Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Masanja Amtetea Daimond "Mwanaume Kuvaa Kikuku Mguuni ni Fasheni sio Dhambi"

$
0
0
Masanja Amtetea Daimond "Mwanaume Kuvaa Kikuku Mguuni ni Fasheni sio Dhambi"
Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania, Masanja Mkandamizaji amedai kuwa kitendo cha mwanaume kuvaa cheni mguuni ( kikuku) hiyo sio dhambi katika Imani ya Kikristo bali ni fasheni tu.

Masanja amesema kuwa Kikuku ni cheni tu ya kawaida ambayo mtu anaweza akaamua kuvaa miguuni, mikononi, shingoni na hata sehemu nyingine yoyote ya mwili wake kuendana na fasheni anayoitaka na wala sio dhambi na hakuna sehemu iliyoandikwa kufanya hivyo ni dhambi.

“Kama mchungaji nasema mwanaume kuvaa kikuu mguuni sio dhambi, lakini nikawaambia kwenye maadili kuvaa kikuku unamaanisha nini? soo shinda ikiwepo kwenye maadili haina maana ni dhambi watu wanadhani kuwa vitu wasivyovipenda wao kuviona, vitu ambavyo sio maadili mazuri wanafikiri kuwa ni dhambi kuna tofauti sana juu ya hivyo vitu. Kwa hiyo narudia tena kusema mwanaume kuvaa kikuku katika Biblia sio dhambi.“amesema Mchungaji Masanja kwenye mahojiano yake na MASANJA TV huku akirejea kitabu cha Kumbu kumbu ya Torati 22:5 .

Hata hivyo,  Masanja amesema Cheni ni cheni tu na hakuna mtu wa kumpangia binadamu mwenzie sehemu ya kuvaa na hakuna cheni ya mwanamke zote ni cheni tu.

“Kikuku ni cheni tu, hakuna cheni ya kivulana wala cheni ya kike cheni ni cheni na ukiamua kuvaa mkononi au shingoni sio dhambi kufikiria vibaya mtu kuvaa cheni mguuni huo ni uchizi wa hali ya juu. Kwahiyo kama kuna mtu anaona kuvaa micheni miguuni ndio raha muacheni avae“.

Kwa upande mwingine Masanja amesema kuwa Mungu hajamuumba binadamu aokoke ili awe nyuma ya fasheni bali alimuumba aendane na fasheni pia na amediriki kusema kuwa hata yeye angekuwa vizuri kiuchumi angenunua cheni za dhahabu na kutupia shingoni.

Masanja ametoa kauli hiyo ikiwa ni mwezi mmoja sasa umepita tangu msanii wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz avae cheni mguuni wakati akiwa kwenye ziara yake ya kimuziki nchini Marekani jambo ambalo lilizua kwenye mitandao ya kijamii nchini.

Mbunge wa CCM na Viongozi Watatu wa Mgodi Wakamatwa kwa Tuhuma za Rushwa

$
0
0
Mbunge wa CCM na Viongozi Watatu wa Mgodi Wakamatwa kwa Tuhuma za Rushwa
Mbunge wa Kishapu (CCM), Suleiman Nchambi na viongozi watatu wa mgodi wa Stamigold ulioko Tulawaka wilayani Biharamulo mkoani Kagera, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa.

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Wilaya ya Biharamulo, Hassan Mosi amesema mbunge huyo na wenzake walikamatwa na kuwekwa rumande katika gereza la wilaya hiyo Jumamosi Agosti 4, 2018.

Amesema leo Jumatatu Agosti 6, 2018 watafikishwa mahakama ya wilaya ya Biharamulo kwa kosa la kufanya miamala ya kupokea rushwa.

Mosi amesema kitendo hicho ni kinyume na  kifungu cha15 cha  sheria namba 11 ya mwaka 2007 ya kupambana na kuzuia rushwa.

"Wakifikishwa mahakamani watasomewa mashtaka yanayowakabili. Wanaweza kukiri au kukanusha na sheria itachukua mkondo wake,” amesema.

Licha ya Kuwa Mkuu wa Wilaya Jokate Adai Kuwa Atoacha Kuwa Mwanamitindo

$
0
0
Licha ya Kuwa Mkuu wa Wilaya Jokate Adai Kuwa Atoacha Kuwa Mwanamitindo
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo ambaye pia ni mwanamitindo na mjasiriamali amesema hataacha kuwa mwanamitindo kama baadhi ya watu wanavyodhani.

Akizungumza na MCL Digital, Jokate amesema baada ya kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya watu wengi wamekuwa wakijiuliza maswali juu ya hatima yake ya uanamitindo na hivyo amewatoa wasiwasi kuwa hawezi kuacha.

