Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live

Siku Kama ya Leo Roma na Wenzake Walitekwa na Wasiojulikana, Moni Akumbushia .... Asimulia Ilivyokua

$
0
0
Siku Kama ya Leo  Roma na Wenzake Walitekwa na Wasiojulikana, Moni Akumbushia .... Asimulia Ilivyokua
Umetimia mwaka mmoja tangu tukio la Roma, Moni na wenzao kutekwa na watu wasiojulikana.

Tukio hilo lilitokea April 05, 2017 siku kama ya leo wakati wasanii hao wakiwa ndani ya studio za Tongwe Records ambapo watekaji waliondoka na baadhi ya vifaa vya studio.

Tukio hilo bado lipo kichwani mwa msanii Moni ambaye leo hii amekumbushia kile kilichotokea. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

Siku kama ya leo mwaka 2017 watu wasiojulikana walikuja Studio na kujitambulisha kisha wakatubeba kama kuku.

Tulifungwa mikono na macho tukapelekwa umbali mrefu tukasimama sehemu watu wakanong’onezana kwa dakika 20 kisha tukapeleka kwenye nyumba ambayo tulikula kisago heavy mijeledi mateke na marungu kwa mara ya kwanza nilisali sala ya mwisho nikijua mwisho wangu umefika.

Roma, Moni na wenzao walipatikana April 08, 2017 taarifa zilizothibitishwa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kinondoni kwa wakati huo, Abubakar Kunga, baada ya hapo walichukuliwa hadi kituo cha Polisi Oysterbay kwa ajili ya mahojiano.

Soma Pia; Wasanii watua nyumbani kwa RC Makonda, RC atoa ahadi hii kuhusu Roma

Pia siku ya leo Roma amekabidhiwa cheti cha usajili kutoka Baraza la Sanaa Taifa (BASATA), hii ni baada ya kupewa masharti ya kufanya hivyo na Wizara ya Habari ili aweze kufutiwa adhabu yake ya kutojihusisha na muziki kwa miezi sita.

Liverpool Wameiomba Msamaha Man City

$
0
0
Liverpool wameiomba msamaha Man City
Club ya Liverpool imelazimika kuiomba radhi club ya Man City kufuatia tukio la mashabiki wake kuamua kulishambulia basi la wachezaji wa Man City kwa kurushia chupa za maji wakati walipokuwa nje ya uwanja wa Anfield.

Liverpool walikuwa wenyeji wa Man City katika uwanja wa Anfield katika mchezo wa kwanza wa Club Bingwa Ulaya uliyomalizika kwa Liverpool kupata ushindi wa magoli 3-0, hivyo kitendo cha mashabiki kurushia chupa basi la Man City kimepingwa vikali.

Mashabiki wa Liverpool ambao walikuwa nje ya barabara za Anfield walianza kurusha miale ya moto na baadae ndipo walipoanza kurusha chupa za maji, kocha wa Liverpool Jurgen Klopp ameomba radhi pia.

“Kiukweli sielewi tulijaribu kwa kila namna kuzuia hiyo hali iliyojitokeza lakini kwa niaba ya Liverpool nalazimika kuomba radhi”>>>Klopp

Vipimo vya Nabii Tito vyatua mahakamani....Hakimu Kutoa Maamuzi April 13

$
0
0
Vipimo vya Nabii Tito vyatua mahakamani....Hakimu Kutoa Maamuzi April 13
Mahakama ya Wilaya ya Dodoma leo Aprili 5, 2018  imepokea taarifa ya vipimo vya kitabibu vya Tito Machibya (Nabii Tito) ili kujua kama ana matatizo ya akili au la.

Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Dodoma, James Karayemaha leo Alhamisi Aprili 5, 2018 amesema amepokea taarifa ya kitabibu kuhusu Nabii Tito kutoka Isanga hivyo ataipitia ili aje atoe maamuzi siku ya April 13 mwaka huu.

“Niseme tu kuwa nimepokea taarifa ya kitabibu kuhusu mtuhumiwa leo asubuhi hivyo nitaipitia ili April 13, 2018 siku ya ijumaa niweze kuitolea maamuzi,” amesema Karayemaha.

Nabii Tito ambaye hakuweza kuhudhuria kesi yake mara mbili mfululizo leo amefika mahakamani baada ya hakimu Karayemaha kutoa maagizo ya mtuhumiwa huyo kufikishwa mahakamani au aletewe taarifa rasmi ya kwa nini hafikishwi mahakamani kusikiliza kesi yake.

Februari, 2018 Nabii Tito alidai mahakamani kuwa yeye ana matatizo ya akili yaliyosababisha kutaka kujiua na hivyo Mahakama kuamuru akafanyiwe vipimo vya kitabibu ili kujua kama kweli mtuhumiwa huyo ana matatizo ya akili au la.

Nabii Tito amerudishwa rumande hadi Aprili 13 kesi yake itakapotolewa uamuzi.

Belle 9 Afunguka Mkewe Alivyomfumania

$
0
0
Belle 9 Afunguka Mkewe Alivyomfumania
Moja ya wasanii ambao wamekuwa wasiri kwenye mahusiano yake ni Belle 9, hili halina ubishi kwani hata kwenye ishu yake ya kufunga ndoa mwaka jana hakuna chombo cha habari chochote kilipata exclusive zaidi ya yeye mwenyewe kuweka picha za tukio hilo kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii.

Ukweli ni kwamba licha ya kuwa msiri Belle 9 ameweka wazi kuwa katika mahusiano yake alishawahi kufumaniwa japo ni sio mara nyingi.

“Nimeshawahi kufumaniwa ila ni mara chache sana, wanawake wengi huwatamani wasanii kimapenzi kutokana na ushwawishi wa wasanii, Mwanamke wangu nataka ajitambue,“ amesema Belle 9 kwenye kipindi cha Tresha’z Dairy cha Radio Kings FM.

Mwaka jana mwezi Desemba Belle 9 alifunga ndoa ya siri mkoani Morogoro na mchumba wake ambaye amedumu naye kwa muda mrefu.

