Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Daimond Ampa Urithi Mama Yake "Endapo Nikifa Kesho Nusu ya Mali Yangu Apewe Mama Yangu"

$
0
0
Daimond Ampa Urithi Mama Yake "Endapo Nikifa Kesho Nusu ya Mali Yangu Apewe Mama Yangu"
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz leo Julai 7, 2018 amesema kuwa endapo itatokea kesho akaaga dunia basi nusu ya mali zake zitachukuliwa na mama yake mzazi.


Akitoa ujumbe huo wa kum-wish mama yake siku ya kuzaliwa kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond amesema mama yake amepitia magumu mengi sana ikiwemo manyanyaso wakati akimlea hivyo hakuna mtu wa kumlinganisha na mama yake.

“Nasikitikaga sana Wanapojaribu Kulinganisha Thamani yako kwangu na Mtu yoyote…Na kusahau kuwa pasipo wewe kunizaa na Kunilea kwa shida na tabu leo hii hakuna yoyote ambae angeniona wamaana….. Ikiwa wewe ndio Ulonifanya mie nikawa Duniani Basi you will always be My First priority then the rest will follow…Dharau na Manyanyaso Ulopitia kwenye kunilea Hakuna anayejua, Tabu na shida Ulizopitia kufanya hadi leo walau nionekane mtu mbele za watu.. eti mtu kirahisi tu anatokea na kukuringanisha na mtu… Mama MADALE is your House!!! na ikitokea kesho nimekufa pia NUSU ya Mali zangu zote ni zako.“ameandika Diamond Platnumz.

Nakusisitiza kuwa anapambana kwa ajili yake ili kumfanya awe na furaha katika muda wake wa maisha uliosalia “Mwanao Napambana Usiku na Mchana Kwanza kwajili yako, Walau Ujifariji kwa Magumu Ulopitia kwa kunilea kwangu, i want you to Enjoy the life as Much as You can, Maana sina cha kukulipa zaidi ya Hicho..HAPPY BIRTHDAY MAMA I LOVE YOU SANA,“.


Leo Julai 7, 2018 Mama yake na Diamond Platnumz, Sandra anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.

Hii Hapa Ratiba ya Kumuaga Mtoto Patrick

$
0
0
Ratiba ya kuaga na maziko ya mwili wa mtoto Patrick wa muigizaji  Rose Alphonce ‘Muna Love’ na Patrick Peter Zacharia imetolewa.  Mwili wake utaagwa leo katika viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam na kuzikwa jioni katika makaburi ya Kinondoni.


Ratiba hiyo ni ifuatayo:

Jumamosi, Julai, 7, 2018.



Saa 2 Asubuhi, kuchukua mwili Aga Khan Hospital.



Saa 3 Asubuhi, familia kuaga mwili nyumbani Mwananyamala.



Saa 5 Asubuhi, Misa ya Kuaga Mwili, Viwanja vya Leaders.



Saa 9 Mchana, Ibada ya Maziko Makaburi ya Kinondoni

Download Hapa Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kushuhudia Vimbwanga Mtaani na Stori za Mapenzi

Hii ni Habari Njema Kwa Wale Wote Waliohangaika na Matatizo ya Magonjwa Sugu Yaliyokosa Tiba

$
0
0

"HII NI HABARI NJEMA KWA WALE WOTE WALIOHANGAIKA NA MATATIZO YA MAGONJWA SUGU NA YALIYOKOSA TIBA" sasa usikate tamaa tiba imepatikanika kwa DK. ABDALA MUSSA anatibu matatizo kama yafuatayo:

Nguvu za kiume, uzazi, kisukari, tezi dume, vidoda vya tumbo, mgongo kuuma, miguu kuwaka moto na mataizo uliyonayo

1/ITAGULA- ni dawa ya mkosi kuosha nyota, kumvuta mpenzi, mke, mume, kuua kesi na kupata kazi haraka kama umeomba maombi serikalini au kampuni binafisi unaitwa ndani ya siku mbili 2/

NINJIWE- ni dawa inayomaliza matatizo ya wanaume heshima ndani ya ndoa, kuwa na nguvu za kiume milele na kukomaza mbegu na kuwa na uwezo kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila kuchoka kama umezaraulika na kufanya tendo na kusinyaa uume dawa ipo dozi yake siku sita vidoge 12 pia kuna na unga inayokomaza uume ndani ya siku 7 unapona kabisa.

3/MPALALA- ni dawa ya kutibu busha miguu kuwaka moto, kiuno, kisukari.

4/NGEKEWA- ni dawa ya kuvuta wateja kwenye biashara yoyote kuwa na wateja wengi katika biashara na kuzuia chuma ulete. 4/LINGWATA- ni dawa ya punguza unene, mafuta tumbo, matiti, miguu, hipsi na kutengeneza shepu dawa hii ni ya unga ukitumia utaona mabadiliko baada ya siku 3. 5/DUBISHO- ni dawa zindiko la mwili, majumba, gari, biashara, mteja wangu huduma utaipata mahali popote ulipo kuna wanasaplai mahali ulipo kama huna muda wa kufika osifini mkoa wa dar-es-salaam, iringa, kanda ya ziwa wilaya ya bunda. angalizo kwa wateja usitume sms wala kubipu huduma yangu ni kuanzia saa 12 asubui hadi saa 12 jioni kwa wateja wa dar-es-salaam ofisi ipo buguruni na mbagala zakhem na kwa wale walio nje ya mkoa dawa hizi mtazipata kwa njia za mabasi. punguzo la bei kwa wateja 5 wa kisukari na nguvu za kiume KWA MAWASILIANAO ZAIDI WASILIANA NA DK. ABDALA MUSSA KWA SIM NAMBA 0767-171773/ 0716-608959 WOTE MNAKARIBISHWA:

Kumbukumbu ya Mauaji Mabaya Yaliyowahi Kutokea Duniani

$
0
0
Kumbukumbu ya miaka 50 tangu yatokee mauaji makubwa ya yanayofahamika kama My Lai yaliyotokea eneo la Son My nchini Vietnam.

