Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Spika Ndugai Afanya Mazungumzo na Bodi ya WadhaminiChuo Kikuu Dodoma

$
0
0
Spika Ndugai Afanya Mazungumzo na Bodi ya WadhaminiChuo Kikuu Dodoma
Spika wa Bunge, Job Ndugai amekutana na kuzungumza na Bodi ya wadhamini kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma ikiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi wa Chuo hicho(UDOM), Balozi Ami Mpungwe walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM), Balozi. Ami Mpungwe (katikati) na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Prof. Egid Mubofu walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma

Tazama Picha zaidi:


Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe kutoka Bodi ya wadhamini ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wajumbe hao waliongozwa na Mwenyekiti wa Bodi, Balozi Ami Mpungwe (wa tatu kushoto).

PICHA NA OFISI YA BUNGE

Msaidizi wa Trump Afunguka Hali Ilivyo Hali Ilivyo Katika Ikulu ya White House

$
0
0
Msaidizi wa Trump  Afunguka Hali Ilivyo Hali Ilivyo Katika Ikulu ya White House
John Kelly ambaye ni msaidizi wa karibu wa rais Donald Trump ameripotiwa kusema kwamba ikulu ya White House ni mahali duni pa kufanyia kazi akitaja mizozo ya kila mara kwenye ikulu hiyo na uvujaji wa siri kama baadhi ya changamoto ambazo ameshindwa kutatua.

Matamshi ya Kelly ambayo yalichapishwa na jarida la New York Times hapo jana ni mojawapo ya visa vya uvujaji kutoka ikulu ya White House ambavyo vinaashiria kudodora kwa mazingira ya kazi katika ikulu hiyo chini ya utawala wa Trump. “Wengi wanaofanya kazi White House wanaonyesha dalili ya kutaka kujiuzulu au kutokuwa na haja,” jarida hilo lilisema.

Kelly ambaye alistaafu kama jenerali katika jeshi aliteuliwa na Trump kuwa mkuu wa utumishi wa umma mwaka jana.

Wakati wa kuteuliwa kwake Kelly alikwa na ushawishi mkubwa kwa Trump kabla ya ushawishi huo kuisha. Mapema huu mwaka Kelly aliripotiwa kuonyesha kukerwa na hali ya kazi na kutishia kujiuzulu.

Hatimaye Jeshi la Polisi Lamdaka House Girl Aliyemuua Bosi Wake na Kichanga

$
0
0
Hatimaye Jeshi la Polisi Lamdaka House Girl Aliyemuua Bosi Wake na Kichanga
Mfanyakazi wa ndani aliyemuua mwajiri wake pamoja na mtoto wake mwenye miezi mitatu huko Muhoroni, Kisumu nchini Kenya na kutokomea kusikojulikana amekamatwa Uganda na jeshi la polisi la nchi hiyo.

Jacky Auma alikamatwa katika eneo la Namayisi nchini Uganda baada ya jeshi la Polisi nchini Kenya kuwapa taarifa juu ya mtuthumiwa huyo kukimbilia katika mipaka ya nchi hio.

Jacky anatuhumiwa kutenda tukio hilo wiki iliyopita kwa kumpiga mtoto wa mwajiri wake mpaka kufa kisha akamchoma mwajiri wake na kisu mara kadhaa kabla ya kumchoma na kitu kinachodhaniwa kuwa ni pasi ya umeme au tindikali na kumfanya apoteze uhai wake.

Aidha Afisa Polisi wa kituo cha Busia amethibitisha kukamatwa kwa Jacky na amesema kuwa wako wanaandaa utaratibu ili mtuhumiwa huyo arudishwe nchini Kenya akafunguliwe mashitaka.

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka sasa

MWASELE HERBAL CLINIC. inakuletea suluhu juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za

FULL POWER .ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu zakiume. dawa hii ina mchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hormone za gestrogen ziwemo vitamin B6&B1, vitamini E pamoja madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na muzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20-30. ZAT 50 inarudisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha ulefu nchi 3-7, upana cm, 3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote . pia tunatibu matatizo mengine kama presha, kisukari , ngiri ,chango la tumbo,tumbo kujaa gesi, kutokupata choo vizuri,miguu kuwaka moto,matatizo ya uzazi, bawasili namagonjwa yazinaa kama kisonono nakaswende.

