Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Wema Sepetu Atamani Diamond na Zari Wafunge Ndoa

$
0
0

MUIGIZAJI wa filamu, Wema Sepetu,  amempongeza Diamond Platnumz kwa video yake mpya ya ‘Iyena’ aliyomshirikisha Rayvanny.

Katika maudhui ya video hiyo, Diamond amecheza na mzazi mwenziye, Zarina Hassan (Zari The Boss lady),  kama wamefunga ndoa, Wema amemtaka msanii huyo kufanya kweli kama filamu hiyo inavyoonyesha.

“New Track Alert Ila kama ingekuwa Pambe ingekuwa Kweli. Just thinking out Loud, Diamond Chibudeeee Fanya kweli bwana. Inshallah mwaka huu hata mwakani. Tuje kucheza Baikoko sie, Rayvanny Kazi nzuri,” ameandika Wema kupitia ukurasa wake wa Instagram.”

Kabla ya Diamond na Zari kuwa na mahusiano yaliyowaletea watoto wawili na baadaye kutengana, mwanamuziki huyo alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Wema.  Hata hivyo, Siku ya Wapendanao (Valentine Day) mwaka huu,  Zari alitangaza kuvunja kwa mahusiano yake na mwimbaji huyo akidai alikuwa na mtandao mkubwa wa wapenzi wengine.

Rapa Drake Akumbwa na Scandal Kubwa

$
0
0

Tetesi ambazo zinaendelea kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusiana na staa wa muziki kutokea Canada Drake ambaye hivi karibuni amehusishwa kuendeleza bifu lililopo kati yake na Rappa Pusha T kutokea Marekani.

Maswali yamekuwa mengi kutoka kwa masabiki na wengi kujiuliza kama kweli Drake ana mtoto na anaficha suala hilo, hii ni kutokana na baadhi ya maneno kutoka kwenye mistari wa ngoma ya Pusha T “The story of Adidon”

Mstari huo unasema “Muache mtoto aje nyumbani, Adonis ni mtoto wako”



Baada ya ngoma hiyo kuhit kutokana na Pusha T kuzungumzia ishu ya mtoto wa Drake inasemakana kuwa Drake aliwahi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanadada Sophie Brussaux na baadae mwanamke huyo alibahatika kupata mtoto lakini wawili hao hawajawahi kuongelea ishu hiyo katika mitandao ya kijamii au sehemu yoyote.

Diamond Amtolea Mapovu Dada yake Esma

$
0
0

Bado drama zinaendela mara baada ya Diamond kuachia video ya wimbo ‘Iyena’ ambao katika video yake anaonekana aliyekuwa mpenzi wake, Zari The Boss Lady.

Time hii ni kati ya Diamond na dada yake, Esma Platnumz ambapo Diamond amejibu kile alichozungumza Esma hapo jana.

Kama unakumbuka jana Esma alieleza kuwa amemmisi Zari ambaye alimtaja kama wifi yake wa kimataifa na kueleza kuwa umuhimu wa mtu anaona pale anapokuwa hayupo.

Alienda mbali zaidi kwa kueleza kutokana na hilo kuna mtu (Diamond) ana msongo wa mawazo na amekonda, pia kwenye moja ya interview alisema hilo pia. Sasa Diamond amejibu kupitia ukurasa wake wa Instagram;


Unajua bado nakutafakari, Hivi dada yangu ile interview yako ya jana, ni Swaumu ilikuwa kali ukaamua umalizie Hasira zako kwangu ama???.

Maana kusema pengine ulilewa kwa mwezi huu mtukufu Hapana. Yaani jana, kama sio wewe vile uliyekujaga na Hamisa kwenye Birthday na 40 ya Nillan na sare Mkashona, na kutunza juu….Dah Mungu anakuona.

Kumbuka drama zote hizi zinaletwa na wimbo ‘Iyena’ ambao ulitoka hapo jana June 01, 2018 na kuweza kufikisha views milioni moja katika mtandao wa Youtube ndani ya saa 19 pekee.