VIDEO: Mama Kanumba Anena Mazito Mahaba Yake kwa Wema Sepetu " Kanumba Angekua Hai Ningependa Amuoe Wema kwa Lulu Hapana"

$
0
0
VIDEO: Mama Kanumba Anena Mazito Mahaba Yake kwa Wema Sepetu " Kanumba Angekua Hai Ningependa Amuoe Wema kwa Lulu Hapana"
Mama mzani wa aliekuwa msanii machachari wa Tasnia ya filsmu nchi Florence Mtegoa (Mama Kanumba) amenena mazito kuhusiana na jinsi anavyompenda wema sepetu na kusema kuwa kati ya wema sepetu na lulu kwa upande wake kama mwanae angeamua kua basi yeye kwa upande wake angemchaua wema kutokana na heshima yake na hakuwahi kumvunjia heshima,

na kuendelea kutoa nasaha kwa Lulu ambae kwa sasa anatumikia kifungo chake jela kwa kosa la kuua bila kukusudia kumtaka akitoka jela amrudie mungu wake.

Mastaa Wapinga Wema Sepetu Kupewa Tuzo..Wadai Hana Kazi Lakini Kapendelewa

$
0
0
DAR ES SALAAM: BAADA ya wiki iliyopita staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu kushinda tuzo mbili katika hafla ya Tuzo za Sinema Zetu zilizofanyika ndani ya Ukumbi wa Mlimani City, mambo yamekuwa mambo kutokana na baadhi ya wadau pamoja na mastaa wenzake kupinga ushindi wake huo.

 Mara baada ya Wema kukabidhiwa Tuzo ya Mwigizaji Bora wa Kike na ile ya Msanii Bora Chaguo la Watazamaji hapo ndipo minong’ono ilianza ambapo iliendelea pia katika mitandao mbalimbali ya kijamii kwamba mrembo huyo hakustahili kwani wapo wasanii wengi wa kike ambao wanajua kuigiza kuliko mwanadada huyo.

 “Kiukweli Wema hakustahili kupata hiyo tuzo maana wasanii kama Riyama Ally ndiyo wanastahili maana wanajua kuigiza jamani lakini nashangaa amepewa yeye inawezekana watu wanavutiwa tu na umaarufu wake na siyo kazi yake maana hata filamu zenyewe anacheza mara chache sana siyo kama wengine,” alisema mmoja wa mastaa ambaye hakutaka jina lake lichorwe gazetini.

Akizungumza na Amani, msanii wa filamu Kulwa Kikumba ‘Dude’ alisema Wema amepata ushindi kwasababu kura alikuwa akipigiwa na mashabiki ambao wengi hupiga kutokana na jinsi wanavyomuona au kumsikia mtu kwa muonekano wa nje lakini hawaangalii kazi zao husika.

 “Mpoki aliwahi kuibuka mwimbaji bora wa nyimbo za asili Kili Music Award akawashinda manguli wa muziki huo kama Wanne Star na Mrisho Mpoto, hiyo ndiyo faida ya kura za mashabiki, sasa hapo ndipo kwenye tatizo. Sikatai Wema kushinda lakini tatizo linakuja, waandaaji wa tuzo wa nje, wanaweza kumsikia Wema ameshinda nchini, wakimpeleka kule, atafeli maana ni ukweli ulio wazi kwamba Wema hawezi kuwazidi waigizaji wengine kama Riyama,” alisema Dude.

 Kwa upande wake Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ yeye alihoji mastaa wengine kama JB, Rich, Aunt Ezekiel, Shamsa Ford, Duma, Ray na wengine wengi walikuwa wapi hawakuonekana kwenye tuzo hizo.

“Nitaongea nilichokiona jana kwenye tuzo ,kwani Ray, JB, Rich, Aunt Ezekiel, Shamsa Fodi, Duma, Weru, Hemedi, Tausi Mndengela, Mainda, Johari, Uwoya, Marian Ismail, Batuli na wengine wanaofanya vizuri wapo wapi?” alihoji Steve kuonesha hakubaliani na ushindi wa Wema.
SOMA PIA:Wakina Dada Mnaohudumia Saloon za Kiume Punguzeni Kidogo...Wengine Tuna Wake Nyumbani


UWOYA, BATULI WARUSHA VIJEMBE

Hata hivyo wapo mastaa wengi walioonekana kupinga tuzo hiyo kutokana na kuandika vijembe kwenye kurasa zao za Instagram akiwemo Irene Uwoya ambaye alisema ‘maumivu yakizidi muone daktari’ pia Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ naye aliandika ‘mvuvi haogopi mawimbi ya bahari’ ambapo mashabiki waliwashambulia kwa maneno makali yasiyoandikika gazetini.

 ESHA AMTETEA

“Jamani tuwekane sawa mbona kama tunagombana? Ipo hivi.. hawa watu waloandaa tuzo walianza kupiga kelele mwaka jana mwezi wa kumi kama sikosei na waliitisha mkutano wakaomba jamani leteni muvi zenu kuna tuzo zinakuja, tatizo ni kwamba wengi wenu muvi mlimuuzia Steps na walichokuwa wanaeleza washindani watapatikana kutokana na muvi zilizopokelewa hapohapo na siyo washindani kutoka nje ya hapo” aliandika Esha katika ukurasa wake wa mtandao wa Instagram.

Amani lilimtafuta Zamaradi ambaye ndiye msemaji wa Azam Media kuhusu malalamiko ya tuzo hizo ambapo simu yake ya mkononi iliita bila kupokelewa.

 Lakini pia lilijaribu kumtafuta msaidizi wake ambaye aliomba hifadhi ya jina lake kwa kuwa siyo msemaji yeye alisema kwanza waliangalia hakimiliki kwa hiyo filamu ambazo hakimiliki siyo za msanii walikuwa hawazichukui, pili mchakato ulichukua miezi sita na walitoa miezi mitatu wasanii kupeleka kazi zao lakini wengi walipuuzia na Wema ndiye aliyepeleka.

GPL

SOMA PIA:Ushauri: Nina Naumbile Madogo ya Uume (Kibamia), Naogopa Kutembea na Wasichana

Wambura njia Panda Kamati ya Rufaa ya Maadili

$
0
0
Aliyekuwa makamu wa Rais wa TFF Michael Wambura ambaye amefungiwa maisha kujihusisha na shughuli za mpira wa miguu, bado yupo njia panda kutokana na maamuzi ya rufaa yake kwenye kamati ya maadili ya rufaa kutotangazwa hadi sasa.

Wambura amesema baada ya kamati ya rufaa ya maadili kusikiliza shauri lake alitegeme maamuzi ya kamati hiyo yangetangazwa baada ya sikukuu za Pasaka.