Amesema ataendelea kuvaa nguo za wabunifu mbalimbali. “Jamani mimi bado mrembo hivyo sitaacha kuwa mwanamitindo sababu ya kuwa mkuu wa wilaya,kwani bado navaa nitaendelea nayo, nitavaa vitenge, nguo mbalimbali ambazo zinaweza kubuniwa, ila kwa sasa lazima kuwe na utaratibu wa mavazi lazima nibadilike kidogo, nivai kama mtumishi wa umma.

“Lakini pia ikumbukwe kuna mitindo mbalimbali mafuta, wanja ni urembo lazima tuendelee nao sababu ni maisha ya kila siku, sio kama nitashiriki sana ila nitashiriki kama uwezo nitakuwa nao kuvaa mitindo inayobuniwa na wanamitindo mfano kama hii nguo niliyovaa imebuniwa na mwanamitindo wa kitanzania nitaachaje urembo bwana, nitaendelea kusapoti mitindo na huu huu ukuu wa wilaya wangu,” alisema Jokate.

Jokate pia alisema kuwa,hakuwahi kufikiria kama atakuwa mkuu wa wilaya japo alikuwa na ndoto ya kuwa kiongozi na kwa upande wa siasa alikuwa anatamani kugombea nafasi ya ubunge.

Muone na Wasiliana na Dr Kanengo Bingwa wa Tiba Asili, Hutibu Magonjwa Haya

$
0
0

NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo     kupooza/kuparalazi  kupoteza  fahamu  MALABALA  hutibu  kisukari , uti  wa  mgogo,  Change, pumu, busha, kaswende, kifua  kikuu, muwasho  sehemu  ya siri  

POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge  20  

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha, pia kunakuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe),  maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu.  

SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Keisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo regea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu  

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana.    (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete)  ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,. ( 3 ) kurudisha mtu aliye kufa kiutatanishi (msukule) (4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wa  chafu ndani ya mji,.Haya yote yana wezekana kwa DR KANENGO popote ulipo ukiniitaji nafika napatikana buguruni chama, mbagala zakhiem karibia na uwanja wa mkutano, na wilaya ya bunda musoma : mawasiliano  ni simu namba :-0767-17-17-73 na  0716-60-89-59  

NI  KWA  WALIO  TUMIA  DAWA  ZA MATATIZO  MBALIMBLI  BILA  MAFANIKIO   uwezo  WA  kurudisha  mali  iliyopotea  au  kudhulumiwa    muda  mfupi  tu,  Na natoa  dawa  ya  utajiri  kwa  wafanya  biashara     wachimbaji  madini, wafaryakazi,  wakulima, wafugaji na  kwa yeyote  anayetaka  kuwa  na  pesa   nyingi  katika   maisha  yake,  Na  pia  anaunganisha  utajiri    kwa muda  mfupi  sana  pamoja  na  kuboresha  akili  kwa  wanafunzi  na  kumfanya  afaulu  mitihani  yote  au  intaview  yeyote  na  ana  uwezo  mkubwa  wa  kutibu  ugonjwa  wa  Uvimbe tumboni .  pia anarudisha  Mke, mme, mchumba,    hawara, kwa  muda  wa  saa  3  na  anatimiza mahitaji  yote  hata  kama  upo  mbali   kiasi  gani,  ahadi  zote  atatimiza  kwa  muda  mfupi  tu  Na  kumfunga  asiwe  na mtu  mwingine  kwa  nini  unaumiza  kichwa ?  

Muone  ( DR  )KANENGO,anatibu  nguvu  za  kiume  anarefusha  na  kunenepesha  uume  kwa  saizi  uipendayo  kwa  muda  mfupi   sana, pamoja  na  kuwa  na  hamu  ya  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  4  bila  hamu  kuisha   Na  utachelewa   kufika  kileleni  kwa  muda  wa  dakika   40  bila  kuchoka  hata  kama  una umri  mkubwa  kiasi  gani   Gerentii  miaka /=60    ukisha  pona  bila tatizo   kurudia  pia ana  uwezo  mkubwa  wa  kuongeza  hips na  makalio,  pia   anatibu  magonjwa  sugu  ya  zinaa  tumbo  kujaa  gesi,  kuuma  chini  ya  kitovu,vidonda vya tumbo,   kiuno,  miguu    kuwaka  moto  miguu,  kuvimba..Nk..Angalizo usitume meseji wala kubipu..  
You can get it in   all East African countries, our service is fast and easy...  

Contact Whatsapp 0767171773.Dar es salaam Tanzania. ..Dr. KANENGO 0716608959...You are welcome.

Mkuu Mpya wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya Atuma Salamu kwa Wanaomtusi Rais

$
0
0

Mkuu mpya wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya amesema atashughulika na watu wote ambao wanamtukana Rais John Magufuli wilayani humo.


