Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Ray: Nipo Njia Panda Siwezi Sema Lulu Kama Ameonewa au Haki Ilitendeka

$
0
0
Ray: Nipo Njia Panda Siwezi Sema Lulu Kama Ameonewa au Haki Ilitendeka
Mwigizaji wa filamu, Vicent Kigosi maarufu Ray amesema uamuzi wa Mahakama dhidi ya msanii mwenzake Elizabeth Michael ‘Lulu’ umemfanya abakie katikati bila kuwa na msimamo wowote.

Ray amesema hatua hiyo inatokana na uwezo wake mdogo wa kutofahamu masuala ya kisheria katika uendeshaji wa kesi ya Lulu hivyo hawezi kusema kama ameonewa au hakustahili kupewa adhabu hiyo.

“Mimi nipo neutral (katikati) , sijui lolote na siwezi kujadili hukumu yake kama haki ilitendeka au haikutendeka,” amesema.

Alipotakiwa kutoa maoni yake kama sehemu ya msanii wa tasnia hiyo kwa Lulu kutumikia miaka miwili, Ray amesema  ameguswa na hukumu hiyo.

Amesema ni jambo la kushangaza kuona msanii mwingine akifurahia matatizo aliyokutana nayo Lulu: “Kama binadamu huwezi kuona msanii mwenzako na ukafurahia ni jambo linaloumiza sana,” amesema.

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0

THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)
MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.
ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.
+255 746 757 102 Kupiga tu.

Hali ya Samata Yaanza Kuimarika Aanza Mazoezi ya Kutembea

$
0
0
Hali ya Samata Yaanza Kuimarika Aanza Mazoezi ya Kutembea
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta ameanza kuonekana akifanya mazoezi mepesimepesi ya kutembea kwa kutumia fimbo maalum.
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta

Samatta kwanyakati tofauti ameonekana akiwa na fimbo zinazomsaidia kutembea huku goti lake la mguu wa kulia likionekana kufungwa bandeji.

Samatta ambaye amefanyiwa upasuaji wa goti siku chache zilizopita baada ya kuumia ndani ya klabu yake hali iliyopelekea kukosa kujumuika na kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) atakuwa nje ya Uwanja kwa muda wa majuma sita hii ni kwa mujibu wa daktari aliyemtibu.

Sijawahi Kugombana na Msanii Yeyote Ila Kusema Kwangu Ukweli Ndo Kunaniponza- Baraka Da Prince

$
0
0
Sijawahi Kugombana na Msanii Yeyote Ila Kusema Kwangu Ukweli Ndo Kunaniponza- Baraka Da Prince
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Barakah The Prince amesema hajawahi kugombana na msanii yeyote ila kusema kwake ukweli ndio kunafanya watu kumchukulia kama mkorofi.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Sometimes’ amekiambia kipindi cha XXL, Clouds Fm kuwa baada ya kuligundua hilo ameamua kulifanyia kazi.

“Sijawahi kumtukana msanii au kugombana na msanii but ule ukweli wangu labda unamwambia mtu, unajua watu wengi hawapendi kuambiwa ukweli, anaweza akakuboa ukamwambia ukweli akakuchukulia tofauti kwa hiyo nadhani sana hiyo ndio ilikuwa inachangia” amesema Barakah.

“Wakati huu nimejitahidi ndio maana hata nimekaa kimya muda mrefu sana, nimejaribu kukaa na watu wengi sana wamenipa cancelling wakiwemo watu wakubwa kwenye entertainment” amesisitiza.

Pia ameongeza kuwa watu kwa sasa watamuona ni Barakah mpya kwani anajichukulia kama msanii mpya ambaye ndio anataka kutoka.

