Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104793 articles
Browse latest View live

Wazazi Waliomshtaki Mtoto Wao kwa Kugoma Kuondoka Nyumbani Washinda Kesi Jaji Aamuru Aondoke

$
0
0
Wazazi Waliomshtaki Mtoto Wao kwa Kugoma Kuondoka Nyumbani Washinda Kesi Jaji Aamuru Aondoke
Wazazi wawili mjini New York wameshinda kesi waliyokuwa wakipambana kumuondoa kijana wao mwenye umri wa miaka 30 baada ya kukaidi kuondoka

Wakati wa kusikilizwa kwa kesi hiyo katika mahakama ya juu ya jimboni humo, Jaji aliamuru kijana huyo aondoke nyumbani kwa wazazi wake.

Jaji Donald Greenwood alimwambia kijana huyo kuendelea kubaki nyumbani kwa miezi sita zaidi kama alivyoomba ''haikubaliki''

kijana Michael Rotondo ambaye alijiwakilisha mwenyewe mahakamani, amesema ''Sijui kwa nini hwawezi kusubiri kidogo kabla ya mimi kuondoka,Bwana Rotondo alieleza huku wazazi wakiwa wamekaa karibu na mwanasheria wao wakimtazama.

Alisema kuwa miezi sita ndio muda uli sawa kwa mtu ambaye alikuwa akiwategemea watu .

Jaji akiwa anatabasamu alimtaka kijana huyo azungumze na wazazi wake,na kuamua kwa hiyari kuondoka nyumbani, lakini Rotondo alikataa.

''Nataka uondoke hapo nyumbani'' Jaji Greenwood aliamuru, kwa mujibu wa kituo cha habari cha ABC

Instagram 'ni hatari zaidi kwa afya ya vijana'
Walipokuwa wakifungua mashtaka juma lililopita,Christina and Mark Rotondo walionyesha nakala ya nyaraka walizokuwa wakimuamuru kuondoka nyumbani tangu tarehe 2 mwezi Februari mwaka 2018.

Sehemu ya nakala zikiwa zimeandikwa ''Kuna kazi zinapatikana hata kwa wale wenye historia mbaya ya kufanya kazi kama wewe''''Nenda katafute kazi-unapaswa kufanya kazi!''


Bulaya Aitupia Lawama Serikali....Adai Imesababisha TANESCO Ifiilisike

$
0
0
Mbunge Bunda Mjini (Chadema), Ester Bulaya amesema Serikali ya Awamu ya Tano tangu ilipoingia madarakani Novemba 5, 2015 imelifanya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kushindwa kujiendesha kwa faida, kutaka ligawanywe.

Bulaya ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Mei 24, 2018 bungeni mjini Dodoma katika mjadala wa bajeti ya Wizara ya Nishati mwaka 2018/19.

Amesema kwa muda mrefu ripoti mbalimbali za kamati za Bunge, ikiwamo ya mashirika ya umma, zinaeleza namna Tanesco inavyojiendesha kwa hasara.

Amesema kabla ya Serikali hiyo haijaingia madarakani, Tanesco ilikuwa ikipata hasara ya Sh124 bilioni lakini baada ya kuingia madarakani Tanesco inapata hasara ya Sh346 bilioni inayotokana na upugufu wa maji na gharama za uendeshaji.

“Tanesco ina madeni ambayo yamepanda kwa asilimia 23. Kabla Serikali hii haijaingia madarakani, Tanesco walikuwa na madeni ya Sh738 bilioni lakini baada ya kuingia yamefikia Sh958 bilioni na haya si maneno ya Bulaya. Ukiangalia ripoti ya CAG, inasema madeni hayana uhusiano kati ya Tanesco na mali, kwa maana nyingine Tanesco imefirisika,” amesema Bulaya.

Amesema wakati madeni haya yanatokea, kulikuwa na ushauri na mikakati mbalimbali ya kuligawanya shirika hilo ili kutenganisha usambazaji na uzalishaji.

