Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104807 articles
Browse latest View live

Esha Buheti Afunguka Ukaribu wake na Ali Kiba na Diamond...Afunguka Kuwahudumia Wote

$
0
0

Mwanadada muigizaji lakini pia mjasiriamali ambaye anajishughulisha na upishi wa chakula na pia akiwa na Saloon yake Esha Boheti amefunguka mwanzo mwisho kuhusiana na kazi zake zote.

Mwanadada huyu amefunguka juu ya changamoto anazozipitia kwenye kazi yake ya uuzaji wa chakula na lusema kuwa “kuna kipindi unaweza kuagiziwa chakula lakini mtu asilipe au mtu anaagiza chakula yuko mbali gharama zote unatakiwa kulipa wewe kwahiyo changamoto kama hizi zinasababisha biashara idorore.

Mbali na kufunguka hayo lakini pia ameongelea kuhusiana na ukaribu wake na Msanii alikiba pamoja na Diamond Platinumz.

Boheti alisema “Mimi namsapoti sana Alikiba lakini kwenye biashara sina utimu kwani hata familia ya Diamond Platinumz ambayo inasemwa ndio wapinzani na Ali mimi naiuzia chakula mfano mama Dangote,dada yake Damond wate nawauzia chakula na tuna urafiki mzuri tu”

Lakini baada ya kuulizwa vipi kuhusu Diamond Alisema : “Mimi na Diamond hatujawahi kukutana na sijawahi kumuuzia chakula changu ila akihitaji chakula ntampelekea popote alipo sitaangalia U timu eti kisa mimi timu Kiba ndo nisiuze chakula hapana”

Alikiba na Diamond wamekuwa katika mchuano kwa muda sasa kwa kulinganishwa ngoma zao na jinsi wanavyofanya kazi zao na ndio maana wamejizolea mashabiki wengi sana Tanzania na hata nje ya Tanzania.

Jinamiza la Ajali za Moto Kwa Mabasi laendelea...Kidia One Lateketea

$
0
0

SINGIDA: Basi la kampuni ya Kidia One lililokuwa linatoka Mwanza kuelekea Dar limeteketea kwa moto maeneo ya Iguguno shamba

Inadaiwa chanzo cha moto huo ni tairi la nyuma kupasuka na kushika moto

Aidha, abiria wote wako salama hakuna aliyedhurika

Juhudi za abiria na wananchi za kuzima moto huo zilishindikana baada ya moto huo kuwazidi kasi kutokana na upepo

CHADEMA Waiandikia Barua Tume ya Taifa ya Uchaguz Kupinga Mgombea Wao Kuenguliwa Korogwe Vijijini

$
0
0

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeiandikia barua Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kikilalamikia kile kilichotokea Korogwe Vijijini.

Barua hiyo imeandikwa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji jana jioni Augusti 21, 2018 imekwenda kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk Athuman Kihamia na msimamizi wa uchaguzi jimbo la Korogwe Vijijini, Dk George Nyaronga.

Barua hiyo ya Dk Mashinji kwenda kwa Dk Kihamia aliituma baada ya Dk Nyaronga kumtangaza mgombea wa CCM, Timotheo Mzava kupita bila kupingwa.

Katika barua hiyo yenye kumbukumbu namba C/HQ/ADM/TU/05/80, nakala yake imetumwa kwa Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Semistocles Kaijage, msimamizi wa uchaguzi Korogwe Vijijini, Dk Nyaronga.

“Rejea mazungumzo yetu ya simu awali leo (jana) saa 6:03 mchana na ukanirudia saa 06:06 kuhusu msimamizi wa uchaguzi Korogwe kutopokea fomu ya mgombea ubunge kupitia Chadema, Amina Ally Saguti ambaye alikuwapo muda wote leo (jana) kuanzia saa 4:00 asubuhi ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Korogwe Vijijini, jambo ambalo uliahidi kulighulikia,” anasema Dk Mashinji.

