Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Ukiwa na Demu Chumbani au Geto Alafu Akakwambia Maneno Haya Usipoelewa Basi Wewe ni Boya

$
0
0


1. Unapokuwa umetembelewa na mwanamke/msichana chumbani kwako kisha anakuambia funga pazia chumba kiwe giza sipendelei mwanga, unafanya hivyo kisha unakuwa kama zimwi ujauelewa ujumbe wake hapo. My broad wewe ni bonafide dumb

2. Pindi akikuambia anajisikia baridi kisha unazima AC unawasha fan. My broad wewe ni bigwa wa kutoelewa ujumbe.

3. Pindi mkiwa mnatazama movie nzuri kisha anakuambia ainjoy then unamuambia muangalie movie nyingine anakuambia HAPANA… kama utakuwa bado ujampata ujumbe wake wewe ni boya katila level ya Master’s

4. Kama atakuambia ataondoka muda siyo mrefu akawa anakukumbusha kila baada ya dakika kadhaa kupita ukawa ujaelewa ujumbe wake. Wewe ni boya katika level ya PHD

Overconfidence kwa Msichana itakufanya Usiolewe

$
0
0

Ukipenda kuongea na watu, kwa kweli utapata mengi sana na utaongeza maarifa.

Huu ni ukweli nilioufanyia mahojiano na wanaume mbali mbali ambao hawajaoa.

Wanadai ya kwamba msichana anayejiamini sana kupita kiasi ana safasi ndogo sana ya kuolewa. Kwa sababu wanaume waliowengi hujisikia wanyoge sana kwenye ndoa, wanawake wanapokuwa wao ni kama watawala katika familia na wenye maamuzi(tena wanawake kama hao wanakiburi sana, kutokana na kujiamini kwao.)

Wanaume walioa wanawake wanaojiamini kupita kiasi, wanadharaulika sana mbele ya jamii.

Wasichana kazi kwenu mnaotaka kuolewa.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni Dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?

Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya January 14

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya January 14

EXCLUSIVE: Dalali Mwingine Amuumbua Diamond, Asema Diamond Kapangisha Hajanunua Mjengo

$
0
0
Baada ya Dalali wa kwanza kusema Diamond Platnumz amenunua mjengo mpya aliopost tena kwa Tsh. Bilioni Moja, Dalali mwingine ameibuka na kuzungumza ukweli na kusema Diamond hajanunua bali amepangisha kwani yeye ndo mtu wa kwanza kuutangaza mjengo ule kwa ajili ya kupangisha.

Dalali huyo ambaye jina lake maarufu anaitwa Dalali Kiongozi amesema kuwa nyumba hiyo ilikuwa inapangishwa na hata Dalali Skoba wakati anamleta Diamond tayari alikuwa kashaulizwa yeye kwani yeye ndiye alikuwa anaujua huo mjengo na kuongezea kuwa mjengo huo awali ulikuwa unapangishwa kwa millioni 3 kwa mwaka..

Bonyeza PLAY kumsikia akielezea kila kitu..


AZAM FC Wachukua Kombe la Mapinduzi....Waichapa URA ya Uganda

$
0
0
Mabingwa watetezi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi Azam FC Usiku wa January 13 2017 walikuwa Zanzibar katika uwanja wa Amaan kutetea taji lao la Mapinduzi Cup kwa kucheza dhidi ya URA ya Uganda.

Azam FC wakiongozwa na kocha wao Cioba wamefanikiwa kutetea taji hilo, licha ya kuwa mchezo ulikuwa mgumu na dakika 90 kumalizika kwa sare tasa.

Majibu ya kuamua kati ya Azam FC na URA nani atakuwa Bingwa wa Kombe la Mapinduzi 2018, yalijulikana baada ya dakika 120 kumalizika ndio mikwaju ya penati ikaipa Azam FC ushindi kwa penati 4-3, Azam FC sasa wanafanikiwa kutetea taji lao walilotwaa 2017 kwa kuifunga Simba goli 1-0.

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Watu 40 Watuhumiwa Kuuwa Watu Wawili

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoa wa Mara linawashikilia watu zaidi ya  40, wakazi wa Kijiji cha Mikomariro wilayani Bunda kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili sababu ikitajwa kuwa ni mgogoro wa mpaka wa shamba.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Jafari Mohamed amethibitisha kukamatwa kwa watu hao huku akiongeza kuwa Jeshi lake bado linawasaka watu wengine waliohusika na tukio la mauaji ya watu wawili wakazi wa Kijiji cha Remng'orori wilayani Serengeti.