Mnamo March 16, 1968 wanajeshi wa Marekani waliwaua watu 504 ambao walikuwa raia wa Vietnam na tukio hili lilitokea na kutambulika kama tukio la kutisha zaidi ambalo lilitokea wakati wa Vita ya Wavietnam.

Waliuawa wanawake, wanaume na watoto, huku idadi kubwa ya wanawake wakibakwa na kutendewa vitendo vya kikatili.

On March 16, 1968, Capt. Ernest Medina led his infantry company in an assault on the village of Son My, along the central coast of South Vietnam, as part of a mission to find and destroy a battalion of the National Liberation Front, also known as the Vietcong. One of the hamlets within the village was called My Lai.

Operating under the assumption that villagers of My Lai would be away at the market, Captain Medina planned an aggressive sweep through the area, ordering his men to destroy everything and to kill anyone who resisted. By the end of the day American forces had killed 347 to 504 unarmed Vietnamese women, children and old men, and raped 20 women and girls, some as young as 10 years old.

The massacre at My Lai was not the only time American troops committed war crimes against Vietnamese civilians, but it was the single worst instance; its severity, its cover-up and the eventual trial of just a handful of the unit’s leaders became a synonym for the entire American war in Vietnam. But while even today the massacre is often portrayed as having been perpetrated by a unit of misfits, the cause was a failure in leadership, from the commander of Captain Medina’s division, Maj. Gen. Samuel W. Koster, to the platoon leader most closely associated with the killings, Second Lt. William Calley.

The disaster at My Lai began even before Captain Medina’s company arrived the morning of March 16. The unit — Charlie Company, First Battalion, 20th Infantry Regiment — had arrived in Vietnam in 1967. While still in Hawaii, it received high marks for preparedness and training.

But the unit had been hastily thrown together, and many of its experienced officers and noncommissioned officers, who had already served in-country, had to be transferred out of the unit as it prepared to deploy because Army regulations prevented them from returning to combat so quickly.

Statistically, Charlie Company was slightly above average among the infantry companies serving in Southeast Asia during the war. Eighty-seven percent of the remaining noncommissioned officers had graduated from high school, a rate 20 percent higher than the average for line infantry companies. Seventy percent of the men in lower enlisted ranks had graduated from high school, also slightly above the average for soldiers serving in Vietnam.

The unit was mixed demographically, with half of its troops being African-American, and the men came from geographically diverse hometowns. Other than the inexperienced men in key leadership roles, and the company’s experiences in the months before My Lai, there is little to explain why this particular group of soldiers committed the most horrific set of war crimes by American troops during the entire conflict.

Soon after its deployment in Vietnam, Charlie Company began to take heavy casualties from booby traps and snipers. Lieutenant Calley grew to hate and fear the local Vietnamese after losing his radio telephone operator, William Weber, to a sniper’s bullet while carelessly leading his men along the top of a dike between rice paddies to keep them out of the water. After that, all Vietnamese became synonymous with Vietcong guerrillas for Lieutenant Calley, and soon the rest of the company adopted his harsh attitudes.

Captain Medina and his officers tolerated Charlie Company’s abuse of Vietnamese civilians in the weeks before the massacre. After Pfc. Herbert Carter knocked an unarmed farmer into a well, Lieutenant Calley shot the defenseless man. Captain Medina allowed his troops to use prisoners as human mine detectors and personally beat captives during interrogations.

Rape became such an endemic problem in Charlie Company that one member of its Second Platoon, Michael Bernhardt, assumed that every woman Lieutenant Calley’s platoon came across would be raped within moments. After a booby trap killed Sgt. George Cox, surviving soldiers stole a radio from a local woman and kicked her to death when she protested.

Sergeant Cox’s death set the stage for the My Lai massacre. On March 15, the company held a memorial service at which Captain Medina reminded the company of their casualties. The company had lost half of its strength in just two months. Lieutenant Calley’s First Platoon was down to 27 of its original 45 men.

Captain Medina argued that Charlie Company could not afford more casualties, so they needed to pull together and be aggressive in their pursuit of the enemy. Soon after the funeral Captain Medina briefed the company about its next mission: an assault into My Lai to destroy the remnants of one of the Vietcong’s most lethal units,the 48th Local Force Battalion.

The briefing for the assault on My Lai led many of Captain Medina’s subordinates to believe that their mission was to kill everyone in the hamlet, to shoot the livestock, to destroy the wells and to level the buildings, because everyone living in My Lai was either a member of the Vietcong or a Vietcong sympathizer.