Ole Sabaya ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Sambasha, wilayani Arumeru mkoa wa Arusha alitoa kauli hiyo juzi alipokuwa akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara wa kumpongeza kwa kuteuliwa kwake mwishoni mwa mwezi uliopita kushika wadhifa huo.


Amesema wakati Rais akihangaika na shida za wananchi ili kupunguza ukali wa maisha wapo baadhi ya watu ambao hakuwataja majina wilayani Hai na katika maeneo mengine wamekuwa wakimtukana Rais ikiwa ni pamoja na kudai anabagua Kanda ya Kaskazini.


“Mheshimiwa Rais amenichagua katikati ya watu milioni 50, akanifanya kuwa Mkuu wa Wilaya, kama hayo maneno yanayosemwa kuwa Rais anabagua kanda hii lakini mimi nimekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai leo, akamchagua Jerry Muro anayetokea Hai (Machame), kama Rais anabagua kama wanavyodai Mungu na aamue sasa.


“Lakini kabla hajaamua hayo maneno yalisemwa Hai tena kanisani, ila naamini ana taarifa na hatarudia tena kufanya uzembe wa namna hiyo kwenye Wilaya ya Hai, hatarudia maneno hayo ya kuchonganisha Serikali na wananchi, Rais anahangaika na viwanda, kupunguza ukali wa maisha na kuwaondolea wananchi tabu na dhiki, anayechukua mamilioni ya fedha kujinufaisha anakwenda kumtukana Rais naamini hatafanya hivyo tena,” amesema Ole Sabaya.


Naye Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma, aliwataka wananchi kutodanganywa na propaganda za ubaguzi zinaoenezwa zikidai Rais hapendi watu wa Kanda ya Kaskazini.


“Watanzania hatuna ubaguzi, tukemee hilo pepo la ubaguzi uwe wa kabila au dini, mimi nilimtengeneza Rais nikiwa Mwenyekiti wake wa mkoa, najua ukishughulika na maisha ya wanyonge lazima mabepari yakushughulikie, nimekaa bungeni  miaka miwili na nusu na simjui mbunge wenu anaitwa nani, anaongeaga kweli hata bungeni? alihoji Musukuma.


“Kwa kuwa ninyi mna lami kila sehemu hana haja ya kuongea, kwa barabara za shida hizi, Ole Sabaya atashughulika na hili jimbo mimi nakwambia kama King, pamoja na ukuu wa wilaya lakini piga kazi mwaka 2020 tutakuja kukuombea kura Mungu akipenda, hii ndiyo safari na wakati mchungaji anaomba nilikuwa nasikiliza nikafikiri anataka kusema hili akaogopa ila mi nasema mchungaji amekuombea ubunge,” aliongeza.

Hii Hapa Historia Fupi ya Kabila la Wahaya

$
0
0

Wahaya walitokea Afrika Kaskazini na kupitia Uganda na hatimaye kuanza maisha katika eneo la Kagera kaskazini magharibi mwa Tanzania
Wahaya ni moja ya makabila yaliyojaliwa wanawake wazuri na wenye maumbo na shepu nzuri pamoja na tabia.
Lugha, Tamaduni,chakula (Ndizi) ya watu wa kabila hili inafanana sana na ile ya jamii ya wanyankole wa nchi jirani ya Uganda

Wahaya walianza kutambiana toka zamani na kigezo kikubwa ilikuwa ni kuwa na elimu bora “inye nsomile” maana ya “Mimi nimesoma” na huu ukawa mwanzo wa makabila mengine kuwaita “NSHOMILE”

Wahaya ni mkusanyiko wa makabila saba,ambayo ni 
waziba,
wahamba
wanyambo,
wanyaiyangilo,
wayoza 
waendangabo 
wakala.

Ni mkusanyiko kwa maana haya ni makabila kamili sio makabila madogo madogo kama watu wengi wanavyofikiria.

Hayo makabila kila moja ilikuwa ni dola kamili iliyokuwa na mamlaka kamili katika nyanja zote za kiutawala,kijamii,kisiasa kiuchumi na kijeshi.Na kila dola lilikuwa na mipaka isiyoingiliana na dola jingine na iliyolindwa barabara.

Senene ni chakula cha heshima kwa wahaya toka zama za kale

Jamii hii ilikuwa na utawala wa wa koo na mtawala mkuu aliitwa Mukama

Alitokana na ukoo maalumu uliotoa mukama kila dola ilikuwa na koo tofauti zilizizotoa Bakama,Waziba ukoo uliotoa

Bakama ni ukoo wa Babiito.Wanyambo,Wanyaiyangilo na Wahamba ukoo wa Bakama ni Bahinda.

Hawa watawala walikuwa na mamlaka kamili kila mmoja kwenye dola lake bila kutegemea mtawala wa dola jirani.Mara nyingi dola hizi zilikuwa na migogoro ya mipaka iliyopelekea kutokea vita baina ya dola moja na nyingine.

