Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

Kutana na Mtabibu wa Nyota Duniani Maalim Fadhil Rashid Kutoka Comoro Kwa sasa Yupo Tanzania

$
0
0
KUTANA NA MTABIBIBU WANYOTA DUNIANIKOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE ANADAWA ZA KI COMRO DAWAZAKE HABAHATISHI MUONE HARAKA AKUSAIDIE TEZI NAUVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABI MALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA MALI BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI ZAMAJINI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZAKIUME PIA ANAYO DAWA YAKUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NAUMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWAHARAKA KUZUIYA CHUMAULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI KARIBUNI WOTE TIBA NIKWADINI ZOTE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO DUNIANI

CALLING +255719362806/

WHATSAPP CALLING +255785786436

Alichokisema Dogo Janja Baada ya Picha ya Mkewe Irene Uwoya Akiwa Kwenye Mahaba Mazito na Tbway Kuvuja

$
0
0
Alichokisema  Dogo Janja Baada ya Picha ya Mkewe Irene Uwoya Akiwa Kwenye Mahaba Mazito na Tbway Kuvuja
Moja kati ya stori zinazotrend  ni picha ya kimahaba ya muigiza Irene Uwoya ikimuonesha akiwa na mtangazaji Tbway kitandani, wote tunajua Irene Uwoya kwa sasa ameolewa na Dogo Janja, baada ya kuvuja kwa picha hiyo minong’ono imeanza kuenea kuwa inaweza kuvunja ndoa ya Irene Uwoya na Dogo Janja.

Wakati stori hizo zikiendelea kusambaa katika mitandao ya kijamii, kupitia instagram account yake ya Dogo Janja ameamua kupost picha ya mke wake Irene Uwoya na kuandika maneno haya kipindi hiki ambacho kuna minong’ono kuwa ndoa yao imeyumbishwa kwa picha ya Tbway na Irene Uwoya.
“Sigombani na mke wangu kisa jirani kasema nigombane nae, nitakuja nae maisha club leo kumuimbia wimbo mzuri  wa mapenzi na msisahau kuwa ikifika saa sita leo ni Birthday yake so karibuni tumuimbie pamoja”>>>Dogo Janja

Hayo ndio maneno ya msanii Dogo Janja yanayodaiwa kuwa ameyaandika kwa sababu ya maneno maneno ambayo yamesambaa baada ya picha ya kimahaba ya Tbway na Irene Uwoya kuvujaa, Dogo Janja leo anafanya show Maisha Basement akiwa na Aslay ameahidi kuja na mkewe Irene Uwoya.

ANC Kimewaidhinisha Wagombea Wawili Kuwania Kumrithi Rais Jacob Zuma

$
0
0
ANC Kimewaidhinisha Wagombea Wawili Kuwania Kumrithi Rais Jacob Zuma
Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimewaidhinisha wagombea wawili kuwania kumrithi Rais Jacob Zuma katika uongozi wa chama.

Wagombea hao ni makamu wa rais Cyril Ramaphosa na waziri wa zamani Nkosazana Dlamini-Zuma, mke wa zamani wa bwana Zuma.

Kumekuwa na mvutano, hisia zikipanda, wajumbe wakipiga kelele kupinga taratibu za upigaji wa kura.

Uwaniaji madaraka umeleta mvutano mkubwa wa kisiasa, hali inayoleta hofu kuwa ANC inaweza kugawanyika kabla ya uchaguzi wa 2019.

Rais Zuma ameonya kuwa chama kimo hatarini na kimo kwenye njia panda
Zaidi ya wajumbe 5,000 wanashiriki katika mkutano wa siku nne katika ukumbi wa Expo Centre mjini Johannesburg.

Kwa namna inavyoonekana, Bw Ramaphosa ana wafuasi 1,469 kulinganisha na 1,094 wa mke wa zamani wa Rais Zuma, Bi Dlamini-Zuma.

Lakini wengi wanasema pale ambapo matokeo yatawekwa wazi, kunaweza kuwa na tofauti nyembamba kabisa kati ya atakayeshinda na atakayeshindwa yatawekwa wazi, anaeleza Lebo Diseko mwandishi wa BBC aliyeko katika eneo la mkutano.

Rais Zuma ambaye amekuwa mamlakani tangu mwaka 2009 anategemewa kusalia uongozini hadi uchaguzi wa taifa mwaka 2019.

Afrika Kusini ina ukomo wa rais kwa vipindi viwili vya miaka mitano.

Uongozi wa Klabu ya Simba Umemtunuku Milioni 50 'Mo'

$
0
0
Uongozi wa Klabu ya Simba Umemtunuku Milioni 50  'Mo'
UONGOZI wa Klabu ya Simba umempatia kiasi cha milioni 50 kiungo wake Mohamed Ibrahim ‘Mo’ kwa ajili ya kuongeza mkataba mpya wa kuitumikia klabu hiyo.

Mo amesaini mkataba wa miaka miwili ya kuitumikia Simba baada ya ule wa awali kufikia tamati ambapo Yanga walikuwa wakimfukuzia.

Taarifa ambazo Championi Jumatatu limezipata ni kwamba kiungo huyo alikubali kuongeza mkataba baada ya kupewa kiasi hicho cha fedha.