"Katika Kipindi Hiki Hakuna Kitu Kinachoitwa Silaha ya Siasa ni Nguvu ya Hoja na Weledi kwa Kuwa Hoja hizo Zinapigwa kwa Silaha za Vita" Tundu Lisu

$
0
0

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amefunguka na kumkosoa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Prof. Kitila Mkumbo kuwa katika kipindi hiki hakuna kitu kinachoitwa silaha ya siasa ni nguvu ya hoja na weledi kwa kuwa hoja hizo zinapigwa kwa silaha za vita.

Lissu ametoa kauli hiyo leo Juni 2, 2018 baada ya kupita takribani siku tatu tokea Katibu Mkuu Kitila kutoa kauli yake iliyokuwa inampongeza Dkt. Bashiru Ally kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu mpya ndani ya CCM iliyokuwa ikisema 'katika kipindi ambacho silaha ya siasa ni nguvu ya hoja, weledi, na uimara wa kiitikadi, CCM imepata katibu mkuu sahihi kwa zama sahihi. Nakutakia mafanikio makubwa Comrade Dkt Bashiru Ally'.

"Profesa Kitila Mkumbo hiki sio kipindi ambacho 'silaha ya siasa ni nguvu ya hoja, weledi na uimara wa kiitikadi. Badala yake, hiki ni kipindi ambacho siasa za nguvu ya hoja zinapingwa kwa hoja ya silaha za vita - risasi, mabomu, utekaji nyara na magereza....

Hiki ni kipindi ambacho msimamo wa kisiasa na weledi wa kitaaluma unanunuliwa kwa pesa au kwa vyeo au kwa madaraka. Ni kipindi ambacho umalaya wa kisiasa na kitaaluma umeshamiri na unazawadiwa hadharani badala ya kukemewa na kukataliwa", amesema Lissu.

Pamoja na hayo, Lissu ameendelea kwa kusema "ni kipindi cha giza nene kwa utu na haki za binadamu, kinachotukumbusha zaidi yaliyotokea baada ya Mapinduzi ya Zanzibar, yaani, utesaji na mauaji ya kisiasa ya akina Abdullah Kassim Hanga, Othman Shariff, Abdul Aziz Twala, Saleh Saadalla Akida, Mdungi Ussi na wengineo wengi".

Kwa upande mwingine, Lissu amedai kipindi hiki ni cha aibu kubwa kwa nchi ya Tanzania hasa kwenye zama hizi za mfumo wa vyama vingi vya siasa.
 Facebook  Twitter

RC Ashtakiwa na Wanakijiji kwa Magufuli

$
0
0


Wanakijiji  wa kijiji cha Remng'orori wilayani Serengeti wamemshtaki Mkuu wa mkoa wa Mara,  Adam Malima kwa Rais John Magufuli kwamba anataka kuwapora ardhi yao wanayotegemea kwa kilimo na kuwapatia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ili waweke kambi yao.

Baadhi ya wakazi wa kijiji hicho, wameiambia Nipashe kuwa amri ya Malima imewasababishia ugumu wa maisha kwa kuwa mwaka huu hawakulima katika ardhi hiyo ambayo ipo mpakani mwa wilaya za Serengeti na Butiama mkoani Mara.

Mkazi mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Motiba Maro akizungumza na Nipashe amesema, wananchi wa kijiji hicho wameshindwa cha kufanya kilimo kutokana na amri hiyo ya Malima na kumuomba Rais Magufuli kuingilia kati.

"Hapa huu mgogoro umemshinda Malima, lazima Rais atume wasaidizi wake waje wasikilize malalamiko yetu, ili tupate haki yetu," amesema.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa kijiji cha Remng'orori, Msamba Maro amekiri wananchi wake kuzuiwa kulima katika eneo hilo, hatua ambayo imewaathiri kwa kuwa mwaka huu watakabiliwa na baa la njaa.

Msamba amesema eneo hilo lina mgogoro unaohusisha vijiji viwili vya Remng'orori na Mikomariro na mwanzoni mwa mwaka huu ulisababisha mapigano yaliyosababisha vifo vya watu wawili waliouawa mwanzoni mwa mwaka huu ulisababisha mapigano yaliyosababisha vifo vya watu wawili waliouawa kwa kukatwa mapanga.

Mapema mwaka huu Malima akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, alikiri kwamba mgogoro huo unasabababishwa na wavamizi kutoka nchi jirani ya Kenya.

