Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live

Mapenzi ya Nisha na Brown wa Wolper Hayashikiki Hapa Ndipo Yalipofikia

$
0
0
Mapenzi ya Nisha na Brown wa Wolper Hayashikiki Hapa Ndipo Yalipofikia
Muigizaji wa Bongo movie Salma Jabu maarufu kama Nisha ameendelea kuwa kwenye Headlines baada ya kuzidi kuonekana kwenye mapozi ya kimahaba na Mwanaume aliyewahi kutoka kimapenzi na muigizaji Wolper.

Wawili hawa wamekuwa wakionekana mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii lakini wanapotafutwa kuzungumzia hilo wamekuwa hawatoi ushirikiano wakutosha, sasa leo March 27, 2018 muigizaji huyo ameendelea kuweka video ikimuonesha waki-kiss na Brown kitu kilicho endelea kuwa Gumzo mtandaoni.

Nisha amepost video hiyo na kuandika ujumbe huu….>>>“kitu pekee tunachohitaji ni FURAHA ila mara nyingi tunaangukia kwny VILIO vya kujitakia. washauri wa mapenzi ni wengi ila unahisi unaweza kunishauri wa kuwa naye wkt tayari moyo wangu upo sehemu fulani.

“Ila kabla hujanihukumu mimi Nishabebe au Brown je USHAWAHI KUUMIZWA? hadi ukayachukia mapenzi na kutamani uwe #BACHELA miaka yote? kama jibu ni ndio USIHUKUMU kitabu kwa cover la nje. kama jibu ni HAPANA endelea kutupa madongo yanatukomaza kiakili. wacha nikwambie siri NASOMA COMMENT zote na yule BUBU BADO HAJAONGEA” – Nisha

Samatta Afunguka Kuhusu Taifa Stars

$
0
0
Samatta Afunguka Kuhusu Taifa Stars
Nahodha wa Taifa Stars ambaye anayekipiga kwenye klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta amesema ipo haja ya kuwepo mechi za kirafiki nchini kwa madai kitendo hicho kitapelekea kuwajenga vizuri wachezaji wa ndani pamoja na kuwapa uzoefu mkubwa.


Samatta ametoa kauli hiyo muda mchache ilipomalizika mechi yao dhidi ya DR Congo (The Leopards) kwenye mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA kwa mwezi Machi uliomalizika ikiwa Stars wamepata ushindi wa mabao 2-0 mtanange uliyochezwa kwenye uwanja wa taifa Jijini Dar es Salaam.

"Mechi hizi za kirafiki nafikiri Tanzania wanazihitaji kwa sana japokuwa ni 'game' ngumu lakini mwisho wa siku unapopata matokeo mazuri yanasaidia kukusogeza kwa kiasi fulani katika viwango vya FIFA, pia hata usipopata matokeo mazuri yanaweza kukusaidia kukujenga katika kujiamini na uzoefu zaidi", amesema Samatta.

Pamoja na hayo, Mbwana Samatta ameendelea kwa kusema "ni michezo ambayo tunaihitaji katika kuwajenga wachezaji wetu wa tanzania hata ikitokea tukakutana nao katika mashindano inatusaidia kupata matokeo mazuri kutokana na uzoefu".

Kwa upande mwingine, Samatta amesema anatamani kuwaona wachezaji wengi kujitokeza katika kuijenge timu ya Taifa ili izidi kuwa bora zaidi.

Basata Yakanusha Kufungulia Nyimbo za Daimond " Hatujafungulia Nyimbo za Daimond"

$
0
0
Basata Yakanusha Kufungulia Nyimbo za Daimond " Hatujafungulia Nyimbo za Daimond"
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), limesema nyimbo mbili za Diamond, hazijafunguliwa kama inavyodhaniwa.

Akizungumza na MCL Digital, leo Machi 28, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Godfrey Mngereza amesema nyimbo za Wakawaka na Hallelujah hazijafunguliwa na jambo hilo halina ukweli wowote na kuwataka wananchi kulipuuza.

Kadhalika, Mngereza ametoa ufafanuzi kwa nini msanii Diamond amekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza na sio wasanii wengine.

Mngereza ametoa ufafanuzi huo baada ya kusambaa kwa taarifa iliyoeleza msanii huyo kakutana na mawaziri hao.

Baada ya taarifa hizo, kulizuka gumzo mitandaoni ambapo watu walihoji kwa nini wakutane na msanii huyo wakati kuna waliofungiwa nyimbo zao kama yeye na wengine kufungiwa kufanya muziki kwa miezi sita.

Mngereza amesema hatua hiyo imetokana na majibizano yaliyokuwa yanaendelea kati ya Diamond na naibu waziri Shonza na ndio sababu iliyowafanya wawili hao wakutanishwe meza moja ili kuyamaliza.

Akihojiwa katika kituo cha Redio Times FM, Diamond alisikika akimrushia maneno moja kwa moja Shonza kuwa amekuwa akiwafungia wasanii nyimbo zao na kuwafungia wasifanye kazi kwa lengo la kutafuta  umaarufu na kuogopa kutumbuliwa.

Hata hivyo, kwa upande wake Shonza alisema hayupo tayari kujibizana na msanii huyo mitandaoni kwa kuwa aliyemfungia si yeye, bali ni serikali na kumtaka kufuata taratibu kama anaona ameonewa ikiwemo kufika Basata, Wizarani au kuandika barua, jambo ambalo Diamond alilitekeleza siku ya Ijumaa.