“Leo hii tusingekuwa tunazungumza umeme wa vibaba wakati tunataka Tanzania ya viwanda. Wakati haya yanafanyika, Tanesco inashindwa kukusanya madeni makubwa, Tanesco inaidai Hospitali ya Tumaini Dola milioni 9.4 za marekani sawa na Sh18 bilioni na ni kodi ya pango,” amesema.

“Kodi hii ni tangu mwaka 1998 haijawahi kulipwa, kulikuwa na kesi mahakamani na Tanesco ikashinda na mahakama imeitaka kuondoka lakini mpaka sasa haijachukua hatua zozote.”

Mbunge huyo pia alihoji kitengo cha wizara hiyo kutenga Sh700 bilioni kwa ajili ya mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge badala ya fedha hizo kuzipeleka Rea (Wakala wa Umeme Vijijini) na Tanesco.

“Mkiona wengine tunasema hivi mjue yametuchosha timizeni wajibu wenu acheni mbwembwe ndogondogo,”amesema.

Jambazi Anayetumia Bunduki FEKI Asakwa na Polisi

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani Kigoma limesema siku za kumkamata mtuhumiwa wa ujambazi anayeteka watu na kuwapora kwa kutumia bunduki bandia na kisu,  zinahesabika.

 Limesema kuwa mtuhumiwa huyo amenusurika kukamatwa mara mbili baada ya kuwekewa mtego na polisi.

 Akizungumza leo Alhamisi Mei 24, 2018 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Martin Ottieno amesema mtuhumiwa huyo  ambaye jina lake halisi halijulikani, anafanya uhalifu kwa kuteka watu na kuwapora mali zao katika barabara ya Kisili-Buhigwe kwenye pori la Kwitanga.

 Pori hilo lipo katikati ya kijiji cha Mahembe na Gereza la Kwitanga katika wilaya ya Kigoma.

 "Tunaendelea kumsaka na polisi wamemkurupusha mara mbili ikabidi adondoshe bunduki yake chini, kumbe ni ya bandia na ndio anayotumia kupora watu," amesema Ottieno.

 “Bunduki hizo bandia zimechongwa kwa kutumia mbao kiasi kwamba mtu akiitazama kwa mbali bila kuichunguza hawezi kutambua kama ni bandia.”

 Mtuhumiwa huyo anadaiwa kupora watu wanaopita barabarani wakiwa kwenye magari, pikipiki, baiskeli na watembea kwa miguu ambapo hunyang'anya simu za mkononi na fedha.

 Ottieno ameomba wananchi waendelee kutoa ushirikiano wa dhati kwa askari ili iwe rahisi kumkamata jambazi huyo.

Sugu Ampongeza Mwandosya kwa Kumtembelea Gerezani

$
0
0

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu Sugu (Chadema), ameliambia Bunge kuwa wakati akiwa gerezani, alipokea salamu kutoka kwa viongozi na wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku akimpongeza Prof. Mark Mwandosya kwa kuwa mwana CCM pekee aliyekwenda kumsalimia gerezani.

Akichangia bungeni jijini Dodoma jana mjadala wa makadirio ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa mwaka ujao wa fedha, Sugu aliwapongeza viongozi na wabunge wa CCM kwa kumtumia salamu gerezani huku akidai wengi wao waliogopa kwenda kumjulia hali.

Hata hivyo, Sugu alisema CCM waliwakilishwa vizuri na waziri wa zamani Prof. Mwandosya ambaye ndiye pekee wa chama tawala hicho aliyefika gerezani kumjulia hali.

Mbunge huyo ambaye jana alikuwa wa kwanza kuchangia mjadala huo, pia alitumia fursa hiyo kutoa pole kwa wananchi wa Mbeya ambao alidai waliungana naye kutumikia kifungo hicho.

"Nawashukuru watu wote waliopaza zauti zao kulaani kifungo dhidi yangu," alisema Sugu katika maneno yake ya utangulizi kabla ya kujikita katika hoja iliyokuwa bungeni.

