Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

Upinzani Burundi Wacharuka...Wakataa Matokeo ya Kura ya Maoni

$
0
0
Muunganano wa upinzani nchini Burundi Amizero y'Abarundi umetangaza kuwa hautambui matokeo ya kura ya maoni, iliyofanyika siku ya Alhamisi ili kuibaidilisha Katiba ya nchi hiyo.

Kiongozi wa muungano huo Agathon Rwasa amesema kura hiyo ya maoni haikuwa huru na haki.

Aidha, ameongeza kuwa demokrasia haikushuhudiwa katika zoezi hilo la Alhamisi.

Rais Pierre Nkurunziza anatarajiwa kuwania urais mwaka 2020, na kusalia madarakani hadi mwaka 2034.

Kauli hii ya muungano huo wa Amizero y'Abarundi uliokuwa unapinga mabadiliko ya katiba, imekuja wakati huu Tume ya Uchaguzi ikitarajiwa kutangaza matokeo ya mwisho.

Matokeo ya awali kutoka mikoa 17 kati ya 18 ya nchini humo, yanaonesha kuwa kura ya ndio imepata ushindi wa kati ya asilimilia 50 na 85.

Kuelekea siku ya kupiga kura, wanasiasa wa upinzani walilalamika kutishwa na wengine kufungwa jela.

Siku ya Ijumaa Shirika la Kimataifa la kutetea haki za Binadamu la Human Rights Watch, lilitoa ripoti iliyoshtumu maafisa wa usalama na vijana wa kundi la chama tawala Imbonerakure kuwatishia, kuwapiga na hata kuwabaka wapinzani wa serikali, madai ambayo serikali ya Bujumbura imekanusha.

Mwanafuzi Auwa kwa Bunduki Watu10 Shuleni

$
0
0
Watu 10, wengi wao wakiwa wanafunzi wameuawa na mshambuliaji mwenye bunduki kwenye shule moja ya mjini Santa Fe, katika jimbo la Texas nchini Marekani. Muuaji ametambuliwa kuwa ni mwanafunzi mwenye umri wa miaka 17 aitwaye Dimitrios Pagourtzis, na tayari amefunguliwa mashitaka ya mauaji akikabiliwa na adhabu ya kifo.

Gavana wa Texas Greg Abbot ameyaita mauaji hayo tukio baya kabisa katika historia ya shule jimboni humo, na kuthibitisha kuwa bunduki mbili alizotumia muuaji huyo zilikuwa zikimilikiwa kihalali na baba yake. Hata hivyo, gavana huyo hakulaumu umiliki holela wa bunduki, badala yake amejikita juu ya haja ya kushughulikia matatizo ya kiakili.

Jioni ya jana mamia ya watu, miongoni mwao wakiwemo watoto, walibeba mishumaa kuomboleza waliouawa. Yamekuwepo mashambulizi 22 ya bunduki katika shule nchini Marekani tangu kuanza kwa mwaka huu wa 2018.

BAVICHA "Tupo tayari kuongozwa na Mbowe kwenye mapambano"

$
0
0
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA, Patrick Ole Sosopi ameweka wazi kuwa wao kama Chama cha Demokrasia na Maendeleo wapo tayari kuongozwa na Mbowe katika safari ya mapambano ya chama chao hata kwa miaka 10 ijayo.

Akizungumza kwenye kipindi cha  Kikaangoni kinachorushwa kila Jumatano kupitia ukurasa wa Facebook EATV amesema kuwa CHADEMAkuongozwa na Mbowe ni maamuzi ya wanachadema wala siyo maamuzi ya wana CCM wala chama kingine.

Ameongeza "Kwenye vyama vyetu vya upinzani Sisi hatuchagui kiongozi peke yake, tunachagua watu wanaoweza kuongoza mapambano. Sisi tupo kwenye hiki chama na Mbowe yupo kwenye chama anaongoza mapambano".
'
Amesisitiza "Hatubadilishi kama ambavyo CCM haijawahi kubadilisha kama ambavyo CCm haibadilishi. CCM haijawahi kubadilishaMwenyekiti kwani kuwa kiongozi wa nafasi hiyo lazima uwe rais wa chama hicho. Mimi mwenyewe nastahili kuwa Mwenyekiti. Katika kipindi hiki Mbowe ndiye anayetuongoza mpaka tufikie malengo".

