Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live

Ridhiwani Atoa Agizo Afisa Mtendaji Kuondolewa Mara Moja

$
0
0
Ridhiwani Atoa Agizo Afisa Mtendaji Kuondolewa Mara Moja
Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete ametaka kuondolewa mara moja kwa ofisa mtendaji wa kata ya Vigwaza, Elizabeth Msenga kwa maelezo kuwa ameshindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo.

Ridhiwani ametoa kauli hiyo leo Februari1, 2018 katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini humo, kutaka mtendaji huyo kupangiwa eneo jingine la kazi.

Amesema haiwezekani wananchi wanapata matatizo na kukosa mtu wa kuwasikiliza na kuwasilisha kero zao sehemu husika.

“Yaani akija mbunge ndio wananchi wanalalamika jukwaani. Uzembe huu unasababisha wananchi kuwa na hasira na kukichukia CCM wakidhani hakiwasilizi na hakiwajali kumbe ni uzembe wa mtu mmoja tu,” amesema na kuongeza,

"Nimezunguka vijiji zaidi ya vinne kero zinazopewa ni nyingi lakini utatuzi wake upo chini ya Serikali ya kata. Nashangaa hata ofisa mtendaji hayupo katika ziara na si mara ya kwanza, hakuna taarifa ya Serikali iliyoandaliwa.”

Wakati ombi lake la kutaka ofisa huyo kuondolewa likishangiliwa na wananchi waliohudhuria mkutano huo uliokuwa sehemu ya ziara ya mbunge huyo kukagua miradi ya maendeleo, mwenyekiti wa CCM kata ya Vigwaza, Shedeli Mikole amesema hali hiyo inatokana na viongozi kufanya kazi kwa mazoea.

“Ombi lako litafanyiwa kazi kwa sababu Vigwaza kuna tatizo kubwa la utekelezaji wa shughuli za maendeleo,” amesema.

"Mbunge nikuhakikishie hoja hii itafanyiwa kazi na sio siri hapa Vigwaza kuna tatizo la kasi ya utekelezaji shughuli za maendeleo. Huyu mjini hawezi kabisa tumeshamuona siku nyingi anapaswa aende kata nyingine pembezoni mwa mji, "amesema Mikole.

Hata hivyo,  Msenga alipotafutwa kwa njia ya simu na Mwananchi amesema hakuweza kuhudhuria ziara hiyo kwa kuwa ni mgonjwa.

Diamond, P-Square, Vanessa Mdee, Mwana FA, Chameleone, Sauti Sol wamlilia Radio

$
0
0
Diamond, P-Square, Vanessa Mdee, Mwana FA, Chameleone, Sauti Sol wamlilia Radio
Msanii huyo ambaye alikuwa akifanya vizuri katika kundi hilo na mwenzie Weasel, alilazwa hospital tangu January 23 mwaka huu ambapo hali yake ilidaiwa kuwa mbaya kufuatia majereha aliyoyapata kutokana na ugomvi wa klabu.
Haya ndio waliyoandika baadhi ya wasanii kutoka Afrika kufuatia kifo cha muimbaji huyo.
Diamond Platnumz
Rest in Paradise Legend…
Vanessa Mdee
Just got off the plane to this news … I promised you I would come see you but I guess heaven couldn’t wait. Love always brother, Rest in eternal peace. My condolences go out to @weasel_manizo my sister @lilianmbabazi and the whole @radioandweasel family. Thankyou for blessing us with your gift LEGEND 🙏🏾 #ScratchMyBack 😔 we had so many plans but God had other plans.
Mwana FA
Rest Easy Radio..A Very Sad Day For Music 😢
Sauti Sol
Another beating heart stops.💔 Rest in power brother. Such a sad day for Afrikan music.
Peter Okoye (Mr P)
My heart goes out to the entire Ssekibogo family and Ugandan music lovers and Fans😢Just heard about the passing of Mowzey Radio😭 R.I.P. Bro. You were a Man of great Talent and you will be missed.☹️🙁🕯R.I.P. #RipRadio #MowzeyRadio
Paul Okoye (Rude Boy)
Rip radio 💔( Ugandans best vocalist)
Jose Chameleone
Let his light shine on eternally
Jux
R.I.P radio 😔😔
Navio
Rest In Peace Radio. Radio’s son spent Sunday at our house and I was able to see Mama Radio at Hospital the other night. Though not 100 percent sure of what was happening, his son remained strong and I would like to think he gets that from Radio. I never met Radio once where he didn’t get across his point of view. In our line of work we call that being real. He lived without fear. My kids referred to him as Uncle “Radio & Viso”. Rest In Peace Brother. We will watch over your loved ones. #Legendary #RIPRadio #10YearsOfRaw #Radio #PrayForRadio #Goodlyfe
Eddy Kenzo
I don’t even know what to say, naye kibinyo ekya Radio banange!!! sikyangu kukiriza naye mukama bwasazewo R.I.P Brother fena lyekubo munange Nsaba mukama akusasile ebyakusobako nga omuntu bambi we gona miss you GREATEST STAR OF OUR GENERATION.prayers 4 you weasel and family 🙏🙏🙏🙏🙏
Chege
Rest In Peace legend😭