Mwanajeshi wa Korea Kaskazini Aliyehamia Korea Kusini Yupo Maututi Baada ya Kupigwa Risasi 5

$
0
0
Mwanajeshi wa Korea Kaskazini Aliyehamia Korea Kusini Yupo Maututi Baada ya Kupigwa Risasi 5
Mwanajeshi wa Korea Kaskazini aliyeasi na kuvuka katika eneo la ulinzi mkali alipigwa risasi mara tano na sasa yuko katika hali maututi, Korea Kusini imesema.
Mwanajeshi huyo alivuka kuelekea upande wa kusini mwa Korea kusini upande wa eneo lenye ulinzi mkali ( JSA) katika kijiji cha Panmunjom siku ya Jumatatu.
Alikuwa amepeleka gari karibu na eneo la hilo la JSA, lakini ilibidi akamilishe safari kwa mguu wakati gurudumu la gari lake lilipolegea , Korea Kusini imesema.
Wanajeshi wa Korea Kaskazini walimmiminia risasi mara 40 lakini bado alifanikiwa kuvuka na akapatikana chini ya majani ya miti, iliongezea.
Takriban watu 1,000 kutoka Kaskazini huamia kusini kila mwaka lakini watu wachache uhamia kupitia eneo hilo lenye ulinzi mkali la (DMZ) ambapo ni mojawepo ya eneo lenye ulinzi mkali ulimwenguni.
Pia si kawaida kwa raia wa Korea Kaskazini kuvuka eneo la JSA , ambalo ni kivutio cha watalii na eneo pekee ambapo DMZ na vikosi vyote huonana ana kwa ana.
Korea Kaskazin na Korea Kusini wako bado vitani , tangu vita kati yao vilivyokamilika 1953 baada ya makubaliano na sio kwa kutia saini mkataba wa amani.

Afande Ampa Makavu Mama Kanumba "Nimeshangaa Kuona Anafurahi Lulu Kufungwa Mama Ambaye Hana Uchungu Hana Sifa ya Kuwa Mzazi"

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Afande Sele, amesema anashangzwa na kitendo cha Mama Kanumba kushukuru kufungwa kwa Lulu wakati mtoto wake ndiye alikuwa na makosa kwa kuwa na mahusiano na binti mdogo.

Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Afande Sele amesema mama Kanumba ni mama ambaye hana vigezo vya kuwa mzazi kwani hana uchungu na mtoto wa mwenzake kwenda jela akiwa mdogo, huku ambaye alistahili kuhukumiwa ni mtoto wake Kanumba.
"Mama Kanumba nimeshangaa kusikia anashukuru kwamba Lulu kafungwa, mama ambaye hana uchungu hana sifa ya kuwa mzazi, anashukuru kwamba mtoto mdogo anafungwa kwa ajili ya ubazazi wa mtoto wake, ujinga wa mwanae, upuuzi wa mwanae, mkubwa anambaka mtoto mdogo kama yule”, amesema Afande Sele.
Afande Sele ameendelea kwa kusema kwamba yeye kama mzazi mwenye mtoto wa kike anatamani hata maiti ya Kanumba ingefukuliwa ichomwe mto ili kuwa fundisho kwa wanaume wengine wenye matendo kama yake.

Kigwangala Aweka Wazi Mkakati Wake

$
0
0
Kigwangala Aweka Wazi Mkakati Wake
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla amesema Serikali kupitia Wizara yake inakusudia kuandaa mkakati maalum wa kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania nchini China ili kuongeza idadi ya watalii na mapato ya Serikali.

Dk. Kigwangalla amesema hayo ofisini kwake mjini Dodoma kwenye mazungumzo na Balozi wa China nchini, Mhe. Wang Ke ambaye alimtembelea kwa ajili ya kujitambulisha na kujadili uhusiano baina ya nchi hizo mbili katika sekta ya Uhifadhi na Utalii.
“Moja ya mkakati wangu kama Waziri mpya wa Wizara hii kukuza utalii ni kuweka mkakati wa kuleta watalii wengi kutoka China, China ni Taifa Kubwa lenye watu wengi, tunalenga zaidi kuwafikia watu wanaoishi maisha ya kati ambao ndio wanaopenda kutumia fedha zao kufurahia maisha” amesema Dk. Kigwangalla.

