Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live

Tumia Super Mkuyati Kuleta Heshima ya Ndoa

$
0
0
SUPER MKUYATI INAYOLETA HESHIMA YANDOA super mkuyati nidawa ya mitishamba iliyo sheheni miti mbalimbali na kugundulika ina pambana na magonywa sugu

SUPER MKUYATI inanguvu (3) nainafanya kazi kwapamoja (1) itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 15-20 bila kuchoka (2) ina zalisha homon kwa wingi na kukufanya uwe na mbengu nyingi zenye vimeleo vya uzazi vyilivyokomaa (3) inaongeza ume mdogo uliosinyaa,kunenepesha uume na kurefusha adi nchi 5-8 na upanda sm 2-3 dawa hii haina mazala kwa mtumiaji ata kwa wazee walionaumri 60-80

SUPER MKUYATI ponyo la maradhi yako tumia Leo uone mjabu yake OFISI YETU ZINAPATIKANA DR MTONI KIJICHI KAMAUNA NAFASI UTALETEWA POPOTE ULIPO KWALE WAMIKOANI UTATUMIWA

DR GATUNDU SM 0717777402/0768408794

Jini Mkatakamba Alipitia Penzi la Amber Lulu na Prezzo "Maisha ya Mabwana Yamenishinda Ngoja Nikitulize"

$
0
0
Jini Mkatakamba Alipitia Penzi la Amber Lulu na Prezzo "Maisha ya Mabwana Yamenishinda Ngoja Nikitulize"
Inawezekana penzi kati ya staa maarufu kutokea Nairobi Kenya Prezzo na Amber Lulu limefikia ukingoni rasmi? hili ni moja ya swali ambalo wengi wamekuwa wakijiuliza na hii ni baada ya picha na caption aliyoiandika Amber Lulu kupitia ukurasa wake wa instagram leo July 2,2018.

Amber Lulu ameandika “Nimechokaaaaa 🙌🙌 maisha mengine yaendelee ya mabwana yamenishinda ngoja nikitulize money first Maana sioni jipya”


Penzi hilo lilionekana kuanza na kuwa wazi October 2017 na hivyo Amber Lulu ameonekana kuanika rasmi kuwa kwa sasa yupo single kwani maisha ya kimapenzi yamemshinda kwa sasa.

Dogo Janja Afunguka Kuhusu Kumpa Mimba Irene Uwoya

$
0
0
Dogo Janja Afunguka Kuhusu Kumpa Mimba Irene Uwoya
Bado msanii Dogo Janja na mkewe, Irene Uwoya wanazidi kugonga vichwa vya habari tangu walipofunga ndoa.o

Sasa basi!, katika mahojiano na FNL ya EATV Dogo Janja amefunguka iwapo kuna mipango ya ndoa yao kuleta mtoto kwa mwaka huu.

“Tusema Inshallah!, siunajua jogoo la shamba nawika mjini, naam!,” amesema Dogo Janja.

Katika hatua nyingine Dogo Janja amejibu madai yaliyoeleza kuwa hana uwezo wa kumsimamia vizuri Irene kwa kueleza si kweli kwani ni watu wanaoishi kwa kuheshimiana.

“Nasimama kama baba na watu wengi wanachukulia vitu kwa juu juu sana . Mimi nina sauti kwa mke wangu, naweza nikamwambia leo usitoke na asitoke kweli,” amesisitiza.

Dogo Janja kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Banana. Video ya wimbo huu imefanyika nchini Afrika Kusini na ndio video ya kwanza kutoka kwa msanii huyo kufanyika nje ya nchi.

IGP Siro Kufanya Mabadiriko ndani ya Jeshi kwa Makamanda wa Mikoa

$
0
0
IGP Siro Kufanya Mabadiriko ndani ya Jeshi kwa Makamanda wa Mikoa
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP, Simon Sirro leo atafanya mabadiliko ndani ya jeshi hilo yatakayowagusa makamanda wa mikoa, wakuu wa usalama barabarani wa mikoa na wasimamizi wa usalama barabarani wa ngazi za wilaya na miji midogo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, msemaji wa jeshi hilo, Barnabas Mwakalukwa amesema uamuzi huo umefikiwa na Sirro, kwamba mabadiliko hayo yatatangazwa leo saa 10 jioni.