Akizungumzia hilo, Mngereza alitaka wananchi waelewe kwamba malumbano hayo ndicho chanzo cha Diamond kukutana na mawaziri hao na kuwataka kuondoa dhana kama mtu aliyepewa upendeleo katika sakata la kufungia nyimbo.

Alipoulizwa kuhusu kukutana na wasanii wengine wenye malalamiko amesema mpaka sasa hajapata barua yoyote ya wasanii hao kutaka kuonana nao.

Dar es Salaam Fahamu Siri Kubwa ya Utajiri Ambayo Matajiri Hawataki Uijue

$
0
0
Hope wengi wetu tupo tuna jishughulisha na biashara  kama kilimo na biashara zingine tofauti tofauti

But tukumbuke Technology inaenda fasta sana hope mmeshasikia about Bitcoin , Ripple na Cryptocurrency zingine kwa ujumla. Ni decentralized digital money ambazo zinakuwa kwa kasi sana
Chini ya its innovative blockchain technology huku soko lake Duniani likifika zaidi ya billion 700 Jan 2018.

Juzi tu mlisikia mmiliki wa Ripple  Chris Larsen kawa tajiri namba 5 duniani kutokana na crypto.... Pia msanii 50 cent baada ya kufilisika juzi katangazwa ni millionea  mpya just because alikuwa ana hold bitcoin za kutosha.

Binafsi  I have been investing and trading katika hilo soko na ningependa na ndugu zangu wa mbeya mkalijua hilo soko vizuri.

Bado mapema ni muda wako muafaka upate elimu sahihi ili uweze kuendeleza safari ya mafanikio

Angalia coin ya Ripple january 2017 ilikuwa inauzwa 0.002 but leo inauzwa dola 1.

Kama unge invest dola 100 ungepata coin elfu 20.

Ambazo leo ungekuwa na dola elfu 20,000 sawa na zaidi ya million 40 za kitanzania.

Zipo coin nyingine very smart

Hakuna mtu aliyezaliwa na utajiri au umaskini.

ELIMU KWANZA, MENGINE BAADAE

Gamy
# CMC Co- Founder


Jiunge na group la whatsapp uwepo katika watu 200 wa mwazo kwa ajili ya free training class April 2018

bonyeza hapa chini kuweza kujiunga na group

https://chat.whatsapp.com/CB5jVNJ04a7IyW9MM7z0hf

Nafanya Biashara ila Mume Wangu Hajui Nimemficha...Ushauri Tafadhali

$
0
0

Mimi ni mama nimeolewa miaka mingi tu(zaidi ya kumi sasa), na Mungu katujaalia watoto,
hapo nyuma tulifungua biashara kadhaa na mume wangu lakini biashara zote hizo zilikufa kutokana na yeye kuchukua pesa kutumia akisema atarudisha halafu harudishi..hili lilisababisha biashara zikafa kwani mitaji ilikufa kutokana na yeye kuchukua pesa halafu harudishi.. basi mchezo ndio ulikuwa huo kwa biashara zote mwishowe nikaamua kukaa bila biashara kwani kwa kiasi kikubwa ni kama vile tulikuwa tunamfanyia yeye..pamoja na hivo vibiashara mimi na yeye wote ni waajiriwa..

Sasa baada ya kuacha biashara za familia mimi nikaanza biashara yangu mwenyewe pasina kumwambia mume wangu, nimefanya kwa siri hiyo biashara na kwa kweli namshukuru Mungu inaenda vizuri kwani nilianza na mtaji mdogo lkn sasa nina turnover nzuri tu, kwa kweli namshukuru Mungu..

Sasa biashara imekua na wakati mwingine inanibidi kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya hiyo biashara yangu...nimeshafanya mara kadhaa lakni namdanganya naenda kikazi (nimeajiriwa pia) while in fact nasafiri kwa mambo yangu tu.. na hapo hapo nimeweza kununua plot 3 na nyingine moja nimeanza kujenga sijamwambia, kwani pesa hizo napata kwenye biashara yangu na yeye haijui hiyo biashara..na zenyewe hizo plot na nyumba nayojenga sijamwambia sababu naogopa nikimwambia ataanza kunihoji umepata wapi hela wakati nafanya biashara ambayo namshukuru Mungu kwa kweli inanilipa kdg, nilianza kama utani tu lakini inaenda vizuri..(sio sembe jamani) ni biashara ya kawaida tu ya kununua bidhaa na kuuza..

pia nilinunua gari ambayo nilimdanganya nimekopa kazini lakni ukweli sijakopa popote, nimenunua tu kwa vihela vya mshahara pamoja na faida kutokana na hiyo biashara nayofanya..

Sasa nifanyeje ndugu zangu, nimwambie mume wangu au niendelee kuuchuna tu? naogopa nikimwambia ataanza yale yale ya kukopa hela halafu harudishi...kwa ujumla hana discpline na hela, ana matumizi mabaya na huwa anaishiwa na kuanza kukopakopa watu, kitu ambacho nimemdhibiti lkn nimeshindwa..

Naogopa nikifa leo sijui itakuwaje, huyu ninayefanya nae biashara hatanidhulumu? (kuna mtu nimemuajiri, tunaelewana sana, lkn hajui km mume wangu hajui kwani sijamwambia hayo,)...watoto wangu sio wakubwa wa kuwashirikisha vitu km hivyo kwa hivo hawajui..