Aidha kamanda Jafari amebainisha kuwa waliokamatwa ni wale walioshiriki yowe iliyosababisha mauaji ya watu wawili kwa kuwakata kwa mapanga kwa sababu ya ugomvi wa mipaka ya mashamba.

Amesema kuwa chanzo cha mgogoro huo ni mpaka wa wilaya za Bunda, Serengeti na Butiama ambao unahusisha eneo la ekari 3,535 ambapo Wegesa Gikene na Nyamhanga Gembo wakazi wa Kijiji cha Remng'orori waliuawa kwa kukatwa na mapanga wakati wakiwa shambani.

Waziri Mkuu Atoa Maagizo Mazito Wizara ya Nishati

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Nishati ijiridhishe na ubora wa vifaa vinavyotumiwa na wakandarasi katika miradi ya umeme.

Pia iwasimamie wakandarasi hao kwa ukaribu ili kuhakikisha thamani ya miradi inayotekelezwa inalingana na kiasi cha fedha wanacholipwa wakandarasi hao.

Ametoa kauli hiyo jana  (Jumamosi, Januari 13, 2018) wakati akizungumza katika kikao cha maendeleo ya usambazaji umeme kilichofanyika , Ofisini kwake, Dodoma.

Waziri Mkuu alisema wakati huu ambao Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wakiendelea na miradi ya usambazaji umeme, ni vema wizara hiyo ikajiridhisha na ubora wa vifaa.

“Wasimamieni wakandarasi kikamilifu na kama hamjaridhishwa na kazi wanayofanya msisite kuwachukulia hatua, tunataka  wananchi wapate umeme.”

Alisema Rais Dkt. John Magufuli amedhamilia kuona umeme unasambazwa kwenye vijiji vyote nchini kwa lengo la kuboresha maendeleo ya wananchi.

Hivyo, Waziri Mkuu amesisiza kwamba ni lazima wakandarasi waliopewa jukumu hilo wasimamiwe kikamilifu ili mradi hiyo iweze kuwa na ubora unaostahili.

Kwa upande wake Waziri wa Nishati, Dkt.  Medard Kalemani amesema tayari wakandarasi wanaotekeleza mradi wa REA namba tatu wameshaanza kazi.

Amesema kwa wakandarasi ambao bado hawajaanza wamekubaliana kwamba wataanza wakati wowote na wa mwisho ataanza Machi 2, 2018.

Dkt. Kalemani amesema wizara yake itahakikisha miradi yote ya kusambaza umeme inasimamiwa kikamilifu na inakamilika kwa wakati na katika ubora unaostahili.

Kikao hicho kilihudhuliwa na Waziri wa Nishati Dkt.Kalemani, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji, Naibu Waziri wa Nishati Bibi Subira Mgalu, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bibi Maimuna Tarishi.

Wengine ni pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mwenyekiti wa Bodi ya REA, Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO, Mtendaji Mkuu wa REA, Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Kamishna Msaidizi-Bajeti.

Yafahamu Madhara ya Kiafya ya Kulala Kupita Kiasi

$
0
0
Harakati za maisha na shughuli za hapa na pale za binadamu huwafanya wengi kushindwa kupumzika na matokeo yake kutumia usingizi kama sehemu ya mapumziko.

Utafiti uliofanyika hivi karibuni nchini Korea unaonyesha kuwa, binadamu anaweza kupata madhara makubwa kiafya endapo atalala kupita kiasi.

Kwa Mujibu wa Daktari Evan Rosenbuth, ripoti ya utafiti huo inaainisha madhara hayo kuwa ni pamoja na kuleta hitilafu kwenye utandaji kazi wa ubongo, hivyo mhusika kuchukua muda mrefu katika kufikiri tofauti na mtu anayelaal kwa wastani.

“Utafiti  huo unakwenda mbali zaidi na kueleza kuwa, kulala kupita kiasi kunaweza kumsababisha mhusika kupata aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari na vilevile kusababisha matatizo ya moyo,” aliseama Dk Rosenbluh.

