Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104793 articles
Browse latest View live

Breaking News: Mh. Sugu aitwa Polisi kuhojiwa

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi 'Sugu' na mratibu wa chama hicho Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga wameitwa Polisi wakisema hawajui sababu ya wito huo.

Hata hivyo, wawili hao wamesema wanahisi wito huo unatokana na mkutano wa hadhara alioitisha Sugu katika viwanja vya Shule ya Msingi Mwenge jijini Mbeya.

Akizungumza kwa simu leo Jumanne Januari 2,2018 Sugu amesema juzi jioni alipigiwa simu na  Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Mbeya (RCO) kwamba pamoja na Masonga wafike jana ofisini kwake kuzungumza lakini alimueleza ilikuwa ni siku ya sikukuu hivyo itakuwa ngumu kwenda, hivyo walikubaliana wafike leo.

"Walinipigia simu juzi jioni wakinitaka mimi na Masonga twende makao makuu ya polisi jana, nikawaambia itakuwa ni sikukuu hivyo tukakubaliana leo asubuhi, hivyo tupo njiani tunaelekea huko kuitika wito. Sijajua sababu, lakini nadhani ni uchochezi," amesema Sugu.

Masonga amesema anaamini sababu ya kuitwa kwao inatokana na mkutano wao na wananchi.

Amesema katika mkutano huo yeye Masonga ndiye aliyemkaribisha Sugu kuzungumza na wananchi na alifunga mkutano, lakini kabla ya kumkaribisha alizungumza machache kuhusu mustakabali wa Taifa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Mohammed Mpinga hajapatikana ili kuzungumzia wito huo wa akina Sugu.

Wanaume Kwa Hili Mnatutesa Mnatuvurugia Wengi

$
0
0
Jamani wanaume wa kizazi hiki cha nyoka sjui mpoje, mkianza mahusiano na mtu mkapeana namba utasikia "bby una watsup" Imo n.k ili uanze kudai picha za uchi na kufanya video calls.Kiukweli wadada wengi tumestukia hilo, na tunapinga vikali no video calls, no sex pictures at all.

Kama hutaki sauti pita hivii!Kingine msitupangie matumizi ya simu zetu, hujainunua wewe sa kiherehere cha nini, kila saa umenuna"bby simu ipo busy kila saa" haikuhusu!Nunua yako nipe kisha nipangie wakuchati nao.

Picha za uchi BIG NO, USINITUMIE WALA SIKU TUMII. TUKIPANGA MIADI YA KUKUTANA NITAANDAA SEHEMU MIMI NA SIO WEWE, POTELEA MBALI KULIKO UKAFUNGE MI KAMERA ILI UNIREKODI.

KINYWAJI NI JUICE TU, POMBE SITAKII

Kutana na Mtabibu wa Nyota Duniani Maalim Fadhil Rashid Kutoka Comoro Kwa sasa Yupo Tanzania

$
0
0
KUTANA NA MTABIBIBU WANYOTA DUNIANIKOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE ANADAWA ZA KI COMRO DAWAZAKE HABAHATISHI MUONE HARAKA AKUSAIDIE TEZI NAUVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABI MALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA MALI BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI ZAMAJINI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZAKIUME PIA ANAYO DAWA YAKUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NAUMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWAHARAKA KUZUIYA CHUMAULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI KARIBUNI WOTE TIBA NIKWADINI ZOTE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO DUNIANI

CALLING +255719362806/

Mwanaume Anaepetipeti VS Mwanaume Mtundu Kitandani

$
0
0
Leo nina swali dogo tu kwa ladies. Assume una wanaume wawili mmoja ni mzee wa kupetipeti, yaani utabembelezwa, maneno matamu yakukufanya ujihisi wewe mzuri kuliko malkia cleopatra, utapewa kila ukitakacho mtoto wa kike, utasikilizwa, utaheshimiwa, utaachiwa uhuru nk. Lakini mkiingia uwanjana jamaa anaishia kukupakaza jasho tu, in short jamaaa ni lazy sana kwa bed. Lakini Kwa upande mwingine una jemba nyingine ambayo kupetipeti kumeipitia kushoto kubembeleza hajui, bahiri, maneno matamu hana. Ila ukija kwa bed anapiga mzigo balaaaa, unahisi utamu mpaka mboni ya jicho inavibrate.

