Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104793 articles
Browse latest View live

Mechi Yaahirishwa Baada ya Kadi Nyekundu 9 Kutolewa Nchini Brazil

$
0
0
Hii imetokea nchini Brazil baada ya mchezo kati ya Vitoria na Bahia baada ya wachezaji sita kutoka katika timu wenyeji ya Vitoria kupewa kadi nyekundu katika mchezo huo na mchezo ukiwa na jumla ya kadi nyekundu tisa.

Mchezo huo wa Derby kati ya timu hizo ulipigwa siku ya jana lakini zikiwa zimebaki dakika 11 kwa mchezo huo kuisha kulitokea fujo uwanjani zilizomfanya muamuzi kugawa kadi nyekundu kama njugu.

Fujo kubwa ilianza baada ya Bahia kusawazisha bao la kuongoza la Vitoria ndipo mchezaji wa Bahia akaenda kushangilia kwa ishara ya kucheza ambayo haikuwa nzuri mbele ya mashabiki wa Vitoria.

Hii iliamsha hasira kwa wachezaji na mashabiki wa Vitoria na ndipo ngumi zikaanza kupigwa na wachezaji watatu kutoka Vitoria na wawili kutoka Bahia walipewa kadi nyekundu wakati wa mvutano huo.

Dakika chache baada ya fujo hizo mpira ulisimama tena na safari hii pia ilikuwa ni kutokuelewana kati ya wachezaji wawili wa timu hizo na wote wakala kadi nyekundu.

Zikiwa zimebaki dakika 13 kwa mchezo kuisha mchezaji wa Vitoria mwingine alipewa kadi nyekundu kabla ya mfungaji wa bao la kwanza la wenyeji kupewa kadi ya pili ya njano baada ya kujibizana na muamuzi.

Hadi dakika 11 kabla ya mchezo huo kuisha ilishuhudiwa Vitoria wakibaki na wachezaji 5 uwanjani hali iliyopelekea muamuzi kuahirisha pambano hilo kwani sheria zinakataza timu kuwa na wachezaji chini ya saba uwanjani.

Comments

Nina Uhakika Simba Watasonga mbele, Yanga Wafanye Kazi”-Shaffih Dauda

$
0
0
Vilabu vya Simba na Yanga vinatarajia kuiwakilisha Tanzania katika michuano ya Afrika leo na kesho michezo ambayo itaamua nafasi ya ya vilabu hivyo kusonga mbele kwenye mashindano.

Simba inashuka uwanjani mucheza mechi ya marudiano dhidi ya Gendarmaie ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa magoli 4-0 katika mchezo wa kwanza uliofanyika Dar es Salaam hivyo Simba inahitaji ushindi au sare yoyote ili waweze kusonga mbele.

Yanga wao siku ya Jumatano watacheza mchezo wa marudiano dhidi St Louis ya Ushelisheli wakiwa wanafahamu ushindi au sare yoyote ndio itawafanya kuendelea na mashindano ya vilabu bingwa Afrika.

Mchambuzi wa masuala ya michezo Shaffih Dauda anaamini kwamba Simba wana asilimia nyingi za kuendelea na mashindano kutokana na matokeo waliyopata kwenye mchezo wao wa kwanza lakini anaamini Yanga wanatakiwa kufanya kazi ya ziada ili kusonga mbele.

“Mechi bado hazijamalizika, walicheza dakika 90 bado dakika 90 nyingine. Wote tulishuhudia mechi zilizopita namna ambavyo timu zetu zilicheza”-Shaffih Dauda.

“Yanga walipata matokeo, wamekwenda ugenini. Ushelisheli ni tofauti na ambavyo tuliwazoea zamani, wana timu nzuri na wana mipango, mechi ya nyumbani Yanga walishinda 1-0 kwa hiyo inabidi wafanye kazi kupata matokeo.”

“Simba wana akiba nzuri ya magoli waliyofunga kwenye mechi yao ya nyumbani, nina uhakika Simba watapeperusha vyema bendere ya Tanzania, Djibouti bado wana safari ndefu.”

Kocha wa msaidizi wa Simba Masoud Djuma amesema wachezaji wote wapo sawa kimchezo isipokuwa John Bocco ambaye aliumia kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Mwadui pamoja na golikipa Aishi Manula aliyeumia kwenye mazoezi ya mwisho kabla ya mchezo huo.

“Tutapambana kama kawaida yetu tupate ushindi hapa au matokeo yoyote yatakayotufanya tuendelee mbele”-Masoud Djuma.