“Nilikurejea tena saa 09:47 jioni kukujulisha kuwa bado msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Korogwe Vijijini hajapokea fomu za mgombea kupitia Chadema na ukanirejea tena saa 09:55 ukinieleza kuwa unashughulikia.”

Katika barua hiyo, Dk Mashinji anasema: “Katika mazingira hayo, tunaitaka ofisi yako na Tume iingilie kati suala hili kubwa la uvunjifu wa sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi ili mchakato urejewe kuruhusu mgombea wetu wa Chadema na wengine waliochukua fomu za uteuzi waweze kurejesha fomu hizo kwa ajili ya uteuzi.”

“Pamoja na kuingilia suala hili, tunaitaka pia ofisi yako iitishe mara  moja kikao cha maadili cha Taifa kwa ajili ya kumjadili msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Korogwe Vijijini na OCD (mkuu wa polisi wilaya) wa Korogwe ili hatua kali za nidhamu zichukuliwe dhidi yao na wote  wanaohusika,” amesema Dk Maashinji

Bobi Wine kutolewa jela na mawakili 24

$
0
0

Bobi Wine.
Timu ya mawakili 24 wameungana kumtetea Mbunge wa Kyadondo, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, huku wakimtaka Mkuu wa Tume ya Haki za Binadamu nchini Uganda, Med Kaggwa kuhakikisha anatumia vyema haki ya kikatiba ili kuhakikisha haki inatendeka. 

Mbunge huyo anatarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya Kijeshi siku ya Alhamisi kwa tuhuma za kumiliki silaha kinyume cha sheria, ambapo hadi sasa Bobi Wine anashikiliwa kwenye gereza la Makindye ambalo ni la kijeshi huku akidaiwa kuwa hawezi kutembea wala kuzungumza. 

Hata hivyo madai hayo ya Bobi Wine kuwa amepigwa na hali yake ni mbaya yalikanushwa na rais wa Uganda Yoweri Museveni ambaye aliziita kuwa ni habari feki na kusema " Mjukuu wangu Bobi Wine yupo salama na hali yake ni njema." 

Kwa mujibu wa ripoti mbalimbali za vyombo vya habari, mbunge huyo ambaye pia ni mwanamuziki ana matatizo ya figo ambayo yanahitaji kutibiwa ipasavyo na madaktari bingwa waliobobea. 

Mwanasheria wa mbunge huyo Male Mabirizi amefungua kesi Mahakama Kuu kutaka kuachiwa kwa mbunge huyo na wenzake wakiwamo wanaharakati mbalimbali waliokamatwa kwenye tukio la ghasia zilizoibuka wakati wa kufunga kampeni za ubunge wa Arua. 

Mwanasheria huyo amedai kuwa Bobi Wine amechomwa sindano yenye dawa ambayo inamfanya asijitambue na mpaka sasa hajitambui wala uso wake hautambuliki pia pua na masikio vinatoka damu na kudai kuwa taarifa iliyotolewa na madaktari wa jeshi hazikuwa na ukweli. 

Wiki iliyopita Bobi Wine na wenzake walishtakiwa baada ya kukamatwa wakiwa katika kampeni za kuelekea uchaguzi mdogo eneo la Arua kaskazini mwa nchi ambapo polisi wanasema walikuwa wamewaongoza wafuasi wao kushambulia msafara wa Rais Yoweri Museveni. 

Hapo jana Jeshi la Polisi Uganda liliwashikilia watuhumiwa 45 katika vituo mbalimbali vya polisi kwa kufanya maandamano Jijini Kampala ya kupinga kushikiliwa kwa mbunge Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine na wabunge wenzake wanne.

