Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live

Instagram yafuta 18% ya akaunti feki, Justin Bieber, Kim Kardashian wapoteza followers zaidi ya milioni 4

$
0
0
Mtandao wa Instagram wiki hii umewapa majonzi baadhi ya watumiaji wake baada ya kufanya operation ya kufuta akaunti feki (spammy accounts ) na hivyo kuathiri namba ya followers kwa watu wengi.

Asilimia 18.9 ya akaunti (fake) za Instagram zimefutwa kuanzia Jumatano hadi Alhamisi.

“We’ve been deactivating spammy accounts from Instagram on an ongoing basis to improve your experience. As part of this effort, we will be deleting these accounts forever, so they will no longer be included in follower counts. This means that some of you will see a change in your follower count.” Wameandika Instagram.

Mastaa wa nje waliokumbwa na fagio hilo la followers ni pamoja na Justin Bieber ambaye amepoteza mashabiki (fake) milioni 3.5 sawa na asilimia 15 ya followers wake wote.

Mwingine ni Kim Kardashian ambaye amepoteza followers milioni 1.3 au asilimia 5.5 ya followers wake wote.

Rapper Mase ameamua kujiondoa kabisa Instagram siku ya Alhamis, muda mfupi baada ya kupoteza followers milioni 1.5

JOHARI Apata wa Kumfungua Kizazi...Wacha Movie Iendelee

$
0
0
MAPENZINI: Swala la mapenzi ni jambo binafsi, lakini linapokuja kwa watu mastaa huwa lazima lilete stori.Leo nimetua kwa mwigizaji nguli na mahili wa filamu hapa Bongo, Blandina Chagula “JOHARI”.

Ni muda mrefu sasa tangu aachane na aliekuwa mpenzi wake  wa siri Vicent Kigosi “Ray” ambae pia ni mwigizaji na muongozaji wa filamu, mwana dada Johari kwa mara ya pili sasa ametokelezea akiwa na jamaa mwingine ambae amezua maswali mengi bila majibu kutoka kwa Johari mwenye.

KIVIPI?

Takribani miezi kadhaa iliyopita Johari kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, aliweka picha hio hapo juu na kuandika “Washa Movie iendelee” kwa wapenzi wa habari za UBUYU hapa mtakuwa  mlimsoma vyema  dada yetu. Hii ilizua mjadala miongoni mwa mashabiki wake  huku wengine wakisema huyu jamaa ndio kachukua nafasi ya kaka yetu Ray wakati wengine wakisema anafanya hivyo ili kumrusha roho Ray ambae kwa wakati huo penzi lake na Chuchu Hans ilikuwa jipya na motomoto. Mbali na comment nyingi kumtaka Johari afunguke, bado Johari alipiga kimya. Mzee wa Ubuyu namimi nikawa kama vile nimeipotezea movie hii.

Kilichokuja na kunifanya niikumbuke movie ni hivi majuzi  kuweka picha tena akiwa na jamaa huyo wakiwa kwenye sherehe ya harusi na bila kuandika chochote, kwamaana nyingine aliwachia mashabiki wajiongeze wenyewe...sasa comment zaidi ya asilimia 70 zilikuwa zisomeka, Shemejiiii, mnaendanaaa mara ooh...safi sana.....Ilimradi kila mtu aliandika kile nachojisikia, Johari hakujibu kitu ila wengi waliamni kuwa hapa kuna jamboo na watu kuwa wapo penzini.

Namimi  mzee wa ubuyu nikaonasiombaya nikuletee hii movie ili nawe uone na uiache iendelee.

Na: Mzee wa Ubuyu.

Wema Sepetu Amfuata Diamond Platnumz Kampala Uganda...Je Wawili Hawa Wanafuatana au Wanarushana Roho?

$
0
0
Usiku wa juzi tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika kama  1Man Show Million na Pati ya mwanamama Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party.

Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana  matukio hayo kama ifuatavyo;

Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki mkubwa wa masanii Jose Chameleone alitokea nchini Ghana na kutua jijini Kampala kuhudhuria show ya mwanana mziku huyo ambayo ilifanyika Serena Hotel.

Wakati Diamond Platnumz ambae kwasasa ana “Le Project” na mwanamama Zari alihudhulia pati ya Zari kama “Special Guest”.

Baadhi ya watu wamechukulia kitendo hiki ni kama mwanadada Wema “Amepaniki” hivi, Huku wengine wakisema kuwa Wema ana uhuru wakufanya kile anachokitaka bila ya kuhofia watu watasemaje.

Jambo hili halijatokea kwa bahati mbaya kwani wiki kadhaa zilizopita, Diamond alipoonyesha kum-support Zari kwenye pati yake,Wema nae alibuka na kum-support Jose. Kama unavyoona hapa chini.
Maoni yako tafadhari, Je wawili hawa wanatafutana au wanarushana roho?!!

Mwanadada Ameniuzia Camera Aliyorekodiwa Akifanya Mapenzi Bila Kujijua, Nifanyaje?

$
0
0

Kuna jamaa alivamia mtaani kwetu na vijiela ela vyake, sasa kama kawaida ya dada zetu wakaanza kumshobokea na jamaa mashallah alikuwa muongaji mzuri.

Kama unavyojua dada zetu kwa kuambizana, wakishabanjuliwa na kuhongwa wanaenda kuadisiana, kumbe wenyewe kwa wenyewe walikuwa wanazungukana baada ya kuona kuna dili bila ya kujijua.

Jamaa nae kumbe alikuwa ana principle zake , ukija siku ya kwanza anakuonga kama laki au elfu hamsini, siku ya pili anapunguza mgao na baada ya apo anaweza kukutoa ata kapa ili mradi tu uachane nae.