Kutana na Mtabibu Wanyota Duniani Kote Maalim Fadhili Rashid Kutoka COMORO Kwa Sasa Yupo Tanzania

$
0
0
KUTANA NA MTABIBIBU WANYOTA DUNIANIKOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE ANADAWA ZA KI COMRO DAWAZAKE HABAHATISHI MUONE HARAKA AKUSAIDIE TEZI NAUVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABI MALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA MALI BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI ZAMAJINI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZAKIUME PIA ANAYO DAWA YAKUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NAUMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO
WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWAHARAKA KUZUIYA CHUMAULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI KARIBUNI WOTE TIBA NIKWADINI ZOTE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO DUNIANI

CALLING +255719362806/

WHATSAPP CALLING +255785786436/

Sasha Kassim Alilia Picha za Nusu Utupu Mitandaoni

$
0
0
MUUZA nyago machachari Bongo, Sasha Kassim amesema kitendo cha Naibu Waziri wa Habari Sanaa na Michezo, Juliana Shonza kulivalia njuga suala la picha za utupu mtandaoni linamtesa mno kisaikolojia hadi kufikia hatua ya kulia kwani picha hizo zimembadilisha kimaisha.

Akizungumza na Mikito Nusunusu, Sasha alisema kuwa jambo hilo limemuumiza mno kwani moja ya sababu inayomtesa na kumuathiri kisaikolojia ni kwamba, picha hizo zimempa madili mengi ya kumuingizia pesa ikiwemo matangazo ya biashara.

“Naumia mno, picha nilizokuwa napiga kwanza ni starehe yangu, lakini pia zimebadilisha maisha yangu kutokana na dili mbalimbali nilizokuwa napata, zimenipa dili za kazi, zikanipa mchumba na pia zimenipa umaarufu mtandaoni na kwenye jamii kwa kiasi chake, hata hivyo siwezi kushindana na serikali nitapunguza kidogo, vinginevyo nitayumba kimaisha,” alisema.

Walichofanyiwa H&M Afrika Kusini baada ya ubaguzi wa rangi

$
0
0
Siku chache zilizopita katika mitandao ya kijamii story ambayo ilichukua headlines ni kuhusu mtoto wa kiume mwenye asili ya Africa (model) kutokea Kenya kufanyiwa kitendo cha ubaguzi wa rangi na kampuni ya nguo ya H&M ambapo mtoto huyo alivalishwa nguo yenye maneno “mimi ni nyani mtulivu msituni”

VIDEO:

Source: Millard

Mambo Matatu Magumu ya Edward Lowassa

$
0
0
By Ibrahim Yamola,
Dar es Salaam. Edward Lowassa aliyewahi kuelezewa na Tundu Lissu kama “tembo wa siasa za Tanzania” ni miongoni mwa wanasiasa ambao wamekuwa wakifanya mambo magumu katika kipindi ambacho hakikutarajiwa na wengi.

Lowassa ambaye ni waziri mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na Ukawa katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, katika ngwe yake ya kisiasa, amefanya mambo makubwa matatu ambayo yamekuwa yakizua mijadala ndani na nje ya vyama vyake.

Baadhi ya hatua ambazo amekuwa akichukua zimekuwa zikitikisa ndani na nje ya nchi, kuwaacha vinywa wazi washindani na wafuasi wake huku mwenyewe akiwa kimya au kusimamia kile alichokifanya.

Tukio la Jumanne wiki hii la kukutana na Rais John Magufuli na kufanya mazungumzo Ikulu na baada ya hapo mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya Chadema kuimwagia sifa Serikali, ni moja ya matukio ambayo hayakutarajiwa.

“Nimepata faraja sana kuja hapa Ikulu kuonana na Mhe. Rais, tumezungumza naye na nimempongeza kwa kazi nzuri anayoifanya, lazima tukiri anafanya kazi nzuri na anahitaji kutiwa moyo,” alisema Lowassa mbele ya Rais Magufuli.

Huu ni uamuzi mkubwa wa tatu wa Lowassa alioufanya katika kipindi chake cha siasa ambao umezua sintofahamu kuhusu hatima yake kisiasa ndani ya Chadema huku baadhi ya wana CCM wakimpongeza na kusema siasa si uadui.