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upugufu wa Nguvu za Kiume, Busha, Kisukari na Vidonda vya Tumbo

$
0
0


TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO? BUSHA BILA KUPASUA KISUKALI NA VIDONDA VYA TUMBO? asilimia kubwa ya wanaume wanaupungufu wa nguvu za kiume NA maumbile madogo

NI NINI KINACHOSABABISHA UUME KUZIDI KUWA MDOGO NA WEMBAMBA 1 kuugua chango LA uzazi 2 unene kupita kiasi 3 kuvaa nguo au chupi za kubana 4 kupiga punyeto kwa mda mrfu ,NI NINI TIBA YAKE MAKAKANUA MIX nidawa ya mitishamba iliyochanganywa NA mizizi kumi NA mbili urfusha NA kunenepesha UUME saizi upendayo ich 5,6,7, NA 8 kwa urfu NA sentimita 3,4, na 5 ipo dawa ya kunywa na kupaka NI NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupungukiwa kwa homoni ya testerone 2 kuhudhurika kwa Neva au uti wa mgongo 3 utumiaji holela wa madawa ya kizungu 4 usongo wa mawazo na asira 5 utumiaji wa vyakula vya mafuta mengi NI NINI TIBA YAKE MAPRO POWER NO 2 NDIO tiba tosha kwa sasa kwani utibu matatizo matatu kwa pamoja 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 adi 20 ,2 itakufanya urudie tendo zaidi Mara tatu 3 uhimalisha uume uliolegea na kusinyaa OKOA NDOA YAKO SASA ujihepusha na lawama ndani ya ndoa yako au pale ukutanapo na mpezi dawa hii itamfanya mpenzi wako hakueshimu na hasitoke nnje ya ndoa na ata wazee wenye umri mkubwa wanapona zipo dawa za kupunguza kitambi,minyama uzembe, presha ,kisukar mvuto wa mpezi au biashara

FIKA OFISINI KWETU MBAGALA ZAKHEMU na wateja wa kanda ya ziwa yupo wakala wetu mwanza mjini au piga simu 0752348593

DR MABULA na utaletewa popote ulipo uduma hizi

Mashekhe na Mapadri Wameniombea Imeshindikana, Watanzania Nichangieni na Mimi Nizae – Diva

$
0
0
Mashekhe na Mapadri wameniombea imeshindikana, Watanzania nichangieni na mimi nizae – Diva
Wakati kuna wanawake wanatupa vichanga majararani bila hata hofu ya Mungu, upande mwingine wapo wanawake ambao wanahangaika kila uchwao kutafuta watoto kwa udi na uvumba.



Mfano wa Wanawake hao ni Mtangazaji wa kituo cha Radio cha Clouds FM ambaye amekiri wazi kuwa amehangaika kwa kipindi kirefu kutafuta mtoto lakini imekuwa ikishindikana kumpata.

Akielezea safari hiyo, Diva amedai kuwa ameombewa na Mashekhe  na Mapadri na kunywa kila aina ya dawa ya uzazi lakini hajafanikiwa hadi alipopewa majibu na wataalamu kuwa mirija ya uzazi imeharibika hivyo hataweza kuzaa kwa njia ya kawaida.

Diva kwa sasa anawaomba Watanzania wamsaidie kwa kumchangia kiasi cha dola $7,000 ambacho ni zaidi ya Milioni 15 ili aweze kwenda Marekani kwa ajili ya IVF Treatments yaani mfumo wa kupandikizwa mbegu za kiume.

Simba Yafunguka Kuhusu Hali ya Okwi

$
0
0
Simba Yafunguka Kuhusu  Hali ya Okwi
Club ya wekundu wa Msimbazi Simba SC leo kupitia kwa mkuu wao wa idara ya habari na mawasiliano wa club hiyo Haji Manara, leo amezungumza na waandishi wa habari na kueleza maandali ya club yao kuelekea kuanza kwa mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu 2018/19.

Simba imeanza kwa kumpa pole Rais Magufuli kwa kufiwa na dada yake Monica Magufuli lakini wameelezea maandalizi ya game yao ya kwanza dhidi ya Tanzania Prisons itakayochezwa usiku wa August 22.

Haji Manara pia ameeleza kuwa hali ya Emmanuel Okwi ambaye aliumia mgongo wakati wa mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Mtibwa Sugar, hali yake imeimarika kwa asilimia 75, hivyo bado haijajulikana kama atacheza kesho au la.

