nae kazi za matangazo.

Hata hivyo, Calisah amesema kuwa kitendo cha yeye kupata matangazo mengi na kuonekana kwenye mabango kinamfanya ajiweke vizuri kwa kufanya mazoezi ili awe na muonekano wa kijasiri huku akikataa kuwa hafanyi mazoezi kwa ajili ya kupendwa na mademu.

“Mimi biashara yangu ni mwili wangu kama ambavyo ukiuza nguo mtaji wako ni nguo, Mgari magari ukiuza gari lazima u-invest kwenye magari mengine, mimi kazi yangu ni Modo watu wamezoea kuniona kwenye Tv kwenye mabango kwenye runway hivyo lazima nijiweke fiti“,amesema Calisah



Kwa upande mwingine Mwanamitindo huyo amesema kuwa mwaka huu ameamua kuachana na fani hiyo ya mitindo na kuingia kwenye masumbwi.

Nay wa Mitego Apewa za Chemba Baada Kudai Ameamua tu Kutembea Kwa Miguu na Kuuza Magari

$
0
0
EMMANUEL Elibariki ndilo jina lake halisi, lakini kwa mashabiki wa Bongo Hip Hop, wao wanamfahamu zaidi kama Nay wa Mitego, rapa mmoja hivi mgumu, mtoto wa mjini na mwingi wa maneno ya shombo juu ya wenzake katika nyimbo zake.
Nimesema mara nyingi na wala sioni vibaya kurudia tena, kwamba mimi ni shabiki mkubwa wa huyu jamaa. Kinachonifanya nimkubali, ni ule ujasiri wake wa kusema anachokiamini, ingawa mara nyingi kinamletea matatizo kwa namna ya uwasilishaji wake, yaani lugha anayoitumia.

Mimi napenda kuamini katika vile ilivyo, yaani kama mtu anajipendekeza, naamini hivyo, kama ni jasiri, ni mwongo, mnafiki, bendera fuata upepo na vitu kama hivyo. Ni bora ninyamaze kuliko kuita makande kuwa ubwabwa, hata kama yatawekewa maziwa. Nay ni mwimbaji jasiri, asiyeogopa kuzungumza katika hisia zake na amefanya hivyo mara nyingi kupitia tungo zake.
Baadhi zimempa matatizo, zingine zikimpatia maadui na wakati mwingine hata kupunguza ‘funbase’ yake, kitu ambacho katika muziki au shughuli yoyote ni jambo la kawaida kwa sababu uzoefu unatuambia hata mitume walikuwa na maadui, sembuse binadamu? Msikilize katika nyimbo kama Muziki Gani, Shika Adabu Yako, Saka Hela, Wapo na Makuzi.

Ni nyimbo ambazo ukizisikiliza unaona mistari yake kama anatumia lugha kali, isiyofaa, lakini ndiyo hali halisi kwa sababu Wabongo ‘sometimes’ wanastahili kupewa maneno ‘streit’. Wiki iliyopita tulipata habari za Nay, ambaye ni mwenyeji wa Mkoa wa Kilimanjaro, kuwa ni kama anayumba flani hivi kiuchumi kwa sababu, lile lundo la magari yake mazuri, ya bei mbaya, yamepotea na kuwa amebakiwa na moja tu ambalo ndilo analitumia kwa mishemishe zake. Haya, kwa mujibu wa vyanzo vyetu, ni kuwa aliyapiga bei.

Tukajaribu pia kumfikia kwa njia ya simu na kumjulisha kuhusu ubuyu huo. Uzuri hakukataa, alikubali kuwa ni kweli ameuza magari yake yote na hata lile moja ambalo sisi tuliambiwa analo, hanalo. Bahati mbaya hakutueleza kwa nini aliuza, lakini siku chache baadaye kupitia ‘midia’ nyingine, akasema aliamua kuyauza kwa sababu yeye ni mtoto ambaye amezaliwa kutoka familia ya kawaida, hivyo vitu kama magari wala hata siyo vitu vya lazima.

Kwani ameshapanda sana daladala na bajaj, kwa hiyo haoni vibaya kurejea usafiri huo. Ni kweli asemeyo, kwamba amezaliwa kitaa na maisha yake yamejaa uzoefu huo. Kwa kauli hii, ananifanya nipate ukakasi kidogo kwa sababu siamini kama ndiyo sababu ya yeye kuuza magari yake.

