Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live

Breaking News: Katibu Itikadi CCM Mkoa wa Simiyu Afariki Dunia

$
0
0

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Danhi Makanga,  amefariki dunia leo Jumapili Juni 24, 2018 wilayani Misungwi Mkoa wa Mwanza katika ajali iliyohusisha pikipiki na Bajaj.

Taarifa za kifo cha Makanga ambaye amewahi kuwa mkuu wa wilaya na mbunge zimethibitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Juma Sweda.

Sweda amesema ajali hiyo imetokea leo asubuhi eneo la Nyashishi na kwamba marehemu alikuwa amepanda pikipiki iliyogongana na Bajaj na kusababisha kifo chake na dereva wa pikipiki hiyo.

“Ni kweli ajali imetokea na wote wawili wamefariki ila dereva wa Bajaj amepata majeraha. Miili ya marehemu imehifadhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Misungwi, “amesema Sweda.

Steve Nyerere Akerwa na Picha za Nusu Utupu za Irene Uwoya

$
0
0

"Sitaki kuamini kiki inapatikana kwa kukaa uchi au ili uwe 'star' lazima ufanye mambo ambayo jamii pamoja na familia yako ikakuona kituko basi apo wewe ukajiona 'star' hapana nadhani waliokuzunguka watakuona kituko.

Sifa ya msanii ni moja tu,msanii ni kioo cha jamii, kuburudisha na kuelimisha kupitia sanaaa ama kipaji chake, panapotokea mtu akafanya kinyume na katiba yetu basi uyo anatuchafua wote ata wenye maadili wanaonekana ndio wale wale".


***Maneno yake Steve Nyerere Akimtolea Mapovu Irene Uwoya.

JE, Unakosa hamu au Kushindwa Kurudia tendo la Ndoa? Soma Hapa

$
0
0

Ukosefu wa HAMU ya tendo la ndoa au kumaliza tendo haraka na kushindwa kurudia ni kiashiria kuwa na tatizo la nguvu za kiume. Tatizo hili linazidi kwa kasi dunia na baadhi ya vyanzo vyake ni KISUKARI, BLOOD PRESSURE, UNENE ULIOPITILIZA, KUJICHUA (MASTER BLASHEN), MAGONJWA YA NJIA ZA UZAZI N.K.
Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.
Kwa kutumia mimea tiba na matunda bila kemikali sasa
@markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
N.B Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri wa MARKSON CO ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
F/BOOK: markson beauty
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
CALL/WHATSAPP👆
UTAPATA HUDUMA

#OngezaUume
#NguvuZaKiume
#HandsomeUpOg
#BidhaaTz

Polycarp Pengo awataka maaskofu kuhubiri umoja wa Taifa

$
0
0

 Mwadhama Kadinali, Polycarp Pengo amewataka maaskofu kuhubiri umoja kwa waumini wao.


Pengo amesisitiza hilo leo Jumapili Juni 24, 2018 katika misa ya kumuweka wakfu Askofu wa Jimbo Katoliki Sumbawanga, Beatus Urassa inayofanyika katika Kanisa Kuu la Epifania mjini humo na kurushwa moja kwa moja na Redio Tumaini.


“Katika kuliongoza Tanzania ni muhimu sisi maaskofu tusisitize juu ya umoja wa waamini waliokombolewa kwa damu moja ya Kristu. Kwa mazingira ya Tanzania, wewe na mimi na maaskofu wote tusisitize umoja wa Watanzania na Tanzania,” amesema Pengo.


“Tusikubali  kuziruhusu damu mbalimbali zinazotufanya kuwa wenye kabila hili au lile zikatawala na kuvunja umoja  wa Taifa letu. Tuombeane katika kazi hii. Tutunze umoja wa waumini na wa Taifa letu.”


Amesisitiza, “Wewe umezaliwa mkoani Kilimanjaro ni mchaga unayetoka Rombo. Katika utandawazi wa Tanzania siku hizi ni muhimu kuzingatia yafuatayo, unayo damu ya kichaga ndani ya mwili wako, nakuomba wala usikatae na usijaribu kuificha damu hii.”