Sasa kilichotokea kumbe jamaa alikuwa anamchezo wa kuegesha Camera sehemu anayoijua yeye mwenyewe chumbani wakati anagonga mzigo na kujirikodi. Na kafanya ivi kwa wadada kibao bila kujijua ambao tunawajua pale mtaani.

Siku moja mdada mmoja kati ya hao alilala na uyo jamaa mpaka asubui na bahati mbaya siku iyo jamaa alimtoa kapa na kumpa maelekezo yule dada kuwa yeye anawai kazini ila funguo akitoka aache duka la jirani.

Dada yule kuona dili limekataa siku iyo baada ya kutolewa kapa akaamua kuanza tafuta tafuta kule chumbani na kwa bahati mbaya akaikuta camera pembezoni ya kabati, akaona dili ndo ilo akatambaa nayo.

Sasa kwa njaa yake akawa anaiuza mtaani na akajifanya ana shida ya haraka kwa kuwa amepata msiba na anataka kusafiri mkoani, mi kwa kuiangalia japokuwa ilikuwa haina chaji kipindi kile nikaamua kuinunua na nafikiri yule dada alishindwa kuikagua kwakuwa haikuwa na chaji.

Kwenda kuiangalia ndani duh nikakutana na mambo ya ajabu sana, kina dada walikuwa kama wanaact movie na ngono vile, ni aibu tupo jamaa alivyowafanya, kuna waliokuwa wanaliwa mpaka Tigo uku akiwaelekeza kwenye Camera bila ya hata wao kujijua.

Sasa yule jama aliporudi jioni kwenda kucheki Camera haipo, akaanza kumpigia simu demu kazima, kwenda kwao akaambiwa demu kauza camera na na hajulikani alipo na simu yenyewe kazima. Jamaa alichanganyikiwa na hakujua cha kufanya, baada ya kukaa kama wiki pale akaona mambo yatakuwa makubwa baada ya kumkosa demu akaamua kuhama.

Sasa ile Camera ninayo mie na nishaamisha zile video kutoka kwenye Camera kwenda kwenye computer yangu. Nimeshaangalia mpaka nimezichoka ndo kichwa kinaniuma apa nizichukulie uamuzi gani.
Kwamba niwatafute wazee wa udaku niwauzie ama niendelee tu kukaa nazo, manake naisi awa kina dada bila ya kuwarusha hewani hawawezi pata fundisho la uu uchafu wanaoufanya.

Ila mpaka sasa kinachonifanya niumize kichwa ni kuwa wale wadada skendo yote wameisikia na wanajua kuwa Camera nimeuziwa mie ila hawawezi kunifata wala kuniuliza manake wanaona aibu sana kwa kuwa ukiziangalie zile video jamaa kapiga Tigo karibu mademu wote na wengine wake za watu pale mtaani.

Naombeni ushauri sasa niwape hukumu gani hawa mada, manake nisipokuwa makini naweza julikana kuwa ni mie ndo nimeuza ii ishu na kuachisha mpaka ndoa za watu.

~Mdau Kutoka JF

Lemutuz: Kwanini Waziri Mama Tibaijuka ni lazima Ajiuzulu sasa Au Aondolewe na Mh. Rais!

$
0
0
kwenye Press Conference yake amesema mengi sana lakini hakuna la maana wala msingi alilolisema la kumnusuru na hasa baada ya Mwanasheria Mkuu Werema ambaye hakutajwa kupokea senti tano za Escrow alipotangulia mwenyewe badala ya kumsubiri Rais kama anavyotaka kufanya Waziri Tibaijuka, ninasema hivi:-

1. Waziri alikuwa UN kwa muda mrefu sana anajua maadili ya UN kwamba ukituhumiwa tu kupokea hata senti tano nje ya kazi yako unafukuzuwa kazi siku hiyo hiyo, ndio maana Ban Ki Moon amesema haamini kwamba ni kweli kuwa Waziri Tibaijuka amepokea hizo pesa. Now understand hakusema haamini kwamba ameiba isipokuwa haamini kwamba amepokea hizo pesa, WHY? anajua kwamba huyu Mama baada ya muda wote aliokuwa UN anajua better kuhusu kupokea anything nje ya kazi.

2. Waziri Tibaijuka jana kuna kosa moja kubwa sana alilolifanya nalo ni kutooonyesha the media record ya tabia yake ya kupokea pesa za misaada, alitakiwa awaonyeshe waandishi wa habari historia yake ya kupokea misaada akiwa Waziri na kabla hajawa Waziri at least angekuwa na upenyo wa kutokea kwamba ni tabia yake toka akiwa UN kupokea misaada ya pesa kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa sio hapa tu hata alipokuwa huko UN. Sasa kwa kushindwa kuonyesha hilo anakuwa anaelea elea na utetezi wake kwamba zilikujwa ni pesa za misaada ya Shule.

3. Pesa za Escrow alizozipokea kuna Makanisa na MaaAskofu waliozikataa, kwa mfano Kanisa la Saint Peters lilizikataa pesa hizo meaning kwamba Kanisa lilishituka kwamba process haiko sawa sasa ina maana Kanisa linaweza kuwa na smart judgement kuliko Professor Anna Tibaijuka WAziri wa Jamhuri na former UN Boss? Haingii akilini, uchunguzi ulkiofikishwa bungeni umeonyesha Waziri alipokea pesa hizo 1.6 Billion na kuziingiza kwenye account ya shule anayioisema na siku mbili later akazitoa bila Shule kujua wala kuidhinishwa na bodi ya Shule WHY? 