Yaani eti ameuza kwa sababu alizaliwa Manzese na hivyo anataka kurejea kama zamani? Hapana. Hata wale waliozaliwa Mpitimbi, Songea kule mbali, achilia wa Manzese kwa sababu wapo mjini, ambao kila siku wanatembea umbali mrefu kwenda shule, shamba na mahospitalini, wakizipata za kuweza kununua gari, hawawezi kuacha eti kisa wamezoea ‘kuchapa lapa’.

Kwangu mimi sioni kama mtu kuuza kitu ni kufilisika, kwa sababu ili kusonga mbele zaidi wakati mwingine unapaswa kuanza upya katika ngazi flani. Ni vyema kama angekaa kimya na kusema anazo sababu za msingi za kuuza, kuliko utetezi huo aliosema, kwa vile hali kama hiyo inawatokea watu wengi tu.

Anaweza kuwa alikopa kwa matarajio angerejesha kupitia shoo, lakini kama tunavyojua hivi sasa vyuma vimekaza kila kona, yawezekana imebidi ajinusuru kwa namna hiyo. Yawezekana pia ameamua kuwekeza katika eneo lingine zuri zaidi kwa kuingiza badala ya starehe, yote ni katika kutafuta.

Sema bro, kama ulikopa na sasa ‘Majembe’ wamepiga hodi, ili utusaidie na sisi tunaopenda kukopakopa tujue tusipokuwa makini kuna hatari, au kama unafungua mradi mpya, utujuze pia ili nasi tuone namna gani tunaweza kukusanya vidogo tulivyo navyo tukawekeza na kuanza hatua nyingine. Lakini siyo kutuletea stori hizo, za kutufanya tuache udadisi kwa sababu eti wewe ni msela. Msela gani hapendi m

Emmanuel Mbasha Apata Mchumba Mpya Baada ya Kutemana na Flora...Kumtambulisha leo

$
0
0
ALIYEKUWA mume na mzazi mwenza wa mwanamuziki wa injili, Flora Mbasha, anayejulikana kwa jina la Emmanuel Mbasha, ametoa ahadi ya kumuanika hadharani kesho mwandani wake wa sasa, baada ya kuchoshwa na maneno maneno ya mashabiki kuhusiana na nani ni mrithi wa Flora.
Mbasha ambaye tangu kuolewa kwa mzazi mwenziye hakuwahi kuweka wazi uhusiano wake na mtu mwingine, amefungukia ishu hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram, ambapo amesema kesho anapasua jipu!


Baada ya Post yake hiyo mashabiki wakateremsha koment zao, huku wakionyesha shauku kubwa ya kuifikia kesho waweze kumjua huyo mpenzi wake wa sasa.
NA ISRI MOHAMED/GPL

Miss Tanzania, Diana Edward Anusurika Kukeketwa na Ndugu zake

$
0
0
Mrembo anayeshikilia Taji la Miss Tanzania 2016/17, Diana Edward amenusurika kukeketwa na ndugu zake nyumbani kwao, Sakina jijini Arusha.

Akizungumza na Ijumaa mapema wiki hii akiwa katika mazungumzo na warembo waliokuwa wakishiriki kinyang’anyiro cha kumsaka Miss Ubungo 2017 yaliyofanyika Ukumbi wa JBN, Kijitonyama jijini Dar, Diana ambaye kiasili ni Mmasai alisema kuwa, tukio hilo hatalisahau kwa kuwa alifanikiwa kuchoropoka mikononi mwa ndugu zake hao waliotaka kuhakikisha anafanyiwa tohara hiyo kama wenzake. “Kwa mila za kwetu mwanamke ukifikia umri fulani ni lazima afanyiwe ukeketaji.

Kwangu mimi sikutaka kabisa kitu kama hicho kinitokee lakini kitendo cha kutia mguu nyumbani kwetu hivi karibuni huko Sakina, ndugu pamoja na watu wengine walinifuata na kunitaka nikeketwe, kisa kutimiza mila.

“Hata hivyo, nilifanikiwa kutoka mikononi mwao japokuwa hadi sasa hivi bado kuna ndugu wanaendelea kushikilia msimamo wa mimi kufanyiwa hivyo, lakini mwisho wa yote sikukubali kufanyiwa mambo yaliyopitwa na wakati,” alisema Diana huku akilengwa na machozi. Diana alikuwa Miss Tanzania mwaka jana katika kinyang’anyiro kilichofanyika jijini Mwanza akiwakilisha Wilaya ya Kinondoni.
Stori: Richard Bukos

Je Dada Unapenda Kuwa Mrembo? na Kaka Kuwa Mtanashati na Kurudisha Heshima ya Ndoa?