“Hakuna sababu wala uhalali kwako wa kujaribu kuficha ukweli huu. Neno moja lazima ulikumbuke ni kuwa wewe na mimi na kundi lote hatujakombolewa kwa damu ya kichaga wala ya kifipa na kinyakyusa, sote tumekombolewa kwa damu ya Kristo.”


Askofu Urassa anachukua nafasi ya Mhashamu Damian Kyaruzi ambaye amestaafu.

Mexime afunguka sababu ya Keseja kuondoka Kagera Sugar

$
0
0

Kocha wa Kagera Sugar Meck Mexime, ameweka wazi sababu za aliyekuwa mlinda mlango wa timu hiyo Juma Kaseja kuondoka na kutimkia KMC ya Kinondoni kwaajili ya kuitumikia msimu ujao.


Mlinda mlango Juma Kaseja

Akiongea na eatv.tv Mexime amesema ni suala la maslahi ndio limemwondoa Kaseja huku akikiri kuwa walikuwa wanamhitaji sana ila soka ni biashara na mchezaji lazima afuate pesa nzuri.

''Ni kweli ameondoka, lakini amekuwa muungwana maana ameaga vizuri na kutueleza kuwa maslahi aliyopewa na Kinondoni Municipal Council FC ni mazuri hawezi kuyaacha hivyo tunamtakia kila la kheri tutajipanga na wengine'', amesema.

Mkataba wa Kaseja na KMC bado haujawekwa wazi ni wa muda gani. Kaseja ameitumikia Kagera Sugar kwa msimu miwili na sasa ataungana na kocha mpya wa KMC Mrundi Etienne Dayiragije ambaye aliachana na Mbao FC katikati ya msimu uliopita.

Kaseja bado anakumbukwa na mashabiki wa klabu ya Simba kwa kuwanyima walau nafasi ya kusawazisha kwenye mchezo wa ligi kuu kati ya Kagera Sugar na Simba uliopigwa uwanja wa taifa ambapo Kaseja alipangua penati ya Emmanuel Okwi na kufanya timu yake ishinde bao 1-0.

"Msije mkailaumu serikali"- IGP Sirro

$
0
0

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amewahakikishia wananchi wa Tanzania kuwa hali ya usalama nchini umeimarika huku akiwaonya baadhi ya watu ambao bado wanamdudu wa kichwa juu ya uhalifu waache mara moja kwani Jeshi la Polisi litawashughulikia kwa mujibu wa sheria.


IGP Sirro ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha East Africa Drive kilichorushwa na East Africa Radio hivi karibuni na kusema Jeshi lake lipo imara katika kuhakikisha hali ya usalama wa raia na mali zao katika sehemu zote.

"Hali ya Kibiti hadi hivi sasa ni shwari kabisa na juzi kulikuwepo na mashindano ya Sirro CUP baada ya ile ngoma kuwa imekwenda vizuri na wale waliotandikwa kwa mujibu wa sheria wamekimbia wengine wamepelekwa Mahakamani na wapo waliotangulia mbele za haki 'kufa'. Sasa hivi hali ni shwari sana", amesema IGP Sirro.

Pamoja na hayo, IGP Sirro ameendelea kwa kusema "ni wape salamu wale watu ambao bado wanao huyu mdudu anayezunguka kichwani mwao ambao wamebakia wachache wasithubutu tena kurudi Tanzania kufanya yale ambayo walipanga kuyafanya. Tutawagonga sana na sheria itachukua mkondo wake na wasije wakailaumu serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania".

Msikilize hapa chini Kamanda IGP Sirro akieelezea zaidi kuhusiana na hali ya usalama jinsi ulivyo kwasasa nchini Tanzania.

EATV

Nitaachaje kupenda makalio ya wanawake? Napitiliza Hadi Kituo Kisa Nimeona Mwanamke Mwenye Kalio Kubwa Ndani ya Dalala..Ushauri

$
0
0

Mwenzenu karibia naumbuka yaani nikiona mwanamke mwenye makalio makubwa nachanganyikiwa kabisa nakupoteza network, yaani inafikia mahali hata kama niko kwenye daladala naenda mahali akipanda mwanamke aliyejaliwa maeneo ya nyumba basi nihakikisha nashuka kituo atakachoshuka hata kama nikupitiliza napoenda naona sawa tu ili mradi nimpe maneno mawili matatu huyo mwanamke .