Lakini nimemwambia kaka yangu na nimeandika usia, na pia kaka yangu anajua hizo plot zote nilizonunua na nyumba nayojenga, nimemuonyesha na nimemwambia kabisa kuwa shemeji yako(yaani mume wangu) hajui...nina dada yangu ambaye ningeweza kumwambia na yeye lkn si mtu mwenye kutunza siri anaweza akaropoka ikawa tabu kwa hivo sijamwambia..

Jamani wadau niko sawa au? hebu nisaidieni mawazo

Jinsi Wake za Watu Vyuoni Wanavyomegwa Kisela na Wanafunzi

$
0
0
Wadau habari za siku!! Nimeona nitoe kisa hiki nilichopata kusimuliwa na kukishuhudia miaka ya 2000's UDSM.

Kulikuwa na bi mdada kutokea maeneo ya kanda ya ziwa alikuwa ameolewa na kipindi hicho alikuwa na mtoto mmoja. Hakuwa mtu mzima sana kiumri bali alikuwa wa makamo hivi kama miaka ya early 20's. Bi dada alikulia maisha ya boarding kuanzia form 1 to VI. Pia alikuwa akimwambia jamaa kwamba hakuwa na mahusiano na wanaume mbaka alipomaliza kidato cha sita na kukutana na mwanaume wake wa kwanza huko huko wilayani kwao bukoba. Alipofika chuoni hakuonyesha dalili za kuwa uhitaji wa mwanaume lakini siku zilivyozidi kwenda akaanza kuzoeana na mkaka huyo rafiki yangu. Aliingia kwenye janga la kuwa na nyumba ndogo ya kiume aka kidumu kutokana na mazoea ya karibu na utani uliovuka mipaka na huyo jamaa yangu!!

Ni katika makundi ya kujadili (Group Discussion) za usiku kwenye common rooms kwenye hostel fulani zilizopo hapa hapa dsm ndipo mchezo huo ulipoanza kati ya watu hawa wawili. Jamaa alisema kwamba, walianza kama utani kutekenyana miguuni wakiita jina la kubip. Mdada akawa anajirusha sana kila akiguswa kumaanisha anazo za kutosha mwilini mwake. Basi jamaa hakumtongoza wala kumshawishi kwa maneno yeyote bali ni vile vitendo vyao wakiwa discussion pamoja na ujumbe katika simu za mikononi siemens kama mnazikumbuka. Mchezo uliendelea mbka siku moja bi dada akaja chumbani kwa jamaa mchana pakiwa hakuna watu kabisa akizuga anakuja kuchukua dessa fulani. Alipofika chumbani hapo bi mdada akamkumbatia kwa nyuma mjamaa na kumbusu. Kumbuka hawajaongea mambo fulani ni vitendo tu mwanzo mwisho. Mjamaa akampuuzia kiukweli hata yeye alikuwa kakolea maana mdada alijaaliwa lakini jamaa akawa hajiamini kama kweli bi dada amefall kiukweli. Lile zoezi likapita bila majibu yeyote.

Siku ya pili bi mdada tena akaenda na kumfanyia vitendo vile vile vya jana. Jamaa kuona hivyo akapandisha mzuka na kumgeukia bi dada mrs. fulani na kupeleka mdomo kwenye lips zake. Lile zoezi lilipokelewa kwa shangwe na Mrs. Fulani na kuanza kudendeka pale kisha kama vile kashtuka usingizini akamsukuma jamaa na kutaka kuondoka. Mshikaji akamuwakia na kumlaumu iweje anamshawishi alafu anamtolea nje! Mrs Fulani akamwambia vizuri havitaki pupa wala haraka tulia kwanza..kweli bhana kuanzia siku ile jamaa akawa kapata mke kuanzia mwaka wa 1 mbaka wa 4 anakula tu mke wa mtu. Tatizo likawa mwanamke anawivu kwa mjamaa mbaka basi na pia alikuwa anataka kila wanapokuwa falagha. Na kwa kweli mjamaa alikuwa anampatia haki ya mume wake kisawa sawa. Na kutokana na uzoefu wa kimjini mjini mshikaji alikuwa anampatia dozi popote pale katika chumba iwe kwenye viti, meza za kusomea hata kwenye deka. Kumbe bi dada hajawahi kufanyiwa mafujo kama yale katika maisha yake ya mavituzi ndio maana akawa anamuona jamaa anajua kuliko mumewe..na alikuwa akimwambia kuwa jamaa yangu ni mtaalamu kuliko maelezo. Mbaka sasa huyo bi dada anao watoto wa 3 lakini anamsumbua mjamaa sana japo wapo mikoa na kanda tofauti. Sijui ni utamu au!! Mhhh!!

Kwa ushuhuda huu mjue wenye wake zenu vyuoni kaeni chonjo hasa kwa vijana hawa wa dijitali!! Na huyo ni mmoja tu niliyepata kuhadithiwa na kuona baadhi ya mambo yalivyokuwa yakiendelea hapo chuoni lakini najua wako wengi sana wa aina hiyo. Kwa sasa vyuo vimekuwa vingi sijui mangapi yanafanyiaka kwa wake za watu. Hebu fungukeni mtupe mauzoefu yenu wana jamvi.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN na Nyota

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

 ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO   HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, NA KUPONYA MAGONJWA SUGU ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

JE UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp 0622766715

Mhakama Yatoa Amri Kutaka Sethi Akatibiwe Muhimbili

$
0
0
Mhakama Yatoa Amri Kutaka Sethi Akatibiwe Muhimbili
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru mmiliki wa IPTL, Harbinder  Sethi akatibiwe katika Hospital ya Taifa Muhimbili baada ya mshtakiwa huyo kulalamika afya yake imearibika sana.

