Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104803 articles
Browse latest View live

Baada ya JPM Kuliamsha Dude Mwenyekiti TTCL Aweka Wazi Rafu Zilizochezwa Ununuzi na Umiliki wa Hisa za Airtel.

$
0
0
Baada ya JPM Kuliamsha Dude Mwenyekiti TTCL Aweka Wazi Rafu Zilizochezwa Ununuzi na Umiliki wa Hisa za Airtel.
KUFUATIA Rais Dkt. John Magufuli kueleza jana Mjini Dodoma kuwa Serikali imebaini kwamba Kampuni ya Mawasiliano ya Airtel ni mali ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na kumwagiza Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango kufuatilia suala hilo haraka ili Airtel irudishwe kumilikiwa na serikali, Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL Omary Rashid Nundu ameamua kuweka wazi rafu zilizochezwa wakati wa ununuzi na umiliki wa hisa za Airtel.

Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo Desemba 21, Nundu ameema wao kama TTCL hawamiliki chochote kwenye Kampuni ya Airtel.

“Wamiliki ni serikali yetu na ubia wa Bharti Airtel. Sisi kama TTCL tulianzisha Celtel mwaka 2001 na mtu asiyejulikana ambaye hisa yake ilishikiliwa na raia wa nje. Ilipofika Novemba 27, 2001 hisa ya mtu asiyejulikana ilishikwa na Mtanzania ambaye alikuwa kwenye Bodi ya TTCL pia kwenye Bodi ya Celtel.

“Agosti 5, 2005 ilikuwa ni siku ya vioja kwani aliyekabidhiwa hisa moja ya asiyejulikana ndiyo akawa mwenyekiti wa kikao cha bodi, alirudisha hisa kwa TTCL, bodi ikaongeza thamani ya kampuni na dola Mil. 40 alipewa kama mtaji wake.

“Agosti 5, 2005 kwenye Kikao cha Bodi ya TTCL ikawa mmiliki kwa asilimia 100 wa Celtel lakini cha kushangaza baada ya saa kadhaa, TTCL ikanyang’anywa hisa zote siku hiyohiyo, zikagawanywa kwa watu wengi. Hapo uhalali wa kunyang’anywa hisa zile ni upi? alihoji Nundu na kuongeza,

“Kilichotokea hisa za Celtel ziligawiwa kwa watu ambao hata hawakuwepo kwenye kuanzisha Celtel, pia uwiano wa hisa haukuwa sawa wala. Mbali na hilo kuna hisa ailizogawiwa mwekezaji na hazikumilikiwa, mwekezaji akawa na asilimia 60 na kuwa na share nyingi zaidi.

“Mtaji waliyolipa ni nusu ya thamani ya hisa zao lakini hakuna aliyewahi kukopeshwa hisa duniani. Tukiamua kukusanya hasara iliyopatikana ni kubwa. Utagundua Airtel ya leo ina historia ndefu na TTCL,” alieleza Nundu.

Aidha Waziri Kindamba Afisa Mtendaji Mkuu TTCL amesema alichosema Rais Magufuli jana ni “tip of an iceberg”, alichokonoa tu huku akisema wizi uliofanywa lazima uwekwe wazi. Ameeleza pia kuwa kuna mambo yalifanyika kwenye kampuni ya simu tangu kuanzishwa kwake dhidi ya TTCL ambapo Watanzania wameibiwa rasilimali zao.


Hiki Ndicho Walichojadili Zitto Kabwe na Freeman Mbowe Baada ya Kukutana Leo

$
0
0
Hiki Ndicho Walichojadili Zitto Kabwe na Freeman Mbowe Baada ya Kukutana Leo
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa ajili ya kujadili masuala ya uchaguzi wa haki nchini baada ya vyama hivyo kutangaza kutoshiriki uchaguzi wa marudio.

Leo December 21, 2107 Zitto amekutana na Mbowe ikiwa ni siku chache baada ya kutoa taarifa kwamba watavizungukia vyama vyote vya siasa ili kujadilia masuala ya uchaguzi.

Kwa mujibu wa Afisa Habari wa chama hicho, Abdallah Hamis kikao cha chama hicho kilichoketi hivi karibuni na kuamua kugomea kushiriki uchaguzi wa marudio katika Kata na Majimbo mbalimbali nchini unaotarajiwa kufanyika mapema mwakani.