Mo ni miongoni mwa wachezaji wenye kiwango katika Klabu ya Simba kutokana na uwezo wake wa kuisaidia timu hiyo katika mechi kadhaa.



“Mo amesajiliwa Simba kwa kiasi cha shilingi milioni 50 baada ya kukubaliana kwa pande zote mbili kutokana na uongozi kukubaliana na kiwango chake .

“Uongozi uliamua kumuongezea kiasi hicho cha fedha kwa lengo la kuzuia usajili mwingine kwa kuwa Yanga walikuwa wakimnyemelea,” alisema mtoa taarifa huyo.

Zitto Kabwe Ageukia Afrika Kusini Ataka Rais Zuma Aondolewe

$
0
0
Zitto Kabwe Ageukia Afrika Kusini Ataka Rais Zuma Aondolewe
Mbunge wa Kigoma mjini na kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amefunguka na kusema kuwa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma aondolewe kwenye nafasi ya Urais mara moja hata wiki hii.


Zitto Kabwe amesema hayo kupitia mtandao wake wa kijamii kufuatia uchaguzi wa Chama Cha ANC cha nchini Afrika Kusini ambapo walikuwa wakifanya uchaguzi kuchagua Rais na Makamu wake ndani ya chama.

"Jumatatu (leo) tutakuwa na Rais mpya wa Chama cha ANC. Kura zinapigwa hivi sasa huko Johannesburg. Ingawa nina ukakasi na Cyril Ramaphosa kuhusu Marikana, ninaunga mkono yeye kushinda na Makamu wake awe Lindiwe Sisulu. Pia Zuma aondolewe Urais mara moja baada ya wiki inayoanza kesho (leo)" aliandika Zitto Kabwe

Aidha Zitto Kabwe amesema kuwa ushindani wa uchaguzi wa ANC ni funzo kubwa kwa vyama vya siasa kuhusu Demokrasia ya ndani ya vyama hivyo.

"Uongozi imara wa Afrika Kusini ni muhimu sana kwa SADC na AU. Ushindani mkali wa Uchaguzi wa ANC ni funzo kubwa kwa vyama vyetu kuhusu Demokrasia ya ndani" aliandika Zitto Kabwe

Mrisho Ngossa Arudi Mbeya City Kudai Chake

$
0
0
Mrisho Ngossa Arudi Mbeya City Kudai Chake
LICHA ya kutua Ndanda FC, kiungo mshambuliaji Mrisho Ngassa amepanga kurejea kwenye timu hiyo kwa ajili ya kudai malipo yake ya mshahara.

Kiungo huyo, amejiunga na Ndanda hivi karibuni katika usajili wa dirisha dogo lililofungwa Ijumaa iliyopita.



Akizungumza na Championi Jumatatu, Ngassa alisema hajaachwa kama watu wanavyosema, isipokuwa mkataba wake Mbeya City ulimalizika.

Ngassa alisema, anashukuru ameondoka kwa amani katika timu hiyo na kikubwa amepanga kurejea katika timu hiyo kwa kudai malimbikizo yake ya fedha ikiwemo mshahara wake.



Aliongeza kuwa, hivi sasa anajiandaa kwa ajili ya kwenda kukutana na changamoto mpya katika timu yake ya Ndanda katika mzunguko wa pili wa ligi kuu.

“Ni jambo jema kwangu kuondoka kwa amani kabisa Mbeya City na ninashukuru nimemalizana nao salama mara baada ya mkataba wangu wa miezi sita kumalizika.



“Lakini nikiwa naenda zangu Ndanda kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo, nimepanga kurejea tena Mbeya kwa ajili ya kudai malimbikizo ya fedha zangu ikiwemo mshahara.

“Na ninashukuru viongozi wa Mbeya wamenihakikishia kunipatia fedha zangu hizo hivi karibuni mara baada ya kuwapatia taarifa za fedha zangu,” alisema Ngassa.

Mkutano Mkuu wa CCM Kuanza Leo Dodoma

$
0
0
Mkutano Mkuu  wa  CCM Kuanza Leo Dodoma
MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)unaonza leo hapa mjini Dodoma utazaa CCM mpya kabisa kwa mara ya kwanza tangu kuwapo kwa mabadiliko ya uongozi wa mwenyekiti wa chama hicho.


Julai 23, mwaka jana, wajumbe wa mkutano huo kwa pamoja walipiga kura ya ndiyo kumuidhinisha rasmi, Rais John Magufuli kuwa mwenyekiti wa tano wa chama hicho.

Na sasa, pamoja na kupiga kura ya kuwachagua Mwenyekiti na Makamu wake wawili kutoka Zanzibar na Bara, mkutano huo pia utaanzisha awamu ya uongozi wa CCM mpya ambayo itakaa kwa kipindi cha miaka mitano inayoishia 2022, Katibu wa Nec, Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole alisema hapa jana.

Akizungumza na waandishi wa habari, Polepole aliwataja waliopitishwa kugombea nafasi hizo kuwa pamoja na Rais John Magufuli kwa nafasi ya Mwenyekiti CCM Taifa.