Mbunge huyo mwanzoni mwa mwaka huu alihukumiwa kifungo cha miezi mitano gerezani baada ya kukutwa na hatia kisha kuachiwa wiki mbili zilizopita kwa msamaha wa Rais.

Katika mchango wake jana, Sugu alisema matukio ya uhalifu na vifungo dhidi ya wanasiasa kama yeye yanayotokea nchini yanawafanya baadhi ya wawekezaji kuogopa kuja kuwekeza nchini.

Alisema pamoja na kwamba Tanzania inaweza kuwa na jitihada za kuwashawishi wawekezaji kutoka nje kuwekeza nchini, mkakati huo huenda usifanikiwe kwa kuwa wawekezaji wanapenda kuwekeza katika nchi zenye usalama kuliko nchi zenye vurugu na mauaji.

Sugu pia alimshauri Rais aanze kusafiri kwenda nje ya nchi akisisitiza kuwa safari za nje zina faida kama ilivyokuwa enzi za uongozi wa Rais mstaafu Jakaya Kikwete aliyekuwa akisafiri mara kwa mara.

“Pamoja na hayo, serikali haiwatendei haki Watanzania wanaoacha kazi nje na kuja kufanya kazi nchini kwa sababu inataka iwalipe mishahara midogo kama ilivyotokea kwa bosi mmoja wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)," Sugu alisema.

Musukuma amkana Bashe Sakata la Kutekwa na Usalama wa Taifa

$
0
0
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma Kasheku, amefungukia madai yaliyowahi kutolewa na Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe, kwamba walitekwa na watu wa usalama wa Taifa ni ya uongo na kwamba kilichotokea walikamatwa na askari na mbinu zilizotumika ni zile wanazofundishwa bungeni.

Musukuma ametoa kauli hiyo jana  wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha Kikaangoni kinachorushwa na  EATV , ambapo alifafanua kwamba walikuwa wakidhaniwa kufanya uhalifu.

Musukuma alisema kwamba "Mara ya kwanza kulala polisi nimelala nikiwa mwana- CCM, mara ya kwanza Dodoma, mara ya pili ni Geita, na nilikubali kwa sababu wala hatukutekwa, nilikuwa na kina Bashe, nilimsikia rafiki yangu Hussein Bashe alisema tumetekwa, hatukutekwa".

"Tulikamatwa tukapelekwa polisi, tukapekuliwa, tulipoonekana hatuna hatia tukaachiwa , hatukutekwa. Sikumjibu Hussein Bashe aliposema tumetekwa kwa sababu sikuwepo, nasema hapa hatukutekwa," Musukuma.

Aprili 11, 2017 Mbunge wa Nzega Mjini(CCM) Hussein Bashe aliwataka wabunge kuacha unafiki kuhusu Usalama kuwateka watu na kwamba yeye ni mmoja wa watu waliokamatwa wakati wa mkutano Mkuu wa CCM.

"Mimi nimekamatwa na kuteswa na Usalama wa Taifa. Nimenyanyaswa sana nchi hii. Ikibidi mnifukuze CCM - " alisema Bashe wakati Waziri wa Tamisemi,(kabla hajaenguliwa katika nafasi hiyo) George Simbachawene kumtaka Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kuthibitisha kuwa matukio ya ukamataji yanafanywa na usalama wa Taifa.

JE, Wajua Kwanini Asilimia Kubwa ya Wanaume Wana Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo?

$
0
0
JE' WAJUA KWANINI ASILIMIA KUBWA YA WANAUME WANA UPUNGUFU, UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO YA UUME?

CHANZO HUWA NI:

(Kisukari, presha, ngiri, korodani kuvimba na kuuma, busha,zinaa,tumbo kuuma chini ya kitovu na kuunguluma nakujaa gesi, kutopata choo vizuri, punyeto, vidonda vya tumbo, bawasili.