Captain Medina told his troops that this was their chance to avenge their fallen comrades. One private, Dennis Bunning, later claimed that Captain Medina ordered them to kill everyone; their intelligence briefing claimed that all My Lai’s women and children would be at the market that morning. Another, James Bergthold, summed up the general response to the briefing: “Although Captain Medina didn’t say to kill everyone in the village, I heard guys talking and they were of the opinion that everyone in the village was to be killed.”
The massacre began as an ordinary search-and-destroy mission preceded by an artillery barrage aimed at the rice paddies northwest of the village. The 105-millimeter shells were supposed to land 400 meters away from My Lai, but some of the rounds fell near houses. The artillery was intended to harass Vietcong; but there were no Vietcong in My Lai, not any more at least, so it merely damaged houses and dikes and forced residents to hide in bunkers.

Lieutenant Calley’s platoon, and part of second platoon, led by Second Lt. Stephen Brooks, landed at My Lai with the first wave of helicopters and secured the landing zone. While they did not receive any enemy fire, the constant stream of machine gun and rocket fire that helicopter gunships sprayed at the nearest huts gave them the impression that they were under attack. Lieutenant Calley and Lieutenant Brooks led their men into the village after a second wave of helicopters brought the rest of the company.

Moving into My Lai the platoons broke up into smaller groups of soldiers that their officers could not observe. Two privates, Dennis Conti and Paul Meadlo, kept the people they encountered under guard until an officer could evaluate them. When Lieutenant Calley found them, he ordered Private Conti and Private Meadlo to “take care of them” and left.

Under pressure from Captain Medina to quickly move his men through My Lai, Lieutenant Calley returned a few minutes later, and asked why they had not taken care of the villagers. Private Meadlo responded that they were following his orders, and Lieutenant Calley responded that he wanted the villagers killed. Pushing the soldiers into a firing line, Lieutenant Calley ordered them to shoot the villagers.

Private Meadlo obeyed Lieutenant Calley while Private Conti watched the tree line for danger. After firing three magazines of ammunition, Private Meadlo broke down in tears, telling Private Conti: “If they are going to be killed, I’m not doing it. Let him do it.”

Continuing into My Lai, Lieutenant Calley, along with Private Conti, Private Meadlo and Specialist Ronald Grzesik, arrived at a drainage ditch where other members of the company guarded 50 more villagers, including women, small children and a Buddhist monk. When the monk could not tell Lieutenant Calley where the Vietcong had gone, he pushed him into the ditch and shot him. After additional soldiers brought more Vietnamese to the ditch, Lieutenant Calley ordered his men to shoot them.

The massacre finally ended when a flight crew led by Warrant Officer Hugh Thompson intervened. Angered by the murders he observed from his scout helicopter, he landed when he saw soldiers moving toward a group of villagers hiding in a bunker. As he left the helicopter, Mr. Thompson told the door gunner, Lawrence Colburn, to cover him, and to fire on Charlie Company if they begin killing the Vietnamese at the bunker.

After confronting Lieutenant Calley, who told him that it was none of his business, Mr. Thompson persuaded the pilots of other helicopters overhead to land and evacuate the civilians. His radio calls eventually caught the attention of Lt. Col. Frank Barker, who ordered Captain Medina to stop the killing.

Epuka Kuvaa Chupi, Faida za Kutokuvaa Chupi Zipo Nyingi Sana na Pia Muhimu.

$
0
0
Leo naomba nikukumbushe somo la Afya ya uzazi. Somo hili litafafanua faida na hasara au madhara yatokanayo na uvaaji wa nguo za ndani hasa Chupi. Uvaaji wa chupi kihistoria ulianza karne ya 19 baada ya uvumbuzi wa viwanda na mapinduzi yake yaliyoambatana na mapinduzi ya teknolojia.

Enzi za mama zetu na babu zetu uvaaji wa chupi haukuwepo hapa Tanzania. Uvaaji wa chupi uliletwa na wamisionari na wakoloni wakati wanaleta dini Africa. Kabla ya hapo waafrica hatukuwa na utamaduni wa KUVAA chupi.

Mtoto akizaliwa hakuvalishwa chupi kamwe kama ilivyo Leo. Mwanamke pia enzi hizo alikuwa havai chupi. Mwanaume naye pia alikuwa havai chupi? Watu wote walikuwa hawavai chupi. Mwanamke alikuwa hachuchumai chini pindi akijisaidia kutokana na kwamba hawakuwa wanavaa chupi hivyo wakitaka kujisaidia haja ndogo walikuwa wanasimama tu na kupanua miguu na kuanza kukojoa.

Nyakati za leo ambapo uvaaji chupi kwa wanaume na wanawake uko juu sana kuanzia watu tunapokuwa watoto wadogo hali ya Afya ya viungo vya uzazi imeendelea kuwa mbaya sana. Yafuatayo ni baadhi ya madhara ya kuvaa chupi :

1. Magonjwa ya "Urinary tract infection" au UTI hayataisha kwako.

Hii hasa ni kwa wanawake wanavaa nguo nyingi kwa wakati mmoja na kwa muda mrefu zaidi ya saa kumi. Unavaa chupi, lakini tight, suruali ya jinzi, nk halafu unashinda na hizo nguo kuanzia asubuhi unapoenda kazini hadi saa mbili usiku unaporudi home. Hiyo ni hatari sana.