Ali Kiba Atoa ya Moyoni Kuhusu Muziki wa Bongo Flava

$
0
0
Ali Kiba atoa ya moyoni kuhusu muziki wa Bongo Flava
Msanii wa muziki nchini, Alikiba amesema kuwa mwendo wa muziki wa Bongo Flava umepungua kasi siku za hivi karibuni kutokana na kukosekana kwa tuzo ambazo zilikuwa zikichangia sana kuhamasisha Watanzania.

Alikiba anayetamba na kibao chake cha Mvumo wa Radi ameyasema hayo katika mahojiano na Azam Tv mwezi huu wa Agosti kupitia kipindi cha Nyundo ya Baruan.

”Mwendo wa muziki wa Bongo Flava unakwenda vizuri ijapokuwa kuna watu wanachanganya tu muziki na wengine wanaaribu muziki na wengine wanakwenda nao vizuri lakini hiyo pia siwezi kuichambua kwa sababu kila mtu anakipaji chake,” amesema Alikiba

Alikiba ameongeza ”Wengine wanafanya kwa kujifurahisha na wengine wanafanya kwaajili ya maisha yao lakini muziki kidogo umepungua nguvu.”

”Ninaimani kwa sababu ya tuzo za Tanzania zilikuwa zinawahamasisha sana watu, wasanii walikuwa wakifanya kazi vizuri na kwa bidii anaamini kwamba siku moja ataitwa na atapewa heshima unajua tuzo ni heshima tu.”

”Kwa hivyo changamoto kidogo imepungua, kasi imepungua ni kutokana na tuzo kwa vijana maana mtu anaweza kujitungia nyimbo yoyote ambayo haina kichwa wala miguu sababu hategemei chochote lakini pia kampuni yangu ya Mo Faya inamipango hiyo ya kuwahamasisha vijana kufanya tuzo baadae Insha allah.”

Mwanamuziki huyo anayefanya vizuri barani Afrika amesema kuwa wasanii anao wakubali kutoka katika bara hili ni Oliver Mtukudzi kutoka Zimbabwe na mama Yvonne Chaka Chaka wa Afrika Kusini.

Huwezi Kuwa na Miaka 35 Bado Unafanya Kama Amber Lulu na Young D- Dudu Baya

$
0
0
Huwezi Kuwa na Miaka 35 Bado Unafanya Kama Amber Lulu na Young D- Dudu Baya
Msanii mkongwe kwenye game ya bongofleva Dudubaya amezungumza kwenye EXCLUSIVE interview na Ayo TV ambapo amelezea kuhusu taarifa zilizopo kuwa anatafuta kiki ili arudi tena kwenye headlines kama alivyokuwa zamani ambapo Dudubaya amesema kwamba yeye hatafuti kiki ila kiki amezaliwa nazo na istoshe kiki zake nyingi zilikuwa ni zakutoa vipogo kwa watu.

Dudubaya amesema kwamba kiki nyingi zilikuwa zinamkuta toka zamani kutokana na maswala ya ugonvi na vipigo japo kwa sasa yamepungua huku akiitaja sababu ya umri wake umeenda hivyo hawezi kufanya mambo wanayoyafanya Young D au Amber Lulu

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:


FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.


NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .

WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788, 0754741788

DR MAGISE

Jeshi la Uganda Lomba Radhi

$
0
0
Jeshi la Uganda laomba radhi
Jeshi la Uganda limeomba msamaha ambao ni nadra sana kutokea baada ya askari wake kuonekana kwenye mkanda wa video wakimpiga mwandishi wa habari ambaye alikuwa akitimiza wajibu wake kwenye maandamano ya kushutumu kukamatwa kwa mbunge Bobi Wine mnamo Jumatatu .Katika tukio hilo waandishi wengine nao walipigwa walipokuwa wakiarifu jamii juu ya maandamano hayo kupitia vyombo vyao vya habari.

Taarifa iliyotolewa na jeshi la polisi, ilieleza kuwa kitendo hicho kilichofanywa na askari wake kuwa si cha weledi na kusema kuwa watakamatwa kwa muujibu wa sheria za jeshi nchini humo.