- Kwa kumalizia nasema hivi Waziri Tibaijuka aondoke sasa kabla ya Rais hajamuondoa maana hawezi kumuacha no way itakuwa ni Banana Republic Taifa ambalo Mawaziri wanaruhusiwa kupokea Billions kutoka kwa wafanya biashara bila kumuarifu anybody are you kidding me or what? Nashangaa mpaka sasa nafsi yake haimsuti kwamba MWanasheria Mkuu ambaye hakupokea senti tano amejiondoa mwenyewe kuwajibika na yeye aliyepokea anadai hana makosa please, enough Wananchi wamechishwa na hizi longo longo huyu mama kuna mnaoheshimiana naye mnasoma hapa mwambieni alichokifanya jana kwenye media ni sawa sawa na ile Press ya Miss Tanzania nothing personal lakini hata hiki Chama Cha Mapinduzi mnakimaliza wenyewe I mean Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM ya Nyerere usikike umepokea Billion kutoka mfanya biashara hivi kweli kungekuwa na kesi tena? Alikuwa anasema nini pale mtumzima mwenye elimu kubwa kuliko Wananchi wengi wa Taifa hili? Halafu na nyie media ya bongo kwa nini huwa hamuulizi maswali serious?

- Alipokuwa anawataja kina Rais Mkapa na Mzee Mengi kuwahi kumchangia mngemuuliza alipokuwa UN aliwahi kuchangiwa na je kabla hajwa Waziri Mkapa na Mengi waliwahi kumchangia?

- MAMA TIBAIJUKA JIUZULU TU UKINUSURU CCM CHAMA CHA MAPINDUZI HUWEZI KUWA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM NA WAZIRI WA JAMHURI UKAANZA KUPOKEA MISAADA YA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA NCHINI NI MAKOSA MAKUBWA SANA JIUZULU NOW, IFIKE MAHALI VIONGOZI WA TAIFA MCHAGUE KUWA VIONGOZI AU KUPOKEA MISAADA YA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA ILA HAMUWEZI KUCHANGANYA VYOTE, HAPANA SISI WANANCHI HATUTAWARUHUSU!!

Le Mutuz

Uzuri na Mapungufu yaliyopo kwenye Video Mpya ya Ally kiba (Mwana Dsm)

$
0
0
Msanii mwenye jina kubwa hapa bongo ally kibba Jana 19.12.2014 ameachia video iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wapenzi wake ya Mwana dsm nimeona tujadili Uzuri na mapungufu yake ili aweze kujirekebisha kwenye video zinazofuata.

Uzuri :
Video ina Quality moja Poa sana na pili Nimependa jinsi Walivyokuwa Wanacheza Ali Kiba na Wacheza Show wake.

Mapungufu
Video hii itatamba sana hapa nchini Tz labda na east Africa tu ila itapata shida sana kutamba katika nchi zisizojua kiswahili kwa sababu video ya wimbo haielezei uhalisia wa maudhui wa nyimbo husika.

Kiufupi mtu asiyejua kiswahili hawezi kujua wimbo unazungumzia nini.

Kwa wale ambao hamjanielewa,wewe mtanzania unayejua kiswahili jaribu kuangalia video wakati sound ipo silent kama utaelewa video inazungumzia nini.

Halafu angalia video ya diamond ya NITAMPATA WAPI bila sauti.

Wewe mwenzangu umeona mapungufu gani?

Angalia Video Hapa:


Aunty Ezekiel: Bora Nizae tu, Umri Umeenda Sana

$
0
0
Siku chache baada ya kuripotiwa kuwa ni mjamzito, staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel ameibuka na kufunguka kuwa, aachwe azae kwani umri unazidi kuyoyoma.

Akizungumza na mwanahabari wetu, Aunt alisema watu wamekuwa wakizungumza sana kuhusu ujauzito wake lakini kikubwa ni kwamba ameupata akiwa na umri sahihi na wala siyo chini ya miaka 18. “Najua watu wengi wanazungumza kuhusu mimi na ujauzito wangu lakini mimi sijaona tatizo na tena siko chini ya umri wa miaka 18 sijui kama kuna tatizo lolote nikipata mtoto na hivyo kama mimba ipo watu wasubiri , ” alisema Aunt ambaye amekuwa mzito kuanika umri wake hadharani.

Aunt ambaye aliolewa mwaka 2012 na Sunday Demonte anayedaiwa kusota nyuma ya nondo huko Dubai kwa msala wa madawa ya kulevya, kwa sasa anadaiwa kubanjuka kimapenzi na dansa wa Nasibu Abdul ‘ Diamond ’ , Moze Iyobo . Hata hivyo, mimba hiyo ya Aunt haijajulikana kama ni ya Iyobo au mwanaume mwingine maana wawili hao wamekuwa wakichenga kuizungumzia.

Dida : Nigombee Bwana kwani Wanaume Wameisha?

$
0
0
MTANGAZAJI wa Redio Times FM, Khadija Shaibu ‘ Dida’ amesema siku zote anapokuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi akigundua mtu wake ana ‘ date ’ na mwanamke mwingine, kamwe hatathubutu kugombea bwana ila atanawa mikono.

Akibonga na paparazi wetu hivi karibuni Dida alisema , hakuna kitu ambacho kwake anaona ni cha kipuuzi kama kugombea penzi , kwa kuwa mtu anapokusaliti ni wazi upendo wake umehamia kwa mtu mwingine hivyo hawezi kujing’ ang’ aniza.