Waziri Kigwangalla amemuomba Balozi huyo kushirikiana na Serikali ya Tanzania kwa njia ya ushauri wa kitaalamu au wa kifedha kwa ajili ya kuandaa mkakati mahususi wa kulifikia soko la utalii la China.
Miongoni mwa mikakati waliojadiliana ni uwezekano wa kutumia fursa ya uwepo wa wawakilishi wa Televisheni ya CCTV ya China nchini Tanzania ambao wanaweza kutumika kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini na baadaye kuvitangaza nchini China na Duniani kote

Mnunuzi Feki wa Nyumba za Lugumi Aachiwa na Polisi Baada ya Kujidhamini Mwenyewe

$
0
0
Mnunuzi Feki wa Nyumba za Lugumi Aachiwa na Polisi Baada ya Kujidhamini Mwenyewe
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefikia uamuzi wa kumuachia  Dk Louis Shika ‘bilionea wa nyumba za Lugumi’ baada ya kutimiza masharti ya dhamana ya kujidhamini yeye mwenyewe baada ya kukosa mtu yeyote aliyejitokeza kwenda kutaka kumwekea dhamana.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumanne Novemba 14, Kamanda wa kanda hiyo, Lazaro Mambosasa amesema “uchunguzi wa tuhuma dhidi yake unaendelea lakini mpaka sasa hakuna mtu yeyote aliyefika kutaka kumwekea dhamana, yaani anaishi kama mtu wa nyikani.”

Mambosasa ameongeza, “nimeagiza watendaji wangu wamwachie kwa dhamana yaani ajidhamini yeye mwenyewe na awe anakuja kuripoti,” amesema Mambosasa

Kamanda huyo ametoa kauli hiyo mara baada ya Mwananchi kumtafuta kutaka kujua hatima ya Dk Shika ambaye ameshikiliwa tangu Novemba 9 akituhumiwa kuvuruga mnada wa nyumba za kifahari za mfanyabishara Said Lugumi

Dk Shika tangu siku hiyo amekuwa gumzo sehemu mbalimbali kutokana na kile alichokifanya siku ya mnada alipokuwa akipandisha bei dhidi ya washindani wake na moja ya kauli zake zinaendelea kutumika hadi sasa ni ‘Mia 900 itapendeza.’

Muhubiri Awalisha Mende Wafuasi Wake

$
0
0
 Muhubiri Awalisha Mende Wafuasi Wake
Muhubiri mashuhuri anayetumia nyoka nchini Afrika Kusini Penuel Mnguni amewalisha mende ndugu wawili katika mkusanyiko wa kanisa lake akidai kwamba wadudu hao walibadilika na kuwa jibini kwa mmoja wao na kiungo kwa mwengine.
Kisa hicho kinajiri takriban miezi mitano baada ya Mnguni katika ibada ilioandaliwa na Muhubiri wa Nigeria TB Joshua, na kukiri kulingana na bwana Joshua kwamba kuwalisha watu haijaandikwa katika biblia.
Kanisa la bwana Mnguni lilichapisha katika mtandao wa facebook kuhusu kisa hicho cha kula mende mapema mwezi huu akisema kuwa muhubiri huyo alimwita mende kuja katika kanisa hilo.
Baadaye aliwaita wafuasi wa kanisa hilo kujitokeza mbele na kula....ndiposa ndugu wawili walijitokeza na kula pamoja...na walipokuwa wakila bwana Charles alihisi anakula jibini huku Bwana Eric akihisi kula kiungo, chapisho hilo lilisema.
Huku akizungumza maneno haya ''uwezo wa mungu uliwagusa wote wawili, kwa kuwa walipo'' , aliongezea.
Kanisa hilo pia liliripoti katika chapisho jingine kwamba muhubiri huyo aliliombea uwa la sumu , na baadaye mfuasi mmoja alilila ua hilo pekee na kulimaliza.
Nabii huyo aliyejitangaza alizua utata nchini Afrika Kusini 2015 baada ya kushutumiwa kwa kuwalisha nyoka wafuasi wake.
Mashtaka dhidi ya Mnguni yaliowasilishwa na shirika la kuzuia ukatili dhidi ya wanyama ,yalitupiliwa mbali mnamo mwezi Julai 2015 kutokana na ukosefu wa ushahidi.

Kutana na Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed Kutoka Bagamoyo...Ana Dawa za Kurudisha Mapenzi na Zingine Nyingi

$
0
0
MIUJIZA YA SHARIFU SEIF MOHAMED KUTOKA BAGAMOYO.