Tunapatikana DAR ES SALAAM. SHINYANGA NA ZANZIBAR. kwa wakazi wa dar es salaam utaletewa huduma hii popote ulipo . wa mikoani tunawatumia kwanjia ya mabasi .

Wasiliana nasi kwa sim no 0717702227 au 0754568767.DR . SAGUDA nyote mnakaribishwa

Kenya: Seremala Aishtaki Serikali kwa Kutomlipa Fedha za viti Alivyomtengenezea Rais Mstaafu

$
0
0
Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Twitter Sambaza habari hii Messenger Sambaza habari hii Email Mshirikishe mwenzako
Haki miliki ya pichaAFP
Image caption
Rais mstaafu nchini Kenya Daniel Arap Moi
Seremala mmoja nchini Kenya ameishtaki serikali akidai kutaka kulipwa $2m malipo ya viti viwili vya rais alivyomtengenezea rais mstaafu Daniel Arap Moi yapata miaka 26 iliopita.

Kwa mujibu wa mtandao wa Nairobi News nchini Kenya, Solomon Njoroge Kiore amesema kuwa aliwasilisha viti hivyo kwa afisi ya maonyesho ya kilimo ya Nairobi kwa hafla ya rais ya siku tatu.

''Bwana Moi alivitumia viti hivyo kwa mwaka mmoja, kabla ya viti hivyo kurudishwa kwangu'', bwana Kiore alinukuliwa akisema.

Alikuwa hajalipwa malipo ya viti hivyo licha ya kuwasilisha ombi lake kwa idara ya ulinzi ambayo ilitoa zabuni hiyo ikishirikiana na Ikulu ya rais.

Bwana Kiore alisema viti hivyo viwili vimechukua eneo kubwa la karakana yake na biashara yake imeanguka.

Mtandao huo wa habari umeripoti kwamba mawakili wa serikali walidai mwezi Februari kwamba waliafikiana kumaliza kesi hiyo nje ya mahakama lakini hawajawasiliana tena na bwana Kiore tangu wakati huo.

Bwana Kiore amesema kuwa angependelea viti hivyo kuwekwa katika jumba jipya la makumbusho lililopo katika Ikulu ya rais.

Hizi Hapa Sifa na Uwezo wa Walinzi 12 wa Kim Jong Un Wanaomlinda Kwa Kukumbia Pembeni ya Gari Kim Jong Un

$
0
0


Ulimwengu kwa mara nyengine ulipata fursa ya kuwatazama walinzi 12 wa rais wa Korea kaskazini Kim Jong Un wakikimbia wakati walipokuwa wakiulinda msafara wake nchini Singapore.

Lakini wana majukumu mengi kwa sababu linapojiri swala la usalama wa kiongozi huyo, taifa la Korea liko tayari kufanya chochote .

Mchanganuzi Michael Madden anaelezea zaidi kuhusu kundi hili la wanaume. Wakati anapokuwa Korea Kaskazini , mlinzi wa karibu wa Kim ana laini tatu tofauti zinazomzunguka.

Walinzi wanaokimbia kandokando ya gari lake aina ya Limousine na wale wanaotembea kwa mguu ni miongoni mwa maafisa wa afisi kwa jina Central Party Office #6, inayojulikana rasmi kuwa afisi ya wapiganaji.

Wao ndio wanaomlinda rais huyo na huchaguliwa kutoka katika jeshi la Korea. Huchaguliwa kutokana na vigezo vya , urefu-wanatakiwa kuwa na urefu sawa na kiongozi wao na wawe wanaweza kuona vizuri.

Wanatakiwa kuwa na uwezo kama vile kupiga risasi na kupigana judo, karate na masumbwi.Mwisho wa ujumbe wa Twitter wa @BBCLBickerMwisho-mlinzi mmoja huchunguzwa familia yake na vizazo vyake vilivyopita .

Maafisa wengi wa wapiganaji hao wana uhusiano na familia ya Kim Jong Un ama familia kubwa za Korea Kaskazini.