Polepole alikuwa akizungumza baada ya kumalizika kwa vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu vya CCM.Wengine ni waliopitishwa kwa mujibu wa Polepole ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa Zanzibar (Ali Mohamed Shein) na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara (Philip Mangula) ikiwa ni kipindi chake cha pili kwenye nafasi hiyo.

Alisema Kamati kuu ya CCM(CC) na Halmashauri kuu ya Taifa zilizokaa jana viliteua na kupitisha kwa kauli moja viongozi hao kugombea nafasi hizo.

“Vikao hivi vimejadili, vimetafakari na kutoa mapendekezo ya ajenda za mkutano mkuu na pia vimetoa mapendekezo ya wana CCM ambao wanaomba dhamana hizi,” alisema.

Alisema viongozi hao wanachaguliwa kwa mujibu wa Katiba ya CCM ibara ya 102 (12)(a) ambacho kinaelekeza NEC kuteua majina ya wanachama watakaogombea wa nafasi hizo.

Aidha alisema kwa kuwa chama kipo kwenye kipindi cha mpito kwa kufanya mageuzi ya kupata viongozi waaminifu, waadilifu na wachapakazi.

Alisema mkutano huo wa siku mbili unaoanza leo na kesho na utahudhuriwa na viongozi wakuu wa CCM, wastaafu na viongozi mbalimbali nchini na nje ya nchi marafiki.

Kadhalika, Polepole alisema tangu kuanza mchakato wa uchaguzi ndani ya chama hicho Aprili mwaka huu, wanachama mbalimbali zaidi ya 3,000 wamejitokeza kuwania nafasi mbalimbali ndani ya CCM.

“Kumekuwapo na mwitikio mkubwa sana wa Watanzania ambao wamependa kuwa sehemu ya historia kwa kuwamo kwenye uongozi wa CCM ambao unaishi kwenye misingi iliyoasisiwa na taifa,” alisema.

Alisema idadi hiyo ni ya wana CCM waliojitokeza kuwania kuanzia ni ngazi ya Taifa na Mikoa.

“Ngazi ya Taifa CCM tumepata mgombea mmoja nafasi ya Mwenyekiti nadhani ni tofauti na vyama vingine, na pia mgombea mmoja nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bara, pia Zanzibar mgombea mmoja,” alisema.

Kwa upande wa mikoa, nafasi zilizogombewa ambazo tayari viongozi wake wameshapatikana ni Mwenyekiti CCM mkoa, nafasi ya ujumbe wa NEC Taifa kupitia mkoa, Katibu wa siasa na uenezi na nafasi mbalimbali zilizowaniwa kwenye jumuiya za chama hicho ambazo ni Umoja wa Wazazi, Umoja wa Wanawake(UWT) na Umoja wa Vijana(UVCCM).

Katibu huyo alisema katika nafasi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) ambao watachaguliwa kwenye mkutano huo, zaidi ya wanachama 50 wamejitokeza kwenye kinyang’anyiro hicho.

Alisema wajumbe wanaotakiwa kwenye nafasi hiyo ni wajumbe 15 kutoka Zanzibar na wengine 15 kutoka Tanzania Bara.

Awali, katika kikao cha Kamati Kuu (CC), Mjumbe wa kikao hicho na Waziri Mkuu mstaafu, Salim Ahmed Salim, alitoa neno la shukrani kwa utumishi wake wa miaka mitano 2012-2017 kwa Rais Magufuli na wajumbe wake kwa uongozi mzuri, madhubuti na unaoweka mbele maslahi ya Watanzania hasa wanyonge.


Mbunge wa Chadema Aichana Serikali " Serikali Haijawahi Kupingana na Rushwa Kwakuwa Zimeasisiwa na CCM"

$
0
0
Mbunge wa Chadema Aicha Serikali " Serikali Haijawahi Kupingana na Rushwa  Kwakuwa Zimeasisiwa na CCM"
Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche (CHADEMA) amedai kwamba Serikali ya CCM haijawahi kupingana na rushwa kwani rushwa zote zinazofanyika zimeasisiwa na Chama Cha Mapinduzi.

 Heche amefunguka hayo baada ya TAKUKURU kutupilia mbali ushahidi wa 'video clip' iliyowasilishwa ofisini kwao na Wabunge wa CHADEMA, Joshua Nassari wa Arumeru Mashariki pamoja na Godbless Lema wa Arusha Mjini uliokuwa ukidaiwa kuonyesha madiwani wakipokea rushwa kutoka kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya wa Arumeru .

Heche ameongeza kwamba vita ya rushwa inayozungumzwa na CCM ni vita dhidi ya watu wasiotakiwa na mfumo ndio maana hata kwenye tuhuma za Escrow walikatwa wawili tu japo walitajwa wengi.

"Serikali ya ccm haijawahi kupiga vita rushwa na haiwezi kwasababu rushwa zote katika nchi hii zimeasisiwa na zinatokana na ccm, kinachofanyika sasa ni vita dhidi ya watu wasiotakiwa na mfumo, ndio maana hata Escrow waliokamatwa ni wawili lakini bunge lilitaja wengi" .

