Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

Kutana na Mtaalam Sharif Hamad Kalala Mchambuzi wa Nyota za Binadamu na Tiba Asili

$
0
0

KUTANA NA SHARIF HAMAD KALALA NI
SHARIFU MCHAMBUZI WA
NYOTA ZA BINAADAMU NA NI MWENYE UPEO MKUBWA KUTAFITI MATATIZO YAKO KABLA YA KUTOA USHAURI WAKE WA TIBA AlJALISHI MBALI ULIKO TIBA YAKE UMFIKIA YEYOTE MWENYE UITAJI POPOTE
DUNIANI.

 SHARIF HAMAD KALALA NI TABIBU MWENYE KUBRI TOKA KWA ALAH ANATIBU KWA NJIA YA VITABU VYA QUR-AN, DAWA ZA ASILI ZA MITI SHAMBA PAMOJA NA DAWA ZA KIARABU.
ANATIBU KWA NJIA YA SIMU KWA KUTOA
MAELEKEZO NAMNA YA MATUMIZI YA DAWA UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE KWA MATATIZO YAFUATAYO:-

 KUFANIKISHA NDOA KWA UNAYE MPENDA KWA HARAKA. KUMRUDISHA MPEZI NDANI YA MASAA 12 TU.
 ULIJALI (NGUVU ZA KIUME) NDANI YA /IKI MMOJA TU 
MIGUU KUWAKA MOTO KUTAFSIRI NDOTO MFARAKANO WA WANANDOA MFARAKANO KAZINIKUPANDISHWA CHEO NDANI YA SIKU SABA 7 TU. 
KUTOA PETE YA BAHATI KUTOA MAJINI MACHAFU IKIWA NI KWENYE MWILI WA BINADAMU MAJUMBANI NA KWENYE BIASHARA.

KUPATA MAFANIKIO YA MALI BILA YA MASHARTI. KUPANDIKIZANYOTA YA KUBASHIRI KUFUNGUA UZAZI KWA WALIYO FUNGWA KWA NJIA YA USHIRIKINA KUTOA VIFUNGO VYOTE VILIVYO FUNGWA KWENYE BIASHARA. ANA UWEZO MKUBWA WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUMPATA YEYOTE UMPENDAYE KWA KUMUOA AU KUWA NAYE.

ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIYE MBALI PIA ALIYE CHUKULIWA
KWA NJIA YAMSUKULE
NAO UWEZO WA KUUA KESI SUGU NA MPYA NDANI SIKU 7 TU.

MENGINEYO MENGI ZAID YALIYO KUWA SUGU PIGA KWA WALE WALIYO ANGAIKA SEHEMU MBALI MBALI SHARIF HAMAD KALALA NI SULUISHO. ENDAPO UTAMSIKILIZA KWA YALE ATAKAYO KUSHAURI NA KUKUPA
ELEKEZI.
 TIBA NI KWA DINI ZOTE POPOTE ULIPO NJE NA NDANI YA NCHI.
MOBILE +255 -673 025 376
WhatsApp +255-757 069 066

Klabu ya Singida United imefanikiwa kuwa mshindi wa tatu katika Michuano ya SportPesa Super

$
0
0

KENYA: Klabu ya Singida United kutoka Tanzania imefanikiwa kuwa mshindi wa tatu katika Michuano ya SportPesa Super Cup baada ya kuifunga Kakamega HomeBoys kwa penati

Singida imeishinda Kakamega kwa penati 4-1, walipigiana penati baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika wakiwa wamefungana goli 1-1

Michuano hiyo ambayo inamalizika leo, itamalizika baada ya mechi ya fainali kati ya Simba SC(Tanzania) na Gor Mahia(Kenya) kuchezwa. Mechi hii inaanza majira ya saa 9:00 alasiri

Msafara wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM-Taifa(UVCCM) Wapata Ajali

$
0
0

SIMIYU: Msafara wa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM-Taifa(UVCCM), Kheri D. James wapata ajali wilayani Meatu baada ya gari la Polisi lililokuwa kwenye msafara huo kuchomoka tairi