Miaka 9 Katika Ndoa - Simuelewi Mume Wangu Ajanigusa Miezi Sita Sasa Naomba Ushauri

$
0
0

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 33 mume wangu ana umri wa miaka 41. Sote ni wasomi na wafanyakazi. Tumefunga ndoa miaka tisa iliyopita tuna mtoto mmoja ana umri wa miaka 7.Wakati tunafunga ndoa wote tulikua mabikra. Mimi nilikua sijawahi kuwa na mpenzi na mume wangu akuwahi kua na mpenzi..

Tulianza kushiriki tendo la ndoa siku ile tulipofunga ndoa. Kwa kweli kwa ujumla maisha yetu ya ndoa ni ya furaha kwa mambo yote lakini sio ya kiunyumba.

Mimi na mume wangu atujawahi kuwa mbali kikazi. Maisha yote hadi leo tuko Dar es salaam pamoja. Tulipofunga ndoa miaka ya mwanzoni tulikua tunaweza kukutana kimwili hata mara tatu kwa mwezi, miaka ilivyokua inazidi kwenda ikawa kukutana kimwili inakua mara moja kila baada ya miezi miwili na tukikutana ni bao moja tu.

Sasa hali imezidi kua mbaya kwani sasa imepita miezi sita tunalala kitanda kimoja mume wangu ajanigusa, hali hii inanisononesha kwani natamani mtoto wa pili. Kwakweli atuna ugomvi wowote. Mimi na mume wangu wote ni wacha Mungu.

Mume wangu ni mchapakazi sana tukitoka kazini tuko wote na sio mtu anaependa kwenda kutembea bila familia. Jumamosi na Jumapili mara nyingi tunatoka out tukirudi home akuna kinachoendelea, anageuka ukutani analala kama mtoto hadi asubuhi, wala hata anigusi nikimsogelea hata ashtuki.

Na asubuhi tukiamka tunaenda ofisini na akifika ofisini lazima anitumie message, mke wangu nakupenda sana. Simuelewi na nashindwa kumuuliza maana mimi kama mwanamke naona aibu.

Kwakweli mawazo ya kutoka nje ayapo kabisa kichwani mwangu maana simjui mwanaume mwingine zaidi yake pia namuogopa Mungu siwezi kucheat.Ila kwa hali ilipofikia naona bora nitengane nae niishi maisha yangu maana bila unyumba amna maana ya ndoa na nataka sana mtoto.

Wadau naomba ushauri je hii ni kawaida, nifanyeje.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Kutumia Vitabu vya QUR-AN

$
0
0

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu   Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO . Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN .Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA.

Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.  Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107

Hii Hapa Ratiba ya Kuaga Mwili wa Marehemu Akwilina

$
0
0
Hii Hapa Ratiba ya Kuaga Mwili wa Marehemu Akwilina
Ratiba ya kuaga mwili wa Akwilina Akwiline, mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) aliyefariki dunia kwa kupigwa risasi Februari 16,2018 itaanza saa tatu asubuhi Alhamisi.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 20,2018 nyumbani kwa dada wa Akwilina, baba mdogo wa marehemu Valentino Akwiline amesema wanatarajia kuusafirisha mwili Alhamisi Februari 22,2018 kuelekea Mashati Olele wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro kwa mazishi yatakayofanyika Ijumaa.

Amesema ratiba itaanza saa tatu asubuhi kwa mwili kufikishwa nyumbani kwa Tegolena Uiso ambaye ni dada wa Akwilina ambako kutafanyika ibada.

"Mwili utaondoka Muhimbili saa tatu asubuhi kuja hapa nyumbani, tunatarajia ufike saa tano asubuhi na kutakuwa na misa fupi na chakula kwa watakaohudhuria.”

"Tunatarajia saa saba mwili utaondoka hapa nyumbani kuelekea katika viwanja vya Chuo cha NIT ambako shughuli kubwa ya kuaga mwili zitafanyika. Saa tisa alasiri tutaanza safari kuelekea Rombo," amesema.

Soma: VIDEO-Mazishi ya Akwilina kugharimu Sh80 milioni

Wakati huohuo, msemaji wa familia Festo Kavishe ametoa ufafanuzi kuhusu gharama za mazishi akisema zinaweza kubadilika wakati wowote.

"Sh80 milioni yalikuwa ni makadirio ya mazishi haya, lakini tayari tumeshaikabidhi Serikali mchanganuo huo hivyo tunasubiri taarifa kutoka kwao," amesema Kavishe.