Takukuru jana walisema kwamba sababu za kutupilia mbali ushahidi wa Wabunge hao ni kutokana na kuharibu ushahidi kwa kuingiza siasa.

Oktoba 2,  2017 Wabunge Joshua Nassari na Godbless Lema walipeleka ushahidi unaodaiwa kuonyesha alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Alexander Mnyeti akiwashawishi madiwani kutoka mkoani Arusha kupokea rushwa ili waweze kujiuzulu nafasi zao.

Mfungwa Aliyesamehewa na Rais Magufuli Atupwa Jela Miaka 15

$
0
0
Mfungwa Aliyesamehewa na Rais Magufuli Atupwa Jela Miaka 15
Gerald Deus (30), mkazi wa Ushirombo wilayani Bukombe mkoani Geita aliyetoka jela kwa msamaha wa Rais, amehukumiwa tena kifungo cha miaka 15 jela.

Deus aliyehukumiwa kifungo hicho juzi na Mahakama ya Mwanzo Bukombe baada ya kukiri kosa la unyang’anyi wa kutumia nguvu, ni miongoni mwa wafungwa 8,157 waliopewa msamaha Desemba 9 na Rais John Magufuli.

Msamaha huo wa Rais ulitolewa wakati wa maadhimisho ya miaka 56 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara).

Deus alihukumiwa na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Bukombe, Damas Gakwaya baada ya kukiri kosa la kupora Sh300,000 kutoka kwa Dina Mwende, mfanyabiashara wa soda za jumla wilayani Bukombe.

Tukio hilo kwa mujibu wa mwendesha mashtaka wa Polisi, Mohamed Simai lilitokea katika Mtaa wa Malendeja, Kata ya Katente wilayani Bukombe saa sita mchana Desemba 14, ikiwa ni siku nne tu tangu mshtakiwa huyo atoke gerezani.

Simai aliiambia Mahakama kuwa kabla ya kupora kiasi hicho cha fedha, mshtakiwa alifika dukani akijifanya anataka kununua soda za jumla kwa ajili ya vibarua aliodai walikuwa wakilima shambani kwake.

“Wakati muuza soda akiendelea kupanga kreti dukani, ghafla mshtakiwa alimvamia na kumpora Sh300,000 na kuanza kutimua mbio kabla ya kukamatwa na raia wema waliojitokeza kutoa msaada baada ya kelele za aliyeporwa fedha,” Simai aliieleza Mahakama.

Mwendesha mashtaka alisema baada ya kumkamata, wananchi walianza kumshambulia lakini aliokolewa na polisi waliofika eneo la tukio. Baada ya kusomewa mashtaka, mshtakiwa Deus alikiri kutenda kosa hilo na kuiomba Mahakama imhurumie kwa kumpa adhabu ndogo kwa sababu ana siku tano tu tangu alipotoka gerezani kwa msamaha wa Rais Magufuli.

Akitoa hoja baada ya mshtakiwa kukiri kosa, mwendesha mashtaka aliiomba Mahakama kumpa Deus adhabu kali kwa sababu anaonekana ni mhalifu mzoefu na hajajifunza kwa kipindi cha miezi sita aliyokaa gerezani akitumikia kifungo cha mwaka mmoja alichohukumiwa kwa kosa la wizi.

Kwa mujibu wa kumbukumbu za Mahakama, Juni Mosi, mwaka huu, Deus alihukumiwa kifungo cha miezi 12 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la wizi wa nguo mali ya Naomi Musa, mkazi wa Mtaa wa Kapela, Kata ya Igulwa katika mji mdogo wa Ushirombo wilayani Bukombe.

Hukumu hiyo ilitolewa na Hakimu Mujuni Mchunguzi wa Mahakama ya Mwanzo Bukombe katika shauri la jinai namba 188/2017.

Kabla ya kutoka kwa msamaha wa Rais Desemba 9, mshtakiwa alikuwa akitumikia adhabu ya kifungo cha mwaka mmoja jela katika Gereza la Kahama ambako ndiko alikorejeshwa juzi.

“Kwa sababu mshtakiwa amekiri kosa; na kwa kuzingatia ametenda kosa hilo siku chache tu baada ya kutoka Magereza kwa msamaha wa Rais; naiomba Mahakama kumpa adhabu kali ili iwe fundisho kwake na watu wengine wenye nia ya kutenda kosa kama hilo,” aliomba Simai.

Akitoa hukumu, Hakimu Gakwaya aliyeonyesha mshangao kwa mshtakiwa kushindwa kutumia vizuri msamaha wa Rais Magufuli, alisema Mahakama inamhukumu kifungo cha miaka 15 jela badala ya miaka 30 aliyostahili kwa mujibu wa sheria kwa sababu hakuisumbua Mahakama kwa kukiri kosa.

“Kwa sababu hujaisumbua Mahakama kwa kukiri kosa; nakupa adhabu ya onyo ya miaka 15 na kazi ngumu gerezani ili iwe fundisho kwako na kwa wengine,” alisema hakimu Gakwaya.

Adhabu hiyo ni kwa mujibu wa kifungu cha 285 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai sura ya 16 na marekebisho yake ya mwaka 2002.