“Kamati Kuu ya ACT iliuagiza Uongozi wa Taifa wa Chama kuwafikia wadau wote wa Demokrasia nchini na kuweka mikakati ya pamoja ya hatua za ziada za kuchukua ili kuboresha mazingira ya chaguzi za haki nchini kwetu, kwa kuanzisha mazungumzo na vyama vyote vya Upinzani.

“Lengo ni kuona njia bora zaidi ya mapambano ya pamoja ya kukabiliana na vitendo vya chama tawala za kuvuruga chaguzi huru na za haki nchini,” – Abdallah

Zitto ameanza mazungumzo hayo na Mbowe, wakati Katibu Mkuu wa chama hicho, Dorothy Semu, akiwa anaendelea na utaratibu rasmi wa kulitekeleza suala hilo.

“Nilipewa wajibu wa kuanzisha mazungumzo ya Viongozi wa Juu wa vyama, jana nimezungumza na Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR Mageuzi, ndugu James Mbatia aliyeko hospitalini KCMC baada ya hapo nimekutana na Mbowe na kujadili kuhusu mazingira ya chaguzi za haki nchini,”– Zitto

Aidha Zitto amesema mazungumzo na viongozi hao yameenda vizu

Kiwanda Cha Pombe Bandia Chanaswa Jijini Mwanza

$
0
0
Kiwanda Cha Pombe Bandia Chanaswa Jijini Mwanza
Wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihimiza ulipaji wa kodi wapo wahujumu uchumi na wanaotumia vibaya Sera ya Tanzania ya viwanda.

Kupitia oparesheni iliyofanyika jana  usiku, Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limefanikiwa kubaini Kiwanda bubu cha pombe bandia  kilichokuwa kinazalisha pombe kali iliyopewa jina la 'kubumba'

Polisi wamekifunga kiwanda hicho na kumkamata mmiliki wake, Emanuel George Munisi maarufu kama CCM pamoja na wenzake wanne.

Pombe hizo zilikuwa zikitumia stempu ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), na meneja msaidizi wa TRA Mwanza amesema wanafuatilia kujua mtuhumiwa alipataje stempu hiyo bila kuwa na kibali


Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
MHULI: Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.


Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na Nasi kwa Namba; 0783140065

Waziri Kalemani Chadema Wabanwa Koo

$
0
0
Waziri Kalemani Chadema Wabanwa Koo
Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amewaagiza Mameneja wote wa Shirika la Umeme nchini, Tanesco, kuhakikisha wananchi wote ambao wamelipia gharama za kuunganishiwa umeme wanafanyiwa hivyo kabla ya mwaka huu haujamalizika .


Dk. Kalemani ametoa agizo hilo wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Muungano Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma, kuhusu mpango wa kusambaza umeme vijijini kupitia Wakala wa Umeme Vijijini, REA ambapo kijiji cha Muungano ni miongoni mwa vijiji 33 vitakavyounganishiwa nishati hiyo.

Amesema kuanzia sasa mteja ambaye tayari amelipia gharama za kuunganishiwa umeme, Tanesco inapaswa kumuunganishia umeme ndani ya siku saba na wale ambao wamelipia ndani ya mwaka huu wanatakiwa waunganishiwe umeme kabla ya mwaka huu haujaisha.

Kwa upande wa Mbunge wa Jimbo la Mtera, Livingstone Lusinde, amesema, umeme katika baadhi ya vijiji vya jimbo lake kikiwemo kijiji cha Muungano ni shida hivyo kuomba awamu hii ya tatu ya mradi wa REA kuwaanganishia na kuwawekea Transfoma yenye uwezo mkubwa.

Kikwete Amtumia Salamu za Pole Mrisho Ghambo

$
0
0
Kikwete Amtumia Salamu za Pole Mrisho Ghambo

Mbunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete amefunguka na kumpa pole Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kufuatia Mkuu huo wa Mkoa kuuguliwa na mama yake mzazi.


Mrisho Gambo alitumia mtandao wake wa kijamii kutoa tarifa kuwa anauguliwa na mama yake mzazi ambaye amelazwa hospitali akisumbuliwa na maladhi, ndipo hapo Ridhiwani Kikwete alifunguka na kumpa pole.