Mtangazaji Mkubwa wa Marekani wa "The Ellen Show" Aitembelea Tanzania

$
0
0

Mtangazaji wa Talk show kubwa nchini marekani anayefahamika kama Ellen DeGeneres ambaye amejipatia umaarufu kutokana na kipindi chake kuwa na mvuto zaidi kwa sababu ya maudhui yake yalivyokuwa yakihusisha mastaa mbalimbali, Utani na hata baadhi ya story zinazowavutia zaidi mashabiki.

Sasa Good news ni kwamba star huyo wa Marekani yupo Tanzania na hiyo imejulikana baada ya kuonekana akiwa mbuga za wanyama na mpenzi wake Portia Derossi ambaye amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram akionesha kuwa yupo bongo na kuandikamaneno haya….



”Coffee break. #tanzania @theellenshow @mlorentz23 @pjfaulstick @cliffspot @_honeybuck_” – Portia Derossi
Huwenda hii ikawa ni taarifa nzuri haswa kwenye kukuza utalii wa ndani na tukashuhudia list ya mastaa wa kubwa kuja Tanzania ikazidi kuongezeka kutokana na star huyo mkubwa ambaye ameshawai kuhoji mastaa wengine wakubwa Duniani kuja Bongo.

Chadema Wahoji Iwapo Serikali Tayari Imelipwa na Barrick Gold na Accacia

$
0
0

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania kimehoji Bungeni Ijumaa iwapo serikali tayari imepokea malipo kutoka kwa kampuni za madini, Barrick Gold na Accacia.

Kampuni ya Barrick Gold

Wabunge wawili wa chama hicho cha upinzani Saed Kubenea (Ubungo) na Ryoba Chacha (Serengeti) walihoji kuhusu malipo hayo ya Dola milioni 300 yaliyokuwa yafanyike na kampuni ya Barrick Gold.

Kubenea alisema anashangaa kuona kitabu chote cha hotuba ya Waziri wa Madini, Angellah Kairuki, hakina taarifa zozote kuhusu malipo hayo.

Kutokana na hali hiyo, alitaka maelezo kutoka Wizara ya Katiba na Sheria kuhusu hatua iliyofikiwa katika majadiliano baina ya timu ya serikali na Kampuni ya Barrick.

Kampuni ya Accacia

Wabunge wa Chadema pia walimtaka waziri huyo kueleza Dola bilioni 190 (Shilingi trilioni 424) zinazopaswa kulipwa na Acacia zitapatikana lini.

"Sisi tulitegemea Bunge letu tupewe taarifa ya kina kuhusu mazungumzo kati ya serikali na Acacia. Tuelezwe Shilingi trilioni 424 ambazo ni Dola bilioni 190 tungepata lakini bajeti nzima imekuja haijazungumzia makinikia," Kubenea alisema na kuongeza:

"Kwa kuwa mmoja wa wajumbe ni Waziri Kabudi, atuambie makinikia imefikia wapi mchanga uliozuiwa bandarini upo, utakuwapo hai lini, unasafarishwa, kiwanda cha kuchenjua kitajengwa lini?" Kubenea alisema.

Majibu ya Waziri Kabudi

Naye Waziri wa Katiba na Sheria Palamagamba Kabudi, ameliambia bunge kuwa mazungumzo kati ya serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick Gold yanaendelea vizuri na yanatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Juni au katikati ya Julai 2018.

Amesema moja ya mambo ambayo yanayozingatiwa katika mazungumzo hayo kwa sasa ni namna ambavyo serikali italipwa na kampuni hiyo Dola 300,000 alizoziita za kishika uchumba.

Alisema "Inshallah fedha hizo zitalipwa" kwa kuwa mazungumzo baina ya pande zote mbili yanaendelea vizuri.

Profesa Kabudi pia aliweka wazi kuwa waliamua kuficha majina ya wajumbe wanaounda timu ya Tanzania katika majadiliano hayo kutokana na vitisho ambayo serikali ilikuwa ikipewa na baadhi ya Watanzania.

Kauli hizo za vitisho ni usemi uliokuwa ukitolewa kwamba haitaambulia chochote cha maana zaidi ya kuishia kushtakiwa kwenye mahakama za juu.

Kampuni ya TanzaniteOne

Katika ufafanuzi wake, Kabudi pia alizungumzia mikataba inayohusu madini ya tanzanite, akibainisha kuwa tayari serikali imelipwa na Kampuni ya TanzaniteOne.