 

Kwaninj Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Aliyezaa na Gigy Money Afunguka "Kwa sasa Gigy Money ni Mwanamke wa mtu Mwingine"

$
0
0

Mo Jay amefunguka Haya kupitia Instagram

"Nna akili timam na sijakurupuka kwa niliyoyafanya.mengi yanazungumzwa mtandaoni lakini sio ya kweli nnakaa kimya kwasababu sipendi majibizano mtandaoni Hakuna baba anaependa kuwa mbali na mwanae kuna mengi sana yaliyotokea.kwa sasa yeye ni mwanamke wa mtu na naomba TUUFUNGE HUU MJADALA TUSIIFANYE HII KUWA BIG DEAL" Mo Jay

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya May 20

$
0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili ya May 20

Waziri apigia debe Tanzania ya viwanda mashuleni

$
0
0
Kama alivyowahi kunukuliwa kwamba yeye ni mpiga debe wa Tanzania ya Viwanda,jana Waziri Charles Mwijage amehamishia debe hilo kwenye shule za sekondari akisema wanafunzi waandaliwe kuchukua jukumu mbeleni kwa kuwa viwanda vinavyojengwa sasa ni vile vya kipindi cha mpito.

Akihutubia katika mahafali ya kidato cha sita kwa shule za sekondari Kaizirege na Kemebos, jana Mei 19, Waziri Mwijage,alisema viwanda vya kudumu vitajengwa na wanafunzi wanaoandaliwa vizuri katika masomo ya sayansi.

Alisema kuwa wazazi na wanafunzi wanatakiwa kusoma upepo unapoelekea ambao unawahitaji wanafunzi wa masomo ya sayansi kwa ajili ya kuchukua jukumu la.kujenga uchumi wa viwanda.

Pia aliwakumbusha wazazi na watu wenye mitaji wasikimbilie kwenye uanzishaji wa viwanda vikubwa bali waanze na viwanda vidogo na baadaye waende hatua kwa hatua hadi viwanda vikubwa.

Waziri Charles Mwijage ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Muleba Kaskazini alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya kudato cha sita shule ya Sekondari Kaizirege na ya Kemebos ambapo jumla ya wanafunzi 180 wamehitimu.

Rais Magufuli Aikabidhi Simba Kombe Baada ya Kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Kagera Sugar

$
0
0
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk, John Pombe Joseph Magufuli amewakabidhi Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Simba SC wakitoka kufungwa 1-0 na Kagera Sugar  Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Mei 19, 2018.

Kabla ya kuwakabidhi Kombe hilo, Rais Magufuli akawaambia Simba SC hajaridhishwa na kiwango cha mchezo wao na akawataka wakakiboreshe kuelekea kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwakani.

Pamoja na hayo, Rais Magufuli amewapongeza Simb SC kwa kufikia kutwaa la ubingwa wa Ligi Kuu bila ya kupoteza mechi kabla ya kufungwa na Kagera leo.

“Mimi huwa ninafuatilia ligi mbalimbali, nilifuatilia hadi juzi timu ambazo zilikuwa zimechukua ubingwa bila kufungwa, zilikuwa zimebaki mbili, Barcelona na Simba, Jumapili iliyopita Barcelona wakafungwa na leo Simba nao wamefungwa,”alisema Rais Dk. Magufuli kabla ya kuwakabidhi Kombe hilo Simba SC.

Rais amesema kwamba anawapongeza Simba SC kwa sababu pia wamepitia kipindi kirefu bila kuchukua ubingwa na akasema anazipongeza na timu nyingine zilizoshiriki Ligi Kuu msimu huu huku akiwatania SImba; “Nashukuru hakuna timu iliyokwenda FIFA (Shirikisho la Soka la Kimataifa) kudai pointi za mezani msimu huu,”.

Aidha, Rais Magufuli aliyewapongeza Kagera Sugar kwa kuonyesha mchezo mzuri leo pia alisema Simba SC nayo ilijitahidi na kudhihirisha wao ni mabingwa.