$
0
0
JE, DADA UNAPENDA KUWA MREMBO? NA KAKA UNAPENDA KUWA MTANASHATI NA KURUDISHA HESHIMA YA NDOA? Tumia Bidhaa halisi za MARKSON kwa mafanikio ya uhakika na bila madhara.  
           Zimetengenezwa kwa mimea na matunda na kuthibitishwa kiafya.

Pata hizi 
 
1. kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @130,000/=
2. Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa (a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @200,000/=
(b)Vidonge  @180,000/=
3. Kuwa mweupe na softi mwili mzima kwa:-  (1)Mafuta  @130,000/=
(11)Vidonge @150,000/=
4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5. Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a) Gely ya kupaka @150,000/=
(b) Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu hata kwa wenye kisukari @150,000/= (c)Handsome up original >kifaa kinachoongeza maumbile kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea  @250,000/=
6. Kuondoa mvi milele zisiludi tena @150,000/=
7. Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula  @130,000/=
8. Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
    (a) Dawa ya kunywa au kupaka @130,,000/=
(b) Mkanda wa kawaida @100,000/=
(c) micro-computer belt unaovaibret @250,000/=
9 .Kupunguza  maziwa na kuyasimamisha @130,000/=
10. Kushepu miguu na kuwa minene na kuondoa kigimbi @130,000/=
11. Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @100,000/=
12. kubana uke na kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke @120,000/=

   NB: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
        Wasiliana nasi :-
(+255) 0767447444 na
          0714335378
     Follow us on instagram  @Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr

Acacia Mambo Magumu Yaendelea Kuugulia Maumivu Zuio la Kutosafirisha Mchanga wa Madini

$
0
0
Acacia Mambo Magumu Yaendelea Kuugulia Maumivu Zuio la Kutosafirisha Mchanga wa Madini
Ikitarajia kuchapisha hesabu zake za fedha kwa robo ya tatu ya mwaka, kampuni ya Acacia inaendelea kuugulia maumivu ya zuio la kutosafirisha mchanga wa madini.

Kwenye taarifa yake ya awali iliyotolewa jana kwa wadau wake na jamii kwa ujumla, kampuni hiyo imeeleza kuimarika kwa uzalishaji lakini ikabainisha kupungua kwa mapato kutokana na zuio hilo lililoanza mapema Machi.

“Mauzo yalikuwa madogo kutokana na zuio la kusafirisha makinikia yanayozalishwa kwenye migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi nchini Tanzania,” inasema taarifa hiyo fupi.

Machi, Serikali ilizuia usafirishaji wa mchanga wa madini na Rais John Magufuli akaunda kamati mbili za kuchunguza uchimbaji, usafirishaji na biashara nzima ya dhahabu ambazo zilibaini udanganyifu unaofanywa hivyo kulinyima Taifa mapato linayostahili.

Licha ya zuio hilo, Serikali ilifanya mabadiliko kwenye sheria za madini ili kuongeza usimamizi wa uzalishaji, udhibiti wa mapato na ushiriki wa Watanzania katika umiliki wa kampuni zenye vibali vya uchimbaji nchini.

Kwa robo nzima ya mwaka, kampuni hiyo inayomilikiwa na Barrick Gold Corporation kwa asilimia 63.9 imezalisha wakia 191,203 na kuuza wakia 132,787. Pamoja na takwimu hizo, changamoto za upatikanaji wa vibali na kupunguzwa kwa uzalishaji kwenye baadhi ya migodi yake kumeathiri kiasi cha dhahabu iliyopatikana.

Vibali viliathiri uzalishaji wa Mgodi wa North Mara ambao umetoa wakia 72,011 ndani ya miezi mitatu ya Julai, Agosti na Septemba wakati Mgodi wa Bulyanhulu ukizalisha wakia 50,094 kutokana na kupunguza operesheni zake.

“Uzalishaji umezidi matarajio katika Mgodi wa Buzwagi uliochangiwa na ubora dhahabu iliyopatikana. Tulizalisha wakia 69,097,” inasomeka taarifa hiyo.