Sasa inafikia wakati inabidi ubaki na mmoja tu. Kwa wewe mdada ungempa kibuti nani na kumpa shavu nani? Kati ya jamaaa hizi mbili

Mama Mwenye Nyumba Ananitega Sana.

$
0
0
Nilipohamishiwa kanda ya ziwa kikazi toka Dar. nilimtafuta dalali ili anisaidie kunitafutia nyumba, kweli alipata nyumba ya mama mmoja hivi ambaye kiutamaduni ni mtani wangu na yy huwa ananiita mtani.

Sasa kwanza hana mume, mumewe alifariki mwaka jana mwezi wa 4 na ana watoto wakubwa tu wengine wapo vyuoni na mmoja anafanya kazi dar.

Toka mwezi huu uanze ameanza kunionyeshea tabia fulani fulani, kila nikitoka kazini anakuja ndani mwangu anakaa na wakati mwingine kumbe anakuja amefunga kanga tu.

Jana nimetoka kazini nikapita Hotelini kula nikakaa hadi saa 2 usiku nimerudi home aliposikia nafungua mpango tu huyo akaja na chakula nikamwambia nimeshiba nishakula, akanilazimisha kuwa chukua ule, nikapokea nikakiweka mezani then akakaa, akaniambia niwashe TV nikawasha.

Nikaenda kuoga kurudi naingia chumbani na yy huyo kafika akaniambia ngoja nikupake mafuta nikasema hapana sipaki mafuta usiku, aise si akakaa kitandani!! kumbe hakuwa na nguo ya ndani akabenua kanga mapaja hayo nje nje kweli nilipata mfadhaiko muda huo nikamwambia naenda sebuleni kuangalia kipindi fulani hivi cha ITV-KIPIMA JOTO, Akasema njoo kwanza nikarudi akaanza kunishika shika masikioni, nikamwambia nooo!! sipo tyr akauliza kwa nini? nikamwambia leo sijisikii kufanya hicho unachotaka, akaniuliza ina maana mi mbaya? nikasema hapana ila leo sina hamu kabisa ki ukweli nilikuwa na hamu sana ila nikimwangalia huyu mama ni mtu mzima sana ni above 50 na mimi mwenyewe ndo nipo above 27 nikasema hapana.

Akaniambia njoo angalau mara moja tu tux nikampa moyo kuwa subiri kesho yaani leo. Sasa ndugu zangu leo nitamdanganyaje tena?

Huyu mama sitaki kux naye coz ni kama mama yangu, pia, watoto wake japo wapo hostel chuoni kwao hapa hapa nahofia wakija jua kuwa namx mama yao na tunaheshimiana sana.

wazo la kuhama limenijia usiku ws leo sana.

nifanyeje

TCRA yazipiga fainiTelevisheni 5 kwa kukiuka maadili

$
0
0

Mamlaka ya mawasiliano Tanzania, TCRA, imekipiga faini kituo cha runinga cha Star TV ya jumla ya shilingi milioni 7.5 kwa makosa ya ukiukwaji wa taratibu za kutangaza taarifa ya habari, inayotakiwa kulipwa ndani ya siku 30 kuanzia leo.

Pia mamlaka hiyo imekiweka kituo hicho cha runinga kwenye uangalizi maalum kwa muda wa miezi sita kuanzia leo, kutokana na kurusha taarifa ya habari inayotajwa kuwa ya uchochezi.

Pia imekiadhibu kituo cha runinga cha Azam 2, kwa makosa ya kukiuka maadili ya uandishi wa habari na kurusha habari zenye uchochezi kuhusu uchaguzi wa madiwani

Babu Seya na Mwanaye waenda Ikulu Kumshukuru Rais Magufuli kwa Kuwasamehe

$
0
0
Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwa ameshikana Mikono na kuomba dua na Mwanamuziki Nguza Vicking “Babu Seya” na wanae Johnson Nguza “Papii Kocha”, Francis Nguza na Michael Nguza walipofika Ikulu jijini Dar Leo Januari 2, 2018 kumshukuru kwa msamaha wake aliotoa kwao dhidi ya kifungo cha maisha walichokuwa wakitumikia

Ndugai: "Lissu na familia yake hawajui jambo hili"

$
0
0
Spika  wa Bunge Job Ndugai amefunguka na kusema Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu pamoja na familia yake hawatambui kuwa Serikali hasa Bunge limeanza kufanya mazungumzo na watu wanaotaka kumsafirisha kwenda nje kwa matibabu zaidi.