“Tulipomaliza utetezi wetu siku ya Jumamosi (Machi 31, 2018) kama saa 12:30 jioni walituambia tunaweza kuondoka watatoa majibu tusisubiri, ilikuwa Jumamosi halafu  Jumapili na Jumatatu ilikuwa ni sikukuu kwahiyo Jumanne wangeweza kutoa majibu, sasa bado hawajatoa tusubiri kidogo wanaweza wakatoa”-Michael Wambura.

“Sisi tulitoa utetezi wetu vizuri kwa kufuata vifungu vya sheria upande wa TFF nao walijaribu kujibu hoja zetu, kilichobaki ni kamati kuangalia hoja zetu kitu ambacho naimani kwamba kamati haitakuwa wao ndio wanajibu hoja. Wajibu hoja walipaswa kuwa ni TFF kwa hiyo kamati haitawajibia hoja TFF.”
SOMA PIA:Belle 9 Afunguka Mkewe Alivyomfumania
“Si dhani kama wataruhusu mambo ambayo hayakuzungumzwa pale, kwa hiyo mambo yaliyozungumzwa pale ndio yatakuwa msingi mzima wa hukumu ndio sheria inavyotaka.”

Wambura amezungumzia pia hofu yake juu ya maneno yanayondelea kwenye mitandao ya kijamii kwamba ameshindwa rufaa yake pamoja na kuchelewa kutangazwa kwa maamuzi.

“Maneno mengi yanazungumzwa mtaani wakati mwingine huwezi kuyapuuza sana kwa sababu waswahili wanasema lisemwalo lipo kama halipo laja. Mimi nasubiri taarifa rasmi.”

SOMA PIA: Kujichua Ama Kupiga Punyeto Kwa Wanawake/Wanaume, Faida na Hasara zake

Binti Apigana na Chui Kumtetea Mbuzi Wake Aliyetaka Kumla Mbuzi Huyo

$
0
0
Katika hali ya kushangaza binti wa miaka 23, Rupali Meshram kutoka nchini India, amepigana na chui ambaye alikuwa anataka kumla mbuzi wa binti huyo.

Biti huyo ambaye anaishi na mama yake jimbo la Maharashtra Magharibi ameeleza tukio hilo kwamba alisikia mbuzi wake akilia na alipotoka nje akakuta chui anamshambulia mbuzi huyo.

Anaeleza kuwa alichukua fimbo na kumpiga chui huyo ili amwachie mbuzi na ndipo chui huyo alipomgeukia na kuanza kumshambulia na mapambano yakaanza kati yake na chui.

Mama mzazi wa binti huyo alitoka nje na kuamua kumsaidia mwanaye kupigana na chui huyo na kumvuta mwanaye ndani, ambapo wote wawili walikuwa wamejeruhiwa na chui. Mbuzi huyo pia aliuawa.

SOMA PIA4 Job Opportunities at East African Community

Dr. Cheni Akanusha Mfungwa Lulu Micheal Kuonekana Uganda Akila Bata Sikukuu ya Pasaka

$
0
0
Mlezi wa hiyari wa msanii Elizabeth Michael aka Lulu amekanusha bint yake kuonekana katika viunga vya Kampala Uganda akila bata wakati wa Pasaka. Dr Cheni amewataka waandishi kumtembelea Lulu gerezani ambako watamkuta amejaa tele akiendelea kutumikia adhabu yake ya miaka mitatu gerezani.

SOMA PIA: 2 Job Opportunities at Serengeti Breweries Limited (SBL)


Source Eatv!

Download Upya Application Yetu Hapa Tukuhabarishe Usiku na Mchana

Fahamu Misingi Mitano(5) Muhimu Ya Kufanikiwa Kwenye Ujasiriamali na Biashara

$
0
0

Katika ulimwengu wa sasa ambao ajira zimekuwa ngumu na shida kupatikana, ujasiriamali na biashara vimekuwa ndio kimbilio la wengi. Watu wengi wanaingia kwenye biashara kama njia kuu ya kujipatia kipato.

Pamoja na biashara kuonekana kuwa kimbilio la wengi sio wote wanaoingia kwenye biashara wanafanikiwa. Tafiti zinaonesha kwamba asilimia tisini ya biashara zinazoanzishwa zinakufa mwaka mmoja baada ya kuanzishwa. Na hata hizo zinazovuka mwaka mmoja asilimia tisini hufa baada ya miaka mitano. Hivyo kama mwaka huu zimeazishwa biashara mia moja basi miaka mitano ijayo ni biashara moja tu itakayokuwa bado inadumu.

Kwa nini biashara nyingi zinashindwa kudumu?
Biashara nyingi zinakufa kutokana na ukosefu wa elimu muhimu kuhusiana na biashara na ujasiriamali. Watu wengi wanaoingia kwenye biashara wanaingia kwa kuangalia tu ni kitu gani watu wengine wanafanya na wao kufanya hivyo hivyo.
Biashara ni rahisi sana kufanya ila ni ngumu kuendesha na kuikuza mpaka iweze kukupa faida kubwa sana. Ili uweze kuendesha na kukuza biashara itakayokupa faida kubwa ni muhimu kuchukua muda na kujifunza vitu vya muhimu vinavyohusiana na biashara.
Leo tutajifunza misingi mitano muhimu ya biashara ambayo kila biashara inatakiwa kuizingatia. Wewe kama mjasiriamali una jukumu la kujifunza na kufuata misingi hii ili uweze kufikia malengo yako kwenye ujasiriamali na biashara.

Misingi mitano muhimu ya biashara.
Ili biashara yoyote iweze kudumu na kukua inahitaji kufuata misingi ifuatayo.


  1. Kutengeneza thamani.

Ili biashara iweze kukua na kutengeneza faida ni lazima itengeneze bidhaa au huduma ambayo ni ya thamani kwa wateja. Ni lazima utoe bidhaa au huduma ambayo watu wanaihitaji sana ili kuboresha maisha yao. Kama hujaanza biashara fikiria ni kitu gani cha thamani ambacho watu wanakihitaji ila wanakikosa, kisha anza kuwapatia na utajenga biashara kubwa. Kama tayari unafanya biashara angalia ni kitu gani cha thamani unachotoa kwa watu na angalia jinsi unavyoweza kuboresha ili kupata wateja wengi zaidi.