Amesema mabadiliko hayo yametokana na kuendelea kujitokeza kwa matukio ya ajali, yanawalenga ambao wameonyesha udhaifu katika kuzuia ajali hizo pamoja na kutodhibiti wanaokiuka sheria za usalama barabarani.

Kamanda Mwakalikwa amefafanua kuwa mabadiliko hayo yatawagusa baadhi ya makamanda wa mikoa, wakuu wa usalama barabarani wa mikoa, wasimamizi wa usalama barabarani na wa ngazi za wilaya na miji midogo.

"IGP amekemea vikali kutowajibika ipasavyo kwa baadhi ya wasimamizi wa sheria za usalama barabarani katika kudhibiti ajali jambo ambalo limekuwa likisababisha vifo na majeruhi. Ameahidi kuwa ataendelea kuchukua hatua kwa wale watakaozembea usimamizi wa sheria,"  Kamanda Mwakalukwa.

Aidha wasimamizi wa sheria wametakiwa kuwachukulia hatua madereva wazembe wanaoendesha kwa mwendo kasi na kutochukua tahadhari katika maeneo hatarishi barabarani.

Picha: Rais Magufuli Alivyozindua Kitabu cha Dkt. Reginald Mengi

$
0
0
Picha: Rais Magufuli Alivyozindua Kitabu cha Dkt. Reginald Mengi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 02 Juni 2018, amezindua kitabu chenye historia ya maisha ya Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Abraham Mengi kinachoitwa I CAN, I MUST I WILL jijini Dar es Salaam.

Mhe. Rais Dkt. Magufuli amewataka wafanyabiashara nchini kuiga mfano wa Dkt Mengi na kupuuza maneno ya baadhi ya watu wanaowakatisha tamaa kwani hakuna Serikali yoyote duniani iliyopata maendeleo bila ya kushirikiana na sekta binafsi. Amesema hata Serikali imekuwa ikikatishwa tamaa katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kama vile ujenzi wa Reli ya Kisasa, utoaji elimu bila malipo, ununuzi wa ndege mpya saba na ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa Stiglers Gorge na mingine mingi.

Pamoja na kukatishwa tamaa huko na baadhi ya watu wasioitakia nchi maendeleo Serikali haikukata tamaa na imekuwa ikiendelea na utekelezaji wa miradi yake kwa lengo la kuwaletea watanzania maendeleo.

 ‘’Ninachotaka kuwaambia Wafanyabiashara wa Tanzania na watanzania kwa ujumla ni kuwa kitabu cha Mzee Mengi kiwe fundisho kwetu sote tunaweza kwelikweli,na mimi napenda nitoe wito kwa wafanyabiashara wote nchini ninarudia wito wangu msisikilize maneno ya watu wanaowakatisha tamaa fanyeni biashara zenu kwelikweli, wekeni uwekezaji wenu wote hakuna Serikali inayoweza kuendelea bila kutegemea sekta binafsi’’ amesema Rais Magufuli.

Rais Magufuli amesema watanzania wakiamua wanaweza kwani Dkt. Mengi alizaliwa katika familia masikini lakini kwa kuwa aliukataa umasikini ameweza kufikia maendeleo aliyonayo hivi sasa na hivyo kuwataka watanzania wote kujiamini na kuukataa umasikini kwani tunaweza.

Aidha Rais Magufuli amewataka Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini kuwahamasisha wafanyabiashara katika nchi zao kuja kuwekeza hapa nchini kwani Tanzania ni sehemu salama kwa uwekezaji. Amesema katika historia ya mzee Mengi yapo mengi amekutana nayo ya kumkatisha tamaa lakini yeye hakukata tamaa bali aliamini anaweza na akaamua kufanya  na akaweza hivyo watanzania tuache kukatishana tamaa ili tuweze kufikia mafanikio ya kweli. Dkt. Magufuli amesema Dkt. Reginald Mengi ni mfanyabiashara wa kuigwa hapa nchini kutokana na jitihada zake mbalimbali katika mchango wa Taifa kwa kuwa chanzo cha ajira kwa watanzania na kulipa kodi kwa serikali inayokwenda kutoa huduma mbalimbali kwa watanzania wote.