Mbali ya Sethi, mshtakiwa mwingine ni mfanyabiashara James Rugemarila ambapo kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi, utakatisha fedha na kuisababisha Serikali hasara ya USD 22, 198,544.60 na Bilioni 309.

Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU, Leornad Swai amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika na pia wanafatilia vielelezo vya upelelezi nje ya nchi.

Baada ya kueleza hayo, Seth alisimama na kumueleza Hakimu Shaidi kuwa; Afya yangu imearibika sana, nahitaji kupelekwa hospitali.

Kutokana na maelezo hayo, Hakimu Shaidi amesema ni dhahiri afya ya mshtakiwa ikiangaliwa hata kwa macho inaonekana ni dhahifu.

“Naamuru mshtakiwa akatibiwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ili afya yake iwe njema,” amesema Hakimu Shaidi na kuahirisha kesi hiyo hadi April 11,2018.

Washtakiwa wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi, utakatisha fedha na kuisababisha Serikali hasara ya Dola za kimarekani 22, 198,544.60 na Sh, bilion 309.

Ushahidi wa Kesi ya Tido Mhando Kusikilizwa April 24, 25

$
0
0
Ushahidi wa Kesi ya Tido Mhando Kusikilizwa April 24, 25
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Aprili 24 na 25, 2018 itaanza kusikiliza ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando.

Tido anakabiliwa na mashtaka manne ya kutumia madaraka vibaya na moja la kuisababishia Serikali hasara ya Sh887.1 milioni.

Mwendesha Mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Leonard Swai leo Machi 28, ameieleza kwa Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi kuwa kesi hiyo ilipangwa kwa ajili ya kusikilizwa kwa ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka.

Ameieleza kuwa kesi hiyo ilikuwa inasikilizwa na Hakimu Victoria Nongwa ila kwa sasa imepangwa kusikilizwa mbele yake.

Baada ya kutolewa kwa maelezo hayo, Hakimu Shaidi ameipanga kuisikiliza kesi hiyo Aprili 24 na 25, 2018 ambapo upande wa mashtaka umedai utaita mashahidi wawili Aprili 24 na mashahidi  wengine wawili Aprili 25,2018.

Inadaiwa kuwa Juni 16, 2008 akiwa  Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Tido ambaye alikuwa mkurugenzi wa TBC, kwa makusudi alitumia madaraka yake vibaya kwa kusaini mkataba wa kuendesha na utangazaji wa vipindi vya televisheni kati ya TBC na Channel 2 Group Corporation (BV1) bila ya kupitisha zabuni jambo ambalo ni kinyume na Sheria ya Manunuzi ya Umma na kuinufaisha BVl.

Katika shtaka la pili, Tido anadaiwa kutumia vibaya madaraka yake Juni 20, 2008 aliposaini makubaliano kwa utangazaji wa dijitali duniani kati ya TBC na BVl.

Katika shtaka la tatu, anadaiwa Agosti 11, 2008 na Septemba 2008 akiwa Dubai, Tido alitumia vibaya madaraka yake kusaini mkataba wa makubaliano kwa ununuzi, usambazaji kufunga vifaa vya usambazaji na mnara wa utangazaji kati ya TBC na BVI na kuifaidisha BVI.

Tido Mhando kusomewa maelezo ya awali Feb 28

Katika shtaka la nne, anadaiwa kuwa  Novemba 16, 2008 akiwa Dubai, Tido alitumia vibaya madaraka yake kusaini mkataba wa makubaliano kwa kuendesha miundombinu ya utangazaji (DTT Broadcast Infrastructure) kati ya TBC na BVI na kuinufaisha BVI.

Katika shtaka la mwisho, anadaiwa kuwa kati ya Juni 16 na Novemba 16, 2008 akiwa UAE, Tido aliisababishia TBC hasara ya Sh887.1 milioni.

Tido anatetewa na Wakili Ramadhani Maleta na yupo nje kwa dhamana.

Wanaume Jamani Acheni Ubinafsi Kwenye Maswala ya Mapenzi Hasa Kwenye 6 Kwa 6

$
0
0

Naamini Most women wanapoteza hamu ya kufanya mapenzi sababu ya"dumb a.ss men" they have on bed but when you meet someone that master or skilled on bed u will see the world with different perception

Sisi wanaume wengi either sababu ya kuendeshwa na mfumo dume au kutokua waelewa na kushindwa.kujishusha tumekua wabinafsi tu na sababu kubwa ni sababu kubwa ni ubinafsi

Naamini tunapaswa kujifunza kuwaridhisha wanawake/wenza wetu

Tunapaswa kuwafanya wanawake wetu waone wamepata dhahabu kuachana na wenza wao Wa zamani na kuwa na wewe "Unfortunately" wanaume wengi tunazidi kua wabinafsi kwenye mapenz na hatujui au hatujali kuwaridhisha wenza wetu tunalichukulia suala la sex kwa kwa uzito mdogo tofauti na effect zake.

