Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Kitale (Mkude Simba) amwagia sifa kedekede Riyama Ally.

$
0
0
Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja maarufu wa kijamii  nchini, mwigizaji wa vichekesho na filamu nchini, Kitale almaarufu kama Mkude Simba amemwamgia sifa kedekede mwigizaji mwigine anayefanya vizuri kwenye upande wa filamu nchini Riyama Ali kama ishara ya kuonesha upendo wake kwa mwanadada huyo.

Huku akiwa ameweka picha ya mwanadada Riyama, Kitale aliandika

"Huyu mdada mm napenda kumuita kambi popote kwa maana ya kwamba achagui scene yy ukimpa scene yoyote ile kwake twende anacheza, ongera kwa hilo kwanza kwa sababu hiyo ndio sifa kubwa ya msanii kiukweli anajua anastahili sifa maana mpaka anakera mh! cjui niseme anaboa..!! ww mdada unajua mpka unaboaaaa"

Diamond Platnumz Amchana Ali Kiba Kupitia Instagram

$
0
0
Kwa Kile Kinachoonekana kuwa kuna Beef kati ya Diamond na Ali Kiba ya Kimuziki , Baada ya Ali Kiba Kuojiwa na Kusema Kuwa hata Kaa Aongee na Diamond..Diamond Ameandika Kwenye Insta Maneno Ambayo yanaonekana ni Jibu lake kwa Ali Kiba:

"Tatizo lako wewe unawaza kushindana na mimi ili nishuke... Wakati mwenzako nawaza kushindana na watu wa Mataifa Mengine ili nilete Sifa na Heshima nchini Kwetu"

Kajala Afunguka Kuhusu Tetesi Kuwa Anatoka Kimapenzi na Mtangazaji wa Clouds FM

$
0
0

Acha bwana! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ ameibuka na kukanusha vikali madai ya kutoka kimalovee na mtangazaji wa Clouds aitwaye Perfect.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita jijini Dar, Kajala alifunguka kwamba madai hayo hayana ukweli wowote na wala hana ukaribu na mtangazaji huyo.

Sina relation (uhusiano) kama huo na Perfect zaidi ya kazi tu,” alisema Kajala huku Perfect akiwa hapatikani hewani kila alipotafutwa.

Ndoa ya Jay Z na Beyonce matatani tena, hiki ni kipya kilichotokea

$
0
0
Drama ya talaka ya Jay Z na Beyonce imeingia hatua mpya kutokana na ripoti kuwa Bey aliwafukuza mashabiki wa kike walioingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo cha mume wake wakati wa ziara yao, On The Run.

Beyonce na Jay Z wanaendelea na ziara hiyo lakini tetesi za uwezekano kwa kuwepo wa talaka yao zimeendelea kushika kasi. Vyanzo vimesema kuwa uchepukaji wa Jay Z umemvunja moyo mkewe na hivyo kuna uwezekano mkubwa wakaachana.

Ripoti mpya kutoka jarida la Star inadai kuwa mashaka kati ya wanandoa hayo ni mengi. Jarida hili limevinukuu vyanzo vilivyosema: Jay alikuwa amezungukwa na wasichana wengi chumbani mwake na Beyonce akawafukuza.” Limesema vyanzo vimedai kuwa wanandoa hao wanatumia vyumba tofauti vya kuvalia japo vipo jirani.

Kuna tetesi kuwa Jay Z amewahi kuwa na uhusiano na Rihanna, Rita Ora na kwamba amekuwa na uhusiano wa kimapenzi wa muda mrefu na muimbaji wa R&B, Mya ambaye hata hivyo amekanusha.

Kutokana na ripoti za mumewe kumsaliti, inadaiwa kuwa Beyonce anafikiria kutaka pewa talaka yake.

“She’s heard all the rumors about Jay fooling around, and she can’t take it anymore. The romance is over. He was toasting champagne with the crew and friends and some women who were brought back stage. Beyonce seethed when she saw a busty blonde nuzzling into Jay’s chest and him whispering something into her ear,” limeandika jarida la Star.

