Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104793 articles
Browse latest View live

TID Amjia Juu Ben Pol Kuimba Ngoma Yake “Wao Wanaimba Unawalipa What About Me''

$
0
0
TID Amjia Juu Ben Pol Kuimba Ngoma Yake “Wao Wanaimba Unawalipa What About Me'
Msanii wa Muziki wa Bongo Flava, TID amesema hajapendezwa na kitendo cha Ben Pol kuimba ngoma yake katika tamasha la ‘Fiesta’ wakati yeye hakuwa sehemu ya tamasha hilo.


Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo, East Africa Radio kuwa atazungumza na wakubwa wake pamoja na wanasheria wake ili kumchukulia hatua Ben Pol.

“Nina kesi moja na Ben Pol, huyo jamaa kwenye concert moja kubwa sana halafu ilikuwa na sponsored na wamemlipa hela nyingi lakini kwenye nyimbo zake alizofanya katika playlist yake kaweka wimbo wangu anaimba although those sponsor don’t like me kabisa because am not performing, am not there” amesema TID.

“Wao wanaimba unawalipa what about me, what about my copy right, ni makosa na nitaongea na wakubwa ila alichokifanya ni kuonyesha how is weak” ameongeza.

Alipoulizwa ni kiasi gani cha fedha anachohitaji kutokana na hilo, alijibu;  baada ya kuongea na wanasheria wangu ndio nitajua, kwani yeye analipwa kiasi gani hadi anaimba wimbo wangu”.

Katika tamasha la Fiesta lilofanyika November 25, 2017 Dar es Salaam, Ben Pol baada ya kumaliza kuimba wimbo wake wa Moyo Mashine aliunganisha na wimbo wa TID ‘Nyota Yangu’.

Wasiliana na The Great Maalim Hussein Mtaalam wa Kutatua Matatizo Yaliyoshindikana Kwa Kutumia Nyota na Dua

$
0
0
THE GREAT MAALIM HUSSEIN
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
Maalim Hussein ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

MAALIM HUSSEIN ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
Maalim Hussein Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 674 835 107 WhatsAPP tu.

TID amvaa Ben Pol Kisa Kuimba Wimbo wake Fiesta Dar

$
0
0
Msanii wa Muziki wa Bongo Flava, TID amesema hajapendezwa na kitendo cha Ben Pol kuimba ngoma yake katika tamasha la ‘Fiesta’ wakati yeye hakuwa sehemu ya tamasha hilo.


Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo, East Africa Radio kuwa atazungumza na wakubwa wake pamoja na wanasheria wake ili kumchukulia hatua Ben Pol.

“Nina kesi moja na Ben Pol, huyo jamaa kwenye concert moja kubwa sana halafu ilikuwa na sponsored na wamemlipa hela nyingi lakini kwenye nyimbo zake alizofanya katika playlist yake kaweka wimbo wangu anaimba although those sponsor don’t like me kabisa because am not performing, am not there” amesema TID.

“Wao wanaimba unawalipa what about me, what about my copy right, ni makosa na nitaongea na wakubwa ila alichokifanya ni kuonyesha how is weak” ameongeza.

Alipoulizwa ni kiasi gani cha fedha anachohitaji kutokana na hilo, alijibu;  baada ya kuongea na wanasheria wangu ndio nitajua, kwani yeye analipwa kiasi gani hadi anaimba wimbo wangu”.

Katika tamasha la Fiesta lilofanyika November 25, 2017 Dar es Salaam, Ben Pol baada ya kumaliza kuimba wimbo wake wa Moyo Mashine aliunganisha na wimbo wa TID ‘Nyota Yangu’.

Wazazi Waliouza Watoto wao Kwa tsh. Milioni 10 Wadakwa na Polisi

$
0
0
Unaweza ukasema vyuma vimekaza kweli Tanzania lakini huenda hali hiyo isiwe Tanzania peke yake kwani ijumaa ya wikiendi iliyopita polisi mjini Akwa Ibom, Nigeria wamewakamata wanandoa waliouza watoto wao watatu.


Kwa chini kwenye picha ni Wazazi wanaoshikiriwa na polisi na juu ni picha ya kijana wao mkubwa wa miaka 10 ambaye ameshauzwa.

Baba wa familia hiyo aliyetambulika kwa jina la Magnus Nsikak, (40) na mkewe Ruth Nsikak wamekamatwa kwa kosa la kumuuza binti yao wa miaka 10 aitwaye Ekpo, Ubong (5)  na kichanga cha siku tatu.

Kwa mujibu wa mtandao wa Dail Mail unaeleza kuwa wazazi hao walikamatwa baada ya kuwekewa mtego na Wauguzi wa Hospitali ya Serikali ya Ikot-Abaji katika jimbo la Abia.