“Nawashangaa sana wasichana wanaokosa kazi ya kufanya kwa kuanza kuwagombea wanaume, wengine wanadundana hadi kutoana manundu, hivi nigombee bwana kwani wanaume wameisha? Mimi nikimkuta mtu wangu yupo na mtu mwingine wala sijishughulishi, nachukua hamsini zangu, ” alisema Dida

Flora Mbasha, amekimbilia mahakama ya hakimu mkazi kisutu Kuomba Talaka

$
0
0
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Inili, Flora Mbasha, amekimbilia mahakama ya hakimu mkazi kisutu, akiomba kuvunja ndoa kati yake na mumewe, Emmanuel Mbasha. Flora anadai sababu za kuomba kuvunja ndoa hiyo apewe talaka ni kutokana na tabia ya mumewe kumpiga, kumnyanyasa na kushindwa kumpatia matibabu.

Una lipi la kuwaambia wanandoa hawa?

Mama Mmoja Huko Singida Amtupa Mjukuu Nje ya Basi Likiwa Katika Mwendo

$
0
0
Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka Sita amefariki dunia baada ya kutupwa na bibi yake nje ya basi kupitia dirishani wakati basi likiwa katika mwendo wa kasi mkoani Singida.

Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na  mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida ACP Thobias Sedoyeka, amesema mama huyo aliye tambulika kwa jina la Lawaridi Saidi mweye umri wa miaka 46 aliyekuwa akisafiri na basi namba T 981 ALS kampuni ya Salumu Clasc lilokuwa likitokea Dar-es-salaam na kuelekea Kigoma.
Amesema alipofika katika kijiji cha Iguguno wilaya ya Mkalama siku ya tarehe 18/12/2014 saa 2 usiku alimtupa mjukuu wake Mayasa meshaki dirisani huku basi likiwa katika mwendo kasi.
Kwa upande wake mganga wa zamu katika hospitali ya mkoa wa Singida Dkt Adamu Hussein amesema walimpokea mtoto huyo akiwa katika hali mbaya akiwa hapumui vizuri na damu kutoka katika masikio,baada ya kumpatia matibabu alilazwa na siku ya pili alifariki kutokana na kupasuka kwa fuvu la kichwa.


Akieleza jinsi alivyo mtupa mjukuu wake huku basi likiwa katika mwendo kasi  Lawaridi Saidi  ambaye ni mkazi wa  Kongowe jijini Dar-es-salaam amesema baada ya kuamka akiwa katika hali ya usingizi alijikuta akimchukuwa mjukuu wake Mayasa  na kumtupa dirishani na hatimaye abiria wakaanza kumpiga  na kuamuru basi lisimame na kumtafuta mtoto huyo.

Shilole Avishwa Pete ya Uchumba na Nuh Mziwanda

$
0
0
Mwigizaji na mwanamziki maarufu wa kike hapa Bongo, Zuwena Mohamed  “Shilole” ambae ni mama wa watoto wawili  usiku huu akishereke siku yake ya kuzaliwa maeneo ya Mikocheni jiji Dar, amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake wa muda mrefu sasa, Nuh Mziwanda ambae pia ni mwanamziki.

Tunawatakia kila kheri wapendanao hawa.

Idris and Samantha Are The Hottest items in Town as They Attract a Crowd Wherever They Go.

$
0
0
One week after Idris joined the millionaire’s club after winning the BBA Hotshots in South Africa, the 21-year old has scored on another front.

Idris Sultan has made a choice on who he wants to spend his millions with and that is none other than South Africa’s Samantha.

The two have become one of the hottest items in town as they attract a crowd wherever they go.

Sources close to Idris say that Samantha arrived in Dar on Monday and the two have been spotted in town; in one of her posts she declared her love for ‘Tanzanian things’.

Idris’ preference of Samantha rather than Ella and Goitse doesn’t come as a surprise because in an earlier interview when his father was asked about Idris’ numerous girlfriends he, too, preferred Samantha.

It is not clear whether the Mzansi beauty will get to meet Mr Lover Man’s parents during the festive season as many have already suggested.

Alichosema Diamond Platnumz Baada ya Jokate Kuingia Mkataba wa Kibiashara na Kampuni Toka China

$
0
0
Baada ya mwanadada Jokate kupitia kampuni yake ya KIDOTi kuingia mkataba mnono wa bidhaa zake na kampuni ya wachina, msanii Dimaond Platnumz amefunguka haya yafuatayo…


..Kama muekezaji wa nje ameweza kuona Potential na kumuamini kidoti na kuamua kuwekeza kwenye bidhaa zake...kwanini sisi tusimuamini???.. nafikiri huu ni wakati muafaka wa kuanza kuthamini na kusupport brand zetu za nyumbani.. Hongera sana Kate... sema sasa ututolee bidhaa nzuri kweli, sio tena ukale hela za mchina wa watu halafu ukatutolee maruerue! utegemee support yetu ..” – Diamond Platnumz

Wewe una maoni gani?

Lulu:Kuwa Mama ni Heshima Sio Kuzeeka, Nipo Njiani

$
0
0
Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa nchini, Elizabeth Michael “LULU” ameamua kufunguka na kusema mtazamo wake kuhusu swala la wasichana kuogopa/kukataa kuzaa kwakuofia kuwa watazeeka.

“Kwa akili Yangu ndogo... Nadhani kuwa Mzazi(Mama)ni heshima kubwa na Sio kuzeeka kama wasichana wengi wanavyofikiria....! Shout Out kwa Kila mwanamke aliyefanikisha kupata Heshima Hiyo...! Heshima kwa Mama wote Duniani ….Wengine Tuko njiani Inshallah”
Lulu aliweka bandiko hilo mtandaoni  baada yakuweka picha ya msanii  wamziki wa marekani, Ciara akiwa na mtoto wake wakiwa wamevalia kofia za “Christmas”.