Wema Sepetu:Diamond Platnumz Amenivalisha Pete ya Ndoa, Tukio Lafanyika Kwa Siri

$
0
0
SAPRAIZ! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu (25) ameibua viulizo baada ya kuonekana akirandaranda na pete ya ndoa kidoleni ikidaiwa kuwa amevalishwa na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwa siri kubwa, Ijumaa Wikienda lina stori exclusive.

Baada ya kuwepo kwa habari nyingi kuhusiana na ishu hiyo, Ijumaa Wikienda liliingia mzigoni kusaka ukweli wa ishu hiyo na kujua mbivu na mbichi.
Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa mkali huyo wa sinema za Kibongo, hata mashosti zake hawajui kinachoendelea zaidi ya kuulizana wao kwa wao kuhusu nini kinaendelea huku kukiwa na hisia kuwa huenda wawili hao wamefunga ndoa ya siri

HAJAFUNGA NDOA LAKINI…
Wema alisema si kweli kwamba amefunga ndoa ya siri ila Diamond alimvisha pete hiyo kama urembo akijua kabisa kwamba yeye ni wife material (anafaa kuwa mke).
“Sijafunga ndoa jamani. Hii pete alininunulia baby wangu Nasibu (Diamond) wakati tukiwa South Africa (Afrika Kusini).

WEMA AIONA PETE, YAMVUTIA
“Alininunulia na kunivisha tulipokwenda kwenye Tuzo za MTV Africa (MAMA). Nakumbuka tuliingia kwenye duka moja nikaiona hii pete ikanivutia sana, nikamwambia Nasibu ndipo akaninunulia na kunivisha palepale.

“Cha kushangaza ni kwamba imewatatiza wengi na kuhisi ndoa tayari.
“Hii pete ndogo niliinunua mwenyewe  hapahapa Bongo na kuivaa kama urembo tu, hakuna tofauti na hilo kuhusiana na hizi pete nilizovaa kidole husika,” alisema Wema ambaye kidoleni kwake kunaonekana pete mbili, kubwa na ndogo.

WEMA NI WIFE MATERIAL?
Alipoulizwa kwa nini Diamond aliamua kumvisha pete hiyo kabla ya ndoa, Wema alifunguka: “(kicheko) hilo sina uhakika nalo but amegundua mimi ni wife material hataki kunipoteza. Kanipa heshima anayostahili kupewa mwanamke...”

Riyama Ally Afunguka Asema Mchumba Anaye Lakini.....

$
0
0
Stori: Jamila Said
STAA aliyeitendea haki sinema ya Kigodoro, Riyama Ally amesema licha ya kuwa ana mchumba lakini hayupo tayari kuolewa kwa sasa.

Akizungumza na mwanahabari wetu, Riyama alisema hahitaji kuolewa kwa sasa kutokana na kushuhudia ndoa nyingi za mastaa zikivunjika, hivyo anahitaji muda mwingi wa kufikiria juu ya mtu wa kuingia naye kwenye ndoa.

“Nitaolewa baada ya moyo wangu kuwa tayari kwani ndoa si jambo la kukurupuka, lazima uwe na mtu sahihi,” alisema Riyama.  
GPL

Watu Wengine 4 Wauawa Mombasa Kwa Risasi

$
0
0
Watu wenye bunduki waliokuwa kwenye pikipiki wamewaua takriban watu wanne katika mji ulioko pwani ya Kenya Mombasa.
Polisi inasema watu hao walikuwa wakifyatua ovyo risasi kwa wapita njia.
Mji huo wa Bandari umeshuhudia ghasia katika miezi ya hivi karibuni huku kukiwepo mashambulio ya mabomu na ufyetuaji wa risasi ambayo wanamgambo wa alshabaab kutoka Somalia wanatuhumiwa kuyatekeleza.