Mwanamke huyo, Ruth amesema mapema baada ya kujifungua jumatatu ya wiki iliyopita mme wake alimwambia kuwa mtoto wao amefariki hivyo alimuamuru warudi nyumbani.

Akitoa maelezo polisi mmoja wa Wauguzia katika Hospitali hiyo amesema Mwanaume huyo alimurubuni kumpa pesa ili amuachie kichanga huyo lakini alikaa na baadae usiku mwanaume huyo alitoroka na kichanga hicho.

Kwa upande mwingine Ruth amekataa kuhusika na kuuza watoto wake akidai baada ya kuambiwa mtoto wake amefariki alirudi nyumbani kuendelea kujiuguza huku akikiri wazi kuwa aliletewa kiasi cha Naira 20,000 sawa na tsh 125,000/=.

Hata hivyo kwenye mahojiano hayo mwanamke huyo aliulizwa idadi ya watoto waliozaa na mwanaume huyo ndipo sakata lingine likaibuka baada ya kusema kujibu kuwa wamezaa watoto watatu lakini wote wapo kwa ndugu wa Mwanaume.

Ndipo mwanaume alipoambiwa apige simu kwa ndugu zake wajue kama watoto hao wako salama au laah! jambo ambalo mwanaume alikataa kutoa ushirikiano na polisi.

Mwanamke alionesha ushirikiano na polisi kwa kuwapa namba za simu za mama yake mzazi na Maguus anayeishi mjini Lagos, ambapo baada ya kupigiwa simu alisema ana muda mrefu hajawahi kuwaona wajukuu wake.

Polisi walichukua uamuzi wa kumbana mtuhumiwa ndipo alipoweka wazi kuwa alimdanganya mkewe kuwa watoto wao wawili aliwapeleka kwa ndugu zake lakini kumbe haikuwa hivyo bali aliwauza kwa kiasi cha Naira 150,000/= sawa na tsh milioni 10 ili kupunguza matatizo ya kifamilia ikiwemo kodi ya nyumba.

Kamanda wa Polisi mjini Akwa Ibom, Kamanda Zubairu Muazu amesema bado wanawashikiria wazazi hao kwa uchunguzi zaidi kabla ya kuwapeleka mahakamani kujibu tuhuma hizo za uuzaji wa watoto.

“Tulifanikiwa kuongea na wazazi wote kwa undani zaidi na Mwanaume amekiri kufanya uovu huo. Tumepata mahojiano pia na kaka wa Mwanamke ambaye Magnus awali alisema watoto wake aliwapeleka huko lakini kumbe hajawahi kuwaona miaka miwili sasa. Upelelezi bado unaendelea na watuhumiwa wapo chini ya polisi hadi upelelezi utakapokamilika.“amesema Kamanda Zubairu kwenye taarifa iliyochapishwa na gazeti la The Sun.

Kwa mujibu wa maelezoHilo linakuwa ni tukio la nne kwa mwaka huu nchini Nigeria baada ya mwanaume mmoja laiyetambulika kwa jina la Eucharia Daniel kutoka mjini Akwa Ibom kukamatwa na polisi mwezi septemba kwa kujihusisha na ununuzi wa vichanga nchini humo.

TANESCO yatekeleza Agizo la Rais Magufuli, Yaanza Kubomoa Jengo Lake

$
0
0
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeanza hatua ya ub0omoaji kwenye sehemu ya jengo lake kama utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli  alilotoa mwanzoni mwa mwezi huu ili kupisha ujenzi wa daraja la juu la ubungo.



Soma taarifa iliyotolewa na Tanesco kwa Vyombo vya Habari leo Novemba 27, 2017.

“Uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unawafahamisha Wateja wake wote na Wananchi kwa ujumla kuwa TANESCO imeanza utekelezaji wa  Agizo la Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Joseph Magufuli, kuhusu kubomolewa  kwa Jengo la Ofisi za TANESCO Makao Makuu, liliopo Ubungo Jijini Dar es salam. Kuanzia Jumatatu Novemba 27, 2017. Ukuta wa mbele ya jengo umesha vunjwa, pia  baadhi ya Watumishi wa Shirika wameanza kuhamishiwa katika ofisi nyingine za TANESCO zilizopo jijini Dar es salaam ili kupisha shughuli za ubomoaji kufanyika kwa usalama  zaidi. Uongozi wa Shirika   pamoja na Wakala wa Majengo TBA wanaendelea kufanya taratibu zitakazo wezesha zoezi la ubomoaji wa Jengo kufanyika bila kuathiri huduma kwa Wateja wa Shirika. Katika kipindi hiki cha utekelezaji wa Agizo la Mheshimiwa Rais. Tunapenda kuwahakikishia Wateja wetu na Watanzania wote kwa ujumla kuwa Huduma za Umeme zitaendelea kupatikana kama kawaida ikiwemo huduma ya manunuzi ya LUKU. Uongozi wa Shirika utaendelea kutoa taarifa kwa kadri zoezi hili linavyo endelea.”