Watu wengi walimpongeza kwa bandiko hili na hizi ni 'comment' kutoka kwa  Aunt Ezekieli na Zamaradi Mtetema.

Aunt Ezekiel:  Toka nimekufahamu leo ndio umeongea point toto akee... Kina mama Oyeeeeeee

Zamaradi Mtetema: Hasara.. baba yule!!! Hahahahaha uko tayari kwa ule mwendo!??

Lulu: @zamaradimketema ntauvumilia tu bwahahahahah

Na wewe ongeza yako hapo chini

Wema Sepetu Ampongeza Jokate Kwa Hatua Aliyofikia Kibiashara..ila Kasema Bado Anamnunia

$
0
0
Mastaa mbalimbali wamajitokeza na kumponzea mwanadada Jokate Mwegelo kwakuweza kupambana na kufanikiwa kuingia mkataba na kampuni kutoka China , kwaajili ya kutengeneza vitu mbalimbali kama nywele, viatu, na nk ,kupitia kampuni yake ya KIDOTI.

Mwigizaji Wema Sepetu nae haukuwa nyuma kwani jana kupitia mtandaoni alimpongeza mwanadada Jokate kwa hatua aliyofikia na akasema hii ni kama changamoto kwa kila kijana na kumtakia mafanikia zaidi kwa mwaka ujao.Mwishoni akamalizia na kautani kidogo kuwa ataendelea tu kumnunia.....

Way to go baby girl.... Wat can I say..., Im more dan proud... Let this be a challenge to every youth.... Yes it is possible.... Mi nathubutu kusema Umetisherrr... #Hatari #SayGoodbyeTo2014 .... 2015 is mos def a good year for u.... @jokatem @jokatem @jokatem @jokatem ...
usidhani bado sijakununia.... hii ni post tu ila mnuno unaendelea....

Hiki ndicho alichokisema Wema.

Agness Masogange Awa Beep Midume yenye Uchu Kwa Kuwaonyesha Nguo ya Ndani..

$
0
0
 Baada ya Kuwa Kimya Kwa Muda Mrefu Mwanadada Mrembo Agness Masogange Aliyeamua Kuhamia South Africa Amewashtua Kidogo Kwa Kupost Picha Hizi Zenye Mitego Hasa kwa Midume yenye Uchu ...Toa Maoni Yako Kuhusu Hizi Picha
n

Escrow yazidi kuvimba: CHADEMA wampatia kibarua kizito Rais Kikwete kuelekea Hotuba yake Leo

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Ndugu waandishi wa habari, Tumewaomba kukutana nanyi hapa leo baada ya kupata fununu kuwa Rais Jakaya Kikwete anataka kutumia hotuba yake ya kesho na wanaoitwa, “Wazee wa Dar es Salaam” kutetea wizi mkubwa wa fedha za umma uliofanyika ndani ya Benki Kuu (BoT), kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow. 

Tunazo taarifa kuwa Rais Kikwete amejipanga kuuhadaa umma kwa kisingizio cha uchunguzi wa Ikulu, ili kuwalinda watuhumiwa ambao wanapaswa kuwajibishwa kwa kuwafuta kazi, kushitakiwa na kufilisiwa. Habari tulizozipata kutoka ndani ya Ikulu kwenyewe, zinasema Rais Kikwete amejiandaa kumlinda Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Eliakim Maswi. 

Tunapenda kumtahadharisha Rais Kikwete kuachana mara moja na mpango wowote wa kumlinda Profesa Muhongo na Maswi, ambao hadi muda huu walipaswa siyo kuwa nje ya ofisi, bali walitakiwa kuwako gerezani. 

Ndugu waandishi wa habari; Umma unafahamu kwamba anayejiita mmiliki wa Kampuni ya PAP, alikabidhiwa fedha zilizokuwa katika Akaunti ya Escrow, kabla ya kuwa mmiliki halali wa kampuni hiyo. 

Ushahidi wa hili, unapatikana katika kesi iliyofunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania na James Rugemalira, dhidi ya Gavana wa Benki Kuu (BoT), Prof. Benno Ndulu, Kampuni ya PAP na Benki ya Stanbic, tawi la Tanzania. Rugemalira alifungua shauri hili baada ya kukuta fedha zilizokuwapo kwenye akaunti ya Escrow zimeshachukuliwa, wakati yeye akiwa bado hajamaliziwa kiasi chake cha fedha alichokuwa anadai baada ya kuuza asilimia 30 ya hisa zake katika IPTL. 

Katika shauri hilo lililomalizika kwa njia ya usuluhishi wa mahakama, Mahakama Kuu ya Tanzania, pamoja na mengine, ilisema yafuatayo: 

·Kwamba baada ya kampuni ya VIP kulipwa fedha zake zilizotajwa katika mkataba, itailipa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) kodi yote ya mapato inayotokana na mkataba inayofikia Sh. 38, 186,584,322/- (bilioni thelathini na nane milioni mia moja na themani na sita laki tano na elfu themanini na nne na mia tatu ishirini na mbili) kama zilivyokadiriwa na TRA kupitia Kadirio la Kodi Na. 427038820 la tarehe 15 Januari 2014.

Kesi hiyo iliwasilishwa mahakamani tarehe 8 Januari 2014 na VIP ENGINEERING AND MARKETING LIMITED (VIP) kama mdai na iliunganisha kesi za madai Na. 49/ 2002 na kesi ndogo Na. 254 YA 2003. 

· Kwamba baada ya VIP kulipa kodi hiyo kwa TRA, fedha zake zilizobaki hazitalipwa kwake mpaka pale itakapowasilisha Cheti cha Kulipa Kodi na hati za kuhamisha asilimia 30 ya hisa zake katika IPTL kwa mwanasheria wa PAP, na wasilisho hilo lilitakiwa kufanyika kabla ya saa 10 jioni ya tarehe 27 Januari 2014. 