Sumaye: Taifa Linaelekea Kubaya Viongozi Wanatakiwa Kusimamia Haki

$
0
0
Sumaye: Taifa Linaelekea Kubaya Viongozi Wanatakiwa Kusimamia Haki
Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye amewataka viongozi nchini kusimamia haki kwa maelezo kuwa Taifa linakoelekea ni kubaya.

Sumaye ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani amewaomba viongozi wa dini kutokaa kimya na kuwataka kukemea maovu yanayoendelea kwani ni jukumu lao na si siasa.

Amesema hayo leo Februari 20,2018 katika Kanisa la Mtakatifu Anna, Hananasif, wakati wa misa ya  kumwombea Katibu wa Chadema, Kata ya Hananasif, Daniel John.

Akitoa salamu za Chadema, Sumaye amesema "Daniel hakufa kwa kuipigania haki, amekufa kwa kupigania haki. Baba paroko nakuhakikishia hii si siasa. Chumvi inapokosa radhi hutupwa nje."

"Haki haitendeki, maumivu yanatokea na tunanyamaza, tunapaswa kutupwa nje na kukanyangwa kanyangwa, Daniel amekuwa chumvi hivyo ametupwa nje," amesema

Akisisitiza, Sumaye amesema "Katika kupigania haki, kuna wachache watamwaga damu, Daniel ni miongoni mwao na hao  hawatarudi, hakuna historia hiyo popote damu hiyo itadai itadai."

Sumaye ameongeza "Taifa lote tukemee na wahusika wakachukua hatua zinazopaswa sina hakika kama zitachukuliwa, pale tunapozipuuza, tukaona hawachukuliwi hatua, siku damu zitakapodai hakuna wa kuizuia."

Kuhusu viongozi wa kiroho, Sumaye ameaema "Viongozi wa dini kemeeni, mnapoona kuna ubaya halafu hamsemi, hii si siasa, kemeeni ni jukumu letu sote na msipokemea taifa hili linakwenda kubaya."

Amesema Mungu ampokee huko kunakostahili na sisi turejee katika mstari na kuwa nia njema yenye amani

Sumaye amesema Chama kimesikitika sana kwa yote yaliyotokea na tangu msiba ulipotokea tumekuwa na familia na tutaendekea kuwa nao mpaka tutakapomsindikiza katika makazi yake ya milele.

Sumaye amesema Mungu anahusika na uhai wetu lakini sisi binadamu tunafanya mambo yasiyostahili.

Akitoa salamu za watu waliokuwa wakifanya kazi kwa ukaribu zaidi ni Severine Kimario amesema zilikuwa taarifa za kushtua kuhusu kifo chake lakini mwisho wa siku kazi ya Mungu haina makosa.

John aliyezaliwa Desemba 26, 1980  , altekwa, kipigwa na kuuawa na watu wasiojulikana Februari 11,2018 kisha mwili wake kutupwa fukwe za Coco.

Baada ya misa, mwili wa John unasafarishwa kwenda Mafinga mkoani Iringa kwa mazishi. John ameacha watoto wawili na mjane mmoja.

Baadhi ya viongozi waliohudhuria misa hiyo ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Profesa Abdallah Safari, Meya wa Ubungo, Boniface Jacob, mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea na mbunge wa Viti Maalum, Susan Lyimo.

Serikali yatoa Tamko Walimu wa Sekondari Kufundisha Shule za msingi

$
0
0
Serikali imesema mwalimu wa sekondari kufundisha shule ya msingi si kushushwa cheo na wala si jambo la ajabu.

Taarifa ya mkuu wa kitengo cha mawasiliano Ofisi ya Rais (Utumishi), Florence Lawrence imesema Serikali kuwapangia baadhi ya walimu wa sekondari kufundisha shule za msingi ni moja ya hatua za kuongeza ufanisi na kuleta mgawanyo sawa wa walimu katika shule hizo.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dk Laurean Ndumbaro amekaririwa katika taarifa hiyo iliyotolewa leo Februari 20,2018 akisema hatua hiyo haimaanishi kuwa walimu wanaotoka katika shule ya sekondari kwenda kufundisha msingi wameshushwa cheo.

Dk Ndumbaro ametoa ufafanuzi huo katika kikao kazi na watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako.

Amesema lengo la Serikali ni kuondoa upungufu wa walimu katika shule za msingi na kuimarisha utoaji wa elimu.