Sugu 'Nitaendelea Kupigana Bungeni Kama CCM itaendelea Kunisakama Nikiwakilisha Matatizo ya Watanzania'

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi maarufu kama 'SUGU' amesema ataendelea kupiga mtu ngumi bungeni kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitaendelea kumsakama wakati akiwakilisha matatizo ya Watanzania ili yapatiwe ufumbuzi.

Ommy Dimpoz Aingilia Ugomvi wa Diamond na Ali Kiba

$
0
0
Kwa Kile Kinachoonekana kuwa kuna Beef kati ya Diamond na Ali Kiba ya Kimuziki , Baada ya Ali Kiba Kuojiwa na Kusema Kuwa hata Kaa Aongee na Diamond..Diamond Ameandika Kwenye Insta Maneno Ambayo yanaonekana ni Jibu lake kwa Ali Kiba, Mchana huu tena Ommy dimpoz amepost Picha hizo apo chini na Kuandika (Siku Mashabiki wa Ali Kiba na Diamond) akiashiria kuingila Ugomvi ama Bifu linaloendelea kati ya mahasimu hawa wawili,. Sasa swali ni je Ugomvi huu Ommy unamhusu vipi au ndio kuchochea ugomvi badala ya Kuhusuluisha... Wacha Movie Iendeleeeee
Ommy Amemaanisha kuwa hapo ndio itakavyokuwa siku mashabiki wa Diamond na Ali Kiba watakapokutana 

Maiti na Viungo vya Binadamu Vyakamatwa Kwenye Mifuko ya Rambo Maeneo ya Bunju-Picha

$
0
0

Mpaka tunaondoka eneo la Tukio Miili ilikuwa imechukuliwa na Jeshi la Polisi kwa Uchunguzi zaidi, Taarifa kamili italetwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar es salaam.


Endelea kufuatilia hapa. 

Kanye na Kim K watumia zaidi ya milioni 830 kukodi mtoto anaefanana na North West

$
0
0
Familia ya Kanye West na Kim Kardashian imeripotiwa kutumia $500,000 (zaidi ya milioni 830 za Tanzania) kumkodi mtoto mwenye mwili unafanana na mtoto wao North West (body double) kwa lengo la kuwakwepa wapiga picha.

Kwa mujibu wa jarida la Grazia la Uingereza, wanandoa hao wamewafanyia usaili watoto kadhaa huko Los Angeles na wameweza kumpata mtoto mmoja anaefanana na North West.

“There were auditions held in LA at a specialist agency and in the end they found a child who is the spitting image of their daughter.” Chanzo kililiambia jarida la Grazia.

Imeelezwa kuwa wamepanga kumpata mtu anaefanana mwili na mlezi wa mtoto huyo pia ili waweze kumlinda mtoto wao mwenye umri wa miezi 13 dhidi ya  lens za kamera za Paparazzi.

Beyonce awatimua warembo walioingia kwenye chumba cha Jay Z, awaita 'mende'

$
0
0
Mambo bado magumu kwa ndoa ya Jay Z na Beyonce na tetesi za uchepukaji wa Jay Z zinazoripotiwa zinazidi kumfanya Beyonce awachukie warembo wote wanaomsogelea mumewe huyo anaedaiwa kuwa na kisu kikali mbele yao.

Kwa mujibu wa jarida la Star, chanzo kilicho katika tour yao ‘On The Run’ kimeeleza kuwa Beyonce aligeuka mbogo na kuwatimua kwa hasira warembo walioingia kwenye chumba cha Jay Z cha kubadilishia nguo backstage.

Chanzo hicho kimeeleza kuwa Beyonce alitumia maneno makali kwa kuwaita mende wanaotakiwa kuuawa na dawa ya kuua wadudu.

“Jay had all these women in his room, and Beyonce ordered everyone out. She called the women cockroaches and said they need to be fumigated. She gave death stares to every person as they filed out one by one.”

Inaelezwa kuwa Jay Z na Beyonce wanavyumba tofauti vya kubadilishia nguo baada ya show ingawa viko karibu (vinafuatana).