·Aidha, baada ya kulipwa kiwango chote cha mkataba kilichotajwa hapo juu, VIP itathibitisha uridhiaji na ukubali wake wa kuhamishwa asilimia 70 ya hisa za MECHMAR CORPORATION (MALAYSIA) BERHAD katika IPTL, na uridhiaji na ukubali huo unarudishwa nyuma kuanzia tarehe ya mauzo na uhamishaji wa hisa hizo kwa PAP. 

Ndugu waandishi wa habari; Hii maana yake nini? Jibu ni kwamba, wakati PAP analipwa kiasi cha Sh. 321 bilioni kutoka BoT, haikuwa mmiliki halali wa IPTL. Hakuwahi kusajili hisa zake BRELA wala hakuwa amenunua asimia 30 ya hisa za VIP. 

Huu ni wizi ambao hauwezi kuvumiliwa na umma na chama chetu, ambacho ni tegemeo la Watanzania katika kulinda rasimaliza za taifa, ikiwamo fedha na kutetea haki za wanyonge na kusimamia misingi ya uwajibikaji, hakiwezi kunyamaza na kumuacha Rais Kikwete akitekeleza mradi wake wa kulinda wezi. 

Hakiwezi! Kwa msingi huo, tunamtaka Rais Kikwete katika hotuba yake ya kesho, kuwajibisha wale wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine, katika kutekeleza wizi huo. Miongoni mwao, ni Prof. Muhongo, Maswi, Gavana wa BoT, Prof. Ndulu, Katibu Mkuu wizara ya Fedha, Silviacius Likwelile, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredric Werema na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Felicesmi Mramba. 

Ndugu waandishi wa habari, Watanzania bado wanakumbuka kauli iliyotolewa bungeni wakati wa mkutano uliopita kuwa familia ya Rais Kikwete nayo iko nyuma ya sakata hili ikiwa mnufaikaji mkubwa kupitia kwa mtu aitwaye Albert Marwa ambaye ana uhusiano na familia hiyo. 

Kitendo cha Rais Kikwete kushindwa kuchukua hatua madhubuti katika jambo hili, utakuwa ni ushahidi wa wazi kuwa kigugumizi ambacho kimekuwa kikiikabili serikali yake katika jambo hili kinasukumwa na jambo kubwa nyuma yake, ikiwamo kujilinda binafsi na kulinda familia yake. 

Ndugu waandishi wa habari, Suala la miamala iliyofanyika kupitia Benki ya Stanbic katika sehemu ya kashfa hiyo ya Akaunti ya Escrow, si suala la kufanyia mzaha au kupuuzwa hata kidogo katika ufisadi huu. 

Ni kupitia benki hiyo ndiko kiwango kikubwa cha fedha zaidi ya Sh. 160 bilioni, zilibebwa kwa magunia, malumbesa na sandarusi ndani ya siku moja mchana kweupe, tena tunaambiwa wengine walikwenda kwa magari yenye nambari za serikali na fedha hizo zilipelekwa Ikulu ambako Rais Kikwete anafanyia kazi na kuishi. 

Ni ukweli ulio wazi kuwa hakuna benki ndani ya nchi yetu inayoweza kufanya miamala ya mabilioni ya fedha kwa kiwango hicho, bila BoT kuidhinisha. Kwa mantiki hiyo hiyo, Gavana Prof. Ndulu hawezi kukwepa uwajibikaji kwenye jambo hili zito kwa kuwa alilifahamu na kulilidhia. 

Tunatarajia Rais Kikwete ataueleza umma wa Watanzania hatua zilizochukuliwa dhidi ya watumishi hawa wa umma na siyo kuja na visingizio vya miamala iliyochukuliwa katika Benki ya Mkombozi pekee. Watanzania wanasubiri kusikia Rais Kikwete anachukua hatua dhidi ya Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum ambaye wakati fedha zinaztolewa katika Akaunti ya Escrow kati ya Septemba na Desemba mwaka jana, alikuwa ndiye Kaimu Waziri wa Fedha. 

Wakati huo, aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa alikuwa Afrika Kusini kwenye matibabu ya ugonjwa uliopelekea kifo chake ambacho hadi leo kimeendelea kudaiwa kuwa na utata. 

Ndugu waandishi wa habari; Aidha, katika kuwatafuta watu waliochukua fedha za Akaunti ya Escrow kwa magunia na malumbesa, Rais Kikwete aweke wazi kile kinachoonekana ushirika wa ufisadi kati ya serikali, Benki ya Stanbic na chama chake – Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana. 

Tunazo taarifa za uhakika kwamba Kinana alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Benki hiyo na Mjumbe wa Bodi ya Stanbic, na ambaye amekuwa kiunganishi kikubwa kati ya serikali, CCM na benki hiyo katika kufanya miamala ya aina hiyo ya kifisadi. 

Umma wa Watanzania unamtarajia Rais Kikwete amwagize Kinana, kwa ushawishi wake alionao ndani ya Stanbic, awataje watu waliokwenda kuchukua mabilioni ya fedha kwa malumbesa, magunia na sandarusi, vinginevyo atakuwa anahalalisha madai haya kuwa ushirikiano huu una kitu nyuma na kwamba, fedha kutoka Akaunti ya Escrow ya Tegeta, kupitishiwa benki hiyo halikuwa jambo la bahati mbaya.