Katibu mkuu ameainisha kuwa sifa za kufundisha na kiwango cha elimu zinaendana na mabadiliko yanayotokea duniani, hivyo mwalimu mwenye elimu ya kiwango cha Shahada ya kwanza kufundisha shule ya msingi isionekane ni jambo la ajabu.

Dk Ndumbaro amewaambia watumishi wa umma kuwa, maendeleo katika sekta yoyote, ikiwamo ya elimu yanakuja na mabadiliko hivyo wayapokee na kufanya kazi ili kufikia lengo.

Ujumbe wa Mwisho wa Marehemu Akwillina Unasikitisha

$
0
0
Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT) aliyepigwa risasi Februari 16, 2018 eneo la Mkwajuni-Kinondoni jijini Dar na kufariki dunia, kabla ya tukio hilo alitoa ujumbe wa kusikitisha kwa familia yake kabla ya kupatwa na mkasa huo, Uwazi limeelezwa.

 Mwanafunzi huyo aliyekuwa anasoma Shahada ya Kwanza ya Ununuzi na Ugavi (Procurement and Logistics), Akwillina Akwilini alizungumza na mmoja wa ndugu zake wakati akiwa hajui nini kitampata saa chache zijazo, kwa mujibu wa ndugu yake, Ester Michael.

Ndugu yake huyo alisema, Akwillina alimwachia ujumbe mzito ambao unazunguka kichwani mwake na kila alipomsimulia mwanafamilia yeyote aliishia kutokwa na machozi.


Aliniambia: “Mimi ninasafiri (alikuwa akienda Bagamoyo), lakini sijajua nitarudi lini. Unajua ninapambana na maisha, nataka nitoke, lakini pia nataka niwasaidie wazazi wangu (wazazi wake ni wakulima na wafugaji), kwa hiyo niombee tu kwani na wewe pia utanufaika na mafanikio yangu.”

 Akaongeza kuwa, licha ya ujumbe huo, alimwambia kwamba wakati anakazana na elimu, yeye msanii akazane na sanaa yake ili waweze kusaidiana kuinua familia yao.

Baadhi ya marafiki wa marehemu akiwemo Jack John alisema polisi wanatakiwa kuwa makini na silaha za umma kwa sababu zinasababisha vifo kwa watu wasio na hatia.

“Unakumbuka tukio la Iringa ambalo mwanahabari Mwangosi aliuawa kwa bomu? Kuanzia pale walitakiwa kuwa makini na tahadhari na silaha wanazokabidhiwa,” alisema Jack huku akitokwa na machozi.

NDUGU WATAKA HAKI ITENDEKE

Tugolena Richard Uiso, ambaye ni dada wa Akwillina aliyekuwa akiishi naye maeneo ya Mbezi-Luis jijini Dar, akizungumza na gazeti hili alisema kuwa, familia ilishtushwa na taarifa za kifo chake na akaiomba serikali itende haki kutokana na kifo cha ndugu yake.

Alisema awali hawakuamini kuwa mdogo wake alikuwa amefariki dunia kwa sababu walijua yupo chuoni.

“Ijumaa iliyopita tulipata taarifa kuwa amepigwa risasi Kinondoni na amepelekwa hospitalini Mwananyamala, tulishangaa kwa sababu ndugu yangu hakuwa na jambo la kusababisha apigwe risasi, ikabidi twende kuhakikisha ile taarifa,” alisema na baada ya kwenda hospitalini waliutambua mwili na kuthibitisha kuwa ndiye mtoto wao.


HAKUWA KWENYE HARAKATI ZA SIASA

“Wenzetu walipokwenda Polisi Oysterbay, waliambiwa mwili utapelekwa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi zaidi, lakini sisi tunataka haki itendeke katika hili kwa sababu mdogo wangu hakuwa kwenye harakati za kisiasa, alikuwa akifuatilia mambo yake ya masomo, tumebaki na simanzi, tunasubiri kinachoendelea,” alisema.

Alisema Akwillina ni mtoto wa sita kwa wazazi wake wanaoishi Olele wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro na akafafanua kuwa wazazi wake hao wanajishughulisha na kilimo na ufugaji na marehemu alifika Dar kwa ajili ya masomo.

MITANDAONI

Kutokana na tukio hilo, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu katika taarifa kwa vyombo vya habari ulisema ulipokea kwa masikitiko kifo cha mwanafunzi huyo.