Homa ya Tamasha la Sauti za Busara Yazidi Kupanda

$
0
0
Homa ya Tamasha la Sauti za Busara Yazidi Kupanda
Shamrashamra za kuelekea katika tamasha la Sauti za Busara zinazidi kupamba moto Zanzibar, huku wapenzi wa tamasha hilo wakiwa na hamu ya kutaka kujua nani ataanza kutoa burudani.

Tamsaha hilo ambalo litakuwa na zaidi ya wasanii 400 na vikundi vya burudani vipatavyo kundi 40 vya kuchagua, vinatarajiwa kutoa burudani kali katika uwanja wa Ngome Kongwe kisiwani humo.

Zakes Bantwini ni miongoni mwa wasanii wanane wa Afrika Kusini ambao wamewahi kutumbuiza katika tamasha hilo, wengine ni Thandiswa na Kwani Experience. Akiwa na baadhi ya nyimbo zinazotamba kwenye kumbi za starehe, kama vile Clap Your Hands, Wasting My Time, Ghetto na Bang, Bang, Bang ana uhakika wa kuvuta mashabiki kutoka katika kila kona ya Kusini mwa Afrika.

Licha ya kuwahi kufanya maonyesho kadhaa Tanzania, Kidum na Bendi yake ya Bod Boda watatumbuiza kwa mara ya kwanza katika tamasha hilo, huku akiwa na shauku ya kuwaonjesha nyimbo zake mpya akijumuisha na baadhi ya nyimbo zake zinazotamba katika chati za redio mbalimbali, kutoka katika albamu zake sita alizoziachia tangu mwaka 2001.

Akiwa amezaliwa nchini Marekani na wazazi waliotokea katika nchi za Rwanda na Uganda, mwanamuziki mwenye sauti nzuri na mtunzi wa nyimbo, Somi ambaye aliachia kibao chake cha ‘Petite Afrique’ mwaka 2017 nae ni miongoni mwa wasani mahiri barani Africa.
Kwa Saida Kairoli, jukwaa la Sauti za Busara ni sehemu iliyoandaliwa maalumu kwa ajili yake kuja upya kimataifa akiwa ni mmoja wa wanamuziki wanaopendwa Tanzania.

Baada ya kipindi cha muda mrefu kutokuwepo katika tasnia ya burudani, kiu ya mashabiki ilirudishwa mwaka 2017, baada ya mwanamuziki Diamond Platnumz kurudia wimbo maarufu wa Saida Karoli unaoitwa “Maria Salome”.

Kwa mujibu wa Meneja wa Tamasha la Sauti za Busara, Journey Ramadhan, vikundi vyote vilivyochaguliwa katika Tamasha la Busara ni wasanii nyota katika bara la Afrika na kwingineko.

”Mwaka huu orodha ya wasanii itakuwa ‘nzuri sana’ haijawahi kutokea, ndiyo maana hata mchakato wa uchaguzi ulichukua muda kidogo, lakini naweza pia kuelewa kuhusu watu kung’ang’ania aina fulani ya muziki ambao ni chaguo lao linalowakilisha mapenzi yao,” aliongeza Ramadhan.