Mapema mwezi huu Rais Dkt John Pombe Magufuli wakati akikagua ujenzi wa daraja la ghorofa tatu barabara ya Ubungo, aliamuru sehemu ya jengo la TANESCO na jengo la Idara ya maji kwenye eneo la barabara kuvunjwa ili kupisha ujenzi huo.

Nimemtongoza Jana, Leo Anataka Nimtumie Hela

$
0
0
Kuna msichana niliwahi kuonana nae mara moja ni rafiki wa dadaangu, tulionana nilipoenda kumtembelea sista nikahisi kumpenda na kufikiria kumuoa, Jumapili kulikuwa na event ya kifamilia nikaonana naye, safari hii nikawa siriaz kumbana nimsomeshe hadi kieleweke.

Bahati nzuri tulipotoka kwenye event tulisafiri pamoja nikakaa naye kwenye siti zinazofatana, nilimtongoza though hakunipa jibu la moja kwa moja kunikubalia but alikuwa anaonyesha kuelekea kukubali, nilimwomba namba yake akanipa. Kesho yake ambayo ni jana akanichokoza kupitia msg, akanisalimia nami nikarespond.

Si nikahisi mtoto kashakolea, ile nataka nianze kumchokoza anipe jibu langu mara akatuma meseji 'Nasikia njaa', duh ile kuendelea kuchat nikagundua anamaanisha nimtumie hela.

 Eti ndugu wananchi, huyu ni wife material kweli au najiingiza kwenye majanga? Maana mtu mwenyewe hela za kuokoteza.

Hivi Mke Wangu Anajiandaa Kuachana na Mimi Baada ya Miaka 10 ya Ndoa au?

$
0
0

Husika na kichwa cha habari, nimekua nikijiuliza hili swali kwa kipindi kirefu sana bila majibu. Mimi na mke wangu tulifunga ndoa ya Kanisani miaka kumi iliyopita, tuna watoto watatu, sisi sote ni wafanyakazi na sote ni masters holders.

Miaka saba iliyopita mke wangu alinifumania na rafiki yake kipenzi. Huyo rafiki alikua anaishi mkoani mara nyingi akija Dar es salaam alikua akifikia kwetu, so akawa amekuja kwa mambo yake.Jumapili moja wife na familia walienda kanisani akabaki rafiki na mimi, baadae nikaenda bar kupata supu, then nikazimua bia kadhaa hadi mchana nikaenda home nilale kidogo nitoke tena.

Nilipofika home nikafungua geti dogo, nilipaki Gari nje. Nikasikia kilio cha mahaba sebuleni naingia hivi namkuta shemeji akiwa na top tu chini hana chochote akijihudumia kwa mkono huku alilia kwa sauti kubwa, nilishindwa kujizuia nikaanza kuvua nguo kama nafukuzwa nikamrukia kochini na akanipokea kwa mikono miwili.

Ikawa ndo mchezo wetu, kumbe housegirl aliunyaka mchezo mzima na kumshtua wife na wakatuwekea mtego ambapo tulinasa, nilikua nimeamka usiku wa nane nikaenda kwa shemeji tukiwa katikati wife akaingia na kutuma na kumtimua rafiki usiku huo huo.Nikamwangukia na kuomba msamaha na nikasamehewa.Miaka michache tangu fumanizi hilo wife akaanzisha tabia ya usiri na kutonishirikisha mambo yake hasa ya maendeleo

(1) Tukio la kwanza:-
Alijenga nyumba sehemu flani hapa Dar es salaam bila mimi kujua, fundi wake alinipa hizo taarifa accidentally
Nilipom confront akakiri na kukosa majibu ya maana.

(2)Tukio la pili:-
Akafungua duka la nguo kimya kimya nikabaini kupitia intelligence info nilizopata akaruka sio duka lake
Ila baadae nilithibitisha ni la kwake.