Lugha za kila kabila zilifanana sana isipokuwa kulikuwepo na tofauti kubwa katika lahaja na tofauti ya baadhi ya maneno mfano maharage waziba na wanyambo wanaita biimba na makabila mengine wanaita mpelege. Pia kuna tofauti katka mila na desturi kutoka kabila moja na kabila jingine.

Kwa asili hakuna kabila mojalinaloitwa wahaya,hili jina limeundwa na wakoloni wa kijerumani.Wamekusanya makabila saba yenye lugha, mila na desturi zinazoshabihiana wakaliita kabila mmoja wahaya.Kwa kawaida kila kabila huwa lina mtemi wake au kiongozi mkuu wa kabila kwa kabila hili lililoitwa wahaya halina kiongozi wa aina hiyo.

MAJINA YA WAHAYA

Mtoto wa kwanza anaweza kuitwa Kokubanza, kokutangilila, Lubanzibwa Kalimuna

kama mtoto angezaliwa baada ya wazazi kukaa muda mrefu bila kupata mtoto, mtoto aliyezaliwa aliitwa ama Mushumbusi, Shumbusho, Rwezaula, kukulingilila, kokumalamala au Mkaanguki

Kama baba angekufa akamwacha mke wake ana mimba, mtoto aliyezaliwa aliitwa Kabwanga wa kike, kasigwa au kashangaki wa kiume

Pacha wa kiume aliyezaliwa kwanza aliitwa Ishengoma au Kakulu wa kike aliitwa Nyangoma, Pacha wapili kama ni wakiume aliitwa Kato. Wa kike alitwa Nyakato

Mtoto aliyezaliwa akiwafuata mapacha wakiume aliitwa Kyaluzi wa kike aliitwa Mkabaluzi

Kwa wahaya mapacha si tu watoto wanaozaliwa wawili, hata mtoto mmoja anayezaliwa kwa kutanguliza miguu huitwa pacha tena huyu ndiye huitwa pacha halisi. Kwa wahaya huita ‘eilongo alikulu’

Majina mengi ya kike huanza na KOKU mfano Kokushubila, kukoshobokelwa, Kokugonza nay a kiume huanza na Ruta kama Lutakulembelwa, Lutanywana, Lutasingwa

Kuna matumizi ya herufi ya R na H katika lugha ya luhaya sijayaelewa vizuri maana katika kuongea kwa wahaya uwezi kusikia mtu anajiita muhaya utamsikia anajiita muaya, utasikia anajiita Lweyemamu sio Rweyemamu

Wanawake wa Kihaya hutakiwa kulima heka za Maharagwe kwa ajili ya matumizi ya kaya yake na hawapaswi kusaidiwa na mumewe hata kama ni heka 10

MAJANGA YALIYO WAKUMBA WAHAYA

Majanga yanayozungumziwa mara kwa mara ni vita ya Idd Amin, ugonjwa wa UKIMWI , kuzama kwa meli ya MV BUKOBA, anguko la bei ya kahawa na kwa sasa tetemeko la ardhi

Ni matumaini yangu kwamba umejifunza kitu kupitia historia hii fupi

Nandy ashinda Tuzo nyingine Kubwa

$
0
0

Msanii wa muziki Bongo, Nandy ameshinda tuzo kutoka Maranatha Awards. Hizi ni tuzo maalumu kwa ajili ya muziki wa Injili ambazo hutolewa nchini Kenya.


Sasa Nandy ameshinda katika kipengele cha Best Worship Song Cover, kupitia wimbo wa Angel Benard unaokwenda kwa jina la Nikumbushe Wema Wako.


Hii ni tuzo ya pili kwa Nandy mara baada ya usiku wa November 12, 2017 kuibuka mshindi kupitia All Africa Music Awards 2017 (AFRIMA) zilizotolewa nchini Nigeria katika kipengele cha cha Best Female Artist In Eastern Africa Award.

Ongeza Umme, Nguvu na Hamu ya Tendo la Ndoa Hata Kwa Wenye Kisukari na Pressure

$
0
0

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea tiba na matunda bila kemikali sasa
@markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378


UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
#OngezaUume
#NguvuZaKiume
#HandsomeUpOg


Klabu ya Simba Yatambulisha Jezi Zao Mpya

$
0
0
Klabu ya Simba Yatambulisha Jezi Zao Mpya
Mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara Simba SC wametambulisha jezi zao mpya zitakazotumia msimu wa 2018/19.

Kwamujibu wa Mkuu wa habari na mawasiliano wa Simba, Haji Manara amesema kuwa jezi hizo zitaanza kuuzwa rasmi hapo kesho kuanzia majira ya saa 10: 00 alasiri.

Simba wamezitanga jezi hizo ambazo zitatumika kwenye michezo mbalimballi.