"Hakika ni mtihani mkubwa unaupitia rafiki yangu. Kuuguliwa na Mama sio jambo la kawaida ni mtihani mkubwa sana. Mwenyezi Mungu akuvushe katika mtihani huu. Utashinda katika hali zote. Pole ya Kuuguza Mrisho Gambo" aliandika Ridhiwani Kikwete

Picha: Staa wa Korea Kusini Aliyejinyonga Azikwa Leo

$
0
0
Picha: Staa wa Korea Kusini Aliyejinyonga Azikwa Leo
Hatimaye msanii wa muziki kutoka kundi la Shinee Korea Kusini, Kim Jong-hyun ambaye alijinyonga Jumatatu hii amezikwa leo.

Mwili wa marehemu Jonghyun ambaye alikuwa na umri wa miaka 27 ulikuwa umehifadhiwa katika hospitali ya Asan Medical Center kabla ya kuzikwa leo mjini Seoul.

Watu mbalimbali wamehudhuria katika mazishi hayo wakiwemo wasanii wenzake wa kundi la Shinee na dada yake ambaye alitumiwa ujumbe wa simu na marehemu usiku kabla ya tukio.

Mwanamke Adakwa na Shehena ya Bangi

$
0
0
Mwanamke Adakwa na Shehena ya Bangi
Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza Ahmed Msangi amesema mtuhumiwa Mwanamke Asha Jeremiah mwenye umri wa miaka 32, aliyekamatwa kwa kosa la kukutwa na gunia la Bangi atafikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika.


Kamanda Msangi amesema Jeshi la Polisi moani humo linaendelea na upepelezi pamoja na msako katika maeneo mbalimbali ya visiwa vya Wilayani Ukerewe na pindi upelelezi utakapokamilika Asha atafikishwa mahakamani.

Asha mkazi wa kisiwa cha Lyegoba, anashikiliwa kwa kosa la kupatikana na Bangi ikiwa kwenye gunia moja lililojaa, maboksi matatu yaliyojaa bhangi na misokoto ya bhangi 371, vyote vikikadiriwa kuwa na uzito wa kilogramu kati ya 35 hadi 50, kitendo ambacho ni kinyume na sheria.

Kwa mujibu wa Kamanda Msangi askari walipokea taarifa kutoka kwa raia wema juu ya uwepo wa mtu anayejihusisha na uuzaji wa bangi katika kisiwa cha Lyegoba na baada ya ufuatiliaji ndipo walifanikiwa kumkamata mtuhumiwa akiwa na kiasi hicho cha Bangi.

Aidha DCP Msangi ametoa wito kwa wananchi wa Jiji la Mwanza kuacha kujihusisha na vitendo vilivyo kinyume cha sheria na kuendelea kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi ili kufanikisha kukamatwa kwa waharifu.


Tanzania Yaporomoka Viwango vya FIFA

$
0
0
Tanzania Yaporomoka Viwango vya FIFA


Tanzania imezidi kuporomoka kwenye viwango vya soka duniani baada ya kushuka kwa nafasi tano zaidi kwenye viwango vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kwa mwezi Novemba.

Orodha ya FIFA iliyotolewa leo ya viwango vya mwezi Novemba 2017, inaonyesha Tanzania inashika nafasi ya 147 kutoka  142 mwezi Oktoba, ikiwa imeshuka kwa nafasi tano.

Wakati Tanzania ikishuka Uganda imeendelea kuongoza kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, ikiwa inashika nafasi ya 75 duniani huku Senegal ikiwa inaongoza kwa Afrika nzima ikiwa inashika nafasi ya 23 FIFA.

Kwa upoande wa 10 bora mwezi huu Ujerumani imeendelea kuongoza ikifuatiwa na Brazil, Ureno, Argentina, Ubelgiji, Hispania, Poland, Uswisi, Ufaransa na Chile.

Tanzania ilitoka sare ya 1-1 na Benin kwenye mchezo wa Kalenda ya FIFA kwa mwezi Novemba. Tanzania ilisafiri hadi Benin na kucheza katika uwanja wa l'Amitie mjini Cotonon.

Wolper Atoboa Siri Kuhusu Wazazi Wake

$
0
0
Wolper Atoboa Siri Kuhusu  Wazazi Wake
Msanii wa filamu Tanzania ambaye kwa sasa ni miongoni mwa wajasiriamali wanaopiga hatua, Jackline Wolper, ametoa siri jinsi alivyosuswa na wazazi wake kwa kuona anawadhalilsha, wakati amekuja Dar es salaam kuanza kujitafutia maisha.