Katika mchezo huo uliochezeshwa na marefa Florentina Zablon wa Dodoma aliyesaidiwa na Jesse Erasmo wa Morogoro na Mashaka Mwandile wa Mbeya, bao pekee la Kagera Sugar limefungwa na mshambuliaji wa zamani wa Simba SC, Edward Christopher Shijja kwa kichwa dakika ya 84 akimalizia krosi ya Japhet Makalai kutoka upande wa kulia.

Mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi akapoteza nafasi ya kuisawazishia Simba SC dakika ya nne ya muda wa nyongeza baada ya kukamilika kwa dakika 90 za kawaida kufuatia mkwaju wake wa penalti kupanguliwa na kipa Juma Kaseja.

Florentina Zablon aliwapa Simba penalti hiyo baada ya Okwi mwenyewe kuangushwa na kiungo mkongwe wa Kagera Sugar, George Kavilla.

Simba SC inabaki na pointi zake 68 baada ya kucheza mechi 29 na itakwenda mjini Songea kukamilisha msimu kwa kumenyana na wenyeji Maji Maji Mei 28 Uwanja wa Maji Maji. Kagera Sugar inafikisha pointi 34 katika mechi ya 29, ingawa wanabaki nafasi ya 10.

Kikosi cha SimbaSC kilikuwa; Said Mohamed Nduda, Nicholas Gyan/Muzamil Yassin dk46, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Paul Bukaba, James Kotei/Salim Mbonde dk50/John Bocco dk70, Erasto Nyoni, Jonas Mkude, Shomari Kapombe, Emmanuel Okwi, John Bocco, Shiza Kichuya,

Kagera; Juma Kaseja, Suleiman Mangoma, Abdallah Mguhi, Juma Nyoso, Mohamed Fakhi, Peter Mwalyanzi, Japhet Makalai, Ally Ramadhani/George Kavilla dk58, Japhery Kibaya/Paul Ngalyoma dk79, Edward Christopher, Atupele Jackson/Omar Daga dk32.

Makonda Kuwachukulia Hatua Kali Viongozi wa Michezo

$
0
0
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema atachukua hatua kwa viongozi wa michezo ambao hawajafanya marekebisho ya uwanja wa Taifa wa ndani 'indoor' licha ya kuwakabidhi pesa na vifaa mwaka jana.

Makonda amesema Mei 18, 2018 wakati akiongea na waandishi wa habari na kuongeza kuwa alikubali kujinyima na familia yake ikae gizani kwa kutoa jenereta la nyumbani kwake ili kutimiza ahadi ambayo aliwahidi wanamichezo hao lakini imekuwa kinyume na mategemeo.

“Lile jenereta nililihamisha badala ya kuwepo nyumbani kwa mkuu wa mkoa nikalikabidhi mwaka jana, sasa kama mpaka leo hii halijaenda basi kutakuwa kuna shida mahala, na niwaambie tu siwezi kuahidi kitu nisifanye hata kama ni cha kwangu nitajinyima, nimeinyima familia yangu wakae gizani ili nihakikishe kwamba jenereta linakwenda kwa wapenzi wa mpira” amesema Makonda.

Makonda ameongeza kuwa atawasiliana na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa ili aweze kuwachukulia hatua watu ambao wameshibdwa kutimiza majukumu yao

Mkuu wa Mkoa Makonda amesema mwaka jana alikabidhi pesa, mipira, mabati na jenereta ili kusaidia uwanja wa Taifa wa ndani uliokuwa katika hali mbaya na hivyo anashangaa kusikia bado hakuna kilichofanyika mpaka sasa.

Kaseja Atibua Sherehe Za Ubingwa Simba Mbele Ya Rais Magufuli

$
0
0
Timu ya Simba imekubali  kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa leo Jumamosi.

Simba imekubali kupoteza mchezo huo muhimu ambao imetibua rekodi yao ya kutokufungwa mechi iliyoshuhudiwa na Rais John Magufuli.

Kagera Sugar imekuwa timu ya kwanza kuvunja rekodi ya Simba ya kutopoteza mchezo kwenye ligi msimu huu, ambapo mshambuliaji  Okwi alikosa penati  iliyopanguliwa na Juma Kaseja na kushindwa kuinusuru timu hiyo.

Simba imekabidhiwa kombe la ubingwa la Ligi Kuu msimu wa 2017/18 na Rais John Magufuli.

