Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104808 articles
Browse latest View live

Waziri Mkuu Akemea Vitendo Vinavyoharibu Ubora Wa Pamba .....Awataka Wasiweke Mchanga Wala Maji Ili Kuongeza Uzito

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakulima wa pamba kutochanganya pamba na mchanga au maji kwa sababu watakosa wanunuzi.

Pia amesema Serikali itapambana na watu wote wanaotaka kuvuruga zao hilo, hivyo amewataka wakulima waendelee kuwa na imani na Serikali yao.

Waziri mkuu alitoa kauli hiyo jana (Ijumaa, Februari 16, 2018) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa wilaya ya Kwimba.

“Wakulima msichezee pamba kwa kuichanganya na chochote ili kuiongezea uzito kwa sababu mtaharibu sifa nzuri ya pamba ya Tanzania ndani nan je ya nchi.”

Alisema kumekuwa na tabia ya baadhi ya wakulima wasiokuwa waaminifu ambao kabla ya kuipeleka pamba sokoni wanachanganya na maji au mchanga.

Waziri Mkuu alisema Serikali imeanza kuona tija tangu ilipoagiza Maofisa Kilimo katika mikoa inayolima pamba wasimamie kilimo hicho kuanzia ngazi za awali.

Akizungumzia kuhusu suala la wanunuzi wa pamba, Waziri Mkuu alisema tayari Serikali imeweka mikakati ya kutosha itakayowezesha pamba yote kununuliwa.

Kuhusu suala la bei alisema wataangalia katika soko la Dunia na kisha watawashawishi wanunuzi wanunue kwa bei nzuri itakayowanufaisha wakulima.

Alisema Serikali itaendelea kusimamia zao hilo kuanzia hatua za maandalizi ya shamba kwa kulima kitaalam, upatikanaji wa pembejeo hadi masoko.

Awali, Waziri Mkuu alitembelea mashamba ya mfano ya pamba katika kijiji cha Kilyaboya na Igumangobo ambapo alisema ameridhishwa mashamba hayo.

Pia aliweka jiwe la msingi la ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kadashi, mradi ambao ulioibuliwa na Diwani wa Kata ya Maligisu, Bw. Tabu Mapembe.

Kata ya Maligisu yenye vijiji vine ina zahanati moja tu, kukamilika kwa ujenzi wa zahanati hiyo kutasaidia kupunguza tatizo la utoaji wa huduma za afya.

(Mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMAMOSI, FEBRUARI 17, 2018.

Serikali kutoa viwanja kwa ajili ya Mabalozi kujenga ofisi na makazi Dodoma

$
0
0
WANANCHI wa wilaya ya Kwimba wamemuomba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aondoke na mkuu wa wilaya hiyo Bw. Mtemi Msafiri baada ya kutoridhishwa na utendaji wake.

Wametoa ombi hilo jana (Ijumaa, Februari 16, 2018) walipozuia msafara wa Waziri Mkuu alipowasili katika Ofisi za Halmashauri ya wilaya Kwimba zilizopo Ngudu kwa ajili ya kuzungumza na watumishi akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani Mwanza.

Wananchi hao walimkataa mkuu wao wa wilaya Bw. Msafiri kupitia ujumbe wa mabango 17, ambapo Waziri Mkuu amewataka wananchi hao wawe watulivu wakati Serikali inafanyia kazi malalamiko yao.

Wananchi hao wanadai kwamba Mkuu huyo wa Wilaya anatabia ya kuamrisha polisi wawakamate kwa kisingizio cha uzururaji na kisha wanawekwa mahabusu, ambapo baada ya muda wanatolewa na kwenda kulima kwenye shamba lake.

Waziri Mkuu amesema Serikali inahitaji kila mtumishi atambue majukumu yake na ayatekeleze. “Hakuna atakayeonewa, haki zenu zote tunazitekeleza nanyi mnatakiwa kutenda haki kwa kuwatumikia wananchi.”

Hata hivyo, Waziri Mkuu amewataka Mkuu huyo wa wilaya Bw. Msafiri, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kwimba Bibi Pendo Malebeja na wakuu wote wa Idara wajitathmini kama kweli wanatekeleza majukumu yao ipasavyo na kuwatumikia wananchi.

“Mkurugenzi katika kipindi chako chote cha utendaji kuanzia mwaka 2013 hadi leo, fedha nyingi za Serikali zilizoletwa Kwimba zimepotea na hazijulikani zilipo huku miradi mingi bado haijakamilika na muda wote huo Halmashauri imekuwa inapata hati chafu.”