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,
(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:
Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

USHAURI: kama unahitaji msaada ni  bora kupiga simu kuliko kutuma sms ili upate  msaada kwa haraka.

Zimbabwe Kumechacha..Jeshi la Zimbabwe Limedhibiti Kituo cha Runinga Cha Taifa ZBC

$
0
0
Jeshi la Zimbabwe limedhibiti kituo cha runinga cha ZBC na kurusha taarifa kuwa linawasaka wahalifu mbalimbali na kwamba hayo si mapinduzi kwani Rais Mugabe na familia yake wapo salama.

Siri ya Masha Kujitoa CHadema....Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Novemba 15

$
0
0

Siri ya Masha Kujitoa CHadema....Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Novemba 15

Orodha ya Mali za Kufuru za Mhasibu wa Takururu Zinazoshikiliwa na Mahakama

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imeanika mali za aliyekuwa Mhasibu Mkuu wake, Godfrey Gugai, ambaye utajiri wake unakadiriwa kuwa wa thamani ya Sh. bilioni 3.5.

Mhasibu huyo anatuhumiwa kujipatia mali nyingi kinyume na sheria ambapo miongoni mwa mali zilizotajwa kwamba anazimiliki ni pamoja na viwanja 37, maghorofa saba, nyumba za kawaida tisa, magari matano na pikipiki.

Maghorofa, nyumba za kawaida na viwanja vya mhasibu huyo ambaye alishafukuzwa kazi tangu mwaka jana viko kwa mtawanyiko katika maeneo mbalimbali nchini yakiwamo ya ghali karibu na bahari, Kigamboni na Mbweni jijini Dar es Salaam na pia Bagamoyo mkoani Pwani. Kwingineko kuliko na mali hizo ni Kinondoni (Dar), Musoma, Nyegezi na Kiseke jijini Mwanza.

Mali hizo kwa sasa zinashikiliwa na TAKUKURU kutokana na kibali ilichopewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kupeleka maombi ya kuzikamata.

Mei 8, mwaka huu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilitoa amri ya zuio la mali za Gugai ambaye anakabiliwa na tuhuma za kujilimbikizia mali kinyume cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya mwaka 2007.

Amri ya zuio la mali za Gugai ilitolewa na Mahakama hiyo kutokana na ombi la Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) chini ya kifungu namba 38(1)(a) na (b) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya mwaka 2007 katika shauri namba 13 la 2017.

Mali zilizozuiwa na mahakama ni;