Wakati jezi zao nyeupe zitakuwa kwaajili ya mechi za ugenini huku nyekundu zikitumika kwa mechi za ugenini.

Simba imetambulisha jezi hizo zenye nembo ya mdhamini mkuu SportPesa na Mo Energy Drink ambao ni wadhamini wapya waliotangazwa leo kwa kuingia mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya shilingi milioni 250.

Wema Atupa Dongo Gizani "Namuwishi tu Tiffa Msidhani Naenda Kwenye Part Sauzi'

$
0
0
Wema Atupa Dongo Gizani "Namuwishi tu Tiffa Msidhani  Naenda  Kwenye Part Sauzi'
Leo ni siku ya kuzaliwa ya mtoto wa Diamond Platnumz, Princes Tiffah ambapo wadau mbalimbali wamemtumia ujumbe wa siku yake ya kuzaliwa kupitia mitandao ya kijamii.


Wema Sepetu ambaye alikuwa mpenzi wa zamani wa Diamond amesema hawezi kwenda Afrika Kusini kwenye party ya mtoto huyo kama walivyoalikwa Diamond Platnumz.

“God Bless The Next Big Thing… Like Father Like Daughter. On August 6th, A Star was Born… 🙏🏼🙏🏼🙏🏼. Msije mkadhani kwenye Party naenda. Wala siendi. I jus wished the lil angel Dats it…!!! 😌😌😌 #SinagaHianaMie . Maana hamkawii,”

Kauli hiyo imekuja baada ya Zari kudaiwa kutoka kauli kupitia mitandao ya kijamii kwamba hataki ugeni wa waalikwa hao wa Diamond akiwemo Wema Sepetu ambaye alialikwa kupitia kamati ya maandali ya arobaini ya Zamaradi.

Kupitia sherehe ya arobaini ya mtoto wa Zamaradi, Babu Tale kwa niaba ya WCB walitangaza kuwapeleka wanakamati wao akiwemo Wema Sepetu nchini Afrika Kusini ili Tiffah asherekee siku yake ya kuzaliwa akiwa shangazi zake.

Wimbo wa Parapanda wa Rostam Wakalia Kuti Kavu.... Roma na Stamina Waitwa Basata

$
0
0
Wimbo wa Parapanda wa Rostam Wakalia Kuti Kavu.... Roma na Stamina Waitwa Basata

Ikiwa ni siku tatu zimepita tangu wasanii wawili wa hip hop nchini Tanzania, Roma Mkatoliki na Stamina wanaounda kundi la ROSTAM kuachia wimbo wao mpya wa ‘PARAPANDA’. Wawili hao tayari wameitwa BASATA leo Agosti 6, 2018 kupigwa msasa wa sheria na kanuni mpya za Baraza hilo.

Mkurugenzi Mtendaji wa BASATA, Godfrey Mngereza amethibitisha taarifa hizo ambapo amedai kuwa ni kweli Roma na Stamina wameitwa Barazani hapo kwa lengo la kujadili kanuni mpya huku akieleza kuwa sio jambo la kushangaza kwani wao ni kama nyumba ya wasanii.

“Ni kweli wamekuja BASATA, na kimsingi hapa ni nyumbani kwao, kama wasanii wengine hapa ni nyumbani kwao na leo tulikuwa tunapitia kanuni na kama kutakuwa na jipya basi tutafahamishana,“amesema Mngereza na kusisitiza kuwa endapo kutakuwa na jambo lingine BASATA watatoa taarifa zaidi baadae.

Wiki iliyopita Roma Mkatoliki na Stamina waliachia ngoma yao mpya ya ‘PARAPANDA’ ngoma ambayo kwenye baadhi ya mistari kuna sehemu inasema “ROMA – Kwani anayesimamia sanaa ni nani?… STAMINA anajibu- Lipo Baraza ila wasanii wanaishi uwani.“.

Hapi Ataja Sababu za Kufeli Kinondoni

$
0
0
Hapi ataja sababu za kufeli Kinondoni
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi, amesema kuwa mfumo wa ukusanyaji mapato ni wa kizamani 'analog' ndio sababu ya halmashauri nyingi kufeli katika awasilishaji sahihi wa takwimu sahihi za mapato, na kuahidi kubadili mfumo wa ukusanyaji mapato mkoani kwake.

Akizungumza na East Africa BreakFast ya East Africa Radio, leo Jumatatu Agosti 6, 2018 Hapi amesema kuwa kwenye suala la mapato kuna matatizo mawili ambayo ni mifumo ya kizamani ya ukusanyaji pamoja na mfumo wa wataalamu kuziweka takwimu ni mbovu kwakile alichodai kuna watumishi huzifungia kwenye makabati takwimu za mapato, na kudai kuwa takwimu zilizowasilishwa kwa Rais hazikuwa sahihi.