Inadaiwa baada ya kupasuka tairi gari hilo limeziba njia na hivyo kusababisha magari ya nyuma yake kugongana ambapo basi la Rombo limegonga gari lililokuwa limebeba madiwani

Mpaka sasa hakuna taarifa ya kifo lakini inaelezwa kuwa Majeruhi watatu wamekimbizwa katika hospitali ya Mwandoya kwa matibabu

Hali ya Kheri James pamoja na Maafisa toka makao Makuu waliofuatana nae ziko imara bila jeraha lolote isipokuwa kuna baadhi ya Madiwani wamepata majeraha

Juma Nature Awaponda Wasanii Chipukizi "Wakongwe tumesharudi, hatuwezi kukubali

$
0
0

Msanii mkongwe na miongoni mwa waasisi wa muziki wa BongoFleva, Juma Nature amefunguka na kuwaonya wasanii wa sasa kuacha tabia ya kuigana na kubweteka katika kufanya kazi zao kwa kuwa kitendo hicho kinapelekea kuua muziki.


Juma Nature ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha  EATV baada ya kuwepo minong'ono mingi kwa mashabiki na wadau wa muziki nchini kulalamikia vitendo vya baadhi ya wasanii kutokuwa wabunifu katika ufanyaji kazi zao


"Hii ni kazi lakini wengine wanachukulia ubishoo. wasanii wanabweteka sana na hilo ndio tatizo kubwa la vijana wa sasa hivi akitoa nyimbo moja anajiona ameshaweza kila kitu. Nawaambia kitu kimoja kwamba wakongwe tumesharudi na hatuwezi kukubali kuona wanakuja watu wengine kutoka sehemu zingine watupite tunawaona hivi hivi, mimi sikubali nasema hata kidogo", amesema Nature.


Pamoja na hayo, Nature ameendelea kwa kusema "sasa hivi wasanii ni wengi sana halafu wengi wao wanaigana ndio maana unakuta hakuna ushindani. Nadhani imefika wakati hawa wasanii wetu kujifunza na kuacha uvivu katika kazi zao za muziki waufanye kazi ambayo itawasaidia wao pamoja na vizazi vyao vitakavyokuja".


Kwa upande mwingine, Juma Nature amesema kilichosababisha wasanii wakongwe 'zamani' ikiwemo yenye mwenyewe ni nyimbo zao kudumu mpaka miaka hii ni kutokana na maudhui ya kazi kutofanana kwasababu kila mmoja wao alikuwa mbunifu.

Kampuni ya Asas yapongezwa na Mbwana Samatta

$
0
0

Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mbwana Samatta anayecheza soka lake nchini Ubeligiji katika klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta ameipongeza kampuni ya kuuza maziwa ya Asas Dairies kwa kujitokeza kudhamini kampeni yake ya “Nifuate”. 

Kampeni hiyo ilikutanisha timu mbili, timu Samatta na timu-Kiba ambazo ziliwajumuisha mastaa wengine wengi wa soka la Tanzania, muziki na waigizaji. 

Akizungumza jijini, Samatta alisema kuwa wazo la kuanzisha kampeni hiyo alilichukulia kama utani tu, lakini kampuni hiyo na wadau wengine wameamua kuunga mkono na kuwa suala la Kitaifa.Samatta alisema kuwa kampuni hiyo na wadau wengine wameonyesha jinsi gani wanavyojali maslahi ya Taifa na kuahidi kushirikiana nayo katika kampeni nyingine mbalimbali. 

“Kwa kweli nawashukuru wadhamini kwa sapoti yao kubwa katika kampeni hii ambayo lengo lake kubwa ni kutatua changamoto za elimu nchini, huu ni mwanzo tu, kwani natarajia kufanya mambo mengine makubwa kwa jamii hapo baadaye,” alisema Samatta. 

Alisema kuwa anatarajia kupata mafanikio makubwa katika kampeni hiyo ambayo ilifanyika kwa mara ya kwanza katika historia. 

“Lengo si kupata fedha, lengo ni kuchangia na tupo tayari kupokea chochote kutoka kwa wadau ambacho kitaisaidia maendeleo ya elimu hapa nchini. Tutaendelea kupokea misaada hata baada ya mechi,” alisema. 