“Tumeshughulikia idara hiyo na masuala mengine yanayohusiana na idara hiyo ili kuhakikisha kwamba wahudhuriaji wanakutana na uzoefu wenye tija. Uzoefu huu ndiyo jambo ambalo wahudhuriaji wa tamasha wanasubiria kwa hamu bila hivyo basi huwa ni tamasha la kawaida kama mengine tu,” anasema Ramadhan.

Gambo, Mnyeti Watoa Onyo kwa Walimu

$
0
0
Gambo, Mnyeti Watoa Onyo kwa Walimu
Wakuu wa mikoa Arusha na Manyara wamewataka walimu wa shule za msingi na sekondari katika mikoa hiyo kutopokea michango yoyote kutoka kwa wazazi, watakaobainika watachukuliwa hatua kali.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti leo Februari 1, 2018 Mrisho Gambo wa Arusha na  Alexander Mnyeti wa Manyara wamesema kukusanya michango hiyo ni kwenda kinyume na mpango wa elimu bure.

Gambo ametoa kauli hiyo katika kikao na wadau wa elimu wilaya ya Karatu, kubainisha kuwa imeibuka tabia ya baadhi ya wakuu wa shule kushirikiana na bodi za shule kubuni utitiri wa michango.

Mwenzake Mnyeti akiwa katika ziara ya siku saba wilayani Simanjiro, amepiga marufuku michango hiyo na  kuacha maagizo kwa wananchi, walimu na viongozi wa ngazi ya wilaya na vitongoji.

Mnyeti amemtaka mkuu wa shule ya sekondari Orkesumet, Ighnas John ahamishwe kwa madai kuwa mmoja wa wazazi amemlalamikia kuwa anachangisha fedha za kuwalipa walimu wa ziada wa Sayansi wakati shule hiyo ina walimu wa kutosha.

Akiwa katika mkutano wa hadhara kwenye mji mdogo wa Mirerani, Mnyeti aliwaita jukwaani wakuu wa shule za sekondari Mirerani Benjamini Mkapa na Naisinyai na walimu wakuu wa shule za msingi Mirerani, Songambele, Jitegemee, Tanzanite na Endiamtu na kuwaonya juu ya michango hiyo.

"Kazi ya mwalimu ni kufundisha, hata mimi nimeshawahi kuwa mkuu wa shule, natambua namna wengine wanavyoongeza idadi ya wanafunzi ili fedha za ruzuku  za shule zinazotolewa zipelekwe nyingi katika shule zao,” amesema.

Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Jitegemee, Leah Eliminate amesema hawachangishi michango na kubainisha kuwa inayochangwa ni kwa ajili ya chakula cha wanafunzi, hukusanywa chini ya usimamizi wa kamati ya shule.

Naye mkuu wa shule ya sekondari Mirerani Benjamini Mkapa, Emmanuel Kallo amesema bodi ya shule iliunda kamati inayosimamia suala la chakula kwamba, huku akikanusha shule hiyo kuchangisha fedha.

Hata hivyo, Mnyeti alipinga jambo hilo na kubainisha kuwa kuchangia chakula ni hiari ya mzazi.

Amesema ni marufuku walimu kuchangisha fedha na kama kamati za shule na bodi zikiona kuna ulazima zitoe michango ofisi za kata

Shepu ya Sasha Yazua Utata

$
0
0
Shepu ya Sasha Yazua Utata
KALIO la muuza nyago wa video mbalimbali za wanamuziki Bongo, Sasha Kassim limezua utata kwa kudaiwa kuwa si halisi.

Chanzo kimepenyeza ubuyu kuwa, Sasha amekuwa ‘akijiedit’ kupitia simu yake hivyo watu kumuona ana kalio kubwa tofauti na uhalisia.


“Wewe kutana naye hivi laivu halafu utaniambia,” alisema mtoa ubuyu.

Alipoulizwa Sasha kuhusiana na hilo alisema; “Siwezi kuwazuia watu kuongea sifoji kitu mimi, siri kubwa ya shepu yangu ni mapozi kwenye picha na aina ya mavazi ninayovaa.”