Jackline Wolper amesema kwamba kiuhalisia familia yake ni watu ambao wanajiweza, hivyo alivyoamua kufanya biashara ya umachinga katika soko la kariakoo familia yake haikufurahia, na kuamua kumtenga.

"Wolper alichuniwa nyumbani kwa sababu ya ile kazi ya kuuza sabuni, kwa sababu wazazi wangu walikuwa na wadhifa na walikuwa na uwezo wa kunimiliki mimi na kuweza kunipatia biashara nikaendelea na maisha yangu, lakini niliweza kuwadhalilisha na kwenda kariakoo kuuza sabuni kama machinga, promotion dawa za mswaki, nikawadhalilisha  kwa kufanya ile kazi, nikachuniwa na wazazi wangu karibuni mwaka au miaka miwili siongei nao", amesema Wolper

Wolper ameendelea kwa kusema kwamba kitendo hiko ni mifano tosha kwa vijana wanaotaka kuwa kama yeye, kwani alichokipitia kilimpa wakati huku mambo yakimuendea tofauti

"Hizo zote ni changamoto za maisha ambazo wadogo zangu wanatakiwa wazijue na wazipitie, lakini wasizipitie kwa ubaya, usimuudhi mzazi ili ufanikiwe, unaweza usifanikiwe, mimi niliwaudhi wazazi wangu nikawa sielewi mpaka nikaenda kuomba msamaha", amesema Wolper

Hivi karibuni msanii huyo amezindua app yake ambayo itakuwa na mambo na matukio mbali mbali kuhusu yeye, pamoja na kazi zake za sanaa na ujasiriamali.

Niyonzima Arejea na Kuanza Mazoezi

$
0
0
Niyonzima Arejea na Kuanza  Mazoezi
Kiungo Haruna Niyonzima wa Simba amerejea na kuanza mazoezi mepesi baada ya kukaa kwa takribani wiki moja akijiuguza majeraha.

Niyonzima alipewa ruhusa ya kurejea kwao Rwanda kutokana na matatizo ya kifamilia kabla ya kurejea nchini.

Hata hivyo, kwa takribani wiki moja alishindwa kufanya mazoezi kutokana na kuwa majeruhi.

Lakini leo, ameanza kujifua na Simba iliyokuwa inafanya mazoezi kwenye Uwanja wa wa Boko Veterans jijini Dar es Salaam.

Kiungo huyo Mnyarwanda alikuwa akifanya mazoezi pembeni, akizunguka taratibu ikionekana ni maelekezo ya daktari kuanza mazoezi taratibu.

Rais wa Zimbabwe Kuteta na Zuma Afrika Kusini

$
0
0
Rais wa Zimbabwe Kuteta na Zuma Afrika Kusini
Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amefanya ziara ya kwanza nje ya Taifa tangu aapishwe mwezi uliopita kwa kutembelea Afrika Kusini.

Msemaji wa Rais, Bongani Ngqulunga amesema Mnangagwa leo Alhamisi Desemba 21,2017 atamtembelea Rais Jacob Zuma mjini Pretoria.

Viongozi hao wawili watazungumzia masuala muhimu ya maendeleo ya kikanda, Bara la Afrika na kimataifa.

Kwa mujibu wa ubalozi wa Zimbabwe nchini Afrika Kusini, Rais Mnangagwa anatarajiwa kutumia fursa hiyo kuvutia uwekezaji kutoka nchi hiyo jirani.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0

Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Sakata la Airtel: TTCL Yamwaga Mboga.....Yasimulia Masaa 24 Yalivyotumika Kuwaliza Watanzania

$
0
0
IKIWA imepita siku moja tangu Rais John Magufuli amwagize Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, kuchunguza undani wa suala la umiliki wa kampuni ya simu ya Airtel, siri zaidi kuhusiana na kile kilichofanyika katika ‘dili’ za mauziano zimeanza kuanikwa.

Akizungumza mjini Dodoma juzi, Rais Magufuli alimtaka Dk. Mpango kuchunguza  undani wa kampuni ya Airtel baada ya kuwapo kwa taarifa kuwa kampuni hiyo inapaswa kuwa chini ya umiliki wa Kampuni ya Simu (TTCL),  ambayo ni ya serikali. Pia Rais Magufuli alieleza wazi kuwa kuna ‘mchezo mchafu’ uliofanywa na baadhi ya watu katika suala hilo.