Hatujui kitanda kinajenga/kinaharibu ndoa/mahusiano haraka zaidi kuliko tunavyofikiria Men suppose to change their perception(i have to admit that including me) Najua maisha ni zaid ya s'x but trust me tunatakiwa kuipa s'x uzito unaostahili kuijenga au kuibomoa ndoa Kwa mahusiano yote niliyopitia "Fuc.kmate", relationships na kila aina ya uhusiano imenifundisha mengi ,
Hujisikii furaha au proud mkeo/mpenzio anakuambia au ana-appreciate kiasi gani umemkosha kitandani?

Kwanini utafute pesa watumie Marioo wa mjini hapa kisa anamridhisha mkeo/mpenzio wakati unafikiri unamtimizia kila kitu ? Mara ngapi unaskia au unajua mwanamke ana kila kitu ambacho mwanamke mwingine anatamani(elimu,nyumba,magari) kua nacho maishani lakini hana furaha sababu tu hajawah kukojozwa au kuwa na gud s'x? Unajiskiaje akiwa ni mkeo/mpenzio? Unajiskiaje unapokojoa baada ya dk 5 wakati mwenzio ndo kwanza mzuka unampanda?

Guys tunazipenda ndoa/relationships zetu kweli Kwanini tusijifunze ufundi zaidi na zaidi kila siku? Inakucost nini kujituma na kumridhisha Mwenza wako?

How many times mkeo/mpenzio kakwambia hajaridhika? umefanya nn kumsaidia? Unajiskiaje ukikuta anajigegeda na Dild.o au strappons aka toys?

Ni kwamba "dushelele" lako halina thamani? Kwanini umpande mkeo/mumeo kama punda?Humwandai hujui hata jiografia "uvinza" iko wapi wala kunyonya sukari yake ya mtibwa ni wapi?

By Gwijimimi

Haya Hapa Ndio Mazingira Ambayo Wanawake Wanapenda Kufanya Tendo la Ndoa

$
0
0
Haya Hapa Ndio Mazingira Ambayo Wanawake Wanapenda Kufanya Tendo la Ndoa
Inaeleweka kuwa wapendanao iwe wanandoa au wapenzi hupenda kufanya mapenzi sehemu yenye mwanga hafifu au gizani.

Tofauti na watu na mataifa mengine, kwa Waafrika suala hilo ni siri na linahitaji faragha kukamilika. Lakini kwa baadhi ya watu imekuwa kero kutokana na kutamani kufanya tendo hilo gizani, huku wanawake wakitajwa kuwa vinara wa kuzima taa.

Utafiti mpya umebaini kuwa katika kila wanawake wanne, mmoja anapenda na anakuwa huru kufanya mapenzi gizani kwa sababu mbalimbali ikiwamo kutojiamini.
Carl Loudgers aliyeshiriki kwenye utafiti huo na kuwauliza wanawake zaidi ya 2,000 kwa kukusanya majibu kwa njia ya mtandao anasema walibaini asilimia 60 ya wanawake hao wanatamani kuwa na ujasiri wa kukutana kwenye mwanga lakini wanashindwa.

Anasema zaidi ya asilimia 75 walisema hawapendi miili yao, huku asilimia 66 wakisema wanaona aibu kutokana na mwonekano wao.

Utafiti huo uliofanywa na mtandao wa Weight Watchers, ulibaini asilimia 27 wanafanya mapenzi gizani kwa sababu hawaamini miili yao kama inavutia kwenye mapenzi.

Ulionyesha pia asilimia 38 ya wanawake na wanaume waliohojiwa walisema kuwa wanaamini wapenzi wao hawatawaona wanavutia wakiwa watupu.

Sheiilar Gregam miongoni mwa wanandoa waliohojiwa kwenye utafiti huo alisema jambo linalochangia hali hiyo ni mitandao. Alisema wanawake wanaoonekana wakiwa watupu kwenye mitandao ni wale wanaovutia kiasi ukijilinganisha nao inakuwa ngumu kukubali kukaa bila mavazi, huku wapo ambao wanavutia.

“Nikiangalia mastaa walivyo na maumbile ya kuvutia, baadhi yao wamezaa, natambua kuwa wapo wanaojirudishia wakiharibika kama mimi baada ya kuzaa, lakini nakosa kujiamini kabisa na ninaamini hao wanapendeza zaidi yangu,” alisema Sheiilar katika mahojiano ya utafiti huo.
Baadhi yao wamekuwa wakiona aibu ya vitu vilivyomo mwilini mwao kama matiti, alama za mwilini na makovu ya upasuaji.

Maziwa kuanguka baada ya kunyonyesha mara tatu.
Kuning’inia nyama za tumbo na kuongezeka uzito ni moja ya sababu za kuzima taa.
Matokeo ya utafiti huo pia umebaini wanawake wawili katika kila wanawake watatu huchukia kuangalia wanawake wenzao wakiwa hawajavaa nguo.

Ulibaini kuwa asilimia 60 ya wanawake hawapendi kabisa kujitizama wao wenyewe kwenye kioo wakati wa kuvua nguo.

Loveness Ayoub mkazi wa Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam anasema hupata wakati mgumu anapokutana na mwanaume mzuri kwa sababu hukosa kujiamini na hivyo hufurahia zaidi wakijamiiana gizani.

Anasema akijitizama na rafiki zake humwambia amenenepa, hivyo akiwa na mwanaume anayevutia huamini atamuacha kutokana na umbo lake lilivyo.

“Tangu nipo chuo rafiki zangu walikuwa wananishangaa nikivua nguo, kiasi kwamba sikuwa nafanya hivyo wakiwepo, hali hiyo imenijengea uwoga na kunipotezea kujiamini.