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Trump akataa kutia saini tamko la pamoja mkutano wa G7

$
0
0
Mkutano wa kilele wa nchi zenye utajiri wa viwanda G7 umemalizika kwa hali ya  kitisho kipya cha vita vya kibiashara Jumamosi(09.06.2018)wakati rais Trump ghafla alipokataa kutia saini taarifa ya pamoja.

Rais Trump wa Marekani  alimshambulia  kwa  kumtusi  vibaya mwenyeji  wa mkutano  huo  waziri  mkuu  wa  Canada justin Trudeau.

Dakika  chache  baada  ya  taarifa  ya  pamoja  ambayo iliidhinishwa na  viongozi wa  kundi la  washirika  saba kuchapishwa katika  mji  wa  Canada  wa  Quebec  ambao ulikuwa  mwenyeji  wa mkutano  huo, Trump  alianzisha  mashambulizi  katika  ukurasa  wa Twitter kutoka   nje  ya  nchi  hiyo  akiwa  katika  ndege  ya  rais  wa Marekani  ya  Air Force One.

Kiongozi  huyo  wa  Marekani aliondoka  mapema  kutoka  katika mkutano  huo  akiwa  njiani  kwenda Singapore katika  mkutano  wa kihistoria  wa  kinyuklia  pamoja  na  kiongozi wa  Korea  kaskazini Kim Jong Un , na  kuchukua  hatua  ya kutofautiana  na  matamshi ya  waziri  mkuu  wa  Canada  Justin Trudeau  katika  mkutano  na waandishi  habari  kabla  ya  kuondoka nchini  Canada.

"Kwa msingi  wa  matamshi yasiyo  sahihi  ya  Justin  katika mkutano  na  waandishi  habari , pamoja  na  ukweli  kwamba Canada  inatoza  ushuru  mkubwa  kwa  wakulima  wetu , wafanyakazi  na  makampuni  nchini  Marekani, nimewaagiza wawakilishi  wetu  wa  Marekani  kutoidhinisha  tamko  hilo  la pamoja  kwa  kuwa  tunaangalia  kuhusu  ushuru  katika  magari ukisababisha  kufurika  kwa  magari  katika  soko  la  Marekani!. Trump  aliandika  katika  ukurasa  wa  Twitter.

"Waziri  mkuu  Justin Trudeau  wa  Canada  ameonekana  kuwa msikivu na  mtulivu  wakati tulipokutana  katika  mkutano  wa  G7 lakini  alibadilika  na  kutoa  matamshi  katika  mkutano  na waandishi  habari  baada  ya  mimi  kuondoka kwamba .. hatakubali kuburuzwa.' ni uongo na  dhaifu."

Wacaanda ni wapole lakini hawataburuzwa
Hapo  mapema  Trudeau  aliwaambia  waandishi  habari  kwamba uamuzi  wa  Trump  kuweka  usalama  wa  taifa  kuhalalisha  ushuru wa  Marekani  dhidi  ya  bidhaa  zinazoingizwa  nchini  humo  za chuma  cha  pua na  bati , "ni  aina  ya  tusi" kwa  wanajeshi  wa zamani  wa  Canada  ambao  walisimama  pamoja  na  washirika wao  wa  Marekani  katika  mizozo ambayo  ni  pamoja  na  vita vikuu  vya  kwanza  vya  dunia.

"Wacanada  ni  wapole  na waelewa  lakini  pia  hatutakubali kuburuzwa,"  alisema.

Na alisema  amemwambia  Trump "itakuwa kwa  masikitiko  makubwa lakini  itakuwa  kwa  uwazi  kabisa  na  uthabiti  kwamba  tunasonga mbele  na  hatua  za  kulipiza  kisasi  ifikapo  Julai  mosi, kwa kuweka  ushuru  sawa  na  ule  ambao  Wamarekani  wamehalalisha kwa  kutuwekea."

Baada  ya  maandishi  ya  hasira  ya  Trump  katika  ukurasa  wa Twitter , ofisi  ya  waziri  mkuu  Trudeau  ilitoa  jibu fupi: "tunalenga katika  kila  kitu  tulichokamilisha  hapa  katika  mkutano  wa  G7. Waziri  mkuu  hakusema  kitu  ambacho  hajasema  kabla , katika mazungumzo  ya  wazi  na  faragha  na  rais  Trump.