Huyu Hapa Bingwa wa Magonjwa Sugu Kama Vile Pumu, Vidonda vya Tumbo, Busha, Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa    dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SUPER POWER,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI
SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI

Lissu Amkaribisha Spika Ndugai Kumjulia Hali Nairobi

$
0
0
Lissu Amkaribisha Spika Ndugai Kumjulia Hali Nairobi
Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amemkaribisha Spika wa Bunge, Job Ndugai nchini Kenya kumjulia hali, akisema mwaka 2017 umekuwa wa kihistoria kwake na kwa Watanzania.

Lissu ambaye ni Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) amelazwa katika Hospitali ya Nairobi nchini Kenya anakopatiwa matibabu baada ya kushambuliwa na kujeruhiwa kwa risasi Septemba 7 katika makazi yake mjini Dodoma.

Akizungumza na Mwananchi jana, Lissu alisema amesikia alichosema Spika Ndugai na kwamba, anachoweza kusema ni kuwa tangu alazwe Nairobi hakuna ujumbe wowote wa Bunge uliofika kumjulia hali.

Katika mkutano na waandishi wa habari mjini Dodoma mwishoni mwa wiki, Ndugai alisema vurugu za uchaguzi mkuu wa Kenya zilikuwa kikwazo kwake kwenda kumjulia hali Lissu na baada ya sikukuu atakwenda.

Alisema sintofahamu hiyo ilisababisha wanasiasa kwenda mahakamani hivyo kufanya uchaguzi mkuu kurudiwa na kuzua malumbano yaliyofanya kuwa na ‘Serikali kama ya mpito’.

Licha ya Spika Ndugai kutokwenda, kulikuwa na ujumbe wa wabunge wawili na mtumishi wa Bunge waliokwenda kumuona ambao hata hivyo, Lissu alirejea kauli aliyowahi kuitoa kwamba walikwenda kumuona wao binafsi.

Wabunge hao ni Mary Chatanda (Korogwe Mjini- CCM) na Fakharia Shomar Khamis (Viti Maalumu- CCM) pamoja na Kamishna wa Bunge ambaye jina lake halijawahi kutajwa.

“Hao anaowasema Spika walikuja, walikuja wao binafsi, kwani walipofika hapa niliwauliza kama wana ujumbe wa Spika wakakataa, nikamuuliza ofisa wa Bunge kama ana ujumbe wa Katibu wa Bunge akakataa, walikuja bila barua, waraka au hata kadi ya kunitakia pole,” alisema Lissu.

“Nilimweleza yule ofisa wa Bunge akamweleze kuwa Lissu ameuliza haki zake kwa mtu anayeumwa... mimi sihitaji fadhila, bali ni haki yangu kisheria.”

Akizungumza huku sauti yake ikionyesha ni mwenye afya njema, Lissu alisema sababu alizozitoa Spika Ndugai zingeweza kuwa na mashiko kama angezitoa kipindi alipokuwa akiumwa zaidi.

“Maelezo ya Spika yalikuwa ya kujitetea, angeweza kueleza wakati ule nikiwa na hali mbaya na mazingira ya Kenya yalivyokuwa angeeleweka lakini amesubiri hadi amebanwa, kelele zimepigwa na asingebanwa angeendelea kukaa kimya,” alisema Lissu

Kwa msisitizo Lissu alisema, “Kwa sababu amesema atakuja na mimi namsubiri aje na huo ujumbe atakaokuja nao, namsubiri sana sana... lengo langu na familia ni kuhakikisha haki inatendeka kama ilivyoandikwa katika sheria zetu.”

Alisema hataweza kusimama mapema kwa kuwa mguu wake ulivunjwa mara tatu na waliomshambulia, hivyo kupona kwake ni kwa taratibu.

Kuhusu ujumbe wake wa mwaka 2017, Lissu ambaye ni mwanasheria wa Chadema alisema, “Niwatakie kila la heri Watanzania wa ndani na nje ya nchi katika kipindi hiki cha sikukuu. Tunaufunga mwaka huku mamia ya wananchi wakiwa hawana makazi baada ya kubomolewa, uchumi wetu ukiwa haueleweki, tatizo la ajira, demokrasia inakandamizwa,” alisema.

Kwa sauti ya chini na yenye utulivu, Lissu alisema, “Sitachoka kuwashukuru Watanzania kwa maombi, michango yao, kunichangia damu na kuyafanya maisha yangu kuwa salama, nawashukuru sana sana.”

Pembeni mwa Lissu alikuwapo mkewe Alicia ambaye akizungumza na mwandishi wa habari hizi alisema, “Tunaendelea kuwashukuru Watanzania kwa yote waliyotufanyia. Tunawatakia maandalizi mema ya sikukuu.”

Alicia ambaye kitaaluma ni mwanasheria aliongeza kuwa, “Ni matumaini yangu mwaka kesho utakuwa ni mzuri zaidi, mwaka mzuri kwetu kuliko tunaoumaliza wa giza nene.” Awali akitoa tathmini yake kwa mwaka 2017, Lissu alisema, “Ni mwaka wenye historia kubwa, umekuwa na matukio ambayo hayakuzoeleka, matukio ya utekaji ambayo wengine wanaonekana na wengine hawaonekani, matukio ya kushambuliwa. Yote haya tulikuwa tukiyasikia huko, sasa yamefika kwetu.”