“Kauli ya Rais ilikuwa ni maelekezo lakini, ukweli ni kwamba taarifa zilizofika kwa Rais hazikuwa sahihi kwani takwimu sahihi zipo na zitafikishwa upya”, amesema Hapi.

Agosti 1, 2018 baada ya kuwaapisha wakuu wa mikoa wapya, makatibu wakuu wa wizara na manaibu wake, pamoja na makatibu tawala wa mikoa Rais Dkt. Magufuli aliusifu mji wa Dodoma ambao hivi karibuni aliupa hadhi ya kuwa jiji akisema umeongoza kwa ukusanyaji wa mapato, huku akidai kuwa jiji la Dar es salaam kuna wizi wa mapato huku Kinondoni ikishika nafasi ya mwisho, wilaya iliyokuwa ikiongozwa na Ally Hapi.

“Sasa unaweza ukajua kwamba, hapa Dar es Salaam kuna upigaji tena wa nguvu. Lakini viongozi wapo, na hata Wilaya ya Kinondoni aliyekuwa anaiongoza (Ally) Hapi ndiyo imekuwa ya mwisho, sasa nikawa najiuliza sijui nimtumbue hapahapa au? Kweli wala sifichi, nikasema wilaya ilikuwa ya upinzani ile. Lakini hivi vitu vinatia aibu,” alisema Rais.

Agosti 3, 2018 wakati akiwaapisha Wakuu wa Wilaya wapya na kuwaaga walioondoka Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alimuagiza Katibu tawala wa mkoa kuhakikisha kuwa takwimu zinapitiwa upya na kuhakikisha zile ambazo hazikuwa sawa ziwekwe sawa ili zifike kwa Rais, kwani hakubaliani na suala la kuzidiwa mapato na jiji la Dodoma.

JE! Dada Unapenda Kuwa Mrembo? Na Kaka Kuwa Mtanashati na Kurudisha Heshima ya Ndoa?

$
0
0

Tumia Bidhaa halisi za MARKSON kwa mafanikio ya uhakika na bila madhara.
Zimetengenezwa kwa mimea na matunda na kuthibitishwa kiafya.
🍉🌿🍓🍒🎄🍍🍀🍓🍉
Pata bidhaa hizi ktk ubora 👇👇

1. kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @150,000/=
2. Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa (a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @250,000/=
(b)Vidonge @250,000/=
3. Kuwa mweupe na softi mwili mzima bila sugu kwa:- (1)Mafuta @150,000/=
(11)Vidonge @170,000/=
4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5. Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a) Gely ya kupaka @150,000/=
(b) Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/= (c)Handsome up original>Kifaa kinachoongeza maumbile kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
6. Kuondoa mvi milele zisiludi tena @150,000/=
7. Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula @150,000/=
8. Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
(a) Dawa ya kunywa au kupaka @150,,000/=
(b) Mkanda wa kawaida @120,000/=
(c) micro-computer belt unaovaibret @250,000/=
9 .Kupunguza maziwa na kuyasimamisha @150,000/=
10. Kushepu miguu na kuwa minene na kuondoa kigimbi @150,000/=
11. Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @120,000/=
12. kubana uke na kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke @130,000/=

NB: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
Wasiliana nasi :-
(+255) 0767447444 na
0714335378
Follow us on instagram @Markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr
#cosmetics
#hipsnamakalio
#bidhaaTz
#nguvuzakiume
#punguzauzitoTz
#shepuTz
#punguzamaziwaTz

January Makamba Atoa Ushauri Kwa Viongozi Vijana Walioteuliwa

$
0
0

Ni siku kadhaa zimepita tokea Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Dr John Pombe Magufuli ateue viongozi mbalimbali katika ngazi ya Wilaya na Mikoa na tuliona watu mbalimbali wakitumia kurasa zao za mitandao ya kijamii kutoa pongezi kwa viongozi hao.

Kupitia mtandao wa twitter katika page ya Waziri wa Nchi ofisi ya makamu wa Rais, Mazingira na Muungano January Makambaameonekana kutoa ushauri kwa viongozi vijana walioteuliwa katika nafasi mbalimbali za uongozi.

January Makamba ameandika “Mdogo wangu uliyepata nafasi ya uongozi, jitahidi kukataa, kufunguliwa mlango wa gari, kubebewa mfuko au sahani ya chakula kwenye buffet, kulazimisha kukaa meza kuu au kutambuliwa kwenye shughuli za watu. Wenyeji wanaweza ku-insist lakini resist, waweza kushindwa lakini jitahidi”

Zari afanya kufuru siku ya kuzaliwa ya mwanae Tiffah

$
0
0

MZAZI mwenzie na mwana-muziki maarufu Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarina Hassan ‘Zari’ amefanya kufuru ya mwaka baada ya kuandaa bonge la pati ya siku ya kuzaliwa mtoto wake Tiffah Diamond inayosherekewa leo (Jumatatu) huko Pretoria, nchini Afrika Kusini. 