Chanzo: DW

''Alikiba ni Mkali Kuliko Wote' - Julio

$
0
0

Kocha  wa Dodoma FC Jamhuri Kihwelo maarufu 'Julio', amesema amekuwa akijitahidi kutaka kumsajili kwenye timu yake nyota wa muziki wa Bongofleva Alikiba kutokana na kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza soka kuliko wachezaji wa Simba na Yanga.


Julio ameyasema hayo baada ya nyota huyo ambaye hivi karibuni ameachia ngoma yake mpya 'Mvumo wa Radi', kuonesha kiwango kikubwa kwenye mechi ya hisani maaalum kwa kuchangia fedha kwaajili ya wanafunzi wenye uhitaji iliyopigwa jana jioni kwenye uwanja wa taifa.

''Pamoja na mimi kuwa nilikuwa nafundisha timu ya Samatta lakini Alikiba binafsi namkubali sana na anajua kucheza, hata wachezaji wa timu kubwa kama Simba na Yanga hawana kiwango kama chake'', alisema Julio.

Julio ambaye anasifika kwa kuwa mwingi wa maneno ameongeza kuwa amekuwa akiongea na Alikiba ili amsajili kwaaajili kuchezea timu yake mechi za Dar es salaam kutokana na ratiba yake kumbana kwa mechi za mikoani lakini mfumo wa soka la Tanzania unamkwamisha.

Mchezo huo ambao ulikutanisha timu mbili zilizoundwa kwa pande mbili, timu ya marafiki wa Alikiba na timu ya marafiki wa Samatta, ilimalizika kwa timu ya Samatta kushinda mabao 4-2.

Penati ya Mwendokasi Aliyopiga Ali Kiba

$
0
0

Wakati TeamSamatta inaongoza 3-2 dhidi ya TeamKiba, TeamKiba ilipata penati na ilikuwa nafasi kwao kusawazisha na kurudi kwenye mchezo lakini nahodha mwenyewe King Kiba akapaisha mkwaju wa penati na kuendelea kuipa timu yake wakati mgumu kusawazisha.

Dakika chache baadaye Samatta akaifungia #TeamSamatta goli la nne amabalo lilimaliza mchezo huo kwa matokeo ya TeamSamatta 4-2 TeamKiba.

Click Play kuangalia Ali Kiba alivyopaisha penati ambayo kama angefunga matokeo yangekuwa 3-3 kwa wakati huo.

Wanachama wa Klabu ya Yanga Wamegoma Kujiuzulu Kwa Yusuph Manji

$
0
0

Makamu Mwenyekiti wa Yanga - Clement Sanga anahairisha mkutano mkuu wa Yanga, anasema anampelekea ujumbe bwana Yusuph Manji kumwambia wanachama wa klabu ya Yanga wamegoma kujiuzulu kwake na bado wanamtambua kama Mwenyekiti wa klabu hiyo. #MkutanoMkuuWaYanga

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0
Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja.

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.

Morocco yagawa dozi, yatuma salam kwa Ronaldo

$
0
0
Kwa mara nyingine vijana wa Herve Renard timu ya taifa ya Morocco wametoa dozi ya mabao matatu kwa moja dhidi ya Estonia.

Juma kaseja amesema anaiamini zaidi timu ya taifa ya Morocco katika michuano ya kombe la dunia kwani ina kocha mzoefu.



Morocco huu ulikuwa mchezo wake wa mwisho ikiwa ni maandalizi ya fainali za kombe la dunia.

Walichokifanya vijana Herve Renard hasa kipindi cha kwanza ni dalili tosha kwamba wana kila uthubutu wa kusema wanakwenda kupambana na kuleta changamoto na sio kama wasindikizaji.

Morocco wapo kundi B – pamoja na hipania, Ureno na Iran. .



Morocco walipata bao la kwanza kupitia kwa Younes Belhanda dakika ya 11 kwa kumalizia krosi ndogo iliyopigwa na Ayoub El Kaabi.