Pia Waziri Mkuu amewataka watumishi wote wa Halmashauri ya wilaya ya Kwimba wabadilishe mienendo yao na wawatumikie vizuri wananchi pamoja na kuishi nao vizuri.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU
IJUMAA, FEBRUARI 16, 2018.

“Magufuli Ukimuona ni Mdogo Lakini Chuma cha Mkoloni” -Dr. Molel

$
0
0

Kampeni za Uchaguzi katika Jimbo la Siha zimehitimishwa February 16, 2018  ambapo nakusogezea alichongea Dr.Godwin Molel ambaye alikuwa Mbunge wa Siha na sasa anawania tena kurudi katika kiti hicho kupitia Chama cha Mapinduzi.

Dr. Mole amewataka wananchi wa Siha kumpigia kura ili aweze kutimiza mahitaji yao katika jimbo hilo pia amemsifia Rais Magufuli kuwa anafanya nzuri katika kujenga Taifa. Bonyeza PLAY hapa chini kumtazama akisema ‘JPM ni mdogo ila ni chuma cha Mkoloni’

VIDEO:

Mgombea Ubunge Maulid Mtulia apiga kura yake

$
0
0
Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Maulid Mtulia, amepiga kura asubuhi hii ya Feb. 17, 2018 katika kituo cha Friends Corner huko Kata ya Ndugumbi jijini Dar es Salaam.

Hizi ndizo sababu za TFF kuhojiwa Uhamiaji

$
0
0
OFISI ya Uhamiaji Dar es Salaam imesema ilimuita na kumuhoji Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidao, juu ya uraia wake ikiwa ni taratibu za kawaida za ofisi hiyo.

Kidao, jana aliitwa kwenye ofisi hizo kwa kile kilichoelezwa kuhoji uraia wake kufuatia taarifa za chini chini kuwa si raia wa Tanzania.

Akizungumza na redio moja jijini Dar esSalaam jana, Msemaji Mkuu Idara ya Uhamiaji, Ally Mtanda, alisema kuwa idara hiyo inafanya kazi yake kufuatana na sheria za nchi na imemuhoji Kidao katika uratibu wa kawaida wa ofisi hiyo.

"Ni kweli tumemuhoji kutokana na taarifa tulizozipata, na hili ni jambo la kawaida pindi tunapopata taarifa kama hizi, baada ya mahojiano idara inaendelea na taratibu za kazi zake," alisema Mtanda.

Kidao, alipotafutwa na Nipashe kuelezea nini kimepelekea kuhojiwa juu ya uraia wake, alisema 'No comment' akimaanisha hana cha kuongea.

"Kama mtu wa Serikali amesema basi, 'No coment' maana hapo mimi nitaongea nini sasa," alisema Kidao.

Offer: Ongeza Hips, Makalio, Uume, Nguvu na Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0

OFFER YA VALENTINE DAY🎁
ONGEZA HIPS, MAKALIO, UUME, NGUVU NA HAMU YA TENDO LA NDOA SASA.
KATIKA KUSHEREHEKEA MSIMU WA SIKUKUU (Valentine day) TUNA PUNGUZO LA 20% KWA BIDHAA ZETU ZOTE, IKIWA NI SHUKRANI KWA KUTUUNGA MKONO.
BIDHAA ZETU ZOTE ZIMETENGENEZWA KWA MIMEA NA MATUNDA HAZINA KEMIKALI WALA MADHARA.
KWA WANAUME TUNATIBU👇👇
☆Kukosa hamu ya tendo.
☆Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo.
☆Maumbile madogo ya uume.
☆Kuchoka sana wakati wa tendo na uume kusinyaa nk.
@markson_beauty_pr tumeandaa tiba bora kabisa kama ifuatavyo:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @240,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @180,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @250,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/=
PIA KWA WANAWAKE WANAOPENDA KUWA NA MUONEKANO MZURI ZIPO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe bila sugu kwa:-
(a)mafuta @150,000/=
(b) Vidonge @170,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @130,000/=
5.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa vidonge (YODI PILLS ORIGINAL) @230,000/=
6Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @150,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri na garantii ili kukuhakikishia ubora na usalama wa bidhaa za MARKSON BEAUTY CO

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444
na
0714335378
UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.marksnbeuty.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr

Polisi Wakanusha Kumkamata Mgombea wa CHADEMA Salum Wadai Alijipeleka Kwenye Gari la Polisi

$
0
0

Kamanda wa Polisi Kinondoni, Jumanne Muliro, amekana kuwa hawakumkamata mgombea Ubunge kupitia CHADEMA Salum Mwalimu, kama alivyodaiwa. Ameongeza kuwa, Mwalimu alijipeleka mwenyewe kwenye gari la Polisi ili wanahabari wampige picha ionekane amekamatwa

Mwananchi

NIT yasema Aliyepigwa Risasi na Polisi ni Mwanafunzi wao

$
0
0

Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT) kimesema aliyepigwa risasi jana Februari 16, 2018 eneo la Mkwajuni jijini Dar es Salaam na kufariki dunia ni mwanafunzi wa chuo hicho.

Chuo hicho kimemtaja mwanafunzi huyo kuwa ni Akwilina Akwiline aliyekuwa anasoma shahada ya kwanza ya ununuzi na ugavi.

Leo, Februari 17, 2018, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amekiri mtu mmoja kupigwa risasi na polisi wakati wakiwatawanya wafuasi wa Chadema walioandamana jana.

Wafuasi hao wa Chadema wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe waliandamana kuelelea ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kinondoni, Aron Kagurumjuli kudai viapo vya mawakala wa chama hicho.

Akizungumza na Mwananchi, Ofisa Uhusiano wa NIT, Ngasekela David amesema wamepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha wanafunzi huyo.

"Ni kweli alikuwa wanafunzi wetu na tumepokea kwa masikitiko taarifa hizi. Tunaendelea kufuatilia zaidi, "amesema David.

Mkurugenzi Afafanua Mawakala Kuzuiwa Kuingia

$
0
0

Wakati baadhi ya vituo vya kupigia kura katika uchaguzi wa jimbo la Kinondoni mawakala wa vyama vya siasa wamezuiwa kuingia kwa madai kuwa barua zao za viapo zimekosewa, msimamizi wa uchaguzi huo, Aron Kagurumjuli amesema uchaguzi huo unakwenda vizuri.

Baadhi ya mawakala hao katika kituo cha Lasko kilichopo kata ya Tandale wamezuiwa kwa madai kuwa hati zao za uthibitisho walizopewa zimekosewa.

Akizungumza leo Februari 17, 2018 msimamizi wa mawakala wa CUF kata ya Tandale, Abdul Zain amesema wamefika vituoni tangu saa 12 asubuhi lakini mawakala wao wamezuiwa kuingia ndani ya vituo hadi hati zao zitakapobadilishwa.

Amesema kuwa wamefuatilia suala hilo ofisi za Kagurumjuli na kupewa fomu nyingine ambazo pia zimekataliwa.

Katika ufafanuzi wake, Kagurumjuli amesema mawakala wengi hawakuwa na barua kutoka NEC zinazowatambulisha kuwa ni mawakala ambazo walitakiwa kupewa na viongozi wa vyama vyao na badala yake wanatumia barua za viapo alizodai kisheria haziwezi kuwa utambulisho pekee wa kuwa mawakala.

Amefafanua kuwa barua hizo za viapo hazitumiki kuwahalalisha, kwamba vituo vyote katika kata tano wameshatatua tatizo hilo.

“Wakala anapaswa kuapa kwanza na barua ya kiapo napaswa kuwa nayo mimi ili wakifanya kosa niwachukulie hatua. Kiapo si mali yao ndiyo maana tuliwapa nakala, hakuna sheria ya kupewa barua ya kiapo kuna sheria inayosema wakala ataapa siku saba kabla ya uchaguzi na ndivyo ilivyofanyika,” amesema.

“Barua ya utambulisho ndiyo kitu muhimu wanapaswa kuwa nazo ambazo zimetolewa na ofisi ya Mkurugenzi. Barua ya kiapo siyo suluhisho la kuingia nayo kwenye kituo ila barua ya utambulisho ndiyo inahusika.”

Kuhusu matokeo kutangazwa amesema, “Tunatarajia  hadi saa sita usiku matokeo yatakuwa yameshajulikana iwapo kura zitapigwa vizuri na kuhesabiwa bila vurugu.”