Ndugai amedai anatambua kuwa Tundu Lissu atasafirishwa na kwenda kwa matibabu zaidi nje ya Kenya ingawa hajajua ni lini lakini amesema kuwa watu ambao wamepanga kumpeleka huko kwenye matibabu tayari walishamtafuta yeye na kusema watashirikiana nao katika masuala ya matibabu.

"Ni kweli kwamba atapelekwa nje zaidi ya Nairobi ila bado sijui mpaka sasa ni lini kwa kuwa sijajua tarehe bado japo nadhani itakuwa hivi karibuni na wale wanaomgharamia kumpeleka nje wameshawasiliana na mimi na hakika familia ya Lissu hata Tundu Lissu mwenyewe hajui hilo, anafikiri ni wao peke yao lakini najua na walishafika kwangu na kusema watagharamia wao" alisema Ndugai

Spika Ndugai alizidi kueleza kuwa endapo watakubaliana na watu hao basi wao kama Serikali watagharamia katika mambo mengine ambayo yatawashinda hao wadau ambao walimfuata na kuongea naye.

"Gharama ambazo sisi tunaweza kuziingia endapo tutakubaliana na maamuzi hayo kufanyika itakuwa katika yale mambo mengine yanayobakia ambao wale kama wadau, wawezeshaji, wanaotusaidia hawataweza kutoa na ili liafikiwe lazima tuwe na uhakika kitu gani kinalipiwa na kitu gani hakilipiwi vinginevyo tutalipa mara mbili mbili sisi tunalipa wenzetu wanalipa ambapo kidogo italeta mchanganyiko usiokua na afya" alisisitiza Ndugai

Mwaka jana Tundu Lissu alidai kuwa Serikali pamoja na Bunge bado walikuwa hajachangia jambo lolote katika matibabu yake ambayo yanaendelea mpaka sasa nchini Kenya jijini Nairobi kufuatia shambulio lake la kupigwa risasi Septemba 7, 2017 akiwa mjini Dodoma.


Chanzo cha Wakandarasi Kujenga Barabara Chini ya Kiwango Chabainishwa na Mkuu wa Wilaya Ally Hapi

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi akionesha sehemu   ya Udongo ambao umechanganyika na takataka zilizokuwa chini ya barabara ya Msasani CCBRT ,ambayo imekuwa ikimeguka kila siku kutokana na mkandarasi wa awali  aliojenga barabara hiyo kuipitisha juu ya udongo wenye takataka na kusababishia hasara kwa serikali kila Mwaka.DC Hapi alieleza kuwa ujenzi  huo wa awali umeiingiza Serikali Hasara kutokana na baadhi ya watendaji wa Serikali kula rushwa na kufumbia macho ujenzi huo wa barabara juu ya dampo. 

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi akiwaonya wakazi wa Tandale kwa Tumbo juu ya utupaji taka hovyo katika mitaro ya Maji iliyopo pembezoni mwa barabara,kama ionekanavyo pichani ikiwa imejaa maji taka na kuhatarisha afya za wakazi wa eneo hilo. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi akionesha barabara ya Magomeni Kondoa inayokarabatiwa na Wakala wa Barabara nchini Tarura  mara baada ya kuwa na Mashimo mengi na kufanya kushindwa kupitika  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi akichota sehemu ya udongo uliokuwa ukisumbua barabara ya Msasani CCBRT ambao ulikuwa umechanganyika na Taka. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi akikagua barabara ya kuelekea Sleepway Masaki Jijini Dar es Salaam ambayo imeharibika na Mashimo Makubwa na sasa inakarabatiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni.

Museveni Aidhinisha Mswada Unaoondoa Kikomo cha umri kwa Wagombea Urais

$
0
0
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameidhinisha mswada unaoondoa kikomo cha umri kwa wagombea urais nchini humo, hatua inayompa nafasi ya kuwania tena urais mwaka 2021.
Mswada huo pia unarejesha takwa la rais kuongoza kwa mihula miwili pekee ya miaka mitano.
Kwa kuwa sheria hiyo itaanza kutekelezwa sasa, Bw Museveni anaweza akaongoza taifa hilo hadi 2031.