Haya ni baadhi ya magonjwa yanayochangia upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume na uume kuwa mdogo.

TIBA YAKE NI "KIBOKO POWER"

Kiboko Power Ni dawa ya mitishamba ya vidonge yenye uwezo mkubwa sana wa kutibu upungufu au ukosefu nguvu za kiume.

(1) Itakufanya uwe na uwezo mkubwa sana wa kufanya tendo la ndoa.

(2) Inaongeza hamu ya tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha.

(3) Itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dk 30 nakuendelea.

(4) Itaufanya uume uwe na nguvu mara dufu wakati wote wa tendo la ndoa.

TIBA YA KUKUZA UUME SAIZI UIPENDAYO NI " SUPER FARU"

Super Faru Inanenepesha na kurefusha uume saizi uipendayo kuanzia nchi 3 hadi 8 na unene sm 2 hadi 4 .

(1) Inaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
(2) Inasaidia kusafisha mishipa ya uume na hivyo kusaidia katika kuongeza kasi msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.

(3) Inasaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
(4) Inasaidia kuongeza manii nyingi ambazo zina viini vya uzazi
(5) Inatibu pia madhara yanayosababishwa na upingaji punyeto, matumizi ya madawa ya kizungu ya kuongeza nguvu au maumbile ya uume, milungi, bangi na sigara.

PIA NATIBU MAGONJWA YOTE SUNGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE,

Kisukari, korodani kuvimba na kuuma, busha bila upasuaji, tezi dume, presha, zinaa miguu kuwaka moto au kufa ganzi, presha, mgoro nk.

Pia narudisha mme, mke, mchumba, hawara, aliyekuacha ndani ya masaa 4 tu, nakutimiza ahadi zote ulizoahidiwa.

Pia natoa utajiri wa majini ambao hauna masharti magumu na kutoa ndangu za utajiri.

Kumbuka nashughulika na matatizo yote yaliyopo ndani ya mzunguko wa binadamu usisite kunieleza hata kama sijayaandika.

WASILIANA NA DR ULIMWENGU KWA TIBA BORA NA SALAAMA KABISA

ANAPATIKANA DAR MAGOMENI SIMU 0759030343 / 0622790494.

KAMA HAUNA MUDA WA KUFIKA OFISINI HUDUMA HII UTAIPATA POPOTE ULIPO.

Zanzibar: Watu 9 wadakwa kwa kula hovyo mchana wakati wa Ramadhani

$
0
0
WATU tisa wamekamatwa kisiwani Zanzibar pamoja na Bar tatu kufungwa kwa makosa mawili tofauti tangu kuanza mfungo wa mwezi wa Ramadhani.

Katika kosa la kwanza, watu tisa wamekamatwa kwa kula chakula mchana katika kipindi hiki cha mwezi wa Ramadhani.

Aidha, katika kosa lingine Bar tatu zimefungwa kutokana na kuuza chakula mchana katika mkoa wa mjini Magharib Unguja hadi kumalizika kwa mwezi wa Ramadhani.

Mkuu wa mkoa huo, Ayoub Mohammed Mahmoud aliziagiza manispaa zote kusitisha leseni ya biashara za vileo katika kipindi chote cha mwenzi mtukufu wa Ramadhani.

Alisema hatua hiyo itaimarisha imani za watu na kuzitaka manispaa hizo kusimamia agizo hilo na kufuata kanuni za wizara ya afya ili kuepusha mripuko wa maradhi.

“Ili waumini waweze kuukabili mwenzi huu lazima kwa wananchi kutumia fursa za Ramadhani kwa kufanya mambo mema ili Allah azikubalie swaumu zetu”alisema Ayoub..

Aidha, aliwataka watembeza watalii kutoa mwongozo kwa wageni kwa kufuata utaratibu ulio sahihi kwa kuvaa mavazi ya heshima na yanayo kubalika kutokana na mila,silka na utamaduni.