Estonia walinyimwa bao la wazi baada ya Hakim Ziyech kucheza vizuri katika eneo la hatari na kuondosha mpira huo.

konstantin Vassiljev alimjaribu Munir Mohamedi kabla Ats Purje kupiga shuti kali ambalo halikuzaa matunda.

Purje baada alipata nafasi murua na kusiawazishia Estonia.

Hakim Ziyech alifunga bao la tuta kabla ya Nesyri kuhitimissha karamu hiyo ya mabao. Kwa kiwango hiki cha Moroco Ureno na Hispania wanapaswa kuwa makini maana kitumbua kinaweza kuingia mchanga

Morocco watacheza mchezo wao kwa kwanza dhidi ya iran ijumaa ya kwanza ya kombe la dunia.

Mwakyembe awasisitiza Yanga kutoichukulia timu hiyo kimzaha

$
0
0

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe amewasisitiza wanachama wa klabu ya Yanga kutoichukulia timu hiyo kimzaha na kwamba wanapotetereka msisimko wa michezo pia unakufa kwa kukosa ushindani. 

Waziri Mwakyembe ameyasema hayo leo kwenye Mkutano Mkuu wa Klabu ya Yanga ambapo amewataka wanachama wa klabu hiyokufahamu kwamba klabu hiyo inahistooria kubwa ndani ya nchi ikiwepo harakati za uhuru ndani ya Tanzania. 

"Yanga ikitetereka inaua msisimko, Yanga ikitetereka inaua ushidani wa timu zetu kubwa nchini pia itachangia kuzorotesha maendeleo ya mchezo wa soka sasa ni wajibu wetu sote tushirikiane kukimaliza kipindi hiki cha mpito ndani ya klabu"  Mwakyembe 

Ameongeza kuwa, "Ukiondoa kuleta burudani, lakini pia dhamira yake nyingine ya kuanzishwa kwa klabu hii ilikuwa ni kuleta uzalendo wa kiafrika, Yanga imeshiriki na kuchangia kwenye harakati za uhuru, Muungano na ukombozi wa Bara la Afrika kwa ujumla" 

Katika kutilia msisitizo kuhusu mshikamano katika klabu hiyo Mwakyembe amesema kuwa "Ikifungwa Yanga tunaumia wengi, ndani na nje ya nchi. Yanga ndio alama ya uhuru wa nchi hii. Naamini mkutano wa leo utafanya maamuzi yaliyo sahihi kwa mstakabali mwema wa soka la Tanzania.” 

Matola Kocha mpya Simba

$
0
0

Baada ya Simba kumtimua Kocha Mkuu, Mfaransa, Pierre Lechantre, mabosi wa timu hiyo wamefikia uamuzi wa kuikabidhi timu hiyo kwa Mrundi, Masoud Djuma Irambona ambaye atasaidiwa na mkongwe, Selemani Matola. 

Djuma ambaye ndiye kocha msaidizi wa Simba kwa sasa, yupo na kikosi hicho mjini hapa Nakuru ambapo Simba inajiandaa kucheza mchezo wa fainali ya michuano ya SportPesa Super Cup dhidi ya Gor Mahia, kesho Jumapili. 

Alhamisi ya wiki hii, mabosi wa Simba walimpiga chini Mfaransa huyo baada ya kushinikiza kupewa mkataba mpya licha ya kuambiwa asubiri mpaka timu itakaporudi Dar. 

Lechantre alitofautiana na vigogo wa Simba baada ya kushinikiza mabadiliko makubwa kwenye mkataba wake ikiwemo mshahara wa Sh 90milioni kwa mwezi pamoja na kupandishiwa posho zote na hata ndege asafiri kwenye daraja la kwanza. 

Kwa mujiv=bu wa gazeti la Championi limedokezwa na kiongozi mkubwa wa Simba kwamba baada ya timu hiyo kuwasili jijini Dar ikitokea Kenya, Djuma atatangazwa kama kocha mkuu huku msaidizi wake akiwa Matola ambaye msimu uliopita alikuwa kocha msaidizi wa Lipuli ya Iringa. 

Matola ndiye nahodha wa mwisho kuipeleka Simba kwenye robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2003. 