……………………… 
Arcado Ntagazwa 
MWENYEKITI WA BODI YA WADHAMINI CHADEMA 

Utafiti Mpya Urais 2015 ni Lowassa Tena, Pinda wa Pili

$
0
0
Katika ripoti iliyotoka jana kuhusu utafiti uliofanywa na Economists Intelligence Unit ya nchini Uingereza, ndugu Edward Lowassa kaongoza tena katika utafiti huo. Sehemu ya ripoti hiyo inaeleza ya kwamba Lowassa ndiye mwanasiasa anayekubalika zaidi ndani ya chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwania urais 2015.

Economist Intelligence Unit ni moja ya taasisi/kitengo bora duniani katika maswala ya kiitafiti kwenye nyanja mbali mbali likiwemo maswala ya uchaguzi.

Tarehe 26/11/2007, kitengo hiki kilitoa ripoti ya utafiti wao kuhusu uchaguzi wa Marekani ya kwamba Obama ataibuka mshindi katika uchaguzi wa 2008. Matokeo nafkiri tunayajua....

Tarehe 14/10/2012, kitengo hiki hiki kilitoa ripoti kuhusu uchaguzi wa nchini Ghana, ya kwamba John Mahama ataongoza katika uchaguzi huo na ndiye alikuwa chaguo la wananchi. Matokeo wote tunayo....

Tarehe 24/10/2014, kitengo hiki hiki kilitoa ripoti kuhusu uchaguzi wa nchini Brazil. Katika ripoti hiyo mgombea Dilma Rouseff aliibuka mshindi kama kitengo hicho kilivyotoa ripoti yake ya kiutafiti..

Jana tarehe 20/12/2014, kitengo hicho kimetoa ripoti ya utafiti kuhusu uchaguzi wa mwakani hapa nchini. Na kumpa Lowassa ushindi mkubwa sana...

Mytake: chonde chonde tusithubutu hata kidogo kutupilia mbali maoni ya wananchi. Uchaguzi wa 2002 nchini Kenya, chama cha KANU kilipuuza maoni ya wananchi na hatimaye matokeo leo hii tunayo vichwani mwetu. Sauti ya wananchi ni kubwa sana ingawa unaweza usiione mpaka pale utakapo pata pigo takatifu.

Huu ni utafiti wa tatu mfululizo unaowagusa wananchi. Ni wito kwa CCM kusoma alama za nyakati na kusikia sauti za wananchi. Kura za maoni ni sauti za wananchi.

Source: magazeti ya leo (Mtanzania)..

Asante

Ocampo four

Suluhisho Rahisi kwa Wanaodhani Wamepungukiwa Nguvu, Wanaosumbuka Kurudia Tendo au Kuwahi Kufika

$
0
0
Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi imepelekea woga mkubwa kwa baadhi ya wengi wetu.

Yafaa sasa tujikite kwenye ufumbuzi kuliko kuripoti tatizo na kulaumu. Kadiri tunavyoendekeza kuripoti tatizo tunawaathiri hata wale waliokuwa wazima ambao kwa kuwa hakuna kipimo sawia kujua kipi ni kipi, nao wasiwasi unawafanya wanapoteza ujasiri wao na kujiona wana tatizo kumbe wapo imara sana kuliko mkuki.

Kwa kuanzia yafuatayo yaweza kusaidia kuboresha kulifurahia tendo la ndoa zaidi na kwa muda zaidi. 

Kuuweka Mwili vizuri: Ni wazi kuwa tendo hili linachagiwa sana na mzunguko mzuri wa damu. Mwili ukiwa kwenye hali nzuri kiafya na tendo huwa linaenda ipasavyo. Na mwili ukiwa dhoofu basi tegemea tukio dhoofu pia. Hivyo ukitaka kuwa na matokeo mazuri kwenye ndoa yako, jitahidi sana kujiweka vizuri kwa kula sahihi na kufanya mazoezi mepesi mepesi tu kwa wale wanaoweza kuutumia muda vizuri wapiti pite Gym walau siku mbili na kuendelea kwa wiki.

Kufahamu kuwa kupumzika kwa uume baada ya baada kufika mara ya kwanza sio tatizo. Kwa wanaume walio wengi, baada ya mshindo wa kwanza hupumzika kidogo kabla ya kuendelea na awamu nyingine. Japo kuna ambao wana uwezo wa kuendelea moja kwa moja bila kupumzika (law ya use and misuse inahusika kwa wengine apa). Kwa hio kusinyaa kwa uume baada ya mshindo wa kwanza, isifahamike kuwa ni upungufu wa nguvu bali ni ajdustiment ya mwili wenyewe kutokana na kwamba mwanaume kabla ya tendo mapigo ya moyo huongezeka na huchangia damu kwenda kwa kasi, na kwa hali hio anakua yupo juu sana kimhemko, inapofikia anamaliza raundi ya kwanza mwili unakua unapoa /umesharudi kwenye hali yake ya kawaida, ndiko kunakosababisha hio maneno kusinyaa kwa wengi wakati mapigo ya moyo yanaporudi kawaida (MWILI KUPOA).

Maandalizi ya mwili. Wanaume tupo tayari muda wote… ila linapokua swala ya mwenza wako (kwa kuwa muda unaotumia kwa maandalizi na tendo una uhusiano wa moja kwa moja na satisfaction ya mwenzio)… unahitaji muda angalao nusu saa na kuzidi kujiandaa na mwenzi wako. Kama timu ya mpira inapoenda ugenini huhitaji muda kuzoea mazingira, ndio na mwanaume anavyohitaji muda kuzoea mazingira ya ugenini. Hili linakusaidia sana mwanaume kutoka kwenye mihemko na kurudi kwenye hali yako ya kawaida ambayo itakusaidia kuwa na muda mzuri zaidi wa kufurahia tendo. Jitahidi pia kuvuta pumzi nyingi ndani na uiachie polepole kukusaidia kukuweka kwenye utulivu mzuri.