Wanapokubalika kuwa walinzi { huwezi kukataa kazi hiyo} hufanyiwa mafunzo ya kiwango cha juu .Walinzi hao hufunzwa kuwa na ujuzi maalum.

Hufunzwa kwa kutumia bunduki, mbinu za uvamizi, judo, karate , kung fu na taekwndo .

Walinzi hao humzunguka kiongozi hiyo wakimlinda na wanaweza kuona kwa kuzunguka digree 360 kuwatazama watu walio karibu naye na walipo.

Wanaotembea , mbele yake ni kati ya walinzi watatu hadi watano akiwemo mkurugenzi wa agfisia hiyo ya wapiganaji.

Pamoja naye , ni walinzi wanne hadi sita , wawili ama watatu wakiwa upande wake wa kulia .

Kuna wengine wanne ama watano nyuma yake.

Ili kuonyesha uwezo wao katika utawala huo, ndio raia pekee wanaokubaliwa kubeba bunduki zilizo na risasi karibu na kiongozi wa taifa lao, sana sana huwa bunduki zinazodaiwa kuwa automatic pamoja na silaha nyengine.


Walinzi hao walioonekana wakikimbia kandokando ya msafara wa rais Kim wakati mkutano wa mataifa ya Koreamwezi Aprili
Licha ya kubeba silaha, ulinzi mkubwa wanaompatia rais Kim jong un ni ujuzi walio nao katika kuwachunguza watu walio karibu na kiongozi huyo na kukabiliana na tishio lolote kwa kutumia mikono yao na mwili.

Wakati Kim Jong il alipokuwa hai mlinzi mmoja alikuwa akiwalinda maafisa wakuu wawili anaondamana nao.

Walinzi wa Kim Jong Un ikilinganishwa na wale wa babake ni wachache na hawaonekani mara kwa mara. Walinzi hao huvalia suti za magharibi kama wanavyoonekana nchini Singapore .

Dereva wa Kim Jong un huvalia glavu za plastiki ama za ngozi kushika usukani. Pia hutumia mawasiliano ya redio kupitia hedifoni.

Hatahivyo mbinu zao za mawasiliano ni za zamani.

Kitengo hicho cha afisi ya wapiganaji kina takriban kati ya maafisa 200-300, ambao nusu yao ni walinzi na waliosalia ni madereva na wafanyikazi wa kiufundi.

Huku baadhi ya walinzi wa viongozi hao wakiwa watu walio na uzoefu mkubwa , wengi wao huwa wamefanya kazi kwa miaka 10.

Download Hapa Application Mpya ya Udaku Special Uweze Soma Vimbwanga na Udaku Mtaani Kila Siku

Mtatiro Atoa Pongezi kwa Viongozi wa CUF, Pesa Zilizokamatwa Zilipangwa Kufanya Jambo Hili

$
0
0
Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi Taifa Chama cha Wananchi CUF, Julius Mtatiro amewapongeza viongozi wa Chama chake wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Chama Maalimu Seif kuweza kukamata fedha ambazo zingemfukuzisha Uanachama Katibu huyo.

Mtatiro ameyasema hayo baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Katibu Mkuu Maalim Seif Shariff akishirikiana na Kaimu Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara Mhe. Joran bashange na Wakurugenzi wa Kitaifa kufanikiwa kuzuia kutoka Tsh Milioni 600 zilizoingizwa kwenye akaunti ya Prof Lipumba na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.

Mtatiro amesema kuwa Msajili wa Vyama ameidhinisha na kupeleka TZS Milioni 600 kwenye akaunti ya Lipumba na genge lake, bila kujali kuwa Mahakama Kuu imemkataza hadi pale Mashauri yaliyoko Mahakamani yatakapokamilika.

Akifafanua suala hilo Mtatiro amesema Fedha hizo zilipangwa kutumika kuitisha Mkutano Mkuu feki ambao ungelimfukuza uanachama Katibu Mkuu kwa Baraka za Serikali na Msajili Mutungi ili sasa CUF igeuzwe kuwa tawi la CCM.