Mr Nice na Wolper Kunani? Je List Imeongezeka Ama la?..

$
0
0
Shilawadu soudybrown kasema wolper na Mr nice mambo ni hivi....
Muigizaji wa filamu Tanzania jacklin wolper na Mwanamuziki aliyesumbua kitambo kwa style yake ya TAKEU Mr. Nice Wanaukaribu usio wa kawaida waonekana wakila bata pamoja. Je! List Ya wanaume aliotembea nao Wolper inaendelea kuongezeka?.

VIDEO:


Ongezeko la Upungufu wa Nguvu za Kiume na Ukosefu wa Hamu Limeongezeka...Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea na matunda bila kemikali 🍇🍍🍓🌿🍉🍒🍎🍑 @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Haiwezekani Nataka Kupima DNA Nimestuka!! Wanangu Hawajafanana na Mimi

$
0
0
Mwenzenu jamani nahisi nmechakachuliwa,nina mke wangu tumezaa watoto wawili mmoja yuko na miaka mitano na wa pili miwili,kati yetu mimi na mke wangu nahisi kuna kitu kinaendelea na nimefanya uchunguzi wa kina na kuishia kwa majibu ambayo hayaniingii aklini na pili vilevile hawa watoto wanafanana exactly na watu ninao wahisi

Nkijaribu kurudisha hisia nyuma naona matukio yanafanana na mke wangu pia alikuwa amejipatia ujauzito kwenye mazingira ya kutatanisha,Huyu wa kwanza anafanana sana na boyfriend wake wa zamani ambaye mimi namjua!kipindi yuko mjamzito nilishawahi kumfuma na meseji kibao za mahapa na njemba hilo!

Huyu wa pili anafanana sana na Babu mmoja hapa mtaani kwetu anashona viatu
Huyu mara nyingi nmeshawahi kumkuta home anajisingizie kuja kuchukua viatu,mbaya zaidi hata huyu mtoto huyu mwwanamke anajitahidi sana kumjengea mazoea nae
Sasa naombeni ushauri jamani mm nifanye nini?

Ronaldinho Kuishangaza Dunia Mwaka Huu...Kuoa Wanawake Wawili Kwa Mpiga

$
0
0
Tukio gani la Ronaldinho unalikumbuka? Basi achana na hilo, mchezaji huyo wa zamani wa Brazil na vilabu vikubwa Ulaya, amepanga kuushangaza ulimwengu mwaka huu – Mchezaji huyo anatarajia kufunga ndoa siku moja na wapenzi wake wawili kwa pamoja.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Brazil, vimeripoti kuwa Gaucho amepanga kufunga ndoa na wapenzi wake hao Priscilla Coelho na Beatriz Souza mwezi August mwaka huu.


Ronaldinho akiwa na wapenzi wake Priscilla Coelho na Beatriz Souza

Vyombo hivyo vimeongeza kuwa mchezaji huyo anaishi nyumba moja na warembo hao katika jumba lake la kifahari lililopo mjini Rio de Janeiro, ambalo linathamani ya paundi milioni tano ambapo ni zaidi ya shilingi bilioni 15 za Kitanzania.

Inadaiwa kuwa Ronaldinho ameanza kuishi pamoja na wapenzi wake hao tangu Disemba 2016. Hata hivyo dada wa mchezaji huyo amesema kuwa hajaridhishwa na harusi hiyo.

Breaking News: Rais Donald Trump afuta mkutano wake na Kim Jong-Un

$
0
0
Rais wa Marekani Donald Trump ameutupilia mbali mkutano wake wa kihistoria na hasimu wake kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un uoliokuwa umepangwa kufanyika June 12 mwaka huu nchini Singapore.

Image result for Trump
Donald Trump

Kupitia taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Marekani ‘White House’, Trump amesema uamuzi wake umetokana na kauli zenye ujumbe unaochukiza kutoka kwa viongozi wa Korea Kaskazini.
Jana Mei 23, 208 Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kaskazini, Choe Son-hui alimtukana Makamu wa Rais wa Korea Kaskazini kwa kumuita Mjinga na Mpumbavu kitu ambacho kimezua gumzo katika ulimwengu wa kisiasa na Diplomasia.