Kumekuwa na mvutano wa kisiasa nchini Uganda baada ya mbunge Bobi, na wabunge wanne wa upinzani, kukamatwa wiki iliyopita.

Bobi ni maarufu nchini Uganda awali kutokana na kujihusisha na tasnia ya muziki kabla ya kuchaguliwa kama mbunge mwaka jana, amefanikiwa kuteka umaa wa wana Uganda miongoni mwao vijana, na kuendesha harakati za kisiasa dhidi ya raisi Yoweri Kaguta Museveni anaarifu mwandishi wa BBC aliyeko mjini Kampala Catherine Byaruhanga.

Sijawahi Kutafuta Umaarufu Wenyewe Unanitafuta- Mama Kanumba

$
0
0
Sijawahi Kutafuta Umaarufu Wenyewe Unanitafuta- Mama  Kanumba
Mama wa marehemu Steven Kanumba, amefunguka na kudai hajawahi kutumia mitandaoo ya kijamii kutafuta umaarfu kama watu wasemavyo bali umaarufu unamfuata yeye kutokana na miujiza ya Mungu.

Mama Kanumba ametoa kauli hiyo alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz kinachorushwa na tinga namba moja kwa vijana EATV, baada ya kuenea video mitandaoni zilizokuwa zikimuonyesha akitoa maneno mbalimbali juu ya wasanii wa filamu nchini baada ya kifo cha mwanae kutokea.

"Mimi kwanza sio mpenzi wa mitandao na wala sitafuti umaarufu lakini ni maajabu ya Mungu, umaarufu unanitafuta wenyewe. Kwa hiyo wanaondelea kusema waendelee tu kwa sababu midomo hailipiwi VAT. Mimi nitaendelea kuwa mama Kanumba na kumkumbuka mwanangu",amesema Mama Kanumba.

Pamoja na hayo, mama Kanumba ameendelea kwa kusema kuwa "waone ajabu Kanumba amefariki huu ni mwaka wa saba lakini bado watu wanaendelea kumkumbuka na kumuenzi".

Mbali na hilo, mama Kanumba amesema anashukuru jinsi ambavyo waigizaji maarufu mbalimbali wanavyomkumbuka na kumualika katika matukio yanahusisha tasnia hiyo kwa niaba ya mtoto wake Steven Kanumba.

Tokea alipofariki staa filamu nchini Tanzania, Steven Kanumba mnamo mwaka 2012, mama huyo amekuwa gumzo mitandoni na sehemu nyingine mbalimbali kutokana na kauli zake, zilizokuwa zinawaponda baadhi ya wasanii katika tasnia hiyo kwa kile anachokidai kila uchao suala la unafiki.

Wema Sepetu Arusha Vijembe Gizani, Mashabiki Wamtaja Hamisa, Zari

$
0
0
Wema Sepetu Arusha Vijembe Gizani, Mashabiki Wamtaja Hamisa, Zari
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu Jumanne hii ametupa jiwe gizani akiwataka watu wanaomchokoza kuacha mara moja.


Muigizaji huyo hakuweka wazi mara moja ni nani anayemchokoza lakini mashabiki katika mitandao ya kijamii wamelihusisha suala hilo na Hamisa Mobetto, Zari pamoja sakata ambalo linadaiwa kusambaa katika mitandao ya kijamii kwamba amepata mpenzi mpya.

“Mnaniona nimekaa kimya mnanichokonoa eeh…. Mtahangaika sana wallahy…. 😒😒😒…. Niacheni tafadhal….,” aliandika Wema.


Muigizaji huyo alikuwa kimya kwa muda mrefu toka ahukumiwe na mahakama ya Kisutu kwa kosa la kutumia dawa za kulevya.

Toka tukio hilo litokee mrembo huyo amekuwa haonekanai mara kwa mara kwenye matukio tofauti na kipindi cha nyuma.