Hata hivyo Mtatiro amesema kuwa pamoja na kuwa Mutungi amekeaidi agizo la mahakama,   Lipumba na watu wake wameishia kuziona fedha kwenye akaunti lakini hawatazitoa maana benki imetii amri ya Mahakama.

Mapema leo akizungumza na East Africa Breakfast Kaimu katibu mkuu wa CUF upande wa Profesa Lipumba, Magdalena Sakaya amemshukia Maalim Seif na kudai alikuwa na lengo la kukiua chama hicho, ndio maana aliweza kuzuia chama kisipate ruzuku kwa nchi nzima baada ya mgogoro wa mwaka 2016.

Sakaya amesema chama hicho kimepitia katika wakati mgumu  ambapo fedha zote zilizuiliwa na Maalim Seif kwa kuandika barua kwenda kwenye taasisi zote za kifedha pamoja na serikali kuzuia wasiendelee kutoa ruzuku kwa chama hicho.

Mahakama Kuu ya Tanzania ya ilimzuia Msajili wa Vyama vya Siasa, Hazina ya Nchi, Wizara ya Fedha, Mabenki yote kutotoa fedha za Chama cha Wananchi CUF na kumpatia Lipumba.

Asakwa kwa kugonga na gari Pundamilia wawili hadi kufa

$
0
0
IDARA ya Wanyamapori wilayani Longido kwa kushirikiana na polisi inamtafuta mkazi wa Arusha, Deogratius Loya, kwa tuhuma za kugonga kwa gari pundamilia wawili hadi kufa.

Tukio hilo lilitokea eneo la Laandara ambalo ni tajiri kwa mapito ya wanyamapori wilayani Longido katika barabara ya Arusha-Namanga juzi, ambapo mtuhumiwa huyo alikimbia na kutelekeza gari alilokuwa akiliendesha.

Gari lenye namba za usajili T353 ABG aina ya Toyota Land Cruiser lililokuwa likitoka Arusha kwenda Namanga na kuendeshwa na Loya liliwagonga wanyama hao majira ya asubuhi.

Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo, Kaimu Ofisa Wanyamapori wilayani hapa, Peter Kubingwa, alisema mtuhumiwa huyo alikimbia na kuacha gari hilo eneo la ajali la Laandara na kwamba anatafutwa na polisi.

Alisema baada ya kulikagua gari hilo walikuta mikataba ya makubaliano ya ukodishaji ya matumizi ya siku 14 kati ya Loya na mmiliki wa gari, Richard Mollel, mkazi wa Arusha.

Kubingwa alisema mkataba huo ulionyesha makubaliano ya malipo ya Sh. milioni 1.5 kwa siku hizo 14.

Alisema mtuhumiwa huyo ameonyesha taswira mbaya kwa nchi kutokana na kufanya tukio hilo la ajali na kukimbia bila kutoa taarifa kituo chochote cha polisi au kwa ofisa yeyote wa wanyamapori.

"Kama tunavyotambua barabara ya Arusha-Namanga sehemu kubwa ni ushoroba wa wanyamapori, mtu huyu ananipa mashaka ya kumhisi ni jangili, kwa sababu haiwezekani afanye tukio hilo na kisha akimbie na kutekeleza gari hapo hapo," Kubingwa alisema.

Alisema endapo dereva anagonga nyara ya serikali ni lazima atoe taarifa kituo cha polisi kilichopo karibu au ofisi yoyote ya serikali.

Aidha, Kubingwa alitoa wito kwa madereva kufuata alama za barabarani pamoja na kuendesha gari kwa umakini, hususan, katika barabara ya Arusha-Namanga kwani sehemu kubwa imetawaliwa na wanyamapori.

“Madereva wanaopata ajali kwa kugonga nyara za serikali watoe taarifa mapema kwani kuchelewa kutoa taarifa ni kinyume cha sheria, hivyo, ukikimbia utatafutwa na ukipatikana sheria itachukua nafasi yake,” alisema.

Ofa Kubwa ya EID, Pata Bidhaa za Urembo na Kukufanya Mwanaume Kuwa Rijali Kutoka Natural Beauty

$
0
0
OFA KUBWA YA EID

NATURAL BEAUTY PROD
Ni kampuni inayotoa bidhaa ORIGINAL na zilizothibitishwa kiafya.
Sasa inatoa ofa ya punguzo la bei la 10% kwa kila bidhaa wahi sasa upatne tiba za uhakika na uweze kufulahia matokeo mazuri kwa haraka.