Rais wa Marekani, Donald Trump siku ya Jumanne ya wiki hii alisema kuwa Korea Kaskazini ndiyo ingetimiza masharti ya kufanyika kwa mazungumzo hayo.

Hii Hapa Sababu Kubwa Inayowafanya Wanawake Kupiga Kelele Wakati wa Tendo la Ndoa

$
0
0
Kumekuwa na tabia au hali ya wanawake wengi kupiga kelele au unaweza kusema kutoa sauti wakati wakishiriki tendo la ndoa. Hali hii imeacha maswali kama kutoa huko sauti ni jambo la asili au ni mwanamke mwenyewe anaamua hapa atoe sauti na kwingine asitoe.

Mwaka 2011 watafiti wawili mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Lancashire na mwingine kutoka Chuo Kikuu cha Leeds wote wa nchini Uingereza walichapisha utafiti wao walioufanya uliokuwa ukihusu utoaji wa sauti wa kati wa kujamiina. Walitaka hasa kujua kwanini wanawake hutoa sauti hizo.

Katika utafiti huo, waliwahoji wanawake 71 wenye umri kati ya miaka 18 na 48 ambao hushiriki mapenzi mara kwa mara juu ya utoaji wa sauti wakati wa kujamiiana.

Katika utafiti huo ulibaini kuwa wanawake wengi huto sauti hizo lakini sio pale tu wanapokuwa wamefika kileleni. Asilimia 66 walisema kuwa hutoa sauti wakati wa kujamiina ili  kuwasaidia wenza wao kufika kileleni haraka, wakati asilimia 87 walisema kuwa hutoa sauti hizo ili kuwaongezea wenza wao kujiamini kwa kile wanachokifanya kuwa wapo sawa.

Wanawake walieleza kuwa mara nyingi hutoa sauti wakati wenza wao wanapofika kileleni. Baadhi pia walieleza kuwa sauti hizo huwasaidia kuwaondolea uoga walionao, hali ya kutojisikia kuwa sawa, wakati mwingine kuondoa maumivu lakini pia kama njia ya kufurahia raha anayokuwa anaipata.

Aidha, wataalamu hao walisema kuwa kwa vile wanaume wengi huhusisha utoaji wa sauti na mwanamke kufika kileleni, basi baadhi ya wanawake hutoa sauti hizo kwa uongo ili tu kuwaridhisha wenza wao waone kila kitu kipo sawa.

Kwa upande mwingine, imegundulika kuwa wanawake si jamii ya wanyama pekee ambao hutoa sauti wakati wa kujamiiana kwani hata nyani (baboons) wana aina zao za sauti ambazo huzitoa wakati wakijamiiana.

Imeelezwa kuwa wakati mwingine huwa ni vigumu sana kuelezea kila kinachotokea wakati wa kijamiiana kwa sababu kila mtu huwa na utashi wake. Lakini kitu wataalamu walichokubaliana ni kuwa sauti hizo zinaweza kumsaidia mwenza kujua kama anachofanya ni sasa hivyo aendelee au aache, aongeze au apunguze.

Andika Maoni yako Hapo Chini Utuambie nini Kinamfanya Mpenzi Wako Apige Kelele Wakati wa Kuhondomola au Kama Wewe ni Mwanamke Tueleze Sababu ya Nini Kinapelekea Hadi mnapiga kelele wakati wa game,Zingatia Lugha yenye tafsida isiyokuwa na matusi.