Zari Asema Hawezi Kumpeleka Diamond mahakamani kwa Sababu ya Matunzo ya Watoto

$
0
0
Mwanamama Zari the Bossy Lady ambae alibahatika kupata watoto wawili na msanii Diamon Platinumz lakini baadae wawili hao walikuja kutengana hivyo Zari kuondoka na watoto na kwenda nao afrika kusini amefunguka na kusema kuwa hata siku moja hawezi na hajawahi kufikiria kwenda kumpeleka mwanaume huyo mahakamani kwa sababu ya matunzo ya watoto.

Akiongea na waandsihi wa habari nchi Kenya, Zari amesema kuwa anatengeneza pesa zake mwenyewe ambazo zinamtosha kwa ajili ya matunzo yake na watoto wake kwahiyo hawezi kuhangaika kumpeleka Diamond mahakamani kwa sababu  hiyo kama wanawake wengine.

Katika historia, Diamond alishawahi kupelekwa mahakamani na Hamisa Mobeto kutokana na kushindwa kutoa matunzo ya mtoto .

Zari ambae ana watoto watano huku watatu wakiwa wa mwanaume mwingine ambae pia alishafariki, amekuwa akionekana kuwalea watoto wake kwa starehe bila shida yoyote kutokana na kusadikika kuwa mwanamke huyo ni tajiri na hana shida ya kuomba misaada.

Aunty Ezekiel Awataka Watu Waache Kumdharau Mpenzi Wake Kisa Dansa

$
0
0
Muigizaji wa Bongo movie Aunty Ezekiel amewatolea povu zito watu wote ambao wamekuwa wakimdharau mpenzi wake lakini pia Baba wa mtoto wake Mose Iyobo kisa ni mchezo shoo.

Aunty Ezekiel ameweka wazi kuwa hapendezwi na dharau hizo kwani ingawa wao wanaweza wakawa wanamuona yeye kama Dansa tu lakini yeye anamuona kama mkurugenzi fulani.

Aunty alisema amekuwa akifuatilia kwenye mitandao ya kijamii na kuona watu wakimchukulia poa Iyobo lakini anawaambia tu, yeye kwake anamuona kama mkurugenzi.

"Waache kumchukulia poa Moze wangu. Mimi namuona kama mkurugenzi fulani hivi, wao wakiona mtuanacheza muziki hawajui kama ni kazi, hawathamini na kuonesha dharau tu mitandaoni”.

Mose Iyobo ni Dansa maarufu kutoka WCB ambaye kwa muda mrefu ameonekana kwenye steji na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz akiwa anakata viuno.

Aunty Ezekiel na Mose Iyobo walikutana miaka minne iliyopita na mara moja watu walianza kumponda Aunty kwa kutoka na Mose Iyobo jambo ambalo hakujali.

Download Hapa Application Mpya ya Udaku Special Uweze Soma Vimbwanga na Udaku Mtaani Kila Siku

$
0
0
Mpendwa msomaji wetu, tunakukumbusha Kuidownload Upya Application yetu ya UDAKU SPECIAL Maana ile ya Zamani Tutaifuta.

Kuna Marekebisho Makubwa tumeyafanya ikiwa na tatizo la Notification kutatuliwa

NB: App mpya ina Icon Nyekundu 

 Bonyeza Hapa Chini Kuinstall Upya:

==>>Unaweza Kuidownload << kwa Kubofya Hapa>>  
  

Kama unayotayari Mpya Huna Haja ya Kudownload Tena

Sakata la Kichapo cha Mama Diamond Kwa Hamisa Mobetto, Familia Yaingia Katika Vita Nzito

$
0
0
Kama ni nyumba kushika moto, basi huu moto wa Madale ni wa gesi maana unaunguza hatari na mpaka sasa unaambiwa ‘faya’ hawana taarifa zozote kwani hakuna aliyepiga namba yao ya dharura 114 ili wafike eneo la tukio!

 Kitendo cha mama mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim a.k.a Bi Sandra kumchezeshea kichapo kizito mwanamitindo Hamisa Mobeto a.k.a Tununu kimeipasua familia ya jamaa huyo kufuatia kuibuka kwa vita nzito.