“Tumeamua kumuongeza Matola kwenye kikosi chetu kwa kuw atuna imani naye hivyo atakuwa msaidizi chini ya Djuma, tumepanga kumtambulisha mara tu tutakaporejea Tanzania. 

“Kwa sasa tumeamua kufanya hivyo kwani tumeona ni bora kuwatumia makocha wa Kiafrika zaidi hasa wa ukanda wetu huu ambao wanajua vizuri staili ya soka letu kuliko Wazungu,” kilisema chanzo. 

Alipotafutwa Matola alisema: “Bado sijapata taarifa kuhusiana na hilo lakini tungoje kwanza nitaweka wazi baadaye.” 

Hakuna kiongozi wa Simba aliyekuwa tayari kuzungumzia ishu hiyo jana kwa kutajwa jina, huku wengi wakidai watatoa ufafanuzi baadaye. 

JE, Dada Unapenda Kuwa Mrembo? na Kaka Unapenda Kuwa Mtanashati na Kurudisha Heshima ya Ndoa? Soma Hapa

$
0
0

Baada ya kupata cheti cha bidhaa bora 2017-2018, tumeingiza bidhaa zaidi na zenye matokeo ya haraka zaidi bila madhara yoyote.
KWA WANAUME TUNATIBU👇👇
☆Kukosa hamu ya tendo.
☆Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo.
☆Maumbile madogo ya uume.
☆Kuchoka sana wakati wa tendo na uume kusinyaa nk.
@markson_beauty_pr tumeandaa tiba bora kabisa kama ifuatavyo:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @250,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @250,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/=
PIA KWA WANAWAKE WANAOPENDA KUWA NA MUONEKANO MZURI ZIPO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe mwili mzima bila sugu kwa:-
(a)mafuta @150,000/=
(b) Vidonge @170,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @130,000/=
5.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa vidonge (YODI PILLS ORIGINAL) @250,000/=
6.Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @150,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444
na
0714335378
UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.marksnbeuty.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr
#RefushaUume
#OngezaNguvu
#HipsNaMakalio
#BotchoTz
#BidhaaTz

Singida United Wawaangamiza Wababe wa Yanga, Wajishindia Mamilioni ya Fedha Kutoka SportPesa Super Super Cup (+Video)

$
0
0
Klabu ya Singida United kutoka Tanzania imefanikiwa kuichabanga klabu ya Kakamega HomeBoyz goli 4-1 kwa njia ya mikwaju ya penati baada ya timu hizo kutoka sare ya 1-1 ndani ya dakika 90 za kawaida.

Kakamega ambao ndio walianza kupata goli kunako kipindi cha kwanza cha mchezo walifunga goli moja tu kwenye hatua hiyo ya mikwaju ya penati kati ya 4 walizopiga huku Singida wakipata penati zote 4 walizopiga.

Ikumbukwe kuwa Kakamega ndio walioitoa klabu ya Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa michuano hiyo yenye msisimko zaidi Afrika Mashariki.

Kwa ushindi huo Singida United inachukua ushindi wa nafasi ya tatu ambapo itarudi nyumbani na kitita cha dola $7,500 sawa na tsh milioni 17.Tazama magoli yote ya penati hapa chini

Kikwete, Mecky Sadick Wateuliwa Kamati Maalumu ya Kuivusha Yanga Kwenye Majanga Inayopitia

$
0
0
Klabu ya soka ya Yanga kupitia Mkutano wake Mkuu wa mwaka, uliofanyika kwenye Bwalo la Maafisa wa Jeshi la Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam, imepitisha mabadiliko na kuteua kamati maalum kwaajili ya kuivusha timu.

Katika mkutano huo, Yanga wametangaza Bodi mpya ya wadhaamini inayoundwa na waliokuwepo awali Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala bora) George Mkuchika mke wa aliyekuwa Rais wa Zanzibar Mama Fatma Karume, Francis Kifukwe, Jaji Mstaafu John Mkwawa pamoja na Mzee Katundu.