Download Hapa Application Mpya ya Udaku Special Uweze Soma Vimbwanga na Udaku Mtaani Kila Siku

Je Ungekuwa Wewe Ungefanyaje Katika Hali Hii iliyomkuta Huyu Jamaa? Huta Amini Macho yako Kilichomtokea

$
0
0

Umemkopesha rafiki yako wa karibu Tshs 400,000 mwaka jana, lakini tokea wakati huo amekuwa mgumu kulipa deni hilo, kitu kilichochangia kudorora kwa urafiki wenu. Unamuomba akulipe basi walau Tshs 200,000 tu alafu umsamehe hiyo nyingine kwakuwa kwa sasa una ukata na matatizo na una uhitaji na hiyo hela.

Rafiki yako huyo anakuambia anaweza kukupatia tu Tshs 150,000 kwasababu ndio kiasi alichonacho. Unaona huna namna zaidi ya kukubali tu kiasi hicho. Unampatia details zako za benki na account namba akutumbukizie humo.

Kuamka asubuhi unatizama kwenye account yako unakuta kuna Tshs 1,500,000😳😳 Unatizama tena kwa makini huamini unachokiona lakini bado kweli ni Tshs 1,500,000.

Unatizama vizuri simu yako unakuta missed calls 53 na meseji 27 akiomba umrudishie Tshs 1,350,000 kwasababu alitaka kutuma tu Tshs 150,000 lakini akakosea akaongeza 0 moja.

Wewe ungechukua maamuzi gani?

1.Utamrudishia kiasi anachoomba urudishe Tshs 1,350,000?

2.Utachukua zile zako unazomdai Tshs 400,000?

3. Utachukua zote Tshs 1,500,000?

Nape Amliza Waziri Kama Mtoto..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya May 25

$
0
0


Nape Amliza Waziri Kama Mtoto..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya May 25

Mwigulu Aagiza BodaBoda Zilizokamatwa na Polisi Ziachiwe Mara Moja

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba ameagiza pikipiki zote (bodaboda) ambazo zinashikiliwa na polisi kwa makosa madogo ziachiwe mara moja na wahusika wapewe nafasi ya kwenda kutafuta faini wakiwa na vyombo vyao.

“Naagiza kuanzia leo na nitapita kuangalia maeneo mbalimbali pikipiki ambazo hazihitajiki kwenda mahakamani kwa ajili ya kutolea ushahidi nataka ziachiwe mara moja ili kuwapatia wenye mali,” amesema Dk Mwigulu.

Awali, Spika Job Ndugai alimtaka Waziri huyo kufanya sensa ya kutosha na kujionea namna ambavyo vijana wengi wamekuwa wakipoteza mali zao kwa kukamatwa na polisi katika maeneo mbalimbali katika makosa madogo tu.

Ndugai amesema Serikali inapoteza fedha nyingi kupitia kwa waendesha bodaboda na kuwafanya wengi kuwa maskini huku akitolea mfano wa kituo kikuu cha polisi cha mkoa wa Dodoma ambapo amesema kuna pikipiki zaidi ya 300 zinashikiliwa lakini hazina makosa makubwa.

Awali, Mbunge wa Mpwapwa (CCM) George Lubeleje aliomba mwongozo wa Spika kuhusu suala la faini kwa madereva wa bodaboda na kumtaka kutoa maagizo kwa jeshi la polisi ili kupunguza kamatakamata hiyo.

Lubeleje amesema polisi wamekosa huruma kwa vijana wa Tanzania ambao wamekuwa wakilia kwa kushilikiliwa vyombo vyao bila makosa makubwa na hivyo akaomba waruhusiwe kwenda kutumia pikipiki hizo kutafuta faini wanazodaiwa na polisi.

Spika Ndugai: Wizara Ya Fedha Ijitathmini

$
0
0
Spika wa Bunge, Job Ndugai ameitaka Wizara ya Fedha na Mipango, ijitathmini baada kushindwa kupeleka kwa wakulima wa korosho fedha za tozo za mauzo ya nje ya zao hilo.