Nyumba nne za ghorofa moja moja zilizoko kiwanja na 64 kitalu Ununio, Kinondoni,
Nyumba tatu za ghorofa moja zilizoko kiwanja na 150 kitalu 8 Bunju na Kinondoni,
Nyumba nne zilizoko Kiwanja na 225 Kitalu 6, Mbweni JKT, Kinondoni.
Nyumba zilizoko kwenye kiwanja namba 62 na 63 kitalu C, Kinondoni,
Nyumba iliyoko kiwanja namba 29 kitalu L, Majita, Musoma,
Nyumba namba 713 PPF Kiseke, Mwanza na
Nyumba iliyoko kwenye kiwaja namba 438 bloku D, Nyegezi, Mwanza.
Kiwanja namba 14 kitalu J, Bunju, Kinondoni,
Kiwanja namba 47 kitalu B, Mwongozo, Kigamboni,
Kiwanja namba 184 kitalu B, Buyuni,Temeke,
Kiwanja namba 103 Kitalu L, Kaole, Bagamoyo,
Kiwanja namba 104 Kitalu L, Kaole, Bagamoyo na
Kiwanja namba 209 kitalu B, Kibaha.
Kiwanja namba 195 kitalu 3, Kihonda, Morogoro,
Kiwanja namba 993 kitalu L, Kiegeya, Morogoro,
Kiwanja namba 868 Kitalu Q, Lukobe, Morogoro,
Kiwanja namba 34 kitalu K, Kisasa B, Dodoma,
Kiwanja namba 32 kitalu N, Itega, Dodoma,
Kiwanja namba 39 Kitalu M, Itega, Dodoma,
Kiwanja namba 24 kitalu B, Chidachi, Dodoma,
Kiwanja namba 64 Nzuguni, Dodoma,
Kiwanja namba 230 Kitalu B, Nyegezi, Mwanza na
Kiwanja namba 439 Kitalu D, Nyegezi, Mwanza
Kiwanja namba 275 Kitalu 2, Nyamhongolo, Mwanza,
Kiwanja namba 277 kitalu 2 Nyamhongolo, Mwanza,
Kiwanja namba 296 kitalu 2, Nyamhongolo, Mwanza,
Kiwanja namba 297 kitalu 2, Nyamhongolo, Mwanza,
Kiwanja namba 286 kitalu G, Nyamagana, Mwanza,
Kiwanja namba 287 kitalu G, Nyamagana, Mwanza,
Kiwanja namba 90 kitalu 5, Bugarika, Mwanza,
Kiwanja namba 126 kitalu A, Makoko, Musoma,
Kiwanja namba 622 kitalu A, Gomba , Arusha,
Kiwanja namba 621 na 623, kitalu A, Gomba na Arusha,
Kiwanja namba 737 kitalu C, Mwambani, Tanga
Kiwanja namba 1,2 na 3 kitalu J, Mwambani,Tanga,
kiwanja namba 4 kitalu J Mwambani, Tanga,
Kiwanja namba 5 kitalu J, Mwambani Tanga,
Kiwanja namba 18 kitalu J, Mwambani Tanga,
Kiwanja namba 7,9 kitalu J, Mwakidila, Tanga na
Kiwanja namba 11, 13 kitalu J, Mwakidila, Tanga
Gari namba T 180 DBQ , Mitsubish Canter,
Gari namba T 581 BQU, Toyota Hillux,
Gari namba T 814 CSC Nissan Murrano,
Gari namba T 679 ASD Toyota RAV 4 na
Gari namba T 913 DHE Suzuki
Pikipiki yenye namba ZZ usajili MC 837BCL
Kutokana na maombi ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali (DPP) mahakama imeamuru mali zilizotajwa hapo juu chini ya zuio la Mahakama. Aidha, mawakala wake na watu wengine wote wanaomwakilisha wamezuiwa kuuza au kuhamisha umiliki au kuweka dhamana mali zote zilizowekewa zuio.

Pia, Msajili wa hati ameagizwa kusajili zuio hilo kama kizuizi dhidi ya mali zote zilizotajwa.

Msajili Msaidizi wa magari ameagizwa asiruhusu uhamishaji wa umiliki wa vyombo vya moto vilivyowekewa zuio mpaka mahakama itakapoelekeza vinginevyo.

Hivi karibuni Gungai anafikishwa mahakamani akikabiliwa na mshtaka ya rushwa na mengine yanayofanana na hayo.

Breaking News: Ndikumana Mume wa Irene Uwoya wa Zamani Afariki Dunia

$
0
0
Msiba mkubwa kwa Taifa la Rwanda! Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia usiku wa kuamukia leo.

Kataut beki wa zamani wa Rayon Sports na mume wa muigizaji maarufu nchini, Irene Uwoya amefariki dunia baada ya kuugua ghafla.

Taarifa kutoka Kigali, Rwanda zinaeleza Kataut alikuwa mazoezini jana asubuhi.

Wakati anapoteza maisha, Kataut alikuwa kocha msaidizi wa kikosi cha Rayon Sports ya Rwanda.

Mara ya mwisho, Kataut aliichezea Stand United ya Shinyanga wakati akitokea Cyprus.


Alikuja nchini mara ya mwisho wakati wa Simba Day Agosti 8, akitua nchini Agosti 7 akiwa na kikosi cha Rayon ambacho kilicheza na Simba na kupoteza kwa bao 1-0.

Picha: Bilionea Wa Nyumba za Lugumi Alivyopanda Daladala Baada ya Kujidhamini Polisi

$
0
0
Bilionea' wa nyumba za Lugumi, Dk Louis Shika  jana aliachiwa na kwenda kupanda daladala kuelekea nyumbani huku akisema mpango wake wa kununua nyumba za Lugumi uko palepale.

Baada ya kuachiwa na polisi jana Jumanne jioni alisema kwamba bado mpango wake wa kununua nyumba hizo uko palepale.

Alisema anachosubiri sasa ni fedha kuingizwa kwenye akaunti yake na kulipa asilimia 25 anayodaiwa.