Kwa mujibu wa gazeti la Daily Monitor la Uganda, katibu wa rais Bi Linda Nabusayi amesema Bw Museveni alitia saini mswada huo kuwa sheria Desemba 27 na kisha akatuma waraka tarehe 29 Desemba.

Nkurunziza ‘huenda akaongoza’ Burundi hadi 2034
Rais Museveni alibatizwa miaka mitatu baada ya kuzaliwa
Sheria ya awali ilikuwa inamzuia mgombea kuwania urais baada ya kutimiza umri wa miaka 75.
Bw Museveni kwa sasa ana miaka 73.

Hatua ya rais huyo kuidhinisha mswada huo imetoa wakati ambao amekuwa akihimizwa na viongozi wa kidini na wanaharakati wa kisiasa kutouidhinisha.

Bunge liliidhinishwa mswada huo mnamo tarehe 10 Desemba kwa zaidi ya theluthi mbili ya wabunge waliohudhuria kikao, wabunge 317 wakiunga mkono na 97 wakapinga.

Shida ni Kwamba Waliosema Mzee Kikwete ni Dhaifu ndio Wanasema Rais Magufuli ni Dikteta

$
0
0
Wakuu,

Tabia aijengayo mtu hujenga taswira yake katika jamii na kufanya matendo yake yatafsiriwe kutokana na yeye alivyo na si kile anachokifanya kwa wakati huo. Kwa mfano, mtu akiwa mwongo Mara kwa Mara, inawezekana siku Akasema kweli lakini kwa kuwa tayari anafahamika ni mtu mwongo, ukweli wake hauwezi kuchukuliwa kwa uzito wowote. Mathalan, mtu anaweza kuwa na desturi ya kudhulumu na kwa mantiki hiyo, hata siku akikuambia kadhulumiwa, itakiwa ni vigumu kumchukulia serious kwa kuwa unajua tabia yake.

Sasa hivi kuna watu wanasema Rais Magufuli ni dikteta, hataki ushauri na hafuati sheria kuamua Lakini shida wenye hoja hiyo ndio waliokuwa na hoja kwamba Mzee Kikwete alikuwa ni Rais dhaifu na ailikuwa hafai.

Walichokuwa wanaona ni kosa kwa Mzee Kikwete, ilikuwa ni desturi yake ya kuwa na tabasamu muda wote kama ishara ya upendo kwa watu, kila lilipotokea jambo alisisitiza vyombo husika viachwe vilifanyie kazi kwa mujibu wa sheria Hata wanaolalamika Leo wakasema wanataka mabadiliko, wakasema wanahitaji Rais Mkali, Rais Mwenye maamuzi magumu na wengine wakaaenda mbali na kusema nchi hii sasa inahitaji dikteta ili ainyooshe.

Sasa basi hoja yangu ni nini? Kimsingi Leadership style ya Rais Magufuli, kwa kiasi ni Opposite ya leadership style ya Mzee Kikwete. Kwa Hiyo tungetaraji wale waliotuambia Mzee Kikwete alikuwa dhaifu ndio wamuunge mkono Rais Magufuli lakini cha ajabu hao hao wengi wao ndio wanaomlaumu.

Hii maana yake nini? Ni mambo mawili. Jambo la kwanza ni amma hatuna uhakika tunachotaka ni nini, amma tuwanafiki wa kiwango cha SG.

Sasa ili tutoke tulipo, ndio maana Mara nyingi sisi wengine tunasisitiza kuwa tuna tatizo kubwa la kijamii. Watanzania kama jamii wengi wetu tuna mitizamo isiyo sawa Mara nyingi. Wengi hatuko focused, hatuko dertamined na si tu kwamba hatuwawazii mema wengine lakini hatujiwazii mema hata sisi wenyewe. Kwa Maneno mafupi tumetawaliwa na negative thoughts na unafikiri mkubwa kama misingi yetu mikuu ya maisha.Mara nyingi hatutaki kusema wala kusimamia ukweli, lakini pengine wana hatuna uhakika ukweli ni upi kwa kuwa hatuna uhakika tunasimamia nini.

Sasa kwa kuwa viongozi wetu wote wanatoka katika jamii hii hii, tutegemee aina ya viongozi tunaokuwa nao ni reflexion ya sisi kama jamii tulivyo, na kama tunadhani tunatakiwa tuwe na viongozi wa aina Fulani, tunatakiwa tu affect the course ambayo ni jamii.