Wasiliana na Mtaalam Chief Sultan Makata...Kumaliza Shida zako zilizoshindikana

$
0
0

CHIEF SULTAN MAKATA
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
CHIEF SULTAN MAKATA ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)
CHIEF SULTAN MAKATA ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
CHIEF SULTAN MAKATA Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.
ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
+255 677 805 105 WhatsAPP.
+255 746 426 604 Kupiga.

Kimenuka Burundi...Wakimbizi Waendelea Kumiminika Tanzani

$
0
0

BURUNDI: Wakimbizi wameendelea kumiminika mikoa inayopakana na eneo la Fizi lililopo Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na mapigano yanayoendelea kati ya majeshi ya Serikali na Waasi wa Mai Mai
-
Wakimbizi hao wanasema mapigano ni makali mno kiasi cha familia nyingi kutawanyika na baadhi ya Watoto wamekimbia bila Wazazi wao.
Shirika la Umoja wa Mataifa linalowahudumia wakimbizi (UNHCR) limeanzisha misafara ya kuwapeleka wakimbizi hao kwenye kambi katika Mikoa isiyopakana na Kongo.

Chadema "CCM Haichaguliki Kinondoni Tayari Walishalikoroga Hivyo Haibebeki "

$
0
0

CCM haichaguliki kinondoni tayari walishalikoroga hivyo haibebeki kwa mbereko ya chuma wala ya Kitamba Hayo yamekuja ni baada ya chama hicho kua na wasiwasi na Mkurugenzi wa Kinondoni. #KwanzaHabari

Wasiliana na Mtaalam Chief Sultan Makata...Kumaliza Shida zako zilizoshindikana

$
0
0
CHIEF SULTAN MAKATA
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
CHIEF SULTAN MAKATA ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

CHIEF SULTAN MAKATA ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..

CHIEF SULTAN MAKATA Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..

+255 677 805 105 WhatsAPP.
+255 746 426 604 Kupiga.

Chadema Walimwa Barua.....Wadaiwa Kukiuka Maadili ya Uchaguzi Kinondoni

$
0
0
Wakati kampeni za uchaguzi jimbo la Kinondoni zikiendelea, Chadema wamepewa barua mbili za malalamiko na  msimamizi  wa uchaguzi Wilaya ya Kinondoni, Aron Kagurumjuli kikidaiwa kuvunja kanuni za maadili ya uchaguzi.

Akizungumza leo Februari 1, 2018 Mkurugenzi  wa Operesheni na Mafunzo wa Chadema, Benson Kigaila amesema wamepokea barua hiyo jana, yenye malalamiko yaliyotolewa na Chama cha Wananchi (CUF).

Katika barua hiyo, CUF inalalamika kuwa Januari 28, Chadema walifanya kampeni nyumba kwa nyumba  katika eneo la Kigogo Mbuyuni hadi London Bar badala ya siku hiyo kuwa kata ya Ndugumbi kama ratiba inavyoonyesha.

Malalamiko mengine ni Chadema kudaiwa kutumia salama ya CUF katika majukwaa ya kampeni sambamba na kupamba bendera za chama hicho.

"Madai mengine ni kwamba viongozi  wa CUF  wanakuja katika mikutano yetu  na kukaa meza kuu na kupanda katika majukwaa. Pia CUF wanadai Chadema inawatumia viongozi  wao kupita nyumba kwa nyumba kuiombea kura Chadema  wakiwa na sare za CUF,” amesema Kigaila.

Kwa mujibu wa barua hizo Chadema wanatakiwa kutoa maelezo ya utetezi kwa maandishi  kuhusu tuhuma hizo ndani ya saa 48 baada ya kuzipokea.

Mnyika Ampa Makavu Mtulia....."Msaliti Huwa Haachi Usaliti"

$
0
0
Mbunge wa Kibamba kupitia Chama cha Kidemokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika amewatahadharisha wananchi wa jimbo la Kinondoni kwa kutomchagua mgombea wa CCM, Maulid Mtulia kwa madai ni msaliti na hawezi kuacha hiyo tabia.