“Ili kuhakikisha sekta ya madini inawanufaisha Watanzania, serikali inafanya mazungumzo na kampuni nyingine za uchimbaji wa madini zikiwamo kampuni 10 zinazojihusisha na biashara ya madini ya tanzanite," alisema.

“Aidha, Kampuni ya TanzanieOne ambayo imeshaanza mazungumzo na serikali, imekubali kuilipa fidia serikali kutokana na ufanyaji wake wa biashara nchini na pia kampuni hiyo imekubali kulipa tozo na kodi zote inazotakiwa kulipa,” alieleza zaidi waziri huyo.

Hata hivyo, Profesa Kabudi hakutaja kiasi cha fedha kilicholipwa na Kampuni ya TanzaniteOne kwa serikali kutokana na kile alichosema watu wanaoidai serikali wataishtaki kutaka kulipwa madeni yao.

Maswali Yazuka Baada ya Mwandishi wa Habari Kuzuiliwa Kuingia Ikulu

$
0
0

Mwanahabari kutoka katika shirika la habari la Urusi la Russia Today amezuiliwa kuingia ikulu mjini Paris wakati ambapo rais wa Ufaransa Emmanuel amejinasibu  kuheshimu uhuru wa  habari .

Mwanahabari huyo  kama wanahabari wengine alikuwa na ruhusa ya kutimiza wajibu wake  amezuiliwa na kuingia ikulu mjini Paris nchini Ufaransa.
Kuzuiliwa kwa  mwanahabari huyo  kulirekodiwa na  kamera ya siri ilikuwa ikitumiwa na mwanahabari huyo. Polisi aliekuwa katika doria alimwambia mwanahabari huyo kuwa kwa kuwa ni Russia Today  , hukana ruhusu ya kuingia kama ilivyoagizwa na rais.

Wakati  jarida la Le Point la Ufaransa lilichapisha toleo lake  mwanzoni mwa wiki  na picha ya rais Erdoğan, rais wa Ufaransa alisema kuwa ni uhuru wa habari.
Mwanahabari huyo alietambulika kwa jina la Kyrill Kotikov ameshangazwa na  mwenendo huo.

Wahamiaji 12 Haramu Wafariki Dunia Wakijaribu Kutoroka Libya

$
0
0

Wahamiaji haramu 12 wameripotiwa kufariki na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kujaribu kutoroka katika  eneo walilokuwa wamezuiliwa nchini Libya.

Taarifa zilizotolewa na shirika la kuhudumia wakimbizi  UNHCR zimefahamisha kuwa  wahamiaji hao wameuawa na watu wanaoshukiwa kuwa waandalizi wa safari za magendo kuelekea  barani Ulaya.

Wahamiaji haramu zaidi ya 200 kutoka nchini Eritrea  , Ethiopia na Somalia  walifaribu kutoka kautoka katika eneo walilokuwa wamezuiliwa .

Kulingana na taarifa zizlitolewa katika ukurasa wa shirika la  Umoja wa Mataifa  la kuhudumia wakimbizi ni kwamba  tukio hilo lililtokea Jumatato  Mie 23 Bani Walid  katika ambali wa kilomita 180  Kusini-Mashariki mwa jiji la Tripoli.
Wahamiaji 140 waliofaulu kutoka  walikamatwa na jeshi la Polisi na kupelekwa katika kituo cha Polisi cha  Gaser be Gashir Kusini mwa Tripoli.


Klabu za Simba na Yanga Zatambulisha Jezi Zao Mpya + PICHA

Somaliland Yakamata Waandishi, Kufungia Vituo vya Televisheni

$
0
0

Serikali katika eneo lililojitangazia mamlaka ya kujitawala la Somaliland imetakiwa kuacha kuwazuilia na kuwanyanyasa waandishi wa habari wanaoripoti mgogoro uliopo kati yake na Puntland na kuondoa katazo lililowekwa dhidi ya stesheni za televisheni mbili, Kamati ya Kuwalinda Waandishi (CPJ) imesema Ijumaa.

Waandishi wa habari wawili, Abdirahman Keyse Mohamed, ambaye anajulikana kama Tungub, na Mohamed Ahmed Jama, ambaye anajulikana kama Bidhaanshe, walikamatwa.