Hii Tabia imenifanya nipoteza muda na mambo mengi ya msingi katika maisha yangu , moja kubwa nakumbuka mwaka jana niliitwa kwenye interview shiriki moja maeno ya Kijitonyama sayansi, nikiwa kwenye daladala kutokea mwenge kwenda posta nilijikuta nimefika posta kwa kumfuata mdada mmoja, baada ya hapo nikajikuta nimechelewa hiyo Interview na mbaya zaidi huyo dada hakutaka hata kuongea na mimi baada ya kushuka kwenye dalala.

Waungwana Naombeni ushauri nifanye nini niache hichi kitabia?

Nafikiria Kuachana na Yule Mpenzi Wangu Asiyeniomba Hela

$
0
0

Juzi kati hapa nilileta uzi kuwa nimepata mtoto wa chuo na huu ni mwezi wa tatu hajaomba cha vocha wala hela yoyote.

sasa kama mjuavyo vyuo vimefunguliwa wiki hii na hajapata chumba bado nikamshauri akae kwangu kwa sababu ni karibu na chuoni kwao.

so jumatatu akahamia wakati tunashughulikia masuala ya hostel

nilimuacha nyumbani nikaenda kwenye mihangaiko yangu kurudi nyumbani nyumba imepekuliwa kuanzia uvunguni mpaka kwenye dari document zangu zote kasoma japo ziko salama .

wiki mbili zilizopita alipekenyua laptop yangu picha nilizopiga na mademu zangu wa miaka nenda rudi nikamkuta anazicheki.

nikienda choooni anakaa mlango wa choo sijui anasikilizia nini.

nilimkuta ameshika simu yangu na kalamu na karatasi ananakili baadhi ya namba kumuuuliza anachekacheka
sasa huyu ni mpenzi au FBI.

nafikiria kumuacha lakini its too late ananijua kuliko hata mama yangu mzazi maana hadi mikataba ya kazini kwangu juu ya mshahara na kila kitu ninachomiliki anakijua kupitia udukuzi wake
Nishaurini jamani

By mdukuzi via JF

Dharau Zingine Huwa Hazina Faida..Ona Huyu Dada Kilichompata

$
0
0
Leo Asubuhi Nikiwa Ubungo bus terminal....
Leo asubuhi nikiwa stand ya mabasi ya ubungo,mdada mmoja wakati anapanda kwenye kagari kake akadondosha simu.Mimi nikamuita ili nimweleze kilichotokea,akanisonya tena msonyo wa dharau sana na nikajuta kumgusa bega kwasababu ya kibao alichonipiga.

Alipoondoa gari nikaiokota hiyo simu na kuondoka zangu,wala sikuizima.


Nafika town simu hiyo ikaita nikapokea kwa shauku ya kujua nani,haya ndo ya kawa maongezi yetu na mpigaji.

Mimi; Hallo habari yako
Yeye; Nzuri
Mimi; nani wewe
Yeye; Mimi ndo mwenye hiyo simu ....
Mimi; Na mimi ndo nilokuita na ukanizaba kibao Pale stand ya ubungo leo na ukanisonya
Yeye; Basi kaka nisamehe naomba unambie ulipo nije tuelewane
Mimi; Nitakwambia baadaye (nikakata simu na kuzima)

Swali nimwambie napatikana wapi au nimpotezee ili liwe fundisho kwake?

Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo

$
0
0
Nimempata dada mmoja mitaa fulani, ni mzuri sana na she is sexy. Kiukweli tumependana nami nilivyomuona tu siku ya kwanza pale ofisini nilimpenda nikaomba tuwe na ukaribu. Tukaanza ukaribu basi juzi juzi hapa nikamwambia mi natamani mambo flani. Yule dada alinikubalia lakini akasema shida kubwa ni kuwa jamaa yake mshirikina alimwekea dawa hivyo tukikutana naweza pata matatizo, anasema watu wa Morogoro/waruguru ndo zao hizo.