Kutokana na agizo hilo la Rais Magufuli, jana, TTCL, kupitia kwa mwenyekiti wake wa sasa wa bodi ya wakurugenzi, Omar Nundu, na Ofisa Mtendaji Mkuu, Waziri Kindamba, iliibuka na kuanika undani wa mambo kadhaa kuhusiana na kampuni hiyo, mojawapo ikiwa namna vigogo watano walivyoketi kwa siku moja na kufanya uamuzi unaoibua maswali mengi kwa sasa kuhusiana na umiliki wa kampuni ya Airtel. Kimahesabu, siku moja ina saa 24.

Alipoulizwa jana kuhusiana na suala hilo linaloambatana na madai kwamba TTCL ndiyo inayoimiliki Airtel Tanzania, Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo, Jackoson Mbando, alisema jambo hilo hawawezi kulizungumzia kama watendaji bali wamiliki wa hisa walio nje ya nchi ndio wenye wajibu huo.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Nundu alisema  chanzo cha yote kilianzia Agosti 5, 2005, wakati aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi za TTCL na Celtel wakati huo na wajumbe watano ambao majina yao hakuwa tayari kuyataja, walipokutana siku hiyo moja na kubariki uamuzi mzito uliofikisha jambo hilo lilipo sasa.

Nundu alisema bodi hiyo ilikuwa na watu tisa, lakini siku hiyo moja waliketi watano kati yao na kufanya uamuzi huo mazito huku wakiongozwa na mwenyekiti ambaye wakati huo alikuwa amekabidhiwa asilimia moja ya hisa zilizokuwa zikimilikiwa na ‘mtu asiyejulikana’.

Nundu alisema Celnet ilianzishwa na TTCL Mei 7, 2001 kwa mtaji wa Sh. bilioni moja na thamani ya hisa ikiwa Sh. milioni moja.

Alibainisha kuwa TTCL ilikuwa ikimiliki hisa moja huku thamani ya hisa ilikuwa Sh. 1,000 na mtu asiyejulikana alikuwa akimiliki hisa moja yenye thamani pia ya Sh. 1,000, kuanza baishara kwa jina la Celtel.

Hata hivyo, Nundu alisema hisa moja ya mtu asiyejulikana ikashikiliwa na raia wa kigeni na kwamba baadaye, TTCL ilitoa bilioni tano kwa ajili ya mtaji ili kampuni ianze kufanya kazi.

"Ilianzishwa kampuni inaitwa Celnet…imeanzishwa na TTCL,…ikapewa masafa megawati 900. Ilipofika wakati wa kufanya kazi, ikabadilishwa na kuwa Celtel, kampuni hii ilianzishwa na TTCL Mei 7, 2007 mtaji wake ukiwa Sh. bilioni moja, maana yake hisa milioni moja na kila hisa ina thamani Sh. 1,000,” alisema Nundu.

“Lakini wanahisa wakawa wawili, TTCL yenyewe ikachukua hisa moja, mtu asiyejulikana akachukua hisa moja, lakini akaishika raia wa kigeni. Kwa maana hiyo, kampuni ikaanzishwa kwa fedha Sh. 2,000," alisema Nundu.

Aidha, Nundu alisema TTCL ilitoa pia fedha zaidi ya Sh. bilioni 82 kwa ajili ya biashara huku cha kushangaza, mtu asiyejulikana akiwa hajatoa kitu chochote.

"Kama si TTCL kutoa Sh. bilioni tano,  hakuna ambacho kingefanyika. Hakukuwa  na uhitaji wa mwekezaji…. isitoshe TTCL iliweka Sh. bilioni 82 na ushee kuikopesha Celtel…sasa hapo unaona ni kampuni ya TTCL," alisema Nundu.

Alisema baadaye, raia wa kigeni aliyekuwa akishikilia hisa moja ya mtu asiyejulikana aliikabidhi kwa Mtanzania ambaye alikuwa miongoni mwa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya TTCL na pia Celtel.

“Siku ya kikao hicho, mwenyekiti wa bodi (ambaye ndiye aliyekabidhiwa hisa hiyo moja ya mtu asiyejulikana) na wajumbe wengine watano walifanya maamuzi (uamuzi) magumu (mgumu) ya kuirudisha hisa hiyo moja na kuikabidhi TTCL, hivyo TTCL ikawa inamiliki Celtel kwa hisa zote kwa asilimia 100,” alisema.