Tungub alikamatwa Mei 27 na Bidhaanshe alikamatwa Mei 28, wote wakiwa katika mji wa Las Anod katika Mkoa wa Sool uliokuwa na mgogoro, kwa mujibu wa kauli ya mkurugenzi mtendaji wa Jumuiya ya Waandishi wa Habari Somaliland na Guleid Ahmed Jama, mwenyekiti wa taasisi ya utetezi katika kituo cha haki za binadam.



Abdirahman ameiambia CPJ kuwa yeye na Mohamed walizuiliwa katika kituo cha polisi huko Las Anod hadi Mei 30, ambapo walipelekwa kwenye kituo kikuu cha mahabusu cha mji huo.
Hakuna kati yao aliyefunguliwa mashtaka na wala hawakufikishwa mahakamani, na jana walipewa dhamana na kuachiwa, Abdirahman aliwa CPJ.

Jambo hili linakiuka kifungu cha 27 cha katiba ya Somaliland, ambacho kinataka kila mtu anayekamatwa kupelekwa mahakamani katika kipindi cha saa 48.
Abdirahman, mwandishi anayefanya kazi na kituo binafsi kinachomiliki Televisheni ya Bulsho, ameiambia CPJ kuwa vyombo vya usalama katika eneo hilo havikumfahamisha ni kwa nini walimkamata.

Katika habari aliyoripoti Mei 26, alikuwa amewahoji wananchi juu ya mgogoro uliopo kati ya Puntland na Somaliland, Abdirahman, Yahye, na naibu meneja wa Televisheni ya Bulsho, Abdirashid Nour Wais, wameiambia CPJ.
Asubuhi Mei 28, polisi walimzuilia Abdirahman na waandishi wengine kuripoti mkutano wa serikali za mitaa uliokuwa unazungumzia mgogoro kati ya mikoa hiyo miwili.

Abdirahman amesema maafisa hao pia walivunja kamera yake. Baadae alikamatwa siku hiyo asubuhi akiwa katika ofisi za Televisheni ya Bulsho huko Las Anod, aliiambia CPJ.
Naye Mohamed, Mwanadishi mmoja anayefanya kazi na kituo binafsi cha Televisheni cha SBS, ameiambia CPJ kuwa alikamatwa alipokuwa anaripoti maandamano huko Las Anod.
Mnamo Mei 29, wizara ya habari Somaliland ilikifungia kituo cha TV cha SBS na kituo kingine binafsi, SOMNews, ikivitaka visiendelee na matangazo yao Somaliland, kwa mujibu wa maelezo ya Guleid, Yahye na tamko lililotolewa na serikali.

Wizara ya Habari ilivituhumu vituo hivyo kwa kutoa habari zisizo sahihi na kueneza “shambulizi la propaganda” dhidi ya Somaliland, kwa mujibu wa tamko la serikali na tamko lililotolewa na Kituo cha Haki za Binadamu.

Wizara iliamrisha polisi kufunga matawi yote ya vituo vya habari vya SOMNews na SBS katika Somaliland na kutishia wale wanaopeleka habari kwenye vituo hivyo viwili kuwachukulia hatua za kisheria, kwa mujibu wa tamko la serikali.
Pamoja na shughuli za ukusanyaji wa habari kupigwa marufuku Somaliland, watazamaji wa vituo vya televisheni katika eneo la Somaliland waliendelea kupata matangazo kupitia maudhui ya satellite yanayorushwa na vituo hivyo viwili jana mchana, kwa mujibu wa maelezo ya Guleid.

Je Dada Unapenda Shepu Bomba na ya Kuvutia, Weupe Bila DOA Wala Sugu?

$
0
0

Baada ya utafiti wa miaka 18 sasa kampuni ya MARKSON BEAUTY imeingiza bidhaa bora kabisa zenye matokeo ya haraka zaidi BILA madhara yoyote.
TUNAZO ZA👇👇👇a
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe bila sugu kwa:-
(a)mafuta @150,000/=
(b) Vidonge @170,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @150,000/=
5.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa vidonge (YODI PILLS ORIGINAL) @250,000/=
6Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @150,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
9.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni @150,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444
na
0714335378
UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.marksnbeuty.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr
#HipsNaMakalio
#BidhaaTz
#YodiPillsTz
#BotchoOg
CosmeticsTz

Bakwata Yaweka Ngumu Sakata la Kwenda Kuhiji Makka

$
0
0
NA FATUMA MUNA
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limewatoa hofu waislamu wanaotarajia kwenda kwenye ibada ya hijja, likieleza kuwa limejipanga vyema kuhakikisha upungufu uliojitokeza mwaka jana haujirudii.


Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa halmashauri kuu Bakwata Taifa Sheikh Khamis Mataka leo, wakati akizungumza na waandishi wa habari, na kubainisha kuwa zaidi ya mahujaji 100 mwaka, 2017 walikwama kwenda kufanya ibada hiyo baada ya taasisi ya Twaiba iliyokusanya fedha zao kwa madai ya kuwawezesha kusafiri, kuingia mitini.

Sheikh Mataka amesema kuwa hataki mambo yaliyojitokeza mwaka jana, yajirudie sasa  na kwamba Taasisi nne ambazo ni Tanzania Chartable Oraganization, Haji Khikma, Taquwa Haji Group na Almadina Social Services Trust hazitosafirisha mahujaji kwa kuwa hazijakidhi masharti yaliyowekwa.

“Mpaka sasa mambo yote yanakwenda vizuri, hakuna tishio lolote ambalo tumelibani la mahujaji kutosafiri kwa sababu mambo yote yapo katika mstari kuhakikisha kuwa waislamu wanatekeleza ibada hiyo,”amesema Mataka.

Mataka amesema moja ya hatua walizozichukua ni pamoja na kutoruhusu taasisi zisizokidhi vigezo kuwadanganya tena wananchi.

Mataka ameeleza kuwa taasisi 11 pekee kati ya 15  ndizo zilizokidhi vigezo na msharti yaliyowekwa ikiwemo , Alhusna Haji Trust, Shamsul Maarifa Kheri na Tanzania Muslim Development Asociatiaon, Tanzania Muslim Haji Trust.

Mbali na hayo ameweka wazi kuwa swala ya Idd Elf Fitri kwa mwaka huu kitaifa itafanyika jijini Dar es salaam katika viwanja vya mnazi mmoja pamoja na baraza kuu la Eid.

Kifaa cha Kuwafichua Waongo Chatua kwa Kenyatta

$
0
0

NA FATUMA MUNA
Maafisa wakuu wa serikali ya Kenya watalazimika kupimwa kwa kutumia kifaa cha kuwafichua watu waongo ikiwa ni miongoni mwa harakati za kukabiliana na ufisadi.


Akihutubia makundi ya raia waliokutana kusherehekea miaka 55 tangu Kenya ijipatie Uhuru , amesema kuwa Kenya italazimika kuangamiza ufisadi kabla ya jinamizi hilo kuangamiza ufanisi na siku za usoni za vizazi vijavyo.

''Wacha nitaje mpango mmoja ambao tunapanga kuidhinisha kukabiliana na ufisadi. Kama hatua ya kwanza , wakuu wote wa idara za kutoa zabuni na zile za hesabu katika wizara za serikali watafanyiwa ukaguzi mpya ikiwemo kupimwa na kifaa cha kuwatambua watu waongo ili kujua maadili yao. Wale watakaofeli watasimamishwa kazi'' amesema.

Kenyatta ameeleza kuwa kifaa hicho ambacho kitafichua maadili ya wafanyakazi ni miongoni mwa mikakati ya kukabiliana na tatizo hilo.

Hata hivyo hotuba ya rais Kenyatta ni jaribio la kukabiliana na tatizo hilo ambalo kwa limekomaa baada ya kufichuliwa kwamba kiasi cha dola bilioni 8 za Kenya zilipotea katika kitengo kimoja cha serikali takribani wafanyakazi 40 wa umma wanakabiliwa na kashfa hiyo.

Kashfa hiyo ya ufisadi , ambayo ilifichuliwa na wauzaji bidhaa ambao walikuwa hawajalipwa , ilipelekea kuibiwa kwa fedha hizo katika shirika la vijana wa huduma kwa jamii NYS kupitia vyeti bandia na malipo ya ziada.