Sasa hajui atafanyaje maana anasema aliwahi achana na jamaa akawa na mtu mwingine yule jamaa aliyetembea naye alipata matatizo makubwa sana hadi ikabidi yule dada arudi akamwambie Mluguru amwachie jamaa awe salama. Toka kipindi hicho dada amekuwa hana amani anashindwa sasa afanyeje. Aliniambia maneno haya kwa uchungu sana nami nikimwona kiukweli anataka sana nimkandamize yaani hata tukiongea hivi namwona tu jinsi macho yanavyochoka nami mzuka unapanda natamani nimnaniii hivyo hivyo lakini ananikataza anasema coz she loves me hapendi nipate shida.

Sasa hapa wadau nifanye nini? Mambo kama haya sisi wengine hatushiriki ushirikina matatizo yetu ni K tu lakini kwa waganga hatujawah kwenda. Sasa hapo nafanyaje?

Tusaidiane tafadhali maana hali inakuwa ngumu sana kwetu sote.

By Komeo

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0

Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Mambo 50 ya kisaikolojia yatakayokuacha kinywa wazi

$
0
0

Mambo 50 ya kisaikolojia yatakayokuacha kinywa wazi
Hii ni kwel hata kama ulikua hujui kubali tu, maana ndio ukweli uliopo.

1. Mtu hufanya ishara nyingi za mikono akiwa anazungumza ukweli. Azungumzae uongo mikono yake huwa imetulia zaidi.

2. Sikiliza kwa makini namna mtu anavyozungumzia watu wengine akiwa na wewe, na ndivyo atakavyokuzungumzia wewe akiwa na watu wengine.

3. Ndoto zako zinabeba ujumbe mhimu sana. Asilimia 70 ya ndoto zako zina ujumbe wa siri.

4. Kwa kawaida watu huwa waaminifu na wakweli mwili ukiwa umechoka, na ndio sababu hutubu na kutoa siri zao kwenye mazungumzo yatekeayo usiku wa manane,

5. Ukihisi mtu au watu wanakuangalia, angalia saa au muda kama unataka kujua wakati, watu wanaokutazama nao watatizama saa, hii ni kwa sababu kuangalia wakati/mda huambukiza.

6. Kunywa maji ya baridi sana mapema asubuhi husaidia mwili wako kufanya kazi vizuri hadi asilimia 25.

7. Kukumbatiana huondoa shauku, msongo wa mawazo na huongeza kinga ya mwili.

8. Kushindwa kumtoa mtu akilini mwako imamaanisha kwamba nawe upo akilini mwa mtu huyo.

9. Watu wenya akili yenye ubunifu hupata shida sana kupata usingizi, hivyo hupendelea kuwa macho hadi usiku wa manane.

10. Kama utakataliwa na mtu ambaye kujali kwake ni muhimu sana kwako, basi maumivu utakayopata katika ubongo wako ni kama maumivu ya mwili yanavyokuwa.

11. Mtu ambaye ametendwa au ameumizwa kisaikolojia huwa na hulka ya kukasirika pasipo sababu yeyote ya msingi.

12. Ukitaka kujua kama mtu unaezumguza nae anapenda kusikia unayoyazungumza kunja mikono yako, kama anapenda na anafurahia mazungumzo nae atakunja mikono pia.

13. Kama mtu anachekacheka tu bila sababu maalumu au anacheka sana, basi mtu huyo ana huzuni kuu moyoni mwake, na kama mtu analala kwa mda mrefu sana, mtu huyo ni mpweke.

14. Namna tunavyozungumza na watoto wetu ndivyo inavyokuwa sauti katika mioyo yao.

15. Mtu akitokea katika ndoto unayoota, basi ni kwa sababu mtu huyo kakuhamu (kakumiss).

16. Wa kwanza kuomba msamaha sikuzote ni mwerevu, wa kwanza kusamehe ni mwenye nguvu na wa kwanza kusahau ni mwenye furaha.