“Nikiwa na mwanaume mtu mzima huwa sijali kwa sababu naamini ameona wanawake wengi amekuja kwangu kwa ajili ya kupumzika na sihitaji kuwa naye maishani ukilinganisha na wanaovutia ambao natamani hata wanioe,” anasema Ayoub.

“Nimeoa nina watoto wawili na huyo mke wangu, lakini nikitaka kumuona vizuri umbo lake akiwa mtupu nimvizie anaumwa au kalala, tofauti na hapo hajawahi kuvua nguo akakaa mbele yangu,” anasema Omari Kiyungi.

Kiyungi anasema licha ya kuishi pamoja kwa zaidi ya miaka tisa mkewe hataki kabisa kukaa mtupu mbele yake kwa madai ya kuona aibu.

“Sipendi, natamani nimuone akiwa hajajiziba na ‘manguo’, lakini juhudi zangu zimegonga mwamba, hana dalili hiyo na hataki kabisa,” anasema.

Anasema alikuwa anachukia hadi sasa amezoea na akimuona mwanamke amevaa kihasara hasara anamdharau na kumuona hajiheshimu kwa sababu amezoea kufichiwa maungo.

Alisema akitizama mwili wake kwenye kioo hasa baada ya kuzaa mara mbili na kunenepa huogopa na kuhisi anamuangusha mumewe kwa umbile lake.

Msimamizi mkuu wa utafiti huo na mshauri wa masuala ya saikolojia Keren Smedley alisema wengi wa waliobainika kuona aibu kuvua nguo mbele ya wapenzi wao hawakuwa na tatizo na walikuwa na kila sifa ya kumshawishi mtu kuwatizama.

Akizungumzia hali hiyo mfundaji kutoka Mbagala Charambe, Zakia Kilimi maarufu Mchambaji, anasema wanawake wamekuwa na hali hiyo kutokana na tamaduni za siku za nyuma kuwa mapenzi hufanywa kwa siri.

Anasema wakati huo hasa kwa familia za kawaida walikuwa wanaishi katika chumba kimoja, hivyo upende usipende utazungumza na mwenzi wako gizani.

“Hii hali imesababisha hata wanawake wengi kushindwai kuachia hisia zao kwa wapenzi wao wakiamini wataonekana malaya na wasio na maadili kwa sababu imezoeleka mambo hayo ni ya kunyata nyata,” anafafanua.

Anaongeza kuwa siku hizi hayo mambo ndiyo yanakwisha na wanawake bila kujali wana umbo zuri, baya, makovu wanajiachia na kutambua umuhimu wa faragha ni kuonana hivyo wazazi wasiwatishe watoto wa kike kuwa kujiachia ni uhuni.

Zainabu Jumanne (siyo jina lake halisi) anasema kuwa mpenzi wake anajivunia kuwa naye lakini wakiwa faragha anashindwa kukaa mtupu. Anasema vivyo hivyo hata wanapojamiiana kukiwa giza hufanya kila aina ya mbwembwe tofauti taa ikiwa inawaka.

Anafafanua kwa sababu hiyo mumewe akitaka kuburudika na kukata kiu ya kuzungumza naye faragha huzima taa kabla hajaambiwa.

“Sijiamini kabisa kukiwa na taa, nahisi kama ananichora ninavyoweweseka, lakini kukiwa giza ashindwe yeye tu,” anasema.

Anaitaja sababu nyingine ya kupenda kujamiiana gizani ni matiti yake yamelala halafu hayana nyama.

Anasema anatumia ufundi wa faragha kuziba yote hayo kwa kumuonyesha mitindo mipya, lakini ili ayapate hayo sharti iwe gizani.

“Kukiwa giza akakubali kukutana nami, akiniacha nitatambika sina historia ya kuachwa tangu nikiwa msichana hadi nimeolewa, ingekuwa najiamini na kujamiiana kwenye mwanga na mautundu niliyonayo, naamini ningekuwa mkali zaidi, nimejaribu nimeshindwa na kwa hapa nilipofika haiwezekani tena,” anasema.

Mkazi wa Tandika jijini Dar es Salaam, Yusufali Yusuph anasema hataki hata kumsogelea mwanamke anayependa kujamiiana gizani kwa sababu huamini kuna kitu anaficha.
Anasema siku hizi maradhi mengi, anaweza kudhani anaona aibu au hajazoea kumbe kuna jambo anaficha.

“Haa raha ya mapenzi muonane jamani gizani tena! Siwezi na simtaki mwanamke wa aina hiyo,” anasema Yusuph.

Mtaalamu wa masuala ya saikolojia Modester Kamongi anasema yapo mambo mengi yanayochangia mwanamke kuogopa ikiwamo kutokujiamini.

Anasema mila, desturi na tamaduni ni miongoni mwa mambo yanayochochea hilo kwa sababu wanawake wengi huamini stara ndiyo sifa ya kuwa mke bora na kushindwa kutofautisha mahali pa kujistiri pa kujiachia.

Kamongi anasema linapokuja suala la aibu siyo kwa wanawake pekee wapo wanaume wenye aibu na wameumbwa hivyo, ikitokea kukutana na mmoja wa watu hao cha kufanya ni kuwazowesha taratibu hatimaye kama binadamu watakubaliana na hali halisi japo kwa shida.

“Huwachukua muda kuzoea, lakini uwezekanao upo na wakasahau kabisa kama walikuwa hawawezi, lakini inahitaji utayari wa kuwazowesha badala ya kuwalazimisha, ”alisema Kamongi.