Mnyika ametoa kauli hiyo ikiwa yupo katika muendelezo wa kumpigia kampeni mgombea wa Ubunge wa jimbo hilo Salum Mwalimu kupitia tiketi ya CHADEMA chini ya mwamvuli wa UKAWA.

"Mtulia alianza usaliti tangu siku ya kwanza alipotangazwa kuwa Mbunge mwaka 2015, maana siku ile matokeo yalipokuwa yanatangazwa na tume, aliposikia jina lake tu kuwa ameshinda alikimbia na kuwaacha watu waliokuwa wakipigania atangazwe na hakutaka kusikia matokeo ya Urais", alisema Mnyika.

Pamoja na hayo, Mnyika aliendelea kwa kusema "msaliti huwa haachi usaliti, hivyo kama wananchi wakikosea na kumpa Mtulia ridhaa ya kuwa Mbunge basi atakuja kuwasaliti tena".

Kwa upande mwingine, mpaka sasa zimebakia takribani siku 16 ili wananchi wa jimbo la Kinondoni  na Siha kuweza kushiriki kupiga kura katika majimbo hayo ambayo yapo wazi kwa sasa.

Rais Magufuli amteua Dr. Adelardus Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG). Masaju ateuliwa kuwa Jaji Mahakama Kuu

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Adelardus Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG).

Taarifa iliyotolewa jioni hii na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Dkt. Adelardus Kilangi unaanza tarehe 01 Februari, 2018.

Kabla ya uteuzi huu Dkt. Kilangi alikuwa Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (St. Augustine University) kituo cha Arusha, na pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Shughuli za Mkondo wa Juu wa Mafuta (Tanzania Petroleum Upstream Regulatory Authority – PURA).

Wakati huo huo, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw. Paul Joel Ngwembe kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali (DAG) kuanzia leo tarehe 01 Februari, 2018.

Kabla ya Uteuzi huu Bw. Ngwembe alikuwa Mkurugenzi wa masuala ya sheria katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tanzania Insurance Regulatory Authority – TIRA).

Kufuatia uteuzi huu Mhe. Rais Magufuli amewateua aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Mcheche Masaju na aliyekuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Gerson Mdemu kuwa Majaji wa Mahakama Kuu kuanzia leo tarehe 01 Februari, 2018.

Wateule wote wataapishwa Jumamosi tarehe 03 Februari, 2018 saa 9:00 Alasiri.

Gerson Msigwa

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU

Dar es Salaam

01 Februari, 2018

Timu ya Shilawadu Yadaiwa Kuchezea Kichapo Kitakatifu Kutoka Kwa Moses Iyobo

$
0
0

From @mangekimambi_ - Jomoni embu amkeni, Mose Iyobo kawapa kichapo Shilawadu, mnaambiwa bonge la fujo hapo dukani kwa Aunty Kinondoni. Watu ndo wakaja kuamua na Shilawadu wameshindwa kumuhoji Mosee. Mnaambiwa Kwisa kala vichwa viwili vya kijeshi, Soudy kala mitama double double alikuwa anageukia hewani..Uwiiii mambo ni hiviii ni motooo
.
Ila huyu Mosee mbona anajifanya sana jamani?? Utasema sio dancer?? Au sababu kampata Aunty ndo anajiona?? Kha!!Shiladu wenyewe walienda dukani wakijua watamkuta Aunty wamuhoji kumbe Aunty kasafiri yuko China, hata wakati anachambana na Tunda alikuwa China. So kufika dukani ndo wakamkuta Baba Kuki badala waondoke wakataka kumchokonoa baba Kuki we ndo kikawaka.Mambo ni hivi ni fire

TANZIA: Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Afariki Dunia

$
0
0
Mzee Kingunge Ngombale–Mwiru amefariki dunia alfajiri ya leo.

Tupo hapa na masikitiko makubwa.