Mwamama huyo ambaye anaonekana wazi aliipania siku hii ya mtoto wake kwani hapo awali aliandaa watu maalumu wa kumpiga picha mbalimbali akiwa amevalia magauni tofautitofauti huku akiwa amezungukwa na keki nyingi. 

AONYESHA MAVAZI YA SIKU HIYO 
Wiki moja kabla ya sherehe alionyesha pia vitu mbalimbali vikiwemo nguo, viatu na mabegi ya mkononi ambavyo angevaa Tiffah siku ya bethidei yake. 

“ Kwa kweli Zari ni kiboko vitu vyote hivyo ni kwa ajili ya sherehe ya mtoto? Hongere zake,” aliandika komenti msichana mmoja kwenye ukurasa wa Instagram ya Zari kulikowekwa picha za maandalizi hayo ya sherehe. 

AKODI NDEGE KUTOA MSAADA 
Katika kuonesha jeuri ya fedha, Zari alifanya kufuru nyingine kwa kukodi ndege ya kumpeleka nchini Uganda alikokwenda kutoa msaada kwenye kituo cha kulelea watoto wanaoishi mazingira magumu cha Arua. 

Yote hayo ni mjumuisho wa mambo yanayoambana na sherehe ya kuzaliwa kwa Tiffah ambaye mwaka huu anatimiza miaka mitatu. 

Hata hivyo sherehe hiyo haiivunji ile inayoandaliwa na Diamond iliyopangwa kufanyika Agosti 18, nchini Afrika Kusini huku ikielezwa kuwa itafanyika kwa siku tatu mfululizo na kuwajumuisha wanamuziki maarufu kutoka nchi mbalimbali. 

Hata hivyo, wengi kati ya watu waliotoa maoni yao kwenye mitandao ya kijamii kufuatia kitendo cha Zari kumfanyia mwanaye bethidei kivyake walisema inawezekana hataki kushirikiana na mzazi mwenzake ambaye ametengana naye. 

“Kwa nini asiunganishe sherehe na ile anayofanya Diamond, au ndiyo anamwaga fedha aonekane tajiri,” mchangiaji mmoja aliandika huku wengine wakimponda kwa kumwambia amwache Zari afanye yake na kwamba yeye afe na umaskini wake. 

Roma na Stamina Waitwa BASATA

$
0
0

Ikiwa ni siku tatu zimepita tangu wasanii wawili wa hip hop nchini Tanzania, Roma Mkatoliki na Stamina wanaounda kundi la ROSTAM kuachia wimbo wao mpya wa ‘PARAPANDA’. Wawili hao tayari wameitwa BASATA leo Agosti 6, 2018 kupigwa msasa wa sheria na kanuni mpya za Baraza hilo.

Mkurugenzi Mtendaji wa BASATA, Godfrey Mngereza amethibitisha taarifa hizo ambapo amedai kuwa ni kweli Roma na Stamina wameitwa Barazani hapo kwa lengo la kujadili kanuni mpya huku akieleza kuwa sio jambo la kushangaza kwani wao ni kama nyumba ya wasanii.

“Ni kweli wamekuja BASATA, na kimsingi hapa ni nyumbani kwao, kama wasanii wengine hapa ni nyumbani kwao na leo tulikuwa tunapitia kanuni na kama kutakuwa na jipya basi tutafahamishana,“amesema Mngereza na kusisitiza kuwa endapo kutakuwa na jambo lingine BASATA watatoa taarifa zaidi baadae.

Wiki iliyopita Roma Mkatoliki na Stamina waliachia ngoma yao mpya ya ‘PARAPANDA’ ngoma ambayo kwenye baadhi ya mistari kuna sehemu inasema “ROMA – Kwani anayesimamia sanaa ni nani?… STAMINA anajibu- Lipo Baraza ila wasanii wanaishi uwani.“.

Roma Aandika Ujumbe wa Uchungu Kwa Basata..Adai Wanaua Sanaa, Vipaji na Ubunifu

$
0
0

Baada ya Kundi la Muziki la Hip Hop @romastamina linaloundwa na Rapa @roma_zimbabwe Pamoja na @staminashorwebwenzi kufika Baraza la Sanaa Leo, Msanii Roma ameamua kutoa ujumbe ambao amewaandikia BASATA Kutokana na Wimbo wao Mpya Unaoitwa #PARAPANDA

Kupitia Page ya Roma ya Twitter ameandika Kuhuzunishwa na Mwenendo wa Baraza la Sanaa na Kuonesha Kuchukizwa na Maamuzi ambayo yamekuwa yakifanywa na BASATA.

Katika Tweet hiyo Roma ameandika kuwa Baraza hilo linaua Sanaa, Ubunifu na Kipaji na kumalizia kuwa yeye hachukizwi na Sanaa ila anachukizwa na Utendaji Kazi kisha akawauliza pia Mashabiki zake kutoa Maoni juu ya wimbo huo kama una matatizo yoyote.