Timing ya kuanza tendo: Kwa kuwa tendo linahusisha sana hisia za mwili, ukiwa umetumia muda unaotosha kuandaana, basi usiwe na papara mwanzoni, bali uwe na utulivu, pia jitahidi kuzungumza moja mawili wakati unaanza kuzoea mazingira mengine (core business) EPUKA UHARAKA na kuweka sana akili yako hapo, jinafikie mwenyewe kuwa its just a normal thing (mental pride)

Concetration/ Umakini uliopitiliza… Unapaswa kumfanya mkeo aweke akili yake yote hapo, na wewe unatakiwa katika kumuweka mkeo kwenye concentration uuharibu umakini wako (level of concentration). Ukiweka concentration ya juu sana kwenye tendo… haikuchukui dakika mbili umemaliza, na kuirudisha tena ile hali ya concentration uliokua nayo mwanzo itakuwia ngumu sana….. Usiweke sana akili yako hapo kama unataka kufurahia kwa muda zaidi. ila kama hutaki kudumu.. weka akili na umahini wako hapo woote.. just seconds or a minute you are done

MAZOEZI ya mwili ni muhimu sana sana sana sana sana kwetu wanaume. Kama huna muda wa kwenda jimu walau ukiamka piga ‘PUSH-UPS walau 50’’ kila siku na ‘’SQUARTS’’ . haya ni mazoezi mepesi lakini ni BORA zaidi kwa mwanaume. Kwetu sisi wanaume tunatumia sana misuli yetu wakati huu, kwa hio kuna ulazima wa kutafuta ustahimilivu wa misuli ''mussle strength n perseverance''. Hio kitu ni starehe na unatakiwa baada ya tendo uwe umekuwa refreshed na sio uwe unaumwa kila mahali na sijui joints zinauma sijui nini nini? ukijiona unakuwa hivyo baada ya tendo ujue mwili wako haujakaa fiti ipasavyo kimazoezi/kiafya

Pia Afya ya Akili inahusika sana, Japo inahitaji jitihada makhususi... lakini kila mtu ana uwezo wa kuchagua nini cha kufikiria na nini si cha fikiria(kupuuzia) na pia akienda hatua zaidi anaweza kupuuza kila kitu kwa wakati fulani kama unajua una huo uwezo na ukaamua kuutumia. Pia kuchagua kufikiri yale yaliopo kwenye uwezo na urefu wa kamba yako pekee; vitu usivyo na uwezo navyo utajisumbua tu bure na kujipa stress zaidi. Weka nguvu na jitihada zako kwenye kutafuta ufumbuzi wa changamoto zako, jifunze na acha kufikiria matatizo kwa maana hakubadilishi kitu na yataendelea kuwa hivyo n.k n.k................ Ukiwa na namna nzuri ya kuyachanganua mambo yako utasaidika sana kwenye afya ya akili yako na kuwa vizuri zaidi

Karibuni wadau kusaidia utatuzi wa hili jinamizi linalojizolea umaarufu kadiri siku zinavyokwenda kwenye jamii yetu.

Kuwa na Wapenzi wengi kunapunguza uwezekano wa kuugua Tezi Dume

$
0
0
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wataalamu wa Chuo kikuu cha Montreal, Canada, ni kuwa mwanaume ambaye ameshiriki tendo la ndoa na wanawake kuanzia ishirini na kuendelea ni nadra sana kuugua ugonjwa wa Saratani ya Tezi dume.

Lakini kwa upande wa wanaume mashoga, wao wapo kwenye hatari kubwa zaidi ya kuupata ugonjwa huu. Sababu kubwa inayotajwa kusababisha hali hii kwa mashoga ni kuwa wanakuwa kwenye hatari kubwa ya kupata maumivu kwenye tezi dume kutokana na msikusuko unaotokea wakati wa tendo pindi wanapokuwa wanafanya mapenzi haya (athari zipo kwa muingizwaji).

Kati ya mwaka 2005 na 2009 wanaume wapatao 3208 walishiriki utafiti uliofanywa na Taasisi inayojishughulisha na maradhi ya Saratani na kati yao wanaume 1590 waligundulika kuwa na Saratani hii ya Tezi dume.

Utafiti huu ulichapishwa kwenye Jarida la "Cancer Epidemiology".

Marie-Elise Parent, aliyeongoza jopo la watafiti alisema kuwa hii isiwe sababu ya wanaume kuhamasika kuwa na wapenzi wengi.

Pia utafiti huu umeweka wazi kuwa wanaume ambao hawashiriki kabisa tendo la ndoa wako kwenye hatari, mara mbili zaidi ya kawaida kuugua gonjwa hili hatari.

Tafiti zilizotangulia pia zilitanabaisha kuwa kufanya mapenzi mara kwa mara kunapunguza uwezekano wa kuugua Saratani ya Tezi Dume kwa kuwa husaidia kupunguza mrundikano wa wadudu visababishi vya Saratani (carcinogenic crystal-like substances) kwenye tezi dume.

My Take:

Kwa wanaume: Je mwenendo wako unakuweka hatarini au kwenye usalama dhidi ya Tezi dume?
Wamama na wadada, ukiombwa tunda ujue mwenzio anahitaji kinga dhidi ya Saratani. Hivyo msiwe wachoyo.
Na kidume ukiona kila unapoomba tunda unakataliwa basi ujue mwenzio anataka uugue tezi dume.

Kinga ni bora kuliko tiba.
Viewing all 104795 articles
Browse latest View live




Latest Images