1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @240,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @170,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @230,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/
7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @170,000/=
8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @150,000/=
9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ili kuthibitisha ubora wa bidhaa zetu.
Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no÷

(+255) 659618585
au
0759029968
Follow us instagram-
Google
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod

Viongozi wa umma Zaidi ya 900 Kuchunguzwa Upya Mali Zao Wanazomiliki

$
0
0
Kamishna wa Maadili, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela amesema tayari wamechagua viongozi 946 kwa ajili ya kuanza kufanya uhakiki wa mali za viongozi hao ili kuthibitisha thamani na uhalisia wa mali hizo na kutambua namna walivyozipata.

Amesema kuwa zoezi hlo linatarajiwa kufanyika ndani ya mwezi mmoja kuanzia Juni 18 hadi Julai 18 mwaka huu.

Uhakiki huo unatarajiwa kufanyika kwa baadhi ya viongozi na si viongozi wote ,sababu ikiwa ni kutokana na Serikali kutokuwa na fedha za kutosha za kuhakiki viongozi wengi kwa wakati mmoja.

Amesema lengo la uhakiki huo ni kuthibitisha uhalisia wa mali hizo, kulinganisha na tamko la rasilimali na madeni.

"Hili ni jambo la kisheria si kwamba tunahakiki kwa kumtuhumu kiongozi yeyote na zoezi hili litawafikia wote lazima wahakikiwe,” amesema.

Amesema maofisa wa sekretarieti watahitaji kuona nyaraka za mali husika ambazo zimeainishwa kwenye tamko.

"Tutaanza Juni 18 hadi julai 18, watumishi wa sekretarieti watawafuata viongozi hao na kuwahakiki. Tunachoomba kwa viongozi wawape ushirikiano na kulifanya zoezi hili kuwa rahisi kwa kuwaandalia nyaraka husika," amesema.

Binti Ametupanga Wanaume Kumi na Moja na Wote Anatupa Uroda Bila Kujijua..Kipaji au Umalaya?

$
0
0
Picha Kutoka Mtandaoni
Ukimuona kwa macho utasema huyu ndio mwanamke kumbe ni bonge la kimeo…ilikuwa mida ya jioni natoka zangu kazini mara ikaingia massage..baby uko wapi nimekumiss…nikamjibu ndo natoka kazini now..yeye..Basi naomba upitie nyumbani japo nikuone nimekumiss sana we mwanaume.

Nikaona isiwe shida ngoja nikamuone roho yake itulie nipo njiani wazo likanijia…Nikapitia duka moja maarufu Sinza na kumnunulia zawadi ya viatu kama suprize nimejikoki mwenyewe naenda kwa babybaby…mademu bwana..!

Kufika akanipokea kwa bashasha na mabusu motomoto dady’s home..Yeye.. najua umechoka baby wangu kaa kwa kochi upumzike nataka nikutengenezee juice fresh unayo ipendaga..nikamwambia ngoja kwanza nikupe zawadi yako nikatoa vile viatu na kumpatia akafurahi sana na kuvijaribisha..vilimtosha na kumpendeza..Nikapewa busu lingine la sekunde kazaa.,

Akatoka kwenda kuandaa juice..huku simu yake na vile viatu akiwa ameviacha jirani na kochi nililokaa..Nikamuuliza simu yako inabando..akanijibu ndio..Nikaichukua nakuingia sehemu ya kubrowse internent ..akili ikanituma nifanye udukuzi kidogo nikafungua application yake ya watsupp mbona nilichoka..