Kwa upande wake Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi amempongeza Dkt. Mengi kwa uamuzi wa kuandika historia ya maisha yake na kuonyesha hatua mbalimbali alizopitia hadi kufikia mafanikio aliyonayo kwani ni watu wachache wanaoweza kufanya kitu kama hicho hasa kwa Afrika. Amesema ipo fikra kwamba watu wenye uwezo wa uandishi ni wale wenye taaluma na wasomi katika vyuo mbalimbali lakini Dkt. Mengi amevunja dhana hiyo na kuweza kuandika kitabu hicho.

Nae Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi amemshukuru Rais Dkt. John Pombne Magufuli kwa kukubali kumzindulia kitabu hicho na kuwataka watanzania kutokata tamaa katika kufikia hatua ya maendeleo kwani alichoandika yeye ni uhalisia wa maisha yake tangu akiwa masikini hadi kufikia mafanikio aliyonayo.

Dkt. Mengi amepata msukumo wa kuandika kitabu hicho cha historia ya maisha yake ili kutimiza azma ya marehemu mtoto wake Rodney Mutie Mengi aliyemtaka kuandika kitabu hicho na mambo mengine ambayo atayatimiza kadri awezavyo.

Ed Sheeran yamemkuta! Adaiwa Bilioni 225 Baada ya Kukopi Wimbo

$
0
0
Ed Sheeran yamemkuta! Adaiwa Bilioni 225 Baada ya Kukopi Wimbo
STAA wa R&B, Ed Sheeran yamemkuta! Unaweza sema hivyo kwa maana nyingine baada ya familia ya aliyekuwa mkali wa muziki huo, marehemu Marvin Gaye kutaka ilipwe dola milioni 100 (zaidi ya bilioni 225 za Kibongo) kwa kosa la kuibiwa wimbo.

Kwa mujibu wa Kampuni ya Structured Asset Sales, inamdai Ed kiasi hicho cha pesa kutokana na kuiba Wimbo wa Let’s Get It On na kuubadili baadhi ya vitu kisha kuuita Thinking Out Loud. Ed anadaiwa kukopi midundo, melodi, sauti pamoja na kiitikio cha mbali kutoka katika wimbo huo uliowahi kuimbwa mwaka 1973.

Mtoto wa Marvin Gaye, Ed Townsend Jr kwa kushirikiana na Structured wameshafikia pazuri ambapo wamewalalamikia makampuni ya Sony/ATV Music, Atlantic Records na mwandishi ambaye ni Ed.Hata hivyo, bado Ed hajatoa ufafanuzi wowote juu ya madai hayo ya kuiba wimbo.

Wimbo wa Thinking Out Loud wa Ed uliachiwa Novemba, 2014 na kuwa namba moja katika chati kubwa duniani za Billboard.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, nasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGISE

Tanzia: Mbunge Profesa Majimarefu Afariki Dunia

$
0
0
Tanzia: Mbunge Profesa Majimarefu Afariki Dunia
MBUNGE wa Korogwe Vijijini (CCM) mkoani Tanga,  Steven Ngonyani maarufu Profesa Majimarefu amefariki dunia jana Jumatatu Julai 2,  2018 usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.

Taarifa za kifo cha mbunge huyo zimethibitishwa na ofisa uhusiano wa Muhimbili, Aminiel Eligaeshi.

Juni 20,  2018 Majimarefu alihamishiwa kwa ndege kutoka mkoani Dodoma kwenda MNH kwa matibabu huku ugonjwa uliokuwa ukimsumbua mbunge huyo haujawekwa wazi.

Juni 6,  2018 mbunge huyo alifiwa na mkewe,  Mariam aliyekuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali hiyo hiyo ya Muhimbili.

Rais Magufuli Amemteua Dkt. Ngenya Yusuf Kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TBS

$
0
0
Rais Magufuli Amemteua Dkt. Ngenya Yusuf Kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TBS
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amemteua, Dkt. Ngenya Athumani Yusuf kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS).