"Siku nikipeleka fedha nataka Yono na TRA waite waandishi wa habari waone na wautangazie umma," alisema.

Alisema vyombo vya habari vimetoa taarifa zake lakini vitaumbuka siku akienda kupeleka fedha hizo.

Aliendelea kusisitiza kwamba nyumba hizo zinahitajiwa na kampuni yake ambayo hakuitaja.

Njiani wakati akielekea kwenye kituo cha daladala cha Mnazi Mmoja, Dk Shika alikuwa kivutio kwa watu aliokuwa akipishana nao.

Alipopanda daladala la Tabata Mawenzi, kondakta alimkaribisha kwa kumweleza karibu mzee Shika.

Kauli hiyo iliwaamsha abiria ambao walikuwa na hamu ya kumwona.

Dk Shika alipanda daladala na kusimama huku akionyesha tabasamu lisiloisha.

Natasha Mamvi Awapa Ujumbe Mzito Mama Kanumba, Lulu

$
0
0
Natasha Mamvi Awapa Ujumbe Mzito Mama Kanumba, Lulu
Muigizaji Mkongwe wa filamu nchini, Natasha Mamvi amefunguka na kutoa pole kwa Wazazi wa wasanii, Kanumba na Lulu baada ya Mahakama Kuu kutoa hukumu kwa muigizaji lulu kutokana na kukutwa na kosa la kuua bila kukusudia kwa Muigizaji Kanumba.

Bi Natasha ametumia ukurasa wake wa Instagram leo na kuwaomba wazazi hao baada ya mahakama kutoa tamko lake siku ya jana sasa wazazi hao wanapaswa kumshukuru Mungu kwa yaliyotokea na kisha wasamehane ila kutimiza agizo la msamaha.
"Ninachukua nafasi hii kuwapa pole wanawake wenzangu mama lulu na mama kanumba kwa vile wote mmepatwa na uchungu sawa. Mama Lulu ni kama umekatwa mkono wa kuume lakini iko siku soon mwanao atarejea mikononi mwako tena na maisha yataendelea, Lakini  kwa upande wa Flora mwanae ndio hatarudi tena katika hili hakuna wa kusema ana uchungu wa afadhali uchungu wa mtoto ni uleule tu asipokuwepo mikononi mwako" - Natasha
Ameongeza "Swala ni mzidi kuomba faraja kwa Mungu ili ndani yenu muwe na roho ya msamaha msameheane ili mtimize lile agizo la kusamehe zaidi ya mara 70! watoto wamewapitisha katika machungu haya mnayoyapitia na wala sio swala la kuwalaumu ila mzidi kuwaombea"
Bi Natasha amesema juzi alikutana na Lulu na akawa ameongea naye kuhusiana na kitu kilichopo mbele yake na kwamba alimuandaa kimawazo huku akimkumbusha kwamba anapaswa kuamini katika muujiza.
"Hata hivyo Mkongwe huyo wa filamu amemgeukia Mama Kanumba na kumkumbusha kwamba "Flora (mama Kanumba) jana ulienda kaburini na kulia machozi ya uchungu uliponyanyuka pale naomba uwe umenyanyuka Flora mpya yaache maumivu na machungu pale kaburini. Najua hautasahau kamwe uchungu wa kuondokewa na mtoto lakinimwombe Mungu akupe nguvu ya kuendelea mbele". Natasha

Jike Shupa Afunguka Kuhusu Kuishi na Kuwauza Wanaoshiriki Mapenzi ya Jinsia Moja

$
0
0
Jike Shupa Afunguka Kuhusu Kuishi na Kuwauza Wanaoshiriki Mapenzi ya Jinsia Moj
Video Queen maarufu, Zena Abdallah anayefahamika kama Jike Shupa, amefungukia skendo ya kuishi na kuwauza wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja (mashoga) kwa kusema hajihusishi na hajawahi kuifanya kazi hiyo.

Akizungumza na Risasi Vibes, Jike shupa alisema kwa muda mrefu amekuwa akisemwa kuhusika kuwatafutia mabwana wanaume mashoga, kitu alichodai siyo kweli zaidi ya watu hao kutaka kumchafua.