Mkutano huo pia umeridhia kuteuliwa kwa kamati maalum ya kuivusha timu hiyo kwenye kipindi hiki cha mpito inachopitia wakati mchakato wa kuweka namna nzuri ya uendeshaji ukiendelea. Kamati hiyo yenye watu 12 itaongozwa na Mwenyekiti Tarimba Abbas na Makamu Mwenyekiti Said Mecky Sadick.

Wajumbe 10 wa kamati hiyo ni Abdallah Binkleb, Nyika Hussein, Samwel Lukumay, Mashauri Lucas, Yusuphed Mhandeni, Hamad  Islam, Makaga Yanga, Ridhiwan Kikwete, Majid Suleiman na Hussein Ndama.

Yanga imekuwa kwenye wakati mgumu kiuchumi siku za hivi karibuni kiasi cha kufikia hatua ya kutofanya vizuri pamoja na kujitoa kwenye michuano ya CECAFA KAGAME CUP 2018

Simba SC Basi Tena...... Ndoto Zake Kucheza Na Everton Zimekufa Rasmi Baada ya Kupigwa Bao 2 Na Gor Mahia Kenya

$
0
0

Kwa  mara ya pili mfululizo, Gor Mahia ya Kenya imebeba taji la SportPesa Super Cup baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Simba SC ya Dar es Salaam, Tanzania.

Mashujaa wa Gor Mahia leo wameendelea kuwa wanasoka wa kimataifa wa Rwanda, Meddie Kagere na Jaqcues Tuyisenge waliofunga mabao hayo, moja kila kipindi na kurudia mafanikio ya mwaka jana mjini Dar es Salaam wakiwafunga mahasimu wao wa Kenya, AFC Leopard 2-1 na kutwaa taji hilo.

Kagere alianza kufunga bao zuri dakika ya sita akimalizia kazi nzuri ya George Odhiambo ‘Blackberry’ kabla ya Tuyisenge kufunga la pili akimalizia krosi ya Humphrey Mieno dakika ya 54.

Simba SC ilicheza ovyo kipindi cha kwanza na kuzidiwa kabisa na Gor Mahia, lakini kipindi cha pili ilibadilika na kutulia kujaribu kucheza soka ya maelewano, ingawa tayari wapinzani wao walikuwa wamekwishajipanga kuulinda ushindi wao.

Kwa ushindi huo, Gor Mahia inayofundishwa na kocha wa zamani wa Simba, Muingereza Dylan Kerr pamoja na kuzawadiwa dola za Kimarekani 30,000 lakini watakwenda kucheza na klabu ya Everton Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool, England.

Simba SC watajipatia dola za Kimarekani 10,000, Singida United waliomaliza nafasi ya tatu kwa kuifunga Kakamega Homeboyz kwa penalty 5-1 baada ya sare ya 1-1 watapatiwa dola 7, 500 na wa washindi wa nne watapewa dola 5,000.

Kariobangi Sharks ya Kenya, Yanga ya Tanzania Bara na JKU ya Zanzibar kila moja itapata dola 2,500 baada ya kutolewa hatua ya kwanza ya mashindano.

Nilipewa Hirizi Nikaimeza, Nilitaka Nikitongoza Wanawake Nisikataliwe. Hali imekuwa Mbaya Sasa, Dada Yangu wa Damu Ananitaka Sasa

$
0
0
Natumaini mko poa,nilipokuwa kijana na balehe nilikuwa napenda sana wasichana, yaani nilikuwa natamani sana wanawake wazuri wote wawe wangu, siku mmoja niliposafiri kwenda kijijini kwetu, nikakutana na vijana wa kule kijijini tulikuwa tunapiga story kuhusu mambo ya wasichana, ndipo tukafikia hizo story za kutumia madawa kuwavutia wanawake ndipo kijana mmoja akaniambia babu yake ana dawa nzuri sana ya hizo mambo.

Kwa vile kipindi kile nilikuwa napenda sana wasichana nilimwambia anipeleke kwa babu yake nikachukue hiyo dawa, nilipofika kule nikamwambia yule babu shida yangu ya kupata dawa ya mvuto kwa wasichana, yule babu akaniambia ana dawa mbili ya kuoga na ya hirizi nichague ipi, nikachagua ya hirizi, akaniambia natakiwa nimeze hiyo hirizi ndogo na akanipa na dawa ya maji ninywe ikiwa imechanganywa na damu sijui ni ya mnyama gani.