      2. Soko.

Kuwa na kitu chenye thamani pekee bado haikutoshi kutengeneza biashara kubwa, ni lazima kuwe na soko linalohitaji bidhaa au huduma hiyo. Hata kama soko lipo bado sio rahisi kwa kila mtu kujua kwamba unatoa huduma muhimu. Hivyo ni muhimu kutafuta soko la biashara yako kwa njia mbalimbali zikiwemo matangazo. Inakubidi uhakikishe watu wanajua uwepo wa biashara yako na utengeneze uteja ili watu waje kupata thamani unayotoa. Kukosa soko la uhakika ni chanzo cha kufa kwa biashara nyingi.

      3. Kuuza.

Ili biashara ikue ni lazima uweze kuuza thamani uliyotengeneza. Ni muhimu uweze kuwashawishi watu wanunue bidhaa au huduma unayotoa. Kuuza ndio moyo wa biashara ambapo kama usipokuwa makini ni rahisi kwa biashara kufa.

    4. Kufikisha thamani.

Kama umewaahidi wateja wako kwamba bidhaa ama huduma unayotoa itaboresha maisha yao basi hakikisha hicho ndio kitu kitakachotokea kwa wateja. Ni lazima uweze kufikisha thamani uliyoahidi kwa wateja. Kwa kushindwa kufanya hivi wateja watakuona wewe ni tapeli na hawatanunua tena bidhaa yako. Kama biashara itashindwa kutengeneza wateja wanaojirudia ni lazima itakufa.

    5. Fedha.

Usimamizi wa fedha ni muhimu sana kwenye biashara. Ili biashara iweze kudumu ni lazima iweze kutengeneza mapato makubwa kuliko matumizi na uzalishaji. Ni lazima iweze kuzalisha fedha za kutosha kuiendesha na ibaki faida. Ukosefu wa fedha unaotokana na mauzo kidogo na matumizi makubwa ndio chanzo cha kufa kwa biashara nyingi.

Misingi hii mitano ni muhimu sana kwa biashara. Hakuna msingi ambao unaweza kusema ni muhimu zaidi ya mwingine, yote inategemeana. Ili biashara yoyote iweze kudumu ni muhimu kuzingatia misingi hiyo.

Fursa 150 za Biashara na Miradi Mbalimbali

$
0
0

Zijue Fursa 150 za biashara na miiradi mbalimbali nchini Tanzania.