Mwanamke anayefanya kazi zinazompasa kuwepo kazini zaidi ya masaa 8 namshauri asiwe anavaa chupi kabisa. Chupi ivaliwe nyakati za hedhi tu. Kama hauko kwenye siku zako vaa suruali tu bila chupi. Au vaa underskirt pekee yake kwa ndani na ndoo uvae nguo yako ya kawaida. Hii itakuepusha na kuugua UTI. Ukiacha sababu za ngono UTI husababishwa na bacteria wanaopendelea mahali penye unyevu na joto. Kwa hiyo mwanamke akivaa nguo nyingi bacteria hao hujipatia joto la kutosha kuzaana.
Mwanamke ni vyema ukaepuka kuvaa nguo za kubana mwili sana ili kuepukana na uwezekano wa kupafanya ukeni pawe na joto sana na ikitokea bacteria mmoja tu akaingia humo atazaa haraka sana na kujikuta UTI inakuwa rafiki yako. Vaa sketi bila chupi au kama kuvaa suruali ni lazima hakikisha unavaa suruali peke yake. Jizoeze tu utazoea. Na ukizoea kuvaa nguo bila chupi utainjoi sana.

2. Magonjwa ya kuvu au fungus hayatakoma kwako.

Bado niko kwa wanawake, kama nilivyoeleza mwanzo hapo magonjwa ya fungus yanasababishwa pia na kuvaa chupi kwa muda mrefu. Chupi inayovaliwa kwa zaidi ya saa 8 lazima italeta ukungu au uvundo sehemu nyeti. Huo uvundo waweza kuleta fungus ukeni. Fungus za ukeni hazina tofauti na zile za miguuni kwa wanaume wanaovaa viatu kwa muda mrefu bila usafi miguuni wa kutosha.

Chupi inakuwa kama socks za wanaume. Mwanamke avaae chupi muda mrefu bila kuruhusu upepo upite ndani ni watapata fungus ukeni sawa na mwanaume anayevaa socksi zisizofaa kiafya. Chupi au socks zinazofaa ni zile za pamba au cotton.

Of course sababu za kupata ugonjwa wa fungus kwa mwanamke siyo tu kuvaa chupi inayobanaaaa kwa muda mrefu ni pamoja na kutawadha kwa kutumia maji.

Wanawake wengi hawajui kutawadha kwa kutumia maji. Wengi wamalizapo kujitawadha haja kubwa ndipo hurudi kujisafisha ukeni. Hii ni hatari sana kwani bacteria watokanao na kinyesi unawahamisha kutoka nyuma na kuwaleta mbele.

Mwanamke unapaswa kutawadha kwanza mbele kisha umalizie nyuma.

Yaani hakikisha kuwa uchafu wa nyuma unaoweza kuwa umebakia kwenye vidole vyako usiuingize ukeni kwa namna yoyote. Tawadha pande zote lakini uhakikishe kuwa haviingiliani mbele na nyuma. Sawa dada yangu? Uko poa hapo?

Kikubwa hapa ni usafi wa mbele na nyuma. Usafi wa chupi zetu. Uvaaji chupi wetu.

Kwa mfano uwapo safarini tena safari ndefu ya zaidi ya saa 8 ni vyema ukasafiri bila kuvaa chupi isipokuwa tu kama uko kwenye siku zile za adabu. Hata kama uko kwenye siku za adabu ni vyema ukasafiri bila kuvaa manguo mengi sana yanayobana mwili. Vaa chupi na sketi au suruali isiyoubana sana mwili wako.


3. Chupi husababisha ugumba kwa wanaume.

Sababu nyingi za ugumba tunaweza ukizipata kutoka kwa madaktari wetu wa hospitali zetu. Lakini ukija kwangu mimi Daktari wa magonjwa ya tabia (Lifestyle Based Diseases Doctor) nitakuongezea sababu nyingine ya ugumba wa wanaume kuwa ni kuvaa chupi zinazobana sana.

Mwanaume shujaa havai chupi. Anavaa kaptura badala ya chupi. Tena havai kaptura inayobana sana. Anavaa isiyobana viungo muhimu kwa uzalishaji wa watoto. Mbegu za kiume huzalishwa kwa wingi wakati wa baridi. Kuvaa chupi inayobana kwa muda mrefu husababisha pumbu kuchemka sana na kushindwa kuzalisha mbegu nyingi. Mwanaume mwenye mbegu chache hushindwa kutungisha mimba kwani mbegu zake zinakwenda ukeni kwa uchache na kushindwa kuogelea ukeni.


4. Chupi husababisha miwasho sana kwenye mapaja ya mwanaume na mwanamke.

Epuka kuvaa chupi zinazobana ili kuepukana na miwasho.

5. Chupi husababisha michubuko ya mapaja.

Ukivaa chupi kwa muda mrefu utajikuta umepata michubuko mapajani karibu na uume au uke .

6. Uvaaji chupi usiku huchelewesha tendo la ndoa.

Mwanaume anapohitaji vitu adimu usiku wakatimwingine anapaswa kujichotea tu kirahisi kwani ni mke wake halali lakini akikutana na chupi inakuwa kikwazo. Mwanamke usilale na chupi usiku. Unaogopa nini? Hakuna majambazi wala moto. Nani alikwambia ulale na chupi eti unajihami na ajali za moto usiku.? Mbona tangu umelala na chupi usiku hakuna ajali ya moto iliyokwishatokea.

Acheni kuvaa chupi enyi wanawake ili ikitokea waume zenu tunahitaji naniii usiku tujipatie kwa wepesi! Au Siyo?