 KABLA YA YOTE

Kabla ya yote, taarifa ikufikie kuwa, juzikati, Bi Sandra au mama Diamond alikiri kukutana uso kwa uso na Mobeto ndani ya nyumba kule Madale, nje kidogo ya Jiji la Dar na kumshushia kipigo hadi kumg’oa lile wigi lake kichwani.

Shukurani ziende kwa Diamond ambaye alimuokoa Mobeto kisha kumkimbizia kwenye gari na kumuondoa eneo la tukio, la sivyo, leo tungekuwa tunazungumza mengine huku kisa kikielezwa kuwa ni chuki tu, kwamba, mama huyo hampendi wala hamtambui kama mkwe wake aliyemzalia mwanaye mtoto wa kiume, Abdul.

Mara baada ya tukio hilo ndipo kulipoibuka mambo juu ya mambo ambapo vijembe vilianza kwenye mitandao ya kijamii.

DIAMOND Vs MAMA’KE

Taarifa za ndani ya familia hiyo zilidai kwamba, kitendo cha mama Diamond kumchapa Mobeto kilisababisha kuingia kwenye ugomvi mkubwa na

Diamond, jambo ambalo halikuwahi kutokea.


“Mara zote Diamond na mama yake wamekuwa ni zaidi ya mama na mwanaye kutokana na walivyokuwa wakipendana, lakini ghafla tu mambo yamebadilika kwa sababu ya Mobeto.

MOBETO ANATUMIA KIZIZI?

“Hapa ndipo nguvu ya mapenzi inapoonekana, yaani Diamond ambaye anajulikana anavyompenda mama yake, leo anabadilika na kuwa upande wa Mobeto? Kama ni kizizi, basi Mobeto ni noma!,” alidai mnyetishaji wetu ambaye aliomba hifadhi ya jina.

ZARI Vs MOBETO

Kufuatia tatizo hilo, mama Diamond aliingia kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuweka picha ya watoto wawili wa Diamond, Tiffah na Nillan aliozaa na Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ na kuwataka watu kufumba midomo kwa watoto hao wa Diamond.

Hata hivyo, muda mfupi baadaye, Diamond naye alitupia kwenye ukurasa wake wa Instagram picha ya mwanaye Abdul aliyezaa na Mobeto akiwa kwenye ngazi ya ghorofa tofauti na wale wa Zari kisha kusindikiza na maneno kuwa watoto wake ni wa maghorofani.

DIAMOND Vs MAMA’KE

Hapo sasa ndipo muziki ulipokolea ambapo kwa mujibu wa vyanzo vya ndani ya familia ya Diamond, kulitokea mpasuko wa aina yake huku vita hiyo ikiongozwa na mama Diamond na Diamond mwenyewe.

Ilidaiwa kuwa, mama Diamond hamtaki kabisa Mobeto aolewe na Diamond na badala yake bado mapenzi yake yapo kwa Zari ndiyo maana amekuwa akitupia picha za watoto wake huku akiwa hamtambui yule wa Mobeto.

QUEEN DARLEEN NA ESMA PLATNUMZ

Katika kunogesha vita hiyo, uchunguzi wa gazeti hili ulibaini kuwa, hata dada zake Diamond, Mwanajuma Abdul ‘Queen Darleen’ na Esma Khan ‘Esma Platnumz’ nao wapo upande wa mama yao.

Queen Darleen alishanukuliwa mara kwa mara kuwa yeye anampenda Zari huku Esma akiweka wazi kuwa anampenda Wema Sepetu, lakini hamchukii Zari na wala hawezi kumpangia Diamond mwanamke wa kuwa naye.

Kwa maana hiyo, hesabu zinaonesha kuwa, Mobeto anakubaliwa na Diamond pekee, lakini mama yake na ndugu zake wengine wote wapo upande wa Zari hivyo siyo vita ya kitoto ambapo ilielezwa kuwa, baadaye baba huyo alimwondoa mwanaye huyo kwenye listi ya wafuasi (followers) wake wa Instagram.


KIKAO KIZITO

Habari zaidi zilieleza kuwa, wajomba na mama wadogo wa Diamond waliomba kuitisha kikao kizito cha kifamilia ili kuona namna ya kuliweka jambo hilo sawa kwani hawafurahiswi na kutoelewana kwa Diamond na mama yake.