(3)Tukio la tatu.
Alinunua shamba bagamoyo worth 10 million niligundua baada ya yy kudhulumiwa kumbe Dalali alimtapeli shamba halikua lake.Kesi ikaenda polisi hatimaye mahakamani ikafika pahala ikashindikana kuficha nikagundua, nikaingilia kati kumsaidia mke wangu akarudishiwa pesa zake tukafuta kesi

(4)Tukio la nne
Alinunua Gari 35 million dream car yake, tangu anadunduliza hizo hela akawa anatuma Japan kwa binamu yake kidogo kidogo lakin kimya kimya hadi likafika, nikastukia tu siku amekuja nalo home badala ya kufurahi kwa kweli nilihuzunika

Gari hilo ilibaki kidogo tu liibiwe nikaingilia kati halikuibiwa ilikuaje? Ni hivi:-
Kumbe kijana aliemfanyia clearance bandarini wife hakumlipa yule kijana wakatofautiana
Janki alitaka 1.5 million wife akadai ni laki tano dogo akagomea hela akasema utaona

Baada ya mwezi hilo Gari likaibiwa kibo complex tegeta wife alilia kama mtoto mwanaume nikaingia kazini. Nikatenga kama 1 million kwa polisi, kwa kutumia technolojia ya mawasiliano na kwa ku mtrack yule dogo na mawasiliana yake hatimaye gari ikapatikana dogo yupo nyuma ya nondo hadi leo.

Hata hivyo wife hajaacha hii tabia, hivi sasa ana biashara ya kukopesha watu kwa riba anaifanya kwa siri kubwa ila mimi naijua nimeamua kumuacha tu aendelee maana nimeshachoka.Wadau huyu mtu ana mpango gani na ndoa hii? Au ndo anajiandaa kuishi kivyake baadae? Nimefañya kosa gani lisilokua na msamaha? Kama lipo naomba mnisaidie majibu ya haya maswali.

Kwa upande wangu, biashara zote nazofanya mbali na kazi yangu anazijua.Hata nyumba nilizojenga nimempeleka kote. Nina guest kijijini kwetu ambayo mama yangu mzazi anaisimamia pia Mke wangu anaijua ingawa ningeweza kumficha na asingejua nipo njia panda najiuliza huyu mtu ni Wa kufa na kuzikana kweli?
Je safari yetu ya maisha ni moja kweli?

Sincerely naomba kwa moyo wenu wa dhati mnisaidie mawazo.

NB: Sijazini tena tangu nizini na Rafiki yake miaka saba iliyopita nae sijawahi kumshika wala kumshuku kwa uzinzi.

Nitaachaje kupenda makalio ya wanawake? Napitiliza Hadi Kituo Kisa Nimeona Mwanamke Mwenye Kalio Kubwa Ndani ya Dalala..Ushauri

$
0
0
Mwenzenu karibia naumbuka yaani nikiona mwanamke mwenye makalio makubwa nachanganyikiwa kabisa nakupoteza network, yaani inafikia mahali hata kama niko kwenye daladala naenda mahali akipanda mwanamke aliyejaliwa maeneo ya nyumba basi nihakikisha nashuka kituo atakachoshuka hata kama nikupitiliza napoenda naona sawa tu ili mradi nimpe maneno mawili matatu huyo mwanamke .


Hii Tabia imenifanya nipoteza muda na mambo mengi ya msingi katika maisha yangu , moja kubwa nakumbuka mwaka jana niliitwa kwenye interview shiriki moja maeno ya Kijitonyama sayansi, nikiwa kwenye daladala kutokea mwenge kwenda posta nilijikuta nimefika posta kwa kumfuata mdada mmoja, baada ya hapo nikajikuta nimechelewa hiyo Interview na mbaya zaidi huyo dada hakutaka hata kuongea na mimi baada ya kushuka kwenye dalala.

Waungwana Naombeni ushauri nifanye nini niache hichi kitabia?

Sababu 5 Zinazosababisha Uume Kuwa Mdogo (Kibamia)...Soma Hapa Kidume Ufahamu

$
0
0
Kundi kubwa la wanaume ambao wanashindwa kufurahia tendo la ndoa kutokana na kuwa na uume mdogo kupita kawaida...
Wanaume walio na tatizo hili wengi wao huwa hawana confidence ya kuingia katika mahusiano na wasichana ama wanawake wanao fahamiana nao kutokana na kuogopa " siri" zao kujulikana hususani pale uhusiano wao unapofika mwisho..Ikitokea mwanaume akiwa katika uhusiano na mwanamke "mcharuko" ( asiye mstaarabu ) mwanamke huyo anaweza kuanza kumvua nguo hadharani kwa kumtangazia kwa watu kuwa na uume mdogo . " Mwanaume utakuwa wewe!" na lugha za namna hiyo hutawala midomoni mwa wanawake hawo....


Matokeo yake sasa wanaume walio na tatizo hili huamua kutokuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake wanao fahamiana nao, na badala yake huamua kuanzisha tabia ya kuwa wanajamiiana na wanawake wanaouza miili yao amakujihusisha na upigaji punyeto n.k.

NINI CHANZO CHA UUME KUWA MDOGO.