Anaitaja sababu nyingine inayochangia wanawake kukataa kukaa utupu kuwa ni kutojiamini.
Anasema hali hii hutokana na maneno anayosikia au aliyosoma kuhusu umbo lake.

Anafafanua kuwa kuna baadhi ya familia mtoto akiwa mnene au mwembamba au ana umbo fulani uhusisha umbo hilo na neno ukiolewa sijui itakuwaje.

“Mtoto hukuwa na neno au misemo ya aina hiyo hivyo anapoolewa au kuwa na mpenzi hukumbuka na kutamani asimuone kwa sababu hajui itakuwaje kama alivyokuwa anaambiwa.

“Wengine hudhani mwanaume akiona umbile lake ambalo lilikuwa linawaisha ndugu, rafiki zake litamtisha pia na kuamua kumuacha, hivyo huona afadhali nusu shari kuliko shari kamili ya kuachwa,” anasema Kamongi.

Anaeleza wote hao wanaweza kubadilika iwapo wataeleweshwa na kujengewa kujiamini ikiwamo kwa kusifiwa kila wanapokaa bila nguo hata kwa bahati mbaya.

“Wengi wao hawajiamini, wakisifiwa na muhusika kuonyesha kutamani kuona maumbile yao mazuri yakiwa wazi taratibu watabadilika,” anasema.

Ushauri wazazi wawajenge watoto wa kike kuthamini vile alivyo navyo hususan kuukubali mwili wake badala ya kuwasema kwa ubaya kwa eneo lolote la mwili lililozidi au kupungua.

Lulu Diva Afunguka Kolabo Yake na Cardi B Kutoka Marekani

$
0
0
Lulu Diva Afunguka Kolabo Yake na Cardi B Kutoka Marekani
MWANAMUZIKI wa kike anayefanya poa na ngoma yake ya Homa, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa kwa sasa muziki umerudi kwenye mfumo wa albamu kama zamani hivyo yupo kwenye mata-yarisho ya albamu yake mpya ambayo atawa-shirikisha wanamuziki mbalimbali akiwemo Cardi B, kutoka Marekani.

Akichonga na Risasi Vibes, Lulu Diva alisema muziki umehamia kwenye albamu na ni heshima pia kufanya kazi nzuri ambayo hata baadaye inabaki kwenye historia hivyo kumshirikisha Cardi B ni chachu ya kutangaza muziki wake kimataifa zaidi.

“Najiandaa kufanya albamu kama ambavyo wanamuziki wakubwa wamekuwa wakifanya hivi karibuni na albamu yangu itakuwa imesheheni wanamuziki wakali ndani na nje ya Afrika na ndani yake nitamshirikisha Cardi B, kutoka Marekani, nafurahi sana maana naona nikitoka kimataifa zaidi kwa kweli,” alisema Lulu Diva.

Waziri Mwakyembe: Serikali Haina Ugomvi Wowote na Wasanii Bali Tunasimamia Maadili

$
0
0
Waziri Mwakyembe: Serikali Haina Ugomvi Wowote na Wasanii Bali Tunasimamia Maadili
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amewahakikishia wananchi kuwa serikali haina ugomvi wowote na wasanii nchini bali wanachofanya ni kusimamia maadili katika kazi zao wanazozifanya.


Dkt. Mwakyembe ametoa kauli hiyo leo (Machi 28, 2018) baada ya kupita siku kadhaa tokea Naibu Waziri wa wizara yake Juliana Shonza kutoa tamko la kuzifungia baadhi ya kazi za wasanii zilizokosa maadili katika jamii na kupelekea kuleta utata mkubwa kutoka na wengi wao kutokujua dhamira ya serikali ni ipi.

"Maamuzi ya kuzifungia baadhi ya nyimbo yanafanywa kwa mujibu wa sheria na si kwa utashi binafsi wa kiongozi wa Wizara, hivyo basi ieleweke kwamba hatua zilizochukuliwa na Naibu Waziri Shonza hivi karibuni zilikuwa za Wizara kwa mujibu wa sheria za nchi", amesema Dkt. Mwakyembe.

Pamoja na hayo, Dkt. Mwakyembe ameendelea kwa kusema "serikali haina ugomvi wowote na wasanii nchini bali jukumu ni kusimamia maadili hata Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema enzi za uhai wake kwamba taifa lisilo na utamaduni wake ni sawa na taifa mfu, hivyi nawaagiza watendaji wa Wizara na Taasisi zake ikiwemo BASATA, Bodi ya filamu Tanzania na TCRA mkutane na makundi ya wasanii wa muziki muwape elimu kuhusu taratibu za kuwasha kazi zao mamlaka husika ili kujiridhisha na maudhui ya kazi hizo kabla ya kuzisambaza".

Kwa upande wake Naibu Waziri Shonza amewasisitizia wasanii umuhimu wa kufuata utaratibu kwa kuwasilisha kazi zao kwenye mamlaka husika ili kuepusha matatizo ambayo yanayoweza kutokea hapo baadae.

Nuh Mziwanda Aonyesha Mjengo Wake Anaoujenga

$
0
0


Nuh Mziwanda Aonyesha Mjengo Wake Anaoujenga
Staa wa muziki wa Bongo Fleva Nuh Mziwanda anayetamba na ngoma yake mpya ya “Upofu” amerudi tena kwenye headlines leo March 28,2018 baada ya kupost picha akionyesha nyumba anayojenga.