Sifa hizo kwa Serikali ya CCM zimemuweka mbunge huyo wa zamani wa Monduli katika hali sintofahamu ndani ya Chadema, baadhi ya walitangaza hadharani kukerwa na kujitenga na kauli hilo huko baadhi wakitaka achukuliwe hatua za kinidhamu.

Tukio la pili ni lile lililotokea Julai 28, 2015 wakati Lowassa alipotangaza kukihama chama kilichomkuza kisiasa cha CCM na kujiunga na Ukawa kupitia Chadema baada ya jina lake kukatwa kwenye mchakato wa kupata mgombea urais ndani ya CCM.

Akitangaza uamuzi huo katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, Lowassa alisema ‘’CCM si baba yangu wala mama yangu, Watanzania kama wameyakosa mabadiliko ndani ya CCM, basi watayapata nje ya CCM.”

Alisema hakukurupuka kuchukua uamuzi huo na kama angeendelea kukaa ndani ya CCM ingekuwa ni unafiki, “Sikukurupuka kuchukua uamuzi huu hivyo basi kuanzia leo (Julai 28, 2015) natangaza rasmi kuondoka CCM na kujiunga na Ukawa kupitia Chadema.”

Ni uamuzi ambao uliweka historia za siasa za Tanzania tangu mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa mwaka 1992 kwa kiongozi aliyewahi kushika wadhifa wa juu kama Waziri Mkuu kuhama chama tawala na kwenda upinzani.

Tukio la tatu na kubwa kwa Lowassa ni lile la Februari 7, 2008 alipotangaza kujiuzulu uwaziri mkuu ikiwa ni miaka miwili tangu Rais wa wakati huo, Jakaya Kikwete alipomteua katika awamu yake ya kwanza ya utawala wake.

Kujiuzulu kwa Lowassa kulitokana na kashfa kubwa iliyotikisa nchi ya Richmond ambayo ilitokana na tatizo kubwa la uhaba wa umeme na Serikali kulazimika kutafuta njia za dharura za kutatua tatizo hilo, ambazo baadaye baadhi yake zilidaiwa kukiuka taratibu na sheria.

Baada ya kashfa hiyo kuchunguzwa na kamati ya Bunge na taarifa yake kutolewa bungeni na mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk Harrison Mwakyembe, Lowassa alilazimika kujiuzulu.Katika taarifa hiyo, Dk Mwakyembe alimtaka Lowassa ajipime kutokana na mazingira ya kashfa hiyo.

Lakini hakuwa Lowassa pekee aliyeng’oka madarakani, pia mawaziri wa Nishati na Madini kwa vipindi tofauti, Nazir Karamagi na Dk Ibrahim Msabaha waliachia ngazi.

Akizungumzia matukio hayo yaliyomsibu Lowassa, mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (Saut), Dk Charles Kitima alisema ni mmoja wa wanasiasa ambao wako tayari kuwajibika pale inapobidi kulinda masilahi ya wananchi na Taifa.

“Ni mtu ambaye yuko tayari kuwajibika lakini kuwe na msingi wa kuwajibika. Mwaka 2008 aliombwa kujiuzulu uwaziri mkuu akakubali, kuheshimu matakwa ya watu na chama chake, unapoona wananchi wanataka tofauti, naye anafanya,” alisema.

Kuhusu kuhama chama, Dk Kitima aliyepata kuwa makamu mkuu wa Saut alisema, “Aliona anaweza kusaidia chama kingine na kwenda kumsalimia Rais aliona kunahitajika mazungumzo, hatuwezi kuendesha nchi bila kusikilizana.”

Hata hivyo, alisema kosa alilolifanya ni kutokuonyesha kasoro zilizopo katika utawala wake ambazo wananchi wanaona haziendi sawa katika maeneo kadhaa lakini alisisitiza kuwa uamuzi wake ni wa busara na unatoa funzo kwamba siasa si uadui.

Mwenyekiti wa Chaumma, Hashim Rugwe alisema inahitaji muda kumwelewa Lowassa akisema ziara yake Ikulu inahitaji kukaa naye na kungumza kabla ya kumshambulia au kufanya chochote.

“Unajua kipindi anajiuzulu uwaziri mkuu nafikiri alifanya vile kwa hasira baada ya kuona ile kamati iliyokuwa na uwezo wa kumhoji haikufanya hivyo na hili la kwenda Ikulu kila mmoja anataka kwenda kuonana na Rais, ila je, alikwendaje ndiyo hoja iliyopo,” alisema Rugwe.