1. Kupiga Punyeto kwa muda mrefu..
Hali hii husababisha kusinyaa kwa uume na hatimaye uume kurudi ndani.
2. Kuugua chango la uzazi.
3. Magonjwa ya utotoni.
4. Kutahiriwa mapema
5. Kurithi kutoka kwa wazazi :

Wanaume wengine wana maumbile madogo kwa sababu wamerithi maumbilehayo kutoka kwa wazazi wao.

Je Wajua Kwanini Baadhi ya Wanaume wana Maumbile Madogo?

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE MADOGO?
Tatizo hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia ,hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wenzao,kwakawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6_8 vinginevyo mtu huyu ana matatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo baadhi ni,upungufu wa vichocheo (hornes) za gestrojen ambapo mwanaume anapobalehe vichocheo hivi (hormones)huchochea ujuaji wa uume.chango ambalo hushambulia nerve ambapo huharibu kabisa ukuaji wa uume, Punyeto ambayo huasili misuli ya uume,pia ngiri ambayo huleta maumivu ya tumbo kuunguluma na kujaa gesi,korodani moja kuvimba,kutopata choo vizuri,sababu hizi na nyinginezo hufanya uume kulegea na kisinyaa nakuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu zakiume (hamu ya tendo landoa hupungua au kuisha kabisa).NSUMBU,Nidawa inayozalisha hormones za gestrogene na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu.NZAGI,Ni dawa ya kurudisha nguvu za kiume ,hutia hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila hamu kuisha nakuponya kabisa tatizo hilo. Pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk 15 nakuendelea kwa tendo la kwanza.kumbuka dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji.Natunatibu kisukari,bp,ngiri,miguu kuwaka moto,namengine mengi.

WASILIANA OSTADHI JUMA KWA SIMU NO,0784002216 AU 0769597778

Mbunge wa CHADEMA Susan Kiwanga Atiwa Mbaroni......Polisi Waendelea Kumsaka Mbunge Lijualikali

$
0
0
Polisi mkoani Morogoro inawashikilia watu 41 akiwemo mbunge wa Mlimba (Chadema), Susan Kiwanga.

Pia inawashikilia madiwani wawili, huku mbunge wa Kilombero (Chadema), Peter Lijualikali akitafutwa na jeshi hilo wakidaiwa kufanya fujo na kuchoma moto ofisi ya mtendaji baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi mdogo wa udiwani katika Kata ya Sofi wilayani Malinyi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Urlich Matei katika taarifa leo Jumatatu Novemba 27,2017 amesema tukio hilo lilitokea jana Jumapili Novemba 26,2017 saa tano usiku ambako walikwenda kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa udiwani.

Kamanda Matei amesema wabunge hao na madiwani wawili wa Chadema kutoka Ifakara walionekana kuhamasisha baadhi ya wafuasi wao kufanya vurugu.

Amesema watuhumiwa wanadaiwa kuchoma majengo ya umma ambayo ni ofisi shule ya msingi Sofi, nyumba ya walimu wa shule hiyo na ofisi ya mtendaji kata.

Kamanda Matei amesema fujo na uharibu huo ulitokea baada ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo kuwa mgombea wa CCM ndiye alishinda kwa kupata kura 2,099.

Mgombea wa chadema alipata kura 1,684 jambo lililopingwa na wafuasi wa chama hicho na kuanza  vurugu.

Amesema baada ya kuchoma majengo hayo kwa kutumia petroli, walidhamiria pia kwenda katika zahanati lakini askari waliwakamata.

Kamanda Matei amesema polisi inaendelea kuwatafuta watu wengine waliohusika na vurugu hizo, akiwemo mbunge Lijualikali.

Amesema watuhumiwa 41 wamepelekwa wilayani Ulanga kwa ajili ya kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili.

Mbunge Lijualikali amesema wakati matokeo yakitangazwa alikuwa Ifakara.

 “Baada ya kumalizika kampeni Jumamosi nilirejea Ifakara kwa hiyo sijui chochote kuhusu hizo vurugu na nashangazwa kuhusishwa na tuhuma hizo, lakini kama kweli natafutwa nitakwenda kujisalimisha polisi,” amesema Lijualikali.

Mama Ashura Amshambulia Mwanamuziki Ali Kiba Kwa Show Mbaya Aliyofanya Fiesta

$
0
0
Mama Ashura awapuuza Team Kiba kwa kumshambulia na kuendelea kula sahani moja na Alikiba kwa kumrushia dongo hili kuhusu show yake Kwenye Fiesta Dar 2017. Amesema
.
"Unajua uimbaji wa muziki sio tu ufundi wa sauti, maana kuna ambao wanadhani kwa sababu wanaufundi wa sauti basi muziki wa bongo wameshawini. Big NOO! tambua namna ya kucheza nayo sauti yako na linganisha na mahitaji ya muziki wako, napendaga kumtolea mifano Mondi sio kwamba ndo pekee anayeweza au anayefanya vizuri laa Bali ni mmoja wapo kati ya mifano ya kuigwa. Kipindi anatoka watu wakasema ooh hawezi kuimba anaunga unga vocal yake haina ufundi, lakini sasa hivi ule muono umebadilika baada ya wakimataifa kuuona uwezo wake wa kucheza na sauti yake ambayo ilisemwa ni yakuunga unga kiujanja ujanja. Wapo wengi wenye sauti nzuri na wanajua kucheza nazo mfano mwingine Barnaba na wengine.