1. Kununua Mashine za kukoroga
zege na kukodisha.
2. Kununua Mashine za kukata
vyuma na kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali
4. Ufundi, Website updating/
Database: Katika Halmashauri,
Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya
na Makampuni mbalimbali.
5. Kuanzisha kituo cha redio na
televisheni
6. Kufunga na kutengeneza vifaa
mbalimbali vya electroniki na
mawasiliano mfano; compyuta na
vifaa vya compyuta na
mawasiliano.
7. Kuuza software; mfano Antivirus,
Operating Systems, Pastel, Tally,
Myob, n.k
8. Kushona na kuuza nguo.
9. Kufungua Duka la kuuza nguo
mpya; suit, socks, batiki, nguo za
asili, Mashuka, Mashati, Suruali,
10. Ufugaji wa mifugo mbalimbali
mfano Kondoo, Mbuzi, Ng’ombe,
Kuku, Bata, na wengine.
11. Kufungua stationery, kuuza
(supply) vitabu na vifaa mbalimbali
ktk mashule na vyuo.
12. Kutoa ushauri mbalimbali wa
Kitaalamu.
13. Kuuza viazi, mahindi, mihogo,
kutengeneza popcorn na kuziuza.
14. Kusajili namba za simu na
kuuza vocha
15. Kuwa na mradi wa Pikipiki
zisizotumia mafuta na zinazotumia
mafuta
16. Kilimo cha mazao mbalimbali
kulingana na hali ya hewa ya
sehemu husika.
17. Kuuza Mitumba
18. Kusimamia miradi mbalimbali
19. Kufungua duka la kuuza
mitambo mbalimbali
20. Kufungua banda la chakula na
chips
21. Kukodisha turubai viti na meza
22. Kufungua Supermarket
23. Kufungua Saluni
24. Kufungua Bucha
25. Video Shooting & Editing.
26. Kufungua Internet cafe
27. Duka la kuuza matunda
28. Kufungua duka la kuuza vifaa
vya simu za mkononi na landline.
29. Kufungua duka la vifaa vya
ujenzi; cement, vifaa vya umeme,
duka la mabati
30. Kutengeneza michoro
mbalimbali ya majumba na miradi
ya ICT
31. Kuchapa vitabu, bronchures, n.k
32. Kuanzisha kampuni ya ujenzi
(Building contractor)
33. Kuuza Vifaa vya umeme wa
nishati ya jua (solar) ,battery,
inverter na vifaa vingine vya solar
n.k
34. Kuuza maji kwa jumla na
rejaleja.
35. Kutengeneza na kuuza Unga wa
lishe bora.
36. Kukodisha Music
37. Kuanzisha Mradi wa Taxi
38. Kuanzisha mradi wa Daladala
39. Kuuza vifaa vya Kompyuta,
laptops, converters, HDDs, Monitors,
Softwares, CD Copiers na vifaa
vingine.
40. Kununua magenerator na
kukodisha
41. Kufungua kampuni ya kutoa
huduma za simu
42. Kufungua kampuni ya kutoa
huduma za internet (ISP)
43. Kuuza mabati na vigae
44. Kujenga apartments
45. Kufungua Kisima cha mafuta ya
taa au mafuta ya aina zote
46. Kufungua Duka la samaki
47. Kufungua Duka la nafaka
48. Kufungua Shule za Awali, Shule
za Msingi, Sekondari na Vyuo.
49. Kujenga hostel
50. Kuuza vocha na ving’amuzi vya
DStv, Zuku, Startimes, Easy TV,
TNG, Digitech, Continental.
51. Kujenga mtambo wa kuzalisha
umeme na kuuza katika viwanda na
wananchi.
52. Ufundi simu
53. Kufungua Hospitali, Zahanati.
54. Maabara ya Macho, Meno
55. Kuchimba/Kuuza Madini
56. Kufungua ofisi ya kutoa huduma
ya simu na fax
57. Kuuza miti na mbao
58. Kufungua Grocery, bar
59. Kufungua studio ya kupiga na
kusafisha picha
60. Kucharge simu/battery
61. Duka la TV na vifaa vingine
62. Kuanzisha biashara ya kuuza
vyakula katika sherehe na tamasha
mbalimbali (catering).
63. Banda la kupigisha simu
64. Kuuza na kushona Uniform za
shule
65. Kuanzisha duka la kuuza vitu
kwa jumla.
66. Kufungua gereji za kutengeneza
bajaji, pikipiki na magari
67. Kuuza vyuma, pembejeo, rake,
jembe
68. Kuuza fanicha
69. Kufungua sehemu ya kuziba
pancha za matairi
ya magari na mitambo.
70. Kujenga nyumba za kulala
wageni (hotel)
71. Kuagiza na kuuza vifaa vya
aluminium.
72. Kuuza vioo
73. Kushona na kukodisha nguo za
harusi
74. Kufungua yard kwa ajili ya
kuosha magari
75. Kuuza mashine za kuchomelea
(welding machine).
76. Kuuza vifaa vya kuvaa Site
(boots, helmets etc)
77. Kununua mabasi kwa ajili ya
kusafirisha wanafunzi
78. Kufungua studio ya kutengeneza
vipindi vya redio na televisheni
79. Kuanzisha ofisi ya michezo ya
televisheni (TV Games)
80. Kufungua benki
81. Kuwa na malori ya kubeba
kokoto na mchanga
82. Kuuza vifaa mfano TV, CCTV
Camera, n.k
83. Kuwa dalali wa vitu mbalimbali
84. Kuanzisha mradi wa kukodisha
fork lift na winchi (crane)
85. Kuanzisha kiwanda cha
kutengeneza viatu.
86. Kuanzisha viwanda mbalimbali
87. Duka la vifaa vya simu na
gadgets mbalimbali zinazoendana
na mawasiliano ya Vodacom, TTCL,
AIRTEL, TIGO, ZANTEL, n.k.
88. Kujenga Ukumbi wa kukodisha
kwa sherehe, mikutano mbalimbali
89. Kununua matrekta, mitambo ya
ujenzi wa barabara na kukodisha
90. Kutengeneza antenna na kuuza
91. Kufungua mradi wa Machine za
kusafisha, kutoboa na kuchana
mbao
92. Kufungua mradi wa kuuza vifaa
vya Umeme wa kutumia upepo
93. Biashara ya kuagiza magari
94. Kufanya biashara za Jukebox
95. Kukodisha matenki ya maji
96. Kufungua duka la kuuza Asali
97. Kutengeneza Mikokoteni/
matoroli na kuikodisha
98. Kufungua Duka la vinyago,
batiki
99. Kuanzisha huduma ya AIRTEL
MONEY, MPESA, TIGOPESA, EZY
PESA
100. Kuanzisha sehemu ya kufanyia
mazoezi (Gym).
101. Kununua na kuuza vifaa vya
kupima ardhi.
102. Kufungua duka la kuuza dawa
(pharmacy).
103. Kufungua Kampuni ya Ulinzi
104. Kufungua kampuni ya
"Clearing and fowarding"
105. Kuchezesha vikaragosi
106. Kuuza spea za bajaji, magari
na pikipiki
107. Kuuza baiskeli
108. Kuuza magodoro
109. Kuuza vyombo mbalimbali
kwa ajili ya matumizi ya nyumbani
mfano bakuli, sahani, vikombe,
vijiko,
110. Kuuza marumaru (limestones)
111. Kuuza kokoto
112. Kuuza mchanga
113. Kufundisha Tuisheni
114. Biashara za bima
115. Kampuni ya kusafirisha abiria
kwa njia ya anga (ndege)
116. Biashara za kitalii
117. Biashara za meli na maboti.
118. Kampuni ya kuchimba visima
119. Kufungua ofisi ya wakili/
mawakili wa kujitegemea
120. Kuuza mkaa
121. Kutengeneza mashine za
kutengeneza tofali
122. Kampuni ya kupima ardhi
123. Kampuni ya magazeti
124. Kuchapa (printing) magazeti
125. Kuuza magazeti
126. Kuchimba mafuta
127. Kiwanda cha kutengeneza
mabati
128. Kiwanda cha kutengeneza
fanicha
129. Kiwanda cha kutengeneza
matairi
130. Kutengeneza vitanda vya
chuma
131. Kununua nyumba katika
Maghorofa (Apartments) na
kuzikodisha.
132. Kukodisha makapeti
133. Kupamba maharusi na kumbi
za harusi/sherehe.
134. Mashine ya kusaga na
kukoboa nafaka.
135. Kazi ya ususi na kusafisha
kucha.
136. Kuuza Gypsum
137. Malori ya kubeba mafuta na
Mizigo
138. Duka la kuuza mboga za
majani
139. Duka la kuuza maua.
140. Kampuni ya kuzoa takataka
141. Kampuni ya kuuza magari
142. Kuuza viwanja
143. Uvuvi
144. Kutengeneza na kuuza nguzo
za kujengea fensi
145. Uchoraji wa mabango.
146. Duka la kuuza silaha
147. Ukumbi wa kuonesha mpira
148. Biashara ya mlm (network
marketing)
149. Yadi kwa ajili ya kupaki magari
150. Mradi wa trekta za kukodisha.
Changamkia fursa 👆

Fahamu Mambo Yanayomfanya Mume/ Mchumba Wako Akupende Zaidi

$
0
0

Wapo baadhi ya wanawake hudiliki hata kutumia dumba hii yote ikiwa kuwafanya wanaume zao wawapende, lakini wengi wao wamesahau ya kwamba kufanya hivo sio chachu ya kufanya mahusiano hayo yakue bali ni kuyadidimiza.

Lakini ukweli kwamba mambo ya libwata yamepitwa na wakati katika karne hii hivyo ili mumeo akupende zaidi katika mahusiano yenu unatakiwa kufanya yafautayo;

1. Muamini mmeo au mchumba wako.

2. Usimkatishe tamaa katika maono yake.

3. Usimlazimishe kupenda mambo unayoyapenda.

4. Kila wakati kila unapo tatizo ni vyema ukamwambia kuliko kusema kwa wengine.

5. Usidhani kwamba hawezi kutambua uwepo na uzuri wa wanawake wengine hivyo mfanye awe karibu nawe ilia one thamani yaw ewe pekeee..