Soma taarifa kamili:

Familia ya Lissu Kutinga Mahakamani Kudai Haki ya Kisheria

$
0
0
Familia ya Lissu Kutinga Mahakamani Kudai Haki ya Kisheria
Kaka wa Mbunge wa Singida Mashariki,  Alute Mughwai amesema wanatarajia kwenda mahakamani kudai haki ya kisheria ya matibabu ya ndugu yao Tundu Lissu aliyeshambuliwa na risasi Septemba 07, 2017.

Akizungumza leo na waandishi wa habari, Mughwai amesema wanachukua hatua hiyo baada ya Bunge kuiandikia barua familia hiyo, ikieeleza kuwa kuanzia sasa haitajishughulisha na matibabu ya mbunge huyo.

Mughwai amesema Juni 18, 2018 walipokea barua kutoka uongozi wa Bunge kuwa haitajishughulisha na matibabu ya mbunge huyo kwa kuwa yuko nje ya nchi kwa utaratibu binafsi na hakufuata utaratibu wa matibabu.

Mughwai amesema kutokana na hali hiyo wanaangalia utaratibu wa kwenda mahakamani kuangalia kama mwakilishi huyo anahaki kisheria ya kupatiwa matibabu ama la.

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini Ubelgiji akiendelea na matibabu amabyo kwa mujibu wake na familia pamoja na chama chake matibabu hayo yanalipiwa na wasamaria wema.

Dogo Janja Afunguka Kuhusu Ndoa Yake Ilivyosababisha Muziki Wake Kuwa Muruwaa

$
0
0
Dogo Janja Afunguka Kuhusu Ndoa Yake Ilivyosababisha Muziki Wake Kuwa Muruwaa
MUZIKI bwana! Miaka ya 2000 katikati waliibuka wasanii wengi wadogo kiumri, walikuwa na uwezo katika kuimba na kurap lakini kutokana na udogo wao, majina yao wakaamua yasiwe mbali na umri wao.

Mfano aliibuka Aslay Isihaka na Wimbo Naenda Kusema, kutokana na udogo wake akaamua kujiita Dogo Aslay lakini kadiri alivyokuwa kiumri jina la dogo limepotea na sasa anatambulika kama Aslay.

Akaja David Genzi ‘Young Dee’ na Ngoma ya Tunapeta, akapeta kweli, leo hii umri umeenda si dogo tena, kaamua kulitema taratibu jina la Young Dee na sasa anataka kutambulika kama Paka Rapa.

Ukija kwa Eric Msodoki ‘Young Killer’ naye alianza na Ngoma ya Dear Gambe, alikuwa kweli mdogo kiumri lakini uwezo wa kurap ulikuwa juu, umri ulivyoanza kwenda na kuwa kijana akaamua kulizima taratibu jina la Young Killer na kujiita Msodoki.

Tukija kwa msanii kutoka Manzese Music Baby (MMB), Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ jina lake hilo lilikuwa miongoni mwa madogo waliokuwa wakisumbua kwenye gemu la Hip Hop Bongo. Baada ya kuona umri naye umeanza kusogea taratibu alianza kuchenji jina na kutambulika kama Janjaro.
Image result for dogo janja
Janjaro ni mmoja kati ya wanamuziki naweza kusema ameweza kukaa kwenye gemu la Muziki wa Hip Hop Bongo tangu mdogo. Ukisikiliza Ngoma ya Anajua aliotoka nayo kimuziki akimshirikisha Tunda Man kisha Nisikilize akiwa na Madee halafu  ukaja ukalinganisha na ngoma zake za miaka ya hivi karibuni kama vile My Life, Kidebe, Ukivaaje Unapendeza na Ngarenaro utaelewa namaanisha nini.

Kwa sasa Janjaro ameachia kichupa kipya kinachoitwa Banana ambapo ukikiona na kusikiliza staili aliyoitumia katika kufikisha ujumbe utagundua ‘dogo’ kakua. Haya hapa mahojiano yake kwa ufupi juu ya ngoma hiyo;

Star Showbiz: Kwanza hongera kwa kazi yako, kwa nini umeamua kuitambulisha nje ya nchi kabla ya nyumbani?