Poleni sana sana wafiwa na kijana wake Kinje (Mama yake alifariki 4/1/2018 na Baba yake leo)

May his soul Rest in Eternal Peace.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0


Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

Wasiliana nasi  Kwa Numba Hizi +255 622588038 , 0679119679 , +255 764318107, 0656145170, 0762899488


Majaji Wanaokula Bata Kikaangoni..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya February 2

$
0
0


Majaji Wanaokula Bata Kikaangoni..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya February 2

Dokta Mpango Ateta Na Mkurugenzi Mtendaji Wa Benki Ya Barclays Kuhusu Reli Ya Kisasa Na Mradi Wa Umeme Wa Stiegler's Gorge

$
0
0
Benny Mwaipaja, Dodoma
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, amekutana na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays Kanda ya Afrika, Bw. Peter Matlare na kuiomba Benki hiyo kuangalia uwezekano wa kutoa mkopo nafuu wa ujenzi wa miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali ukiwemo ujenzi wa Reli ya Kati kwa viwango vya kimataifa (SGR) mradi wa miundombinu ya umeme wa Stieglar's Gorge ili kurahakisha maendeleo ya kiuchumi kupitia viwanda.

Amemweleza kiongozi huyo kwamba Serikali imeimarisha uchumi Mkuu kwa kudhibiti mfumuko wa bei ambao uko katika kiwango chatarakimu moja cha wastani wa asilimi 5.3 katika kipindi cha miezi 6 iliyopita.

"Tumewekeza kwenye miundombinu kama vile Elimu, maji, kilimo, afya, madini, na biashara na kwamba katika kipindi kifupi cha miaka 2 zaidi ya viwanda 80 vimejengwa katika eneo la Mkuranga mkoani Pwani, kutokana na fursa za uwepo wa bomba la gesi na eneo hilo kuwa karibu na Bandari ya Dar es Salaam.

Dkt. Mpango ameelezea pia mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR) ambao amesema utarahisisha usafiri na usafirishaji wa abiria na mizigo katika nchi zinazopakana na Tanzania hivyo kukuza biashara kwa kiwango kikubwa.

Akizungumzia kuhusu ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme katika Bonde la mto Rufiji (Stiegler's Gorge), Dkt. Mpango amesema lengo la mradi huo utakao zalisha megawati 2,100 za umeme utakao kuwa wa uhakika na bei nafuu ili kukuza viwanda.

Alisema kuwa mwelekeo wa Serikali kwa sasa ni kuhakikisha kuwa kila biadhaa zinazozalishwa nchini pamoja na madini, vinaongezwa thamani hapa hapa nchini badala ya kuuzwa kama malighafi na kwamba nishati ya umeme ndiyo nguzo kuu ya kufikia malengo hayo.

"Ili tuweze kufikia azma hiyo tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika na wa bei nafuu ili viwanda vyetu viweze kuzalisha kwa wingi ndio maana tunaiomba Benki yako iweze kufikiria namna ya kushiriki katika ujenzi wa miradi hii" Alisisitiza Dkt. Mpango.

Dkt. Mpango ameipongeza Benki ya Barclays ambayo pia ni mwanahisa katika Benki ya NBC kwa ahadi yake ya kutaka kuwekeza kiteknolojia katika sekta ya benki nchini hatua ambayo itasaidia kukuza mitaji na mikopo kwa kundi kubwa la watanzania wakiwemo wajasiriamali wadogo, wa kati na wakubwa.

Alielezea msimamo wake kwamba katika kukuza uchumi, Serikali inathamini mchango mkubwa wa Sekta Binafsi na imeendelea kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji na kwamba hivi karibuni alikuta na wadau wa Sekta ya Benki ili kusikiliza changamoto zao na pia kuwaeleza mambo muhimu ambayo ingependa sekta Binafsi ifanye ili kufikia malengo yanayokusudiwa.

Awali, Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo ya Barclays anaye hudumia kundi la benki za Barclays Barani Afrika na kwingineko Marekani na Ulaya, Bw. Peter Matlare, ameipongeza Serikali chini ya Rais Dkt. John Magufuli kwa kusimamia kikamilifu uchumi wa nchi unaokua kwa wastani wa asilimia 7.