6. Usilazimishe kuwajibika juu ya mambo yako: Kama vile kwenda saluni, umeme, vocha na mambo mengine hasa kama bado mko katika mchakato wa uchumba, kama atafanya hivyo mwache afanye mwenyewe msimlazimishe eti kwa sababu shosti wako huwa anafanyiwa hivyo na wewe unataka, ladies huo ni utoto.




Jifunze Jinsi ya Kutoka Nje ya Mwili (Astral Projection)..!!!

$
0
0

Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani Husemwa Kiroho...
Utokaji huu wa nje ya mwili upo wa aina mbili au tatu na wenyewe ni wa roughly watu wanafundisha kwa maelezo marefu na mapana hali ya kuwa ni kitu kifupi tu watu wanatakiwa kujua jinsi ya kutoka na mengine kujifunza huko huko

FAIDA ZAKE:

1. Kujitambua kuwa wewe hufi na kuondoka moja kwa moja: Hili ni tukio litakalo kubadilishia maisha. Mamilioni ya watu wamekua wakithibitisha kuwa mtu akifa hapotei moja kwa moja bali kuna maisha mengine ambayo ataishi wale wasioamini life after dealth.

2. Kuongeza uwezo mzuri wa kulala: Hii husaidia mtu kulala katika hali ya usalama na kupata nguvu inayozungumziwa baada ya kulala na kujua ni ipi sababu kubwa ya kulala tunalala ili miili yetu ipumzike roho zetu zianze kuishi.

3. Kuongeza nguvu ya majariwa: Hii inaongeza kipawa cha unabii na uwezo mkubwa wa kumsoma mtu akili kama mind reader au telepathy, kasimama hapo wewe unaongea na roho yake.

4. Kujiendeleza Kimaisha: Ukiwa nje ya mwili inakuthibitishia kuwa wewe ni zaidi ya binadamu wa kawaida hivyo hukuongezea akili ya utendaji zaidi kwa kutumia maajabu na si nguvu tena.

5. Inakuongezea kukomaa kiroho: Watu wengi wamekuwa na roho nzuri baada ya kuishi na kiumbe zaidi ya asiekuwa mwanadamu.

6. Inaongeza heshima ya maisha: Hii hukufanya umuheshimu kila kiumbe na umuhurumie hata paka maana kule una uwezo wa kuongea hata na wanyama pia.

7. Inaongeza akili kumbukumbu na ubunifu: kupitia ufahamu utakao kuwa nao kwa zoezi hili inaeleweka kwamba utakuwa umefungua sehemu za ubongo wako za fahamu zinazodeal na akili pamoja na kumbukumbu.

8. Kukuwezesha kupata majibu yako mwenyewe kwa spiritual guide: kutoka nje ya mwili kutakujibia maswali mengi ambayo ulikua huwezi kuyajibu katika ulimwengu wako wa kiroho.

9. Kuondoa woga wa kufa: kuhofia kifo ni kuhofia jambo usilolijua.utakapotoka utaona kwamba kumbe nina uwezo wa kuishi maisha ya pili hata nikifa.

10. Kutambua na kuelewa mambo ya kale yaliyopita: utajifunza jinsi ya kupanua ubongo wako haya kuzungumza na historia za kale ingawa unaweza kuona pia tukio lijalo ila hii ni kwa wenye power ya precognition na retrocognitions.

11. Kupaa na kufurahi!

Ulimwengu wa roho hata anga sio mpaka. unaweza kupaa nyuma ya mawingu. na ukapaa kama puto. unataka kuwa na macho ya ndege mjini? la shaka! au unataka kupaa na kuogelea kama samaki dolphin na hata kuruka kama ndege, or dive inside and swim like a fish!

ukitaka unaweza hata kufika kwenye sayari za juu na zile ambazo bado hazijawa discovered wazungu walifanya zamani sana hii na kwenda huko kabla hata ya kurusha ndege, unaweza kwenda popote duniani na nje ya dunia hata kuwatembelea marafiki kila corner ya ulikmwengu

12. Kuthibitisha kwamba mwili wako utakufa ila akili au nafsi yako itabaki tu

13. utayaona mengi maisha yako yaliopita na kuyachezea na utakuwa na nafasi ya kuona kila kitu ambacho unatakiwa kufanya ufanikiwe

Pia hii yaweza kuwa tiba kubwa kwa magonjwa yasiyotibika kwa maana unaingia hata sehemu ambazo zimefichwa hasa na wawea kula dawa yeyote

evolution.

14. Kukutana Na Malaika wako wawili

Utawaona hawa hatua ya kwanza kutoka na kukuongoza kwa mengi ukitaka kuwaona.



15. Kuongeza Nguvu ya miujiza

Kutoka huku kutakufanya uongeze nguvu zako za miujiza kama vile

kuona vitu visivyoonekana kwenye real world, kuskia sauti za mawazo ya mtu, kujua kinachotokea dk kadhaa zijazo, kumlazimisha mtu kufanya utakacho (mind control), kuhisi jambo fulani linatokea, nguvu ya unabii,
Kuona aura ya kila kitu na nguvu zingine nyingi tu. haya yote yatakutokea kwa maana umezidi mpaka wa ubongo wako hapa ndio tunaanza kuona more than a normal brain function(waweza kuwa genius pia ukitumia vizuri, anyway usitumie manguvu yote hovyo utaanza kuhisi kuchanganyikiwa go stape by step.


16. kujaza busara akilini.

hii hukufanya uzidishe busara katika akili yako na amani kuu katika roho yako

17. Kuongeza tamaa ya kupata majibu

Kutoka nje ya mwili kutakufanya kujibu maswali na kujua zaidi kwamba wewe ni nani? upo wapi? na unafanya nini? na unaenda wapi? ukijua hayo hutabadilika mfumo wako wa maisha?

18. Kuwaona waliokufa

Hapa utakutana na ndugu zako uliokuwa ukiwapenda waliotangulia mbele za haki. Kukutana nao huku kutakusaidia sana kuwasaidia kama kuwalipia madeni na kukuonyesha mali walizoficha kama walikua wanakupenda.