Tangu niache kuvaa chupi sijawahi tena kuwashwa mapajani wala mke wangu hajawa na taarifa za fungus na UTI kama zamani alipokea hajalielewa somo hili. Na wewe pia nakushauri uache kuvaa chupi kuanzia leo Uwe na afya bora maeneo yote nyeti.

Ujue Msitu wa Ajabu Japan Ambapo Maelfu ya Watu Wamekufa Kimiujiza

$
0
0
Aokigahara au msitu wa kujiua au bahari ya miti ni msitu ambao una ukubwa wa 35 square- kilomita ambao uko karibu na milima ya fuji huko japan

msitu huu ni msitu ambao mbali ya kuwa ni kivutio kikubwa cha watalii ni msitu ambao unasemekana kuwa una mambo ya ajabu, kutisha na kuogofya

ni kawaida kabisa ukiwa ndani ya msitu wa Aokigahara ukisikia unaitwa jina lako na mtu asiyeonekana iwapo ukiwa ndani ya msitu huo.

pia inasemekana kuwa unaweza kumuona mtu kwa mbali kwenye miti ya msitu huo ukifuatilia huoni mtu kwa maana watu hao wanapotelea kwenye miti

Msitu huo unasemekana una mapepo ya kujapan kwani tokea uwepo wake ni maelfu ya watu wamekuwa wakikutwa wamekufa maeneo hayo haya kwa kujiua

ambapo kwa mwaka 2010 pekee watu 54 wamekutwa wamekufa ndani ya msitu huo

tafiti zaidi zinasema kuwa tokea mwaka 1988 walipoanza kufanya hesabu za watu wanaojiua msituni hapo ni watu 30 kila mwaka huenda msituni hapo na kujiua

In 2003, miili 105 ilikutwa msituni watu wakiwa wamejiua, ambapo iliizidi recodi ya watu 78 mwaka 2002

mwaka 2010, it was estimated that watu 200 walijaribu kujiua na kati ya hao 54 walifanikiwa kujiua

cha kushangaza sasa matukio ya kujiua yanaongezeka sana mwezi March mwisho wa fiscal year kwa japan

mwaka 2011 watu wengi waliojiua hapo ni walitumia njia ya kujinyonga na wengine drug overdose

siku za hivi karibuni serikali ya Japan imeamua kuficha namba ya watu wanaojiua lakini inasemekana mpaka mwaka huu kwa maana ya mwezi huu tayari kuna waliokwisha jiua msituni

Ukiwa unaingia Msituni utakuta kuna vibao ambavyo vinaelezea kuhusu msitu na onyo utakaopewa wewe mtalii

msitu wa Aokigahara imewekwa kwenye media ambapo mwandishi maarufu wa vitabu wa japan Seichō Matsumoto mwaka 1960 aliandika kitabu kiitwacho Kuroi Jukai (Black Sea of Trees). Bahari nyeusi ya miti

Holywood na wao hawako nyuma kwani mwaka huu kuna movie inatoka inaitwa the forest iliyoongozwa na mwongozaji maarufu wa filamu jason zada na imetayarishwa na David Goyer ambaye ni mtayarishaji maarufu wa filamu ikumbukwe ndiye aliyatayarisha movie za Blade, Batman Begins na Man Of Steel (superman based movie) the forest imechezwa na Natalie Bormer na Taylor Kinney movie imetoka january 8 mwaka huu

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI ,

PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Mbeya City Yatambulisha Jezi zao Mpya

$
0
0
Mbeya City Yatambulisha  Jezi zao Mpya
Kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania bara 2018/2019, klabu ya Mbeya City ya jijini Mbeya imezindua rasmi jezi zao mpya zitakazozitumikia katika michezo ya VPL na Kombe la FA msimu utakaoanza hivi karibuni.

Mbeya City imeweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya ligi kuu kutangaza au kuzindua jezi aina mbili tofauti kuelekea msimu ujao ambapo kutakuwa na jezi za nyumbani na ugenini zitakazotumika kwenye Ligi Kuu pekee na zitakuwepo nyingine zitakazotumika katika Kombe la FA pekee.

“Kila mwaka tunakuja na kitu kipya Mbeya City inakuwa timu ya kwanza nchini kuwa na jezi maalum ya Kombe la FA pamoja na sare za makocha na msemaji wa timu”, amesema  Fadhili Nsemwa.

Jezi za Mbeya City zimetengenezwa na kampuni ya vifaa vya michezo ya Sports Masters ambayo imekuwa ikiwadhamini kwa msimu wa pili sasa, meneja wa Sports Master Fadhili Nsemwa amethibitisha kuwa wamefanya hivyo ili kuboresha na kuleta mabadiliko.

Mo Dewji Akwamisha Mkataba wa Kocha Mpya

$
0
0
Mo Dewji Akwamisha Mkataba wa Kocha Mpya
BILIONEA wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ amedaiwa kuchelewesha mkataba wa kocha anayetajwa kuanza kuinoa timu hiyo kwa kuchukua mikoba ya Mfaransa, Pierre Lechantre.



Jumapili iliyopita, uongozi wa Simba unadaiwa kumshusha nchini, Patrick Aussems raia wa Ubelgiji kwa ajili ya kuwa kocha mkuu wa timu hiyo baada ya hivi karibuni Lechantre kufungashiwa virago vyake klabuni hapo.