Roma Amnyoshea Kidole Prof. Jay

$
0
0

NA ISMAEL MOHAMED
Rapa Roma Mkatoliki ambaye mpaka sasa anatamba na wimbo wake 'Zimbabwe' amefunguka na kudai Mbunge wa Mikumi (CHADEMA) ambaye pia ni msanii hip hop Bongo, Profesa Jay anasifa zote za kuitwa mkongwe wa bongofleva licha ya kuwa ndio role model wake.


Roma ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha FRIDAY NIGHT LIVE 'FNL' inayorushwa kutoka EATV kila Ijumaa baada ya kuulizwa swali na muongozaji wa kipindi hicho kama Joseph Haule maarufu kama Prof. Jay anaweza akawa na sifa ya kuitwa msanii mkongwe wa hip hop.

"Prof. Jay anafaa kuitwa mkongwe kwenye huu muziki kwasababu ni miongoni mwa wasanii walioweza kupigania huu muziki vile vile ni kwangu mimi ndio 'role model' wangu", amesema Roma.

Aidha, Roma amesema sio kweli kwamba wasanii wa zamani wanakataa kuitwa wakongwe kama baadhi ya watu wanavyofikilia.

"Issue sio ukongwe bali kuna baadhi ya makundi hayapewi nafasi kwenye 'media house' mchongo ndio upo hapo hizo nyingine zote ni michongoma kwa hiyo ingekuwa watu wanawaita wakongwe halafu wanapata kile wanachostahili wala wasingeweza kulaumu", amesisitiza Roma.

Mtazame hapa chini Roma Mkatoliki akifunguka mengine zaidi...

 VIDEO:

MAISHA: Uzuri wa Mke ni Tabia. Je, Uzuri wa Mume ni Nini?

$
0
0

Huwa nasikia mara nyingi watu wakisema na hata kuimba ni nini. Msisitizo umekuwa kuweka vigezo vya kijumla kwa mwanamke, sijaona kukiwa na msisitizo wa vigezo vya jumla kwa wanaume.

Ninajua kila mwanamke anakuwa na vigezo vyake binafsi vya kuchagua mume anayefaa.

Naomba waungwana kujuzwa endapo kuna vigezo vinavyoweza kuangaliwa na wanawake kupima uzuri wa mume.

Nawasilisha.

Faida za Kufanya Mapenzi Mara Nyingi Hizi Hapa...

$
0
0

Watafiti wa Kizungu wanakesha kufanya tafiti chungu mzima na zingine majibu yake zinaweza kukuacha mdomo wazi.

Kwa mfano huu – jamaa eti wamebaini kuwa kushiriki tendo la ndoa mara nyingi kunaongeza imani ya kiroho na hata imani kwa Mungu! Makubwa..

Kwa mujibu wa utafiti, tendo la ndoa hutoa homoni ya upendo iitwayo oxytocin ambayo haiishi tu kutengeneza ukaribu wa kijamii bali pia imani ya Mungu – hususan kwa wanaume.

Watafiti katika chuo kikuu cha Duke cha North Carolina, wanasema kuwa tendo hilo huhamasisha imani – ama kuongeza imani katika Mungu na dini.

Utafiti huo umeliochapishwa mwishoni mwa wiki unaangalia homoni ya oxytocin ambayo huamshwa zaidi wakati wa kufanya mapenzi, wakati wa kuzaa na wakati wa kunyonyesha.

Nimechanganyikiwa Mke wangu na Dada wa Kazi Wanasagana

$
0
0

Yamenikuta Mie mwenzenu hata sijui nifanye nini ila kwa kifupi ni kuwa nimepata ushahidi bila chenga kuwa mke wangu na mfanyakazi wa ndani ama House Girl Wanasagana, Bado sijamwambia mke wangu kwamba najua kwa sababu hata sijui nianzie wapi ..ila ni kwamba juzi asubuhi nilipomaliza kujiandaa kwenda kazini nikatoka ndani ila nilisahau simu hivyo nikarudi kuichukua cha kushangaza nilimkuta mke wangu hayupo chumbani kwetu kwani nilimuacha amelala basi sikujali sana nikajua yupo chooni ila wakati nataka kutoka ndani nikawa nasikia makalele ya mihemeko ya mapenzi kwa mbali hapo ndipo nilipostuka na kunyemelea chumba cha house girl wetu na ambapo sauti zilikuwa zinatokea,