Kweli nawaambieni, Miaka 20 ijayo huenda tukapata Rais ambaye tulikuwa naye humu Jf halafu tutakuwa tunaanza kulaumu hana hiki hana kile hajaandaliwa kimepanda , kimeshuka, ni dhaifu ana roho mbaya n.k

Labda tu niulize, kwa mfano hapa Jf, ni nini kinachosababisha tusijikite kwenye kuleta mada ambazo zinasaidia kuandaa viongozi bora Leo na kesho na hata ikitokea mtu akaleta, wachangiaji hakuna na wakiibuka wachangiaji ni matusi tu ndio input yao.

Jibu ni hili, bado hatujawa na uhakika wa tunachokitaka na hivyo tumeupa nafasi unafiki uwe ndio msingi wetu Mkuu wa maisha. Tusipobadilika tutaendelea kudhani kuwa adui yetu ni Fulani kumbe adui yetu yu ndani ya nafsi zetu wenyewe, na tusipobadilika .........

By Azizi Mussa/JF

Mwakyembe Ashtushwa na Vitendo vya Uonevu kwa Waandishi wa Habari

$
0
0
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Harrison Mwakyembe ameshtushwa na malalamiko ya wadau wa soka kuhusu vitendo vya unyanyasaji na uonevu kwa Waandishi wa Habari wanaoripoti matukio ya michuano ya soka Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara.

Waziri Mwakyembe amelitaka Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) kuchunguza tuhuma hizo kujua kama kuna ukweli juu ya vitendo hivyo ambavyo vimejitokeza kwenye michezo miwili ya Ligi daraja la kwanza iliyochezwa Desemba 30, 2017 kati ya Dodoma FC vs Alliance ya Mwanza, na Pamba FC vs Biashara ya Musoma.

Spika Ndugai Amjibu Tundu Lissu

$
0
0
Spika  wa Bunge Job Ndugai amefunguka na kusema Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu pamoja na familia yake hawatambui kuwa Serikali hasa Bunge limeanza kufanya mazungumzo na watu wanaotaka kumsafirisha kwenda nje kwa matibabu zaidi.

Ndugai amedai anatambua kuwa Tundu Lissu atasafirishwa na kwenda kwa matibabu zaidi nje ya Kenya ingawa hajajua ni lini lakini amesema kuwa watu ambao wamepanga kumpeleka huko kwenye matibabu tayari walishamtafuta yeye na kusema watashirikiana nao katika masuala ya matibabu.

"Ni kweli kwamba atapelekwa nje zaidi ya Nairobi ila bado sijui mpaka sasa ni lini kwa kuwa sijajua tarehe bado japo nadhani itakuwa hivi karibuni na wale wanaomgharamia kumpeleka nje wameshawasiliana na mimi na hakika familia ya Lissu hata Tundu Lissu mwenyewe hajui hilo, anafikiri ni wao peke yao lakini najua na walishafika kwangu na kusema watagharamia wao" alisema Ndugai

Spika Ndugai alizidi kueleza kuwa endapo watakubaliana na watu hao basi wao kama Serikali watagharamia katika mambo mengine ambayo yatawashinda hao wadau ambao walimfuata na kuongea naye.

"Gharama ambazo sisi tunaweza kuziingia endapo tutakubaliana na maamuzi hayo kufanyika itakuwa katika yale mambo mengine yanayobakia ambao wale kama wadau, wawezeshaji, wanaotusaidia hawataweza kutoa na ili liafikiwe lazima tuwe na uhakika kitu gani kinalipiwa na kitu gani hakilipiwi vinginevyo tutalipa mara mbili mbili sisi tunalipa wenzetu wanalipa ambapo kidogo italeta mchanganyiko usiokua na afya" alisisitiza Ndugai

Mwaka jana Tundu Lissu alidai kuwa Serikali pamoja na Bunge bado walikuwa hajachangia jambo lolote katika matibabu yake ambayo yanaendelea mpaka sasa nchini Kenya jijini Nairobi kufuatia shambulio lake la kupigwa risasi Septemba 7, 2017 akiwa mjini Dodoma.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

Wasiliana nasi +255 622588038au 0679119679 au +255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Picha Zaidi za Babu Seya na Mwanae Wakiwa IKULU

$
0
0
Mzee Nguza Vicking(Babu Seya) akiwa na watoto wake Papii Nguza (Papii Kocha),Francis Nguza pamoja na Nguza Mbangu walipomtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.John Pombe Magufuli kwaajili ya kumshukuru Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.