Habari za kuaminika kutoka ndani ya Simba ambazo Championi Jumamosi limezipata zimedai kuwa Aussems angekuwa tayari ameishapewa mkataba wa kuinoa timu hiyo lakini zoezi hilo limekwama kutokana na kile kilichodaiwa Mo kuwa safarini.


Patrick Aussems raia wa Ubelgiji

Kutokana na hali hiyo, kocha huyo imemlazimu asubiri mpaka bilionea huyo atakaporejea nchini.

“Mpaka sasa Aussems hajapewa mkataba wowote kutokana na Mo kuwa safarini kwa hiyo hakuna ambacho kimefanyika mpaka sasa.



“Labda muda wowote kuanzia leo kama Mo atakuwa amesharudi nchini basi ndipo anaweza kupatiwa mkataba wa kuinoa timu yetu,’ kilisema chanzo hicho cha habari.



Walipotafutwa viongozi wa Simba ili waweze kulizungumzia hilo hakuna aliyekuwa tayari kusema chochote zaidi ya kudai kuwa hawana taarifa juu ya kocha huyo.



Hata hivyo, juzi Alhamisi gazeti hili lilifanya mazungumzo na kocha huyo ambaye tayari amefanikiwa kukiona uwanjani mara mbili kikosi cha Simba katika michuano ya Kombe la Kagame kikicheza dhidi ya APR pamoja na Singida United lakini hakutaka kuweka wazi mpango wake huo wa kutaka kujiunga na Simba.

Madereva Dar Watakiwa Kuzisalimisha Leseni Zao

$
0
0
KAIMU Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Liberatus Sabas amewataka madereva wote kupeleka leseni zao kwenye vituo vikubwa vya Polisi au Polisi Usalama Barabarani Kanda Maalumu kwa ajili ya ukaguzi.

Agizo hilo lilitolewa na kamanda huyo jana wakati akizindua operesheni ya ukaguzi wa magari, madereva, leseni na vyeti vya udereva katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi, Ubungo.

Sabas alisema lengo la operesheni hiyo ni kukagua leseni ili kubaini leseni za kughushi zilizopatikana kwa njia isiyo halali, kubaini vyeti vya udereva ambavyo ni halali ama vya kughushi, kubaini magari mabovu na yasiyofaa kuwepo barabarani kwa kuzingatia ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS).

Alisema katika operesheni hiyo waliyoifanya wapo madereva waliokutwa wana leseni feki, yapo magari ambayo yamekutwa hayana ubora wa kusafirisha abiria, jambo ambalo ni kinyume cha sheria za usalama barabarani.

“Wapo waliokutwa na matatizo ikiwemo kutokuwa na leseni, magari hayana ubora, ni muhimu wakaelewa operesheni hii itaendelea nchi nzima, ninavyozungumza hivi popote walipo madereva na magari yao wajue kwamba watakutana na operesheni hii Mwanza, iwe Kigoma, iwe Mtwara, iwe Lindi, iwe Ruvuma,” alisema.

Alisema matarajio yao baada ya operesheni hiyo ni kuwafanya madereva kuacha tabia ya kughushi leseni, kuwahimiza madereva wajiunge na mafunzo ya udereva katika vyuo vinavyotambulika na serikali.

Pia kujenga mahusiano mazuri kati ya Jeshi la Polisi, wamiliki, madereva na mawakala wa usafirishaji na wamiliki wapate elimu ya ukaguzi wa magari ambao bora ni ule unaozingatia ubora wa tairi.

Pamoja na kuwajengea utaratibu wa kukagua vifaa vyote vilivyo mbele ya gari, vinavyoongoza mfumo wa injini, mfumo wa breki, usukani na mfumo wa umeme na kuhakikisha madereva wote wenye leseni za kughushi au waliozipata kwa njia zisizo halali wanaacha kuendesha.

Sabas aliwataka madereva wasio na leseni halali, madereva walevi, wamiliki wa magari walio na magari mabovu, kutoyaruhusu magari hayo kuingia barabarani hadi yatakapotengenezwa na kukaguliwa.

Pia aliwataka wamiliki wote wa magari, madereva na watumiaji wengine wote wa barabara, kuchukua tahadhari za kiusalama kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni za usalama barabarani wakati wote ili kupambana na ajali zinazoweza kuzuilika.

“Jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua kali za kisheria kwa wamiliki, madereva na kampuni za usafirishaji zitakazokwenda kinyume na sheria, kanuni na taratibu za usalama barabarani,” alisema Sabas.

Mkuu wa Usalama Barabarani Mkoa wa Dar es Salaam, Marison Mwakyoma alisema kuwa operesheni hiyo imekuja baada ya kugundua kuwa baadhi ya madereva, wana leseni feki pamoja na ukosefu wa elimu kwa madereva ambapo wengi wao wanaogopa askari wa usalama barabarani badala ya kuogopa sheria.

“Tunataka watu waogope sheria wasiogope trafiki, asilimia kubwa ya madereva wanaogopa askari wa usalama barabarani na ndio maana akifika njiani anamuuliza mwenzake ‘huko vipi?’ akishamwambia kupo salama anapita anaendesha mwendo,” alisema Mwakyoma.

IGP Sirro Atoa Onyo Kali Wanaofanya Uhalifu Katika Bahari

$
0
0
IGP Sirro Atoa Onyo Kali Wanaofanya Uhalifu Katika  Bahari
Jeshi la Polisi nchini limetoa onyo kali kwa watu wanaofanya vitendo vya uhalifu katika bahari, maziwa na mito mikubwa hapa nchini kuacha mara moja kwa kuwa wamejipanga kuhakikisha wavuvi wana kuwa salama wakati wanapofanya shughuli zao.