Nilichosikia hata sina hamu ila nikelele za ku do kabisa wakihamasishana wakijua wapo wenyewe ndani ya nyumba...kiufupi kilinishuka nikashindwa nifanye nini ...Baada ya muda nilitoka nikaenda zangu kazini bila kufanya chochote huku nafikiria ni kitu gani nakosea mpaka mke wangu haridhiki na dozi yangu??  Isitoshe asubuhi hiyo hiyo nimetoka kumpa kimoja cha haja ....Embu nishaurini nifanye nini Jamani ??

Naombeni Msinilaumu kwa Uamuzi Huu Niliouchukua kwa Mume Wangu

$
0
0
Mimi nimeolewa miaka 15 sasa na tumejaaliwa watoto 4. Ndoa yetu ilipofikisha miaka 4-5 mume wangu alicheat, nikamkamata through sms akapinga sn lakini baadae alikubali akakiri kosa na kuomba msamaha. nikamsamehe

Tumeendelea kuishi na nilipopata mtoto wa tatu akanicheat tena, safari hii alikuwa nje ya nchi kimasomo, napo alikiri na kuomba msamaha, nikamsamehe

wakati niko mjamzito mimba ya mtoto wa nne alinicheat tena, kibaya zaidi alinicheat na house girl wng akampa ujauzito. kwa ivo wkt mimi nina mimba na House girl naye mjamzito(japo sikujua km house girl alikuwa mjamzito kwani aliondoka nyumbani) niligundua baadae kuwa mtt wa aliyekuwa house Girl wangu ni wa mume wangu

kama kawaida yake akaomba msamaha safari hii hadi kupiga goti na kulia ili nimsamehe...na mimi kwa kuwa bado nampenda na nimemvumilia kwa mengi nikaamua kumsamehe tena..ila tulikubailana masharti mengi na akakubali masharti yote niliyompa..mwanzoni alibehave vizuri sn akawa muwazi kwng hanifichi chochote kuhusu huyo mtt.. na tuliishi maisha ya furaha kwn alinijali mno na alionekana kweli amerigrate.
sasa cha kushangaza siku za karibuni amebadilika san, amekuwa msiri na hasemi chochote kuhusu huyo mtt wa nje..siku hizi anatuma hela kwa siri na pia anawasiliana na huyo mama wa mtoto kwa siri haniambii chochote..

nilipoona mabadiliko niliamua kumuuliza imekuwaje tena mbona siri tena wkt tulikubaliana kila kitu kiwe open? hakunijibu isipokuwa alikuwa mkali na kufoka na kusema hilo swala tumeshamalizana nalo sitaki kulisikiasikia tena..
nikajaribu tena siku nyingine kumuuliza na majibu ndio hayo hayo, kwa kifupi hataki na anakwepa kuzungumzia hilo suala kabisa...sasa najiuliza kwa nini anafanya siri? km hakuna jambo lolote baya basi anaficha nini? ina maana kuna kitu zaidi ya mtoto.

Sasa jamani mimi nimeamua km ifuatavyo

1. Na mimi nimeamua kuwa na mahusiano nje ya ndoa, jamani msinilaumu nami pia nahitaji kuliwazwa na kufarijiwa kwa kifupi nimechoka na mastress yasiykuwa na mwisho, sikuwahi kumcheat mume wng ktk maisha yote ya ndoa. ila sasa atanisamehe tu ht akijua wl sijali, nipo tayari kwa lolote..

2. Sina mpango wa kuondoka kwenye nyumba tuliyojenga pamoja nitaishi hapa hapa kwani sipendi wtt wng walelwe na mzazi mmoja..wtt hawajui kinachoendelea in fact hata ndugu na jamaa hawajui chochote kwani mimi sijawaambia na wala sijawahi kuwaeleza matatizo ya ndoa yng..kwa nje tunaonekana familia iliyobarikiwa na ina furaha lkn wenyewe ndio tunaojua ndani kukoje

3. Kwa sababu sisemagi matatizo yangu kwa ndugu na marafiki nimeamua kuweka hapa labda nitapunguza kitu fulani kichwani kwani sometime naona km nazidiwa mawazo vile

Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images