Polisi Wakiri Kumpiga Risasi Mwanafunzi wa NIT

$
0
0

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Lazaro Mambosasa amakiri kwamba mtu mmoja alipigwa risasi na Polisi hapo jana.
Mambosasa amedai kwamba Polisi walikuwa wakiwatawanya wafuasi wa #Chadema waliokuwa wakiandamana ndipo walipiga risasi juu na moja kati ya risasi hizo ilimpata mtu.

Kauli hiyo ya Jeshi la Polisi inakuja katika wakati ambapo simanzi imetawala mitandao ya kijamii kutokana na taarifa za binti Aquilina anayetajwa kupigwa risasi na Polisi hapo jana maeneo ya Kinondoni Mkwajuni wakati Polisi wakikabiliana na wafuasi wa #Chadema.

#RIPAquilina.

Polisi yafunguka sakata la kupiga mtu risasi maandamano ya Chadema

$
0
0

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amekiri mtu mmoja kupigwa risasi na polisi wakati wakiwatawanya wafuasi wa Chadema walioandama jana Februari 16, 2018.

Wafuasi hao wa Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe waliandamana kuelekea ofisi ya msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni, Aron Kagurumjuli kudai viapo vya mawakala wa chama hicho.

Maandamano hayo yalianzia viwanja vya Buibui Mwananyamala ulikokuwa ukifanyika mkutano wa kampeni wa Chadema na yalipofika eneo la Mkwajuni wafuasi hao walitawanywa na polisi, huku mtu mmoja aliyekuwa kwenye basi la daladala akidaiwa kupigwa risasi na kufariki dunia.

Akizungumza na MCL Digital, Februari 17 leo Jumamosi, Mambosasa amesema “Walizuia mwendo kasi, wakaanza kupiga mawe kwa hiyo kati ya risasi za hewani zilizopigwa kuwatawanya kuna iliyompata (mtu).”

Ufafanuzi huo wa Mambosasa licha ya kutoweka wazi kama mtu huyo amefariki dunia ama la, umekuja huku ikidaiwa kuwa aliyepigwa risasi na kupoteza maisha ni mwanafunzi wa elimu ya juu.

Soma: Mawakala waendelea kuzuiwa, msimamizi afafanua

Taarifa za kifo cha mwanafunzi huyo zilianza kusambaa tangu Ijumaa jioni katika mitandao ya kijamii sambamba na kuwekwa picha yake huku ikieleza kuwa amepigwa risasi wakati akiteremka katika basi.

Mambosasa alipoulizwa kama mtu huyo ni mwanafunzi wa elimu ya juu amesema, “Haijathibitishwa hiyo, nipo kwenye pilika za uchaguzi, nadhani nitajibu hilo nitakaporejea ofisini na kupata taarifa.”

Uchaguzi wa majimbo ya Kinondoni na Siha unaendelea leo Jumamosi na Mwananchi litakuwa linakuletea kila kinachoendelea.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi +255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Ndugu wa wanandoa waliokamatwa China kujadili malezi ya mtoto

$
0
0

Kamishna wa Intelejensia wa Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya, Frederick Kibuta amesema Jumatatu ijayo mamlaka hiyo itakutana na pande mbili za familia ya wanandoa waliokamatwa China wakiwa wamebeba dawa za kulevya aina ya heroin kukamilisha makabidhiano ya mtoto wa watuhumiwa hao.

Wanandoa hao, Baraka Malali na Ashura Mussa walikamatwa Januari 19 wakiwa na mtoto huyo mwenye umri wa miaka miwili na miezi tisa, ambaye alirejeshwa nchini siku tatu zilizopita.

Kibuta alisema mume na mke hao walikamatwa wakiwa wamemeza kete takribani 127 za dawa za kulevya aina ya heroin.

Mwananchi lilipowasiliana na baba mzazi wa Ashura, Hashimu Mussa Mbaruku ambaye ndiye aliyekabidhiwa mtoto huyo baada ya kurejeshwa nchini, alisema ameshamuozesha mwanae na hana chochote cha kuzungumza juu ya yaliyomkuta. “Sitaki kusumbuliwa kuhusu suala hilo kwa sababu sijui chochote.

“Sitaki usumbufu wa aina yoyote, nyinyi ni waandishi wa habari kazi yenu kutafuta habari mimi sina cha kusema na sitaki kabisa mnisumbue,” alisema Mbaruku.

Kabuta pia ameeleza kupata taarifa katika mitandao ya kijamii juu ya kitengo cha dawa za kulevya nchini India (NCB) kumkamata Mtanzania, Brayton Lyimo (31) akiwa na dawa aina ya heroin.