Janjaro: Asante, kwanza nilikuwa nataka kufanya kitu cha kitofauti.

Star Showbiz: Unavyoona imeleta matokeo unayoyataka?

Janjaro: Imekuwa kubwa kwa sababu imepitia vituo vikubwa vya muziki kama Trace Afrika na Trace Muziki.

Star Showbiz: Umekaa peke yako kwenye wimbo, hukutaka kuwa wa kitofauti?

Janjaro: Hapana kwa sababu nimemwimbia mke wangu.

Star Showbiz: Video yake umeifanya wapi labda?

Janjaro: Kichupa kimesimamiwa na Travellah wa Kwetu Studio na nimekifanyia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.

Star Showbiz: Kipya kipi mashabiki wako watarajie kwenye nyimbo zako?

Janjaro: Kikubwa nimebadilika, naimba staili tofauti kabisa zikiwa na mchanganyiko wa ragga f’lan na hata kwenye ngoma yangu hii ya Banana utaona utofauti.

Star Showbiz: Wimbo uliopita wa Mbayumbayu, mkeo (Uwoya) alishiriki kwa asilimia kubwa ikiwemo kukupamba na kukupa ‘dela’ lakini huu inaonekana kama hakuna sapoti kihivyo, tatizo nini?

Janjaro: Amesapoti na huwa anasapoti sana si ni mke wangu.

Star Showbiz: Labda tutegemee sapraiz ya kitu gani baada ya kuachia ngoma hii ya Banana?

Janjaro: Yeah! Kwa sasa natarajia kufanya World Tour yaani kutembelea nchi mbalimbali.

Star Showbiz: Msanii gani ungependa kufanya naye kazi ambaye hukuwahi kufanya naye?

Janjaro: Bongo bado sijajua wote wa kawaida ila kwa nje wapo wengi kama vile kina Elton John.

Star Showbiz: Mastaa wengi wanapofunga ndoa muziki kwao huwaendea kombo kwako imekaaje?

Janjaro: Kwangu ndoa imefanya muziki wangu kuwa muruaa, nina ndoa na muziki kama kawa ngoma zinatiririka tu!
Chanzo: Global Publishers

Brazil Yafanikiwa Kutinga Robo Fainali Kombe la Dunia

$
0
0
Brazil Yafanikiwa Kutinga Robo Fainali Kombe la Dunia
Timu ya Taifa ya Brazil imefanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Dunia 2018 kwa kuitandika Mexico goli 2-0 .

Magoli ya Brazil yamefungwa na Neymar Jr kunako dakika ya 51 na kiungo mshambuliaji wa Liverpool, Roberto Firmino dakika ya 88.

Brazil itakutana na mshindi wa usiku kati ya Ubelgiji na Japan kwenye hatua ya robo fainali ya michuano hiyo mikubwa zaidi duniani.

Baada ya Kutumbuliwa Mwigulu Aongea Haya Kuhusiana na Kifo cha Maji Marefu

$
0
0
Baada ya Kutumbuliwa Mwigulu Aongea Haya Kuhusiana na Kifo cha Maji Marefu
Kufuatia kifo cha Mbunge wa Korogwe vijijini (CCM), Stephen Ngonyani almaarufu kama Profesa Maji Marefu kilichotokea usiku wa jana, kimemuibua aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Mwigulu Nchemba.

Mwigulu ambaye amevuliwa uwaziri na Rais Magufuli wikiendi iliyopita amesema kuwa CCM imepata pigo kwa kumpoteza kada na kiongozi wa kweli.

“Maandiko matakatifu yanasema, Mwanadamu aliyezaliwa na Mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, Tumempoteza kaka,ndugu na rafiki Comrade Stephen Hilary Ngonyani (Prof.MajiMarefu), tumempoteza Kiongozi na kada kweli kweli wa Chama Cha Mapinduzi.“ameandika Mwigulu Nchemba kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Profesa Maji Marefu ameaga dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Soma zaidi taarifa ya kifo chake HAPA.