USULI

Lowassa alizaliwa Agosti 26, 1953 katika Kijiji cha Ngarash, Monduli na ndiye mtoto mkubwa wa kiume kwa Mzee Ngoyai Lowassa.

Alianza kusoma katika Shule ya Msingi Monduli kati ya mwaka 1961–1967 kisha akaendelea Shule ya Sekondari Arusha kwa kidato cha kwanza mpaka cha nne kati ya mwaka 1968 - 1971 na kumalizia kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Mirambo, Tabora mwaka 1972–1973.

Alijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka 1974–1977 na kuhitimu Shahada ya Sanaa katika Elimu (B.A Education) na baadaye Chuo Kikuu cha Bath Uingereza kwa Shahada ya Uzamili ya Sayansi katika Maendeleo (mwaka 1983–1984).

Baada ya kumaliza chuo kikuu, Lowassa alifanya kazi ndani ya CCM akiwa ofisa wa ngazi ya juu kuanzia wilaya, mkoa na baadaye makao makuu kati ya mwaka 1977–1989.

Alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Arusha (AICC), mwaka 1989–1990. Amehudumu ubunge wa Monduli kuanzia mwaka 1995 hadi 2015.

Lowassa amemuoa Regina na wana watoto watano, Fredrick, Pamella, Adda, Robert na Richard.

Mwananchi

Azam yazipiga Bao Simba, Yanga, Historia Mapinduzi Cup

$
0
0
Ubingwa wa Mapinduzi Cup 2018 ilioutwaa klabu ya Azam, unaifanya klabu hiyo ya Tanzania bara kuandika historia mpya katika mashindano hayo baada ya kuifunga URA kwa penati 4-3 kwenye mchezo wa fainali ulioshuhudia dakika 90 zikikatika huku timu hizo zikiwa hazijafungana.

Azam imekuwa klabu ya kwanza kubeba kombe la mapinduzi mara nyingi kuliko vilabu vyote vilivyowahi kushiriki mashindano hayo tangu yalipoanzishwamiaka 11 iliyopita. Ubingwa wa mapinduzi 2018 ni wa nne kwa Azam ambao waliwahi kutwaa taji hilo katika miaka ya 2012, 2013 na 2017.

Azam wameirudia rekodi yao ya kutetea ubingwa wa Mapinduzi waliyoiweka mwaka 2012 na 2013, mwaka 2012 ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwa klabu hiyo iliyoanzishwa mwaka 2007 kushinda kombe hilo ambalo walilitetea tena mwaka 2013. Mwaka 2017 walishinda ubingwa huo kwa mara ya tatu kisha kuutetea tena mwaka huu 2018.

Ukiiondoa Azam, Simba ndio klabu inayofuatia kwa kushinda mara nyingi ubingwa wa Mapinduzi (wameshinda taji hilo mara tatu) katika kipindi cha miaka tofauti.

Msimu huu (2017/18) Azam alipangwa Kundi A pamoaja na URA , Simba, Mwenge na Jamhuri. Katika safari ya kutetea ubingwa wao, Azam walimaliza katika nafasi ya pili wakiwa na pointi tisa baada ya kushinda mechi tatu na kupoteza mchezo mmoja, URA waliongoza kundi hilo wakiwa na pointi 10.

Mechi za Azam mapinduzi cup 2018 kuanzia hatua ya makundi hadi hadi fainali, Kundi A: Mwenge 0-2 Azam , Azam 4-0 Jamhuri, URA 1-0 Azam, simba 0-1 Azam, Nusu fainali: Azam 1-0 Singida United, Fainali: URA 0-0 Azam (penati 3-4).

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na Kuchelewa Kwa Dakika 20

$
0
0

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:


FULL POWER: Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.