19. Kujiongezea maajabu ya maisha

hapa utajifunza mengi kuona kila kiumbe kisichoonekana kupajua sehemu watu na nyumba kabla hujaenda

20. Kupona
Ukitoka nje ya mwili unakuwa umejitibu hapa utaweza kujitibu mwenyewe na wengine na wanyama pia.

Na Hizi bado ni baadhi tu:

Ni Aina Ya Nguvu Ambayo Huwa Nayo Watu Wote Isipokuwa Katika Asilimia 100..

65% Ni Watu Wasioijua

25% Ni Watu Wanaoijua

10% Ni Watu Wanaoitumia..

Hatua Za Kufuata Ili Kusavei Nje Ya Mwili

Kuna Njia Mbili Za Kutoka Nje Ya Mwili Hapa Nitaielezea Moja...

Njia Hizo Ni:

1; self Astral P...

2: Astral By Binaural Beats

HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:

NI RAHISI TU....

1; Oga Na Vaa Nguo Safi Zisizo Bana

2: Lala Chali Mgongo Ukiwa Umenyooka Vema huku umefumba macho....

3: utapata vishawishi kujigeuza au kujitingisha vi ignore/ Usijishike wala kujitingisha kuwa kama soldier....

4: Usitingishe Macho Wala Kuchezesha Mwili Wako...

5: Subiri Na Uconcerntrate Kwenye Pumzi ( Hapa unakuwa unaudanganya ubongo kuwa mwili unaota)

6: ukiweza kujizuia Kujigeuza Geuza Au Kujikuna Ubongo Utajua Umelala Na Utaruhusu Mwili Kuachia Kinga Ya Paralysis Au Ganzi Salama Ya Mwili Mzima..
Ambayo Huwa Inakinga Miili Yetu Kutokujiumiza Wakati wa Kuota Mfano: sleep walking(unaota huku unatembea)

7: Wakati Hali Hii Inatokea Hapo Ndipo Unaweza Kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi....
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana

8: ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi (hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini...

Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?

Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka.. Visualize Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine

9: Baada Ya Hapo Inuka Katika Mwili Wako Wa Ndoto Sogea Mbele Hatua Tano Geuka Nyuma na Uangalie Mwili Wako Uliouacha.......

10: Hongera Umeweza Fanya Chochote Unachojiskia Hakina Madhara Kwenye Real World....
lakini vipo ambavyo vinaonekana in real world play safe there

ANGALIZO:

Wakati Unautizama Mwili Wako Uliouacha Kuna Kitu Kina Kuwa Kimekuunga Na Ule Mwili Kama Silver cold Hivi Nyeupe Ya Kama Wingu Hiyo Ndio Hukusaidia Kurudi Hata Kama Umepotea Njia.....

Zitto Kabwe Anunua Kesi ya Nondo..Habari Zilizopo katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya April 6

$
0
0


Zitto Kabwe Anunua Kesi ya Nondo..Habari Zilizopo katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya April 6

Ester Bulaya Naye Kaitwa Polisi Central

$
0
0
Mbunge wa Bunda Mjini kupitia CHADEMA Ester Amos Bulaya, ameitwa kituo cha polisi cha kati jijini Dar es salaam huku akiwa hana taarifa za sababu ya wito huo

Ester Bulaya amesema amepata taarifa za kuitwa kwake polisi kutoka kwa mwanasheria wake na hivi sasa yuko njiani kuelekea kituoni hapo, ingawa hajui kitakachomkuta huko.

“Ni kweli nimepata taarifa kutoka kwa mwanasheria wangu, naitwa kituo cha Polisi na sasa hivi ndio nalekea huko central, sababu za wito huo sijui lakini huenda ikawa kama ya wenzangu kina Mdee”, amesema Ester Bulaya

Hivi karibuni kumekuwa na matukio ya kuwakamata viongozi na wabunge wa CHADEMA na kuwafungulia mashtaka, ambayo baadhi yao wengine wameshapandishwa mahakamani, kwa mashtaka ya kufanya maandamano bila kibali na kusababisha vurugu.

Rais Magufuli kuzindua Nyumba za Polisi Arusha ,April 7

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pohn Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa nyumba za polisi na vituo vya polisi Jijini Arusha.

Akizungumza na waandishi wahabari Kamanda wa polisi jijini hapa DCP Charles Mkumbo amesema kuwa kutakuwa na uzinduzi wa vituo viwili cha Utalii na Diplomasia na kingine ni Kituo cha daraja la kati kilichopo Murieti Jijini Arusha.

Kamanda Mkumbo amesema kuwa kutakuwepo pia na maonyesho mbalimbali ya jinsi Jeshi la Polisi linavyofanya kazi za kuwahudumia wananchi ambapo maonyesho hayo yatafanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid .

Amewataka wananchi kutokuwa na hofu kwani hali ya usalama Jijini hapa umeimarishwa na amewaomba wajitokeze  kwa wingi katika sherehe hizo.

Shimo lililosababisha vifo vya watu 12, lazua mjadala bungeni

$
0
0
Dodoma/Tabora. Shimo lililosababisha ajali iliyoua watu 12 Igunga mkoani Tabora, limezua mjadala bungeni jana, huku waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Dk Mwigulu Nchemba akiliagiza jeshi la polisi kuwaweka ndani madereva wanaoendesha kwa kasi.

Mjadala huo ulizuka, baada ya mbunge wa Ulanga, Mashariki (CCM) Goodluck Mlinga kuhoji kuhusu ajali hiyo iliyotokea juzi na kusema kuwa kama chanzo cha ajali hiyo ni ubovu wa barabara, basi Serikali haina budi kuitoza faini Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads).

Katika mwongozo wake, Mlinga alisema ajali hiyo imesababishwa na ubovu wa barabara na hivyo akataka Tanroads itozwe faini kama askari wa usalama barabarani wanavyowatoza madereva wazembe.

Ajali hiyo iliyotokea juzi, ilihusisha basi la abiria la City Boy na lori. Mbali ya kusababisha vifo hivyo vya watu 12, wengine 43 walijeruhiwa.

Hata hivyo, akijibu mwongozo huo, Waziri Nchemba alisema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi lakini akaongeza kuwa lori ambalo ndilo lililosababisha ajali hiyo lilikuwa likikwepa shimo ndipo moja ya kifaa cha tairi kilipokakatika na kupoteza mwelekeo kisha kugonga basi.