Akizungumza bungeni jijini Dodoma leo Mei 24, amesema kinachofanywa na wizara hiyo hakiwezi kukubaliwa kwa sababu kinaathiri zao la korosho nchini alipokuwa akijibu mwongozo wa kutaka kuahirisha bunge ulioombwa na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) aliyetaka bunge lisitishe shughuli zake na kujadili suala la serikali kutotoa fedha hizo kwa wakulima wa korosho.

Nape amesema: “kutopelekwa fedha hizo kumesababisha bei ya mbolea aina ya sulphur kupanda kutoka Sh 16,000 hadi 75,000”.

Akiunga mkono hoja hiyo Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) amesema kutopelekwa kwa fedha hizo kunatokana na utaratibu wa serikali ya awamu ya tano kutofuata sheria zinazopitishwa na bunge.

Akijibu miongozo hiyo, Spika Ndugai amesema suala hilo liachwe ili alifikishe kwa Waziri Mkuu kwa hatua zaidi.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Hawa Ghasia amesema hatua zilizochukuliwa na kamati yake juu ya hoja hiyo ya Nape.

Lakini pia Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri , Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama alisema hoja hiyo ya Nape inahitaji mjadala zaidi ingawa serikali imeshatoa Sh bilioni 10 kwa ajili ya zao la korosho.

Jaji Mkuu Awataka Viongozi na Watendaji wa Mahakama Kutenda Haki

$
0
0
Na Beatrice Lyimo- MAELEZO, DODOMA
Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amewataka viongozi mbalimbali wa mahakama ikiwemo Naibu Wasajili, Mahakimu, Watendaji, Wakuu wa Idara na Vitengo kutenda haki kwa watumishi walio chini yao.

Jaji Mkuu ameyasema hayo leo Mkoani Dodoma wakati akifungua mkutano wa siku mbili wa baraza la wafanyakazi wa mahakama Tanzania.

“Sisi kama wasimamizi wakuu wa haki nchini tunawajibu mkuu wa kutenda haki kwa watumishi kwa vitendo, ni ukweli usiopingika kwamba kimbilio la mtumishi yeyote aliyefikwa na matatizo ni kwa kongozi wake katika sehemu yake ya kazi, hivyo basi kila kiongozi anapaswa kufungua milango kwa watumishi waliopo chini yake” amesema Jaji Mkuu.

Jaji Mkuu ameongeza kuwa, ubora wa viongozi unapimwa kwa namna wanavyosaidia wafanyakazi walio chini yao, hivyo kuwataka viongozi hao kutokufunga milango yao kwa watumishi wanaowaongoza.

Aidha, Jaji Mkuu amebainisha baadhi ya mafanikio ya kushirikisha wafanyakazi kwa lengo la kukuza motisha na kuleta ufanisi katika maeneo ya kazi na kuongeza tija katika uzalishaji.

“Umihimu wa kushirikisha wafanyakazi usilenge tu katika mabaraza haya ya wafanyakazi bali uwe endelevu ili wafanyakazi wajione ni sehemu ya mabadiliko yanayoonekana” amebainisha Jaji Mkuu.

Hata hivyo Jaji Mkuu ametoa rai kwa viongozi hao kufanya kazi kwa upendo, kutoa taarifa mbalimbali kwa wafanyakazi hali itakayopelekea kupunguza baadhi ya migogoro katika maeneo ya kazi.

Mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Mahakama Tanzania umewashirikisha wajumbe kutoka kanda zote na menejimenti ya Mahakama Tanzania.

BREAKING News: Rais Magufuli amemteua Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda leo

$
0
0
Kutoka Ikulu leo May 25 2018 Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) John Pombe Magufuli amewateua  aliyekua Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Peter Pinda na Makongoro Nyerere kuwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC).

Rais Magufuli amefanya uteuzi huo kwa kutumia mamlaka aliyonayo kwa mujibu wa Katiba ya CCM toleo mwaka 2017 na majina ya wateule hao yatawasilishwa katika kikao cha NEC kitakachofanyika May 28 2018 Jijini Dar es salaam.
Viewing all 104793 articles
Browse latest View live




Latest Images