Papii Nguza (Papii Kocha) akionyesha alama ya mchoro unaosomeka ” JPM “mara baada ya  kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.John Pombe Magufuli  walipomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018

Taarifa Toka IKULU Baada ya Babu Seya Kukutana na Rais Magufuli

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 02 Januari 2018 amekutana na Mwanamuziki Nguza Viking na watoto wake waliofika Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa lengo la kumshukuru kwa kupatiwa msamaha wa kuachiwa huru kwake Nguza Viking (Babu Seya) na Mwanae Papii Nguza (Papii Kocha) waliokuwa wakitumia adhabu ya kifungo cha maisha jela.

Nguza Viking na Papii Nguza wakiwa na wana familia wengine Nguza Mbangu na Francis Nguza wamezungumza na Mhe. Rais Magufuli ambapo wamemshukuru kwa msamaha alioutoa kwao na kwa wafungwa wengine 61 waliokuwa wamehukumiwa adhabu ya kifo, na wamemuahidi kuwa raia wema na watachapa kazi kwa juhudi na maarifa.

“Yaani sijui nisemaje, hapa nina furaha kubwa sana moyoni mwangu, nilikuwa naomba sana tangu muda mrefu nikutane nae, nimeomba sana sana, hatimaye leo nimefanikiwa na nimemwambia namshukuru sana kwa kutusamehe na sasa nipo tayari kuchapa kazi, Hapa Kazi Tu” amesema Nguza Viking na kuungwa mkono na mwanae Papii Nguza.

Nguza Viking na wanae wamemuombea Mhe. Rais Magufuli na wameiombea nchi, na pia msemaji wa familia hii Nguza Mbangu amesema wanajipanga kuendeleza kazi zao za sanaa.

Kwa upande wake Mhe. Rais Magufuli amewashukuru kwa kuja kumuona na kumshukuru lakini amesema shukrani zimwendee Mwenyezi Mungu ambaye ndiye husamehe.

“Najua mmekuwa mkihangaika kutaka kuniona, nikaona wacha niwasikilize, hata hivyo mshukuruni Mwenyezi Mungu ambaye ndiye hutoa msamaha, sasa nendeni mkachape kazi, na mmtangulize Mungu” amesema Mhe. Rais Magufuli.

Wakati huo huo, Mhe. Rais Magufuli ametia saini kitabu cha maombolezo na kumpa pole Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Kangi Alphaxard Lugola aliyefiwa na Mkewe Kamishna Msaidizi wa Polisi Mary Lugola.

Kamishna Msaidizi wa Polisi Mary Lugola amefariki dunia jana asubuhi tarehe 01 Januari, 2018 katika hospitali ya Rabinisia iliyopo Jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu na msiba upo Gerezani Railway Club Jijini Dar es Salaam.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasilino ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
02 Januari, 2018

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa kwa Rais Kabila wa DRC kumtaka ajiuzulu

$
0
0
Umoja wa Mataifa umemwambia Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Joseph Kabila kutimiza ahadi aliyoiweka ya kuachia madaraka na kupisha uongozi mwingine kuiongoza nchi hiyo hususani wakati huu ambapo nchi hiyo imejaa migomo na maandamano ya kushinikiza ajiuzulu.

Rais Kabila mwenye miaka 46, ameiongoza DRC kwa miaka 17 na msimu wake wa mwisho wa uongozi uliisha tangu December 31, 2016 na akatakiwa aachie ngazi lakini uchaguzi wa kupata Rais na viongoi wapya umekuwa ukiahirishwa mara kwa mara.

Suala hili limesababisha vurugu na maandamano ya raia wa DRC ambao hata hivyo inaelezwa kuwa wamekuwa wakipigwa na askari polisi jamabo ambalo kwenye taarifa ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa December 31, 2017 imelaani vikali vitendo hivyo hususani Jijini Kinshasa ambapo watu watano waliuawa na polisi siku hiyo vya Jumapili kwenye maandamano.