Mtoto mwenye umri wa miezi saba amelawitiwa na baba yake mzazi.

$
0
0
Mtoto huyo alifikishwa Hospitali ya Amana katikati ya wiki iliyopita kwa maelezo kuwa ana maradhi ya kuharisha, lakini baada ya madaktari kumfanyia uchunguzi walibaini kuwa mtoto hakuwa na ugonjwa wa kuhara, bali alikuwa amelawitiwa.

Muuguzi wa hospitali hiyo ambaye hakupenda jina lake litajwe, alisema walimpokea mtoto huyo kwa maelezo kuwa anaharisha. Lakini walipoona tatizo lake ni kubwa, waliwasiliana na daktari wa magonjwa ya watoto, Dk Omar Maiza ili kumfanyia uchunguzi zaidi.

Alisema baada ya daktari huyo kumchunguza kwa mara ya kwanza, ilionekana kuwa mtoto huyo alikuwa amelawitiwa zaidi ya mara moja. “Ilitushtua kuona mtoto akiingiziwa vidole sehemu ya haja kubwa na vikiingia bila shida. Huu ni ukatili mkubwa kwa watoto,” alibainisha muuguzi huyo.

Dk Maiza alithibitisha kuwepo kwa tukio hilo hospitalini kwake, lakini akasema taarifa zaidi atazitoa leo.

Mama wa mtoto huyo alifariki dunia mwezi mmoja tu baada ya kujifungua watoto pacha.

Hata hivyo, pacha mmoja wa kiume naye alifariki muda mfupi baadaye kwa maradhi kama hayo ya kuharisha.

Baada ya mama wa pacha hao kufariki, ilibidi baba wa watoto hao kutafuta mfanyakazi wa kushinda nao wakati yeye akiwa kazini.

Akizungumza na Mwandishi jana, mlezi wa mtoto aliyefanyiwa ukatili huo, Saada Ismail alisema waliamua kumpeleka mtoto huyo hospitali baada ya kuona anaharisha kuliko kawaida.
Alisema siku zilizopita alikuwa vizuri na yeye ndiye aliyekuwa akimbadilisha nguo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Mary Nzuki alisema hakuwa na taarifa za tukio hilo.

Shinda milioni moja cash kutoka kwa Diamond kwa kufanya hivi

$
0
0
Haya ni maneno ya Diamond akitangaza kitu ambacho ukikifanya unaweza kujishindia milioni moja cash. Soma hapa na kama lipo ndani ya uwezo wako fanya ujishindia pesa kutoka kwa Diamond.

Ali Kiba Aamka Kutoka Katika Usingizi Mzito ..Umemiss kazi za Ali Kiba?…Basi Hii inakuhusu.

$
0
0
Kama umemiss kuhusu kazi za Ali Kiba basi hii post inakuhusu. Ali Kiba baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu ahatimaye ametangaza kutoa wimbo mpya tarehe 25/7 ambapo zimebaki siku 3 kuanzia leo tarehe 22/7. Je Unahisi Itakuwa Kali Kushinda zile alizotoa Diamond Siku kadhaa?


Msichana wa Kitanzania Aliye Pelekwa China na Kufanyishwa Kazi ya Umalaya Ahojiwa na Interpol Masaa 11

$
0
0
Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol), Tawi la Tanzania, limemhoji kwa saa kumi na moja binti aliyerubuniwa na kupelekwa China ambako kwa miezi mitatu alikuwa akitumikishwa kwenye madanguro nchini humo.

Siku chache zilizopita, gazeti hili liliandika mfululizo, makala kuhusu msichana Munira Mathias, (si jina lake halisi) aliyetumikishwa kwenye madanguro nchini China, baada ya kurubuniwa kwamba alikuwa akipelekwa kufanya kazi kwenye hoteli kubwa.

Munira alisema baada ya taarifa zake kuandikwa na gazeti hili Interpol walimtaka afike ofisini kwao kwa mahojiano. Mara ya kwanza alihojiwa kwa saa saba na aliitwa tena mara ya pili na kuhojiwa kwa saa tatu na nusu.