Taifa Stars Yapata Kocha Mpya Kutoka Nigeria, Amefanya Kazi Barcelona na Manchester United

$
0
0

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania TFF limemtangaza rasmi nyota wa zamani wa timu ya Taifa Nigeria na klabu ya Barcelona, Emmanuel Amunike kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars kwa mkataba wa miaka miwili.

Anakumbukwa zaidi kwa mabao yake mawili aliyofunga katika fainali za kombe la dunia kule nchini Marekani, Amunike ameshinda vikombe kadhaa akiwa kama mchezaji katika nchi za Nigeria na Egypt, alipokuwa akiichezea Julius Berger F.C. na Zamalek SC.

Mwaka 1994, alijiunga na Sporting Clube de Portugal, na alifanikiwa kufunga mabao 7 kwenye msimu wake wa kwanza bila kusahau bao muhimu alilowafunga S.L. Benfica kwenye dabi ya Lisbon (1–0 na kuwapa Sporting ubingwa wa kombe la Ureno mnamo mwaka 1994)

Mwaka 1996 mwezi wa 12 Amunike alinunuliwa na klabua ya La Liga FC Barcelona kwa ada ya $3.6 millioni. Aliichezea Barcelona mechi tatu za msimu wa kwanza baada ya kuumia goti.

Amunike aliteseka sana na goti lake mpaka pale Barça ilipomuuza mwwka 2000, na akaelekea Albacete Balompié (ya nchini Hispania iliyokuwa ligi daraja la kwanza Segunda División). Alistaafu soka akiwa na umri wa miaka 34 . Mwaka 2008, alikwenda ligi kuu Saudi kwenye klabu ya Al-Hazm akiwa anafanya kazi kama kocha msaidizi kabla hajawa skauti wa klabu kubwa duniani Manchester United.

Wema Sepetu amemjibu Zari ? ‘Siendi kwenye party ya Tiffah SA

$
0
0

Leo ni siku ya kuzaliwa ya mtoto wa Diamond Platnumz, Princes Tiffah ambapo wadau mbalimbali wamemtumia ujumbe wa siku yake ya kuzaliwa kupitia mitandao ya kijamii.

Wema Sepetu ambaye alikuwa mpenzi wa zamani wa Diamond amesema hawezi kwenda Afrika Kusini kwenye party ya mtoto huyo kama walivyoalikwa Diamond Platnumz.

“God Bless The Next Big Thing… Like Father Like Daughter. On August 6th, A Star was Born… 🙏🏼🙏🏼🙏🏼. Msije mkadhani kwenye Party naenda. Wala siendi. I jus wished the lil angel Dats it…!!! 😌😌😌 #SinagaHianaMie . Maana hamkawii,”

Kauli hiyo imekuja baada ya Zari kudaiwa kutoka kauli kupitia mitandao ya kijamii kwamba hataki ugeni wa waalikwa hao wa Diamond akiwemo Wema Sepetu ambaye alialikwa kupitia kamati ya maandali ya arobaini ya Zamaradi.

Kupitia sherehe ya arobaini ya mtoto wa Zamaradi, Babu Tale kwa niaba ya WCB walitangaza kuwapeleka wanakamati wao akiwemo Wema Sepetu nchini Afrika Kusini ili Tiffah asherekee siku yake ya kuzaliwa akiwa shangazi zake.

Ben Pol amkataa Ebitoke kweupe ‘Its Complicated

$
0
0

Msanii wa mziki wa kizazi kipya na mkali wa R&B Tanzania Ben Pol amefunguka mwanzo mwisho kuhusiana na zile tetesi kuwa yeye ana mahusiano na msanii mchekeshaji Ebitoke.

Ben Pol ameongea hayo katika mahojiano aliyoyafanya na Bongo5 siku ya Tamasha la In Love & Money ambalo limeandaliwa na wasanii wawili Jux pamoja na Vanessa Mdee.

Alisema:- “Kuhusiana na mahusiano hayo its Complicated ingawa kila kitu nilishaongea ila kila kitu kilichoonekana kwenye vyombo vya habari ni sehemu ya maisha yangu” na kama yuko na mahusiano na Ebitoke hawezi kuzungumza chochote.

Tetesi za msanii huyu kuwa na mahusiano na Ebitoke zilianza pale mwanadada huyu alipotangaza kupitia vyombo vya habari kuwa anampenda sana Msanii huyo.


huku akimaliza kuwa “vyovyote mtu atakavyohisi aendelee kuhisi ila mimi siwezi kutamka chochote ila muda ukifika kama kweli niko kwenye mahusiano ntaweka wazi na kama siko nae pia itafahamika”

 

By Ally Juma
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images