“Tumeshuhudia chama kinachosema kinapendwa na wananchi kikilazimisha vyama vingine vichukiwe, umekuwa mwaka wa kihistoria, wenye matukio ya kipekee yasiyozoeleka, kwa kweli ni mwaka mgumu.”

Young Killer Afunguka Kuhusu Kolabo Yake na Diamond

$
0
0
Young Killer  Afunguka Kuhusu Kolabo Yake na Diamond
Msanii wa muziki Bongo, Young Killer amefunguka kuhusu ujio wa kolabo yake na Young Killer.

Rapper huyo ambaye anatamba na ngoma ‘Toto Tundu’ ameiambia FNL ya EATV kuwa ngoma hiyo itatoka pindi albam ya Diamond itakapotoka kwa sababu imejuishwa huko.

“I think inatoka katika albam yake ya A Boy From Tandale ambayo nahisi inatoka mwezi huu wa 12, so katika list nimeingali pale nadhani ipo namba nne” amesema Young Killer.

Alipoulizwa iwapo ngoma hiyo itatoka kama yake official, alijibu “chochote kinaweza kutokea kwa sababu ni ngoma kali na watu inabidi waisikilize”.

Hii ni ngoma ya pili kwa Young Killer kufanya kolabo na msanii wa WCB baada ya kufanya na Harmonize.

Takukuru Yatupilia Mbali Ushahidi wa Nassari, Lema

$
0
0
Takukurua Yatupilia Mbali Ushahidi wa Nassari, Lema
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema imeshindwa kuendelea na uchunguzi wa tuhuma za rushwa zilizowasilishwa na wabunge wa Chadema, Joshua Nassari (Arumeru Mashariki) na Godbless Lema (Arusha Mjini).

Imesema uamuzi huo unatokana na wabunge hao kuingilia uchunguzi na kuuvuruga licha ya kutahadharishwa kuhusu suala hilo.

“Ni kweli tumeshindwa kuendelea na uchunguzi kwa sababu waliuingilia na kuuvuruga,” alisema Musa Misalaba, msemaji wa taasisi hiyo.

Hivi karibuni Nassari aliwasilisha Takukuru ushahidi mara tatu kuhusu tuhuma za rushwa dhidi ya madiwani waliojiuzulu kutoka chama hicho.

Madiwani hao walijiuzulu kwa kile walichoeleza kumuunga mkono Rais John Magufuli jambo ambalo Nassari anadai si kweli, bali walinunuliwa.

Katika ufafanuzi, Misalaba alisema wabunge hao waliingiza siasa katika uchunguzi huo, huku akitoa mfano wa kauli walizokuwa wakizitoa kwa waandishi wa habari kila walipokuwa wakiwasilisha ushahidi wao.

“Nadhani mnakumbuka wenyewe walivyokuwa wakifanya... taasisi iliona kama inaingizwa kwenye siasa. Sisi ni chombo huru kinachopaswa kufanya kazi bila kuingiliwa wala kushinikizwa na mtu,” alisisitiza.

Gazeti hili lilipomtafuta Lema jana saa mbili usiku alisema hana taarifa na kuahidi kuzitoa pale atakapozipata.

Oktoba 17, Mkurugenzi Mkuu wa taasisi hiyo, Valentino Mlowola alimtahadharisha Nassari kuwa akiendelea kuingiza siasa kwenye suala hilo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Alisema kitendo cha mwanasiasa huyo kuweka hadharani taarifa za uchunguzi ni kinyume cha sheria kwa kuwa kazi hiyo inatakiwa kufanyika kwa siri na Mahakama ndiyo yenye jukumu la kuchukua hatua.

Alisema Takukuru ina wajibu wa kumlinda mtoa taarifa lakini jukumu hilo linakuwa tofauti kwa Nassari ambaye ameamua kujitokeza hadharani.

“Tulishampa angalizo kuwa mambo tunayoongea ni siri lakini mwenzetu inaonekana anafanya siasa kama anavyosema mwenyewe kuwa ataendelea kuleta ushahidi kama series ya Isidingo,” alisema Mlowola.

Wakati akiwasilisha ushahidi wake wa tatu Oktoba 16, Nassari alisema, “Huu ni ushahidi wa tatu na kwa kadri upelelezi ukiwa unaendelea nitaleta mwingine, hii ni kama filamu ya Isidingo.”

Nassari na Lema walifikisha malalamiko yao Takukuru kwa mara ya kwanza Oktoba 2 ikiwa ni siku moja kupita tangu walipouweka hadharani mbele ya waandishi wa habari ushahidi huo mjini Arusha.

Oktoba 4, Nassari alirudi tena Takukuru kwa lengo la kuwasilisha ushahidi na kuandika maelezo ya tuhuma zake kuhusu sakata hilo.