Mkuu wa Jeshi la Polisi , IGP Simon Sirro akishuka kwenye chopa 'helicopter 'kufunga mafunzo ya Polisi wanamaji Mkoani Mwanza.

Kauli hiyo imetolewa na IGP Simon Sirro Jijini Mwanza wakati wa ufungaji wa mafunzo ya askari polisi wanamaji yaliyokuwa yakifanyika katika Chuo cha Polisi Wanamaji kilichopo Jijini humo.

Aidha IGP Sirro amewataka wazazi kuwakanya watoto wao kutojihusisha na vitendo vya uhalifu kwa kuwa serikali ya awamu ya tano haina mchezo na wahalifu.

IGP Sirro yupo ziarani Mikoa ya Kanda ya Ziwa kukagua utendaji kazi wa Polisi na kuzungumza na wananchi waishio katika visiwa ili kuimarisha usalama hususani kwa wavuvi.

Mke Akatwa Kiganja, Mume Akiporwa Fedha za Vicoba mil 4

$
0
0
Mke Akatwa Kiganja, Mume Akiporwa Fedha za Vicoba mil 4WAKAZI wa Kijiji cha Korotambe wilayani Tarime mkoani Mara, ambao ni mtu na mkewe wamejeruhiwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi, ambao pia wamewapora Sh milioni nne, walizokuwa wanatunza kwa ajili ya kikundi chao.

Joseph Makonyo (81) na mke wake, Robhi Makonyo (54), walikumbwa na mkasa huyo mjini hapa juzi baada ya kuvamiwa na majambazi hao majira ya saa moja usiku waliokuwa na silaha zikiwemo za jadi.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kijiji hicho cha Korotambe, Anthony Mwita, katika tukio hilo, Rhobi alikatwa kiganja cha mkono na majambazi hao. Alisema majambazi hao walivamia nyumba ya Makonyo na kumkuta akiwa na mkewe wakiwa jikoni, ambapo ghafla walianza kushambuliwa huku wakilazimishwa watoe fedha zote walizonazo za kikundi.

Mume ndiye aliyekuwa na fedha hizo. Mwita alisema majambazi hao walichukua fedha hizo, lakini tayari walikuwa wameshawajeruhi vibaya wanandoa hao, kwa kuwakata mapanga katika miili yao na Rhobi alikatwa kiganja chake cha mkono.

Alisema wawili hao walipiga kelele za kuomba msaada, ndipo wananchi walijitokeza, lakini tayari majambazi hao walishakimbia na fedha hizo.

Mwenyekiti huyo alieleza kuwa baada ya kuwasili eneo la tukio, Rhobi ambaye kiganja chake kilikuwa sakafuni, alikimbizwa katika Hospitali ya wilaya Tarime na mumewe na kupatiwa huduma za matibabu na baadaye walihamishiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando mkoani Mwanza baada ya hali zao kuwa mbaya.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime Rorya, Henry Mwaibambe alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa polisi inaendelea na uchnguzi, ikiwa ni pamoja na kuwasaka watuhumiwa.

Aliwaomba wananchi kutoa ushirikiano ili kuwakamata watuhumiwa hao waliohusika katika uhalifu huo wa unyang’anyi na kuwajeruhi vibaya wakazi hao.

Wamarekani Watatu Watiwa Mbaroni Uwanja wa Ndege Wakiwa na Madawa ya Kulevya Aina ya Heroin

$
0
0
Wamarekani Watatu Watiwa Mbaroni Uwanja wa Ndege Wakiwa na Madawa ya Kulevya Aina ya Heroin
Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imemkamata raia wa Marekani, Loniel Royford (63) kwa tuhuma za dawa za kulevya kilo 2.18 aina ya heroin.

Kamishna wa operesheni, Frederick Milanzi amesema Royford alifika Juni 29 akijitambulisha kama mtalii lakini alitiliwa shaka wakati anaondoka nchini Julai 4. “Tulimtilia shaka, mtalii amekuja na kukaa siku chache, yaani Juni 29 na akataka kuondoka Julai 4, tukampekua akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA),” alisema Milanzi.

Milanzi alisema licha ya mashine za X-Ray kukagua bila kuona dawa sehemu hizo mwilini na kwenye mizigo yake, polisi hawakumruhusu kuondoka.

“Hawa watu wanatumia mbinu za hali ya juu, baada ya kumkagua kwa kina tulibaini amefumua begi na kuweka kitambaa kingine maalumu ambacho si rahisi x-ray kubaini kama kuna dawa za kulevya,” alisema.

Alisema hata walipopekua mabegi yake na kutoa mizigo yote lakini hawakuona dawa na kwamba baada ya kufumua begi hilo, walikuta kilo 2.18 za dawa aina ya heroin.

“Tulizipeleka kwa mkemia mkuu wa Serikali na akathibitisha ni heroin,” alisema. Pamoja na huyu, raia wengine wawili wa Marekani, wenye asili ya India mtu na mkewe, walikamatwa Juni 28 wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kia) kwa tuhuma za kukutwa na kilo 8.9 za heroin.

Milanzi aliwataja raia hao kuwa ni Imtiaz Hussein Sheikh (53) na mke wake, Miranda Sheikh (61).