Kuanzia Julai 31, mazungumzo baina ya Serikali na Barrick yanaendelea kutafuta muafaka wa zuio hilo pamoja na kuongeza faida kwa kila upande. Miongoni mwa yanayojadiliwa kwenye mazungumzo hayo ni faini ya Dola 190 bilioni za Marekani (zaidi ya Sh424 trilioni) ambayo Acacia imeandikiwa na Mamlaka ya Mapato (TRA) ikiwa ni kodi iliyokwepwa pamoja na riba yake.

Tangu kuanza kutekelezwa kwa zuio hilo, bei ya hisa za kampuni hiyo iliyoorodheshwa Soko la Hisa London (LSE) na Dar es Salaam (DSE) imeshuka kutoka Sh12,000 mpaka Sh5,000 kila moja.


Maskini: Mtoto Aungua na Moto Uliokuwa Umewashwa na Mama yake Hadi Kufa

$
0
0
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga RPC Benedict Michael Wakulyamba, amethibitisha tukio la mtoto kuungua hadi kufariki kwa moto uliowashwa na mama yake kwaajiuli ya kupikia wilayani Handeni.

RPC Benedict amesema tukio hilo limetokea Oktoba 12 mwaka huu katika kijiji cha Kwamwenda Kata ya Mlorwa Wilaya ya Handeni ambapo mtoto Kessy Kamuje mwenye miaka 3 amefariki kwa kuungua moto akiwa shambani na mama yake mzazi.
“Ni kweli tukio limetokea jana ambapo mtoto Kessy aliungua kwa moto baada ya mama yake kumlaza kwenye kibanda cha nyasi shambani ambacho kilishika moto aliokuwa ameuwasha kwaajili ya kupikia”, amesema RPC Benedict.

Kamanda ameeleza kuwa mama wa mtoto Kessy alifika shambani kwaajili ya shughuli za kilimo ambapo alimlaza mtoto kwenye kibanda cha nyasi na akawasha moto kwaajili ya kupika kisha akaendelea na shughuli za kilimo ndipo Kibanda kikashika moto na kumuunguza hadi kufa mtoto Kessy.

Kwa upande mwingine RPC Benedict amesema madereva kumi wa mabasi waliokamatwa jana kwa kosa la kuendesha kwa mwendokasi kinyume na sheria za usalama barabarani wanarajia kufikishwa mahakamani leo kwaajili ya kujibu mashitaka yanayowakabili.

“Ni kweli tumewakamata madereva 10, baadhi yao wanaendesha mabasi ya abiria yaendayo mikoani, wengine daladala za hapa jijini kwa makosa ya kuendesha mwendokasi na leo watafikishwa mahakamani kujibu mashitaka yao”, amesema RPC Benedict.

Sheria ya Vyama vya Siasa Kufuta Mikutano ya Hadhara ya Vyama vya Siasa Hadi Wakati wa Uchaguzi Pekee

$
0
0
Sheria ya Vyaamaa vya Siasa Kufuta Mikutano ya Hadhara ya Vyama vya Siasa Hadi Wakati wa Uchaguzi Pekee
RASIMU ya Sheria ya Vyama vya Siasa inayotarajiwa kufanyiwa marekebisho kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao, inapendekeza kufutwa kwa mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa hadi wakati wa uchaguzi pekee.

Rasimu hiyo, ambayo imetumwa kwa vyama vya siasa kwa ajili ya kutoa maoni yao, pia inapendekeza ruzuku ilipwe mara moja na kwa vyama vyote kulingana na idadi ya kura za urais katika Uchaguzi Mkuu.

Iwapo mabadiliko hayo yatapelekwa bungeni, uwezekano wa kupitishwa kuwa sheria ni mkubwa kutokana na idadi kubwa ya wabunge kutoka chama tawala (CCM) kinachoongoza Serikali ambayo itawasilisha muswada wa mabadiliko hayo.

Rasimu hiyo imekuja wakati vyama vya upinzani vikipigia kelele kutoheshimiwa kwa Katiba na sheria na kuminywa kwa demokrasia iliyofanya vishindwe kupiga siasa kwa uhuru, hasa baada ya Serikali kupiga marufuku mikutano ya hadhara na maandamano.
Serikali imeruhusu mikutano ya ndani ambayo pia imesababisha viongozi kadhaa kukamatwa au kuhojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kupanga mikakati ya uchochezi.