17. Mashairi katika wimbo uupendao ni ujumbe ambao unapambana kuufikisha mahala flani au kuwaambia watu flani.

18. Ukitumia mkono wako usiotumika mara kwa mara (wa kushoto kwa wengi) itakusaidia kuwa na ‘self control’.

19. Kama mwanaume atasimama akiwa ametanua miguu yake wakati akizungumza na mwanamke, ni ishara kwamba mwanaume huyo anampenda mwanamke kwa dhati.

20. Mwanaume akiwa hajisikii huru au akiwa hana amani, basi hushika kichwa au uso wakati mwanamke hushika aidha nywele, hereni, mavazi, mikono au shingo.

21. Siku zote fuata wazo linalokuogopesha zaidi, sababu hili ndili litakalo kujenga na kukuimarisha.

22. Aina mbili ya watu ambao hawatakuangalia machoni: mtu anaejaribu kuficha uongo na mtu anaejaribu kuficha mapenzi/ upendo.

23. Wanasaikolojia wanasema mtu anataka kumfurahisha kila mtu huishia kuwa mpweke zaidi.

24. Mtu anaekasirika kirahisi, kwa vitu vya kijinga, inaonesha kwamba anahitaji upendo/kupendwa.

25. Sikuzote wanaoponda au kulalamikia wengine kwa wanayofanya, ndicho kile wanachofanya wao au wanatamani kufanya wao- elewa hili.

26. Kulia ni afya kwako. Huondoa bacteria wabaya mwilini mwako, hukupunguzia msongo wa mawazo na kukuongezea kinga ya mwili.

27. Saikolojia inasema: Huogopi kupenda, unachoogopa ni kutokupendwa (afraid of not being loved back).

28. Ukweli wa mambo: uko karibu zaidi na kufanikisha malengo yako kama utayaweka kuwa yako pekee, yaani kuwa ni siri yako.

29. Saikolojia inasema: kujifanya mwenye furaha wakati una maumivu ni mfano wa kuonesha ni jinsi gani wewe ni mwanadamu mweye nguvu. (strong person).

30. Kabla ya kulala, asilimia 90 ya akili yako huanza kufikiri mambo ambayo ungependa yatokee.

31. Watu wanaotembea kwa hatua za harakaharaka huonekana kuwa wanajiamini na wenye furaha zaidi kuliko wanaotembea taratibu.

32. Watu wanaojua utani zaidi wanajua kusoma akili za watu pia.

33. Ubongo wa mwanadamu alielala unaweza kuelewa mazunguzo ya watu walio karibu eneo hilo.

34. Ukiwa uaongea na mtu, ongea huku ukitaja jina lake, hii itasaidia kupendwa zaidi na mtu huyo.

35. Kufuatana na uchunguzi wa wataalam, kumtamani mtu kingono hiushia miezi minne, zaidi ya hapo utakuwa ni upendo wa dhati.

36. Uchunguzi unaonesha kuwa watu wanaolala na mito mingi ni wenye msongo wa mawazo na wapweke.

37. Umbo la ubongo wako hubadilika kila unapojifunza jambo jipya.

38. Watu wakiwa katika kundi na ikatokea kuna kucheka, wale walio na mahusiano ya karibu zaidi hutizamana.

39. Kwa namna mwandiko wa mtu unavyokosa mpangilio au kuwa mbaya ndio kiashirio kwamba mtu huyo anafikiri haraka zaidi ya mikono yake inavyoweza kuandika.

40. Kuna watu wana alama ya asili ya kuwaamsha muda wanaotaka, hii ni kwa sababu wana homoni ya asili ya stress.

41. Haiwezekani kukaa na hasira dhidi ya umpendae kwa mda mrefu. Hasira inayofika siku tatu au zaidi inamaanisha kwamba hauna upendo.

42. Chakula cha kwenya ndege hakina ladha sana sababu uwezo wetu wa kutambua ladha hupungua kwa asilimia 20 hadi 50 tukiwa angani.

43. Kama urafiki utafikisha miaka saba, basi urafiki huo utadumu milele.

44. Kama mtu akiongea na wewe halafu kwenye maongezi akakungalia machoni kwa asilimia 60 ya maongezi basi umemboa mtu huyo. Kama atakuangalia kwa asilimia 80 basi umemvutia mtu huyo na kama itafikia asilimia 100 basi mtu huyo anakutishia.