NYAMVA: Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788/ 0715741788 -DR MAGISE

Alberto Msando Aamua Kumfungukia Lemutuz na Kummpa Ukweli Anapokosea issue ya Kibamia

$
0
0

From @albertomsando -Kaka na rafiki yangu @lemutuz_superbrandtz; Nimetamani sana nikae kimya upambane na 'msala' wako mwenyewe. Lakini nimeshindwa. Nimeshindwa kwa sababu naelewa na najua inavyokuwa pale unapopitia unachopitia. I have been there.
Niseme kwamba kwa comments zote unaweza sasa kuelewa kiasi cha chuki dhidi yako. Kiasi cha furaha kwa maadui zako. Lakini ndani yake usiache kuona kiasi kidogo cha upendo na huzuni kutoka kwa marafiki zako.
Kosa lako ni kuruhusu kile ambacho wengi wanafanya kufika hadharani kwa kuwa karibu na kumpa nafasi aliyefikisha. Hilo ndio kosa lako la kwanza. "Kosa" la pili ni unavyoishi. Umeamua kuishi maisha yako vile ambavyo wewe mwenyewe umechagua. Kuna wengi wanakereka bila hata sababu. Ni maisha yako!

Kosa sio 'kibamia' au kujifuta ulipotoka kuoga. Wengi sana wana 'vibamia' na wanaoga na kujifuta. Wengi wamekutana navyo na wanaishi navyo. Wala hakuna kosa kuwa na kibamia. Utu na heshima yako ni zaidi ya kila kitu. Ni huzuni kwamba unadhihakiwa, unadhalilishwa kwa sababu hiyo. HAYA NDIO MAMBO WENGI WANAYAPENDA NA KUFURAHIA. Sad.

Ushauri wangu (unaweza ukawa wa kipuuzi na usio na maana) ni mwepesi. Endelea na maisha yako. Pambana kuijenga Le Mutuz TV. Endelea kuelimisha na Straight Talks zako. Endelea kufurahia maisha. Usijibizane na wanaokutukana. Usiwashambulie wanaendelea kukudhalilisha. Fanya yale yanayokupendeza na kukufanya uwe bora zaidi.
Na zaidi ya yote JIFUNZE kutokana na hili. Kumbuka nilichosema #ItCouldHaveBeenWorse #INGEWEZAKUWAMBAYAZAIDI. Usimdhalilishe mtu yeyote hata kama ni adui yako mkubwa. Ukiweza picha na post ya Mange ifute. Usilipe ubaya kwa ubaya. Hakuna sababu ya kulifanyia marejeo tukio hilo. Kwa nafasi yako yapo mengi ya kuandikia sasa mfano, Uchaguzi mdogo, ujio wa Kagame na maana yake kwa Tanzania, kauli ya Trump dhidi ya waafrika na ukweli wake nk. nk. Kuna mengi ya kufanya.

Kagame awasili na kupokelewa na Rais Magufuli

$
0
0

ais wa Rwanda, Paul Kagame amewasili nchini leo Januari 14 kwa ziara ya siku moja na kupokelewa na mwenyeji wake, Rais John Magufuli.

Baada ya kuwasili katika uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA), Rais Kagame alielekea katika chumba maalumu na kukaa hapo kwa takribani dakika 30.

Aliondoka uwanjani hapo saa 4:45 na kuelekea Ikulu ambapo atafanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Magufuli.

Hii ni mara ya pili kwa Kagame kuwasili nchini na kufanya mazungumzo na Rais Magufuli tangu mwaka 2015. Mara ya kwanza ilikuwa mwaka 2016 ambapo alifanya ziara na kushiriki maonesho ya 40 ya biashara (Sabasaba).

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

Wasiliana nasi +255 622588038au 0679119679 au +255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Msukuma amrushia kombora Msigwa kwenye jimbo lake

$
0
0

Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma baada ya kumaliza kampeni za kumnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Songea Mjini Dr. Damas Ndumbaro, January 13, 2018 alipita mkoani Iringa ambapo aliungana na Mbunge Viti Maalumu Iringa Ritha Kabati na kukabidhi msaada kwa watu wenye ulemavu wa ngozi.

Moja ya kitu ambacho Musukuma alikiongea mkoani Iringa ni kuhusu muonekanao na hali za wakazi wa Iringa akifananisha na watu katika Jimbo lake la Geita Vijijini.

Musukuma amesema “Nimeiona Manispaa ya Iringa, nilidhani ni kama Ulaya kumbe ni kama Geita, nashangaa hata Halmashauri yenyewe imechoka, nikamkumbuka sana Msigwa, haya mambo uliyoyafanya yalitakiwa yafanywe na Msigwa,”– Musukuma
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images