Msiba Wakwamisha Babu Seya na Mwanaye Kushindwa Kuhudhuria Ibada Maalum Waliyoandaliwa

$
0
0
Msiba Wakwamisha Babu Seya na Mwanaye Kushindwa Kuhudhuria Ibada Maalum Waliyoandaliwa
Wanamuziki Nguza Viking ‘Babu Seya’ na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha jana walishindwa kuhudhuria ibada maalumu kwa sababu ya msiba wa ndugu yao Chimbuza Chrizoo uliotokea Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) wiki iliyopita.

Chrizoo alifariki dunia nchini humo, akiwa usingizini baada ya kumalizika kwa sherehe za kupongeza kuachiwa huru kwa familia ya Nguza.

Ibada hiyo iliyoandaliwa katika Kanisa la Life in Christ Ministries Zoe, lililopo Tabata Segerea jijini Dar es Salaam, ilikuwa na lengo la wanamuziki hao kumshukuru Mungu na Rais John Magufuli kwa kuachiwa huru Desemba 9.

Babu Seya na Papii Kocha walikaa gerezani miaka 13 na miezi minne wakikabiliwa kosa la kubaka na kulawiti watoto 10 wa kike ambao walikuwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mashujaa, Sinza Dar es Salaam.

Hii ingekuwa mara ya pili kwa wanamuziki hao kwenda kanisa hilo, kwani mara ya kwanza ilikuwa Desemba 9 muda mfupi baada ya kutoka gereza la Ukonga, walikwenda kanisani hapo na kuombewa na Nabii Joseph takriban saa tano.

Jana, akiwa katikati ya ibada, Nabii Joseph alisema: “Natambua uwapo wa waandishi wa habari ambao wamekuja kanisani hapa, kuchukua taarifa za Babu Seya na Papii Kocha. Hata nyinyi waumini mnataka kujua hii taarifa si ndiyo.

“Ni kweli Babu Seya na Papii Kocha walitakiwa kuja leo (jana) hapa kwa ajili ya maombi ya kumshukuru Mungu na Rais Magufuli, lakini kutokana na msiba wa ndugu yao nimeona ni vyema wakapumzika kwa ajili kupata faraja na upendo na wameniambia ni nikusalimieni sana,” alisema Nabii Joseph na kupigiwa makofi.

Aliwahakikisha waumini hao na wanahabari kuwa Jumapili ya wiki hii familia ya Nguza itakuwapo kwenye kanisa hilo na watazumgumzo masuala mbalimbali ya Mungu.

Alisisitiza siku hiyo itakuwa ya faraja na kuwataka waumini kujitokeza kwa wingi kwenye ibada hiyo maalumu itakayomuombea pia Rais Magufuli na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

“Ratiba itakuwa ni hivi ataanza kuzungumza Michael Nguza, atafuata Babu Seya na wa mwisho atakuwa ni Papii Kocha kisha wataimba wimbo maalumu nilioutunga,” alisema.

Mbunge Mwingine wa Upinzani na Madiwani Wake Saba Kuhamia CCM

$
0
0
Mbunge Mwingine wa Upinzani na Madiwani Wake Saba Wahamia CCM
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri wa Muungano Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kutangaza kuuvuruga upinzani Tanzania kwa kupokea Mbunge mmoja kutoka chama cha upinzani na madiwani wengine saba.


Magufuli amesema hayo leo kwenye Mkutano Mkuu wa 9 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao umefanyika leo Disemba 18, 2017 mjini Dodoma na kuhudhuriwa na wajumbe mbalimbali wakiwepo marais wastaafu.

"Nimepokea majina mengine ya viongozi wa upinzani ambao wanataka kurudi Chama Cha Mapinduzi (CCM) wasaidizi wangu wameniambia yupo Mbunge mmoja anataka kurudi na ameniambia kuwa anataka kuja na madiwani saba kwenye jimbo lake, nasema hiki ni kimbunga na wataisoma namba kweli kweli" alisisitiza Rais Magufuli

Aidha Magufuli amewataka viongozi wapya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhakikisha wanafanya kazi ya kuongeza wanachama wapya katika chama hicho na kuongeza wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mbali na hilo Rais Magufuli amesema kuwa wataendelea kupokea na kuwatangaza watu ambao wanahamia kwenye chama hicho, na kusema kuwa lazima kwanza wajiridhishe ili wasije kupokea na watu wengine ambao hawana mpango mzuri kwa CCM.

Tanzia: Simba Yapata Pigo Mwanachama Wake Afariki Dunia Leo

$
0
0
Simba Yapata Pigo Mwanachama Wake Afariki Dunia Leo
Timu ya simba leo imepata msiba mkubwa baada ya mwanachawa wao mkongwe maarufu kama dada Fii Kambi ambaye amefariki  mapema leo asubuhi.

Msemaji wa timu hiyo ametoa taarifa kupitia ukrasa wake wa instagram juu ya msiba huo na kuandi hivi "hakuna mwanachama yoyote anayemzidi dada Fii Kambi kwa kufuatilia kila hatua ya Simba  sikumbuki kama kuna siku niliyokosa cm yake kuulizia habari za klabu ... lakini mungu ametimiza ahadi yake  amefaliki leo ni pigo kwetu wanasimba .....inna lillah wainna ilaihi raajiun"




Madee: Baada ya Ndoa Dogo Janja Tulimuandaa Kisaikolojia Kukabiliana na Changamoto za Ndoa

$
0
0
Madee: Baada ya Ndoa Dogo Janja Tulimuandaa Kisaikolojia Kukabiliana na Changamoto za Ndoa
Msanii wa muziki ambaye pia ni Rais wa Tip Top Connection, Madee Ali amefunguka kuzungumzia namna walivyomuandaa Dogo Janja ili kupambana na mikiki mikiki ya ndoa. Rapa huyo mwezi mmoja uliopita alifunga ndoa na malkia wa filamu, Irene Uwoya.