Maiti Yakutwa Ikipumua Mochwari

$
0
0
Maiti Yakutwa Ikipumua Mochwari
Mwanamke mmoja nchini Afrika Kusini aliyedaiwa kupoteza maisha zaidi ya siku sita amegundulika kuwa hai, baada ya kuhisiwa anapumua ndani ya Jokofu kwenye chumba cha kuifadhi maiti.

Mkuu wa kitengo cha upasuaji wa hospitali hiyo Gerrit Bradrick amethibitsha kutokea kwa tukio hilo ambapo, mwanamke huyo alipelekwa hospitalini hapo akiwa ameshapoteza uhai baada ya kupata ajali ya gari, lakini cha kushangaza alikutwa akiwa anapumua katika chumba cha kuhifadhia maiti.

“ Mwanamke huyo ambaye hatujamtambua kwa jina lake maana aliletwa na gari la wagonjwa (ambulance) na ilioneonekana kashapoteza maisha lakini, hiyo jana mlinzi wa chumba cha kuifadhi maiti wakati akitekeleza majukumu yake ya alipita kuangalia mwili wa mwanamke huyo katika jokofu na kukuta akipumua”, amesema Dkt. Gerrit Bradrick.

Aidha Dkt. Bradrick hiyo kuwa tukio kama hilo halijawahi tokea, maana kuna tetesi zikidai kwamba wafanyakazi wake walifanya vipimo ambavyo siyo sahihi, na hawana mafunzo ya kutosha jambo ambalo halina ukweli wowote.

Mbowe na Viongozi 8 wa CHADEMA wamemkataa Hakimu

$
0
0
Mbowe na Viongozi 8 wa CHADEMA wamemkataa Hakimu
Vigogo tisa wa Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe wamewasilisha ombi la kutaka Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Wilbard Mashauri kujitoa kusikiliza shauri lao.

Kufuatia ombi hilo, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Julai 5, 2018 kutoa uamuzi katika kesi inayowakabili viongozi hao.

Uamuzi huo wa mahakama umetolewa jana Jumatatu Julai 2, 2018 na Mashauri baada ya  washtakiwa hao  kueleza sababu ya kutokuwa na imani nae.

“Baada ya kusikiliza sababu za washtakiwa walizotoa hapa mahakamani za kumtaka hakimu anayeendesha shauri hili kujitoa, Julai 5 mahakama hii itatoa uamuzi kama hakimu huyo ajiondoe kuendesha shauri hilo au asijiondoe” alisema hakimu Mashauri.

Wakili wa utetezi, Peter Kibatala alisema wateja wake wamemueleza kuwa hawana imani na hakimu Mashauri anayeendesha kesi hiyo na wanaomba ujitoe kusikiliza shauri hilo, hivyo wanaomba nafasi ili waweze kueleza sababu za kutokuwa na imani nae.

Aliyeanza kueleza sababu za kutokuwa na imani na hakimu huyo ni Mbowe ambaye alidai kuwa ana sababu kumi.

Baada ya kupitia hoja za pande zote ambazo pia zilitolewa na washtakiwa wengine, Hakimu Mashauri aliahirisha kesi hiyo hadi Julai 5, 2018  atakapotoa uamuzi.

Washtakiwa katika Kesi hiyo  ni Mbowe, naibu makatibu wakuu, Salum Mwalimu (Zanzibar) na John Mnyika (Bara); mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche; mbunge wa Kawe, Halima Mdee; mbunge wa Bunda, Esther Bulaya.

Wengine ni Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk Vicent Mashinji;  mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa na mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko.

Washtakiwa kwa pamoja  wanakabiiwa na mashtaka 13.

Kumbe Peni Ndiye Aliyemfundisha Daimond Kingereza na Si Wema Mwalimu wa Daimond Afunguka Haya

$
0
0
Kumbe Peni Ndiye Aliyemfundisha Daimond Kingereza  na Si Wema Mwalimu wa Daimond Afunguka Haya
Mwalimu ambaye alimfundisha staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz lugha ya Kiingereza na paka sasa amekuwa akiitumia kugha hiyo bila kusita hususani pale anapokwenda kwenye kazi zake za muziki katika Mataifa mbalimbali.