Kutokana na post ya Nuh Mziwanda ameandika ujumbe ambao umetafsiriwa na wengi kuwa unawalenga wale wote ambao wanahisi kuwa hafanyi vitu ambavyo havimletei maendeleo na kumuona kama mjinga na kusema kuwa anafanya vyote kwaajili ya mtoto wake Anya.

Nuh Mziwanda ameandika……..>>>“Mjini Wengi Wajanja Wao ‘Sisi Wajinga Daily hatuna Mipango ‘ila kila Mafanikio yapo Moyoni Mwa Mtu ‘Acha tu endelee kuchorana tu. hii hapa ya Mwanangu Anya Kwa Nguvu za Mungu imefikia Hapo #KivuleMoja .Endeleeni Kumzungumzia Nuh halafu Mie nafanya Wonders (Harakati Za kuepuka kulipa kodi 😂)”



Kesi ya Malinzi na Wenzake Yaiva Mahakama Kuwasomea Maelezo ya Awali April 11

$
0
0
Kesi ya Malinzi na Wenzake Yaiva Mahakama Kuwasomea Maelezo ya Awali April 11
Hatimaye upelelezi wa kesi ya utakatishaji fedha wa USD 375,418 inayomkabili aliyekuwa Rais wa TFF, Jamal Malinzi na wenzake umekamilika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU, Leonard Swai amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri kuwa upelelezi wa kesi hiyo umekamilika.

Baada ya kueleza hayo, Swai aliiomba mahakama kupanga tarehe nyingine kwa ajili ya washtakiwa hao kusomewa maelezo ya awali (Ph).

Baada ya kueleza, Hakimu Mashauri ameahirisha kesi hiyo hadi April 11, 2018 kwa ajili ya washtakiwa kusomewa maelezo ya awali.

Mbali ya Malinzi, washtakiwa wengine ni Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine na Mhasibu wa TFF, Nsiande Mwanga.

Washtakiwa hao walipandishwa  kizimbani kwa mara ya kwanza June 29,2017, wakikabiliwa na mashtaka 28 ya kughushi na kutakatisha fedha USD 375,418. 7

Haji Manara Amwagia Sifa Kichuya " Kichuya ni Mess wa Bongo"

$
0
0

Haji Manara Amwagia Sifa Kichuya " Kichuya ni Mess wa Bongo"
Manara amesema Kichuya anastahili kuwa Messi wa Tanzania kutokana na namna anavyojua kuuchezea mpira, amekuwa akifunga pia kuwatengenezea wenzie nafasi zingine za kufunga.

Mshambuliaji wa klabu ya Simba, Shiza Kichuya, ametajwa kuwa Messi wa Tanzania baada ya kuifungia Taifa Stars bao la pili dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Kichuya alifunga bao hilo katika dakika ya 87 kufuatia kazi nzuri ya Mbwana Samatta aliyemtengenezea pasi na kumalizia kwa shuti kali la mguu wa kushoto lililompita Mlinda Mlango wa Congo.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, Afisa Habari wa Simba, Haji Manara, aliandika kiufupi akimuelezea mchezaji huyo kuwa ni dhambi kumfananisha na Lionel Messi anayekipiga na FC. Barcelona halikadhalika timu ya taifa ya Argentina.

Watetezi wa Haki za Binadamu Waitaka UDSM Kumfutia Adhabu Abdul Nondo " Wasipofanya HivyoTutawafikisha Mahakamani"

$
0
0
Watetezi wa Haki za Binadamu Waitaka UDSM Kumfutia Adhabu Abdul Nondo " Wasipofanya HivyoTutawafikisha Mahakamani"
Taasisi ya watetezi wa haki za binadamu Tanzania, THRDC imeuomba uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) kumrudisha mara moja masomoni Mwanafunzi wa chuo hicho ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP) kwani kupata elimu ni haki yake ya msingi.


Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa amesema kuwa wataandika barua ya kuuomba uongozi wa UDSM kufuta adhabu waliyompa Abdul Nondo ya kusimamishwa masomo kwa hadi kesi yake itakapomalizika na endapo watashindwa kufanya hivyo basi, THRDC watachukua hatua za kuufikisha uongozi huo mahakamani kudai haki zaidi.

Juzi Machi 26, 2018 Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ulitoa taarifa ya kumsimamisha masomo, Abdul Nondo hadi kesi mbili zinazomkabili mkoani Iringa za kutoa taarifa za uongo mtandaoni na kudanganya kutekwa zitakapomalizika.

Video:Breaking News: CHADEMA Wakutana Kikao Cha Ghafla Kuwajadili Akina MBOWE

$
0
0
Video: CHADEMA Wakutana Kikao Cha Ghafla Kuwajadili Akina MBOWE
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA imekutana mchana huu kujadili juu ya hali ya kisiasa na mwenendo wa kesi inayowakabil viongozi wa ngazi ya juu wa chama hicho ambao jana walisomewa mashtaka na kunyimwa dhamana. Viongozi waliokamatwa na kuwekwa mahabusu ni Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe, Katibu Mkuu Vicent Mashinji, Naibu Katibu Mkuu Bara, Visiwani, John Mnyika na Salum Mwalimu, Mbunge wa Tarime Mjini, Easter Matiko na Mwenyekiti wa chama hicho kanda ya nyasa, Peter Msigwa.

 

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

+255 622588038au 0679119679 au +255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live




Latest Images