“Mauaji haya ya kikatili yanasikitisha sana na sisi kama watetezi wa haki za binadamu tunalaani vikali vitendo hivyo kwa kuwa ni kinyume kabisa na haki za binadamu,” ilisema taarifa hiyo iliyosainiwa na mratibu wake, Onesmo Olengurumwa.

“Tunaviomba vyombo husika kuchukua hatua stahiki kwa waliotekeleza mauaji ya raia wasiokuwa na hatia,” ilisema taarifa hiyo.







RAFIKI YAKE ANENA

Rafiki wa mwanafunzi huyo, Hidaya Shaaban alisema kuwa, siku hiyo ya tukio Akwillina alimuaga kuwa anaelekea Bagamoyo mkoani Pwani kupeleka barua ya mafunzo kwa vitendo.

“Najisikia vibaya na nimeumia, aliniaga anakwenda kupeleka barua yake ya ‘field’ na alikuwa nayo kweli, jioni nikashangaa kupata taarifa kuwa amepata ajali na sikujua ajali gani, lakini baadaye nikaambiwa mauti yamemfika,” alisema.

Alisema awali hakujua kama alifariki dunia kwa kupigwa risasi.

Gazeti hili lilishuhudia watu wengi waliofika nyumbani kwa dada wa marehemu, Mbezi-Luis, eneo la Kaburi Moja wakiwa na majonzi na wengine kuzimia baada ya kulia mno wakati maombolezo yakiendelea.

 WANASIASA

Chama cha ACT Wazalendo kilisema kuwa, kilipokea kwa masikitiko tukio la mauaji ya mwanafunzi huyo.

“Tunasikitika na tunakataa kuona Tanzania inaingia katika ubaguzi wa vyama. Utu na heshima ya binadamu wa Tanzania hauwezi kupimwa na uvyama, tunaomba viongozi wa dini na makundi mengine ya kijamii kukemea mauaji haya,” ilisema taarifa hiyo iliyotolewa na mwenyekiti wake, Yeremia Maganja.

Februari 17, 2018, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa alikiri mtu mmoja kupigwa risasi na polisi wakati wakiwatawanya wafuasi wa Chadema waliokuwa wakiandamana.

 ILIVYOKUWA SIKU YA TUKIO

Wafuasi hao wa Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe waliandamana kuelelea ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kinondoni, Aron Kagurumjuli kudai viapo vya mawakala wa chama hicho.

Ofisa Uhusiano wa NIT, Ngasekela David alisema kuwa wamepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha wanafunzi huyo.

 “Tumepokea kwa masikitiko taarifa hizi. Tunaendelea kufuatilia zaidi,” alisema David.

Hata hivyo, licha ya kusema kwamba wamepata taarifa za tukio, David alisema kuwa, suala hilo lipo katika mikono ya polisi na familia yake.

“Tulipata taarifa za msiba wa mwanafunzi huyu kutoka kwa mwanafunzi mwenzake aliyekuwa akiishi naye kwenye chumba kimoja nje ya chuo, tumesikitishwa na kifo chake hivyo tunaendelea kuwasiliana na familia kujua utaratibu,” alisema.



Baada ya taarifa za kifo cha mwanafunzi huyo kufika NIT, vilio, huzuni na majonzi vilitawala. Hata juzi mchana wakati waandishi wetu walipofika chuoni hapo, waliwakuta wanafunzi wakiwa katika vikundi huku karibu wote wakiwa na nyuso za huzuni.

Paul Sabuni ambaye ni kiongozi wa darasa alilokuwa akisoma marehemu, alisema kabla ya kifo chake alifika chuoni kusaini ‘course work’.



“Alikuja saa tisa kuangalia matokeo yake na kwa kweli alikuwa amefanya vizuri, alikuwa msichana mzuri anayejituma darasani, tumeumia mno. Sikuwahi kusikia kama anajihusisha kwa namna yoyote na siasa wala chama,” alisema Sabuni ambaye ni Waziri wa Mikopo wa Serikali ya Wanafunzi wa NIT.

Imeandikwa na Richard Bukos na Mayasa Mariwata.

JE Umehangaika na Matatizo ya Kimapenzi Kwa Muda Mrefu? Muone Shehe Chalo Atakutatulia Matatizo yako Kirahisi

$
0
0

JE umehangaika na matatizo haya kwa muda mrefu mtalamu Challo anayo dawa ya kuvuta mpenzi Je unasumbuliwa na mpenzi umeachwa na mpenzi au Mme mke na Bado unampenda na umejaribu sehemu nyingine Bila mafanikio njoo utatuliwe haraka na kundumisha ndoa yenu..