Baada ya kumeza hirizi na kunywa ile dawa ya maji, yule babu akaniambia kuanzia siku hiyo hakuna mwanamke atakaye nikataa nikimtongoza. Sasa imepita miaka kumi na moja, sijawahi kukataliwa na mwanamke yoyote niliyemtongoza na nimeshakula pesa za wanawake wengi.

Sijawahi kumuomba hela mwanamke akaninyima labda asiwe nayo. Sasa hivi juzi kati, dada yangu nae ameanza kunitongoza anadai anavutiwa na mimi kimapenzi, anasema amevumilia sana ameshindwa imebidi aniambie, najaribu kumuepuka lakini wapi.

Jamani hii dawa inanitesa sana, najuta kuitumia. Imenifikisha pabaya.

Naombeni ushauri wenu.

Mwanaume Akishakupata Baada ya Muda Mfupi Upendo Wote wa Awali Huisha

$
0
0
Hiyo ni kauli kutoka kwa baadhi ya wanawake.

Je kauli hiyo ina ukweli kiasi gani?

Kuna bahati mbaya moja, ambayo baadhi ya wanawake hawaijui. Hii ni ile yakudhani kwamba, mwanaume akishaanzisha uhusiano na mwanamke au wakioana, kiwango cha kupendana kitakuwa ni kile kile milele.

Lakini ukweli ambao hawaujui ni kwamba, binadamu ana hisia na hisia hizi huweza kuchoka. watu wanapokaa pamoja au wanapokuwa pamoja katika uhusiano kwa muda mrefu, hufikia mahali ambapo kiwango cha hisia za upendo hushuka kwa maana kwamba, zimechoka.

Hebu fikiria inakuwaje ndugu au jamaa yako ambaye umekuwa ukitamani aje kukutembelea kutoka mbali anapokaa kwa muda fulani kwako, zile cheche za hamu zinapungua, wala bila kukosana au tatizo lolote?

Ni hisia zimechoka, hata unaponunua nguo au kiatu kizuri sana, baada ya kuda fulani, ule 'mchecheto' wa awali kukihusu,hupungua au kwisha. Ni suala la hisia pia, si kwamba, hiyo nguo au kiatu hukipendi tena. Kama mwanamke halijui jambo hili, linapotokea, hudhani kwamba, mwenzake sasa hampendi, na ndipo hapo kauli kama:

''Mwanaume akishakupata baada ya muda mfupi upendo wote wa awali huisha''

Haya ni malalamiko ya wanawake katika kujaribu kuonyesha ushahidi wa hali hii. wanashindwa kujua kwamba, kabla ya kuanzisha uhusiano au kuoana, hisia zilikuwa bado ziko juu, kwa sababu bado watu hawa walikuwa hawajaanza kuwa pamoja kwa muda mwingi

Ni mwongo anayeweza kusema kwamba, katika mahusiano yake au ndoa yake hajawahi kuhisi hisia za upendo kwa mwenzake kushuka angalau kidogo. kuna kutofautiana tu katika viwango vya kushuka kwa hisia hizo. lakini kila binadamu hisia zake za upendo hushuka.

Kuna sababu nyingi zenye kufanya kiwango cha hisia za upendo kushuka lakini kubwa huenda ni maumbile, sababu nyingine ni uwezo wa kila mmoja kubadilika kufuatana na mazingira, uwezo wa kutenda na kutoa kauli nzuri kwa mpenzi wake katika mahusino. lakini pia utayari kwa kila mmoja kuondoa zile tabia ambazo mwenzake anasema zinamkera.

Kushuka kwa hisia za upendo hakuna maana ya kuondoka kwa upendo. Upendo unapoondoka umeondoka, lakini hisia za upendo zinaposhuka zinaweza kurudishwa na hali ikarejea kama zamani tu. wakati mwingine hurudi zenyewe kama zilivyopotea.

Lakini wapo baadhi ya wanawake hisia za upendo za wenzi wao zinapopotea,hubabaika na kuharibu mambo
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images