SASA wale wakali wa masauti sipati picha wanavyojikakamua kuimba 'Hallelujah' kwa kutumia ufundi wao wa hali ya juu... Matokeo yake ndo hayo kwenye hii video.

Next post nitaongelea show lakini jamani mapovu yapungue looh kwani kutoa maoni dhambi? Na mbona kila mtu aliyekuwepo Fiesta alijionea kwa macho kilichotokea??

.
Nini maoni yako Mdau?? Mama Ashura kasema kweli au ni muongo hana lolote ?

FUNGUKA HAPA

Mdogo wa Ali Kiba Achomwa na Maneno ya Mama Ashura Aamua Kumjibu Hivi

$
0
0
Zabibu Kiba amjibu Mama Ashura na wote wanaokosoa show ya Alikiba Kwenye Fiesta Dar 2017 

Zabibu amepost picha ya kaka yake huyo na maneno hayo hapo chini

"Ukijua nini unafanya na nini unakitafuta hata dunia nzima ikupinge utazidi kusonga mbele, katika mafanikio ili kufika unapotaka kwenda si kila mbwa anayekubwekea unatakiwa kusimama na kuanza kupambana nae"

Mwanamuziki Nikki wa Pili Aguswa na Matokeo ya Udiwani...Afunguka Haya

$
0
0
Baada ya Matokeo ya Uchaguzi wa Madiwani Mwanamuziki Nikki wa Pili ameandika haya:

Democrasia ni uhuru wa watu kushiriki kujiamulia hatma ya maisha yao, sio kushiriki kupiga kura alafu baada ya hapo hatma inakuwa mikononi mwa watu wachache wanaa amuwa wapendavyo na wengi hawana kauli hamna hata nafasi ya kuhoji #illusion ya democrasia wakilishi

Binti wa Advanced Level Ananikosesha Raha Ndani ya Ndoa Yangu

$
0
0
Wajumbe mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 33 Ni Mwajiriwa wa Serikali, nimeoa na nina mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 3.
Licha ya kwamba niko kwenye ndoa, lakini ilitokea siku moja asubuhi nikiwa barabarani na gari langu nikitokea nyumbani kwangu Mitaa ya Kihonda Magorofani nikielekea kazini Morogoro mjini.Nilikutana na Mwanafunzi kavaa sare za shule na alikuwa akielekea shuleni nae.Nilisimamisha gari na kumuuliza kama anaenda shuleni maana baada ya kuona sare alizovaa niliweza kutambua ni shule gani anasoma.Baada ya kumuuliza kama anaenda shule aliitikia kwamba anaenda shuleni, nilitoa Lock ya Milango ya gari nikamwambia apande nimsogeze kidogo.

Cha kushangaza niliona akifungua mlango wa mbele na kuingia maana nilikuwa peke yangu.Niliondoa gari tayari kuendelea na safari,tukiwa njiani niliweza kumuuliza jina lake, wazazi wake kadharika tulipeana hadi namba za simu.

Baada ya siku mbili alinitumia msg iliyosomeka hivi."Shikamoo, Habari ya kazi?Nimeona sio vizuri kukaa kimya wakati juzi ulinisaidia nikawahi shuleni.Jioni Njema na karibu nyumbani." Bahati mbaya hiyo msg sikuweza kuijibu maana nilikuwa niko na wife na zaidi niliifuta baada ya kuisoma.Baadae nilitafuta nafasi nikampigia kumjulisha msg yake nimeipata akadai amefurahi sana kusikia sauti yangu.Na mimi kama mwanaume nikamuomba atafute muda japo siku moja tukutane tena tuongee.Alikubali na kuniahidi nimtafute siku za Ijumaa jioni, Juma mosi na jumapili maana hizo siku anakuwa free.

Ilipofika Ijumaa nilimtafuta tukaenda Hotel moja nje kidogo ya Mji tukaongea sana na ikafikia hata mimi nikamwambia namtaka, alionekana mpole na akakubali ombi hilo pia akaomba tukutane siku inayofuatia ambayo ni Juma Mosi.Tuliingia kwenye gari nikamuacha jirani na nyumbani kwao na mimi nikarudi kwangu

Jumamosi mida ya saa 8 alinibeep nikampigia then nikamwambia ajiandae ndani ya nusu saa nitampitia. Time ilipofika nilimpitia sehemu tuliokubaliana tukaelekea sehemu husika, huko huko ndio tulipeana mapenzi(Nilimgegeda effectively). Baada ya siku hiyo kugegeda ikawa Continuously.