“Walinihoji jinsi safari yangu ilivyokuwa na namna ambavyo wale wanawake waliotuchukua kutoka hapa (Tanzania) hadi China na walivyosuka mipango ya kunisafirisha,” alisema.

Alisema: “Walikuwa wanataka kuendelea kufahamu kwa kina jinsi nilivyosafirishwa na walionisafirisha, hata hivyo nimewapa ushirikiano wa kutosha.”

Mkuu wa Interpol Tawi la Tanzania, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Gustav Babile alikiri ofisi yake kumhoji Munira na kwamba lengo ni kufahamu kwa undani jinsi Watanzania wanavyotumikishwa kwenye madanguro hayo, pamoja na kujua jinsi biashara ya binadamu kati ya China na Tanzania inavyofanyika.

“Nia ilikuwa ni kujua namna wasichana wanavyotolewa hapa na kupelekwa huko, lakini kikubwa ni kufanya kazi yetu kukomesha biashara hiyo kimataifa,” alisema Babile.

Alisema siyo mara ya kwanza kwa Interpol kufanya jitihada za kukomesha biashara ya binadamu na kwamba hatua zimekuwa zikichukuliwa kila mara na siyo kwa Watanzania pekee, bali hata raia wa kigeni wanaokuja nchini.

“Tunafanya hii operesheni mara kwa mara. Kwa mfano, waliwahi kuletwa wanawake kutoka Nepal, walipofika hapa hati zao za kusafiria zikafichwa na wale wanaowatumikisha na wakaanza kufanya biashara ya ukahaba na baadaye kuwalipa wale waliowaleta,”alisema Babile.

Alisema kitengo hicho kimewahi kuwarudisha wanawake kutoka China waliofika hapa nchini kwa nia ya kufanya biashara ya ukahaba.

Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Lucy Ngonyani ambaye ndiye aliyemhoji Munira alisema wanaendelea kufanya uchunguzi wa kina kuhusu tukio la binti huyo kupelekwa China na matukio mengine yenye uhusiano au kufanana na hilo.

Picha za Utupu za Irene Uwoya Zilizosambaa Instagram leo Hii

$
0
0
Leo kupitia page yake ya INSTAGRAM mwanadada IRENE UWOYA ametupia picha za hatari akiwa hana nguo ya juu yaani TopLess na kuandiaka" Unajua dada we nimke wamtuuu usifanye hvyooo...we ndoulinifungisha ndoa?mbona mna vimbelembele wabingo!plzzzz mind ur busness....tenaaaa ....ohohoooo "

Alex Massawe Awatoroka Polisi, Ala Kona Dubai

$
0
0
UONGOZZI mpya wa Jeshi la Polisi Tanzania chini ya IGP Ernest Mangu umesema unafuatilia kwa karibu nyendo za mfanyabiashara, Alex Massawe ili akamatwe na kumrejesha Bongo kukabiliana na kesi ya mauaji inayomkabili yeye na mfanyabishara mwingine, Marijani Abubakar Msofe ‘Papa Msofe’.

Taarifa kutoka vyanzo vyetu ndani ya jeshi hilo zinadai kwamba, viongozi wa juu wa polisi walisema Massawe alifuatiliwa kwa karibu na Jeshi la Polisi la Kimataifa (Interpol) akiwa Dubai lakini alipogundua yuko mtegoni alitoroka na kwenda Afrika Kusini ambako anaishi hadi sasa.

Chanzo kikasema kuwa, IGP Mangu amesema haoni sababu ya mfanyabiashara huyo kukamatwa na kuletwa nchini kuwe ni hadithi ya muda mrefu wakati uwezo wa kumnasa upo.
Massawe anakabiliwa na kesi ya mauaji ya mfanyabiashara Onesphory Kituly ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi, Novemba 6, 2011 nyumbani kwake Magomeni jijini Dar es Salaam.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar ilitoa hati ya kukamatwa na kurejeshwa nchini kwa Massawe ili kukabiliana na kesi mbili ikiwemo ya kughushi nyaraka mbalimbali.