BABA DIAMOND ACHACHAMAA

Katika mahojiano maalum na Risasi Jumamosi, baba mzazi wa Diamond, Abdul Jumaa alichachamaa kuonesha kuwa anachukizwa na malumbano hayo yanayoendelea ambapo mambo yalikuwa hivi;

Risasi Jumamosi:
Baba Diamond unazungumziaje suala la mzazi mwenzako, Bi Sandra kumpiga Mobeto ambaye ni mzazi mwenza wa Diamond?

Baba Diamond:
Dah! Kiukweli hakufanya kitu kizuri kabisa. Mimi mwenyewe sijapenda hata kidogo kwani yeye hapaswi kuingilia uhusiano wa watoto wala hapaswi kumchagulia mtoto mwanamke wa kuwa naye. Yeye angejisikiaje kama mama Hamisa angempiga Diamond? Kiukweli si picha nzuri hata kidogo.

Risasi Jumamosi:
Kwa sasa unawasiliana na Mobeto?

Baba Diamond:
Mmmh! Niliwasialiana naye kipindi kile cha 40 ya Abdul (mtoto ambaye Mobeto amezaa na Diamond), lakini tangu arudiane na Diamond, hakuna mawasiliano na mimi tena, sijui labla itakuwa ni ubize na majukumu kuwa mengi ndiyo maana hanikumbuki!

Risasi Jumamosi:
Je, ni mwanamke gani wa Diamond amewahi kuwa karibu na wewe na kukujali kama baba mkwe?

Baba Diamond:
Kwa kweli ni Wema Sepetu (naye aliwahi kuwa mpenzi wa Diamond). Alikuwa akinipenda sana, hata huku nyumbani kwangu (Magomeni, Dar) alikuwa anakuja na kumfanya Diamond kuwa karibu na mimi zaidi. Simaanishi wengine walikuwa hawanipendi, hapana, ila Wema alikuwa ananijali sana.

Risasi Jumamosi:
Asante, tutakutafuta siku nyingine.

Baba Diamond: Asanteni!

Source:GPL

Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo Ingia www.ajirayako.co.tz

Vanessa Mdee Azidi Kupata Mafanikio na Albamu Yake Ya ‘Money Mondays’

$
0
0
Mwanamuziki wa Bongo fleva Vanessa Mdee amezidi kufanya vizuri na albamu yake ya ‘Money Mondays’ kwani albamu hiyo imetajwa kuwa ndio inaongoza Afrika Mashariki nzima.

Kupitia mtandao wa Boomsplay ambao unahusika na upakuaji wa nyimbo kadhaa umeweka wazi kuwa Albamu hiyo ndio kinara kupitia mitandao yao ya kijamii ambapo wameandika ujumbe huu:

"Hongera nyingi sana kwake @vanessamdee kwa kuwa na albamu namba moja kwa mauzo na kusikilizwa, ukanda wa Afrika Mashariki nzima ! Wewe kama shabiki wake mkubwa uliyewezesha hili, tunakupa pongezi pia na endelea kuipa support “Money Mondays” kila siku!”.

Vanessa Mdee alionyesha kufurahishwa na taarifa hiyo kwani alitumia ukurasa wake wa Instagram kushukuru mashabiki zake kwa kuweza kupakua wimbo mpaka kufanya uwe namba moja:

"Thank you Asante Sana for making #MoneyMondaysTheAlbum the NO 1 ALBUM in East Africa @mdeemusicofficialmmetishaaaaaa @boomplaymusic_tz@boomplaymusicke @boomplaymusicngwith over a million plays/streams. #SwimmingInJesusJuice #BestFansInTheWorld.”

Mastaa Bwana!...Mrembo Sajenti Ampindua Johari Kwa Bwana Mzungu

$
0
0
MASTAA wetu bwana! Ndivyo unavyoweza kusema kufautia habari hii inayowahusu mastaa wa filamu Bongo, Husna Sajenti na Blandina Chagula ‘Johari’ ambao wanadaiwa kununiana kufuatia Sajenti kumpindua mwenzake kwa mwanaume mtasha.

Ilikuwa ni juzikati kwenye uzinduzi wa Filamu ya Sema uliofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar ambapo usiku mnene, Johari alionekana akiwa beneti na mtasha mmoja ambaye hakufahamika jina lake.