Akieleza zaidi kuhusiana na ‘mchezo’ uliofanyika, Nundu alisema thamani ya hisa asilimia 100 za TTCL ilikuwa Sh. bilioni moja, lakini wakakubaliana siku hiyo kuongeza thamani ya hisa hizo hadi kufikia Sh. bilioni 50 katika kampuni ya Celtel.

Alisema mpaka Mei 7, 2001, hisa 999,998 zisizo na mtu ilipewa TTCL kwa sababu ilishaweka Sh. bilioni tano, hivyo kuwa na jumla ya hisa 999,999 huku mtu asiyejulikana akiwa bado anamiliki hisa moja.

Nundu alisema ilipofika Novemba 27, 2001, raia wa kigeni aliyeshikilia hisa ya mtu asiyejulikana alimpa mtu mwingine ashikilie ambaye ni Mtanzania, na mtu huyo aliyepewa ashikilie ndiye aliyekuwa mwenyeki wa bodi ya TTCL na Celtel.

Nundu aliongeza kuwa baada ya hapo, zilichukuliwa Sh. bilioni 40 za TTCL na kuwekwa katika mfuko wa Celtel kama mtaji wake, hivyo kuifanya kumilikiwa kwa asilimia 100 kwa mtaji wa Sh. bilioni 41, huku Sh. bilioni tisa zikiwa hazina mmiliki.

“Siku hiyo hiyo moja, baada ya muda TTCL ikanyang’anywa hisa zake zote  na hapo ndipo tunapojiuliza uhalali wa Celtel,” alisema Nundu.

Nundu alisema kama  hiyo haitoshi, hisa hizo zilianza kugawanywa kwa watu ambao hawapo katika mlolongo wa Celtel kutokana na ukweli kuwa wakati huo,  waliokuwa wakitambulika ni wawili tu, yaani TTCL na ‘mtu asiyejulikana’.

Aidha, alisema ilikubaliwa kuwa serikali ipewe asilimia 65 na ‘mtu asiyejulikana’ apewe asimilia 35.Alisema kwa hesabu za kawaida, haikupaswa watu wengine kugaiwa hisa kwa sababu hawakuwa na hisa tangu awali lakini wakapewa hisa zote.

Alisema kama haitoshi, siku hiyo hiyo ya kikao cha bodi yenye watu watano, serikali ikapewa hisa milioni 26.650, ikiwa ni uwiano wa asilimia 65 ya umiliki na mwingine (mtu asiyejulikana) alipewa hisa milioni 14.350, sawa na asilimia 35.

Baada ya hapo, alisema serikali ilichukua tena hisa milioni 10 zingine na kumpa mwekezaji, hivyo kumfanya afikishe milioni 24.350 na kuifanya serikali kubakiwa na hisa milioni 16.650.

Alisema uwiano huo ndio unaoendelea hadi leo na kwamba umiliki wa Celtel upo mikononi mwa Airtel ‘kimagumashi’ (kijanjaujanja).

Kadhalika, Nundu alisema jambo la kushangaza ni kwamba ilipofika Juni 23, mwaka jana, Airtel ilitangaza kujitoa kwenye umiliki wa TTCL ambao walikuwa wamiliki na wameshajitoa.

Nundu alisema baada ya kufanyika ‘mchezo’ huo,  TTCL ilikopeshwa dola za Marekani milioni 28 na kuwekewa riba ya asilimia 18 na kusababisha deni kukua hadi kufikia Sh. bilioni 76.6.

“Mimi na wenzangu baada ya kuja TTCL, ndiyo tukaanza kuchimba chimba ili kujua mbivu na mbichi kwa sababu kuna mambo mazito zaidi,” alisema.

Bosi TTCL Ajilipua
Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba, alisema wanachotaka kutoka kwa Airtel ni kampuni yao.

Alisema wanaamini na kutarajia kuwa watarejeshewa kampuni yao bila kukwaruzana na wamikili wa kampuni ya Airtel na kwamba wamejipanga kwa ushahidi wa asilimia 100.

“Tumeamua kujitoa sadaka za nafsi na miili yetu kwa ajili ya kutetea wanyonge katika vita hii kubwa ya uchumi inayoongozwa na Rais Magufuli,” alisema Kindamba.