Massawe anakabiliwa na kesi hiyo ya mauaji namba 150/2013 ambapo mtuhumiwa wa kwanza Papaa Msofe na mwenzake Makongoro Joseph Nyerere wapo Gereza la Keko, Dar wakisubiri kesi hiyo.
Uwazi mwishoni mwa wiki iliyopita lilimtafuta IGP Mangu kwa njia ya simu ili kuzungumzia suala hili ambapo alisema Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Tanzania (DCI)  anaweza kusema yote.

Uwazi likamtafuta DCI Isaya Mngulu ofisini kwake, Dar na alipoulizwa juu ya suala hilo alisema ofisi yake kwa kushirikiana na Interpol linamsaka kwa udi na uvumba mtuhumiwa huyo.
“Ni kweli tunamtafuta Massawe, naamini  tutamkamata muda si mrefu na kurejeshwa nchini kukabiliana na kesi yake.

“Kuna baadhi ya vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti kuwa amewahi kukamatwa Dubai, hiyo si kweli. Inasemekana alikuwa huko na aliposikia anatafutwa akakimbilia Afrika Kusini, tutamkamata tu,” alisema DCI Mngulu. 
GPL

Kusitishwa Matangazo Kipindi cha XXL Cha Clouds FM na TCRA

$
0
0

Mamlaka ya Mawasiliani Tanzania (TCRA) imesitisha matangazo ya kipindi

cha XXL kinachorushwa na CLOUDS FM ,kupisha uchuguzi wa tuhuma za ukiukwaji

wa kanuni za utangazaji zilizofanywa na watangazaji wake B12, Fetty na Mchomvu.

Kujua kilichotoke hadi TCRA kusitisha matangazo ya kipindi cha XXL kinachorushwa hewani la Clouds FM

Urais 2015: January Makamba Moto wa Kuotea Mbali

$
0
0
Ni kijana, Mzalendo, ana Uwezo, Muadilifu, ana malengo. 

sikuwa nikiyajua haya. hebu soma mwenyewe ujionee. Nimependezwa sana na namna alivyoweza kujielezea humu. 

5 Years at State House 

The campaign itself was one of hope. The theme was Continuity and Change - and doing things with “New Vigor, New Zeal and New Speed” to bring “Better Life to all Tanzanians”.
The candidate was fresh, and articulate. The message was clear. And the final tally was a resounding 80 percent victory for our candidate. The President was sworn in, and less than a month later I was appointed one of his aides, dealing with speechwriting. My formal title was Personal Assistant to the President – Special Duties (PAP-SD). I was the youngest back then of all the aides. The position, in government civil service ranks, was quite senior. It was a high pressure, long hours, and emotionally draining post.

Working at the State House is like living in a glass bowl – everyone peeking from the outside trying to figure out how you got there, how much influence you have on the President etc. You can bet that your phones are being tapped, your emails are intercepted and you are a subject of reports on your whereabouts, dealings, remarks and relationships. I survived because of the trust and confidence of the President himself – and the commitment I put into my work, as my work spoke for itself as speeches were a daily occasion. 


The magnitude of the office and responsibilities required me to remind myself to remain humble everyday. As you travel with the President; as you have access to him at all times; as you can call any office and get all the information you need; and as you are driven to and from the office; and have people serving you tea and food at the office, if one is not careful, the arrogance of the office may get to your head. If you are not careful, you may regard anyone who is calling you as having a problem or a favour to ask. I forbade my secretary at State House (Mrs. Aziza Bukuku) to call me “Boss” (as is supposedly customary) as I thought it sounded awkward and demeaning to her. She insisted, and later we made it a joke. 