Esha Buheti Ahamisha Mahaba kwa Daimond "Daimond Akitaka Popote Nampelekea"

$
0
0
Esha Buheti Ahamisha Mahaba kwa Daimond "Daimond Akitaka Popote Nampelekea"
Mwanadada muigizaji Esha Buheti ambaye pia ni mjasiriamali ambaye anajishughulisha na upishi wa chakula na Saloon, amefunguka mwanzo mwisho kuhusiana na kazi zake.



Mwanadada huyu amefunguka juu ya changamoto anazozipitia kwenye kazi yake ya uuzaji wa chakula na kusema kuwa “kuna kipindi unaweza kuagiziwa chakula lakini mtu asilipe au mtu anaagiza chakula yuko mbali gharama zote unatakiwa kulipa wewe kwahiyo changamoto kama hizi zinasababisha biashara kudorora”

Mbali na kufunguka hayo lakini pia ameongelea kuhusiana na ukaribu wake na Msanii alikiba pamoja na Diamond Platinumz.



Buheti alisema “Mimi namsapoti sana Alikiba lakini kwenye biashara sina utimu kwani hata familia ya Diamond Platinumz ambayo inasemwa ndio wapinzani na Ali mimi naiuzia chakula mfano mama Dangote,dada yake Diamond wote nawauzia chakula na tuna urafiki mzuri tu”

Lakini baada ya kuulizwa vipi kuhusu Diamond Alisema : “Mimi na Diamond hatujawahi kukutana na sijawahi kumuuzia chakula changu ila akihitaji chakula ntampelekea popote alipo sitaangalia U timu eti kisa mimi timu Kiba ndo nisiuze chakula hapana”



Alikiba na Diamond wamekuwa katika mchuano kwa muda sasa kwa kulinganishwa ngoma zao na jinsi wanavyofanya kazi zao na ndio maana wamejizolea mashabiki wengi sana Tanzania na hata nje ya Tanzania.

Auawa na Mamba Akijaribu Kumuokoa Mbwa Wake

$
0
0
Auawa na Mamba Akijaribu Kumuokoa Mbwa Wake
Mwanamke mmoja nchini Marekani ameuawa na mamba mwenye ukubwa wa futi nane maarufu kama ‘alligator’ baada ya kutaka kumsaidia mbwa wake aliyekuwa anapiga kelele pembezoni mwa bwawa.



Victim Cassandra Cline mwenye umri wa miaka 45, ameuawa na mamba huyo kisha kumzamisha hadi chini ya maji wakati alipokuwa akifanya jitihada za kumsaidia mbwa wake huko South Carolina Marekani.



Polisi wa jiji hilo wamesema kuwa mamba amemshambulia mwanamke huyo akitokea kwenye bwawa hilo linalopatikana karibu na nyumba.



Inaelezwa kuwa kuna ripoti ya kifo kimoja tu kuwahi kutokea kinacholingana na hicho katika eneo hilo la South Carolina kwa zaidi ya miaka 42.

Alligator ni aina ya mamba wakubwa kabisa duniani ambao wanauwezo wa hali ya juu wanaopatikana kwenye nchi za Marekani na China.

Pazia la Ligi Kufunguliwa Leo..... Simba na Tanzania Prisons Kuonyeshana Ubabe

$
0
0
Pazia la Ligi Kufunguliwa Leo..... Simba na Tanzania Prisons Kuonyeshana Ubabe
Kikosi cha Simba kianshuka dimbani leo majira ya saa moja jioni kuanza rasmi pazia la Ligi Kuu Bara kwa kucheza na Tanzania Prisons.

Kuelekea mchezo huo Simba itawakosa wachezaji wake watatu ambao ni Mlinda mlango Deogratius Munishi 'Dida', Kiungo Clatous Chama na Mganda Emmanuel Okwi.

Dida na Chama watakosekana katika mchezo huo kutokana na kukosa Hati za Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ambazo mpaka sasa bado hazijawasili.

Aidha, Mganda, Emmanuel Okwi naye atakosekana baada ya kuumia katika mchezo wa Ngao ya Hisani uliopigwa jijini Mwanza Agosti 18 ndani ya dimba la CCM Kirumba.