45. Katika sekunde tatu za mwanzo unapoamka, huwezi kumbuka chochote.

46. Uoga waweza kuua. Hii ni kwa sababu mwili huzalisha adrenalin ambayo ni sumu ikizidi. 47. Kawaida, mtu akianza kulia atakumbukaia matukio mengine yaliyomsikitisha au kumchukiza ili kuongezea ubongo wake hamu ya kulia.

48. Unapopiga chafya, unakufa kwa sekunde. 49. Unapotekenywa hucheki, bali ni itikio na kupaniki (panic response). Huwezi jitekenya mwenyewe kwa sababu mwili hauhisi hatari yoyote. Kawaida enzi za zamani kutekenya ilitumika kama adhabu.

50. Kukosa usingizi husababisha ubongo kutokumbuka mambo kiusahihi

Ridhiwan Kikwete Afunguka Kuhusu Kumiliki Maghorofa na Vituo vya Mafuta

$
0
0

“Mimi ni tajiri wa Marafiki sio mali, ni porojo tu ninachomiliki kinanitosha mimi na ndugu zangu, sina Maghorofa wala vituo vya mafuta”.

Maneno yake Mbunge wa Chalinze Ridhiwan Kikwete

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Lapata Rais Mpya

$
0
0

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) leo Jumapili Juni 24, 2018 limemchagua Askofu wa Jimbo Katoliki la Mpanda, Gervas Nyaisonga kuwa rais wa baraza hilo.

Askofu Nyaisonga aliyetangazwa leo katika misa  ya kumuweka wakfu Askofu wa Jimbo Katoliki Sumbawanga, Beatus Urassa iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Epifania mjini humo, amechukua nafasi ya Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa aliyemaliza muda wake.

Ngalalekumtwa amemtangaza Askofu Nyaisonga na kusema atatumikia nafasi hiyo kwa kipindi cha miaka mitatu.

England Yaifungashia Virago Panama Kombe La Dunia Kwa Kipigo Cha Mbwa Koko

$
0
0


Timu ya England imeibuka na ushindi mnono wa mabao 6-1 baada ya kuisambaratisha Panama bila huruma kwenye fainali za Kombe la Dunia mchezo uliopigwa leo Jumapili  katika Uwanja wa Nizhny Novgorod, Russia

Ushindi huo unaipandisha England kileleni kwenye msimamo wa Kundi G ikiwa pointi 6 sawa na Ubelgiji lakini wakiwa na tofauti ya mabao ya kufunga.

Kwenye kundi hilo, Panama na Tunisia zimejikuta zikianza kufungasha virago baada ya kupoteza michezo yake miwili  kila timu.

Katika michezo miwili, Panama imezalisha mabao 9 baada ya kupoteza mchezo mbele ya Ubelgiji iliyoibuka na ushindi wa mabao 3-0 na kupokea kipigo cha mabao 6 leo.

Mabao ya England yaliwekwa wavuni na Harry Kane aliyefunga ‘hat trick’, John Stones (2) huku bao la tatu likiwekwa wavuni na Jesse Lingard.

Panama itakamilisha mchezo wake wa mwisho dhidi ya Tunisia Juni 28 wakati England itakamilisha mechi yake dhidi ya Ubelgiji tarehe hiyohiyo.

Mchezo wa jana usiku, Ubelgiji iliiadhibu Tunisia mabao 5-2 na kukata tiketi yake mapema ya kucheza hatua ya 16 bora.

Diana Amkana Aslay ‘Mbona Huyo Mtu Simjui’

$
0
0

Muigizaji wa filamu Diana Kimaro amekanusha kutoka kimapenzi ya muimbaji Aslay baada ya kuonekana kuwa karibu zaidi katika siku hizi za usoni.


Wawili hao kila mmoja amekuwa akipost picha ya mwenzake na kutoa ujumbe ambao unatafsiriwa na wengi kwamba wawili hao wako kwenye mapenzi mazito.
Akiongea katika kipindi cha U heard cha Clouds FM, Diana amedai hamjui Aslay huku akienda mbali zaidi kwa kudai kwa sasa hayupo kwenye mahusiano.