Umekimbiwa na mmeo mkeo au mpenzi na anaishi na mtu mwingine atarundi haraka kusafisha nyota mvuto wa mwili na biashara minguu kufa ngazi kuwaka moto ngiri tumbo kuunguruma na wakina Baba wasiojiweza katika tendo la uyumba kuchelewa kufika kileleni tunatibu Busha Bila oprasheni bali kwa kutumia vitabu vya dini

Tunatoa pete ya utajiri Bila mashariti mkufu wa bahati unauza Mali ya haindi unapoteza pesa kwenye biashara yako Bila kujua unataka kupandishwa cheo

Wasiliana na mtalamu Shehe Challo 0714006521

Baby Shower ya Mtoto wa Gigy Money Yabuma...Apitisha Kapu la Mchango Kwa Wasanii

$
0
0
MWANADADA machachari kwenye Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ambaye anatarajia kujifungua mwezi ujao, amejikuta akishindwa kufanya shughuli ya maandalizi ya mapokezi ya mwanaye wa kike atakayemzaa ‘baby shower’ kutokana na mambo ya fedha kutokaa kwenye mstari.

Habari za ndani zilizonaswa na gazeti hili zilieleza kuwa, awali Gigy hakuwa na mpango wa kufanya shughuli hiyo hadi atakapojifungua, lakini baadhi ya marafiki zake wakamshawishi aifanye Jumamosi iliyopita, lakini siku ilipowadia akagundua bajeti ya shughuli haijatimia.

 Alipotafutwa Gigy kuhusu ishu hiyo alisema: “Nilikurupuka kuandaa shughuli ndani ya wiki moja wakati ninataka iendane na hadhi ya jina langu, nikaona isiwe tabu, bora nisogeze mbele hadi wiki ijayo, Inasemekana kwa sasa Gigy anapitisha kapu la michango kwa wasanii wenzake ili kufanikisha shughuli hiyo..



Stori: Mayasa Mariwata, Dar

Vanessa Mdee Awaiga Ben Pol, Alikiba na Ommy Dimpoz Kubadili Rangi ya nywele

$
0
0

Msanii Vanessa Mdee ameingia kwenye list ya wasanii wa muziki wa bongofleva waliobadili muonekano wao nywele za kichwani ambapo kwa kipindi cha hivi karibu imeonekana kama ni fashion waliyomuiga msanii Ben Pol kutokana na yeye kubadili nywele zake kuwa za kijani hadi kutungiwa jina la kijani kibichi..

Sasa Vanessa amepost picha zinazomuonesha akiwa amebadili rangi ya nywele na kwenye post ya kwanza ameandika caption iliyosomeka…>>>“New Hair Who Dis? @iambenpol najua umefarijika sana 🤣📸 ” na post ya pili akaandika…>>>“Fresh outta Wakanda #WakandaFever” – Vanessa

Baba Mzazi wa Akwilina aomba kuonana na JPM, amesema ana siku 4 hajaoga

$
0
0
Baba mzazi wa aliyekuwa mwanafunzi wa chuo cha usafirishaji NIT aliyefariki kwa kupigwa risasi February 16 mwaka huu maeneo ya Kionondoni Dar es Salaam amesema ana siku ya nne hajaoga kufuatia taarifa za kifo cha mwanae huku akisema amemsomesha Mtoto wake kwa kuuza vitu vidogovidogo kama kuku, mayai na maembe ili aweze kusoma.

Akizungumza Ayo TV na millardayo.com Mzee Akwilini Shirima amesema angekuwa na uwezo angeonana na Rais Magufuli ili amweleze suala hilo nakuomba Serikali kumsaidia kwa chakula na sehemu pakuishi. VIDEO:

PICHA: Gari Jipya la Mbwana Samatta Analotembelea Ubelgiji

$
0
0
Moja kati ya majina makubwa katika soka kutokea ukanda wa Afrika Mashariki basi huwezi kuacha kutaja jina la nadhoa wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa katika club ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta.

Samatta ni moja kati ya mastaa wa soka ambao hawapendi kuweka mali zao hadharani mara kwa mara lakini leo amepost picha ya gari nyeupe lakini kwa mujibu wa maneno yake aliyoyaandika May 26 2015 katika picha ya Range Rover yake aliyoipost instagram, gari ya leo pia inatajwa kuwa ni lake.