Simba itaanza pazia la michuano hiyo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam majira ya saa moja za usiku ili kuwapa nafasi watazamaji kufurahia sikukuu ya Eid uzuri zaidi.

Soma Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo

$
0
0

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujio
na wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Muziki wa Bongo Fleva Umepungua Kasi.:-Ali Kiba

$
0
0
Muziki wa Bongo Fleva Umepungua Kasi.:-Ali Kiba
Msanii wa muziki wa bongo fleva nchini, Alikiba anasema kuwa anaona kuwa kasi ya muziki wa bongo fleva imepungua kasi hasa kutokana na kukosekana kwa tuzo zilizokuwepo zilizokuwa zikihamasihsa wasanii kufanya muziki kwa umakini zaidi.

Alikiba anayetamba na kibao chake cha Mvumo wa Radi ameyasema hayo katika mahojiano na Azam Tv mwezi huu wa Agosti kupitia kipindi cha Nyundo ya Baruan.

”Mwendo wa muziki wa Bongo Flava unakwenda vizuri ijapokuwa kuna watu wanachanganya tu muziki na wengine wanaaribu muziki na wengine wanakwenda nao vizuri lakini hiyo pia siwezi kuichambua kwa sababu kila mtu anakipaji chake,” amesema Alikiba

Alikiba ameongeza ”Wengine wanafanya kwa kujifurahisha na wengine wanafanya kwaajili ya maisha yao lakini muziki kidogo umepungua nguvu.”

”Ninaimani kwa sababu ya tuzo za Tanzania zilikuwa zinawahamasisha sana watu, wasanii walikuwa wakifanya kazi vizuri na kwa bidii anaamini kwamba siku moja ataitwa na atapewa heshima unajua tuzo ni heshima tu.”

”Kwa hivyo changamoto kidogo imepungua, kasi imepungua ni kutokana na tuzo kwa vijana maana mtu anaweza kujitungia nyimbo yoyote ambayo haina kichwa wala miguu sababu hategemei chochote lakini pia kampuni yangu ya Mo Faya inamipango hiyo ya kuwahamasisha vijana kufanya tuzo baadae Insha allah.”

Mwanamuziki huyo anayefanya vizuri barani Afrika amesema kuwa wasanii anao wakubali kutoka katika bara hili ni Oliver Mtukudzi kutoka Zimbabwe na mama Yvonne Chaka Chaka wa Afrika Kusini.

Waziri Mwinyi Atoa Neno Kwa Watanzania

$
0
0
Waziri Mwinyi atoa neno kwa Watanzania
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi, amewataka Waislam na Watanzania kwa ujumla kuendelea kudumisha amani ya nchi kwa maendeleo ya taifa.

Akizungumza leo Jijini Dar es Salaam, kwenye Baraza la Eid, Dkt. Hussein Mwinyi, amesema serikali ya awamu ya tano imejikita katika kuwaletea maendeleo wananchi hivyo jambo hilo halitawezekana pasipo kuwa na amani.

Aidha ameongeza kuwa Amani ndio msingi wa kila kitu katika nchi yoyote ili watu waweze kufanya shughuli zao za kila siku ikiwemo ibada na kusema Mwenyezi Mungu ameitunuku Tanzania kuwa nchi ya amani hivyo Watanzania hawana budi kuitunza na kuilinda amani  nchini.

Katika hatua nyingine Dkt. Mwinyi, amelipongeza Baraza la Waislam Tanzania (BAKWATA), kwa kujitathmini katika utendaji wake wa kazi kwa faida ya Waislam wote ikiwemo kuanza kujihusisha na utoaji wa huduma mbalimbali za kijamii ikiwemo Elimu na Afya.

Kwa upande wao viongozi wa dini ya kiislam waliopata nafasi ya kutoa hotuba kwenye Ibada hiyo ya Eid wamewataka wananchi kuunga mkono juhudi za serikali katika kuinua uchumi wa nchi kupitia viwanda lakini pia kuendelea kudumisha na kuilinda Amani iliyopo.
Viewing all 104807 articles
Browse latest View live




Latest Images