Kwa mujibu wa Mwalimu Allen anadai kwamba alikutana na Diamond kwa kupitia Penny kipindi ambacho wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi.

Endelea kufuatilia Interview hii mwanzo hadi mwisho uweze kujua chimbuko hasa la Diamond kujua lugha ya kiingereza.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Casto Awatolea Povu Wanaomtukana Mtandaoni Kuhusu Mwanaye "Nikiposti Picha ya Mwanangu Nikaandika Get Well Soon Aisaidii Lolote"

$
0
0
Casto Awatolea Povu Wanaomtukana Mtandaoni Kuhusu Mwanaye "Nikiposti Picha ya Mwanangu Nikaandika Get Well Soon Aisaidii Lolote"
Baada ya Instagram kuchafuka na Casto Dickson kupewa lawama kuhusu mtoto wake Kuumwa, na yeye kuonekana anaposti picha akiwa anakula bata na  mpenzi wake Tunda bila kupost mwanaye na kuonyesha isia zake juu ya mwanaye

Casto afunguka kinachoendelea kati yake na Muna Love kuhusu issue hiyo wakati akifanyiwa interview na clouds.

"Najua watu wengi wameshtuka kuona napost show inayofanyika jumapili  huku mwanangu anaumwa imeniuma ila mimi sijui lolote kuhusu hali ya mtoto kwakuwa mimi nimepata taarifa kutoka kwa bibi yake kuwa mtoto anaumwa tena washampeleka Nairobi simlaumu ila nimempigia Muna mara Tatu ajanipokelea" Casto.

"Nimetukanwa sana instagram pia najua kuna watu wengi wamenichukia kuhusiana na hali ya mwanangu ila hata nikiposti picha ya mwanangu nikaandika get well soon aisaidii lolote nimekaa kimya real love ipo moyoni mwangu na mimi ndio ninayejua mapenzi ya mwanangu ila nimechukia sana kwakuwa m9imi siwezi kupata taarifa za mwanangu kupitia instagram" alisema.

Kasto amesema mwanaye anasumbuliwa na maumivu makali ya kichwa na kuwataka watanzania wasimuone kuwa yeye si baba bora kwakuwa bado anamapenzi mwanaye ila taarifa za mwanaye zinachelewa kumfikia kutokana na mahusiano mabaya aliyonayo kati ya yeye na mzazi mwenzake.

TFF Yadaiwa Zaidi ya Milioni 50 na Kampuni ya Ulinzi

$
0
0
TFF Yadaiwa Zaidi ya Milioni 50 na Kampuni ya Ulinzi
Imeripotiwa kuwa Kampuni ya Ulinzi inayojulikana kwa jina la Kiwango Security imewaondoa wafanyakazi wake wote katika Ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa madai ya kuwa haijalipwa fedha zake.

Kampuni hiyo imefikia hatua ya kufanya maamuzi hayo kutokana na walinzi wake kuzidi kufanya kazi katika ofisi ambazo haziwalipi chochote, jambo ambalo kampuni imeeleza ni kama wanateseka bure.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Uendeshaji wa Kampuni hiyo, Sunday Marwa, amefunguka na kusema wanaidai TFF kiasi cha fedha zaidi ya milioni 50 za kitanzania ambazo zinapaswa kulipwa ili huduma ya walinzi kufanya kazi iendelee.

Marwa amesema wameamua kufanya hivyo kwa maana deni lingekuwa kubwa na hivyo imewabidi wafanye hivyo ili lisizidi kuongezeka.

Mbali na ofisi hizo, Marwa amesema Kiwango Security iliingia mikataba miwili na TFF ambapo walinzi walikuwa wanazilinda ofisi za TFF pamoja na kwenye makazi ya Rais wa Shirikisho hilo Wallace Karia.

Kiongozi huyo ameeleza walinzi wameondolewa sehemu zote mpaka kwa Rais Karia akisema kuwa wao ni binadamu pia na hawawezi kuendelea kufanya kazi kama mashine bila kulipwa.

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA
Viewing all 104799 articles
Browse latest View live




Latest Images