Taarifa hiyo iliripotiwa juzi katika mitandao ya kijamii ya Mwananchi ikilinukuu gazeti la kila siku la India la New Delhi, likisema Lyimo alikamatwa Jumanne wiki hii kwenye Uwanja wa Ndege wa Indira Ghandhi jijini Delhi.

Kuhusu mke na mume hao, Kabuta alisema walikuwa wakisafirisha dawa hizo walizozimeza kutoka Tanzania kwenda nchini humo. “Walikamatiwa Zhejiang... Hatujajua idadi rasmi, lakini inakadiriwa mwanamke alimeza kete 80 na mume alimeza 47,” alisema.

Alisema mpaka sasa wanaendelea kushikiliwa nchini humo na kwamba mtoto wao amerejeshwa nchini juzi.

“Baada ya kukamatwa, ubalozi wa China nchini Tanzania wamemleta mtoto huyo na wakati anafikishwa hapa babu yake upande wa mama alikuja kumpokea,” alisema.

Kuhusu Mtanzania aliyekamatwa India alisema amesikia kupitia vyombo vya habari vya nje, “Lazima tujiridhishe na ubalozi wetu nchini India ndiyo tutakuwa na cha kuzungumza.” Taarifa za gazeti hilo la India zinaeleza kuwa Mtanzania huyo alikamatwa baada ya kushuka uwanjani hapo akiwa na dawa hizo zenye thamani ya Dola 160,000 za Marekani ambazo ni takribani Sh400 milioni, kwamba alikuwa akitokea Mumbai.

“Alihojiwa na maofisa wa kitengo cha dawa za kulevya baada ya kutiliwa shaka ikiwa ni jitihada za kuzuia genge la kimataifa la biashara ya dawa hizo,” imeeleza taarifa hiyo.

Maofisa wa taasisi hiyo walisema Lyimo alikuwa ameshika vifurushi viwili vya heroin vyenye kilo 4.8.

Taarifa ya maofisa hao inaonyesha kwamba, baada ya kushuka Uwanja wa Mumbai, mtuhumiwa huyo alipanda ndege kuelekea New Delhi ambako alikamatwa.

Ilielezwa pia kwamba dawa hizo zilitokea nchini Tanzania na alitakiwa kuziwasilisha kwa raia wa Nigeria aishie New Delhi.

Ilielezwa pia kuwa, Mtanzania huyo alishafanya safari nyingine ya kwenda India Januari mwaka jana.

Mkurugenzi wa kitengo cha dawa za kulevya India, Madho Singh alisema wanaendelea na uchunguzi zaidi, huku wakichunguza mawasiliano aliyofanya sehemu mbalimbali.

Wananchi Wadai Sanduku la Kura Limeibiwa

$
0
0

Hali ya sintofahamu imeibuka muda huu katika kituo cha Idrisa kata ya Magomeni baada ya wananchi kudai kuwa kuna mtu ametoroka na sanduku lenye kura.

MCL Digital limefika katika kituo hicho leo Februari 17, 2018 na kukuta wananchi wakiwa wamekaa katika makundi huku polisi wakiimarisha ulinzi.

Wakazi hao ambao hawakutaka kutaja majina yao kwa kuhofia kukamatwa wameieleza MCL Digital kuwa wana uhakika sanduku hilo limechukuliwa na kurejeshwa.

"Kuna gari ilikuja ikaegeshwa pale jirani kabisa na walipo askari halafu ghafla jamaa mmoja akashuka kuzuga zuga hatimaye akanyakua sanduku na kutokomea nalo," amesema mmoja wa wananchi hao.

Amesema baada ya watu kushikwa na butwaa Polisi waliondoka eneo hilo na baada ya muda mfupi walirejea na mtu huyo akiwa na sanduku.

“Yaani wameenda kuweka kura zao halafu wanajifanya sanduku limerudi huo ni mchezo," amesema mwananchi mweingine.

Hata hivyo msimamizi wa uchaguzi wa kituo hicho, Zuhura Mohamed amekanusha kutokea kwa tukio hilo.

"Hakuna kitu kama hicho , mambo yamekwenda vizuri, vituo vilifunguliwa kwa wakati na watu wameonyesha kujitokeza ingawa kasi yao si kubwa sana. Tunaamini wataongezeka,” amesema.