“Mimi sina mahusiano na mtu yeyeto, mbona huyo mtu simjui,” alisema mrembo huyo ambaye ni mara chache sana kuonekana akijiachia na wanaume.

Aslay ambaye hivi karibuni ameachana na mama watoto wake, hajazungumza chochote kuhusiana na picha zake zinazosambaa mtandaoni na mrembo huyo.

Harry Kane, Ronaldo na Lukaku waanzisha vita yao Urusi kwenye michuano ya Kombe la Dunia

$
0
0

Wakati michuano ya Kombe la Dunia ikiwa imepamba moto nchini Urusi ambapo tumeona baadhi ya timu zikifuzu hatua ya 6 bora ya michuano hiyo, vita nyingine kubwa zaidi ya kugombania kiatu cha mfungaji bora wa michuamo hiyo imeibuka.


Cristiano Ronaldo, Harry Kane na Romelu Lukaku

Vita hiyo ni kati ya washambuliaji wa timu ya Uingereza, Harry Kane, Ureno, Cristiano Ronaldo na Mshambuliaji wa Ubelgiji, Romelu Lukaku.

Kwa msimamo ulivyokuwa kwa sasa Harry Kane ndiye anayeongoza kwa kutupia magoli mengi kwenye michuano hiyo magoli 5 huku Ronaldo na Lukaku wakiwa na magoli 4 kila mmoja.

Wachezaji wawili Harry Kane na Romelu Lukaku tayari timu zao za taifa zimeshafuzu hatua ya 16 bora huku Ronaldo akihitaji angalau sare dhidi ya Iran ili timu yake iweze kufuzu.

Bado ni mapema kutabiri ni nani atakayeibuka kinara wa kutupia magolimengi kwa michuano hii ya kombe la dunia. Tazama Hat-Trick ya Harry Kane dhidi ya Panama kwenye mchezo uliomalizika leo jioni

Boko Haram yafanya shambulizi na kuua wanne

$
0
0

Watu wanne wameripotiwa kupoteza maisha katika shambulizi la Boko Haramu nchini Nigeria. Shambulizi hilo limetokea kaskazini mashariki mwa Nigeria. 

Kamanda wa polisi wa eneo hilo  Damian Chukwu amesema kuwa magaidi hao walivamia kijiji na kuanza kumimina risasi kwa raia. 

Idadi kubwa ya wananchi wamejeruhiwa katika shambulizi hilo. Nigeria imekuwa ikiandamwa na mashambulizi ya boko haramu mara kwa mara.

IGP Sirro asifu hali ya usalama iliyopo nchini

$
0
0

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amewahakikishia wananchi wa Tanzania kuwa hali ya usalama nchini umeimarika huku akiwaonya baadhi ya watu ambao bado wana mdudu wa kichwa juu ya uhalifu waache mara moja kwani Jeshi la Polisi litawashughulikia kwa mujibu wa sheria. 

IGP Sirro ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha East Africa Drive kilichorushwa na East Africa Radio hivi karibuni na kusema Jeshi lake lipo imara katika kuhakikisha hali ya usalama wa raia na mali zao katika sehemu zote. 

"Hali ya Kibiti hadi hivi sasa ni shwari kabisa na juzi kulikuwepo na mashindano ya Sirro CUP baada ya ile ngoma kuwa imekwenda vizuri na wale waliotandikwa kwa mujibu wa sheria wamekimbia wengine wamepelekwa Mahakamani na wapo waliotangulia mbele za haki 'kufa'. Sasa hivi hali ni shwari sana", amesema IGP Sirro. 

Pamoja na hayo, IGP Sirro ameendelea kwa kusema "ni wape salamu wale watu ambao bado wanao huyu mdudu anayezunguka kichwani mwao ambao wamebakia wachache wasithubutu tena kurudi Tanzania kufanya yale ambayo walipanga kuyafanya. Tutawagonga sana na sheria itachukua mkondo wake na wasije wakailaumu serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania". 
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live




Latest Images