Nilikuta msururu wa wanaume anaochati nao nakuwatumiana picha akiwa amevaa pichu tu nakukaa kimitego…huku wakiambiana ni jinsi gani wamemisiana kupeana utamu..kijasho kikanitoka. .nikajikaza mwenyewe na kuendelea kuperuzi kwa wote idadi ikafikia wanaume kumi na moja na kwa mtiririko wa chating yao wote waonekana wameshapewa utamu..Napenda kusema kitu kimoja hapa tangu nimeanza mahusioano nae tumefikisha mwaka sasa sikuwahi hata siku moja kuishika simu yake.,

Nilishikwa na hasira sana yani huduma zote ninazo mpatia kumbe nahudumia kahaba..nikamwita na kumuuliza aniambie hao watu ni akina nani..utetezi alionipa anasema ni marafiki zake nisimfikirie vibaya..

Nilitamani nimkate kofi moja la nguvu yani ushahidi wote ninao hapa unanijibu rejareja hivyo..nikamuuliza huo urafiki pamoja nakugongana..!we kweli kiboko sasa unataka nikupe cheo gani huu ni umalaya au kipaji...Akaanza kulia huku akiomba nimsamehe..

Kwakweli nilichanganyikiwa nakujiuliza hivi huyu binti anawezaje kutupanga wengi hivi..nilichofanya nikuchukua viatu nilivyokuja navyo nikamwambia nimejitoa kwenye hiyo cheni na kama viatu atakuleta mwingine hivi naondoka navyo..


Nipo njiani kurudi home massage za kuomba asemehewe na kuto rudia tena zinamiminika kwenye simu yangu huku akijuta na kudai mimi ndo ananipenda kiukweli nikimwacha hatopata furaha ya maisha nakuomba nimpe last chance abadirike…nikamjibu nakumwambia huwa natoa msamaha kwa makosa mengine lakini sio kwa hilo la kuchapiwa naomba tuachane kwa amani tu mama…akanipigia simu sikupokea akarudia tena na tena nikapokea..

Nikamuuliza unasemaje..akanimbia ananipenda sana na hawezi kuishi bila mimi uku akilia..nilichomjibu ni kwamba siwezi kuendelea nae.,

Kitu kingine kinacho nichanganya hapa nikwamba ametishia kujiua na yupo chini ya uangalizi wa dada yake..jamani hata kama ni msamaha nikifiria idadi yake ya wanaume nachefuka kabisa..napigiwa simu kila mara kuombwa nirudishe moyo na ndugu zake ninachowajibu ni kwamba siwezi ajaribu kumchagua mwingine atakayempenda sana..mpaka nafikia hatua ya kuwaandikia hii habari huyu binti amelazwa hospital presha imeshuka..

Hapa nafanyaje wakuu kiukweli huyu mwanamke amenitoka kabisaa..hofu yangu ni hiyo ya kulazwa kisa mimi inamaana nikigoma hata kwenda hospital..si ndio majanga yataongezeka..msaada wenu wakuu kichwa changu kimevurugwa kabisa.,

Je Wajua Kuwa Unapofanya Mapenzi na Mtu Unaweka Agano la Damu?

$
0
0
Unapohusiana na mtu kimapenzi unafanya naye agano la damu. Agano hilo maana yake ni kwamba wewe unakubaliana na kufungamana na sifa na tabia pamoja na vifungo vingine vyote kama vile laana, mizimu, matatizo na majanga mbalimbali yanayomhusu huyo uliyefanya naye mapenzi, kadhalika na yeye anafungamana na wewe katika mambo hayo. Agano la namna hiyo humtaka aliyeingia katika hayo mapatano kukubaliana nayo "consistently". Iwapo mhusika hatatii au ataenda kinyume na agano, ndipo agano hilo "hutrigger malice" na kusababisha kutokuelewana, vurumai, kutokupendana na hata kuuana katika mahusiano na mara nyingi kupelekea kuachana!

Kimsingi, unapojamiana na mtu unakubaliana naye kuchangia kila kilicho chake, na yeye pia anakubaliana kuchangia na wewe kila kilicho chako, hasa laana na matatizo kama vile magonjwa na mizimu kwa sababu hivi vitu vimejengwa katika maagano ya damu.

Ndio maana wakati mnaoana na mwenzio mlipendana sana, lakini kwa sababu wewe au mwenzi wako alichepuka na kufanya maagano: ugomvi, mapigano, kutishiana, chuki na hata kutaka kuuana hakuishi kila leo! Swala sio wivu kwamba unahisi mwenzi wako anakusaliti au kuhitilafiana katika mambo tu ya kawaida, issue ni yale maagano ya damu ambayo "hudemand price"!