“Hello insta friends off to trainning this morning #Vboss hii picha inamaelezo mengi sana ambayo nahisi nikiyaandika apa naweza kuharibu pia, bora nikae kimya lkn nadhan picha yenyewe itatoa somo especially kwa wachezaji uzao wa sasa ktk soka la tanzania.
NB.nshaacha toka 2012 kupiga picha kwny magar ya watu.”


Hii ndio picha ya gari aliyoipost 

Hivyo baada ya leo kupost picha Mbwana Samatta akiwa katika gari nyeupe, wengi wameatafsiri tu hiyo ni gari yake mpya japokuwa kwenye caption ameweka emoj pekee lakini kwa mujibu wa maneno yake kuwa “Nishaacha toka 2012 kupiga picha kwny magar ya watu” aliyoiandika mwaka 2015 inadhihirisha kuwa gari hilo ni lake, hii ni gari ya tatu Mbwana Samatta kwa gari zake zilizopo Ubelgiji baada ya Mercedes Benz mbili nyekundu na nyeusi alizowahi kuzipost.

Simba Sio wa Mchezo Wampiga Mtu Kwao...

$
0
0
Club ya wekundu wa Msimbazi Simba jana ilicheza mchezo wake wa marudiano wa Kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya wenyeji wao Gendermarie nchini Djibout, Simba ilikuwa inahitaji walau sare.

Simba katika mchezo wa kwanza uliyochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ulimalizika kwa Simba kupata ushindi wa magoli 4-0, hivyo mchezo wa leo walikuwa wanahitaji sare au kupoteza kwa chini ya magoli matatu kwa bila.

Good news ikufikie Simba licha ya kuwa katika ardhi ya ugenini wamefanikiwa kuitoa Gendermarie baada ya kuifunga goli 1-0 lililofungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 53, ushindi huo unaifanya Simba kufuzu hatua inayofuata kwa ushindi wa jumla ya magoli 5-0.

Idadi ya Watu Waliofariki kwa Kipindupindu Dodoma Ndani ya siku 150

$
0
0
Habari kutokea Dodoma zinaeleza kwamba Watu 20 wamefariki dunia mkoani humo kufuatia kuzuka kwa mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu kuanzia mwezi October mwaka jana wakati na wengine 471 wakiripotiwa kutibiwa hospitalini.

Kwa mujibu wa Mganga mkuu wa mkoa Dr James Kiologwe amesema idadi ya wagonjwa imezidi kuongezeka huku kwa siku ya jana pekee walipokea jumla ya wagonjwa kumi katika vituo vya afya na hospitali mbalimbali za mkoani humo .

Download Application ya MCHAMBUZI HURU Kwenye Simu yako Kusoma Habari za Siasa Kila Baada ya Lisaa Limoja

$
0
0
Maswala ya Siasa na Matamko ya kila siku ya Wanasiasa Hakikisha Umedownload App ya Mchambuzi Huru Kwenye simu yako


Kama we ni Mpenzi wa Habari za Siasa Usipitwe na Hii Application ya Mchambuzi..... 

Bonyeza HAPA Kudownload kwenye Simu yako


Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN na Nyota

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

 ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO   HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, NA KUPONYA MAGONJWA SUGU ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

JE UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp 0622766715

Watu Watokwa Povu Kisa Bejeti ya Milioni 80 ya Mazishi ya Mwanafunzi Akwilina

$
0
0
Watu Watokwa Povu Kisa Bejeti ya Milioni 80 ya Mazishi ya Mwanafunzi Akwilina
Bejeti ya milioni 80 ya mazishi ya mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), anayedaiwa kuuawa na polisi wiki iliyopita, Akwilina Akwiline, imekuwa gumzo katika mitandao ya kijamii.


Familia hiyo imeikabidhi serikali bajeti ya maziko ya zaidi ya Sh milioni 80 baada ya serikali kusema itagharamia mazisho hayo.

Msemaji wa Familia, Festo Kavishe amekabidhi bajeti hiyo leo Jumanne Februari 20, kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk. Leonard Akwipalo na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisali Makori.


“Hayo ndiyo makubaliano ya familia, tumewakabidhi wataenda na kujadiliana kisha tutakutana nao saa 10 jioni leo, kisha watatueleza ya kwao pia, tunachohitaji ndugu yetu apumzike kwa amani,” amesema Kavishe.