Kunaswa kwa wawili hao kuliwafanya ‘washakunaku’ waliokuwa ukumbini hapo wahisi staa huyo amejiokotea dodo chini ya muarobani hivyo baadhi kuanza kunong’ona wakisema ‘Johari kapata zali la mentali

Hata hivyo, tofauti na matarajio ya walio wengi, baada ya tukio la uzinduzi kumalizika, Sajenti alionekana akiondoka ukumbini hapo kwa madoido huku akiwa na Mzungu huyo, jambo lililowafanya wengi waone kuwa Johari kapinduliwa hivyo kuanza kuzomea.

“Ila na sisi kwa kupinduana hatujambo, hivi imekuwaje tena Sajenti anaondoka na yule Mzungu badala ya Johari, maskini Johari wa watu… ila siyo kesi kwa kuwa inaweza kuwa wamepeana kampani za kawaida tu,” alisikika akisema mdada mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja.

Kufuatia tukio hilo, mwandishi wetu alifanya jitihada za kumtafuta Sajenti kuzungumzia mapinduzi ya kijanja aliyoyafanya kwa Johari lakini simu yake iliita bila kupokelewa na hata alipotumiwa sms hakujibu.

Johari alipopatikana alikuwa na haya ya kusema: “Mimi ninachojua nilikutana na yule Mzungu, nikapiga naye picha kama ninavyopiga na watu wengine, hayo ya kupinduliwa siyajui, huyo Sajenti alitangulia kwenye gari wakati tunajipanga kuondoka na wala hatujanuniana chochote.”

Stori: Waandishi Wetu/GPL

Je, Una Upunguvu wa Nguvu za Kiume, Hamu ya Tendo au Maumbile Madogo ya Uume?

$
0
0

JE, UNA UPUNGUVU WA NGUVU ZA KIUME, HAMU YA TENDO LA NDOA AU MAUMBILE MADOGO YA UUME?
SOMA HAPA👇👇.
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea na matunda bila kemikali 🍇🍍🍓🌿🍉🍒🍎🍑 @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

WELCOME ALL

Mwanamuziki Lulu Diva Amkana Live Rich Mavoko..'Rich Mavoko Hawezi Kuwa Mpenzi Wangu'

$
0
0
BAADA ya tetesi kusambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, kwamba mwanamuziki Lulu Abbas ‘Lulu Diva’, anatoka kimapenzi na mwanamuziki mwenzake, Richard Martin ‘Rich Mavoko’, Lulu amevunja nazi na kuweka mambo hadharani.

Akichonga na Mikito Nusunusu, Lulu alisema kwamba, tetesi hizo si za kweli na zilitokana na watu kuunga baadhi ya video na picha na kuonesha kwamba wapo kwenye mahaba lakini si kweli, yupo karibu na jamaa huyo kwa sababu za kikazi.

“Mimi na Rich hatujawahi kuwa na uhusiano wowote, ni mtu wangu, tunasaidiana kwenye kazi, maana ndiye kanitungia hata wimbo wangu mpya wa Ona, kuhusu mapenzi hapana kiukweli,”

Stori: Mikito Nusunusu

Sakata la Mtoto wa Gigy Money...Gigy Afunguka Mapya "Moj Sio Baba wa Mtoto Wangu"

$
0
0

Baada ya Kutokea Mgogoro Kati ya Gigy na Moj Hadi kufikia Wawili hao Kupigana Chini na Kila mtu kuchukua Hamsini Zake
.
Maskini Gigy Amkataa Tuliekua Tunaamini ni Baba Wa Mtoto Wake..
.
Amedai kuwa Moj sio baba wa mtoto huyo kuwa yeye ndio anajua Baba ni nani "

Amefunguka hivi alipokuwa akifanyiwa mahojiano: "By the way kwanza mtoto sio wa Moj sijui niseme ukweli? Mimi ndio namjua baba yake Hawezi kuwa baba mtu anakuja nyumbani kwangu namwambia tunakula nini mtoto ananinyonya anajibu 'Nina Buku tu hapa' afadhali angeniambia sina hela

Sijawahi Kutoa Machozi kwa ajili ya Instagram Ila Leo Niacheni " Gigy Money

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0
Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja. Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images