Naye msimamizi wa uchaguzi kituo cha Kwamkunduge kata ya Tandale, Alex Cassian amesema idadi ya wapigakura iliyopo kwenye vitabu vya kupiga kura haiendani na mwitikio wa wapiga kura waliojiandikisha kwenye eneo hilo.

Cassian amesema hadi saa 5:15 asubuhi wapiga kura waliojitokeza walikuwa 60 wakati waliojiandikisha ni 445.

"Hadi muda huu waliopiga kura ni 60 kati ya 445 waliojiandikisha na siku imeisha maana tupo hapa tangu saa 1 asubuhi na nusu siku imeisha kwa kuwa ikifika saa 10 jioni ndiyo mwisho wa kupiga kura," alisema Cassian.


 By Mwananchi



   

Aliyepigwa Risasi ni Mwanafunzi wa NIT

$
0
0

Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT) kimesema aliyepigwa risasi jana Februari 16, 2018 eneo la Mkwajuni jijini Dar es Salaam na kufariki dunia ni mwanafunzi wa chuo hicho.

Chuo hicho kimemtaja mwanafunzi huyo kuwa ni Akwilina Akwiline aliyekuwa anasoma shahada ya kwanza ya ununuzi na ugavi.

Leo, Februari 17, 2018, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amekiri mtu mmoja kupigwa risasi na polisi wakati wakiwatawanya wafuasi wa Chadema walioandamana jana.

Soma: Polisi yakiri kupiga mtu risasi maandamano ya Chadema

Wafuasi hao wa Chadema wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe waliandamana kuelelea ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kinondoni, Aron Kagurumjuli kudai viapo vya mawakala wa chama hicho.

Akizungumza na Mwananchi, Ofisa Uhusiano wa NIT, Ngasekela David amesema wamepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha wanafunzi huyo.

"Ni kweli alikuwa wanafunzi wetu na tumepokea kwa masikitiko taarifa hizi. Tunaendelea kufuatilia zaidi, "amesema David.




Kauli ya polisi kufuatia Mtu Mmoja Kupigwa Risasi Kwenye Maandamano ya CHADEMA Jana

$
0
0

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amekiri mtu mmoja kupigwa risasi na polisi, wakati wakiwatawanya wafuasi wa Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), walioandama jana Februari 16, 2018.


Wafuasi hao wa CHADEMA wakiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe waliandamana kuelekea ofisi ya msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni, Aron Kagurumjuli kudai viapo vya mawakala wa uchaguziwa chama hicho.


Maandamano hayo yalianzia viwanja vya Buibui Mwananyamala ulikokuwa ukifanyika mkutano wa kampeni wa Chadema na yalipofika eneo la Mkwajuni wafuasi hao walitawanywa na polisi, huku mtu mmoja aliyekuwa kwenye basi la daladala akidaiwa kupigwa risasi na kufariki dunia


Kamanda Mambosasa amesema kuwa watu hao waliokuwa wakiandamana, walizuia mabasi yanayotoa huduma ya usafiri wa mwendokasi, na kuanza fujo kwa kurusha mawe, hivyo polisi waliingilia kati na kuwatawanya kwa kufyatua risasi kadhaa hewani, na kati ya risasi zilizofyatuliwa, moja ilimpata mtu.


“Walizuia mwendo kasi, wakaanza kupiga mawe kwa hiyo kati ya risasi za hewani zilizopigwa kuwatawanya kuna iliyompata (mtu),” alisema.


Ufafanuzi huo wa Mambosasa licha ya kutoweka wazi kama mtu huyo aliyepatwa na risasi hiyo amefariki dunia ama la, umekuja huku ikidaiwa kuwa aliyepigwa risasi na kupoteza maisha ni mwanafunzi wa elimu ya juu.


Taarifa za kifo cha mwanafunzi huyo zilianza kusambaa tangu jana, Ijumaa jioni katika mitandao ya kijamii sambamba na kuwekwa picha yake huku ikieleza kuwa amepigwa risasi wakati akiteremka katika basi la daladala.


Mambosasa alipoulizwa kama mtu huyo ni mwanafunzi wa elimu ya juu amesema kuwa haijathibitishwa kama ni mwanafunzi nab ado uchunguzi unaendelea ili kubaini ukweli wa jambo hilo.


“Haijathibitishwa hiyo, nipo kwenye pilika za uchaguzi, nadhani nitajibu hilo nitakaporejea ofisini na kupata taarifa,” alisema.