Ila shida imekuja sasa huyu binti anadai nimpeleke nyumbani kwangu ili nikamtambulishe kwa Mke wangu ili wafahamiane. Nimejaribu kumshauri kwamba yeye bado ni mwanafunzi hivo atulie kwanza amalize masomo yake lakini hanielewi

Anadai kila siku asubuhi niwe nampeleka shuleni na jioni kumrudisha kwa gari langu.Hilo nalo nikamshauri kwamba isiwe kila siku ila pale tukapoona inafaa bado haelewi.

Nimemkataza kunipigia simu au kutuma msg hasa mida ya usiku maana mke wangu atanielewa vibaya hilo nalo haelewi

Amechukua namba ya simu ya mke wangu kwenye simu yangu bila mimi kujua na kumpigia simu mke wangu nae akiwa kazini kwake akimtaarifu kuwa yeye ni mke mwenzie na baadae kurusha msg kibao akidai huo ni utambulisho tosha.Kwa ujumla siku hiyo hayo yote yalipotendeka mimi na mke wangu hatukulala kwa amani kabisa,Wife alilia karibu akataka kukesha.

Nilimfuata yule Binti nikamuonya vikali nusura kuchapa makofu na nikamwambia simuhitaji tena ila yeye kakomaa kwamba kama nataka kumpiga sababu ya mke wangu basi na nikimuacha anajiua na kuacha ujumbe.Ameenda mbali kuniambia kwamba nimemuharibia akili zake maana toka nifanye nae mapenzi hana hamu kabisa ya kusoma au kwenda shuleni.

Wakuu nifanye hapo, Kuna hatari mbili ambazo ni:
1. Ndoa kuvunjika (Wakati tayari tuna mtoto)
2. Kwenda Jela (ukizingatia huyu ni Mwanafunz

Nape Nnauye Atoa Neno Kwa Vyama vya Upinzani Baada ya Uchaguzi wa Madiwani

$
0
0
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, amekiri kuwepo na vitendo ambavyo siyo sahihi ambavyo vilivyojitokeza katika Uchaguzi wa marudio katika baadhi ya kata  na kutaka hatua za kisheria zichukuliwe.

Nape amefafanua hayo  baada ya kuwepo na malalamiko hayo kutoka upande wa upinzani ambapo amesema  kwamba vitendo hivyo vinapaswa kushughulikiwa kisheria kama wahalifu na siyo kushughulikiwa kisiasa  na kwamba kufanya matendo hayo kisiasa ni njia za kuficha uovu.

Pamoja na hayo Nape ameongeza kwamba hajawahi kuwa muumini wa matumizi ya nguvu kwenye siasa na wala hajawahi kushiriki mipango ya kutumia nguvu bali anaamini katika matumizi zaidi ya nguvu.

Aidha Nape ameongeza kwamba sehemu zote alizofanya kampeni na wala hakubariki matumizi ya nguvu hivyo kuwashauri vyama vya upinzani wafanye tathmini ya kweli kisha kuchukua hatua pale walipoteleza katika uchaguzi.

"Rafiki zangu Upinzani fanyeni tathmini ya kweli halafu chukueni hatua pale mlipoteleza. Hichi kinachoendelea cha kutoa visingizio vya jumla. Sikatai kuwa kulikuwa na baadhi ya maeneo kumekuwa na vitendo si vya kibinadamu  lakini si kwa kata zote. Vitendo hivyo vishughulikiwe specific kisheria kama wahalifu na si kushughulikiwa kisiasa".Amesema Nape

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumanne

Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta Kuapishwa Leo

$
0
0
 Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta Kuapishwa Leo
Leo Novemba 28, Rais mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta anaapishwa ili kuweza kuiongoza nchi hiyo kwa mujibu wa sheria za Kenya, baada ya ushindi alioupata kufuatia uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26, 2017.