Alisema hatua hiyo ni ya kupigiwa mfano katika nchi za Kiafrika na Duniani kwa ujumla ambapo amesema Tanzania imekuwa ikifanya vyema katika kukuza uchumi jumuishi unaowafikia watu wengi zaidi wakiwemo waishio mijini na vijijini.

Bw. Peter Matlare amemhakikishia Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, kwamba Benki yake itayafanyia kazi mapendekezo ya kutaka ushiriki wake katika ujenzi wa miradi mikubwa iliyoainishwa na Serikali kuwa kipaumbele chake.

Mwisho

Picha: Ndege Yaanguka na Kuwaka Moto Uwanja wa ndege wa Zanzibar

$
0
0
Marubani wawili wamefariki Dunia katika ajali ya ndege wakati wa kurusha ndege baada ya matengezo katika Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani karume.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotekea jana majira ya saa saba Mchana Uwanjani hapo, Muhandisi Mkuu kutoka kampuni ya Tropical Air, David Kisusi  amesema ndege hiyo imeanguka na kuungua na kusababisha vifo kwa marubani hao ambao walikuwa ndani ya ndege hiyo.

Amesema ndege hiyo yenye usajili wa 5H-TDF yenye uwezo wa kubeba abiria wanne ni mali ya Chuo cha Usafirishaji cha Dar-es-Salam (NIT) ambayo ilikuwepo Zanzibar kwa ajili ya matengenezo.

Amesema takriban miezi sita ndege hiyo ipo hapa Zanzibar kwa ajili ya kufanyiwa matengenezo ili iweze kutumika katika chuo cha Usafirishaji .

Daktari Bingwa wa Uchunguzi katika Hospital ya Kuu ya Mnazi mmoja, Msafiri Marijani amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo na amesema vifo hivyo vimesababishwa na kukosa hewa safi wakati wa ajali hiyo pamoja na kathirika na moto uliotokea wakati wa kuanguka ndege hiyo.

Amesema uchunguzi ulifanywa katika miili ya maiti hao mnamo majira ya saa 12:45 jioni pia ulitokana na kukosa msaada wa kwa muda mrefu tangu ndege hiyo ianguke na kulipuka.

Wakati huohuo Mkuu wa Chuo cha Usafirishaji wa Anga kutoka Dar es Salaam, Dkt. Bwire Rufunjo alifika Zanzibar kwa ajili ya kufuatilia taarifa za ajali hiyo na amesema wamepokea taarifa hiyo kwa mshtuko mkubwa kutokana na vifo vya wafanyakazi hao muhimu katika sekta ya anga.

Aliwataja  marehemu kuwa ni Injinia Edger Alfred Mecha mwenye Umri wa miaka 26 na mwengine ni Dominic Bomani mwenye umri wa miaka 64 ambao walikuwa wanafanya kazi katika chuo hicho kwa ufanisi mkubwa.

Aidha amewataka wanafamilia wa Marehemu hao kuwa wavumilivu katika kipindi hichi kigumu kufuatia msiba huo pamoja na kutoa wito kwa wanafunzi wa chuo hicho kutokata tamaa wakati wa masomo.

Akizungumzia sababu ya kuanguka kwa ndege hiyo ndogo, amesema uchunguzi bado unaendelea lakini katika uchunguzi wa awali wamebaini kuwa ni hitilafu ya mfumo wa umeme ambao umesababishwa na moto ulilipuka kutokana na ndege kuwa na Mafuta mengi.

Ndege hiyo imenunuliwa kutoka kampuni ya Tropical Air ya Zanzibar kwa ajili ya kufundishia Urubani katika  Chuo cha Usafirishaji lakini kutokana na kutokuwa na hali Nzuri ililazimika kufanyiwa matengenezo na kampuni hiyo kabla kuchukuliwa na chuo
Bomani

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Siku ya Leo

$
0
0

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
DAWA BORA ZA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za FULL POWER

Full Power dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin e pamoja na madini aina ya zinc

Itakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30 ZAT 50

Inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende

Tunapatikana Dar es Salaam  na mikoan wasiliana na DR Oshinda no 0755505099 au 0714126118  Karibuni kwa hunduma bora
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live




Latest Images