“Kama jana nilivyosema kuwa tunapotoza faini lengo letu si kupata ile fedha, lakini lengo letu ni kuwakumbusha madereva kuwa wanatakiwa kutokwenda kwa mwendo wa kizembe na kasi unaoweza kusababisha madhara hayo,” alisema.

Alisema kutokana na watu kutozwa faini, wanachukulia adhabu hiyo kama mazoea na kudhani lengo ni kukusanya fedha wakati lengo ni kulinda usalama wao, “Naelekeza polisi watakapokamata dereva yeyote anayekwenda mwendo kasi pamoja na hiyo ya kuwatoza faini, wamuweke ndani hadi aende mahakamani. Kama rekodi yake ni mbaya, anyang’anywe leseni asiendelee kuendesha magari na kusababisha ajali.”

Wakati Dk Nchemba akisema hayo bungeni,
Rais Magufuli mbali na kutoa pole kutokana na ajali hiyo, amewataka viongozi wote wanaohusika na usimamizi wa usalama barabarani kutafakari kwa nini ajali nyingi zimekuwa zikitokea katika maeneo yaleyale na kutafuta ufumbuzi ili kuepusha madhara ya watu kupoteza maisha, kupata ulemavu wa kudumu na kupoteza mali.

Rais Magufuli katika taarifa yake iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa amesema, “Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa za vifo vya watu 12 waliopoteza maisha katika ajali ya barabarani jana usiku (juzi) katika Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, nawapa pole wafiwa wote, ndugu, jamaa na marafiki walioguswa na msiba huu mkubwa.

“Aidha, nalitaka Jeshi la Polisi, kamati za ulinzi na usalama za mikoa na wilaya na mamlaka zote zinazohusika na usalama wa barabarani kujitathmini na kutafuta majawabu ya kwa nini ajali za barabarani zinaendelea kutokea kwa kusababishwa na uzembe na uvunjaji wa sheria za barabarani.”

Kuhusu ajali hiyo, kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Wilbroad Mutafungwa alisema ilitokea baada ya lori lililokuwa likikwepa shimo kupasuka tairi hivyo dereva kushindwa kulimudu na kugongana uso kwa uso na basi kabla ya kupinduka.

Majeruhi wawili walipelekwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza na mmoja alipelekwa Hospitali ya Nkinga na 43 walitibiwa katika Hospitali ya wilaya Igunga na miili sita kati ya 12, imetambuliwa na ndugu zao na mmoja wao ni mhasibu wa Halmashauri ya wilaya ya Igunga, Harold Nyamwangi.

SOMA PIA:18 Job Opportunities at The Tabora Urban Water Supply and Sanitation Authority

Mwananchi

Unatafuta Mwenzi wa Maisha Yako? Soma Hii Inakuhusu Sana

$
0
0
Ni kawaida watu kudhani kwamba kama zawadi imefungwa kwa kabrasha au mfuko au package nzuri sana basi kilichomo ndani kitakuwa ni kitu chenye thamani kubwa sana na kizuri sana.

Ukweli ni kwamba ufungaji wa zawadi au uzuri wa material yanayotumika kufunga zawadi haviwezi kukwambia uhakika wa uzuri wa kitu kilichomo ndani, badala yake unahitaji kufikiria zaidi, au kufanya utafiti zaidi ya hayo makabrasha ya kufungia zawadi ili kujua kilichomo ndani.

Linapokuja suala la mahusiano, hasa mahusiano mapya, watu wengi huwaangalia partners wao kwa nje bila kuangalia undani wa mtu mwenywe ili kujua ndani kuna kitu gani.
Wengi huvutiwa na uzuri wa nje au sifa za nje badala ya kuangalia na kuchunguza kile kilichomo ndani ya huo uzuri.
Watu hawaoni sababu ya kuchunguza au kutumia muda kupata ukweli na matokeo yake ni kujuta mbele ya safari.

Siku hizi si ajabu ukakuta mtu ameshakubaliana na mtu hadi kufika hatua ya mbali sana katika mahusiano bila hata kujua majina yote mawili ya mtu ambaye anasema anampenda na kwamba bila yeye anaona maisha hayana maana.
Watu wanafahamiana na baada ya mwezi tayari wanakubaliana kuoana na kuwa mke na mume.

Unahitaji ku-dig deeper linapokuja suala la mahusiano,
Utajiri, Kujulikana, Cheo, Urembo, Uzuri wa ngozi,
Familia yenye uwezo, Vipaji, Usomi, Umaskini au
kitu chochote cha nje ni sawa na kabrasha ambalo linatumika kuibeba zawadi yenyewe.

Inaweza kuwa zawadi ni makaratasi na matambala tu yamewekwa humo na utakapokuja kugundua unakuwa umeshachelewa kabisa na matokeo yake kujuta.
Umeuziwa mbuzi kwenye gunia.
wakati unao fikiria kwa makini

Kawaida kama unatafuta uhusiano wa kudumu ni vizuri uka-invest muda mwingi kuhakikisha unamfahamu mtu vizuri, moyo wake
(marry the soul not the skin).

Maisha tunapoishi hupelekea mabadiliko ya sifa za nje, watu hufirisika, watu hunyonyoka nywele, watu huzeeka, watu hupata stress, watu huwa vilema, watu hunenepeana, watu huugua, watu hubadilika, watu hukonda hata wakawa tofauti na walivyo labda wakati wa kuanza urafiki wenu muwe mmekubaliana kwamba yakitokea mabadiliko tu kila mtu aanze mbele au achukue chake, ndo maana leo ndoa ni kama watu wanaoenda shopping

Kuwa Mwanaume Halisi na Mwenye Nguvu Kunako Kwa Kutumia Products Hizi

$
0
0

Bidhaa original na zilizothibitishwa kiafya zinapatikana NATURAL BEAUTY PRODUCTS sasa zinapatikana kwa bei ya punguzo la %10. Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara yoyote. Hakikisha unapewa risiti original ya natural beauty production

TUNAZO KAMA HIZI

1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @250,000/=

2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=

3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=

4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @170,000/=

5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @240,000/=

6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/=

7.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/

8.DISCREET ORIGINAL_Hii ni dawa ya kuondoa mvi na zisiludi tena milele @150,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri na garantii ili kukuhakikishia ubora na usalama wa bidhaa za NATURAL BEAUTY LTD

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0659618585 au
0759029968
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live




Latest Images