“Nina marafiki wengi wa kiume, labda miongoni mwao kuna wanaojihusisha na vitendo vya kishoga, ila mimi sihusiki kwa kuwatafutia watu hao mabwana, wanaozungumza hivyo wana nia ya kunichafua,” alisema.
Stori zi

Meli Kubwa Kutua Dar Ikiwa na Madaktari 381 Kutoka China Kwaajili ya Kutoa Huduma ya Afya Bure

$
0
0
Meli Kubwa Kutua Dar Ikiwa na Madaktari 381 Kutoka China Kwaajili ya Kutoa Huduma ya Afya Bure
Madaktari Bingwa na wataalamu wa afya 381 kutoka Jeshi la China wanatarajiwa kuwasili kwa meli katika bandari ya Dar es salaam tarehe 19 Novemba 2017 kwa ajili ya kufanya matibabu bure kwa wakazi wa Jiji la Dar es salaam kwa lengo la kuunga mkono juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda katika kuwahudumia wananchi.

Inakumbukwa mwaka huu wakati wa zoezi la matibabu ya bure yanaendelea jijini Dar es salaam aliyekuwa balozi wa Tanzania kutoka China aliahidi kushilikiana na Tanzania  katika nyanja za afya ahadi ambayo imezaa matunda ambapo kuanzia tarehe 19 mwaka huu timu ya madaktari 300 watatoa huduma za matibabu bure.

RC Makonda amesema madaktari hao watahudumia wananchi 600 kwa siku ndani ya meli hiyo ambapo matibabu ya kawaida pamoja na upasuaji utafanyika bure na kuwataka wakazi wa DSM na mikoa jirani kutumia vyema fursa hiyo itakayodumu kwa siku 7.

Mkuu huyo alisema atatangaza utaratibu mpya wa matibabu hayo ili kuwe na mtiririko ambao utawafanya watanzania kutibiwa kwa urahisi zaidi.

Rosa Ree Aweka Wazi Kuhusu Kusumbuliwa Mitandaoni na Wanaume

$
0
0
Rosa Ree Aweka Wazi Kuhusu Kusumbuliwa Mitandaoni na Wanaume
Msanii wa muziki wa rap Bongo, Rosa Ree amefumguka mambo kadhaa kuhusu maisha yake ya kimahusiano.

Awali ya yote rapper huyo amesema haamini namna alivyojiweka kunawafanya baadhi ya wanaume kuogopa  kumtongoza licha ya kuwa na mvuto

“No I think sijui wananiogopa, I don’t know but am not polity am just confidence in myself” amesema Rosa Ree.

Hata hivyo ameongeza kuwa ambaye atakuwa na ujasiri na kujitokeza yeye yupo tayari iwapo muhusika atakuwa na nia njema.

Katika hatua nyingine amekiri kusumbuliwa na wanaume katika mtandao wa Instagram kwa kusema, ‘ku-slide kwenye DM ni normal ipo in today as well lazima uitegemee, so hiyo yeah!, every day” amesisitiza.

Jibu La Afandesele kwa Mrisho Mpoto "Acha Mambo ya Kizamani"

$
0
0
Jibu La Afandesele kwa Mrisho Mpoto "Acha Mambo ya Kizamani"
Baada ya msanii wa muziki wa asili nchini Mrisho Mpoto kumtaka rapa Afande Sele kuacha kumtaja marehemu Steven Kanumba kwa mambo mabaya, rapa huyo mwenye makazi yake mkoani Morogoro amemtaka Mrisho Mpoto kuacha mambo ya kizamani.

Wawili hao wamefikia hatua hiyo baada ya jana rapa Afande Sele kuandika ujumbe wa kusikitika baada ya kusikia Elizabeth Michael ‘Lulu’ kahukumiwa miaka miwili jela kwa kosa la kumuua aliyekuwa mpenzi wake, Steven Kanumba bila kukusudia.

Katika ujumbe wa Afande alidai yeye hakuhudhuria mazishi ya staa huyo wa filamu kwa madai alimsababishia Lulu matitizo kauli ambayo ilipingwa na Mrisho Mpoto kwa kudai marehemu hasemwi kwa mabaya.
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images