Huyu Hapa Ndiye Mwanafunzi Aliyepigwa Risasi na Polisi Wakati wa Maandamano ya CHADEMA

$
0
0

Serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO) imepokea kwa mshituko taarifa za kifo cha mwanafunzi Aqulina Akwilini ambaye inasemekana amepigwa risasi na polisi wakati wakikabiliana na waandamanaji wa Chadema jana.Awali taarifa hizo zilimhusisha mwanafunzi huyo na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) lakini baada ya uchunguzi wa kina imebainika ni mwanafunzi anayesoma Chuo cha Usafirishaji NIT

R.I.P

Offer: Ongeza Hips, Makalio, Uume, Nguvu na Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0


OFFER YA VALENTINE DAY🎁
ONGEZA HIPS, MAKALIO, UUME, NGUVU NA HAMU YA TENDO LA NDOA SASA.
KATIKA KUSHEREHEKEA MSIMU WA SIKUKUU (Valentine day) TUNA PUNGUZO LA 20% KWA BIDHAA ZETU ZOTE, IKIWA NI SHUKRANI KWA KUTUUNGA MKONO.
BIDHAA ZETU ZOTE ZIMETENGENEZWA KWA MIMEA NA MATUNDA HAZINA KEMIKALI WALA MADHARA.
KWA WANAUME TUNATIBU
☆Kukosa hamu ya tendo.
☆Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo.
☆Maumbile madogo ya uume.
☆Kuchoka sana wakati wa tendo na uume kusinyaa nk.

@markson_beauty_pr tumeandaa tiba bora kabisa kama ifuatavyo:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @240,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @180,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @250,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/=
PIA KWA WANAWAKE WANAOPENDA KUWA NA MUONEKANO MZURI ZIPO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe bila sugu kwa:-
(a)mafuta @150,000/=
(b) Vidonge @170,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @130,000/=
5.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa vidonge (YODI PILLS ORIGINAL) @230,000/=
6Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @150,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri na garantii ili kukuhakikishia ubora na usalama wa bidhaa za MARKSON BEAUTY CO

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444
na
0714335378
UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.marksnbeuty.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba, Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0

Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?


Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Matokeo ya Awali ya Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Siha

$
0
0
Matokeo ya awali ya uchaguzi wa ubunge Jimbo la Siha  yameanza kubandikwa nje ya vituo vya kupigia kura yakionyesha mgombea wa CCM, Dk Godwin Mollel akiongoza kwa mbali katika baadhi ya vituo.

Katika matokeo hayo, Dk Mollel  anafuatiwa kwa mbali  na mgombea wa Chadema,  Alvis Mossi   huku wa CUF,  Tumsifuel Mwanri  akishika nafasi ya tatu lakini kwa tofauti kubwa ya kura.

Baadhi ya matokeo hayo ni kama ifuatavyo. 

Kituo cha Kirua–Kawate  Kata ya Siha, Wilaya ya Siha 

Mgombea wa CCM  alipata kura  208,
Alvis wa Chadema akipata kura 42
Mwanri  wa CUF akipata kura  10


Katika kituo cha  Lawate namba 2 Kata ya Siha

CCM ilipata kura 300 
Chadema 21
CUF  0.


Kituo cha Lomakaa, 

CCM ilipata kura 190,
Chadema 10 
CUF 0


Pia kituo cha Ofisi ya Kijiji Sanya Juu

CCM ilipata kura 284
Chadema 54 
CUF 1.


Kwa upande wa kituo cha Sanya Juu

CCM ilipata kura 93
Chadema 50
CUF 0


huku kituo cha Kaboko Kusini 2

CCM 403
Chadema 68
CUF  0
Sau 0


Pia Kituo kingine cha Kaboko B;

CCM 106,
CUF 76,
Sau 0

kituo cha Ofisi ya VEO Merali Juu1;

Chadema 33,
CCM 64
CUF 0
Sau 0


Ofisi ya VEO Merali Juu2: 

Chadema 22
CCM 87


Baadhi ya matokeo hayo ni kama ifuatavyo.  

Kituo cha Pyarita kata ya Nasai 
Mgombea wa CCM alipata kura 194
Alvis wa Chadema akipata kura 44
Mwanri akipata Cuf akipata kura 5.




Endelea kufuatilia matokeo zaidi hapa
Viewing all 104808 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>