Mara nyingi unasikia watu wanalalamika kuhusu tabia za watoto "huyu mtoto tabia kaichukua wapi, mbona baba na mama yake au ukoo wao hawako hivyo?". Chanzo cha tabia za ajabuajabu za watoto ni matokeo ya michepuko iliyofanya maagano na watu/koo zingine zenye laana. Laana na matatizo yanayoletwa na agano la damu katika familia havihitaji mtu kuchepuka na kuzaa nje ya ndoa, bali tu kuhusiana katika mapenzi!

Mimi nilipoingia kwenye mahusiano na mke wangu nilivunja maagano yote kwa jina la Yesu. Lakini kumbuka kuwa huwezi kuvunja maagano kama vile ya michepuko kwa jina la Yesu ili "kufavor your own evil deeds"!

Maagano yanayofanywa na watu kwa njia ya mapenzi huenda vizazi hadi vizazi. Hii ni sawa kabisa kwa mjibu wa sayansi kwani "hereditary information" kutoka kizazi hadi kizazi hubebwa na viasili vilivyopo katika damu, mfano DNA.
Pasco anaweza kuendeleza hii mada kwa uchambuzi zaidi.

Mie na mke wangu tuna furaha fulltime kwa sababu mapenzi yetu yananawiri kila kukicha, na huwa hatuelewi kabisa matatizo katika ndoa za watu yanatokana na nini! "We are the happiest couple" kwa sababu "we posses several life secrets" mojawapo ni siri kuhusu agano la damu!

Tambueni ya kwamba one of the great decisions a person can make in his/her life ni kuwa na uhusiano wa kimapenzi (hata kwa dakika moja) na mtu kwa sababu anafanya naye life covenant "blood covenant"!
We teach you things that matter most!
- LifeHacker

Kubenea Amuomba Rais Magufuli Amuajibishe Mutungi

$
0
0
Mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea amemuomba Rais John Magufuli kumuwajibisha Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kwa madai kuwa ameshindwa kutimiza wajibu wake.

Leo katika mkutano wa wabunge wa Ukawa  Kubenea ameyasema hayo wakati akizungumzia hatima ya ruzuku za CUF, kufuatia ofisi ya msajili kuendelea kutoa ruzuku ya chama hicho kwa upande wa Prof. Ibrahim Lipumba ambaye ni Mwenyekiti wa Chama hicho anayejulikana na Msajili wa vyama, bila kujali zuio la mahakama.

Amesema kitendo kinachofanywa kwa sasa na Jaji Mutungi ni sawa na kuibaka demokrasia, na kwamba haikubaliki kkwa kuwa kinachafua uso wa Tanzania kimataifa.

“Huyu Mutungi ni hatari hapaswi kuachwa aendelee kwani amepoteza sifa na anaonekana kuwa na maslahi flani. Haiwezekani jambo hili likawa linatokea na Rais anaangalia bila ya kulifanyia kazi" Kubenea.

Tangu mwaka 2016  Chama cha CUF kilijikuta kikiingia kwenye mgogoro baada ya Profesa Lipumba kutaka kurejea katika nafasi yake ya uongozi (Uenyekiti wa Chama) ikiwa ni mwaka mmoja tangu alipoandika barua ya kujiuzulu.

Mapema leo viongozi wa CUF upande wa Katibu Mkuu Maalim Seif walibainisha kuweza kuzuia kutolewa kwa kiasi cha sh. Mil 600 kwenye akaunti ya Lipumba baada ya kuingiziwa fedha hizo na Msajili wa Vyama vya siasa kinyume na agizo la mahakama.

Rais Magufuli Afanya Uteuzi mwingine

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bw. Fidelis Mutakyamirwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Ushauri wa Ardhi.

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Bw.
umeanza leo tarehe 11 Juni, 2018.


JE, Dada Unapenda Kuwa Mrembo? na Kaka Unapenda Kuwa Mtanashati na Kurudisha Heshima ya Ndoa? Soma Hapa

$
0
0
Baada ya kupata cheti cha bidhaa bora 2017-2018, tumeingiza bidhaa zaidi na zenye matokeo ya haraka zaidi bila madhara yoyote.