Na tayari vyama vya upinzani vimeshaingiwa na hofu dhidi ya mapendekezo hayo, vikisema yanalenga kufuta sheria ya mwaka 1992, kwa mujibu wa viongozi waliozungumza na Mwananchi jana na juzi.

Katika Rasimu ya Muswada wa Mabadiliko ya Sheria hiyo, Kifungu cha 45(2) kinaeleza kuwa mikutano ya vyama haitaruhusiwa katika kipindi ambacho hakuna uchaguzi, isipokuwa itakayoitishwa na wabunge, wawakilishi na madiwani katika maeneo yao.
Kuhusu ruzuku, rasimu ya muswada huo katika Kifungu cha 59 (1) inaeleza itatolewa mara moja katika mwaka wa fedha na waziri atazingatia hali ya kiuchumi na kifedha katika wakati husika.
“Sheria inayotungwa kwa kuangalia mtu au kundi la watu ni sheria mbaya,” alisema mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia alipoulizwa maoni yake kuhusu mapendekezo hayo.
“Kinachofanyika sasa kinaturudisha miaka 25 nyuma. Uhuru alioupigania Mwalimu (Julius)Nyerere upo wapi? Uhuru wa kukusanyika, uhuru wa mawazo?”
Mbatia, ambaye pia ni mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) alisema nchi inaendeshwa kwa matukio na kushauri kuwa maendeleo ya nchi ni lazima yawe shirikishi.
“Ajenda ya Malengo ya Milenia ya amani, haki na uimara wa taasisi unatoweka nchini,” alisema Mbatia, ambaye ni mbunge wa Vunjo.
“Zamani, mataifa ya nje yalikuwa yanakuja kujifunza siasa hapa kwetu, lakini kwa hali inavyoendelea sasa, watakuja kujifunza kitu gani? Tunapaswa kurejea katika mchakato wa Katiba ya Jaji Warioba, Katiba imara itatuondoa hapa tulipo na kwenda mbele zaidi.”
Serikali ilitangaza kupiga marufuku mikutano ya hadhara mwaka 2016, ikisema inataka watu wajikite kufanya kazi za maendeleo na kwamba yataruhusiwa mwaka 2020 wakati wa Uchaguzi Mkuu.
Tamko hilo kwanza lilitolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, lakini alipoulizwa bungeni alisema ilihusu jimbo lake na baadaye likatolewa na Jeshi la Polisi wakati Chadema ilipotangaza mikutano ya hadhara ya kuishtaki Serikali, kabla ya Rais John Magufuli kuweka bayana wakati wa hafla ya uzinduzi wa huduma za polisi Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Kwa wakati wote, vyama vya upinzani vimekuwa vikipinga marufuku hiyo kwa maelezo kuwa inapingana na Ibara ya 20 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano inayotoa uhuru kwa watu kukusanyika na kuitishana kwa lengo la kujadili, kufanya mkutano au kupeleka ujumbe kwa jamii au Serikali kuhusu jambo lolote ilimradi wanafanya hivyo kwa amani.

“(Muswada huu) Umehalalisha makatazo ambayo hayakuwa kwa mujibu wa sheria na hasa tamko la kuzuia mikutano ya vyama vya siasa sasa yanawekwa kwenye sheria,” alisema mkurugenzi wa itifaki, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema.
“Kama chama tutakaa kupitia kifungu kwa kifungu na kutoa msimamo kuhusu rasimu ya muswada huu.

“Muswada huu umeweka vifungu vingi ambavyo siasa sasa imefanywa kuwa kosa la jinai.”
Pamoja na vyama vya siasa, hasa vya upinzani kupinga mapendekezo hayo, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi ameyatetea kuwa yametoka kwa wadau.

Akizungumza na Mwananchi juzi, Jaji Mutungi alisema mapendekezo yaliyomo kwenye rasimu hiyo yametoka kwa wadau, akisema ndio waliowezesha kupatikana kwa rasimu hiyo.
“Yeyote mwenye hoja afike ofisini kwangu,” alisema Jaji Mutungi.