Kungwi wake ambaye ni Kassim Mganga Alimwambia Assiihusishe ndoa yake na mabo yake ya muziki na ya mke wake ya movie amwache mke wake afanye kazi yake na yeye afanye muziki wake ili wasijikuta wanaingia kwenye migogoro na kutuyia aibu tulioshiriki kusaini vyeti na kusheherekea ndoa yao.

" Ndoa yao ilikuwa na mabo mengi na siku ikitokea wameachana watu watafikilia vile walivyokuwa wakidhania baada ya ndoa tulimtengeneza kisaikolojia maana tulijua wale ni watu maarufu chochote kwakuwa wanamarafiki wengi wanaweza kushauriana mengi mwisho wa siku chochote kinaweza kutokea" Madee.

Rais Magufuli Atamani Kustaafu Urais "Natamani Nistaafu Niwaachie Wengine"

$
0
0
Rais Magufuli Atamani Kustaafu Urais "Natamani Nistaafu Niwaachie Wengine"
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. John Pombe Magufuli amewatoa wasiwasi wananchi kwa kusema wazi kwamba anatamani siku moja ifike naye aitwe mzee mstaafu wa taifa hilo kama alivyo Kikwete na wengine.


Rais Magufuli ameyasema hayo leo wakati akifungua uchaguzi mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), maarufu kama NEC Taifa, mkoani Dodoma akiwakaribisha na kuwatambulisha wageni mbalimbali waliohudhuria mkutano huo wakiwemo Marais wastaafu.

''Natamani siku moja na mimi nistaafu, niitwe mzee mstaafu kama mzee Kikwete niwaachie wengine,'' amesema.

Vipindi vya ukomo kwa sheria iliyopo kwa nafasi ya Rais ni miaka 10 , sheria inaruhusu kila baada ya miaka mitano kufanyika kwa uchaguzi mkuu ili kuwapa demokrasia wananchi kuweza kuchagua kiongozi anayefaa.

Mwezi Julai, 2017 kuliibuka mijadala mbalimbali katika mitandao ya kijamii kujadili kauli ya Rais mstaafu ya awamu ya pili Alhaj Ally Hassan Mwinyi, aliyoitoa katika Baraza la  sikukuu ya Iddi aliyosema  kama isingekuwa matakwa ya kikatiba angetegemea kuona Rais aliyepo madarakani John Pombe Magufuli akipewa nafasi ya kutawala bila kikomo.

Mkutano huo wa leo utakipatia viongozi wapya wa ngazi ya juu chama hicho ikiwemo Mwenyekiti taifa na Mwenyekiti baraza la mapinduzi Zanzibar. Tayari Rais magufuli amethibitisha kuwa katibu mkuu wa chama hicho Abdulrahman Kinana ataendelea na nafasi yake.

Breaking News: Mahakama Kuu Yamuachia Huru Sheikh Ponda Katika Kesi ya Kutoa Matamshi ya Uchochezi.

$
0
0
Mahakama Yamuachia Huru Sheikh Ponda Katika Kesi ya Kutoa Matamshi ya Uchochezi.
Mahakama Kuu ya Tanzania imeamuachia huru imemuachia huru Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini  Sheikh Issa Ponda dhidi ya rufaa iliyokatwa na Jamhuri kupinga hukumu ya Mahakama ya Morogoro kumuachia huru kiongozi huyo.


Sheikh Ponda ameachiwa huru leo mbele ya Jaji Johnson Mkasimongwa ambaye amesema anakubaliana na uamuzi wa Mahakama ya Morogoro kumuachia huru Sheikh Ponda katika kesi ya kutoa matamshi ya uchochezi.

“Mahakama ya Morogoro haikukosea kumuachia huru Sheikh Ponda na mimi nakubaliana na uamuzi huo, hivyo namuachia huru,” amesema Jaji Mkasimongwa

Aidha Jaji Mkasimongwa amefafanua  kwamba upande Jamhri haikupaswa kumshtaki Sheikh Ponda kwa kosa lile la kuvunja amri ya Mahakama ya Kisutu bali ilitakiwa wamrudishe katika Mahakama hiyo ili imchukulie hatua zaidi.

August 10, 2013, katika eneo la Uwanja wa Ndege inadaiwa kwamba Ponda alitoa kauli za kichochezi kwa waumini wa kiislam ambapo mojawapo ya kauli ni ile aliyosema kwamba (Waislam) wasikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za misikiti, kwa madai kuwa zimeundwa na BAKWATA, ambao ni vibaraka wa CCM na serikali.

Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
MHULI: Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.


Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na Nasi kwa Namba; 0783140065
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images