Pia alisema wanatarajia kufanya biashara ya huduma za simu kwa gharama nafuu zaidi watakaporejeshewa kampuni yao na pia kuiwezesha kulipa kodi zaidi serikalini

'Selfie' Yamponza Mbunge wa CHADEMA

$
0
0

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro Urich Matei ameweka wazi sababu za kukamatwa kwa mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya CHADEMA, Peter Lijualikali, mara tu baada ya kuachiwa leo na polisi ambapo alikuwa rumande.


Kamanda Matei amesema sababu iliyopelekea mbunge huyo kukamatwa tena leo hii ni picha aliyopiga na kuposti mtandaoni huku ikimuonesha akiwa na Afisa mmoja wa Polisi


"Kuna picha alipiga na ofisa mmoja akaiweka mtandaoni, sasa unajua haya masuala ya mitandao unapoweka picha ya mtu, na mwenyewe amekiri kweli ni yake na yeye ndiye ameposti, sasa bado tupo naye kwa mahojiano zaidi", amesema Kamanda Matei.


Leo asubuhi mbunge huyo alikamatwa na polisi muda mfupi baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro kuahirisha kesi inayomkabili.

Mange Amchana Zitto Kabwe Amtaka Aachane na ACT Wazalendo

$
0
0

meandika Mange Kimambi Kupitia Instagram:

Kaka Zitto I hope you know kuwa wewe ndio mpinzani mkubwa wa upinzani wa Tanzania.. You are the weakest link.

We are not going to win this war against Magufuli huku upinzani mkuwa fragmented like this. Sasa hivi TZ kulikuwa kuwa na upinzani mmoja tu. Na sio huku Maalim Seif na CUF, huku Zitto Kabwe na ACT huku Lissu na Chadema. Ila mkiungana wooote you will be a force. .

Zitto umeshapoteza credibility a lot of people wanashindwa kukuamini but I think the way forward here is for you to end this ACT Wazalendo thing. Wewe ndio una weaken upinzani wa Tanzania Bara na 2020 utazigawa kuwa za upinzani.

JE Ronaldo Ndiye Mchezaji Bora Kuwahi Kutokea?

$
0
0
Kuna mtu ameniuliza je kauli ya Ronaldo kuwa amejitangaza mchezaji bora wa dunia muda wote naichukuliaje? Nimemjibu kirahisi sana. Ndio yupo sahihi. Ameniuliza kwanini? Nikamjibu kwa sababu Ronaldo amesema. Akaniuliza tena ina maana Lionel Messi, Ronaldinho Gaucho, Pele, na Diego Maradona wamezidiwa na Ronaldo? Najua lengo lao wanazungumzia kipaji. Nikamuuliza hao uliowataja wamemzidi nini Ronaldo. Wataniambia Ronaldinho ana chenga Messi ana balaa na Pele alifunga magoli pipa zima.

Walio wengi wanachanganya mambo. Sijui kwanini wanapapatika kwa kauli hii ya Ronaldo.

Kwani Ronaldo akijiita hivo nyie kinawauma nini? Au amekosea nini? Au labda niwaulize kigezo cha mchezaji bora wa dunia wa muda wote ni nini? Kipaji na juhudi vyote ni sawa kama tu vitakupa mafanikio. Yaani Ronaldinho hawezi kuwa mchezaji bora wa muda wote kwa sababu ya Udambwi tu. Hilo pekee halitoshi kuwadharau wenye juhudi na mafanikio. Duniani hakuna kigezo cha ni nani bora zaidi ya nani hasa wachezaji waliocheza nyakati tofauti na ligi tofauti. Ronaldo ana sababu zake za kujiita hivo. Kama hutaki basi jiite wewe ndo mchezaji bora au andaa tuzo zako umtaje mchezaji wake bora.

Ronaldo anaona ana mafanikio ambayo wengine hawana. Hakuna mchezaji aliyewazidi wachezaji wote duniani kila kitu. Soka ni kama choo kila mwenye divi anaingiamo, uwe unaendesha uwe una magogo au unaenda kukojoa wewe una haki ya kuingia. Ronaldo anafahamu alichomzidi nacho Pele, na anaona kipo ambacho maradona hawezi kujivunia. Yapo aliyozidiwa na wenzake na yeye ana rekodi zake ambazo hao mnawaona bora hawanusi. Kwanza ni mchezaji pekee duniani ambaye amefunga kila dakika. Ni mchezaji pekee aliyefunga magoli zaidi ya 50 kwa mwaka ndani ya miaka 6. Mchezaji wa kwanza na pekee aliyefikisha magoli 100 ya UEFA.