The five years at State House were quite a journey. 
Presidential aides attend cabinet meetings as observers. In fact, we are sworn in during the very first cabinet meeting we attend. I recall the nervousness I had when all the Ministers were seated and looking as the President presided over my oath before proceeding with the cabinet meeting. It is a very special feeling and indeed an honour. 

As I attended the cabinet meetings, and communicated with people throughout the government, as I travelled with the President in almost all the regions (again) and overseas, I learnt a lot about how government is run, the nuances of high-level diplomacy, dilemmas and choices in policymaking, the difficulties in executing big government programs, and why progress can be difficult in some areas. More importantly, the office gives you the confidence to interact with the wider community with authority of knowledge and experience. You are taken seriously and you are respected. You are listened to, and therefore rest, to impress or to disappoint, is up to you. The only problem is that, once you disappoint you let down the President because it reflects on his ability to choose the right people. I made a lot of acquaintances in the diplomatic community and political circles, and friendships were forged later on beyond work relations. 


As a presidential aide, I was also responsible for sitting in and taking notes when the President meets with dignitaries. As a result, I had the fortune of meeting and listening to some of the great personalities in global politics and business having conversation with my boss. I met, shook hands and sat in meetings with George W. Bush in the White House in Washington DC (after a meeting with my boss at the Oval Office, he hosted lunch for 8 members of our delegation at the White House in August 2008. I remember vividly this rainy day in the White House because it was the day when John McCain announced Sarah Palin as his running mate (and all TV sets in White House lobbies were tuned to Fox News, and the press was not allowed to ask questions after the meeting because President Bush didn’t want to answer questions about Palin mainly because he did not even know her. He was charming throughout lunch, and afterwards, he gave us a tour of the White House); Muammar Gaddafi (met my boss on AU issues several times, and every time there was a surprise – sometimes I would skip notes just amazed by his stories and theories); Shinzo Abe (a pleasant Japanese Prime Minister); Robert Mugabe; Morgan Tsvangirai; Tendai Biti (a sharp guy); Bill Gates (came to the President’s hotel in New York City to talk about his Foundation’s work); Mwai Kibaki; Yoweri Museveni; Paul Kagame (in New York also, came to talk about the Isaka-Kigali railway with people bearing a big map); Uhuru Kenyatta (in Dar es Salaam, as leader of PNU delegation during post-election violence in Kenya); Bill Clinton (a couple of times, last time at Kirchner Museum in Davos, Switzerland in January, 2010; I consider some of his aides my friends); Raila Odinga (this one I met without the President, I had breakfast with him at his house on Christmas of 2007, two days before the election); King Abdullah of Saudi Arabia (we had the honour to have dinner at his palace in Riyadh, a magnificent place); Romano Prodi (a very intelligent chap); Jacob Zuma; Jeffrey Sachs; Bono, the rockstar (in New York, another intelligent chap); Gordon Brown; Ban Ki-Moon (at the 38th floor of UN HQ, a very pleasant man); Inacio Lula Da Silva (in New York, at UNGA Hall meeting booth, a cheery and confident leader); Thabo Mbeki (a mentor and friend - emailing). In his very first visit to the United States in 2006, the President was invited for lunch at the Senate Dining Room by five Senators (Dick Durbin, Russ Feingold, Barack Obama, Richard Lugar and Thad Cochran, who hosted the lunch). The President was asked to bring two people for lunch. He brought me (as a note taker) and Hon. John Cheyo (MP for Bariadi, who was part of our delegation). Barack Obama, as the most junior Senator then met us at the steps outside and ushered us to the dining room. One interesting thing about the lunch meeting was that Obama was mostly quiet, just listening. And whenever he spoke, he asked questions. Feingold mostly talked about Zanzibar. Lugar asked about Chinese influence in Africa. The list is really long and impressive. I also met and interacted with a number of diplomats and business leaders in World Economic Forum meetings and other conferences and here in Dar es Salaam. 