Baada ya kukabidhi bajeti hiyo kwa serikali, wadau mbalimbali wa mambo katika mitandao ya kijamii wamekuwa wakiijadili bajeti hiyo. Haya ni baadhi ya maoni ya wadau hao katika mitandao ya kijamii.

G de Don
Mbn pesa kidogo ivo!
Naiomba familia iwe serious bas msifanye bajeti kwa woga tulizeni akili hiyo ni kwa ajili ya mazishi bado mambo kadha wa kadha ya msiba na familia

Maimuna Mohamed
Kabsa mana wakat unatoa gharama zako kumsomesha mtoto wako ina mana kwmba ni kwa faida yake na ya mzazi pia hta kma roho ya mlengwa haitorud kma wao wamewakomoa familia ya marehemu bac na familia ina haki ya kuamua chchte tna hyo ndgo wangesema hta million 150 angalau hv wanajua mpka hpo marehemu alipofikia ameshatumia gharama shs ngpi?Kwanza wazaz wake wameshakuw wazee ni bora wapewe hzo fedha ziwafae uzeeni..nyie mnaosapot serikali halijawah kuwakuta ndo mana.

OG Dogo Maginga Tz
Mmmmmh mil80 yote duh 😊😊R. I. P Mdogo wangu huku umeacha watu kupiga dili wachaga hawapendi ujinga hii inaitwa kufa kufaana.

Kelvin Korosso
Watu wa hajabu kweliii hii familia yaanii mnafurahi mwanenu kufa ilmradi mpate mihelaa iyo mmegeuza kifo cha mwanenu mtajiiiii?? hama kweliii umaskini kitu kibaya saana nimeamini!!

John Hizza
Hiyo ni bajeti yao musiwaingilie kama mumeshindwa kugaramia kama ahadi yenu mulioitoa basi changieni na ijulikane kuwa niwachangiaji tuh hamkugaramia garama yote kama ahadi yenu mulioitoa kimhemko

Vivquetyviv Viv
Serikal iwe makini ..kwa bajeti hii mnakula chakula gan njiani cha mill 3 ..uko rombo mnakula nn mill 30 mwisho wa siku msiba ukiisha mnaaza kugombana mwenyewe

Shilole Atwangana na Mume Wake Uchebe Kisa Hiki Hapa

$
0
0
Shilole Atwangana na Mume Wake Uchebe Kisa Hiki Hapa
Msanii wa muziki nchini Tanzania, Zuwena Mohamed 'Shilole' amesema hawezi kuthubutu kwa sasa kupigana na mume wake Uchebe kwa kwa madai amekuwa na mapenzi ya kupigana yalikuwa ya utoto.

Shilole amebainisha hayo kupitia eNewz inayorushwa na EATV baada ya kuzoeleka na watu wengi kwa tabia yake ya kupiga wanaume ambao anakuwa nao katika mahusiano na kusema kwa sasa hawezi kuthubutu kufanya hivyo na kama atampiga mume wake basi ni wakiwa faragha nasio pengine.

"Mume wangu ni mwanaume mwenye msimamo katika jambo lake ambalo anataka kulifanya. Siwezi kupigana nae  maana alikuwa anapigana kabla ya kuwa nami na ana mkanda huyo usimuone hivyo. Mambo ya kupigana yalikuwa zamani ya kitoto lakini sasa hivi nimekuwa siwezi kusema nataka kupigana na mume wangu wala mume wangu hawezi kusema ainue mkono anipige", amesema Shilole.

Pamoja na hayo, Shilole ameendelea kwa kusema "mimi ni mtu makini sana ninaejitambua na kujithamini, endeleeni kufuatilia harakati zangu ambazo ninazifanya katika haya maisha.




DC Aagiza Polisi Wavaa Nusu Utupu na Milegezo

$
0
0
DC Aagiza Polisi Wavaa Nusu Utupu na Milegezo
Mkuu wa wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya Rehema Madusa ameliagiaza Jeshi la Polisi kuwakamata Wadada wote wanaovaa nguo nusu utupu  na wanaofanya biashara ya kuuza miili yao ili wakasaidie ujenzi wa nyumba za jeshi la Polisi.

DC Madusa amesema wale wote watakaomatwa adhabu yao itakuwa kufyatua tofali zitakazosaidia katika ujenzi wa nyumba za Askari polisi kwa kuwa kuna changamoto kubwa ya makazi ya Askari
Viewing all 104793 articles
Browse latest View live




Latest Images