“Taarifa zilitoka hapa kwetu makao makuu lakini tulituma ofisa wetu ambaye alikwenda Kia na akashirikiana na polisi wa kule hadi kufanikisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao,” alisema.

Mchungaji wa Muna amtaka arudiane na mumewe

$
0
0
Mchungaji wa Muna amtaka arudiane na mumewe
Mchungaji wa Muna Love na marehemu mtoto wake Patrick amewasihi warudiane na mumewe wa ndoa kwani msiba wa mtoto wao ni fundisho tosha.



Mchungaji huyo pia amewapiga mkwara watu wa mitandaoni na vyombo vya habari vinavyorusha habari za kupotosha kuhusu mauti ya Patrick na kuwambia kuwa mtoto huyo alikuwa ni mtoto wa Mungu na  hakuna lolote baya kutoka kwa walimwengu bali amefariki kwa mipango yake.

Hayo yote yamesemwa leo katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam ambako shughuli za kuuaga mwili wa mtoto Patrick zimefanyika leo Julai 7, 2018.

Kutana na Dr Mabula Kukutibu Matatizo ya Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0

TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO :

Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?


MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja itakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio asirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu.

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo

MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona.

Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

Mchungaji wa Muna Love Amshauri Kurudiana na Mmewe Peter

$
0
0

Mchungaji wa Muna Love na marehemu mtoto wake Patrick amewasihi warudiane na mumewe wa ndoa kwani msiba wa mtoto wao ni fundisho tosha.

Mchungaji huyo pia amewapiga mkwara watu wa mitandaoni na vyombo vya habari vinavyorusha habari za kupotosha kuhusu mauti ya Patrick na kuwambia kuwa mtoto huyo alikuwa ni mtoto wa Mungu na hakuna lolote baya kutoka kwa walimwengu bali amefariki kwa mipango yake.

Hayo yote yamesemwa leo katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam ambako shughuli za kuuaga mwili wa mtoto Patrick zimefanyika leo Julai 7, 2018.

Uvumbuzi wa Chanjo ya Ukimwi waipa wanasayansi changamoto

$
0
0

Chanjo ya ugonjwa wa Ukimwi ambayo ina uwezo wa kuwalinda watu duniani kutokna na virusi hivyo imeonyesha matumaini. 

Tiba hiyo inayolenga kutoa kinga dhidi ya virusi kadhaa, ilitoa kinga ya Ukimwi katika majaribio yaliofanyiwa watu 339, kulingana na utafiti mmoja uliochapishwa katika jarida la Lancet. 

Pia iliwalinda tumbili dhidi ya virusi vinavyofanana na vya ugonjwa huo. 

Majaribio zaidi sasa yanafaa kufanywa kubaini iwapo kinga iliotolewa inaweza kuwalinda watu dhidi ya maambukizi ya HIV. 

Takriban watu milioni 37 duniani wanaishi na virusi vya Ukimwi na kuna takriban visa vipya milioni 1.8 kila mwaka. 

Lakini licha ya kupiga hatua dhidi ya Ukimwi, tiba yake na chanjo haijapatikana. 

Dawa kwa jina Prep ni nzuri katika kuzuia maambukizi ya ugonjwa huo lakini ikilinganishwa na chanjo inafaa kutumiwa mara kwa mara, hata kila siku ili kuzuia virusi hivyo kuzaana . 

Uvumbuzi wa chanjo yake umekuwa changamoto kubwa kwa wanasayansi , kwa sababu kuna aina nyingi za virusi vyake vinavyopatikana katika maeneo kadhaa ya dunia.

Mwenye Facebook na Instagram Ashika Namba Tatu Katika Matajiri Wakubwa Duniani

$
0
0
MAREKANI: Mwanzilishi wa Kampuni ya Facebook, Mark Zuckerberg atajwa kuwa mtu wa tatu kwa utajiri duniani

Zuckerberg ameshika nafasi hiyo iliyokuwa ikishikiliwa na Warren Buffett. Hatua hii ya Zuckerberg inaifanya sekta ya teknolojia kutengeneza matajiri watatu wakubwa duniani

Nafasi mbili za juu zinashikiliwa na mmiliki wa kampuni ya Amazon, Jeff Bezos pamoja na mmiliki wa kampuni ya Microsoft, Bill Gates

Tengeneza Shape na Kuimarisha Nguvu za Kiume kwa Kutumia Natural Beuty Products

$
0
0
Katika kusherehekea miaka 15 ya kampuni ya NATURAL BEAUTY PROD tunatoa shukrani za dhati sana kwa wateja wetu wote kwa kutuunga mkono miaka yote hiyo.
TUNATOA OFFA YA WIKI NZIMA KWA WATEJA WETU UKINUNUA BIDHAA UTAPATA PUNGUZO LA 20%. KWA WATEJA WA MIKOANI UTATUMIWA BURE.

Ni bidhaa salama kabisa zilizotengenezwa kwa mimea na matunda pia zina matokeo mazuri na kwa haraka zaidi.



1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @220,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @180,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @140,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @210,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @140,000/
7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/=
8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @150,000/=
9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @140,000/=
10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/=
11.YODI PILLS--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza (hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @160,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ili kuthibitisha ubora wa bidhaa zetu.
Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no÷

(+255) 659618585
au
0759029968
Follow us instagram-

@natural_beauty_prod
@natural_beauty_prod
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images