Now, these details would seem irrelevant and sort of bragging, but for me they add to the sum of what I know about the world, and therefore who I am. It is part of my story. At the end of the day, what makes a person is the sum of his values and beliefs and life experiences. When I was a kid in the village, on weekends when I did not go to school, my grandmother would leave me to attend the pub for patrons who wanted to have an early start. The regular customers on those days were former hardcore criminals who were in a rehabilitation program at a halfway prison camp in Kitengule/Mwisa village near our village, who were allowed to leave camp on weekends. So, there will be me, 9 or 10 years old, and some criminals – me serving them alcohol and them telling me stories. I would be fascinated by the stories of their exploits. Yet, this was a very dangerous exposure for a young child. But I made it. I made it to be able to share a lunch table with George W. Bush at the White House as he recounted his recent trip to the Olympics in China; as he talked about malaria in Africa; as he did a small talk with his fellow President. Sometimes, in these meetings, I would reflect on where I had come from and I get swept by the vastness of the journey I have taken. I conclude that nothing can pull me down, and that anything more than what I have now, and where I have reached, is simply a blessing and not a necessity to complete me. 


At State House, I learnt a great deal beyond my field of study. I can confidently say that I self-taught graduate level Development Economics as I delved into textbooks I bought through Amazon.com and other publications on topical issues and journals that I subscribed. I continued to read about politics and philosophy, my first love. In travelling overseas, I used every occasion to learn about the history and the politics of places we visited. When we visited Cairo, Rome, Istanbul, and Jordan I stole some time to visit the remarkable monuments of three great monotheist religions – Islam, Judaism and Christianity - and learnt about the rise and fall of two great empires – Roman and Ottoman. In Rome I visited the Colosseum, The Panthenon, The Roman Forum, and learnt about statecraft. In Cairo, I took a crash course on Egyptology. 


As a result of all this, I left State House enriched with deep knowledge on many issues and countless lifelong lessons. I will always be grateful to the President for this exposure and for giving me a front seat view to history. 


Moving On 



Any story has to be wound up. I end with a new beginning - my new career in elective politics. After five years as Assistant to the President, and with all the experiences I already mentioned, I thought it was time that I moved on, and part with the comfort and prestige of working at the State House. I would step out of the shadow and seek direct mandate from the people of Bumbuli, my ancestral land, so that I can represent and speak for them in the Parliament - and also work with them to advance the development of our region. The campaign for my election was inspirational to me, as throngs of people – young and old, men and women – trusted my word that I will serve them diligently and with all my abilities. I go on with tremendous hope and optimism – and indeed bolstered by the trust and confidence that my people have reposed in me. We are going to attempt some bold ideas for the development of Bumbuli as nothing less is required. And perhaps we can write a new history. 


Final Thoughts




This is my story. I left a lot of detail because this is not an autobiography and more – particularly about my own campaign and five years at State House – is yet to be written. The story is a portrait of events and experiences that have made me who I am today. Everyone has their own story and I know that others may have more captivating stories than this one. In general, I have been successful – in raising a good family, with two beautiful children but also getting all this exposure and experience. But, I have been lucky that I was spotted and given an opportunity to prove that I am indeed worthy of big responsibilities. Other young people, perhaps more competent than I am, have not been spotted yet. I have therefore made a point of advancing young talented people in positions of public service. I won’t mention names but I am proud that there are more opportunities for young people now to serve their country and society. 


I will finish by admitting that my last name has helped me because of the ready-made network of willing helpers. But also it has placed undue burden and responsibilities, including inheriting enemies who we haven’t even crossed paths. I also had to work twice as hard to prove that I am my own person, and my successes are borne out of my own efforts. I saw my family fortunes go up and go very down – one of the lowest points was when both my parents were unemployed and we lived with relatives in Korogwe while father tried-out timber business. It is rare to get an opportunity to tell my story which indicates a humble background – internal displacement, growing up with jiggers and stomach worms, raised under a leaking roof. I grew up with value of fierce independence, concern for others and being true to one’s self. I hope to bring these values into my political career.


January Makamba.

SOURCE :- WEBSATE YA JANUARY MAKAMBA - January Makamba.com
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>