KWA WANAUME TUNATIBU
☆Kukosa hamu ya tendo.
☆Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo.
☆Maumbile madogo ya uume.
☆Kuchoka sana wakati wa tendo na uume kusinyaa nk.
@markson_beauty_pr tumeandaa tiba bora kabisa kama ifuatavyo:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @250,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @250,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/=
PIA KWA WANAWAKE WANAOPENDA KUWA NA MUONEKANO MZURI ZIPO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe mwili mzima bila sugu kwa:-
(a)mafuta @150,000/=
(b) Vidonge @170,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @130,000/=
5.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa vidonge (YODI PILLS ORIGINAL) @250,000/=
6.Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @150,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444
na
0714335378

UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.marksnbeuty.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr
#RefushaUume
#OngezaNguvu
#HipsNaMakalio
#BotchoTz
#BidhaaTz

Walichoamua Jumuiya ya Waislamu juu ya wimbo wa Falz “This is Nigeria”

$
0
0

Siku kadhaa zilizopita staa wa muziki kutokea Nigeria Falz the bad guy alipewa siku saba kufuta video ya ngoma yake ya “This is Nigeria” kwenye mtandao wa Youtube na jumuiya ya kutetea haki za Waislamu nchini Nigeria MURIC.

Jumuiya hiyo ya MURIC imetangaza kuwa haitakwenda tena mahakamani kuishtaki video hiyo ikiwa Mkurungezi wa MURIC Prof Ishaq Akintola alisema kuwa “Hii italeta mchango chanya kwenye tasnia ya burudani, kukaa na kutunga sheria kali za kinidhamu kwa tasnia ya muziki na filamu kwa ujumla”

Falz alionekana kuomba radhi mbele ya Taasisi hiyo kutokana na kitendo cha kuwatumia wasichana waliovaa hijab katika kipande cha video ya wimbo wake “This is Nigeria” na jumuiya hiyo kuchukua maamuzi ya kumripoti na kumtaka aombe radhi na kuifuta video hiyo.

Kutokana na maamuzi ya Prof Ishaq Akintola alionekana kukubali msamaha wa Falz na kusema kuwa “Japo aliomba msamaha kidogo kwenye mahojiano yake ya hivi karibuni, pia amejaribu kufafanua kuwa hakudhamiria kuwadhihaki Waislamu lengo lake lilikuwa ni kupiga kelele juu ya wasichana wa Chibok ambapo sisi tunafikiri ujumbe wake aliuwasilisha kwenye njia isiyo sahihi”

VIDEO:

KUFURU:Gari Mpya Aina ya BMW ya Milioni 200 yatumika Kama Jeneza

$
0
0
Leo June 11, 2018 Mwanaume mmoja anayejulikana kama Azubuike Raia wa Nigeria amewashangaza wengi baada ya taarifa zake kusambaa kwenye mtandao wa Facebook kwamba amemzika baba yake huku akitumia gari aina BMW kama jeneza.

Kwa mujibu wa duru za kuaminika zinasema kwamba gari hilo lina thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 200 za kitanzania ambalo limefukiwa chini kama jeneza ndani ya kaburi.

Aidha Mazishi hayo yalifanyika wikiendi iliyopita katika Mkoa wa Anambra nchini Nigeria ambapo ndipo yalipokuwa makazi ya baba wa Azubuike.

Kila Msichana Ninae Mtongoza Ananiomba Hela...Whats This?

$
0
0
Mimi ni Kijana wa miaka 25 ninafanya kazi bank moja hapa Mjini ..nimefikia umri wa kutafuta mchumba wa kuoa ila hawa mabinti sijui wakoje kila ninaye mtongoza haipiti siku ananiomba hela kwa visingizio mbali mbali na mimi demu akishaniomba hela design hii hapo hapo naona sio namuona kimeo ndio wale wale ....

Kwani Mapenzi siku hizi lazima usambaze Hela kwanza ndio upendwe ama?

Naomba ushauri

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake. 

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi. 

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache. 

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja. 

Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578 

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo. 
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images