Katika Kifungu cha 47 cha mapendekezo hayo, vyama vya siasa vinazuiwa kuajiri, kusambaza, kuunda vikundi vya ulinzi au kuwa na muundo sawa na wa Jeshi la Polisi au chombo chochote cha ulinzi na usalama cha Serikali.
Pia, vyama vinazuiwa kuratibu au kutoa mafunzo ya kijeshi na kutumia silaha.
Mapendekezo hayo pia yanalenga kuondoa utaratibu uliopo sasa wa vyama vya siasa kuwa na wanachama wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kutokana na kifungu cha 32 kuzuia vyama kufanya shughuli za kisiasa kwenye maeneo ya kazi, shule au vyuo na majengo ya Serikali.
Mapendekezo hayo yanapendekeza adhabu ya Sh3 milioni au kifungo cha miezi sita jela au adhabu zote kwa pamoja kwa yeyote atakayekiuka kifungu hicho.

Mapendekezo hayo pia yanabadilisha utaratibu wa kuwasilisha ilani za uchaguzi. Kifungu cha 31(1)(c) kinapendekeza vyama kupeleka ilani hizo kwa Msajili wa Vyama vya Siasa badala ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Mrema, ambaye aliratibu kampeni za urais cha Chadema mwaka 2015, alisema mapendekezo hayo yanampa mamlaka makubwa Msajili kama ya kimahakama kwa kuwa anaweza kuagiza kupelekewa taarifa yoyote ya chama cha siasa, jambo alilosema ni la hatari.

Alikuwa akirejea Kifungu cha 36 cha rasimu hiyo kinachopendekeza kuwa kama chama cha siasa kitaitwa au kualikwa katika mafunzo ndani au nje ya nchi, ni lazima kitoe taarifa kwa Msajili siku saba kabla na kikikiuka kitakumbana na faini ya kati ya Sh1 milioni hadi Sh10 milioni au kifungo cha miezi sita gerezani au vyote kwa pamoja.
Sheria wanazotaka wao
Wakizungumza kuhusu rasimu hiyo, viongozi wa kisiasa walilaumu kuwa inalenga kuwabana.
“Tangu nchi hii ilipopata uhuru Desemba 9, 1961, sheria zinazotungwa ni zile wanazotaka wao na ndiyo maana zimekuwa na matatizo,” alisema mwenyekiti wa chama cha United Peoples’ Democratic (UPDP), Fahmi Dovutwa.

“Wao wamepanga na wanataka wanachotaka wao. Mimi nimepeleka mapendekezo, lakini sidhani kama yatafanyiwa kazi. Wanachokifanya si sawa. Huwezi kuweka sheria ngumu, huwezi kutubana tusifanye siasa.

“Sawa tutawasikiliza kwa kuwa wametaka wao. CCM wanaogopa kivuli chao na itakuja kuwagharimu siku moja. CCM isifikirie itapata kila siku na upinzani utakosa kila siku. Ipo siku CCM watang’oka na itawagharimu.”

Maoni kama hayo alikuwa nayo mwenyekiti wa Chama cha Kijamii (CCK), Costantine Akitanda ambaye alisema mapendekezo hayo yana lengo la kumaliza siasa na watu kama yeye wanaweza kujiondoa kutoka katika siasa.

“Sitaki kuamini kama kuna wabunge wanaojitambua hata wa CCM ambao watakubali kupitisha mapendekezo hayo,” alisema Akitanda. “Kwa nini tunashughulika na kuweka sheria kandamizi zinazokinzana na Katiba? Tunapaswa kutengeneza sheria zinazotekelezeka. Mimi nitakuwa miongoni mwa watakaoachana na siasa kwa sheria hizi na itafika wakati mzazi akimsikia mwanae anataka kuwa mwanasiasa atamzuia kwa sheria za aina hii.

“Ngoja tusubiri tukiitwa kuijadili na hata ikienda tutaitwa Kamati ya Bunge na tutaipinga.”

Sheikh Ponda Ameripoti Kituo Kikuu cha Polisi Leo, Asindikizwa na Jopo la Wanasheria

$
0
0
Shekhe Ponda ameripoti polisi tayari huku akisindikizwa na jopo la wanasheria wakiongozwa na makamu mwenyekiti CHADEMA Bara mhe Prof Abdallah Safari na kwenda moja kwa moja kwa Kamanda wa kanda maalum ya Dar

Tutazidi kujuzana...

Zari the Bosslady, Hatimaye Atua Bongo, Je Kaja Kwa Ajili ya Diamond? Fuatilia Hapa

$
0
0
Zari the Bosslady amewasili nchini watu wengi wanajiuliza amekuja kwa ajili ya Diamond au ni nini kilichomleta ..
Ili kujua angalia hio video hapo chini ina majibu yote.


SOMA Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Ijumaa

$
0
0
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images