Ronaldo ni mchezaji aliyeingia kwenye tuzo za Ballon D Or mara 10 yeye na Messi. Mchezaji aliyebeba makombe yote aliyoshiriki akiwa na klabu mbili tofauti. Mpaka sasa hivi kwa taarifa yako Ronaldo ana Record 96 zake yeye kama yeye ambazo amewazidi hao magwiji. Tena usisahau hakuna aliyefikia rekodi yake ya Hat trick ndani ya la liga. Sijui kwanini mnakuwa na pua ndefu hata kwenye vitu ambavyo havina harufu nzuri. Kwanini uwe na wivu na kauli za watu? Ukimuona mbwa amekuja kwenye sherehe usimfukuze huenda amefuata ulichofuata. Muacheni Ronaldo ajisifu ana haki hiyo.

Msishushe Ronaldo kisa watu mliohadithiwa.  Ndugu zangu kinyesi cha kale hakipimwi maradhi. Hebu tusing’ang’anie kiporo cha piza tena za juzi kisa hamtaki mihogo ya sasa. Ronaldo ni mchezaji bora duniani wala hupaswi kuongea taratibu. Kama nyie hamtaki kuthamini alichofanya kwanini asisifie mtarimbo wake? Mwanaume sifia mzizi wako ili watu wasichukue mti wako.

Kila aliye bora na asimamie ubora wake. Mwanaume mwenye uchu wa mafanikio hasifii mali za mwanaume mwingine ila hujigamba kwa kile alicho nacho. Hakuna kigezo cha nani ni bora hivyo kila mtu apambane na hali yake

Cristiano Ronaldo Bado Sana Kwa Lionel Messi

$
0
0
“Mimi ni mwanasoka niliyekamilika, mimi ni mwanasoka bora katika historia ya soka nimefanya mengi ambayo sio rahisi kufanyika” huyo ni Cristiano Ronaldo baada ya kutwaa tuzo ya Ballon D Or.

Lakini kiungo wa zamani wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez ameibuka na kusema anashukuru amemuona CR7 akicheza soka na amemuona Lioneil Messi pia lakini akakiri Messi ni hatari kuliko Cristiano.

Xavi anasema katika soka hakujawahi kutokea mchezaji kama Lioneil Messi na Cristiano Ronaldo kama anaona yeye ni bora baasi aamini hivyo lakini watu wanaotazama soka lao wanaona Messi ni zaidi.

Pamoja na uwezo wake wa kutengeneza nafasi awapo uwanjani lakini Xavi anasema Messi ni zaidi kwani huwa uwanjani anafanya vitu ambavyo unaweza kujiuliza kile kakifanyaje na huwa muda wote analenga kuibeba timu.

Jumamosi hii wawili hao wataoneshana umwamba huku Messi akiwa amefunga mabao 18 katika michezo 24 msimu huu na Cristiano Ronaldo akiwa amefunga mabao 16 katika michezo 21 msimu huu.

Barcelona wanaongoza ligi wakiwa na alama 42 kileleni huku wapinzani wao Real Madrid wako nafasi ya nne wakiwa na alama 31 ikiwa ni alama 11 nyuma ya Real Madrid na El Classico inaweza kushuhudia pengo la alama kuongezeka ama kupungua.

Baba Diamond Afunguka Makubwa.."Sijawahi Ongea na Zari Toka Awe na Mwanangu, ila Wema Sepetu na Hamisa Mobetto Fresh"

$
0
0
Baba Mzazi wa Diamond Platnumz amefunguka na Kudai hajawahi ongea wala kukutana na mkwe wake Zari Hassan toka awe na Mwanae, Adai anamsikia tu mitandaoni lakini kama mkwe hajawahi kufanya juhudi zozote za kumtafuta wafahamiane "

Tazama VIDEO:

Tundu Lissu Ahojiwa na Azam TV..."Sasa Sina Jeraha Lolote la Risasi Mwilini Kwangu"

$
0
0
Tundu Lissu Ahojiwa na Azam TV..."Sasa Sina Jeraha Lolote la Risasi Mwilini Kwangu" Tazama Hapa Chini Video:
Viewing all 104803 articles
Browse latest View live




Latest Images