TRA Wakomaa na Askofu Kakobe.....Wadai Hawana muda wa Kubishana nae Zaidi ya Kuchunguza Utajiri wake

$
0
0
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imemuibukia kivingine, Askofu wa Kanisa la Full Gosper Bible Fellowship (FGBF), Zakaria Kakobe, kuhusu utajiri alionao ikisema haina muda wa kulumbana naye, bali inatekeleza maelekezo ya Kamishna Mkuu.

Aidha, mamlaka hiyo imesema haitaki kuwa kwenye malumbano na askofu huyo wakati ikiendelea na uchunguzi dhidi ya vitega uchumi vyake na kuangalia kama analipa kodi ya serikali.

Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo, jana alisema maofisa wao wanaendelea kutekeleza tamko la Kamishna Mkuu wa TRA, Charles Kichere, la kuchunguza utajiri wa Askofu Kakobe.

"Sisi (TRA) hatutaki kuwa kwenye malumbano na Kakoke, tulichosema tumeishia hapo. Alichosema Kamishna Mkuu tunaishia hapohapo, hatutakiwi kujibishana naye," Kayombo alisema.

Katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Jumamosi, Kichere alisema mamlaka yake imeipokea kwa furaha kauli ya Askofu Kakobe kuhusu utajiri wake na inataka kujiridhisha vyanzo vya utajiri huo.

Kichere alisema TRA inafahamu kuwa shughuli za kidini hazitozwi kodi, lakini inataka kufahamu kama fedha hizo za Askofu Kakobe zinatokana na sadaka pekee.

Alisema wameamua kuchukua uamuzi huo kutokana na kiongozi huyo wa kiroho kutokuwamo katika kumbukumbu za ulipaji kodi za TRA.

Kauli iliyoleta utata na kuibua uchunguzi huo ni ya Askofu Kakobe kukaririwa wiki iliyopita akidai ana fedha nyingi kuliko serikali na anao uwezo wa kumkopesha waziri pindi akiombwa kufanya hivyo.

Hata hivyo, juzi ikiwa ni siku moja baada ya TRA kutangaza kufanya uchunguzi dhidi yake, Askofu Kakobe alieleza historia ya maisha yake, mali za kanisa na zake na misukosuko aliyopitia na kusisitiza kuwa tafsiri iliyofanyika dhidi ya kauli yake kuhusu utajiri ni ya kimwili na siyo ya kiroho. Alidai kauli yake ilimaanisha yeye ni tajiri wa kiroho na si fedha.

Askofu Kakobe aliishauri TRA kutohangaika naye, badala yake ikatafute fedha mahali kwingine akieleza kuwa ana nyumba moja iliyopo Kijitonyama jijini na aliijenga mwaka 1986 kwa gharama ya Sh. milioni mbili ikiwa ni pamoja na gharama za kiwanja.

Huku akishangiliwa na waumini wa kanisa lake kwenye ibada ya kuuaga mwaka 2017, Askofu Kakobe pia alidai kuwa mwaka 1995 alinunua gari aina ya Nissan Patrol kwa kutumia sadaka za washirika wa kanisa na hivi karibuni waliibuka watu waliochangishana na kumnunulia gari jingine.

Alidai kuwa hata kwao Kakonko, Kigoma hajawahi kujenga hata choo na kilichopo ni makaburi ya wazazi wake waliozikwa kwenye eneo la kuingia kwenye nyumba iliyojengwa na wazazi wao.

Askofu Kakobe pia alidai kuwa kanisa la FGBF ndani na nje ya nchi halina mradi wowote wa kiuchumi kama shamba au hoteli na akasisitiza serikali ichunguze kote huko.

Alibainisha kuwa makusanyo yote ya sadaka huhifadhiwa kwenye akaunti iliyofunguliwa mwaka 1990 katika Benki ya NBC na ni mali ya bodi ya wadhamini ambayo imesajiliwa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita).

Use this App to Download any Whatsapp, facebook and Instagram status (videos and images)

$
0
0
Social Grabber - Status Downloader - Is an android Application that you can use to easily download any status from whatsapp, facebook and instagram, you can stream videos and save them to your device.

Download it from Google Playstore


Features:

❖ Whatsapp media player and downloader
❖ Insta photos and story saver
❖ Fbook social media player, viewer and down-loader

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0

Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Viewing all 104793 articles
Browse latest View live




Latest Images