Uhuru Kenyatta ataapa mbele ya Jaji Mkuu wa nchi hiyo David Maraga ambayendiye yule aliyetengua matokeo ya ushindi wake baada ya uchaguzi wa Agosti 8 kwa amri ya mahakama, huku akiwa ameshikilia biblia ambayo ilitumiwa na marehemu baba yake Mzee Jomo Kenyatta alipoapishwa kwa mara ya kwanza kuiongoza nchi hiyo 1964 baada ya kupata uhuru wao kutoka kwa wakoloni, Desemba 12, 1963, na meza ambayo itatumika kukaa wakati wa kutia saini, ni ile iliyotumika na rais wa tatu wa nchi hiyo Mwai Kibaki wakati wa kuapishwa kwake.
Kutokana na Uhuru Kenyatta tayari alikuwa madarakani kama Rais kwa wamu yake ya kwanza, hatakabidhiwa jamvia ambao ni kama alama ya kuwa na kamanda mkuu wa nchi na Majeshi yote ya nchi hiyo.
Pia sherehe hizo zinatarajiwa kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali wa kitaifa na mataifa mengine ya Afrika, akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. JOhn Pombe Magufuli, Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni, Rais wa Rwanda Paul Kagame na wengineo.
Sherehe hizo zitafanyika katika uwanja wa Taifa wa Moi Kasarani na zinataraijwa kuhudhuriwa na maelfu ya watu, huku upande wa upinzani wakiwa wamegomea kuhudhuria sherehe hizo, wakidai hawamtambui Uhuru Kenyatta kama rais wa nchi hiyo.

Wabunge CUF Waliovuliwa Ubunge Wamjia Juu Ndugai

$
0
0
Wabunge CUF Waliovuliwa Ubunge Wamjia Juu Ndugai
Wabunge wanane wa viti maalumu CUF waliovuliwa ubunge wamemwandika barua Katibu wa Bunge amjulishe Spika Job Ndugai kuhusu uamuzi wa Mahakama Kuu ili achukue hatua stahiki ikiwamo kuwafahamisha utaratibu utakaotumika kuwarejesha kwenye nafasi zao.

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam katika uamuzi iliyoutoa Novemba 10, imeizuia CUF kujadili na kuwafukuza uanachama wabunge hao na madiwani wawili wa viti maalumu.

Wakati Mahakama ikitoa uamuzi huo, tayari chama hicho kikiwa kinachoongozwa na mwenyekiti anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba kilishawavua uanachama hivyo kupoteza ubunge wao.

Wabunge hao wanaomuunga mkono katibu mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad ni Miza Bakari Haji, Saverina Mwijage, Salma Mwasa, Raisa Mussa, Riziki Mngwali, Hadija Salum Al-Qassmy, Saumu Sakala na Halima Mohamed.

Hatima yao

Akizungumza jana kwa niaba ya wenzake, Mngwali alisema waliandika barua Novemba 20 na tayari imepokewa katika ofisi ya Bunge.

“Kisheria sisi bado ni wanachama halali wa CUF tuna sifa za kuendelea kuwa wabunge kutokana na uamuzi wa Mahakama Kuu, ndiyo maana tumemwandikia Spika ili kujua utaratibu utakaotumika kuturejesha bungeni kwa spidi ileile iliyotumika kutuengua katika chombo hicho Julai 25,” alisema.

Mngwali aliyeambatana na Mwasa na Mwijage, alisema wameona ni vyema kuwajulisha wanachama wa CUF na Watanzania hatua walizochukua baada ya uamuzi wa Mahakama.

Alisema wana imani Spika Ndugai atatenda haki katika jambo hilo. Julai 25, Spika Ndugai aliridhia barua ya Profesa Lipumba ya kuwavua uanachama wabunge hao.

Baadaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), ilitangaza wabunge wapya baada ya kupata taarifa ya Bunge.

Wabunge walioteuliwa kuchukua nafasi zao ni Sonia Magogo, Kiza Mayeye, Shamsia Mtamba, Zainab Mndolwa, Hindu Mwenda, Alfredina Kahigi, Nuru Bafadhili na Rukia Ahmed Kassim.

Kabla ya kuapishwa, Hindu alifariki dunia Septemba mosi na NEC ilimteua Rehema Migira kuchukua nafasi yake.

Kaimu naibu mkurugenzi wa habari, mawasiliano kwa umma wa CUF, Mbarala Maharagande alisema uamuzi wa Mahakama umeshatoka hivyo wanasubiri busara za Ndugai za kuwarejesha wabunge hao.

Hata hivyo, Ndugai alipotafutwa kuzungumzia suala hilo hakuwa tayari kujibu lolote zaidi ya kumweleza: “ Mwananchi mmeanza.”   

Rais Mpya wa Zimbabwe Avunja Baraza la Mawaziri

$
0
0
Rais Mpya wa Zimbabwe Avunja Baraza la Mawaziri
Kuna taarifa kuwa rais Emmerson Mnangagwa amevunja baraza la mawaziri kwa kile kinachotajwa kuanza kuunda serikali anayoitaka.Na moja kwa moja naungana na mwenzetu Omar Mutasa akiwa Harare nchini Zimbabwe.
Viewing all 104793 articles
Browse latest View live




Latest Images